Rivers United vs Young Africans(1-0) | CAFCL

RIVERS UNITED 1-0 YANGA

➡️ Bao hilo limetokana na beki Adeyum kuukosa mpira baada ya kuteleza na Rivers kuunasa mpira na kuingia nao ndani.

➡️ Yanga inazidi kushambuliwa kwa nguvu langoni kwao baada ya kuruhusu bao la kwanza
 
RIVERS UNITED 1-0 YANGA

Dakika ya 88 Yanga wanamtoa Adeyum Salehe anaingia Paul Boxer pia anatoka Feisal Salum anaingia Zawadi Mauya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…