Riwaya: I died to save my President

Bila kusahau Jamvi la the Football limefunguliwa na kunakucha tyu mambo yameanza kuwa motooooooooooooo, huu mperampera wa the football ni hatareeeeeeeeeeeeeeee…..karibuni kwenye jamvi jipyaaaaaaaaa
 
Mwenyezi mungu azidi kuibariki kazi ya mikono yako,hakika tumejifunza mengi kupitia riwaya hii.byeeee
 


Naitwa Patrick Ck mwandishi wa simulizi mbali mbali kama vile
MISS TANZANIA
SERENA
BEYOND PAIN
BEFORE I DIE
PENIELA
THE FOOTBALL
QUEEN MONICA
I DIED TO SAVE PRESIDENT
I WAS WRONG
TEN CHAPTERS
BRING BACK OUR GIRLS
KIAPO CHA JASUSI
KIKOSI CHA SIRI
Kumekuwa na matumizi mabaya ya baadhi ya riwaya zangu hapa katika jukwa letu.Riwaya kama The football,I died to save president ,Miss Tanzania zimekuwa zinarushwa humu JF bila ruhusa yangu.Tabia hii si nzuri na inakatisha tamaa wandishi ambao wanaumiza vichwa vyao kutunga hadithi na kuburudisha wasomaji lakini anatokea mtu na kuanza kutumia kazi bila ridhaa ya mwandishi.Ninatoa onyo kwa wale wenye kuendelea na mchezo huu wa kutumia riwaya za watu bila ruhusa tayari wanasheria wanalishughulikia suala hili na hatua stahiki zitachukuliwa kwa yeyote asiyeheshimu kazi za watu
 
RIP Vicky, dah kama Penny huyu anapeleleza kwa kutumia kizuri chake
 
Hii imekaaje
 
Shukrani sana mkuu kwa uaminifu wako na kwa kutupa burudani hii maridadi
 
ewaa ..mambo ndio haya sasa ... Utaniua wewe mwanamke ujue ".. nitapata hata muda wa kufanya mambo mengine kweli "... ngoja nikitoka job nipite nayo hii ... Asante
hata sikuui unasoma nusu nusu upatapo muda
 
Safi sana...

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.. haya sasa Patricia ndiyo kashajiingiza kwenye mapenzi na Godson... na mpaka kuliwa kaliwa...

Inaonekana ataajingiza pia kwa Elvis...


Cc: mahondaw
kanishangaza sana" Yaani kujifanya kuwa mgumu kote kule but kaja kuliwa kiulaini ' kumbe na yeye beki hazikabi tu hana lolote"..... mwanaume mkware kama godson alipaswa kujiweka nae mbali mnoo
 
Hahaha mtu kaliwa
hahaa mabazazi ni watu hatari sana" tena kaliwa siku ya ceremony huku bimkubwa wake akiwa nje na kadamnasi ya watu kibao".. ama kweli nyege sio chakula
 
lmfao " Mafisi kweli sio watu wazuri mamaee ".. god girl already gone bad
 
Jamani msipige kelele nasoma hadithii hii tamu kwa umakiniiii😁😁😁
 
when it comes suala la kugongwa Patricia siku zote huwa analiwa kiboya sana" kumbuka alivyotelewa bikira", huyu demu inaonekana ana tabia kama za wema sepetu'' beki zake hazikabi kabisa Aisee
 
Daah.... Mambo yanakua magumu kwa Elvis, huku anatakiwa kuuwawa kule anagongewa mkewe....
haahaa unaweza pata kichaa" lakini nayeye si ameshalipiza kwa Doreen " kwa hiyo ngoma draw ..mbwa kala mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…