Riwaya: Jina langu ni Pheady

Riwaya: Jina langu ni Pheady

Yote kwa yote hii riwaya lazima iishe ni mambo ya riziki tu ndio yamenibana.
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Yote kwa yote hii riwaya lazima iishe ni mambo ya riziki tu ndio yamenibana.
Sio fair aisee kama unataka watu wanunue au unataka kutoa kitabu ni vizuri ukatoa simulizi kidogo then waambie wasomaji wako kitabu kipo sokoni au wakutumie pesa kiasi gani ili uwatumie riwaya yote sio unatupeleka karibia riwaya kumalizika halafu unapotea na visingizio kibao kwani ulipoanza kupost ulikuwa hutafuti pesa acha hizo bana.
 
Sio fair aisee kama unataka watu wanunue au unataka kutoa kitabu ni vizuri ukatoa simulizi kidogo then waambie wasomaji wako kitabu kipo sokoni au wakutumie pesa kiasi gani ili uwatumie riwaya yote sio unatupeleka karibia riwaya kumalizika halafu unapotea na visingizio kibao kwani ulipoanza kupost ulikuwa hutafuti pesa acha hizo bana.
Kabwe taratibu kaka kumbuka hajatuuzia hii riwaya kwaio acha apambanie family na ndio aje kwetu marafiki
 
Sio fair aisee kama unataka watu wanunue au unataka kutoa kitabu ni vizuri ukatoa simulizi kidogo then waambie wasomaji wako kitabu kipo sokoni au wakutumie pesa kiasi gani ili uwatumie riwaya yote sio unatupeleka karibia riwaya kumalizika halafu unapotea na visingizio kibao kwani ulipoanza kupost ulikuwa hutafuti pesa acha hizo bana.
Naijua alosto ya kusoma hivyo sikulaumu ila kwa sasa siiuzi na nitaimaliza hapa. Kuanzia j. Nne ni mwendo mdundo.
 
Sio fair aisee kama unataka watu wanunue au unataka kutoa kitabu ni vizuri ukatoa simulizi kidogo then waambie wasomaji wako kitabu kipo sokoni au wakutumie pesa kiasi gani ili uwatumie riwaya yote sio unatupeleka karibia riwaya kumalizika halafu unapotea na visingizio kibao kwani ulipoanza kupost ulikuwa hutafuti pesa acha hizo bana.
Waafrica tutafika mbinguni tumechoka sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KAZI IENDELEE


Tulipofika tulipoegesha gari letu tuliingia na kuwasha lilipo kuwa silence ndipo Sonno alisikika akisema 'unasemaje Pheady, tuelekee wapi?" Aliuliza Sonno aliyekuwa kwenye usukani. Sikiliza, kutokana na vitimbwi vilivyotukuta muda mfupi uliopita ni wazi hawa jamaa wanaelewa Kikakika alipo mpaka sasa. Hivyo turudi tukamchukue sasa hivi maana maana baada ya kutufanyia shambulizi sisi kitakachokuwa kimebaki ni kwenda kummaliza Kikakika. Kitu ambacho hawawezi kufanya sasa hivi, kwa hiyo sisi twende pale sasa hivi tukamtoe. Nilimueleza Sonno ambaye naye alikubaliana na mawazo yangu na kuondoa gari kuelekea tulikotoka. Tulipita sehemu tulipofanyiwa undundu tukaona hakuna dalili za suala lolote kujitokeza, tulielekea moja kwa moja zahanati na kuegesha gari tukaingia ndani.
"Vipi?" Daktari alituuliza huku akiwa na sura ya mshangao.
"Tumerudi kumchukua mgonjwa wetu." Nilisema
"Okey, hakuna tatizo ngoja niwaandalie dawa za kuendelea kutumia." Alisema daktari.
"Sawa wewe tuangalie, sisi tunamsaidia kuingia kwenye gari." Nilisema na kuondoka kuelekea chumba cha wagonjwa huku Sonno akinifuata nyuma. Tuliingia mle ndani na kumkuta Kikakika akiwa amesimama akionyesha kutaka kutoka hivi.
"Vipi, mbona mmerudi mapema namna hii? Alitulaki na swali alipotuona.
"Tumekuja kukuchukua," nilimuambia huku nikimtangazia hali ya hatari kwa njia ya ishara ya nacho. Alinielewa akaanza kukusanya kilicho chake. "Je mmeruhusiwa kumchukua?" Aliuliza muuguzi mmoja aliyekuwa kasimama karibu na kitanda cha mgonjwa aliyekuwa karibu na tulipo.
"Ndio." Alijibu Sonno.
Niligeuka kumuangalia vizuri huyo muuguzi na kubaini kuwa ndie yule aliyeongea na dereva wa ile gari iliyotufanyia shambulizi. Nikamuangalia mgonjwa aliyesimamiwa na yule muuguzi na kuona ni kijana mmoja hivi kaegemea mto huku akiaangalia upande wetu. Wote nikawaweka kwenye kumbukumbu za ubongo wangu. Kikakika alimaliza kukusanya vilivyo vyake tukatoka mle ndani na kupita kwa daktari aliyetupatia cheti na madawa tukaongoza kwenye gari. Kikakika alionekana kutembea kawaida tu ingawa ilikuwa kwa mwendo wa polepole. Tuliingia kwenye gari mie ndio nikashuka usukani, niligeuza na kuipa zahanati mgongo. Wakati nilipokuwa sawasawa kwenye barabara nilitupa macho nyuma kwa kutumia kioo cha pembeni nikamuona yule muuguzi akiwa amesimama mlangoni, nikapachika gia na kuongeza mwendo.
" Mie naona twende moja kwa moja nyumbani ndio tutaelezana mambo yote." Niliongea baada ya Kikakika kutaka kujua ni kwa nini tumeenda kumchukua ghafla namna ile wakati tuliahidi kuja baadae.

Nilikata kona mbili tatu hivi nikashika barabara iendayo uwanja wa ndege. Nilikanyaga moto chini moja kwa moja mpaka nyumbani kwa dada ambapo tulipafanya kama maficho yetu. Tulishuka na kuingia ndani wakati huo dada alishakwenda kwenye shughuri zake, kulikuwa na mfanyakazi tu. Tuliongozana mpaka chumbani kwetu na tulipofika nilitoa sigara nikawasha, Kikakika na Sonno walikaa vitandani. Nilivuta mikupuo kama miwili hivi alafu nikakohoa kidogo, wakati wote huo wenzangu walikuwa kimya tu.
"Unajua Kikakika mji huu unanuka mauti kwetu." Nilisema alafu nikaendelea kumueleza jinsi mambo yalivyokuwa.
"Inaonekana watu hawa wako makini sana na sisi" aliongea Kikakika baada ya kuwa nimemaliza kumueleza. Alafu akamalizia na swali. "Je Ina maana hapa tulipo hawajapagundua?
"Sidhani, kama wangekuwa wameishapagundua wangekuwa wemeishafika kufanya mambo yao kwa jinsi walivyo na uchu."Nilisema alafu Sonno akaunga mkono maneno yangu kwa kusema "Ni kweli hawajapagundua lakini lililopo ni kutawanyika haraka sana tuwaachie mji wao maana wanaweza kupafahamu alafu ikawa tabu kwa wenyeji wetu hapa." Alimaliza kuongea Sonno.
Ndio inabidi tutawanyike kabla ya kesho, hivyo mimi naona nikafanye mpango wa kupata usafiri wa basi pale stand, kwani najua pale bandarini hapapitiki kirahisi wanaweza kuninasa kirahisi. Nikitoka. Nikitoka kwenye suala la usafiri napitia kwa yule mzee wetu wa hapa kumpa taarifa ya mambo yetu ili awasiliane na Tabora. Baada ya hapo nitarudi hapa. Nyie mtaondoka kulingana na mimi, kwa kuwa wakati wa kuondoka itabidi mnisindikize na gari nikapandie Igoma, sitaweza kupandia basi pale stand. Tutaachana huko nanyi mtatafuta njia ya kwenda zenu alafu tutaonana Tabora baada ya wiki moja na nitakuja na mali zote tayari kwa mgawanyo.

Nilipomaliza maelezo yangu wote walikubaliana nayo isipokuwa Sonno alin'gang'ania twende naye kwenye mzunguko uliobaki kwa usalama zaidi na akaongezea lazima tuwe na siraha maana tunaweza kukurupushwa tukafa kama kondoo. Kikakika naye alimuunga mkono na kusisitiza lazima tuwe makini sana kwa masaa yaliyobaki maana hao washenzi wanahaha kama mbwa mwitu. Ilibidi nikubaliane nao na kumuambia Sonno ajiandae nami nilibadilisha jacket nililokuwa nimevaa kwa kuwa lilikuwa limetobolewa na risasi wakati wa shambulio. Sonno aye alibadili koti alafu tukapachika bastola zetu inapotakiwa Mimi nilichukua na visu viwili. Tulimuaga Kikakika na kumuambia tutarudi kabla ya saa nane mchana.

Tulipanda gari nami ndio nilikuwa dereva takaondoka na tulipofika round about ya CCM nikazungusha gari na kushika barabara ya Kenyatta, niliendelea mbele na baada ya mwendo kidogo nilikata kushoto na kushika barabara ya Rumumba niliongoza mpaka nikaunga barabara ya Nyerere nikaenda mpaka round about ya karibu na benki na kukata kulia kuelekea barabara ya Pamba, mbele kidogo nikakata kona kuelekea stand ya mabasi. Nilisimamisha gari na kuelekea ofisi za Tanganyika bus, nilifika mapokezi na kuuliza usafiri wa kwenda Bunda, maana hakukuwa na usafiri wa kampuni hiyo utokao Mwanza mpaka Ukerewe. Hivyo nilitaka nipate usafiri wowote unaoelekea Musoma nami ningeteremka Bunda na kutafuta usafiri mwingine. Muhudumu wa pale aliniambia kuna gari inaondoka saa kumi jioni. Nililipa pesa na kupewa tiketi ya hilo gari na baada ya hapo nilirudi kwenye gari letu nikashika usukani na kuliondoa sehemu hiyo.

"Vipi, umefanikiwa?" Aliuliza Sonno baada ya kuwa tumeshika barabara ya Pamba.
"Ndio, nitaondoka saa kumi, hivyo saa hizi ni kwenda kwa yule mzee." Nilisema.

Niliongoza barabara ya Pamba kufika mbele nikakata kushoto kuelekea Mwanza South. Gari ilishika kasi na baada ya muda mfupi tukawa tumefika tulipokuwa tunaelekea. Nilisimamisha gari karibu na getini na kutoa kichwa dirishani ambapo tulisabahiana na mlinzi alafu akafungua lango tukaingia na gari na kuisimamisha pembeni ya nyumba na kushuka. Kabla hatujaanza kuelekea kwenye jengo mlango ukifinguliwa na mzee Magesa akawa amesimama mlangoni. Mzee huyu alionekana enzi za ujana wake alikuwa tishio kwani alijaa barabara pale mlangoni kiasi cha kuuziba mlango na kuuzidi kidogo kwa urefu. Tulimfukia na kumsalimia naye alitujibu na kutupisha mlangoni huku akitukaribisha. Tuliongozana mpaka sebuleni na kukaa kwenye sofa yeye aliliendea jokofu na kutoa chupa za soda tatu ambapo alizifungua na kutukabidhi naye akibaki na moja huku akisema karibuni.

Nyumba ilikuwa tulivu kulionekana hakukuwa na mtu zaidi ndani ya nyumba, tulipokea zile soda huku tukisema asante. Tulianza kunywa na baada ya kupiga kama funda mbili hivi ndipo mzee Magesa aliuliza: "Vipi mgonjwa wetu na mipango yenu inaendeleaje?
"Mgonjwa tumeishamtoa na hivi sasa tumekuja kukuaga kwani inabidi tuondoke mji huu." Alisema Sonno.
"Inamaana ameishapona?" Aliuliza mzee Magesa huku akionyesha sura ya mshangao.
"Sio kwamba amepona ila amepata nafuu hivyo tukaona tumtoe maana wale washenzi waliomteka walishagundua hapo zahanati na wameisha tukosakosa na risasi. Kwa hiyo wewe wasiliana na Tabora sisi tunaondoka baadae kidogo kwa kutawanyika tutaripoti Tabora baada ya wiki tukiwa na mzigo tuliochukua. Maelezo zaidi tutawapa tukishatika maeneo haya ya Mwanza, tunaweza kuwasiliana nao huko Tabora." Nilisema.

Inamaana... Kabla mzee Magesa hakamaliza kusema tukasikia sauti ikisema "mikono juu! Wote tukashangaa na kuangalia sauti ilikotokea, hapo tukaona vijana wanne wakiwa wameshikilia bastola kutuelekea. Tukashikwa na butwaa. Nimesema mikona juu ilirudia sauti nasi tukatii bila shuruti. "Simameni" aliendelea kutoa amri yule aliyeonekana kuwa kiongozi wao. Tukasimama na watatu kati yao wakatusogelea na kutuamuru kutoka nje huku mmoja akiwa mbele yetu anarudi kinyumenyume huku akiwa ametuelekezea bastola. Tuliongozana kutoka mimi nikiwa mbele, Sonno akifatia na mzee Magasa akiwa wa mwisho nyuma huku akifuatiwa na hao washenzi wenye bastola. Yule aliyetangulia aliendelea kurudi kinyumenyume hata alipovuka mrango na kuingia kwenye korido inayotupereka kwanye mlango wa kutoka nje. Nami nilivuka mlango huku nikipiga hesabu za kuniokoa. Sonno alifuatia kuvuka vilevile. Wakati wote huo mikono yetu ilikuwa juu.

Ghafla wakati mzee Magesa anavuka, mlango ulijifunga kwa nyuma yake bila kutegemea. Wale vijana waliokuwa nyuma yetu wakawa bado wako ndani. Kitendo cha mlango kujifunga mie niliyekuwa mbele nilimuwahi aliyetangulia kwa teke moja la mkononi bastola yake ikaanguka pembeni. Yeye alirusha ngumi nikaiona na kuinama ikapita hapohapo nilichomoa kisu kwa kasi na kukichomeka kwenye tumbo lake. Alipiga ukelele huku akianguka chini. Wakati hayo yanatendeka Sonno na Mzee Magesa walikuwa wamebana pembeni ya mlango ulijifunga. Baada ya ukelele wa kifo kusikika mlango wa kutokea nje ulifunguliwa kwa nguvu na akajitosa kijana mmoja bastola mbili mikononi, ile kutahamaki akawa amesalimiana na risasi nne za Sonno zilizompeleka umautini. Niliruka na kuwahi kwenye mlango wa kutokea nje, nikachungulia nje na ni wakati nachungulia kulisikika mlio wa kupasuka mlango nyuma yangu. Nilijirusha nje na kujiviringisha chini huku nikikoswakoswa na risasi. Yule aliyenivurumishia risasi hakuona nyuma ya mlango hivyo alijikuta akila risasi kutoka kwa nyuma yake. Nikiwa nje niliweza kuona gari lilelile aina ya Range likiwa limepaki kwa mbali kidogo huku likiwa halina mtu.

Wale wawili waliobaki ndani baada ya kuhisi wenzao wameishakubwa na mauti waliamua kukimbia. Nikiwa nje nimebana kwenye ukuta niliona dirisha likifunguliwa nikawa makini. Ghafla alitoka mtu katika mruko wa kujiviringisha hewani na kutua chini huku akiendelea kujiviringisha kama tairi. Aliposimama tu nilimuweka risasi kama tatu hivi, alijirusha juu na alipotua tena alikuwa maiti tayari.
 
Asante mkuu tutafika tu.
 
  • Thanks
Reactions: ADK
KAZI IENDELEE


Tulipofika tulipoegesha gari letu tuliingia na kuwasha lilipo kuwa silence ndipo Sonno alisikika akisema 'unasemaje Pheady, tuelekee wapi?" Aliuliza Sonno aliyekuwa kwenye usukani. Sikiliza, kutokana na vitimbwi vilivyotukuta muda mfupi uliopita ni wazi hawa jamaa wanaelewa Kikakika alipo mpaka sasa. Hivyo turudi tukamchukue sasa hivi maana maana baada ya kutufanyia shambulizi sisi kitakachokuwa kimebaki ni kwenda kummaliza Kikakika. Kitu ambacho hawawezi kufanya sasa hivi, kwa hiyo sisi twende pale sasa hivi tukamtoe. Nilimueleza Sonno ambaye naye alikubaliana na mawazo yangu na kuondoa gari kuelekea tulikotoka. Tulipita sehemu tulipofanyiwa undundu tukaona hakuna dalili za suala lolote kujitokeza, tulielekea moja kwa moja zahanati na kuegesha gari tukaingia ndani.
"Vipi?" Daktari alituuliza huku akiwa na sura ya mshangao.
"Tumerudi kumchukua mgonjwa wetu." Nilisema
"Okey, hakuna tatizo ngoja niwaandalie dawa za kuendelea kutumia." Alisema daktari.
"Sawa wewe tuangalie, sisi tunamsaidia kuingia kwenye gari." Nilisema na kuondoka kuelekea chumba cha wagonjwa huku Sonno akinifuata nyuma. Tuliingia mle ndani na kumkuta Kikakika akiwa amesimama akionyesha kutaka kutoka hivi.
"Vipi, mbona mmerudi mapema namna hii? Alitulaki na swali alipotuona.
"Tumekuja kukuchukua," nilimuambia huku nikimtangazia hali ya hatari kwa njia ya ishara ya nacho. Alinielewa akaanza kukusanya kilicho chake. "Je mmeruhusiwa kumchukua?" Aliuliza muuguzi mmoja aliyekuwa kasimama karibu na kitanda cha mgonjwa aliyekuwa karibu na tulipo.
"Ndio." Alijibu Sonno.
Niligeuka kumuangalia vizuri huyo muuguzi na kubaini kuwa ndie yule aliyeongea na dereva wa ile gari iliyotufanyia shambulizi. Nikamuangalia mgonjwa aliyesimamiwa na yule muuguzi na kuona ni kijana mmoja hivi kaegemea mto huku akiaangalia upande wetu. Wote nikawaweka kwenye kumbukumbu za ubongo wangu. Kikakika alimaliza kukusanya vilivyo vyake tukatoka mle ndani na kupita kwa daktari aliyetupatia cheti na madawa tukaongoza kwenye gari. Kikakika alionekana kutembea kawaida tu ingawa ilikuwa kwa mwendo wa polepole. Tuliingia kwenye gari mie ndio nikashuka usukani, niligeuza na kuipa zahanati mgongo. Wakati nilipokuwa sawasawa kwenye barabara nilitupa macho nyuma kwa kutumia kioo cha pembeni nikamuona yule muuguzi akiwa amesimama mlangoni, nikapachika gia na kuongeza mwendo.
" Mie naona twende moja kwa moja nyumbani ndio tutaelezana mambo yote." Niliongea baada ya Kikakika kutaka kujua ni kwa nini tumeenda kumchukua ghafla namna ile wakati tuliahidi kuja baadae.

Nilikata kona mbili tatu hivi nikashika barabara iendayo uwanja wa ndege. Nilikanyaga moto chini moja kwa moja mpaka nyumbani kwa dada ambapo tulipafanya kama maficho yetu. Tulishuka na kuingia ndani wakati huo dada alishakwenda kwenye shughuri zake, kulikuwa na mfanyakazi tu. Tuliongozana mpaka chumbani kwetu na tulipofika nilitoa sigara nikawasha, Kikakika na Sonno walikaa vitandani. Nilivuta mikupuo kama miwili hivi alafu nikakohoa kidogo, wakati wote huo wenzangu walikuwa kimya tu.
"Unajua Kikakika mji huu unanuka mauti kwetu." Nilisema alafu nikaendelea kumueleza jinsi mambo yalivyokuwa.
"Inaonekana watu hawa wako makini sana na sisi" aliongea Kikakika baada ya kuwa nimemaliza kumueleza. Alafu akamalizia na swali. "Je Ina maana hapa tulipo hawajapagundua?
"Sidhani, kama wangekuwa wameishapagundua wangekuwa wemeishafika kufanya mambo yao kwa jinsi walivyo na uchu."Nilisema alafu Sonno akaunga mkono maneno yangu kwa kusema "Ni kweli hawajapagundua lakini lililopo ni kutawanyika haraka sana tuwaachie mji wao maana wanaweza kupafahamu alafu ikawa tabu kwa wenyeji wetu hapa." Alimaliza kuongea Sonno.
Ndio inabidi tutawanyike kabla ya kesho, hivyo mimi naona nikafanye mpango wa kupata usafiri wa basi pale stand, kwani najua pale bandarini hapapitiki kirahisi wanaweza kuninasa kirahisi. Nikitoka. Nikitoka kwenye suala la usafiri napitia kwa yule mzee wetu wa hapa kumpa taarifa ya mambo yetu ili awasiliane na Tabora. Baada ya hapo nitarudi hapa. Nyie mtaondoka kulingana na mimi, kwa kuwa wakati wa kuondoka itabidi mnisindikize na gari nikapandie Igoma, sitaweza kupandia basi pale stand. Tutaachana huko nanyi mtatafuta njia ya kwenda zenu alafu tutaonana Tabora baada ya wiki moja na nitakuja na mali zote tayari kwa mgawanyo.

Nilipomaliza maelezo yangu wote walikubaliana nayo isipokuwa Sonno alin'gang'ania twende naye kwenye mzunguko uliobaki kwa usalama zaidi na akaongezea lazima tuwe na siraha maana tunaweza kukurupushwa tukafa kama kondoo. Kikakika naye alimuunga mkono na kusisitiza lazima tuwe makini sana kwa masaa yaliyobaki maana hao washenzi wanahaha kama mbwa mwitu. Ilibidi nikubaliane nao na kumuambia Sonno ajiandae nami nilibadilisha jacket nililokuwa nimevaa kwa kuwa lilikuwa limetobolewa na risasi wakati wa shambulio. Sonno aye alibadili koti alafu tukapachika bastola zetu inapotakiwa Mimi nilichukua na visu viwili. Tulimuaga Kikakika na kumuambia tutarudi kabla ya saa nane mchana.

Tulipanda gari nami ndio nilikuwa dereva takaondoka na tulipofika round about ya CCM nikazungusha gari na kushika barabara ya Kenyatta, niliendelea mbele na baada ya mwendo kidogo nilikata kushoto na kushika barabara ya Rumumba niliongoza mpaka nikaunga barabara ya Nyerere nikaenda mpaka round about ya karibu na benki na kukata kulia kuelekea barabara ya Pamba, mbele kidogo nikakata kona kuelekea stand ya mabasi. Nilisimamisha gari na kuelekea ofisi za Tanganyika bus, nilifika mapokezi na kuuliza usafiri wa kwenda Bunda, maana hakukuwa na usafiri wa kampuni hiyo utokao Mwanza mpaka Ukerewe. Hivyo nilitaka nipate usafiri wowote unaoelekea Musoma nami ningeteremka Bunda na kutafuta usafiri mwingine. Muhudumu wa pale aliniambia kuna gari inaondoka saa kumi jioni. Nililipa pesa na kupewa tiketi ya hilo gari na baada ya hapo nilirudi kwenye gari letu nikashika usukani na kuliondoa sehemu hiyo.

"Vipi, umefanikiwa?" Aliuliza Sonno baada ya kuwa tumeshika barabara ya Pamba.
"Ndio, nitaondoka saa kumi, hivyo saa hizi ni kwenda kwa yule mzee." Nilisema.

Niliongoza barabara ya Pamba kufika mbele nikakata kushoto kuelekea Mwanza South. Gari ilishika kasi na baada ya muda mfupi tukawa tumefika tulipokuwa tunaelekea. Nilisimamisha gari karibu na getini na kutoa kichwa dirishani ambapo tulisabahiana na mlinzi alafu akafungua lango tukaingia na gari na kuisimamisha pembeni ya nyumba na kushuka. Kabla hatujaanza kuelekea kwenye jengo mlango ukifinguliwa na mzee Magesa akawa amesimama mlangoni. Mzee huyu alionekana enzi za ujana wake alikuwa tishio kwani alijaa barabara pale mlangoni kiasi cha kuuziba mlango na kuuzidi kidogo kwa urefu. Tulimfukia na kumsalimia naye alitujibu na kutupisha mlangoni huku akitukaribisha. Tuliongozana mpaka sebuleni na kukaa kwenye sofa yeye aliliendea jokofu na kutoa chupa za soda tatu ambapo alizifungua na kutukabidhi naye akibaki na moja huku akisema karibuni.

Nyumba ilikuwa tulivu kulionekana hakukuwa na mtu zaidi ndani ya nyumba, tulipokea zile soda huku tukisema asante. Tulianza kunywa na baada ya kupiga kama funda mbili hivi ndipo mzee Magesa aliuliza: "Vipi mgonjwa wetu na mipango yenu inaendeleaje?
"Mgonjwa tumeishamtoa na hivi sasa tumekuja kukuaga kwani inabidi tuondoke mji huu." Alisema Sonno.
"Inamaana ameishapona?" Aliuliza mzee Magesa huku akionyesha sura ya mshangao.
"Sio kwamba amepona ila amepata nafuu hivyo tukaona tumtoe maana wale washenzi waliomteka walishagundua hapo zahanati na wameisha tukosakosa na risasi. Kwa hiyo wewe wasiliana na Tabora sisi tunaondoka baadae kidogo kwa kutawanyika tutaripoti Tabora baada ya wiki tukiwa na mzigo tuliochukua. Maelezo zaidi tutawapa tukishatika maeneo haya ya Mwanza, tunaweza kuwasiliana nao huko Tabora." Nilisema.

Inamaana... Kabla mzee Magesa hakamaliza kusema tukasikia sauti ikisema "mikono juu! Wote tukashangaa na kuangalia sauti ilikotokea, hapo tukaona vijana wanne wakiwa wameshikilia bastola kutuelekea. Tukashikwa na butwaa. Nimesema mikona juu ilirudia sauti nasi tukatii bila shuruti. "Simameni" aliendelea kutoa amri yule aliyeonekana kuwa kiongozi wao. Tukasimama na watatu kati yao wakatusogelea na kutuamuru kutoka nje huku mmoja akiwa mbele yetu anarudi kinyumenyume huku akiwa ametuelekezea bastola. Tuliongozana kutoka mimi nikiwa mbele, Sonno akifatia na mzee Magasa akiwa wa mwisho nyuma huku akifuatiwa na hao washenzi wenye bastola. Yule aliyetangulia aliendelea kurudi kinyumenyume hata alipovuka mrango na kuingia kwenye korido inayotupereka kwanye mlango wa kutoka nje. Nami nilivuka mlango huku nikipiga hesabu za kuniokoa. Sonno alifuatia kuvuka vilevile. Wakati wote huo mikono yetu ilikuwa juu.

Ghafla wakati mzee Magesa anavuka, mlango ulijifunga kwa nyuma yake bila kutegemea. Wale vijana waliokuwa nyuma yetu wakawa bado wako ndani. Kitendo cha mlango kujifunga mie niliyekuwa mbele nilimuwahi aliyetangulia kwa teke moja la mkononi bastola yake ikaanguka pembeni. Yeye alirusha ngumi nikaiona na kuinama ikapita hapohapo nilichomoa kisu kwa kasi na kukichomeka kwenye tumbo lake. Alipiga ukelele huku akianguka chini. Wakati hayo yanatendeka Sonno na Mzee Magesa walikuwa wamebana pembeni ya mlango ulijifunga. Baada ya ukelele wa kifo kusikika mlango wa kutokea nje ulifunguliwa kwa nguvu na akajitosa kijana mmoja bastola mbili mikononi, ile kutahamaki akawa amesalimiana na risasi nne za Sonno zilizompeleka umautini. Niliruka na kuwahi kwenye mlango wa kutokea nje, nikachungulia nje na ni wakati nachungulia kulisikika mlio wa kupasuka mlango nyuma yangu. Nilijirusha nje na kujiviringisha chini huku nikikoswakoswa na risasi. Yule aliyenivurumishia risasi hakuona nyuma ya mlango hivyo alijikuta akila risasi kutoka kwa nyuma yake. Nikiwa nje niliweza kuona gari lilelile aina ya Range likiwa limepaki kwa mbali kidogo huku likiwa halina mtu.

Wale wawili waliobaki ndani baada ya kuhisi wenzao wameishakubwa na mauti waliamua kukimbia. Nikiwa nje nimebana kwenye ukuta niliona dirisha likifunguliwa nikawa makini. Ghafla alitoka mtu katika mruko wa kujiviringisha hewani na kutua chini huku akiendelea kujiviringisha kama tairi. Aliposimama tu nilimuweka risasi kama tatu hivi, alijirusha juu na alipotua tena alikuwa maiti tayari.
Ahsante sana mkuu kazi iendelee
 
KAZI IENDELEE


Tulipofika tulipoegesha gari letu tuliingia na kuwasha lilipo kuwa silence ndipo Sonno alisikika akisema 'unasemaje Pheady, tuelekee wapi?" Aliuliza Sonno aliyekuwa kwenye usukani. Sikiliza, kutokana na vitimbwi vilivyotukuta muda mfupi uliopita ni wazi hawa jamaa wanaelewa Kikakika alipo mpaka sasa. Hivyo turudi tukamchukue sasa hivi maana maana baada ya kutufanyia shambulizi sisi kitakachokuwa kimebaki ni kwenda kummaliza Kikakika. Kitu ambacho hawawezi kufanya sasa hivi, kwa hiyo sisi twende pale sasa hivi tukamtoe. Nilimueleza Sonno ambaye naye alikubaliana na mawazo yangu na kuondoa gari kuelekea tulikotoka. Tulipita sehemu tulipofanyiwa undundu tukaona hakuna dalili za suala lolote kujitokeza, tulielekea moja kwa moja zahanati na kuegesha gari tukaingia ndani.
"Vipi?" Daktari alituuliza huku akiwa na sura ya mshangao.
"Tumerudi kumchukua mgonjwa wetu." Nilisema
"Okey, hakuna tatizo ngoja niwaandalie dawa za kuendelea kutumia." Alisema daktari.
"Sawa wewe tuangalie, sisi tunamsaidia kuingia kwenye gari." Nilisema na kuondoka kuelekea chumba cha wagonjwa huku Sonno akinifuata nyuma. Tuliingia mle ndani na kumkuta Kikakika akiwa amesimama akionyesha kutaka kutoka hivi.
"Vipi, mbona mmerudi mapema namna hii? Alitulaki na swali alipotuona.
"Tumekuja kukuchukua," nilimuambia huku nikimtangazia hali ya hatari kwa njia ya ishara ya nacho. Alinielewa akaanza kukusanya kilicho chake. "Je mmeruhusiwa kumchukua?" Aliuliza muuguzi mmoja aliyekuwa kasimama karibu na kitanda cha mgonjwa aliyekuwa karibu na tulipo.
"Ndio." Alijibu Sonno.
Niligeuka kumuangalia vizuri huyo muuguzi na kubaini kuwa ndie yule aliyeongea na dereva wa ile gari iliyotufanyia shambulizi. Nikamuangalia mgonjwa aliyesimamiwa na yule muuguzi na kuona ni kijana mmoja hivi kaegemea mto huku akiaangalia upande wetu. Wote nikawaweka kwenye kumbukumbu za ubongo wangu. Kikakika alimaliza kukusanya vilivyo vyake tukatoka mle ndani na kupita kwa daktari aliyetupatia cheti na madawa tukaongoza kwenye gari. Kikakika alionekana kutembea kawaida tu ingawa ilikuwa kwa mwendo wa polepole. Tuliingia kwenye gari mie ndio nikashuka usukani, niligeuza na kuipa zahanati mgongo. Wakati nilipokuwa sawasawa kwenye barabara nilitupa macho nyuma kwa kutumia kioo cha pembeni nikamuona yule muuguzi akiwa amesimama mlangoni, nikapachika gia na kuongeza mwendo.
" Mie naona twende moja kwa moja nyumbani ndio tutaelezana mambo yote." Niliongea baada ya Kikakika kutaka kujua ni kwa nini tumeenda kumchukua ghafla namna ile wakati tuliahidi kuja baadae.

Nilikata kona mbili tatu hivi nikashika barabara iendayo uwanja wa ndege. Nilikanyaga moto chini moja kwa moja mpaka nyumbani kwa dada ambapo tulipafanya kama maficho yetu. Tulishuka na kuingia ndani wakati huo dada alishakwenda kwenye shughuri zake, kulikuwa na mfanyakazi tu. Tuliongozana mpaka chumbani kwetu na tulipofika nilitoa sigara nikawasha, Kikakika na Sonno walikaa vitandani. Nilivuta mikupuo kama miwili hivi alafu nikakohoa kidogo, wakati wote huo wenzangu walikuwa kimya tu.
"Unajua Kikakika mji huu unanuka mauti kwetu." Nilisema alafu nikaendelea kumueleza jinsi mambo yalivyokuwa.
"Inaonekana watu hawa wako makini sana na sisi" aliongea Kikakika baada ya kuwa nimemaliza kumueleza. Alafu akamalizia na swali. "Je Ina maana hapa tulipo hawajapagundua?
"Sidhani, kama wangekuwa wameishapagundua wangekuwa wemeishafika kufanya mambo yao kwa jinsi walivyo na uchu."Nilisema alafu Sonno akaunga mkono maneno yangu kwa kusema "Ni kweli hawajapagundua lakini lililopo ni kutawanyika haraka sana tuwaachie mji wao maana wanaweza kupafahamu alafu ikawa tabu kwa wenyeji wetu hapa." Alimaliza kuongea Sonno.
Ndio inabidi tutawanyike kabla ya kesho, hivyo mimi naona nikafanye mpango wa kupata usafiri wa basi pale stand, kwani najua pale bandarini hapapitiki kirahisi wanaweza kuninasa kirahisi. Nikitoka. Nikitoka kwenye suala la usafiri napitia kwa yule mzee wetu wa hapa kumpa taarifa ya mambo yetu ili awasiliane na Tabora. Baada ya hapo nitarudi hapa. Nyie mtaondoka kulingana na mimi, kwa kuwa wakati wa kuondoka itabidi mnisindikize na gari nikapandie Igoma, sitaweza kupandia basi pale stand. Tutaachana huko nanyi mtatafuta njia ya kwenda zenu alafu tutaonana Tabora baada ya wiki moja na nitakuja na mali zote tayari kwa mgawanyo.

Nilipomaliza maelezo yangu wote walikubaliana nayo isipokuwa Sonno alin'gang'ania twende naye kwenye mzunguko uliobaki kwa usalama zaidi na akaongezea lazima tuwe na siraha maana tunaweza kukurupushwa tukafa kama kondoo. Kikakika naye alimuunga mkono na kusisitiza lazima tuwe makini sana kwa masaa yaliyobaki maana hao washenzi wanahaha kama mbwa mwitu. Ilibidi nikubaliane nao na kumuambia Sonno ajiandae nami nilibadilisha jacket nililokuwa nimevaa kwa kuwa lilikuwa limetobolewa na risasi wakati wa shambulio. Sonno aye alibadili koti alafu tukapachika bastola zetu inapotakiwa Mimi nilichukua na visu viwili. Tulimuaga Kikakika na kumuambia tutarudi kabla ya saa nane mchana.

Tulipanda gari nami ndio nilikuwa dereva takaondoka na tulipofika round about ya CCM nikazungusha gari na kushika barabara ya Kenyatta, niliendelea mbele na baada ya mwendo kidogo nilikata kushoto na kushika barabara ya Rumumba niliongoza mpaka nikaunga barabara ya Nyerere nikaenda mpaka round about ya karibu na benki na kukata kulia kuelekea barabara ya Pamba, mbele kidogo nikakata kona kuelekea stand ya mabasi. Nilisimamisha gari na kuelekea ofisi za Tanganyika bus, nilifika mapokezi na kuuliza usafiri wa kwenda Bunda, maana hakukuwa na usafiri wa kampuni hiyo utokao Mwanza mpaka Ukerewe. Hivyo nilitaka nipate usafiri wowote unaoelekea Musoma nami ningeteremka Bunda na kutafuta usafiri mwingine. Muhudumu wa pale aliniambia kuna gari inaondoka saa kumi jioni. Nililipa pesa na kupewa tiketi ya hilo gari na baada ya hapo nilirudi kwenye gari letu nikashika usukani na kuliondoa sehemu hiyo.

"Vipi, umefanikiwa?" Aliuliza Sonno baada ya kuwa tumeshika barabara ya Pamba.
"Ndio, nitaondoka saa kumi, hivyo saa hizi ni kwenda kwa yule mzee." Nilisema.

Niliongoza barabara ya Pamba kufika mbele nikakata kushoto kuelekea Mwanza South. Gari ilishika kasi na baada ya muda mfupi tukawa tumefika tulipokuwa tunaelekea. Nilisimamisha gari karibu na getini na kutoa kichwa dirishani ambapo tulisabahiana na mlinzi alafu akafungua lango tukaingia na gari na kuisimamisha pembeni ya nyumba na kushuka. Kabla hatujaanza kuelekea kwenye jengo mlango ukifinguliwa na mzee Magesa akawa amesimama mlangoni. Mzee huyu alionekana enzi za ujana wake alikuwa tishio kwani alijaa barabara pale mlangoni kiasi cha kuuziba mlango na kuuzidi kidogo kwa urefu. Tulimfukia na kumsalimia naye alitujibu na kutupisha mlangoni huku akitukaribisha. Tuliongozana mpaka sebuleni na kukaa kwenye sofa yeye aliliendea jokofu na kutoa chupa za soda tatu ambapo alizifungua na kutukabidhi naye akibaki na moja huku akisema karibuni.

Nyumba ilikuwa tulivu kulionekana hakukuwa na mtu zaidi ndani ya nyumba, tulipokea zile soda huku tukisema asante. Tulianza kunywa na baada ya kupiga kama funda mbili hivi ndipo mzee Magesa aliuliza: "Vipi mgonjwa wetu na mipango yenu inaendeleaje?
"Mgonjwa tumeishamtoa na hivi sasa tumekuja kukuaga kwani inabidi tuondoke mji huu." Alisema Sonno.
"Inamaana ameishapona?" Aliuliza mzee Magesa huku akionyesha sura ya mshangao.
"Sio kwamba amepona ila amepata nafuu hivyo tukaona tumtoe maana wale washenzi waliomteka walishagundua hapo zahanati na wameisha tukosakosa na risasi. Kwa hiyo wewe wasiliana na Tabora sisi tunaondoka baadae kidogo kwa kutawanyika tutaripoti Tabora baada ya wiki tukiwa na mzigo tuliochukua. Maelezo zaidi tutawapa tukishatika maeneo haya ya Mwanza, tunaweza kuwasiliana nao huko Tabora." Nilisema.

Inamaana... Kabla mzee Magesa hakamaliza kusema tukasikia sauti ikisema "mikono juu! Wote tukashangaa na kuangalia sauti ilikotokea, hapo tukaona vijana wanne wakiwa wameshikilia bastola kutuelekea. Tukashikwa na butwaa. Nimesema mikona juu ilirudia sauti nasi tukatii bila shuruti. "Simameni" aliendelea kutoa amri yule aliyeonekana kuwa kiongozi wao. Tukasimama na watatu kati yao wakatusogelea na kutuamuru kutoka nje huku mmoja akiwa mbele yetu anarudi kinyumenyume huku akiwa ametuelekezea bastola. Tuliongozana kutoka mimi nikiwa mbele, Sonno akifatia na mzee Magasa akiwa wa mwisho nyuma huku akifuatiwa na hao washenzi wenye bastola. Yule aliyetangulia aliendelea kurudi kinyumenyume hata alipovuka mrango na kuingia kwenye korido inayotupereka kwanye mlango wa kutoka nje. Nami nilivuka mlango huku nikipiga hesabu za kuniokoa. Sonno alifuatia kuvuka vilevile. Wakati wote huo mikono yetu ilikuwa juu.

Ghafla wakati mzee Magesa anavuka, mlango ulijifunga kwa nyuma yake bila kutegemea. Wale vijana waliokuwa nyuma yetu wakawa bado wako ndani. Kitendo cha mlango kujifunga mie niliyekuwa mbele nilimuwahi aliyetangulia kwa teke moja la mkononi bastola yake ikaanguka pembeni. Yeye alirusha ngumi nikaiona na kuinama ikapita hapohapo nilichomoa kisu kwa kasi na kukichomeka kwenye tumbo lake. Alipiga ukelele huku akianguka chini. Wakati hayo yanatendeka Sonno na Mzee Magesa walikuwa wamebana pembeni ya mlango ulijifunga. Baada ya ukelele wa kifo kusikika mlango wa kutokea nje ulifunguliwa kwa nguvu na akajitosa kijana mmoja bastola mbili mikononi, ile kutahamaki akawa amesalimiana na risasi nne za Sonno zilizompeleka umautini. Niliruka na kuwahi kwenye mlango wa kutokea nje, nikachungulia nje na ni wakati nachungulia kulisikika mlio wa kupasuka mlango nyuma yangu. Nilijirusha nje na kujiviringisha chini huku nikikoswakoswa na risasi. Yule aliyenivurumishia risasi hakuona nyuma ya mlango hivyo alijikuta akila risasi kutoka kwa nyuma yake. Nikiwa nje niliweza kuona gari lilelile aina ya Range likiwa limepaki kwa mbali kidogo huku likiwa halina mtu.

Wale wawili waliobaki ndani baada ya kuhisi wenzao wameishakubwa na mauti waliamua kukimbia. Nikiwa nje nimebana kwenye ukuta niliona dirisha likifunguliwa nikawa makini. Ghafla alitoka mtu katika mruko wa kujiviringisha hewani na kutua chini huku akiendelea kujiviringisha kama tairi. Aliposimama tu nilimuweka risasi kama tatu hivi, alijirusha juu na alipotua tena alikuwa maiti tayari.
Daaah aseeee hii kitu ya moto bnaa
 
KAZI IENDELEE


Wale wawili waliobaki ndani baada ya kuhisi wenzao wameishakubwa na mauti waliamua kukimbia. Nikiwa nje nimebana kwenye ukuta niliona dirisha likifunguliwa nikawa makini. Ghafla alitoka mtu katika mruko wa kujiviringisha hewani na kutua chini huku akiendelea kujiviringisha kama tairi. Aliposimama tu nilimuweka risasi kama tatu hivi, alijirusha juu na alipotua tena alikuwa maiti. Kumbe yule aliyebaki ndani aliniona kwa dirishani alinimiminia risasi ambazo zilitua kwenye kifua na kukutana na bullet proof, nikajirusha juu na kuanguka chini kama mtu aliyekufa. Yule mtu aliyenimiminia risasi alijirusha kutoka dirishani na kutua nje akiwa amesimama, aliniangalia alafu akaangalia walipokuwa wameegesha gari lao hapo bila kufanya makosa nilimshindilia risasi ya kichwa na kuwa nimehitimisha unne wao. Kabla sijasimama kutoka pale chini Sonno alitokeza pale mlangoni akiwa na bastola mkononi.
"Vipi Pheady unewamaliza?" Aliuliza huku akiaangalia zile maiti pale chini. Kabla sijajibu nilishtuka kumuona Sonno akijirusha na kuanguka chini huku akivuja damu kichwani, wakati huohuo ile Range iliondoka kwa kasi. Nikajua kulikuwa na mtu aliyejificha ndani ya gari ndie aliyempiga risasi Sonno. Nilimsogelea kumuangalia na kukuta tayari ameishakata roho, mzee Magesa naye alishafika pale nilipokuwa, nilisimama nikapiga magoti na kujikuta natoa machozi nililia mithili ya mgane anaye mlilia mkewe. Mzee Magesa alinishika mkono na kunisihi ninyanyuke nami nilinyanyuka tukaongozana mpaka kwenye kijumba cha mlinzi ambapo tulikuta mlinzi naye ameuawa. Wakati wote huo tulikuwa kimya hakuna aliyemsemesha mwenzie.

"Sikiliza kijana haya ni mambo yameishatokea, lililopo ni kutoa hii miili hapa haraka iwekanavyo isije ikaonekana maana mashambulizi yalifanyika kimya kimya kutokana na silaha zilzotumika kuwa na kiwambo cha kuzuia sauti. Tuliikusanya ile miili na kuiweka kwenye jokofu moja kubwa katika chumba cha store. Baada ya kumaliza hilo tulifanya usafi wa kuondoa ramani za damu sehemu zote zilizohusika, ilituchukua muda mfupi tukawa tumemaliza kila kitu na kuwa tumesimama kwenye kibanda cha mlinzi.
"Kweli kijana haya mambo ni makubwa, isingekuwa mtambo nilioufunga katika mlango, hawa washenzi wangekuwa wanatufanya wanavyotaka" alisema mzee Magesa.
"Sasa Mzee kutokana na hali ilivyo unashauri nini?" Nilimuuliza.
"Wewe endelea na mambo yako, kama mnaondoka nyie nendeni tu, masuala mengine nitashughulika nayo mimi ila mkumbuke kuwahi Tabora kwa muda mliopanga." Alieleza mzee Magesa. Baada ya kutoa kauli hio tuliagana kwa huzuni maana kila mtu alikuwa na kitu cha kumtia huzuni moyoni. Nilichukua gari tulilokuja nalo na kuanza safari ya kurudi kwa Kikakika. Njia nzima nilikuwa nikiwaza kifo cha Sonno, kwa kweli kiliniuma sana. Alikuwa amenyang'anywa tonge la ugali mdomoni kwani alikuwa bado kijana mdogo na mwenye ndoto kubwa. Ukizingatia kama angevuka vikwazo vya hapa alikuwa tayari anakwenda kuwa milionea. Nilikuja kushituka mawazoni wakati nilipofika kwenye mpishano wa barabara ya gari na gari moshi. Ndipo akili yangu ikarudi kwenye hali ya kawaida, nilikanyaga gari moto chini kupita katika barabara za vichocholoni, nikiwa naogopa kuonana tena na hao mumiani vilevile ili kujua kama nafuatiliwa. Kwa wakati huo akili yangu haikuwa tayari kuonana nao kutokana na mfadhaiko wa kifo cha Sonno.

Ilikuwa saa nane na dakika saba hivi nilipofika nyumbani kwa dada na kumkuta dada akiwa sebuleni anasoma gazeti la majira. Tulijuliana hali alafu akaniuliza; "Mwenzio yuko wapi?" Aliniuliza swali ambalo sikutegemea. "Amesafiri ghafla kwenda Arusha hivi sasa natoka kumsindikiza." Nilidanganya alafu nikaunga na swali: "Kuna rafiki yangu mwingine nimemuacha hapa sijui umemkuta?" "Ndio, yuko chumbani kapumzika aliniambia mfanyakazi kuwa umekuja naye wewe." Alisema dada alafu akaendelea: " Vipi tukuandalie chakula Mwenzio ameisha kula tayari"
"Hapana, nimeisha kula huko nitokako ila na mimi naondoka baadae kidogo". Nilimueleza dada.
"Unapoondoka hapa unaenda nyumbani Ukerewe au bado una mizunguko?" Aliuliza.
"Nategemea kupita Musoma na baada ya hapo nitakuwa nyumbani Ukerewe." Nilieleza.
"Kwa hiyo unategemea kuondoka saa ngapi?"
"Wakati wowote baada ya kumaliza mambo yangu mawili matatu hivi, inaweza kuwa hata usiku kwani nina gari nitakayoondoka nayo." Nilieleza.
"Sawa, kama hatutainana tena nikutakie safari njema, kwani nitatoka tena hapa baadae kidogo hivyo labda nikukabidhi mzigo wako." Alisema.
"Hapana, mzigo utunze tu, nitakuja kuuchukua baada ya wa wiki." Nilimueleza.

Baada ya maongezi hayo nilimuacha hapo sebuleni nikaongoza kwenye chumba tulichofikia. Nilimkuta Kikakika ameegesha kitandani huku akisoma kitabu cha simulizi ya NILIVYOISHI iliyotungwa na Selopheady.
"Vipi, mbona Sonno simuoni?' aliuliza kabla ya salaam. Niliposikia swali hilo roho iliniuma nikajikuta natokwa na chozi tena. Kikakika kuona hivyo alihisi kilichotokea akasema: "Kaa chini Pheady, lazima mwanaume, wacha kulia sema tu kilichotokea maana kazi zetu tunazijua wenyewe." Baada ya kusema hivyo alivuta mkoba wake alafu akaufungua na kutoa chupa ya mvinyo, wakati huo nilikuwa nimeishakaa, alinipatia mkononi ile chupa ya pombe nikaipokea na kuifungua alafu nikaiweka mdomoni chupa nzima kama nakunywa soda vile. Nilimeza mafunda kadhaa ya pombe alafu nikaitelemsha chini ikiwa imefika nusu. Niliwasha sigara nikaanza kuvuta huku nilimueleza Kikakika mambo yote yaliyotokea. Alisikitika sana hakuonyesha kuwa na raha tena alichosema ni kuwa tujipange kwa ajili kulipa kisasi hapo mbeleni.

"Hiyo ni kweli lakini kwa sasa tupange namna kuondoka hapa, kwani hatuweza kuendelea kuwa hapa hata kwa siku moja. Nahisi watakuwa wamepata namba za gari tunalotumia hivyo ikawa rahisi kutufatilia na itakuwa rahisi kwao kujua mpaka tulipo kwa sasa" niliongea.
"Sawa, lakini kwa mpango ule tuliopanga mwanzoni itakuwa vigumu kwani mie siwezi kuendesha gari kwa hali nilionayo. Sasa sijui tufanyeje" alihoji Kikakika.

"Hata mimi siwezi kusafiri tena kwa basi maana inawezekana wale watu walitunasa mapema hivyo wakatufatilia na kujua kile tulichokifanya kabla ya kwenda kwa yule mzee Magesa. Kwa hali hiyo mimi nafikiri tuondoke hapa usiku na gari letu kuelekea Musoma, ambapo wewe kesho utachukua usafiri wa ndege kwenda Dar na huko uatafanya ratiba zako kama upendavyo, mimi utaniacha Musoma na nitakabidhi gari kwenye ofisi zetu za hapo Musoma watafanya mpango wa kuipeleka Tabora. Baada ya hapo nitayoyoma kwenda kisiwani Ukerewe kupupumia kidogo alafu tutaonana kama tulivyopanga" nilimaliza maelezo yangu.

Kikakika alikubaliana na mpango wangu na baada ya hapo tukaendelea na maongezi ya kawaida huku tukipata mvinyo.

Ilipofika saa tatu kamili za usiku safari ilianza, tulishaaga na kuchukua vitu tulivyoona vitatuaidia safarini. Kabla hatujaondoka niliamua nipitie nipitie pale Jafaries Hotel kwenda kuonana na yule msichana aitwae Mtuli. Kwani tulikuwa tumeahidiana tuonane saa tatu hapo Jafaries. Kwa sababu ilikuwa usiku sikuhofu sana kuvamiwa kwani wakati wa giza huwa niko huru kufanya vitu visivyo vya kawaida katika mapambano. Niliegesha gari pale Jafaries na kumuambia Kikakika anisubiri kidogo ndani ya gari. Niliingia ndani sehemu ya bar ndipo nilipomuona Mtuli akiwa amekaa meza ya peke yake pembeni huku mbele yake kwenye meza kukiwa na kikopo cha Stella. Nilivuta hatua na kumfuata, salama bibie, nilimsalimia baada ya kufika na kuvuta kiti na kukaa.
"Salama tu, habari za toka juzi?" Alijibu na kuuliza.
"Nzuri tu, Hofu kwako" nilisema.
"Mie ndio nilikuwa nakuhifia wewe labda usifike, maana umezoea kufanya hivyo." Alisema alafu wote tukacheka.
"Sikiliza bibie ningependa sana kuwa na wewe kwa muda ila kuna jambo limejitokeza inabidi tusiwe pamoja kwa sasa hivyo ningependa unielekeze nyumbani ili nikipata nafasi wakati wowote nije kukuona." Nilieleza.
"Hee!! We mwanaume una visa kweli, yaani kuipigia simu kote kule tunaonana unasema una mambo mengine, kweli inasikitisha sana" wonder shall never end" alisema kwa sauti ya pozi.
"Usinielewe vibaya maana niko kwenye mipango ya pesa." Nilieleza
"Hata kama ni nipango ya pesa ni ya kwako, hivyo mimi siwezi kukuelekeza nyumbani wakati nina mchumba" aliongea kwa sauti iliyobeba chuki ndani yake.
"Kwa hali hiyo unanitaadharisha tusijuane sio?" Niliuliza huku nikiwasha sigara.
"Kama unaona hivyo sawa" alijibu kwa mkato.
"Ok bibie, unajua sina muda mrefu wa kuwa hapa hivyo samahani kwa kukusumbua na kukupotezea muda wako" nilisema hivyo wakati nikishika mfukoni na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuiweka mezani juu yake nikaweka birauli. "Nitakupigia simu wakati wowote nikipata nafasi" nilimaliza kuongea huku nikinyanyuka tayari kwa kuondoka.
"Na hii pesa unamuachia nani?" Aliuliza alipoona nimesimama.
"Hiyo ni mali yako ya kulipa hicho kinywaji mimi naondoka.".Nilimjibu. "Kama unaondoka nisubiri maana Mimi nilikuwa hapa kwa ajiri yako." Alisema na yeye akisimama.

"Sawa chukua hiyo pesa twende zetu" nilisema na yeye akachukua tukaongozana kutoka nje mpaka nilipoegesha gari. Mimi naondoka na hii gari hapa, hivyo ngoja nikuchukulie taxi ikipeleke nyumbani". Nilisema hivyo huku nikimvuta karibu na kumbusu naye akajibu kwa busu kali la kunyonya ulimi, tukawa tumekumbatiana. Tuliachana ghafla na kutazamana usoni alafu wote tukatabasamu, tuliiendea taxi iliyokuwa karibu alafu nikampa dreva taxi shilingi elfu moja kwa malipo ya usafiri wa Mtuli. Mtuli alinivuta tena akanibusu na kusema: "usiache kunipigia" ndipo akafungua mlango wa gari na kujichimbia ndani. Dereva alitia gari moto huku Mtuli akitoa kichwa nje na kupunga mkono huku akisema kwa sauti. "Nitasubiri simu yako".

Baada ya kuwa ameondoka nilirudi kwenye gari na kumkuta Kikakika akiwa ameegamia kiti kwa chati utafikiri hakuna mtu. "Vipi Pheady, ushamaliza mambo yako?" Aliuliza huku akitabasamu. Mie nilicheka kwanza ndio nikamjibu kila kitu tayari tunaweza kuanza safari yetu. Nilishika usukani na kuanza kuondoa gari eneo lile, niliongoza nikaenda kushika barabara ya Nyerere ambayo ndio barabara inayotoka mjini Mwanza kuelekea Musoma. Kwa sababu ilikuwa usiku kulikuwa hakuna msongamano wa magari hivyo nikianza kupanga virungu vya gari tani yangu.
 
KAZI IENDELEE


Wale wawili waliobaki ndani baada ya kuhisi wenzao wameishakubwa na mauti waliamua kukimbia. Nikiwa nje nimebana kwenye ukuta niliona dirisha likifunguliwa nikawa makini. Ghafla alitoka mtu katika mruko wa kujiviringisha hewani na kutua chini huku akiendelea kujiviringisha kama tairi. Aliposimama tu nilimuweka risasi kama tatu hivi, alijirusha juu na alipotua tena alikuwa maiti. Kumbe yule aliyebaki ndani aliniona kwa dirishani alinimiminia risasi ambazo zilitua kwenye kifua na kukutana na bullet proof, nikajirusha juu na kuanguka chini kama mtu aliyekufa. Yule mtu aliyenimiminia risasi alijirusha kutoka dirishani na kutua nje akiwa amesimama, aliniangalia alafu akaangalia walipokuwa wameegesha gari lao hapo bila kufanya makosa nilimshindilia risasi ya kichwa na kuwa nimehitimisha unne wao. Kabla sijasimama kutoka pale chini Sonno alitokeza pale mlangoni akiwa na bastola mkononi.
"Vipi Pheady unewamaliza?" Aliuliza huku akiaangalia zile maiti pale chini. Kabla sijajibu nilishtuka kumuona Sonno akijirusha na kuanguka chini huku akivuja damu kichwani, wakati huohuo ile Range iliondoka kwa kasi. Nikajua kulikuwa na mtu aliyejificha ndani ya gari ndie aliyempiga risasi Sonno. Nilimsogelea kumuangalia na kukuta tayari ameishakata roho, mzee Magesa naye alishafika pale nilipokuwa, nilisimama nikapiga magoti na kujikuta natoa machozi nililia mithili ya mgane anaye mlilia mkewe. Mzee Magesa alinishika mkono na kunisihi ninyanyuke nami nilinyanyuka tukaongozana mpaka kwenye kijumba cha mlinzi ambapo tulikuta mlinzi naye ameuawa. Wakati wote huo tulikuwa kimya hakuna aliyemsemesha mwenzie.

"Sikiliza kijana haya ni mambo yameishatokea, lililopo ni kutoa hii miili hapa haraka iwekanavyo isije ikaonekana maana mashambulizi yalifanyika kimya kimya kutokana na silaha zilzotumika kuwa na kiwambo cha kuzuia sauti. Tuliikusanya ile miili na kuiweka kwenye jokofu moja kubwa katika chumba cha store. Baada ya kumaliza hilo tulifanya usafi wa kuondoa ramani za damu sehemu zote zilizohusika, ilituchukua muda mfupi tukawa tumemaliza kila kitu na kuwa tumesimama kwenye kibanda cha mlinzi.
"Kweli kijana haya mambo ni makubwa, isingekuwa mtambo nilioufunga katika mlango, hawa washenzi wangekuwa wanatufanya wanavyotaka" alisema mzee Magesa.
"Sasa Mzee kutokana na hali ilivyo unashauri nini?" Nilimuuliza.
"Wewe endelea na mambo yako, kama mnaondoka nyie nendeni tu, masuala mengine nitashughulika nayo mimi ila mkumbuke kuwahi Tabora kwa muda mliopanga." Alieleza mzee Magesa. Baada ya kutoa kauli hio tuliagana kwa huzuni maana kila mtu alikuwa na kitu cha kumtia huzuni moyoni. Nilichukua gari tulilokuja nalo na kuanza safari ya kurudi kwa Kikakika. Njia nzima nilikuwa nikiwaza kifo cha Sonno, kwa kweli kiliniuma sana. Alikuwa amenyang'anywa tonge la ugali mdomoni kwani alikuwa bado kijana mdogo na mwenye ndoto kubwa. Ukizingatia kama angevuka vikwazo vya hapa alikuwa tayari anakwenda kuwa milionea. Nilikuja kushituka mawazoni wakati nilipofika kwenye mpishano wa barabara ya gari na gari moshi. Ndipo akili yangu ikarudi kwenye hali ya kawaida, nilikanyaga gari moto chini kupita katika barabara za vichocholoni, nikiwa naogopa kuonana tena na hao mumiani vilevile ili kujua kama nafuatiliwa. Kwa wakati huo akili yangu haikuwa tayari kuonana nao kutokana na mfadhaiko wa kifo cha Sonno.

Ilikuwa saa nane na dakika saba hivi nilipofika nyumbani kwa dada na kumkuta dada akiwa sebuleni anasoma gazeti la majira. Tulijuliana hali alafu akaniuliza; "Mwenzio yuko wapi?" Aliniuliza swali ambalo sikutegemea. "Amesafiri ghafla kwenda Arusha hivi sasa natoka kumsindikiza." Nilidanganya alafu nikaunga na swali: "Kuna rafiki yangu mwingine nimemuacha hapa sijui umemkuta?" "Ndio, yuko chumbani kapumzika aliniambia mfanyakazi kuwa umekuja naye wewe." Alisema dada alafu akaendelea: " Vipi tukuandalie chakula Mwenzio ameisha kula tayari"
"Hapana, nimeisha kula huko nitokako ila na mimi naondoka baadae kidogo". Nilimueleza dada.
"Unapoondoka hapa unaenda nyumbani Ukerewe au bado una mizunguko?" Aliuliza.
"Nategemea kupita Musoma na baada ya hapo nitakuwa nyumbani Ukerewe." Nilieleza.
"Kwa hiyo unategemea kuondoka saa ngapi?"
"Wakati wowote baada ya kumaliza mambo yangu mawili matatu hivi, inaweza kuwa hata usiku kwani nina gari nitakayoondoka nayo." Nilieleza.
"Sawa, kama hatutainana tena nikutakie safari njema, kwani nitatoka tena hapa baadae kidogo hivyo labda nikukabidhi mzigo wako." Alisema.
"Hapana, mzigo utunze tu, nitakuja kuuchukua baada ya wa wiki." Nilimueleza.

Baada ya maongezi hayo nilimuacha hapo sebuleni nikaongoza kwenye chumba tulichofikia. Nilimkuta Kikakika ameegesha kitandani huku akisoma kitabu cha simulizi ya NILIVYOISHI iliyotungwa na Selopheady.
"Vipi, mbona Sonno simuoni?' aliuliza kabla ya salaam. Niliposikia swali hilo roho iliniuma nikajikuta natokwa na chozi tena. Kikakika kuona hivyo alihisi kilichotokea akasema: "Kaa chini Pheady, lazima mwanaume, wacha kulia sema tu kilichotokea maana kazi zetu tunazijua wenyewe." Baada ya kusema hivyo alivuta mkoba wake alafu akaufungua na kutoa chupa ya mvinyo, wakati huo nilikuwa nimeishakaa, alinipatia mkononi ile chupa ya pombe nikaipokea na kuifungua alafu nikaiweka mdomoni chupa nzima kama nakunywa soda vile. Nilimeza mafunda kadhaa ya pombe alafu nikaitelemsha chini ikiwa imefika nusu. Niliwasha sigara nikaanza kuvuta huku nilimueleza Kikakika mambo yote yaliyotokea. Alisikitika sana hakuonyesha kuwa na raha tena alichosema ni kuwa tujipange kwa ajili kulipa kisasi hapo mbeleni.

"Hiyo ni kweli lakini kwa sasa tupange namna kuondoka hapa, kwani hatuweza kuendelea kuwa hapa hata kwa siku moja. Nahisi watakuwa wamepata namba za gari tunalotumia hivyo ikawa rahisi kutufatilia na itakuwa rahisi kwao kujua mpaka tulipo kwa sasa" niliongea.
"Sawa, lakini kwa mpango ule tuliopanga mwanzoni itakuwa vigumu kwani mie siwezi kuendesha gari kwa hali nilionayo. Sasa sijui tufanyeje" alihoji Kikakika.

"Hata mimi siwezi kusafiri tena kwa basi maana inawezekana wale watu walitunasa mapema hivyo wakatufatilia na kujua kile tulichokifanya kabla ya kwenda kwa yule mzee Magesa. Kwa hali hiyo mimi nafikiri tuondoke hapa usiku na gari letu kuelekea Musoma, ambapo wewe kesho utachukua usafiri wa ndege kwenda Dar na huko uatafanya ratiba zako kama upendavyo, mimi utaniacha Musoma na nitakabidhi gari kwenye ofisi zetu za hapo Musoma watafanya mpango wa kuipeleka Tabora. Baada ya hapo nitayoyoma kwenda kisiwani Ukerewe kupupumia kidogo alafu tutaonana kama tulivyopanga" nilimaliza maelezo yangu.

Kikakika alikubaliana na mpango wangu na baada ya hapo tukaendelea na maongezi ya kawaida huku tukipata mvinyo.

Ilipofika saa tatu kamili za usiku safari ilianza, tulishaaga na kuchukua vitu tulivyoona vitatuaidia safarini. Kabla hatujaondoka niliamua nipitie nipitie pale Jafaries Hotel kwenda kuonana na yule msichana aitwae Mtuli. Kwani tulikuwa tumeahidiana tuonane saa tatu hapo Jafaries. Kwa sababu ilikuwa usiku sikuhofu sana kuvamiwa kwani wakati wa giza huwa niko huru kufanya vitu visivyo vya kawaida katika mapambano. Niliegesha gari pale Jafaries na kumuambia Kikakika anisubiri kidogo ndani ya gari. Niliingia ndani sehemu ya bar ndipo nilipomuona Mtuli akiwa amekaa meza ya peke yake pembeni huku mbele yake kwenye meza kukiwa na kikopo cha Stella. Nilivuta hatua na kumfuata, salama bibie, nilimsalimia baada ya kufika na kuvuta kiti na kukaa.
"Salama tu, habari za toka juzi?" Alijibu na kuuliza.
"Nzuri tu, Hofu kwako" nilisema.
"Mie ndio nilikuwa nakuhifia wewe labda usifike, maana umezoea kufanya hivyo." Alisema alafu wote tukacheka.
"Sikiliza bibie ningependa sana kuwa na wewe kwa muda ila kuna jambo limejitokeza inabidi tusiwe pamoja kwa sasa hivyo ningependa unielekeze nyumbani ili nikipata nafasi wakati wowote nije kukuona." Nilieleza.
"Hee!! We mwanaume una visa kweli, yaani kuipigia simu kote kule tunaonana unasema una mambo mengine, kweli inasikitisha sana" wonder shall never end" alisema kwa sauti ya pozi.
"Usinielewe vibaya maana niko kwenye mipango ya pesa." Nilieleza
"Hata kama ni nipango ya pesa ni ya kwako, hivyo mimi siwezi kukuelekeza nyumbani wakati nina mchumba" aliongea kwa sauti iliyobeba chuki ndani yake.
"Kwa hali hiyo unanitaadharisha tusijuane sio?" Niliuliza huku nikiwasha sigara.
"Kama unaona hivyo sawa" alijibu kwa mkato.
"Ok bibie, unajua sina muda mrefu wa kuwa hapa hivyo samahani kwa kukusumbua na kukupotezea muda wako" nilisema hivyo wakati nikishika mfukoni na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kuiweka mezani juu yake nikaweka birauli. "Nitakupigia simu wakati wowote nikipata nafasi" nilimaliza kuongea huku nikinyanyuka tayari kwa kuondoka.
"Na hii pesa unamuachia nani?" Aliuliza alipoona nimesimama.
"Hiyo ni mali yako ya kulipa hicho kinywaji mimi naondoka.".Nilimjibu. "Kama unaondoka nisubiri maana Mimi nilikuwa hapa kwa ajiri yako." Alisema na yeye akisimama.

"Sawa chukua hiyo pesa twende zetu" nilisema na yeye akachukua tukaongozana kutoka nje mpaka nilipoegesha gari. Mimi naondoka na hii gari hapa, hivyo ngoja nikuchukulie taxi ikipeleke nyumbani". Nilisema hivyo huku nikimvuta karibu na kumbusu naye akajibu kwa busu kali la kunyonya ulimi, tukawa tumekumbatiana. Tuliachana ghafla na kutazamana usoni alafu wote tukatabasamu, tuliiendea taxi iliyokuwa karibu alafu nikampa dreva taxi shilingi elfu moja kwa malipo ya usafiri wa Mtuli. Mtuli alinivuta tena akanibusu na kusema: "usiache kunipigia" ndipo akafungua mlango wa gari na kujichimbia ndani. Dereva alitia gari moto huku Mtuli akitoa kichwa nje na kupunga mkono huku akisema kwa sauti. "Nitasubiri simu yako".

Baada ya kuwa ameondoka nilirudi kwenye gari na kumkuta Kikakika akiwa ameegamia kiti kwa chati utafikiri hakuna mtu. "Vipi Pheady, ushamaliza mambo yako?" Aliuliza huku akitabasamu. Mie nilicheka kwanza ndio nikamjibu kila kitu tayari tunaweza kuanza safari yetu. Nilishika usukani na kuanza kuondoa gari eneo lile, niliongoza nikaenda kushika barabara ya Nyerere ambayo ndio barabara inayotoka mjini Mwanza kuelekea Musoma. Kwa sababu ilikuwa usiku kulikuwa hakuna msongamano wa magari hivyo nikianza kupanga virungu vya gari tani yangu.
duuuuuuuh
 
Back
Top Bottom