Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini Ma Azam hayaoneshi? Huu ni uhuni sasaTupeane update hii mechi haioneshwina kituo chochote cha kurusha matangazo
=======
Mpira umeanza kati ya Rivers United na Yanga
Rivers United wamegoma isirushweKwa nini Ma Azam hayaoneshi? Huu ni uhuni sasa
Khaaa wao ndio wanaamua?Rivers United wamegoma isirushwe
Linalia Lia Kama ilivyo kawaida yake.😂😂🤣🤣
Hivi ndo yanga walienda hadi na tv kuonesha malalamiko yao nikumbushe mkuuLinalia Lia Kama ilivyo kawaida yake.
Azam wamenyimwa hiyo haki, sio kuonyesha tu hata kuutangaza redioni.Kwa nini Ma Azam hayaoneshi? Huu ni uhuni sasa
BadoHili gemu limekaa kibubu sana, mpaka muda huuhaieleweki mechi imeanza au bado
Ndio, kwa hatua ya awali (kabla ya makundi) mwenyeji ndio mwenye maamuzi juu ya haki ya matangazo.Khaaa wao ndio wanaamua?
Unaangalizia wapiDakika ya 13 Heritier Makambo alipoteza nafasi nzuri shuti lake Kali akiwa ndani la eneo la hatari kipa Sochima anapangua.
Huyu tunamjua ana elements za IranDakika ya 13 Heritier Makambo alipoteza nafasi nzuri shuti lake Kali akiwa ndani la eneo la hatari kipa Sochima anapangua.