HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
- Thread starter
- #1,061
AsanteUbarikiwe kwa kuwa mwaminifu kwa kuileta story hii hapa bila kuchoka lkn pia pole kwa makwazo yaliyojitokeza kutoka wanajf wachache, thank you so much!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteUbarikiwe kwa kuwa mwaminifu kwa kuileta story hii hapa bila kuchoka lkn pia pole kwa makwazo yaliyojitokeza kutoka wanajf wachache, thank you so much!
Asante kulubule barikiwa mpaka ushangaeNashukuru wote tulio kuwa pamoja nawale walio nitumia vocha pindi nilipo kosa mb nawashukuru pia wale ambao tulikwazana kwa namna yoyote tusameheane hatimae tumemaliza salama kesho jioni tutaanza Riwaya nyingine
Kwahisani ya Tumosa nawaaga byeee
Sawa mkuuNashukuru wote tulio kuwa pamoja nawale walio nitumia vocha pindi nilipo kosa mb nawashukuru pia wale ambao tulikwazana kwa namna yoyote tusameheane hatimae tumemaliza salama kesho jioni tutaanza Riwaya nyingine
Kwahisani ya Tumosa nawaaga byeee
Kwaniaba ya wenzangu wote napenda kukushukuru sana Kulubule, umeleta story nzuri sana na yenye mafunzo mengi mazito yanayohusu Upendo, uaminifu, uzalendo, uadilifu na utu.Nashukuru wote tulio kuwa pamoja nawale walio nitumia vocha pindi nilipo kosa mb nawashukuru pia wale ambao tulikwazana kwa namna yoyote tusameheane hatimae tumemaliza salama kesho jioni tutaanza Riwaya nyingine
Kwahisani ya Tumosa nawaaga byeee
Asante sanaKwaniaba ya wenzangu wote napenda kukushukuru sana Kulubule, umeleta story nzuri sana na yenye mafunzo mengi mazito yanayohusu Upendo, uaminifu, uzalendo, uadilifu na utu.
Pili flow yako ilikuwa nzuri sana. Hukuwa unakawia kuleta, almost kila Siku umeshusha episode, hali hiyo imeleta burudani kubwa.
Mwisho nikutakia Kheri, maisha mema, ubarikiwe kwakutoa muda, akili na Mali zako ili tu ukamilishe mtiririko mzuri wa story hii. Asante kwa mtunzi na mwandishi, asante kwa Tumosa, mchango wangu siyo haba mama.
[emoji3] [emoji3] [emoji4] we tater sio kbsDokta atajipigia sana Patricia kipindi hiki cha maombolezo ya kifo cha Elvis....
Kulubule naomba unitagiRiwaya.THE FOOTBALL - JamiiForums tuendelee huku sasa
HayaTuliza mshono... Soma ili ujue marehemu anaandikaje....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee wa totoz tena achelewe
Iki ktoto n kis**ngeWakina Elvis wakimpata tena Winnie, wamkabid Steve amkamue atakua na Ny***g c bure
Wee jamaa ni nyoko kwelikweli.Ubarikiwe sana kwa kazi iliyotukukaRiwaya.THE FOOTBALL - JamiiForums tuendelee huku sasa