Riwaya: I died to save my President

Riwaya: I died to save my President

Cha mchana muhimu sana vinginevyo kuna watu tunapata tabu sana
 
I DIED TO SAVE MY PRESDENT

Sehemu 5


Elvis Tarimo alikuwa amejilaza
kitandani chumbani kwake baada
ya chakula cha usiku.Mkononi
mwake alikuwa ameshika kipande
cha gazeti lenye picha ambayo
alikuwa akiitazama huku
akitabasamu.Picha ile ilipigwa
siku ya sherehe ya kuwapongeza
iliyofanyika Dodoma.Katika picha
ile Elvis alionekana akiwa pembeni
ya Patricia .
“ Naona siku haziendi ili shule
zifunguliwe nimuone tena
Patricia.Toka nlipokutana naye
Dodoma sura yake imekuwa
ikikitawala kichwa
changu.Napatwa na hisia na
msisimko wa aina yake kila
nikimkumbuka.”
“ Akawaza Elvis halafu
akaitazama tena picha ile katika
gazeti
“Patricia ni msichana mwenye
sifa zote.Amebarikiwa kuwa na
uzuri wa kipekee kabisa.Najiona ni mtu mwenye bahati sana
kusimama pembeni ya msichana
kama huyu.”
Elvis akaliweka pembeni gazeti
lile akainuka na kuegemea kabati
la nguo
“ Siku zote mama amekuwa
akinionya sana kuhusu
kujihusisha na masuala ya
mapenzi wakati ninasoma lakini
toka nilipokutana na Patricia
najisihi siwezi tena kuzizuia hisia
zangu za mapenzi.Nahisi kupenda
Patricia.Nimekutana na wasichana
wengi wazuri na wanaotoka katika
familia bora lakini sijaona hata
mmoja anayeweza kumfikia
Patricia kwa sifa.Siwezi kuendelea
kujizuia tena kwa Patricia.Tayari
amekwisha niingia moyoni na
siwezi kumtoa tena” akawaza
David
“Nimempenda sana Patricia na
kwa hili siwezi kuendelea
kubishana na moyo wangu.This is my first time to fall in love.I’m
deeply in love” akasema Elvis kwa
sauti ndogo
“ Sina hakika kama patricia
anatambua uzuri alio nao.Laiti
angejua kwamba ana uzuri wa
asili usioelezeka angekuwa ni
msichana mwenye majivuno sana
lakini yeye hayuko hivyo.Ni
msichana mcheshi,hana maringo
na mwenye adabu.Mama yake
anastahili sifa kubwa kwa namna
alivyomlea na kumfanya awe na
tabia hii njema.Kwa wasichana wa
umri wake wenye uzuri na akili
kama yake,mara nyingi wanakuwa
katika hatari kubwa ya kuanguka
vishawishini lakini Patricia yuko
tofauti.Anaonekana ni msichana
ambaye anajitambua mwenye
msimamo na hadanganyiki
kirahisi.Ninafahamu nitakumbana
na kigingi kikubwa lakini sikati
tama.Nitambana na kuhakikisha
Patricia anakuwa mpenzi wangu.Hata kama itanigharimu
sehemu kubwa ya maisha yangu
niko tayari kusubiri hadi pale
Patricia atakapokubali kuwa
wangu.I’ll never give up.I’ll die
trying” akawaza Elvis na kushika
tena kile kipande cha gazeti
akaitazama picha ile kubwa
iliyokuwa mbele na kutabasamu
“ Kokote uliko Patricia
ninakupeda zaidi ya ninavyoweza
kukueleza.I’m dying to see you”
akasema Elvis
*******************

Juliana na mdogo wake
Godson walikuwa garini wakirejea
nyubani baada ya kumrejesha
Patricia kwao.Safari yao ilikuwa ya
kimya kimya.Godson aliyekuwa
amekaa pembeni ya Juliana akamtazama dada yake halafu
akakohoa kidogo na kusema
“ Big sister,I’m sorry.Najua
umechukia kwa kitendo cha
kuingia chumbani kwako bila
ruhusa .I’m so sorry for that”
akasema Godson
“Kwa nini ulifanya vile Godson?
Kwa nini uliingia chumbani
kwangu bila ruhusa yangu?
Akauliza Juliana
“ Sister najua
umechukia.Tafadhali naomba
unisamehe.It wont happen again.I
did that because …..because…”
Godson akasita
“ Because of what? Akauliza
Juliana
“ Because I wanted to see
Patricia” akasema Godson na
kumfanya Juliana acheke kidogo
“ wewe ni mtundu sana.Kwa
nini ulitaka kumuona Patricia
wakati muda wa
haujawadia?Ulijuaje kama yuko chumbani kwangu wakati
nimemuingiza kwa kificho?
“ Nilikuwa bustanini wakati
unashuka garini.Nilistuka sana
nilipomuona Patricia japo nilikuwa
mbali.Niliamua kumfuata kule
chumbani ili nikahakikishe kama
nilichokiona ni cha kweli au
macho yangu yalinidanganya.”
Juliana akacheka kidogo na
kusema
“ Kwani Patricia yukoje?
“ Ouh Big sister,Patricia
amebarikiwa uzuri
usioelezeka.Nimekutanana
wasichana wengi tofauti tofauti
lakini sijawahi kukutana wa aina
ya Patricia.That girl is so hot”
akasema Godson.Juliana
akatabasamu akapunguza
mwendo wa gari na kusema
“ Kwa hilo hata mimi
nakubali.Patricia ni msichana
mrembo sana.Ana uzuri wa
asili.Anafaa sana kuwamwanamitindo.Nina imani iwapo
angekuwa mwanamitindo
angekuwa maarufu sana”
“ Kwa nini usimshauri aingie
katika fani hii ya mitindo na
urembo? Akauliza Godson
“Hapana Godson.Patricia ni
msichana mwenye malengo mengi
ya maisha yake.Anatakiwa
kuelekeza akili na nguvu zake zote
katika masomo.Ndoto yake kubwa
ni kuiondoa familia yake katika
umasikini mkubwa walionao na
ndiyo maana anasoma kwa bidii
kubwa.Halafu aliniambia kwamba
unataka kumfundisha kompyuta?
“ Ndiyo .Anapenda kujua
kompyuta na nina imani
itamsaidia sana katika masomo
yake.” Akasema Godson na
kuinama .Kuna kitu alikuwa
anawaza
“ Unawaza nini? Akauliza
Juliana Big sister kuna kitu nataka
nikwambie lakini tafadhali
naomba usichukie”
“ Kitu gani hicho Godson?
“Ni kuhusu Patricia”
“ Patricia ?!! akauliza Juliana
“ Ndiyo Sister”
“ Patricia kafanya nini tena?
Godson akavuta pumzi ndefu na
kusema
“ I don’t know how to say it but
the truth is….” Akasema Godson
na kusita kidogo
“ Godson una tatizo gani?
Akuliza Juliana
“ Juliana wewe ni dada yangu
na siwezi kukuficha jambo
lolote.Ukweli ni kwamba
nimetokea kuvutiwa sana na
Patricia na nd……” Kabla
hajaendelea Juliana akamkatisha
“ Stop it right there
Godson.Tafadhali naomba futa
kabisa mawazo yako kuhusiana na Patricia.I wont allow you this
time” akasema Juliana
“ Big sister najua unafahamu
mambo yangu mengi lakini yote
hayo yamekwisha
pita.Nimeshakua sasa na
nimeachana na yale mambo ya
zamani.”
“ Vyovyote utakavyosema
Godson sikubaliani nawe hata
kidogo.You are a player and a
liar.Unawaumiza watoto wa watu
kwa ulaghai wako.Unaitumia sura
yako nzuri inayopendwa na
wasichana kuwalaghai na
kuwaumiza mioyo yao.Siwezi
kuruhusu ufanye ulaghai wako
kwa Patricia” akasema Juliana
“ Sikiliza big Sister…” akasema
Godson lakini Juliana hakutaka
kumpa nafasi ya kusema chochote
“ Godson this conversation is
over.Tutaongea tukifika
nyumbani” akasema Juliana
akionekana kukasirika.Safari ikaendelea kimya kimya hadi
walipofika nyumbani.Wakashuka
garini na kungia ndani.
“ Big sister hatukumaliza
mjadala wetu ndani ya
gari.Tafadhali naomba unipe na
mimi nafasi unisikilize
ninachotaka kukisema’ akasema
Godson
“ Godson forget about
Patricia.Sitaki umguse.Ana ndoto
nyingi sana maishani mwake na
sitaki uyaharibu aisha yake.Stay
far away from her” akafoka
Juliana
“Sister naelewa hofu yako lakini
naomba nikiri kwamba ni kweli
hapo awali nilikuwa na tabia
chafu .Sikuwa na mapenzi na
msichana yeyote yule japokuwa
wengi wa wasichana niliokuwa nao
walikuwa wakinipenda kwa dhati
ya mioyo yao.Niliwadanganya
kwamba ninawapenda ili niweze
kuwapata tu na baadae niliwaachawakiteseka.Ule ulikuwa ni utoto
lakini kwa sasa nimekwisha kuwa
mkubwa.Soon I’ll get a job and
start my new life so I need
someone I can love with all my
heart and that someone is Patrcia”
“ Godson ishia hapo hapo.Tafuta
msichana mwingine
utakayemchezea lakini si
Patricia.Siwezi kusahau
ulivyowatesa
Penina,Pendo,Salma,Agatha,Maria
mu,Agnes na Salome.Hawa ndio
wale niliowashuhudia wakimwaga
machozi kwa namna
ulivyowatenda.Wengine walidiriki
kufuamaniana na kupigana humu
humu ndani.Tabia kama zile
wafanyie wasichana wengine lakini
si Patricia.Kama huna lingine la
kusema this conversation is over.I
need to sleep” akasema Juliana na
kuanza kuondoka
“ Please Juliana don’t
go.Naomba unisikilize na unielewe.Nahitaji msaada
wako.I’m changed now.Toka
nimerudi Marekani hakuna
msichana yeyote ambaye
umemuona nimemleta humu
ndani.Hii ni dalili tosha ya
kuonyesha kwamba
nimebadilika.I’m not the same
Godson of three years ago.For the
first time in my life I feel
love.Nimetokea kuvutiwa sana na
Patricia .Please sister don’t let me
down .Nisaidie nimpate Patricia.”
Akasema Godson
“ Godson No ! Sitaki upuuzi
wowote kwa Patricia.Ni binti
mwenye kujiheshimu ,mwenye
ndoto na malengo makubwa
katika maisha yake.Stay far away
from her” akasema Juliana
“ Ok Big sister .Najua hutaki
kuniona nikiwa na Patricia lakini
naomba ujue kwamba Patricia
ndiye mwanamke ninayempenda
na nitafanya kila niwezalo nimpate.I think you understand
when I say I’ll do anything”
akasema Godson na kumstua
Juliana
“ Godson please sina nia ya
kutaka usiwe na Patricia lakini
binti Yule bado anasoma.Kama
kweli unampenda Patricia muache
amalize shule kwanza.Ukimuingiza
katika masuala ya mapenzi kwa
sasa hivi
utakuwaunamchanganya na
kumfanya apoteze mwelekeo”
akasema Juliana
“ Juliana sina lengo la
kumuharibia Patricia maisha
yake.I love her and I want her to
be my girlfriend.I love her not
because of sex but just because I
want to be with her “ akasema
Godson.Juliana akamuangalia
kwa makini na kusema
“ Kama ndiyo hivyo go and tell
her that you love her” akasema
Juliana Its not that simple big sister”
akasema Godson
“ So what do you want me to do?
“ I need details of her,like what
she likes…etc”
Juliana akainama akafikiri na
kusema
“ Next Saturday is her
birthday.Suprise her” akasema
Juliana na kuelekea chumbani
kwake
“ Godson akidhamiria kitu
lazima atakipata tu.Kama
amedhamiria kumpata Patricia
basi ni lazima atafanya kila
awezalo hadi ahakikishe
amempata.Siwezi kumzuia kwani
inaonekana amempenda Patricia
sana.Pamoja na hayo lazima niwe
makini sana ili asije akamuharibia
mtoto wa watu muelekeo
wake.Namfahamu vizuri Godson
he’s a player”
******************** Siku ya Jumatatu ilianza kwa
Patricia kufuatwa nyumbani na
Godson kisha wakaelekea
nyumbani kwa akina Juliana kwa
ajili ya kuanza rasmi mafunzo ya
kompyuta.Godson alijtahidi
kutumia kila aina ya utaalam ili
kumfanya Patricia aifahamu
kompyuta ndani ya kipindi
kifupi.Patricia alikuwa mwepesi na
alielewa kwa haraka sana
Wakati somo likiendelea Godson
alikuwa akijitahidi kupenyeza
utani wa hapa na pale lengo likiwa
ni kutaka kumzoea Patricia.
Patricia alikuwa ni msichana
mcheshi sana na alijibu vizuri na
kwa ufasaha kila alichoulizwa na
Godson.Kuna nyakati ilibidi somo
lisimame na kuyapisha maongezi
yachukue nafasi.Ndani ya kipndi
kifupi wote wawili walijikuta
wakizoeana sana.Godson
alimuuliza Patricia mambo mengi kuhusiana na maisha yake naye
alimjibu bila kumficha kitu
chochote. Patricia aliendelea
kujifunza kompyuta kwa bidii
kubwa.
Ilikuwa ni siku ya alhamisi
baada ya kumrejesha Patricia
nyumbani,Godson alikuwa na
maongezi na dada yake Juliana
“ Mnaendeleaje na somo la
kompyuta? Patricia anaelewa?
Akaanzisha maongezi Juliana
“ Juliana naomba nikiri kwamba
katika muda huu mchache
niliokaa karibu na Patricia
nimegundua vitu vingi.Patricia ni
msichana wa ajabu kwani ana
akili ya kiwango cha juu
mno.Huwezi amni ndani ya kipndi
hiki kifupi Patricia ameweza
kutumia kompyuta kama mtu
ambaye amejifunza kwa muda
mrefu.Hata mimi mwenyewe
ninapomfundisha huwa makini
sana kwani mara nyingi huwa ananikosoa ninapokosea.Pamoja
na hayo yote lakini kuna jambo
nataka kukwambia”
“ Jambo gani Godson?
“ I want to make a surprise
party for her on her birthday.I
need your help” akasema Godson
“ Unataka nikusaidie nini
Godson? Akauliza Juliana.
“ Nataka unisaidie namna ya
kuandaa pati hiyo ndogo.Sina
uzoefu wowote wa kuandaa vitu
kama hivi so I real need your help”
Juliana akainama akafikiri na
kusema
“Ok ! I’ll help you but in one
condition” akasema Juliana
“ Naomba unihakikishie
kwamba endapo itatokea Patricia
akaridhia ombi lako la kutaka
muwe wapenzi ,hautamshawishi
mfanye vitendo vya ngono hadi
hapo atakapokuwa amemaliza
masomo yake.Can you promise me
that? Akauliza Juliana Big sister I give you my word.”
“Ok I’ll help you but don’t break
your promise” akasisitiza Juliana
******************
 
I DIED TO SAVE MY PRESDENT

Sehemu 6

Ni Patricia pekee ambaye
hakuwa na ufahamu wa
kilichokuwa kinaendelea
kuhusiana na sherehe ya siri ya
siku yake ya kuzaliwa iliyokuwa
ikiandaliwa na Godson
akishirikiana na dda yake.Mama
yake alikwisha fahamishwa na
Juliana kuhusu
kinachoendelea.Toka amezaliwa
Patricia hakuwahi kufanya
sherehe ya kukumbuka siku yake
ya kuzaliwa.Sherehe hii ingekuwa
ni ya kwanza katika maisha yake.
Siku ya Jumamosi ilianza vizuri
na Patricia aliendelea na kazi ya kufua nguo.Hakuwa na habari
yoyote kuhusiana na siku yake ya
kuzaliwa na wala haikuwa siku
muhimu kwake na ndiyo maana
hakuwa hata na kumbu kumbu
yoyote kwamba siku hiyo ndiyo
siku aliyoingia duniani.
Ilipotimu saa tisa za alasiri bi
Doroth akamwambia Patricia
asitishe shughuli zote alizokuwa
akifanya na ajiandae kwani
Juliana angekuja kuwachukua
kuna mahala wanakwenda jioni ya
siku hiyo.Bila kuuliza chochote
Patricia akaoga na kuvaa
vizuri.Wakati akiendelea
kujiandaa mama yake akaingia
mle chumbani na kujikuta
akitabasamu
“Mbona unatabasamu mama?
Nimefurahi kwa namna
ulivyopendeza leo.Mwanangu
hakuna nguo inayokukaa
vibaya.Mwili wako unakubali kila
aina ya nguo.” Akasema mamayake Patricia halafu naye akaanza
kujiandaa.Patricia alijaribu
kumdadisi mama yake ni wapi
walikuwa wakielekea lakini
hakupewa jibu la uhakika
Saa kumi na mbili za jioni
Juliana akafika na kuwachukua
wakaelekea moja kwa moja
nyumbani kwao.
“ Patricia utabaki hapa
nyumbani na Godson .Mimi na
mama tunakwenda sehemu Fulani
muhimu.Godson atakuchukua
katika gari na mtatoka kwenda
kupata chakula cha usiku sehemu
yoyote utakayopenda.” Akasema
Juliana halafu yeye na bi Doroth
wakaendelea na safari yao
“ Patricia hatuna sababu ya
kuendelea kukaa hapa .Twende
tuingie garini tukatafute mahala
pazuri tukae tupate chakula cha
usiku.”Akasema Godson na
kuingia ndani akachukua funguo
za gari halafu nao wakaondoka. Tunalekea wapi Godson?
Akauliza Patricia.
“ Tunaenda matembezini.Kuna
sehemu ambayo umekuwa ukiiota
na ungependa kuingia? Kama ipo
basi leo niambie nitakupeleka.”
Akasema Godson na kumfanya
Patricia atabasamu
“ Godson muda mwingi wa
maisha yangu ninautumia kwa
kusoma kwa hiyo sifahamu
chochote kuhusiana na starehe
wala sehemu za burudani.Nina
ndoto nyingi sana za maisha
yangu “ akasema Patricia
“ Patricia wewe ni msichana wa
aina yake kabisa.Wasichana wengi
wa umri wako wenye uzuri kama
wako wamejikuta wakitumbukia
katika anasa na starehe na
kusahau malengo yao.Wewe uko
tofauti kabisa.Hongera sana kwa
msimamo wako usioyumba”
akasema Godson Nakubaliana nawe
Godson,wengi wa wasichana
wanaingia katika tamaa na
kushawishiwa kuingia katika tabia
zisizofaa na hatimaye hujikuta
wakipoteza kabisa
mwelekeo.Sikatai hata mimi
nakutana na vishawishi vingi sana
lakini najitahidi kuvishinda vyote
na kuelekeza akili yangu katika
ndoto zangu.Najikubali kwamba
nimetokea katika familia masikini
na ninayakubali maisha yangu
kwa hiyo siko tayari kurubuniwa
na mtu eti kwa kigezo cha
umasikini wangu.Nnaamini
endapo nitajitahidi kusoma kwa
bidii siku moja nitaachana
naumasikini .Nitakuwa na maisha
mazuri” akasema Patricia
“ Patricia mwanaume
atakayekuoa atakuwa na bahati
sana kuliko wanaume wote wa
dunia hii” akasema Godson na kumfanya Patricia acheke kwa
nguvu
“ Umenifurahisha sana
Godson.Suala la kuolewa ni suala
la mwisho kabisa na hata katika
akili yangu halipo kwa sasa”
“ Vipi kuhusu boyfriend?
Akauliza Godson.Patricia
akatabasmau na kusema
“ Kama unamaanisha
mpenzi,jibu ni sina lakini kama
unamaanisha marafiki wa kawaida
wa kiume ninao wengi sana na
mmoja wao ni wewe” akasma
Patricia na kumfanya Godson
acheke kidogo.
“ Patricia samahani kuna kitu
nataka kukuuliza”
“ Bila samahani Godson”
akajibu Patricia
“ Have you ever fall in love?
“ What ? akauliza Patricia kana
kwamba hakusikia alichoulizwa Nimekuuliza kwamba
umeshawahi kumpenda mvulana
yeyote ?
Patricia akatabasamu na
kusema
“ Hapana sijawahi.Hicho ni kitu
ambacho ninakikwepa sana lakini
nina uhakika muda utakapofika
nitajikuta siwezi tena kujizuia na
nitampenda tu kijana mmoja
kwani hata mimi ni binadamu
mwenye hisia kama
wengine.Ninaomba sana
nitakapoanguka mapenzini iwe ni
wakati nimekwishamaliza
masomo.Sitaki kuchanganya
mambo kwa sasa” akasema
Patricia
“Ahsante Patricia kwa kuwa
muwazi na mkweli” akasema
Godson
“ What about you? Are you in
love with someone? Akauliza
Patricia Patricia kwa kuwa umekuwa
muwazi kwangu naomba na mimi
niwe muwazi kwako.Ni kweli
nimewahi kuzama mapenzini na
wasichana kadhaa lakini
niligundua kwamba hawakuwa ni
wa wa saizi yangu”
“Nini kilitokea? Were they from
poor family?
“ Hapana si hivyo.Kila
niliyekutana naye nilijikuta moyo
wangu unakataa kuendelea
naye.Sikufanikiwa kumpata Yule
ambaye ataufanya moyo wangu
ubadili mapigo yake .Wengi wao
walinipenda kwa sababu nimetoka
katika familia inayojiweza
kiuchumi na si kwa mapenzi ya
kweli toka moyoni.Kwa hivi sasa
kuna msichana mmoja
ananinyima usingizi kabisa.Akili
yangu yote ipo kwake .Kila
nimuonapo mapigo ya moyo
wangu hubadilika.I love this
woman with all my heart” akasema Godson.Patricia akanyamaza
akameza mate na kusema
“ Umeshamueleza huyo
msichana ukweli wa moyo wako?
“ Hapana bado sijamueleza na
hafahamu chochote”
“ Unasubiri nini kumueleza.Go
and tell her the truth.Pengine naye
anakupenda pia”
“ Its not that’simple Patricia.But
I’m waiting for the right time to
tell her the truth and I hope she’ll
understand me.Akasema Godson
kisha akawasha indiketa ya
kushoto kuashiria kwamba
anataka kuingia katika hoteli moja
tulivu ijulikanayo kama Ruby
hotel
“ Twende tuingie hapa Ruby
hotel tukapate chakula cha usiku
halafu turejee nyumbani
tukawasubiri akina Juliana”
akasma Godson akaegesha gari
wakashuka na kuinghia hotelini
wakachukua meza halafu Godson akainuka na kumwambia Patricia
kwamba amsubiri hapo hapo
kwani anakwenda
maliwatoni.Patricia alikuwa na
wasi wasi mwingi kwani ilikuw
ani mara yake ya kwanza kuingia
katika hoteli kuwa na tulivu kama
ile.Godson alizunguka nyuma ya
hoteli akatoa simu na kuwasiliana
na Juliana akamfahamisha
kwamba tayari wamekwisha
fika.Juliana akampa maelekezo
yote ya namna ya kufanya halafu
Godson akarejea mezani
alikomuacha Patricia
“ Patricia nimepata meza nzuri
zaidi huko ndani.Twende tuhame
hapa” akasema Godson.Patricia
akainuka na kumfuata Godson
wakatembea kuelekea ndani zaidi
ya hoteli.Wengi wa watu
waliokuwamo humu hotelini
walitoka mataifa ya kigeni
Walifika katika mlango mmoja
uliokuwa na kibao Masama hall.Godson akakiminya kitasa
cha mlango ukafunguka akaingia
ndani.Kulikuwa na giza
“ Godson mbona kuna giza ?
Huku ndiko tuendako? Akauliza
Patricia kwa wasi wasi akiwa
amesimama nje ya mlango
“ Usihofu Patricia hii ni njia tu
ya kupita.Tafadhali usiogope.”
Akasema Godson na kumshika
Patricia mkono akamuingiza
ndani
“Godson unanipeleka wapi?
Akauliza Patricia kwa uoga na
ghafla taa zikawaka na ukumbi
wote ukawa mweupe.Nusura
Patricia aanguke kwa
mstuko.Mwili wote ulikuwa
unamtetemeka kwa
alichokiona.Alitamani kuamini
kwamba ilikuwa ni ndioto lakini
haikuwa hivyo.Kilichokuwa mbele
yake ni kitu cha kweli kabisa
“ Happy birthday Patricia ..!!!!!!! Sauti za watu waliokuwemo mle
ukumbini zikasikika.Patricia
alishindwa kuongea midomo
ilikuwa inamtetemeka .Macho
yake yaliloa machozi.Akahisi
miguu inamuisha nguvu akakaa
chini.Wote waliokuwemo
ukumbini wakaendelea kupiga
makofi na kushangilia kwa nguvu
Juliana akamfuata akamshika
mkono akamuinua na
kumkumbatia
“ happy birthday Patricia”
Patricia hakujibu kitu.Alishindwa
kuongea akaaendelea
kulia.Juliana akachukua
kitambaa na kumfuta machozi
“ Nyamaza kulia Patricia.Today
is your very big day.Smile and
don’t cry” akasema Juliana
“Dada Juliana ..nashindwa cha
kusema.Nimekosa neno la
kusema”akasema Patricia na
kuendelea kulia.Juliana akamshika mkono na kumtoa nje
ya ukumbi
“ Patricia nyamaza usilie.Leo ni
siku yako kubwa sana .Futa
machozi” akasema Juliana
“ Dada Juliana kwa nini
hukuniambia kama kuna sherehe
umeiandaa?
“ Hii ni surprise party
Patricia.Ameiandaa Godson kwa
ajili yako”
Patricia akajikuta akiendelea
kulia
“ Usilie Patricia.Just
relax.Endelea kutabasamu
“ Nashindwa kujizuia kulia dada
Juliana.Sijawahi hata mara moja
kukumbuka siku yangu ya
kuzaliwa.Hii ni mara ya kwanza
katika maisha yangu.”
“ Basi usiendele kulia Patricia.”
Akasema Juliana na kuingia tena
ukumbini akachukua pochi yake
kubwa na kutoka akamfuataPatricia akatoa mkebe wa poda na
kuanza kumremba
“Don’t drop any tears
again.You’ll ruin your make up”
akasema Juliana.Uso wa Patricia
ulikuwa unang’aa sasa.Juliana
akamshika mkono akamuingiza
tena ukumbini.Watu wote
wakashangilia kwa nguvu.Mama
yake Patricia akamsogelea
wakakumbatiana kwa furaha
“ Hongera Patricia” akasema
Patricia hakujibu kitu zaidi ya
kumkumbatia mama yake kwa
nguvu.Watu mbali mbali
waliohudhuria sherehe ile
wakampongeza Patricia kwa
kutimiza umri wa miaka kumi na
sita.Ilikuwa ni sherehe ndogo
lakini iliyofana sana.

******************
Inakaribia saa tisa za usiku
lakini bado Patricia hakuwa hata na chembe ya usingizi.Kitendo kile
cha kufanyiwa sherehe ya
kukumbuka siku ya kuzaliwa
kiliendelea kujirudia
kichwani.Alikumbuka namna
alivyostuka baada ya taa
kuwashwa na watu
wakashangilia.Akahisi msisimko
wa aina yake.
“Kwa nini Godson amenifanyia
sherehe ile .Do I deserve such a
surprise? Akajiuliza Patricia halafu
akainuka na kukaa
“ Sielewi kwa nini ameamua
kunifanyia jambo kubwa kama
hili.Godson ana roho nzuri kama
ya dada yake Juliana ambaye toka
amefahamiana na sisi amekuwa
akitusaidia katika mambo mengi
sana.Nina deni kubwa la kuwalipa
kwa wema wao mkubwa kwetu”
akawaza Patricia na sura ya
Godson ikamjia kichwani akazidi
kutabsamu Kuna kitu nimekiona cha
tofauti sana.Toka nilipokutana na
Godson na kuwa karibu naye
ninahisi kuwa na furaha ya
ajabu.He makes me
happy.Ninapokuwa karibu yake
nahisi kama vile nina uwezo na
nguvu ya kufanya jambo lolote..”
akawaza Patricia halafu akajilaza
kitandani
“I’ve never felt this way
before.Sijawahi katika maisha
yangu yote kuwa na furaha kama
ninayoisikia sasa baada ya
kukutana na Juliana na
Godson.He’s so sweet” akaendelea
kuwaza huku sura ya Godson
ikiendelea kujirudia kichwani
kwake
“ Sura ya Godson haifutiki
kichwani.Kila dakika ni yeye tu
ninayemuwaza.Nahisi kama akili
yangu haitaki kuwaza kitu kingine
zaidi ya sura ya Godson.Ouh gosh
Godson anaanza kuniingia taratibu moyoni mwangu.Ameanza
kuziteka fikra zangu” akainuka na
kuelekea msalani
“Mungu wangu naomba
unisaidie niweze kulishinda jaribu
hili kubwa na gumu .Godson
anazidi kuniingia katika ubongo
wangu.Najihisi kuanza kumpenda
kwa nguvu sana na nina wasi wasi
ninaweza nikajikuta nimeanguka
mapenzini.” Patricia akaomba
kimya kimya
“ Siwezi kubishana na moyo
wangu kwamba tayari nimeanza
kumpenda Godson.Sijawahi kuwa
na hisia kama hizi hapo kabla kwa
mvulana yeyote Yule.Ouh No ! I
have to control my feelings
now.Siwezi kuendelea kumuwaza
Godson kiasi hiki”
Ulikuwa ni usiku mrefu sana
kwa Patricia.Mawazo mengi
yaliendelea kumuandama na
kumfanya akose kabisa usingizi *******************
Siku zilienda kwa kasi kubwa
na hatimaye muda wa Patricia
kuondoka kuelekea shuleni
ukawadia.Siku iliyotangulia siku
ya kuondoka kwake alifika
nyumbani kwa akina Juliana kwa
ajili ya kuwaaga.Saa nne asubuhi
ilimkuta Patricia ndani ya jumba
hili kubwa ambalo kwa wiki
kadhaa amekuwa akifika hapa
karibu kila siku kwa ajili ya
kujifunza kompyuta.Juliana
hakuwepo nyumbani alikuwa
ametoka asubuhi sana kuwahi
miadi yake muhimu ya
kibiashara.Pale nyumbani
alikuwepo Godson peke yake.Sura
ya Patricia ilionyesha mshangao
baada ya kumkuta Godson akiwa
katika hali isiyo ya kawaida.
“ Godson unaumwa? Akauliza Hapana Patricia.Usiku wa
kuamkia leo sikuweza kabisa
kupata usingizi”
“ Pole sana.Una tatizo lolote
lililokufanya ukakosa usingizi?
“ Ndiyo lakini si tatizo kubwa.Ni
mawazo tu ndiyo yananisumbua”
“ Mawazo gani hayo
yanayokusumbua Godson?
Unamuwaza Yule msichana
uliyeniambia kuwa unampenda?
Akauliza Patricia.Uso wa Godson
ukachanua tabasamu
“Ni kweli.Siachi kumuwaza yeye
ndiye anayeninyima usingizi”
Patricia akameza mate na
kumtazama Godson kwa makini
usoni kisha akasema
“ Pole sana Godson.Inaonekana
huyo msichana unampenda
sana.Usiendelee kuteseka namna
hiyo,mfuate na umweleze ukweli
wa moyo wako anaweza
akakuelewa.Usiendelee kujiweka
kifungoni kuwa wazi kwake.Huwezi kujua pengine naye
anakupenda na anasubiri
umuanze wewe kumwambia”
akasema Patricia.Godson
akatabasamu
“ Ahsante sana Patricia kwa
ushauri wako mzuri.Nadhani ni
wakati muafaka wa kumueleza
ukweli wa moyo wangu.Sitaki
kuendelea kuteseka tena.Naomba
unisubiri dakika mbili nikabadili
nguo kuna sehemu nataka
unisindikize” akasema Godson
“ Godson nilikuj……” Patrica
akataka kusema neno lakini
Godson akamkatisha
“ Najua unachotaka kukisema
Patricia.Umekuja kutuaga.Hata
mimi nataka kukuaga lakini kabla
ya hatujaagana kuna sehemu
nataka unisindikize” akasema
Godson na kukimbia hadi
chumbani kwake akabadili nguo
na kurejea sebuleni Twende tuondoke” akasema na
kuongozana na Patricia hadi garini
wakaondoka
Walielekea moja kwa moja
Sabana beach hotel moja ya hoteli
kubwa jijini Dar iliyo pembezoni
mwa bahari.Ilikuwa ni mara ya
kwanza kwa Patricia kuingia
katika hoteli kubwa kama hii
iliyosheheni raia wa kigeni wengi
wao walikuwa katika mavazi ya
kuogelea.Patricia alishangaa na
kujisikia aibu alipowaona
wanawake kwa wanaume wakiwa
katika mavazi ya nusu utupu
wakicheza ndani ya maji na
wengine wakijilaza katika
mchanga .Hakuwahi
kuyashuhudia mambo haya kwa
macho.
Godson akamuongoza hadi
katika jiwe moja kubwa
wakapanda juu yake.Paricia
akaonekaa kuifurahia sana
mandhari ile Huwa unakuja hapa mara kwa
mara? Sehemu hii ni nzuri
sana.bahari inaonekana vizuri
mno” akauliza Patricia
“ Mara nyingi huwa nakuja hapa
kupumzika hasa nikiwa na
mawazo mengi.Sehemu kama hii
hunisaidia sana kutuliza akili
yangu” akasema Godson
“Unajisikiaje kuwaona watu
wakiwa wamevaa nusu utupu
namna ile? Nimetetemeka sana
kwani sijawahi kushuhudia kwa
macho mambo ya namna ile”
Godson akatabasamu akacheka
kidogo na kusema
“ Huna haja ya kuhofu
Patricia.Wengi wa watu uliowaona
hapa ni kutoka katika tamaduni
tofauti na zetu na ndiyo maana
kwao kuvaa namna ile ni kitu cha
kawaida.Kadiri unavyozidi
kuendelea na safari ya maisha
yako mambo kama haya
utakutana nayo sana na utayaona ni ya kawaida. Kitu cha muhimu
ni kwamba usijaribu kuiga.”
Akasema Godson halafu kikapita
kimya kifupi Wote walikuwa
wameyaelekea macho yao baharini
.Ni Patricia ndiye aliyeuvunja
ukimya
“ Godson leo nimekuja kuwaaga
,kesho ninaondoka kuelekea
shuleni”
“Ninafahamu Patricia na ndiyo
maana nimekuleta hapa ili nipate
nafasi ya kukaa nawe japo kwa
muda huu mfupi uliobakia.I feel
so sad Patricia.Nimekuzoea
sana.Nimezoea kukuona kila
siku.I’ll miss you a lot .Naomba
nikiri kwamba toka
tumefahamiana umekuwa ni rafiki
yangu mkubwa.”akasema
Godson.Patricia akainama kwa
sekunde kadhaa halafu akainua
kichwa na kusema
“I’ll miss you too
Godson.Ahsante sana kwa kunisaidia kuifahamu vyema
kompyuta.Ahsante pia kwa
surprise party.Ulinifanyia kitu
kikubwa sana ambacho
sikukitegemea na ambacho siwezi
kukisahau katika maisha
yangu.Ahsante sana Godson kwa
yote.I’ll miss you a lot.You are a
wonderfull guy” akasema Patricia
“ Patricia kuna jambo ambalo
ninataka kukueleza na ndiyo
maana nimekuleta sehemu hii
yenye utulivu mkubwa” akasema
Godson
“ Usihofu Godson.Nieleze tu
unachotaka kunieleza”
“ Kabla sijakueleza naomba
kwanza nikuombe usikasirike wala
kukwazika kwa nitakachokueleza”
“ C’mon Godson,kwa nini
nikasirike?Usihofu niambie
unachotaka kuniambia “
akasemaPatricia.Godson akavuta
pumzi ndefu na kusema Patricia unakumbuka tukiwa
nyunbani ulinipa ushauri kwamba
nimueleze ukweli wa moyo wangu
Yule msichana ninayempenda?
“ Nakumbuka Godson.Nadhani
ndiyo njia pekee ya kujiweka
huru.Msichana huyo anapaswa
kufahamu kwamba moyo wako
umemuangukia yeye”
“ Ahsante sana kwa ushauri
wako Patricia.Ninataka kufanya
kama ulivyonishauri”
“ wow ! that’s good.Go and tell
her how much you love her”
akasema Patricia huku akiwa
ameinama chini.Moyoni alikuwa
anaumizwa sana na maneno yale
kwani tayari alikwisha anza
kumpenda Godson.
Godson akatabasamu na
kusema
“ Sina haja ya kwenda Patricia”
akasema Godson na kumstua
Patricia Umebadili mawazo? Hutaki
tena kumweleza ukweli?
“ Si hivyo Patricia,bali msichana
ambaye amekuwa akinitesa na
ambaye ninataka kumweleza
ukweli wa moyo wangu yuko hapa
pembeni yangu.” Akasema Godson
na uso wa Patricia ukabadilika
“usistuke Patricia.Wewe ndiye
Yule msichana ambaye nimekwa
nikikosa usingizi kwa ajili yake.”
“ Godson ..!!!!!!..akasema
Patricia kwa mshangao huku
akiinuka
“Patricia please don’t say
anything now.Just listen to what I
want to tell you.” Akasema Godson
na kumshika Patricia mkono
ambaye aliusukuma na kusimama
huku akimuangalia Godson kwa
macho makali
“ I cant believe this” akasema
Patricia kwa sauti ndogo
“ Patricia please don’t say
anything.Nilijuanitakukwaza na ndiyo maana nikatanguliza
samahani.Naomba unielewe
Patricia,sina nia wala lengo la
kukukwaza.Ninachokwambia ni
ukweli mtupu wa moyo
wangu.Patricia wewe pekee ndiye
msichana ambaye toka uvunguni
mwa moyo wangu ninakiri
kwamba ninakupenda kwa moyo
wangu wote.”
“ Godson please stop that
!..Kumbe umenileta huku kwa ajili
ya kunieleza mambo hayo?
Akafoka Patricia
“ Patricia tafadhali naomba
usikasirike na wala usinielewe
vibaya .Sina lengo baya nawe wala
kucheza na hisia zako.Wewe ndiye
chaguo la moyo wangu,wewe ndiye
msichana wa maisha yangu”
“ Godson please stop that ..!!!
Mimi bado mwanafunzi na sitaki
kujihusisha katika masuala
hayo.Naomba uniache nisome
.Nina ndoto nyingi kubwa za maisha yangu na zaidi ya yote I’m
not of your type.I’m from poor
family unlike you.You are so cute
Godson and every woman would
dream to be loved by y ou.You are
rich,you have everything so you
deserve someone better than
me.Keep on searching Godson but
I’m sorry I’m not the one” akasema
Patricia halafu akainama.Machozi
yalikuwa yanamtoka kwanza kwa
Godson kumtamkia kwamba
anampenda na pili kutokana na
hali halisi inayomfanya asimkubali
Godson.
“ Nimetokea kumpenda Godson
.Nimekuwa nikimuwaza yeye kila
siku kumbe hata yeye amekuwa
na hisia kama zangu.Ouh gosh ! I
don’t know what to do..I’m
confused.Ninatamani na mimi
niwe na mpenzi kama huyu lakini
mazingira ya sasa
hayaniruhusu.Nasikitika sana
kumkoa kijana kama huyu lakini sina namna nyingine y akufanya
siwezi kukubali kuingia katika
mahusiano kwa sasa” akawaza
Patricia na mara Godson
akamsogelea na kumshika bega.
“ Patricia nyamaza usilie.Sikuwa
na lengo la kukukwaza na
kukutoa machozi.Lengo langu ni
kukueleza ukweli tu wa moyo
wangu .Nafahamu bado unasoma
na ninafahamu una ndoto nyingi
sana mbele yako na si lengo langu
kutaka kuingilia maisha yako na
kukuharibia maisha yako.Naomba
unielewe hivyo Patricia and please
don’t say anything for
now.Nilichohitaji ni kuutua huu
mzigo mzito uliokuwa
umenielemea.” Akasema
Godson.Patricia akainua uso wake
na kusema
“ Godson I’m sorry..Naomba
ufahamu kwamba………” Patricia
akataka kusema kitu lakini
Godson akamzuaShhhhhhhh…!!!.Dont say
anything.I understand you”
akasema Godson halafu
akachukua kitambaa kisafi na
kumpa Patricia afutie machozi
“” Godson naomba unipeleke
nyumbani” akasema Patricia kisha
wakaanza kutembea kimya kimya
mpaka mahala waliokoegesha gari
wakaingia na kuondoka kurejea
nyumbani.
“ Toka siku yakwanza
nilipokutana na Godson nilihisi
kuna kitu kati yetu.Nilimpenda
Godson toka dakika ile na toka
wakati huo hajawahi kunitoka
akilini.Kila siku ninajikuta nikizidi
kumpenda na sikujua kama naye
ananipenda pia.Pamoja na hayo
siwezi kumkubalia ombi lake la
kwamba tuwe wapenzi kwa
sasa.Sitaki kuchanganya mambo
mawili kwa wakati mmoja. I’m so
confused.Ninampenda Godson na
sitaki kumpoteza.Lakini ngoja kwanza niachane na mambo haya
yatanichanganya akili yangu na
kunipotezea mwelekeo.Kama
Godson ananipenda kweli basi
atakuwa tayari kunivumilia hadi
hapo nitakapomaliza masomo
yangu.Endapo akiendelea
kunishawishi tuwe wapenzi
nitampa mtihani huo kwamba
anisubiri hadi hapo
nitakapomaliza masomo yangu.”
Patricia akastuska toka mawazoni
baada ya gari kusimama nje ya
jengo moja kubwa lenye maduka
mengi
“ Naomba unisubiri humu
humu garini.” Akasema Godson
akaufungua mlango na
kushuka.Patricia akamtazama
kwa makini Godson alivyokuwa
akitembea kuingia katika jengo lile
kubwa moyo ukamuuma sana
“ Ouh jamani ninampenda sana
Godson lakini mazingira
yananifanya nishindwe kuwa naye…Sina hakika kama anaweza
akaamua kunisubiri hadi hapo
nitakapokuwa nimemaliza
masomo yangu kwani vijanawengi
wa siku hizi hawana uvumilivu
huo.Wanachokitaka wao ni
kufanya ngono tu kwa maana hiyo
basi itanilazimu kuchagua kati ya
Godson au masomo na maisha
yangu na linapokuja suala la
kuchagua basi lazima niachane na
kila kitu nichague
masomo.Nasikitika kumkosa
Godson lakini dunia bado imejaa
wavulana wazuri na nina hakika
siku moja nitampata mtu ambaye
nitampenda kwa moyo wangu wote
zaidi ya ninavyompenda Godson.”
Akawaza Patricia.
Baada ya kama dakika kumi
hivi Godson akarejea akiwa na
maboksi matatu
“Patricia hii ni simu
nimekununulia.Ukiwa shuleni
tutakuwa tukiwasiliana” akasemaGodson huku akitoa simu na
kumkabidhi Patricia.Ilikuwa ni
simu nzuri sana na ya kisasa
“ Godson ahsante sana kwa
zawadi hii lakini nasikitika
kwamba sintaweza kuipokea.”
Akasema Patricia na kumfanya
Godson aonyeshe mshangao wa
dhahiri.
“ Godson ninajua kwamba
umenipa simu hii kwa moyo
mkunjufu kabisa ili iweze
kunisaidia kwa
mawasiliano.Kinachonifanya
nisiipokee ni kutokana na taratibu
nilizojiwekea mimi
mwenyewe.Sihitaji kuwa na simu
kwa sasa.Sina chanzo chochote
cha mapato kitakachoniwezesha
kupata pesa ya kununua muda wa
maongezi zaidi ya yote sina watu
wengi wa kuwasiliana nao.Mtu
pekee ambaye ninataka niwe na
mawasiliano naye ni mama yangu
tu” Jibu lile la Patricia
likamyong’onyeza Godson kwa
shingo upande akaichukua simu
ile ya gharama na kuirudisha
katika boksi
“ Kama umekataa simu naomba
upokee hii kompyuta ndogo.Hii
itakusaidia sana katika masomo
yako.Tayari nimekwisha
kununulia kifurushi kikubwa cha
internet na nitakuwa nakununulia
mara kwa mara na kukuongezea
katika laini yako ili upate
kujifunza mambo mengi zaidi
kupitia mtandao.” Akasema
Godson na kumkabidhi Patricia
kompyuta ndogo mpya kabisa
“ Ahsante sana
Godson.Umenisaidia kitu kikubwa
sana.Nina imani kompyuta hii
itaniwezesha kujifunza mambo
mengi sana kupitia mtandao”
akasema Patrica.Godson
akatabasamu na kusema Katika boksi hili linguine kuna
vitu vidogo vidogo ambavyo
utakuwa unavitumia shuleni”
akasema Godson
“ Ahsante sana Godsn.Naomba
usijisike vibaya kwa kuikataa ile
simu”
“ Usijali Patricia
nimekuelewa.Lakini pamoja na
hayo kuna jambo nataka
nikuombe”
“ Jambo gani tena Godson?
“Nitafurahi sana kama nitapata
walau dakika tatu kila siku za
kuongea nawe kupitia mtandao wa
skype.Naomba niwe mtu wa
mwisho kuongea nawe kabla
hujalala”
“ Patricia akatabasamu na
kusema
“ Usijali Godson.Nitajitahidi
kufanya hivyo.Hata mimi
nitafurahi pia kuwasiliana
nawe.Wewe ni mmoja wa marafiki
zangu wakubwa.” Akasema Patricia kisha Godson akawasha
gari wakaondoka
**********
 
Safi sana...

Patricia katongozwa na Godson kamkatalia, ila mambo ya skype watafanya...

Anakwenda shule sasa, atakutana na Elvis ambo nao ni wale wale... sijui kama atapona...


Cc: mahondaw
 
Elvis ukifika school uchangamke lasivyo dodo litaenda.......

Kulubule, Episode ya 5 nmeona jina David. Huyo David vip tena au ndio jina jingine la Elvis?

Godson ni fisi asee simuamini amin ngoja tuone mwsho wake!
 
Kulubule shukran sana
Mungu akuepushie watoto mafisi km Godson
 
I DIED TO SAVE MY PRESDENT

Sehemu 7


J.Y.Makamba school of science
ni shule ya ainayake hapa nchini
ya mchepuo wa sayansi iliyoko
Bumbuli Tanga.Shule hii ambayo
huchukua wanafunzi waliofanya
vizuri zaidi katika masomo ya
sayansi imesheheni walimu wa
kutosha wenye ujuzi,vifaa vya
kujifunzia na
kufundishia,maabara zenye vifaa
vya kutosha na kila kitu
kinahitajika katika kujifunzia au
kufundishia sayansi.
Geti la kuingilia shuleni hapa
siku hi ya Jumatatu lilikuwa na
pilika pilika nyingi.Ni siku ambayo
wanafunzi wapya walikuwa
wakiwasili shuleni.Saa tatu za
asubuhi gari moja aina ya Toyota surf lenye rangi nyeusi
likaruhusiwa kupita getini na
kuelekea moja kwa moja katika
jengo la utawala.Ndani ya gari hili
alikuwemo mwanamitindo
maarufu sana nchini na afrika
mashariki,Juliana ambaye
hakuwa peke yake bali alikuwa na
Patricia na mama yake bi
Doroth.Ni siku ya Patricia kuripoti
shuleni tayari kwa kuanza
masomo yake ya kidato cha tano
hivyo Juliana na bi Doroth
waliamua kumsindikiza hadi
shuleni ili kuhakikisha amefika
salama.
Walishuka garini wote watatu
na kuelekea katika ofisi ya mkuu
wa shule msaidizi bi Eunice
Kakwala.Walipokewa vizuri na
Patricia akasajiliwa na kuelekezwa
bweni ambalo atakuwa
akikaa.Juliana akamsaidia
Patricia kushusha mabegi yake
katika gari na kuongozana naye kuelekea bwenini.Bi Doroth yeye
alielekea katika ofisi ya mhsasibu
kwa ajili ya kukamilisha taratibu
za usjali ikiwa ni pamoja na kulipa
karo na michango mingine.
Bweni alilopangiwa Patricia
lilikuwa ni bweni zuri na la kisasa
lililokuwa na vyumba ishirini.Kila
chumba kilikuwa na wanafunzi
wane.Kila mwanafunzi alikuwa na
kabati lake kwa ajili ya kuwekea
nguo na vifaa vingine.Kulikuwa
pia na kijichumba kidogo chenye
meza na viti vinne kwa ajili
yakujisomea
Juliana akamsaidia Patricia
kupanga vitu vyake kabatini
halafu wakatoka mle chumbani na
kuelekea katika jengo la utawala
walikomuacha bi Doroth.
“ Patricia safari
imeanza.Nakusihi weka pembeni
kila kitu na uzingate suala moja tu
la kusoma.Mama yako ana
matumaini makubwa sana nawe.Soma ili uje uikomboe
familia yako toka katika hali duni
ya sasa.Soma ujikomboe wewe
mwenyewe.Tafadhali
usimuangushe mama.Najua
vishawishi ni vingi sana hasa kwa
mrembo kama wewe lakini katu
usikubali kuanguka
wishawishini.Endapo utahitaji kitu
chochote wasiliana nami.Godson
aliniambia kwamba alikupa simu
ukaikataa”
“ Ndiyo dada Juliana.Godson
alinipatia simu kwa bahati mbaya
sikuipokea lakini si kwa ubaya
bali ni kutokana tu na taratibu
zangu nilizojiwekea ”
“ Ok That’s great.I love
that.Nitakuwa nikiwasiliana nawe
kwa kutumia simu ya shule.Hata
fedha nitakuwa nikikutumia kwa
kupitia mwalimu mkuu msaidizi.”
“ ahsante sana dada
Juliana.Nakuahidi nitafanya vizuri
sana katika masomo na akili yangu yote nitaielekeza
katikakusoma tu” akasema
Patricia
Bi Doroth akiwa nje ya ofisi ya
mhasibu wa shule mara akasikia
mtu akimuita
“ Mama Patricia !....
Bi Doroth akageuka
nakutazama aliyekuwa
akimuita.Kijana mmoja
mtanashati alikuwa amesimama
huku akitabasamu.Mara moja Bi
Doroth akamkumbuka kijana
Yule.Ni mmoja wa vijana
waliofanya vizuri katika mtihani
na walikutana Dodoma katika
sherehe za kupongezwa .
“ Shikamoo mama” akasema
Yule kijana
“ Marahaba mwanangu
hujambo?
“ Sijambo mama.Habari za siku
nyingi? Bado unanikumbuka
mama? Ninakukumbuka vizuri
sana.Tulikutana Dodoma katika
sherehe za kupongezwa lakini jina
lako nimelisahau”
“ Naitwa Elvis..”
“ Ouh Elvis.Kumbe nawe
umechaguliwa kujiunga na shule
hii pamoja na Patricia?
“ Ndiyo mama.Patricia yuko
wapi?
“ Patricia yupo.Tayari
amekwisha sajiliwa na ameelekea
bwenini kupeleka mizigo yake.”
“ Sawa mama.Nitakuwa na
Patricia hapa shuleni na tutakuwa
tukisaidiana katika masomo na
katika matatizo mbali
mbali.Hajawahi kusoma shule ya
bweni kwa hiyo kwa siku za
mwanzoni mazingira yanaweza
kumpa taabu kidogo lakini usijali
nitamsaidia na atayazoea”
“ Ninashukuru sana Elvis kwa
msaada huo kwa
mwanagu.Ninamfahamu Patricia.Linapokuja suala la
kusoma huwa anajikuta akisahau
kila kitu .Naomba wakati
mwingine uwe ukimsihi apumzike
kwa sababu anaweza akasoma
kutwa nzima bila hata kupumzika”
“ Nitafanya hivyo mama.Naomba
pia unipe namba zako za simu ili
niwe nikiwasiliana nawe kama
kuna tatizo lolote na kuna nyakati
hata Patricia mwenyewe
angependa kuwasiliana nawe kwa
sababu aliniambia kule Dodoma
kwamba hana simu.Kwa kuwa
mimi nina simu basi tutaitumia
simu yangu katika mawasiliano”
akasema Elvis
Mama Patricia akampatia Elvis
namba zake za simu na mara
Patricia na Juliana
wakatokea.Patricia akafurahi san
a baada ya kugonganisha macho
na Elvis.
“ Elvis..!!...akasema Patricia
huku akitabasamu Patricia ..!!akasema Elvis huku
naye akitabasamu
“ Habari za siku Patricia?
“ habari za siku nzuri sana
Elvis.Habari za Arusha?
“ Arusha kwema .Karibu sana
Bumbuli.Mimi nimefika hapa siku
mbili zilizopita .Nimetaka niwahi ili
nianze kuyazoea mazingira.”
Akasema Elvis
Juliana na Bi Doroth hawakuwa
na sababu ya kuendelea kuwepo
pale shuleni kwani tayari kila kitu
kilikwisha kamilika.Ilikuwa ni siku
ngumu sana kwa bi Doroth
kuyaanza maisha mapya bila ya
Patricia.Alimzoea sana
mwanae.Alimkumbatia na
kumuaga.
“ Patricia mwanangu zingatia
yale yote niliyokwambia” akasema
mama Patricia
“ Nitayazingatia mama” akajibu
patricia huku machozi yakimtokaIlikuwa ni mara yake ya kwanza
kutengana na mama yake
Juliana na Bi Doroth wakaingia
garini na kuondoka maeneo yale
ya shule.Patricia bado alikuwa
amesimama akilitazama geti
kubwa jeusi likifungwa baada ya
gari la Juliana kutoka.
“ Usijali Patricia utazoea
tu.Twende sehemu ya
kupumzikia” akasema Elvis na
kumuongoza Patricia hadi sehemu
ambayo imetengwa maalum kwa
ajili ya wanafunzi ,walimu ,
wafanyakazi na wageni
kupumzika.Ilikuwa ni bustani
nzuri na yakupendeza.Palikuwa na
duka la kuuza vinywaji baridi
,pamoja na vitu mbali mbali.Elvis
akaenda kununua vinywaji
wakaendelea na maongezi
“ Nimefurahi sana kukuona tena
Patricia.Nilitamani sana
kuwasiliana nawe kwa simu lakini
sikuwa na namba yako ya na wewe hukukumbuka hata
kunijulia hali.What happened
Patricia? Kwa nini hukutaka hata
kunitumia ujumbe wa maneno
kunisalimu? Akauliza Elvis
“ Naomba unisamehe Elvis.Hata
mimi nilikukumbuka sana na
nikataka kukusalimu lakini
nilipoitafuta namba yako sikuiona
tena.” Patricia akadanganya
“ Usijali Patricia.Nafurahi
nimekuona tena”
“ Lakini naomba usichukie
Elvis.Sikufanya makusudi”
akasema Patricia huku
akimtazama Elvis kwa macho
yake mazuri.
“ Siwezi kuchukia Patricia lakini
ni kweli nilikwazika sana kwa
kutokuwasiliana nawe .” akasema
Elvis .
Waliendelea na maongezi na
baadae Elvis akamchukua Patricia
na kuanza kumuonyesha
mazingira ya shule.Ndani ya muda huu mfupi walikwishazoeana
kama marafiki wa muda mrefu
sana.
Baada ya chakula cha
usiku,Elvis na Patricia wakaagana
na kila mmoja akaelekea bwenini
kwake.Chumba alichopangiwa
Patricia kulikuwa na vitanda vinne
lakini wasichana wawili tu
waliokuwemo mle chumbani
.Msichana mwingine aliyekuwa
chumbani na Patricia ni Shamim
toka Zanzibar.
“ Halow Shamim” Patricia
akamsalimu Shamim baada ya
kuingia mle chumbani na
kumkuta Shamim amejilaza
kitandani akiwa na kompyuta
yake..Shamim akavua spika za
masikioni alizokuwa amevaa
akatabasamu na kusema
“Hallow Patricia”
“ Hukwenda kupata chakula?
“ No Patricia I’m full.kwa siku ya
leo sihitaji chakula .Nina juice yangu inanitosha sana” akasema
Shamim na kuinuka akakaa
kitandani
“ Naona mwenzangu tayari
umekwisha pata mwenyeji”
akasema Shamim huku
akitabasamu
“Mwenyeji gani tena? Akauliza
Patricia huku naye akitabasamu
“ Kuna Yule handsome boy
,mmoja nimekuona uko naye toka
mchana”
Patricia akacheka na kusema
“ Elvis?!
“ Sijui anaitwa nani ila
ninamfahamu kwa jina moja tu la
handsome.He’s real handsome
pengine kupita vijana wote hapa
shuleni” akasema Shamim
“ Elvis nilikutana naye Dodoma
tukawa marafiki.Toka hapo
hatujaonana tena mpaka
tulipokuja kuonana leo hi”
akasema Patricia He’s so cute.You have a cute
boyfriend” akatania Shamim
“ He’s not my boyfriend.Ni rafiki
yangu wa kawaida” akasema
Patricia
“ Gosh ! Usiseme hivyo.Siku
nyingine mbele za watu.They’re
gonna take him away.Usiache
msichana mwingine akamchukua
Elvis.” Akasema Shamim
“Shamim,hakuna
kinachoendelea kati yangu na
Elvis.Sisi ni marafiki wa kawaida
tu” akasema Patricia
“ Ouh Patricia my dear you real
wanna make me cry..If you don’t
want him give him to me” akasema
Shamim
“ You can take him.Mimi mambo
hayo ya mapenzi sijihusishi nayo
kwa sasa” akasema Patricia na
kumshangaza Shamim
“ Patricia unataka kuniambia
kwamba huna mpenzi? Sina” akasema Patrica
.Shamim akacheka kicheko
kikubwa
“What a liar.Msichan mzuri
kama wewe haiwezekani ukakosa
mpenzi.Unaishi vipi bila kuwa na
mpenzi?
“ Nakuambia kweli
Shamim.Sina mpenzi”
“ Hapana si kweli”
“ Believe what you have to,but
that’s the truth.Akili yangu yote
nimeielekeza katika
masomo.Sitaki kuchanganya
mambo mawili kwa wakati
mmoja.Mapenzi na shule kamwe
haviendi sambamba.” Akasema
Patricia.Shamim akacheka
kicheko kikubwa na kusema
“ Usinichekeshe Patricia.Nani
alikwambia kwamba ukiwa na
mpenzi unafeli masomo? Si kweli
hata kidogo.Mimi nina mpenzi
wangu anaishi Oman.Niko naye
toka nikiwa kidato cha kwanza natazama nimefaulu vizuri masomo
yangu na tuko wote hapa katika
hii shule ya wanafunzi wenye
vipaji vya pekee.Abdul amekuwa ni
msaada mkubwa kwangu na kwa
masomo yangu.Patricia
usidanganywe na mtu kwamba
kuwa na mpenzi kutakufanya ufeli
masomo.Unachotakiwa kufanya ni
kutenga muda vizuri kwa masomo
na mambo mengine.Elvis ni kijana
mzuri sana ukimuacha wenzako
watamchukua” akasema
Shamim.Patricia akavuta pumzi
ndefu na kujitupa
kitandani.Shamim akamtazama
halafu akainamia kompyuta yake
“ Haya maneno anayoyasema
Shamim yanaweza kuwa na
ukweli.Ninajitahidi sana
kupambana na hisia kali za
mapenzi ambazo zimekuwa
zikinijia kila mara.Ninahisi kutaka
kuwa na mpenzi kama wasichana
wengine na kila mara linapokuja suala la kufikiria kuhusu mpenzi
,mtu wa kwanza anayekuja
kichwani kwangu ni
Godosn.Tayari amenitamkia
kwamba ananipenda na anataka
tuwe wapenzi.Pamoja na
kumkataa lakini bado moyo
wangu unaniambia kwamba yeye
ndiye mwanaume wa maisha
yangu.Ninampenda sana
Godson.Anazidi kuniingia katika
kila mshipa wa mwili wangu..Ouh
Mungu wangu nitafanya nini? “
akawaza Patricia
“ Ngoja kwanza niwasiliana naye
katika mtandano pengine inaweza
kunisaidia kunipunguzia mawazo
mengi niliyo nayo juu yake.”
Patricia akachukua computer yake
ndogo akaiwasha na kuingia
katika mtandao wa skype ili aweze
kuwasiliana na Godson lakini kwa
bahati mbaya Godson hakuwepo
mtandaoni. Gosh ! Hayupo mtandaoni.”
Akawaza Patricia.Akavuta pumzi
ndefu halafu akaizima kompyuta
yake na kujilala kitandani.
“ Sioni kama kuna ubaya
endapo nikiwa na mpenzi.Marafiki
zangu wote wana wapenzi na
maisha yao yanaendelea vizuri
tu.Kitu cha msingi ni kujitahidi
mapenzi yasinivurugie malengo
yangu .” akawaza Patricia akiwa
amejilaza kitandani.
MIEZI MINNE BAADAE
Miezi minne imekwisha katika
toka Patricia aliporipoti shuleni
J.Y.Makamba school of
science.Masomo yaliendelea vizuri
na kama kawaida yake aliendelea
kuwa gumzo kwa wenzake
kutokana na uwezo mkubwa
aliokuwa nao darasani.Bado
aliendelea kuwaongoza wenzakena kushika namba moja katika
kila mtihani na majaribio.Patricia
alikuwa ni msichana mwenye akili
ya kiwango cha juu mno.
Maisha ya shule yalikuwa
mazuri na tayari alikwisha yazoea
mazinginra .Kila mwanafunzi
alimpenda sana kutokana na
ucheshi na uchangamfu wake
.Ilikuwa ni shule yenye wanafuzni
mia moja.Wavulana hamsini na
wasichana hamsini.Pamoja na
kuwa na marafiki wengi,wavulana
kwa wasichana ,lakini rafiki yake
mkuu hapa shuleni alibaki kuwa
Elvis.Walisoma pamoja na
waliachana pale tu kila mmoja
alipoelekea bwenini
kwake.Mawasiliano baina yake na
Godson yaliendelea kama
kawaida.Waliwasiliana karibu kila
siku usiku kabla ya kulala kupitia
mtandao wa Skype.Tayari
kulikuwa na ukaribu mkubwa
sana baina yao. Kila jumamosi ya kwanza ya
mwezi huwa ni siku ya wanafunzi
kwenda matembezini nje ya shule
pamoja na kujinunulia mahitaji
mbali mbali.Ni saa mbili na nusu
za usiku wakati wanafunzi wakiwa
vyumbani mwao,Elvis na na
Patricia walikuwa katika bustani
ya shule wakibadilishana mawazo
huku kila mmoja akiwa na
kompyuta yake .Wakati
wakiendelea na maongezi,mara
Godson akaingia
mtandaoni.Haraka haraka Patricia
akamuona na kuvaa spika za
masikioni akampigia simu.
“ Hallow Patricia” akasema
Godson
“ Hallow Godson.Unaendeleaje?
“ Nina endelea vizuri.Vipi wewe
unaendelaje?Habari ya weekend?
“ Weekend nzuri tu Godson”
“ Nafurahi kusikia hivyo.”
Akasema Godson
“ dada Juliana hajambo? Juliana hajambo.Alisafiri
kwenda Nairobi anategemea
kurejea kesho.Vipi kuhusu
masomo?
“ Masomo yanaendelea vizuri
.Unaendeleaje na kazi zako?
“ Kazi zinakwenda
vizuri.Changamoto ni nyingi lakini
ninajitahiidi kukabiliana
nazo.Hata hivyo kuna kampuni
moja nimetafutiwa na baba nchini
afrika kusini ambayo natakiwa
kwenda kufanya usaili.Endapo
nitakapa nafasi katika kampuni
hiyo basi itanilazimu kuondoka na
kwenda kuishi Afrika kusini”
akasema Godson.Patricia
akastuka na kuvuta pumzi ndefu
halafu akasema
“ Umechoka kufanya kazi
Tanzania?
“ Si hivyo Patrica.Ninapenda
kufanya kazi Tanzania lakini
endapo nitapata kazi katika
kampuni hii ninayokwambia basi nitalipwa mshahara mzuri sana
tofauti na ninaolipwa
sasa.Kikapita kimya halafu
Godson akamstua Patricia
“ Patricia ! akaita Godson
“ Sema Godson”
“ Kuna jambo ambalo limekuwa
linaniumiza sana kichwa changu”
“ Jambo gani Godson?
“Unakumbuka siku ile
iliyotangulia siku ya kuondoka
kwako kwenda shule,tukiwa
ufukweni kuna jambo nilikueleza?
“ Ndiyo nakumbuka “
“ Basi suala lile ndilo ambalo
limeendelea kuniumiza sana
kichwa changu” Patricia
ninakonda kwa kukuwaza
wewe.Umeniingia hadi ndani
kabisa mwa kila mshipa wa
mwilini mwangu .Wewe ndiye
mwanamke wa pekee kabisa
katika maisha yangu.Umeiteka
akili yangu na kuifanya ikufikirie
wewe tu.NakupendaPatricia,Nakupenda sana.Tafadhali
naomba usinipuuze na unikubali
ili tuwe wapenzi.Sintakutenda
jambo lolote baya.Nitakuthamini
na kukuheshimu katika siku zote
za maisha yangu.Nikubali niwe
wako Patricia ili moyo wangu
uweze kutulia” akasema Godson
na kumfanya Patricia ashushe
pumzi.Uso wake
ukabadilika.Hakujua atoe jibu
gani.Kimya kikatanda
“ Patricia ..!! akaita Godson
“ Godson,tuliongea kuhusu
suala hili na tukalimaliza.Nadhani
unakumbuka nilichokuambia”
“ Ni kweli Patricia.Ulinieleza
msimamo wako na nikakuelewa
lakini kadiri siku zinavyozidi
kwenda najikuta nikishidwa
kuvumilia.Nakupenda Patricia
.Moyo wangu unakuhitaji wewe
tu.Najua una malengo mengi ya
maisha yako na lengo langu mimi
sikukuharibia masomo au maisha yako.Nataka tuwe wapenzi na
mambo mengine yatasubiri hadi
hapo utakapomaliza masomo
yako.Niko tayari kukukusubiri
.Patricia naomba ufahamu
kwamba ninakupenda
,nakuheshimu na
ninakuthamini.Kamwe sintaweza
kukufanyia jambo lolote lile la
kipuuzi tofauti na matakwa yako”
akasema Godson
Patricia akainama akafikiri na
kusema
“ Godson najua kwamba
unanipenda na lengo lako ni
zuri.Toka tumefahamiana
umekuwa ni mtu mwema sana
kwangu .Wewe ni kijana wa aina
yake na ambaye kila mwanamke
angependa kukupata.Pamoja na
hayo yote Godson,lakini bado
nitaendelea kuwa kinyuma na
ombi lako nikimaanisha kwamba
hatuwezi kuwa
wapenzi.Gods………” Kabla hajamaliza alichotaka kukisema
Godson akasema
“ Kwa nini unanifanyia hivyo
Patricia? Am I not good enough for
you? Kama nina tatizo lolote
naomba unieleze.Tell me anything
and I can do.Your word is my
command” akasema Godson
“ Godson mimi bado
mwanafunzi.Sitaki kuchanganya
mambo mawili kwa wakati
mmoja.Siku zote mapenzi na
masomo hayaendi
pamoja.Tafadhali naomba uniache
nimalize masomo halafu kama ni
mambo mengine ndipo yafuate
lakini sipotayari kwa sasa”
akasema Patricia
“ Patricia ninaelewa
unachokimaanisha lakini naomba
uelewe kwamba sina lengo baya
nawe”
“ Ninajua huna lengo baya
nami,lakini naomba uelewe pia
kwamba nimeamua hivi kwa faida yangu mwenyewe .Nakuomba
Godson kama kweli unanipenda
kama unavyosema,niache nimalize
masomo yangu.Bado nina safari
ndefu sana mbele yangu.Wewe
umebahatika kuzaliwa katika
familia yenye uwezo tofauti na
mimi.Familia yangu imezungukwa
na umasikini mkubwa na
mkombozi wangu pekee ni elimu”
akasema Patricia
“ Patricia ninaelewa kwamba
wewe bado mwanafunzi na
unahitaji kuielekeza akili yako
yote katikakusoma.Ni lengo langu
pia kuhakikisha kwamba
unatimiza malengo yako
yote.Nataka kuwa ni sehenu ya
mafanikio yako.Naomba uufungue
moyo wako na uniruhusu niingie
ndani .Niruhusu nikuonyeshe ni
namna gani ninavyokupenda
Patricia”
Patricia akavuta pumzi ndefu na
kusema Godson nakosa jibu la
kukupa.Sielewi nikwambie kitu
gani ili unielewe”
“ Patricia kuna kitu kimoja tu
ambacho ninataka uniambie”
“ Kitu gani hicho?
Godson akavuta pumzi ndefu
na kusema
“ Naomba uwe muwazi kwangu
na uniambe kitu kimoja.Je katika
moyo wako hakuna hisia zozote
juu yangu? Naomba uwe muwazi
kwangu kama mimi nilivyokuwa
muwazi kwako”
Swali lile likamchanganya
Patricia akabaki anatazama
kompyuta yake.Hakujua aseme
nini
“ Mbona hunijibu Patricia?
Akauliza Godson
“ Godson swali lako gumu sana
na sielewi nikujibu nini” akasema
Patricia
“ Nataka kuusikia ukweli wa
moyo wako.I’m your friend so be honest with me.Tell me the truth
and I’ll understand.Patricia nipe
ukweli wa moyo wako and I swear
I’ll never bother you again”
akasema Godson.Patricia
alilengwa na machozi.Alikuwa
katika wakati mgumu
sana.Alimpenda Godson lakini
aliogopa kujiingiza katika
mahusiano
“ Answer me Patricia” akasema
Godson.
“ Huu ni mtihani mgumu na
sielewi ni kwa nini niendelee
kuteseka kwa jambo hili .Mbona
hapa shule karibu kila msichana
ana mpenzi wake? Hakuna
dhambi yoyote kuwa na
mpenzi.Ninampenda Godson na
sitaki kumkosa.Ngoja tu
nimkubalie lakini nitajichunga ili
nisije poteza mwelekeo” akawaza
Patricia.Akakohoa kidogo na
kusema Ninakupenda
Godson.Ninakupenda sana.Sitaki
kuku…….”Hakumalizia sentensi
yake Godson akaruka kwa furaha
“ Ouh Patricia,thank you,thank
you so much.I real love you with
all my heart” akasema Godson
“ Ahsante kwa jibu lako
Patricia.Ni hilo tu ndilo nilikuwa
nahitaji kulisikia toka
kwako.Ahsante kwa
kunipenda.Nitakupenda daima.I’ll
never make you cry” akasema
Godson
“ Godson ninakupenda na niko
tayari kuingia kwa maraya kwanza
katika mahusiano ya kimapenzi
lakini kwa sharti kwamba
utayaheshimu malego yangu ya
maisha na kwamba hautafanya
jambo lolote la kunivurugia
masomo au maisha yangu”
“Niko tayari kwa masharti hayo
Patricia na ninakuahidi kwamba nitakupenda daima .Nitafanya kila
utakachoniamuru nikifanye.”
“ Ahsante Godson kwa ahadi
yako.Natumai utaitimiza.Tutapata
wasaa mzuri wa kuongea
kuhusiana na mambo haya
nitakaporejea Dar es salam wakati
wa likizo,lakini kwa sasa naomba
uniache nielekeze akili yangu
katika masomo”
“ Patricia narudia tena kusema
ahsante sana kwa kunikubali niwe
mpenzi wako.Umeyafanya maisha
yangu yawe na furaha.Umenipa
furaha ambayo sijawahi kuipata
toka nimezaliwa” Godson akasema
kwa furaha.Wakaagana na Patricia
akaizima kompyuta yake.Kijasho
kilikuwa kinamtoka.Alipogeuza
shingo yake Elvis hakuwepo.
“ Elvis kaondoka muda gani? Kwa
nini hakunifanyia ishara kama
anaondoka? Yawezekana alikerwa
na maongezi yangu na Godson? Akawaza Patricia halafu
akaegemea kiti akavuta pumzi
ndefu
“Ouh Godson,umenifanya
niuvunje mwiko wangu.Ni kweli
nakupenda sana na sijawahi
kumpenda mvulana yeyote kama
ninavyokupenda wewe.Kwa
sababu yako ninaufungua
ukurasa mpya wa mapenzi katika
maisha yangu.Natumai
hautakuwa sababu ya mimi
kupoteza dira na mueleko wa
maisha yangu.” Akawaza Patricia
na kutabasamu baada ya picha ya
Godson kumjia kichwani.
“ He’s such a handsome
guy.Nampenda sana .Sura yake
inanijia kila dakika na kuufanya
ubongo wangu usitulie.Sikujua
kama ukitokea kumpenda mtu
unakuwa namna hii” akawaza
Patricia na kuinuka akaeleeka
bwenin.
 
I DIED TO SAVE MY PRESDENT

Sehemu 8

I’m so stupid..!!! akasema kwa
hasira Elvis na kujipiga kofi
kichwani
“ Why could I be so stupid? I’m
so coward.” Akasema kwa hasira
huku machozi yakimtoka.Ilikuwa
ni muda mfupi baada ya
kuondoka bustanini alikokuwa
amekaa na Patricia ambako
ilimlazimu kuondoka baada ya
kumsikia Patricia akiongea
masuala ya kimapenzi na mvulana
mwingine kupitia mtandao wa
Skype
“ Siku zote nimekuwa karibu na
Patricia nikijaribu kujenga urafiki
wa karibu ili siku moja nimueleze
kwamba ninampenda lakini
kumbe nilikuwa
najidanganya.Yote niliyoyafanya ni
kazi bure.Patricia ana mtu wake
anayempenda Aaaaggghhhhhh….!!!!!!!
Akapiga ukelele kwa hasira
“ Kwa nini siku hizi zote
asiniambie kama ana mtu wake
anayempenda? Lakini siwezi
kumlaumu kwani ni kosa
langu.Ningemwambia mapema
kwamba ninampenda nisingeumia
namna hii.Pamoja na hayo,bado
sijapoteza matumaini.Nitaendelea
kupambana hadi dakika ya
mwisho.Nitapambana kuhakikisha
kwamba Patricia anakuwa
wangu.Yeye ndiye mwanamke
pekee ninayempenda katika
maisha yangu.” Akawaza Elvis
halafu akaenda katika sinki
akafungua maji akanawa uso
kisha akatoka na kueleka tena
bustanini mahala alikokuwa
amekaa na Patricia lakini Patricia
hakuwepo.Akaketi kitini na
kuinua kichwa akatazama juu
angani. I swear in heaven and
earth,Patricia will be mine.She will
love me and no one else will make
us apart.To win Patricia’s heart is
my major goal for now.” Akasema
Elvis kwa sauti ndogo.Akatoa simu
yake akafungua mahala
anakohifadhia picha akaitazama
picha ya Patricia
“ You’ll be mine Patricia.You’ll
be mine.You’ll love only
me”Akasema halafu akainuka na
kuelekea bwenini
********************
Kitendo cha Elvis kutoonekana
darasani kilimchanganya sana
Patricia na kumfanya awe na
mawazo mengi.Haikuwa kawaida
ya Elvis kukosa darasani.Saa nne
na nusu kengele ikagonga
kuashiria kwamba ni wakati wa
mapumziko ya asubuhi.Patricia
akatoka kwa haraka na kumfuataMartin ambaye ndiye anaishi
chumba kimoja na Elvis
“ Martin samahani,kuna jambo
naomba kukuuliza” akasema
Patricia kisha wakasogea pembeni
“ Jambo gani Patricia?
“ Ni kuhusu Elvis.Mbona leo
hajaingia darasani? Ana matatizo?
“ Hajaingia darasani? Martin
akauliza.
“Ndiyo na si kawaida yake
kukosa darasani.Ana matatizo
yoyote?
“ Sina hakika kama ana
matatizo kwa sabau mimi niliwahi
kuamka asubuhi nikamuamsha ili
naye ajiandae lakini akaniambia
kwamba nitangulie yeye atafuata
baadae”
“ Ok ahsante ngoja
nikamuangalie” akasema Patricia
huku akianza kutembea kwa kasi
kuelekea katika bweni la akina
Elvis Patricia huruhusiwi kuingia
katika bweni la
wavulana.Ukionekana kule
unaweza kupewa adhabu kali”
akasema Martin
“ I don’t care .Nataka kujua ni
kwa nini Elvis hajaingia darasani
leo.He’s my friend and I need to
know if he’s having a problem.”
Akasema Patricia na kuchomoka
hadi katika bweni la
wavulana.Anafahamu namba ya
chumba cha akina Elvis
akanyoosha moja kwa moja na
kukinyonga kitasa cha chumba
namba sita akaingia ndani lakini
Elvis hakuwemo
“ Ouh gosh ! Elvis amekwenda
wapi? Mbona humu hayumo?
Akajiuliza Patricia halafu akatoka
mbio mle chumbani
“ Nimekumbuka kitu.Kuna
sehmu moja ambayo huwa
anapenda sana kwenda
kupumzika.Ngoja nikamuangalie kule” akawaza Patricia huku
akikimbia kuelekea katika msitu
wa shule.Pembeni ya msitu ule
kulikuwa na maporomoko madogo
ya maji na hii ndiyo sehemu
ambayo Elvis hupenda sana
kwenda kupumzika.
Kama Patricia alivyokuwa
amehisi ni kweli Elvisa alikuwa
amekaa juu ya jiwe.
“ Elvis…!!!!” akaita Patricia na
kumstua Elvis aliyekuwa
amezama katika mawazo mengi.
“ Patricia !! akasema Elvis kwa
mstuko wa kumuona Patricia
maeneo yale.Kwa haraka akainuka
na kumfuata
“ Patricia what are you doing
here? Akauliza Elvis
“ Elvis nimekutafuta kila
mahala nikakukosa nikajua
lazima utakuwa huku.”
“ Patricia tafadhali usithubutu
siku nyingine kupita humu
msituni peke yako.Kuna hatari nyingi humu.Hakuna usalama
ukiwa mwenyewe”
“ Usijali Elvis,sintafanya hivyo
tena.Nimelazimika kufanya hivyo
kutokana na wasi wasi niliokuwa
nao kwa kutokuona darasani
leo.Si kawaida yako kukosa
darasani.Una matatizo gani? Tell
me Elvis I’m your friend and I do
care about you.Una matatizo gani?
Kwa nini hujaingia darasani leo?
Unaumwa? Akauliza Patricia
“ Hapana siumwi Patricia ila
sikujisikia tu kuingia darasani leo
na ndiyo maana nimekuja huku ili
kutuliza kichwa changu.” Patricia
akamshika Elvis mkono
wakatazamana
“ Elvis niambie una matatizo
gani leo? Nini kinakusumbua?
Tafadhali naomba unieleze”
Elvis akavuta pumzi nefu
akamtazama Patricia na kusema
“ Ni kweli nina matatizo Patricia
Kuna jambo linaniumiza sana kichwa changu lakini nasikitika
kwamba sintaweza
kukwambia.Thank you for your
concern” akasema Elvis
“ Elvis you do trust me right?
Akauliza Patricia
“ Ofcourse I do” akajibu Elvis
“ Kama unaniamini naomba
unieleze ni jambo gani
linalokusumbua? Akasema
Patricia.Elvis akamtazama kisha
akasema
“What about you Patricia ,do
you trust me ?
“ I do trust you Elvis.Kwa nini
umeniuliza hivyo?
“Nina wasi wasi na jibu lako
Patricia.Sina hakika kama
unaniamini na ndiyo maana
umekuwa msiri sana”
“ Siri?! Patricia. Akashangaa
“ Ndiyo”
“ Elvis mbona nimekuwa
nikikueleza kila jambo
linalonihusu? Hakuna jambo ambalo nimewahi kukuficha.Wewe
ndiye mtu pekee unayefahamu
kuhusu undani wa maisha yangu”
akasema Patricia
“ You didn’t tell me that you
have a boyfriend”
“ boy friend? Patricia
akashangaa
“ Ndiyo.Kwa nini kila siku
tulipokuwa tunaongelea kuhusu
mambo haya ya mahusiano
ulisema kwamba huna mpenzi?
Kwa nini ulinidanganya? Akauliza
Elvis.Patricia akashikwa na
kigugumizi akashindwa ajibu
nini.Akakumbuka kwamba wakati
akiongea na Godson jana usiku
Elvis alikuwepo karibu.”
“Mimi nilidhani ni rafiki yako
ambaye unaweza ukanieleza kitu
chochote lakini kumbe si mtu
muhimu kwako hata kidogo.”
Akasema Elvis
“ Elvis,I’m sorry.Jana ulisikia
maongezi yangu na Godson pale bustanini.Samahani kama
nilikukera na samahani kwa
kutokueleza kuhusu jambo hili
kwani niliona halikuwa na
umuhimu wowote wa kukueleza
kwani ni la kibinafsi zaidi.”
Akasema Patricia
“ Patricia halikuwa na umuhimu
kwako lakini kwangu mimi lina
umuhimu mkubwa.Kama rafik
yako nilihitaji kujua kama uko
katika mahusiano au vipi”
akasema Elvis
“ Elvis kuna mambo ambayo ni
ya ndani sana na ambayo si
lazima kuyaweka hadharani kwa
kila mtu.”
“ Ni kweli ni suala binafsi lakini
kulikuwa na ulazima wa kunieleza
ukweli ili nifahamu.Hukupaswa
kunificha”
“ Samahani kwa hilo
Elvis.Naomba basi nitumie nafasi
hii kukueleza ukweli” akasema Patricia halafu akamshika mkono
Elvis na kwenda kuketi juu ya jiwe
“Mtu niliyekuwa nikiongea naye
jana usiku anaitwa Godson.Ni
mdogo wake Juliana.Nilikutana
naye siku Juliana aliponifanyia
sherehe ndogo ya kunipongeza
nyumbani kwao.Toka siku ile
tukatokea kuwa marafiki .Ukaribu
wetu ulizidi pale alipoanza
kunifundisha kompyuta.Siku moja
kabla sijaondoka kuja shuleni
Godson alinipeleka ufukweni na
ndipo aliponieleza kwamba
ananipenda na anataka tuwe
wapenzi.Nilimkatalia kwamba
hatuwezi kuwa wapenzi kwa
sababu bado ninasoma.Alionyesha
kunielewa na akaniomba
tuendelee kuwa
marafiki.Nimekuwa nikiwasiliana
naye karibu kila siku na jana
wakati nikiongea naye
alinikumbusha kuhusu ombi lake
la mimi na ye ye kuwa wapenzi” Akasema Patricia.Elvis akavuta
pumzi ndefu.Maelezo yale
yalionekana kumchoma sana .
“ So you said Yes?
Swalilile likambabaisha kidogo
Patricia akajikaza na kusema
“ Yes.I said yes .Nilimkubalia
tuwe wapenzi.” Akasema Patricia
halafu ukimya mzito ukatanda.
“ I said yes because I cant
handle these feelings anymore”
akasema Patricia.Elvis akageuka
na kumtazama halafu akasema
“ This guy,do you love him?
Patricia akatabasamu na
kusema
“ Yes I do love him so
much.Toka nilipoonana naye
nimetokea kumpenda sana.Huyu
ni mwanaume wa kwanza
kumpenda katika maisha yangu”
akasema Patricia maneno ambayo
yalizidi kumnyong’onyeza Elvis
“Patricia nakushukuru kwa
kunieleza ukweli.Pamoja na hayo kuna mambo nataka
nikuase.Kwanza naomba ufahamu
kwamba mapenzi yapoo na kila
binadamu hupenda na hakuna
anayekuzuia kupenda kwa hiyo
kama huyo Godson ndiye mtu
ambaye una imani moyo wako
umemchagua basi nakupongeza
ila kuwa makini sana kwani siku
hizi walaghai wengi .Wengi
wamekuwa wakitamani badala ya
kupnda.Kitu kingine ninachotaka
kukushauri ni kwamba
umeufungua ukurasa mpya wa
mapenzi katika maisha
yako.Umeingia katika mapenzi na
siku zote mapenzi huwa ni upofu
na hivyo unapaswa kuwa
mwangalifu sana ili yasije
yakakuchanganya na kukupotezea
mwelekeo mzima wa maisha
yako.Mwisho naomba unifikishie
salamu zangu kwa huyo
kijana.Mwambie kwamba umempa
moyowako autunze na asithubutu kukutoa chozi.Siku akifanya
jambo lolote la kukuumiza he’ll
answer to me” akasema Elvis
halafu akamshika Patricia mkono
“ Twende tuondoke” akasema
Elvis.Patricia akamuangalia kwa
mshangao na kumuuliza
“ Elvis bado hujanieleza ni
jambo gani linalokusumbua kiasi
cha kukufanya usiingie darasani
siku ya leo? Naomba nawe uwe
muwazi kwangu kama nilivyokuwa
muwazi kwako” akasema Patricia
“ Patricia umesema mwenyewe
kwamba kuna mambo ambayo si
lazima kuyaweka wazi kwa hiyo
nasikitika kwamba sintaweza
kukwambia ni kitu gani
kinachonisumbua.Ni siri
yangu.Twende tuondoke” akasema
Elvis wakaondoka.
“Bado sijakata tamaa kwamba
siwezi kumpata Patricia.Nilifanya
makosa kutokumweleza ukweli
mapema kwamba ninampendalakini pamoja na hayo bado
nitaendelea kuwa karibu
naye.Patricia atakuwa wangu tu
muda utakapofika” akawaza Elvis
wakiwa njiani wakirejea shuleni
“ Kitu gani kinamshumbua
Elvis? He looks so
strange.Sijawahi kumuona akiwa
katika hali hii toka
nimemfahamu.Lazima kuna kitu
kinamsumbua kichwa
chake.Halafu kuna kitu
nimekigundua inaonekana
hakufurahishwa na kitendo cha
mimi kumwamba kwamba
nimemkubali Godson tuwe
wapenzi.Ninahisi hii inaweza
ikawa sababu ya mabadilio yake
ya ghafla.Kama ni kweli kwa nini
basi akwazike na jambo hili?
Whats going on with him? Is he in
love with me? Patricia akajiuliza
“ Ouh No ! That cant
happen.Elvis ni rafiki yangu
mkubwa na hata siku moja sjawahi hata kuota kwamba mimi
naye tunaweza kuwa wapenzi.Siku
zote nitaendelea kumuheshimu na
kumthamini kama rafiki na mtu
wa karibu sana.Kama ni kweli ana
hisia hizo za kunipenda anatakiwa
azifute kwa sababu tayari
nimeufungua moyo wangu kwa
Godson” akawaza Patricia
********************
Siku zilikwenda kwa kasi na
hatimaye muhula wa kwanza wa
masomo ukamalizika na shule
zikafungwa.Katika mthani wa
kumaliza muhula kama kawaida
yake Patricia alishika nafasi ya
kwanza.Elvis alishika nafasi ya
kumi na tatu.Yalikuwa ni matokeo ya kustusha sana kwa mtu kama
Elvis ambaye katika majaribo ya
kila mwezi hakuwahi kutoka nje
ya nafasi tano za juu
Usiku uliotangulia siku
yakufunga shule Patricia na Elvis
walikuwa bustanini
wakibadilishana mawazo.Pamoja
na maongezi lakini kuna jambo
lililokuwa linamuumiza kichwa
Patricia .Ni kuhusu kuporomoka
ghafla kwa kiwango cha Elvis toka
kushika nafasi tano za juu hadi
nafasi ya kumi na tatu
“ Patricia mbona unanitazama
namna hiyo? Akauliza Elvis baada
ya kugundua kwamba Patricia
amekuwa akimuangalia usoni kwa
muda mrefu
“ Elvis kuna jambo ambalo
nataka kukuuliza”
“ Uliza tu usihofu”
“ Elvis nimestushwa sana na
matokeo yako katika mtihani wa
kumaliza muhula.Sikuwahi kuota kama ungeweza kushika namba
ya kumi na tatu.Nini kimetokea?
Elvis ninakufahamu vizuri na
ninaufahamu uwezo wako na kila
mtu anashangaa ni jambo gani
limetokea hadi uporomoke namna
hii?
Elvis akatabasamu na kusema
“ Patricia nakushukuru sana
kwa ku0nyesha kuguswa na tatizo
hili.Ni kweli nimeporomoka sana
darasani kiasi cha kushangaza
lakini hakuna hata mtu moja
aliyeonekana kuguswa na matokeo
hayo na kutaka kujua kulikoni
zaidi yako.Ni wewe pekee ambaye
umeonyesha kunijali.Wewe ni
rafiki wa kweli na ndiyo namna
marafiki wanapaswa kuwa”
akasema Elvis halafu akameza
mate na kuendelea
“ Patricia siwezi kukuficha
kwamba ni kweli nina matatizo na
ndiyo yaliyonipelekea kushuka
kwa kiwango changu namna hii.” Matatizo gani hayo Elvis?
“ Utanisamehe Patricia lakini
sintaweza kukwambia kwa sababu
ni matatizo binafsi.Nitajitahidi
niendapo likizo niyamalize
matatizo yangu na nitakaporudi
muhula ujao nitakuwa katika
kiwango changu cha kawaida”
akasema Elvis
“ Nafurahi kusikia hvyo
Elvis.Nitakuwa nikiwasiliana nawe
kila siku ili nijue maendeleo yako
na tafadhali kama kuna jambo
lolote ambalo ninaweza kulifaya
linaloweza kukusadia katika
matatizo yako naomba uniambie
na niko tayari kukusaidia”
akasema Patricia
“ Nitafurahi sana kuwasiliana
nawe mara kwa mara Patricia
lakini kuna kitu kimoja ambacho
nataka kukukumbusha.Ni
kwamba unarudi nyumbani na
nina hakika huko utaonana na
mpenzi wako Godson.Tafadhali kuwa muangalifu sana .Dunia ya
sasa imejaa ulaghai mwingi.Sitaki
upatwe na tatizo lolote
Patricia.Sitaki kukuona
ukiumia,sitaki ujutie maamuzi
yako”
“ Ahsante sana Elvis kwa
kunikumbusha wajibu
wangu.Nakuahidi nitakuwa
makini” akasema Patricia
wakaagana na kila moja akaelekea
bwenini kwake kujiandaa na safari
ya kesho
******************
Ni jumamosi tulivu siku ambayo
mwanamitindo Juliana alikuwa
akisherehea siku yake ya
kuzaliwa.Ni wiki ya pili toka
Patricia arejee nyumbani kwa
likizo.Patricia alikuwa ni mwenye
furaha sana kwanza ni kwa
kuonana tena na mama yake
kipenzi pamoja na watu wake wa karibu kama Juliana na
wengineo,pili alikuwa na furaha
kwa kuendelea kushika nafasi ya
juu kabisa katika mitihani yake,
na tatu alikuwa mapenzini na
Godson ambaye wa sasa anafanya
kazi katika mtandao wa simu wa
MasaiTell.
Wageni waalikwa waliendelea
kuwasili nyumbani kwa akina
Juliana ambako sherehe ya
kumbu kumbu ya kuzaliwa kwa
mrembo huyu inafanyika.Patricia
na mama yake walikuwpo hapa
kuanzia asubuhi wakisaidia katika
shughuli mbali mbali za uandaaji
wa sherehe hii
Saa moja za joni sherehe
ikaanza.Juliana akajitokeza
bustanini akiwa amependeza
vilivyo kwa gauni zuri alilolibuni
yeye mwenyewe.Alikuwa
anatembea taratibu katika zuria
jekundu huku akisindikizwa na muziki laini.Watu wote walikuwa
wamesimama wakimshangilia
Godson aliyekuwa amependeza
ndani ya suti nzuri nyeusi,ndiye
aliyempokea jukwaani
wakakumbatiana
“ Happy birthday Juliana”
akasema Godson na kumuongoza
dada yake hadi katika meza
iliyokuwa na keki iliyotengenezwa
kwa ustadi mkubwa.Godson
akawasha mishumaa iliyokuwa
juu ya keki ile halafu Juliana
akaisogelea ,akafumba macho na
kuizima ile mishumaa,makofi
mengi na vgere gere vikasikika
Zoezi lililofuata ni kuwalisha
keki wageni waalikwa na baada ya
hapo kikafuata kipindi cha zawadi
na pongezi.Baada ya zoezi hilo
kukamilika,ukawadia muda wa
chakula na baadae ukafika wakati
wa vinywaji na muziki.Vinwaji vya
kila aina vilikuwepo.Juliana
akafungua muziki na Godson mdogo wake halafu watu wengine
nao wakajumuika kulisakata
rhumba.Patricia alikuwa
amesimama katika moja ya nguzo
akitabasamu na kufurahi namna
watu walivyokuwa wakijimwaga na
muziki.Mara akafunikwa macho
na viganja vya mikono,akaipapasa
halafu akacheka kidogo baada ya
kugundua alikuwa ni Godson
“ Pole sana Patricia “ akasema
Godson akiwa na glasi yake ya
kinywaji mkononi
“ Pole ya nini Godson?
“ Umefanya kazi kubwa sana leo
kuandaa sherehe hii.Sherehe
imefana sana hongera” akasema
Godson na Patricia akatabasamu
“ Its nothing Godson compared
to what Juliana has done to me”
akasema Patricia na kumfanya
Godson atabasamu
“ Unapenda kucheza muziki?
Akauliza GodosnHapana sijui hata huo muziki
wenyewe unachezwaje.Ninafurahi
tu kuwaona watu wakicheza”
“ Mimi mwenyewe sijisikii
kucheza .Twende tutafute mahala
tukae tuongee wakati watu
wakiendelea kuserebuka” akasema
Godson na kumshika Patricia
mkono wakazunguka nyuma ya
nyumba wakaenda kukaa katika
majani mazuri .Mwanga haukuwa
mkali eneo hili walilokaa hivyo
kwa mtu kuwaona mahala
walipokaa itakulazimu usogee
karibu zaidi.Patricia alionekana
kuogopa kuwepo kule peke yao
“Godson,itakuaje tukikutwa
huku peke yetu wakati wengine
wote wako katika sherehe? I’m
scared people might get
suspicious.Sitaki watu wafahamu
kuhusu mahusinao yetu” akasema
Patricia kwa wasi wasi.Godson
akamuwekea kidole mdomoni Shhhhhh!!!!,,Usiogope my
angel.Mimi ndiye mfalme wa
mahala hapa na isitoshe hakuna
mtu yeyote atakayekuja
huku.Patricia nafahamu toka
umerudi mama yako amekuwa
anakuchunga sana. Na hivyo
kufanya makutano yetu kuwa
magumu.Nina mambo mengi ya
kuongea nawe kuhusu
mustakabali mzima wa mapenzi
yetu.I want to show you how much
I love you” akasema Godson
“ Ni kweli Godson .Hata mimi
nina hamu sana ya kupata wasaa
mzuri wa kukaa nawe tukaongea
na kufurahi pamoja.Nitajitahidi
katika wiki hii nipate siku moja
ambayo itakuwa maalum kwa ajili
yetu”
Godson akasogea karibu zaidi
ya Patrcia halafu akauzungusha
mkono wake wa kushoto shingoni
mwa Patrcia na kumfanya astuke
.Wote wawili wakabakiwanatazamana halafu Godson
akasema
“ Patricia kuna zawadi ambayo
nimekuandalia,twende ndani
nikakupatie” akasema Godson
akamshika Paricia mkono na kwa
kupitia mlango wa nyuma
wakaingia ndani.Nyumba ilikuwa
kimya kabisa,watu wote walikuwa
bustanini wakilisakata
rhumba.Godson aamuongoza
Patricia hadi chumbani kwake na
kumkaribisha.Patricia akasita
kuingia
“ Usiogope Patricia.Hakuna mtu
yeyote aliyekuona wala atakayejua
kwamnba uko humu
chumbani.Ingia tafadhali kabla
hajatokea mtu na kukukuta hapa
mlangoni” akasema Godson na
kwa wasi wasi mwingi Patricia
akaingia .Kilikuwa ni chumba
kikubwa na kizuri.Patricia
akatabasamu Chumba chako kizuri
sana.Nimezipenda picha zako za
ukutani” akasema Patricia.Godson
akacheka kidogo halafu
akamkaribisha Patricia
sofani.Akaenda katika kabati lake
kubwa akalifungua na kutoa
kiboksi kidogo chenye rangi
nyekundu ,akamshika mkono
Patricia na kumuoongoza hadi
katika kioo kikubwa.
“ Patricia you are blessed with
natural beauty..Do you know how
beautiful you are? Akauliza
Godson aliyekuwa amesimama
nyuma ya Patricia ambaye uso
wake ulionyesha woga mwingi
.Alihisi msisimko wa aina yake
pale mikono ya Godson ilipoigusa
shingo yake.Alihisi mapigo ya
moyo wake yakibadilika na kuanza
kwenda kwa kasi kubwa
Toka ndani ya boksi Godson
akatoa mkebe mdogo halafu
akaufungua na ndani yake kulikuwa na mkufu wa thamani
kubwa.Akamvisha Patricia
shingoni.Ilikuwa ni mara ya
kwanza kwa Patricia kuvaa
shingoni mkufu wa gharama
kubwa namna ile.Kwa furaha
akageuka na kusema
“ Ahsante sana Godson kwa
mkufu huu mzuri.Nimeupenda
sana” akasema Patricia huku uso
wake ukionyesha furaha
isiyoeleza.Godson akamvuta
karibu yake zaidi halafu akampiga
busu moja zito linalomfanya
Patricia aweweseke.Ilikuwa ni
mara yake ya kwanza kupigwa
busu na mwanaume.Mwili wote
ukamsisimka.Midomo yake
ikabaki inacheza akashindwa
kuongea akabaki anamtazama
Godson.Taratibu Godson
akaushusha mkono wake wa kulia
akivipitisha vidole vyake kati
katiya utiwa mgongo hadi
sehemu za kiunoni.Patricia akastuka na kutoa mguno Alihisi
kama macho yake yanaanza
kuona giza.Alisikia raha ya ajabu
“G..go…gods…on” akaita kwa
taabu Patricia huku akihema kwa
kasi na mara akashikwa sehemu
Fulani ambayo inamfanya asikie
raha isiyoelezeka.Akalegea kabisa
Ilikuwa ni mara yake ya kwanza
kusikia raha ya namna ile.Godson
akamuinua na kumuweka
kitandani
“ God..gods..on…N ..Dont/…..”
akasema Patricia kwa sauti dhaifu
lakini Godson tayari
alikwishapandwa na midadi
akaendeleza autundu katika
mwili wa Patricia ambaye
aliendelea kutoa miguno ya
kusikia raha.Godson alimfanyia
Patricia kila aina ya utundu na
kumpagawisha vilivyo.Baada ya
kuona Patricia hajiwezi
tena,Godson taratibu akaanza
kufungua vifungo vya blausi ya Patricia na akahisi
kuchanganyikiwa baada ya
kukishuhudia kifua cha Patricia
kilichobeba matiti madogo
yaliyosimama.Mwili ulizidi
kuchemka kwa ashki,akainama na
kuyabusu matiti yale ambayo
hayakuwahi kuguswa na
mwanaume yeyote hapo
kabla.Akayabusu na kuanza
kuyachezea.Patricia aliendelea
kutoa miguno kila pale
alipoguswa.Taratibu Godson
akafungua zipu ya sketi aliyokuwa
ameivaa Patricia na
kuivua.Patricia akabakiwa na
nguo ya ndani pekee.Godson
akazidi kuchanganyikiwa
alipoushuhudia mwili ule mwororo
.Akausogeza mkono na kuishika
ile nguo ya ndani na alipotaka
kuivua Patrcia akamshika mkono .
“God..Godson..No….” akasema
Patricia huku akiibana miguu
yale.Godson akamsogelea halafu akatoa ulimi na kuuingiza sikini
mwa Patricia kwa ufundi
sana.Patricia akatoa
ukelele.Godson akaendelea
kuuzungusha ulimi wake ndani ya
sikio la Patricia na taratibu
akamwambia
“ Usiogope mpenzi
wangu.Ninakupenda na
hautaumia”
“ Godson akaedelea
kuuchezesha ulimi sikioni mwa
Patricia na wakati huo huo kwa
kutumia mkono wake wa kulia
akaishika ile ngupo ya ndani ya
Patricia akaivua.Baada ya
kuhakikisha kwamba Patricia
ameandaliwa vya kutosha Godson
akavua nguo zake na kubaki
mtupu.Uume wake ulikuwa
umesimama wima tayari kwa
shughuli.Akachukua chupa ya
mafuta laini na kuupaka ili
asimuumize Patricia .Akapanda
kitandani na kumuweka Patricia katika mkao mzuri na kisha
akamuingiza rasmi katika
ulimwengu wa mapenzi.Patricia
alitoa ukelele na miguno.Alikuwa
ameondolewa bikira yake .
“ Ouh gosh ! I cant believe
this.Patricia..!! Ouh my angel,I love
you…I love you so much” akasema
Godson akiwa juu ya mwili wa
Patricia akinedelea na utundu .
Baada ya kufika
mshindo,Godson akajitupa
pembeni ya Patricia
“ Ouh gosh,Ive never met a
sweet girl like you Patricia”
akasema Godson huku akimbusu
Patricia ambaye machozi yalikuwa
yanamtoka.Godson akamfuta kwa
mikono yake.
“ Nyamaza kulia Patricia.Usilie
mpenzi wangu” Godson
akambembeleza Patricia ambaye
bado aliendelea kulia.Godson
akainuka na kwenda kuchukua
kitambaa akamfuta machozi Usilie Patricia.Usilie mpenzi
wangu” akasema Godson huku
akimbusu Patricia shavuni
“Godson kwa nini umenifanyia
hivi? Akauliza Patrcia huku akilia
“ Shhhhh..!!!!!...Patricia
tafadhali usikasirike.Huu ni
mwanzo mzuri wa mapenzi yetu.”
“ Godson tulikubaliana kwamba
hatutafanya mapenzi hadi
nitakapomaliza masomo
yangu.Kwa nini umevunja ahadi
yako na kunilaghai hadi tukafanya
?
“ Nisamehe Patricia.Nisamehe
mpenzi wangu.Ni kweli
hatukukubaliana hivi na hata
mimi sielewi imetokeaje tukajikuta
tukifanya”
Akasema Godsn na Patricia
akazid kutoa machozi
“ Umenitoa bikira yangu ambayo
ilikuwa ni zawadi kwa manaume
wangu wa kwanza
nitakayempenda ambaye ningemtunzia hadi tutakapofunga
ndoa.Kwa sasa sintakuwa na
thamani tena kwako”
akasemaPatricia na kuendelea
kuangusha machozi
“Tafadhali usiseme hivyo
Patricia.Hujui ni kwa kiasi gani
ninakupenda malaika
wangu.Wewe ndiye kila kitu
kwangu ,nakupeda zaidi ya
ninavyoweza kukueleza.Usiwe na
hofu yoyote kuhusu mimi”
akasema Godson
“ Godson nimekuwa na
mashaka kama kweli unanipenda
kwa dhati au lengo lako lilikuwa
kunitumia kimwili kwa tamaa
zako.Kama unanipenda kwa
namna ambayo umekuwa
ukiniambia kila siku basi
usingenishawishi tukafanya
mapenzi.” Akasema Patricia na
kukaa kitandani na mara
akastuka baada ya kukumbuka
kitu Fulani Gosh..!!! haukutumia hata
kinga.” Akasema Patricia kwa
ukali huku akimpiga Godson
makofi mgongoni.
“ Patricia i’m sorry lakini
hakuna tatizo.Ninajiamini na sina
matatizo yoyote” akasema Godson
.Patricia akainama na kulia
“ I’m so stupid..How could I be
so stupid .Kwa nini nimemuacha
Godson akanifanyia hivi? akalia
kwa uchungu Patrcia.Godson
akamtazama na kusema
“ Patricia inuka ukaoge ujiweke
vizuri.Wanaweza wakaanza
kututafuta akina Juliana”
akasema Godson
Patricia alishikwa na hasira
kiasi cha kushindwa kuongea
tena.Akainuka kitandani
akajitazama na kuitazama damu
kidogo iliyokuwa katika shuka
jeupe lililotundikwa kitandani
.Akazidi kuumia Gosh ! Ameniondolea usichana
wangu.Nimejitunza kwa miaka hii
yote lakini leo hii nimenaswa
kama ndege aliyeloa.I’m so stupid”
akawaza Patricia huku akivaa
nguo zake
“ Bafu lile pale Patricia,hutaki
kuoga? Akauliza Godson.Patricia
akamuangalia kwa jicho kali sana
halafu akaufungua mlango na
kutoka.Moja kwa moja akaelekea
chumbani kwa Juliana
akajitazama katika kioo na kulia
sana
“I’m so stupid” hili ndilo neno
alilobaki akilisema.Akaufungua
mlango wa bafuni na kuingia
kuoga.Bado picha ya tukio zima
lililotokea ikaendelea kumjia
kichwani.
“ Patricia msichana ambaye
ninaheshimika sana kwa uwezo
wangu mkubwa darasani lakini leo
hi nimenasa mtegoni.I’m so
fool.I’m so stupid.How could I let that bastard do that to me? Tena
hakutumia hata kinga.Vipi kama
akiniambukiza magonjwa hatari ya
zinaa? Ouh gosh how could I be so
stupid? Kibaya zaidi ninaweza
hata kupata mimba” Mwili wote
ukamsisimka pale wazo la kupewa
mimba lilipomjia kichwani.
“ Help me God mambo haya
yasinitokee.Juhudi zangu zote za
miaka hii yote za kujitunza,na
kujituma kusoma vyote vitakuwa
kazi bure.Ndoto zangu zote za
maisha zitapotea.” Patricia
akasema taratibu halafu
akamaliza kuoga akavaa nguo
zake.Wakati akiwa katika meza ya
vipodozi mara mlango
ukafunguliwa akaingia
Juliana.Akastuka baada ya
kumkuta Patricia mle chumbani
“ Patricia uko huku?
“ Ndiyo dada Juliana.Nilisikia
joto kali nikaona nije huku
kuoga.Mbona umeloana hivyo? Kuna rafiki zangu wamechelewa
wamefika muda si mrefu ndio
walioniogesha hii shampeni.”
Akasema Juliana huku akilivua
ganuni lake zuri na kuvaa lingine
halafu akaongozana na Patricia
kuelekea bustanini kuendelea na
sherehe.
Sherehe ziliendelea hadi
ilipotimu saa saba za
usiku.Wageni wakaondoka
zao.Baadhi ya wageni ambao
hawakujisikia kuondoka usiku ule
wakapewa nafasi ya kulala katika
vyumba vya wageni kwani jumba
lile lilikuwa kubwa na vyumba
vingi vya kulala.Mama yake
Patricia yeye alipewa chumba
chake maalum cha kulala halafu
Patricia yeye akaenda kulala
chumbani kwa Juliana
“Ouh thank God sherehe
imekwisha.Patricia nashukuru
sana kwa msaada wako mkubwa
katika kuifanikisha sherehe hii ambayo imependeza sana”
akasema Juliana wakati
wakijiandaa kulala
“ Ouh Dada Juliana please don’t
mention.Sijafanya chochote
kulinganisha na wema wako
kwangu.” Akasema Patricia
“ Ninafurahi sana kufahamiana
nanyi.Japokuwa wazazi wangu
wako mbali lakini kuwa karibu na
mama yako ninajiona ni kama vile
niko na wazazi wangu” akasema
Juliana .Patricia hakujibu kitu
akatabasamu.Juliana
akamsogelea akamtazama Patricia
usoni halafu akasema
“ Patricia I’ve noticed you’ve
changed suddenly.Umekuwa
mkimya na hata uso wako
umebadilika kitu ambacho si
kawaida yako.What happened?
Kuna kitu kimakukwaza mdogo
wangu? Are you not happy here?
Akauliza Juliana .Patricia
akashindwa kujizuia kutoa machozi .Juliana akazidi kuwa na
wasi wasi
“ Patricia are you ok? Akauliza
“ I’m ok”
“ Mbona unalia? What
happened? Kitu gani kinakuliza?
“Sina atizo lolote dada
Juliana.I’m just too emotional
today.Kila nikikumbuka mambo
yote ambayo umenifanyia toka
tumefahamiana nashindwa
kujizuia kutokwa na machozi.You
are very kind” akasema
Patricia.Juliana akamkumbatia
halafu akamuomba Patricia alale
apumzike
“ Patricia
ananidanganya.Something is
worng with her.Kitu gani
kinachomsumbua na kumtoa
machozi? Anyway nitatafuta nafasi
niongee naye vizuri ili anieleze kitu
gani kinachomkwaza.Kwa sasa
ngoja apumzike amefanya kazi kubwa sana siku ya leo” akawaza
Patricia
Ulikuwani usku mrefu mno kwa
Patricia.Ilimchukua muda mrefu
upata usingizi kutokana na
mawazo mengi aliyokuwa nayo.
Hatimaye kulipambazuika na
baada ya shughuli za usafi
kumalizika Patricia na mama yake
wakaanza kujiandaa ili warejee
nyumbani kwao.Kabla
hawajaondoka Patricia akamuita
Juliana chumbani kwake halafu
akatoa mkufu wa dhahabu
mfukoni na kumpatia
“Dada Juliana naomba umpatie
Godson mkufu huu.Alinipatia
kama zawadi lakini siwezi
kuuvaa” akasema Patricia.Juliana
akamuangalia na kusema
“ Patricia tell me what
happened? Godson amefanya kitu
chochote cha kukukwaza?Tell me
please” akasema Juliana “ Hapana dada
Juliana.Hajanifanyia jambo lolote
baya isipokuwa alinipatia mkufu
huu ambao una thamni kubwa
tofauti na mimi.Sina thamani ya
mkufu huu wa gharama kubwa”
akasema Patricia na kuzidi
kumshangaza Juliana
“ Patricia wewe ni mdogo
wangu.Please be honest with
me.Did you and Godson had a
fight? Godson aliniambia kwamba
umemkubalia muwe wapenzi sasa
nashangaa nini kimteokea?
Patricia akavuta machozi na
kusema
“ Ni kweli tulikuwa wapenzi but
not anymore.” Akasema Patricia
“ Patricia mbona hutaki
kunieleza nini kimetokea? Godson
amekufanya nini?
Patricia akainama akakosa neno
la kusema .Akainua kichwa na
kusema Dada Juliana thank you for
everything.I have to go” akasema
Patricia ,akageuka akafungua
mlango na kutoka.Juliana alibaki
anashangaa .Akachukua funguo
ya gari na kuwarudisha Patricia
na mama yake nyumbani.Garini
Patricia alikuwa mkimya
sana.Kichwa chake kilikuwa na
mawazo mengi sana
“ I’m so stupid.Ilikuaje
nimruhusu Godson anivue nguo
na kunifanyia vile.? I’m so weak
and stupid.Nilimepnda sana
Godson lakini kwa sasa simtaki
tena kwa kushindwa kuyaheshimu
mapatano yetu ambayo
tulikubaliana kwamba
hatutafanya mapenzi hadi pale
nitakapokuwa nimemaliza
masomo yangu.Lakini
amenishawishi hadi tukafanya
mapenzi.It was my first ime and I
didnt know what to do.Sitaki tena
kusikia suala la mahusiano.Sitaki tena kusikia suala la
mapenzi.From today,I erase
Godson from my heart and evey
fibre of my body” akawaza Patricia
akiwa garini
Kwa siku zote zilizofuata
Patricia hakuwa akitoka
numbani.Alikuwa mkimya sana na
muda mwingi aliutumia
kujisomea.Hakuwasiliana tena na
Godson na hakutaka tena
kuonana naye licha ya Godson
kujitahidi kumtafuta kwa juhudi
zote ili waongee kuweka sawa
mambo
*****************
 
Safi sana...

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.. haya sasa Patricia ndiyo kashajiingiza kwenye mapenzi na Godson... na mpaka kuliwa kaliwa...

Inaonekana ataajingiza pia kwa Elvis...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom