Kheri Particia angebaki na msimamo wake ule ule wa kutokugongwa nje... hivi kaanza kugongwa nje... atazea mwishowe kuharibu ndoa yake...
Cc:
mahondaw
Acha watu wagongane siku zisogee. Mwanamke ni chombo Cha starehe...kiumbe dhaifu
Themes Mpaka Sasa.
1. Usaliti wa kimapenzi. Hapa tunamuona Patricia akimsaliti mumewe Elvis na kugawa uroda kwa Dr. Steven
2. Usaliti wa kazi. Hapa tunamwona Frank na Pascal wakisaliti serikali yao kwasababu ya tamaa ya fedha na madaraka.
3. Tamaa. Hapa tunaona tamaa ya aina mbili ya fedha na madaraka. Frank na Pascal wakishirikiana na aliyekuwa waziri mkuu kutaka kupindua serikali iliyopo madarakani ili waweze kugawana madaraka.
4. Rushwa. Hapa tunamwona ndugu waziri wa zamani akiwapa rushwa wapizani ili kutekeleza dhima yao ya kuangusha serikali iliyopo madarakani.
5. Uzalendo. Hapa tunamwona ndugu Elvis alivyojitoa mwanga kuukomboa taifa kutokana na biashara haramu inafanywa na mkuu wa majeshi ndugu Frank wakisaidiana na Pascal
6. Ujasiri. Hapa tunawaona Granca, Eliza mfanya kazi wa Pascal na mama yake Granca. Pamoja na kuteswa lakini bado hawakuwa tayari kuongea ukweli kuhusu begi aliyoiba mke wa Frank na mkoba aliyookata Eliza mfanya kazi wa Pascal.
7. Mapenzi ya Dhati. Hapa tunamuona kijana mahiri Elvis kwa mpenzi wake Patricia. Pamoja na matizo makubwa ya mkewe bado anampenda kwa moyo wa pekee.
8. Biashara haramu ya kuuza silaa za kivita. Hapa yupo Mr Pascal, Frank, Deusdedith
9.Mwanamke ametumika Kama chombo Cha starehe. Hapa tunamwona kahaba Vick anavyotumia mwili wake kustarehesha wanaume ili kujipatia fedha nyingi. Na mke wa Elvis - Patricia alivyogawa uroda kwa Dr. Steven
Hongezea nyingine.