Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Kutojua mpira wa africa tatizo sana hiyo enyimba inashiriki makundi shirikisho kila mwaka ,wakati yanga wanategemea simba ifanye vizuri wajaribu kucheza mechi mbili za kimataifa na kutoka ,ni sawa na kusema mazembe hakuna kitu wakati mazembe anatolewa robo fainal kila mwaka CLEnyimba ya siku hizi ni sawa na ihefu haina kitu ni vibonde kuliko hata yale magarasha ya plateau united