River United FC ya sasa ni Bora kuliko ya mwaka Juzi hivyo natangaza rasmi Kuishabikia

River United FC ya sasa ni Bora kuliko ya mwaka Juzi hivyo natangaza rasmi Kuishabikia

Labda kwa Kuroga na Kununua Mechi au kwa Kuwahonga Wachezaji na Kamisaa kama tulivyofanya katika Mechi Tatu Nne za Kimataifa huku mkisaidiwa na Waandamizi Wawili kutoka TFF.
Leta hapa ushahidi otherwise wewe pia unaendelea ku prove umbumbumbu mlionao. Mnaleta habari zavijiweni na mnatumia nguvu kuhalalisha mbumbumbu wenzenu waamini.

Yanga hii sio ile tutawapiga mmesimama
View attachment 2577978
 
Tatizo ni huo ukweli unaoumiza.tunajipa moyo wana jangwani tunafika fainali
 
Rivers United ndio ilikuwa timu dhaifu kati ya zile 3. Labda km hufuatilii mbira na umekariri. Hebu nikumbushe ni lini mara ya mwisho kwa klabu ya Nigeria kufanya vizuri kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika?
Mkuu hivi uliangalia mechi ya Rivers United na Asec Mimosas?.

Rivers ni ya moto, Yanga inabidi kujipanga kweli kweli.
 
Nichukue nafasi hii kuipongeza River United kwa Kupangiwa na Mpinzani yoyote yule aliyepatikana na kuna Uwezekano aliyepangiwa nae akapigwa nyingi Nigeria na za kutosha pia Kwao na kutupwa kabisa nje na River United FC kwenda Nusu Fainali na hata kuwa Mabingwa.

Tutaelewana tu kuanzia hatua hii. Tumejitapa mno na wakati wa Kulia, Kulaumiana, Kumfukuza na Kumkataa Kocha huku tukichapana Bakora umewadia.

Kudadadeki....!!!!!!
Huna timu ya kushabikia Tanzania mpaka umeamua kwenda Nigeria
 
Nichukue nafasi hii kuipongeza River United kwa Kupangiwa na Mpinzani yoyote yule aliyepatikana na kuna Uwezekano aliyepangiwa nae akapigwa nyingi Nigeria na za kutosha pia Kwao na kutupwa kabisa nje na River United FC kwenda Nusu Fainali na hata kuwa Mabingwa.

Tutaelewana tu kuanzia hatua hii. Tumejitapa mno na wakati wa Kulia, Kulaumiana, Kumfukuza na Kumkataa Kocha huku tukichapana Bakora umewadia.

Kudadadeki....!!!!!!
Kudadadeki Mayele Mayele amekufanya vibaya angalia chup
 
Nichukue nafasi hii kuipongeza River United kwa Kupangiwa na Mpinzani yoyote yule aliyepatikana na kuna Uwezekano aliyepangiwa nae akapigwa nyingi Nigeria na za kutosha pia Kwao na kutupwa kabisa nje na River United FC kwenda Nusu Fainali na hata kuwa Mabingwa.

Tutaelewana tu kuanzia hatua hii. Tumejitapa mno na wakati wa Kulia, Kulaumiana, Kumfukuza na Kumkataa Kocha huku tukichapana Bakora umewadia.

Kudadadeki....!!!!!!
kakojoe ulale
 
Back
Top Bottom