Riwaya: SIN

SIN 92


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Samahani huruhusiwi kuingia eneo hili”
Mmoja wa walinzi alimuambia Evans ambaye ana hitaji kuingia katika eneo la mgahawa wa hoteli hiyo.
“Ahaa samahani kwani kuna nini?”
Evans aliuliza huku akitazama tazama eneo la ndani, akashangaa sana kuona eneo zima la mgahawa huo kukiwa na watu wawili tu, mwanaume na msichana huko watu wengine wote wakiwa hawapo. Evans akamkazia macho msichana huyo aliye mpa mgongo. Mlio wa simu ya Evans uka mfanya Julieth kugeuka nyuma kwa maana hata simu yake ina mlio wa aina hiyo. Macho ya Evans yakagongana na macho ya Julieth na kumfanya astuke kidogo kwa maana Julieth anavyo tambua kwamba Evans amepoteza kumbukumbu zake mara baada ya mateso makali aliyo patiwa na watu ambao hadi sasa hajaweza kuwafahamu.





ENDELEA


Evans akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akaondoka eneo hilo huku akiitoa simu yake mfukoni. Akaitazama namba ngeni inayo ingia kwenye simu yake.


‘Ni nani mwenye namba yangu?’


Evans alijiuliza hukua akiendelea kuitazama namba hiyo. Akaipokea na kuweka simu sikioni mwake.
“Halooo, Halooo”
Evans alijaribu kuzungumza ila hapakuwa na mtu yoyote aliye zungumza. Evans akata simu hukua kiamini kwamba huyo mtu ame kosea namba. Kukutana na Julieth kukaanza kuzua maswali mengi sana kichwani mwa Evans, akakumbuka siku alipo kutana na bwana Mbogo na akampatia picha za yeye na Julieth. Akakumbuka jinsi alivyo elezwa kwamba asijaribu kuwa na mahusiano na watoto wa vigogo.


‘Huyu ndio mume wake. Kama ndio mume wake basi yeye ndio aliye niteka mimi?’


Evans aliendelea kuwaza akilini mwake huku akiingia chumbani kwake.


“Baby mbona ume poteza furaha gafla vipi?”
Jery aliuliza huku akimtazama Julieth usoni mwake.
“Najihisi kichwa kuniuma baby”
“Kime anza saa ngapi?”
“Muda huu mume wangu”
“Ohoo pole basi acha tuondoke nikupelekea hospitalia”
“No baby, wewe nipelekea nyumani nikampumzike kidogo”
“Kweli”
“Ndio mume wangu”
“Vipi kishumba huto kula tena”
“Naomba uwambie wanifungie kwenye take way”
“Sawa mke wangu”
Kumuona Evans hakika kume mpotezea hata hamu ya kukaa hotelini hapo, jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba Jery hakumuona Evans. Wahudumu wakakifunga chakula cha Juliethe kwenye vyombo maalumu vya kubebea chakula. Wakaondoka hotelini hapo, wakamfikisha Julieth nyumbani kwako.


“Nashukuru mume wangu. Naomba nipumzike”
“Sawa mke wangu. Hakikisha una nieleza kila jambo linalo endelea. Sawa mama”
“Nime kuelewa mume wangu”
Jery akambusu Julieth mdomoni mwake kisha akaondoka nyumbani hapo kwa nabii Sanga. Julieth akaingia chumbani kwake huku akiwa amejawa na hsira sana kwa maana kumuona Evans ni hatari sana kwa ndoa yake.


“Baba upo wapi?”
“Nipo njiani nina rudi”
“Nakuomba uwahi”
“Vipi kwema?”
“Sio kwema”
Julieth akakata simu na kuirushia kitandani. Hazikupita hata dakika thelathini nabii Sanga na mke wake wakafika nyumbani hapo. Moja kwa moja wakaeleka chumbani kwa Julieth na wakamkuta Julieth akiwa amekaa kwenye moja ya sofa huku uso wake ukionekana dhairi kwamba amekasirika.


“Kuna nini mwanangu?”
Mrs Sanga aliuliza hukua kikaa pembeni ya Julieth.


“Nime muona Evans leo”
“Wapi?”
“Nilikwenda hoteli kupata lunch na Jery, kwenye hiyo hoteli tulikutana na Evans”
“Ila Evans hana kumbukumbu mwanangu?”
“Baba anazo, amenitazama kabisa na amenikazia macho, kama ni mtu ambaye hana kumbukumbu basi asinge nitazama kwa zaidi ya dakika moja”
“Mume wangu kama huyo Evans ana mkosesha amani mtoto kwa nini usimfanye apotee hapa dunianii. Hembu kumbuka ndio mwanaume aliye mtoa usichana mtoto wetu na endapo ata kwenda kufunguka mbele ya raisi au Jery una hisi sura zetu tuta ziweka wapi ikiwa mtoto wetu ana julikana kwamba ana bikra yake”
Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo.


“Umesema hoteli gani?”
“KX Royol”
“Ile ya Kigamboni?”
“Ndio”
Nabii Sanga akatoa simu yake na kumpigia meneja wa hoteli hiyo kwa maana ana fahamiana naye.


“Ndugu habari”
“Salama kaka yangu. Habari za masiku”
“Nina mshukuru Mungu. Nina kuomba uni saidie jambo”
“Jambo gani?”
“Nakuomba unitafutie jina la Evans kwenye listi ya wageni wako alafu uniambie yupo chumba gani”
“Sawa kaka, ila kwema?”
“Kwema tu ndugu yangu”
“Sawa nita kujulisha baada dakika tano”
“Nashukuru sana”
Nabii Sanga akakata simu huku akimtazama Julieth.
“Hivi ana itwa Evans nani?”
“Shika”
Kabla ya hata dakika tano hazijasha simu ya nabii Sanga ikaanza kuita. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.


“Ndio kaka”
“Ndugu yangu nime jaribu kutafuta majina ya wageni wote walio fika hotelini kwangu, ila kwa bahati mbaya sijalipata jina la aina hiyo”
“Ana itwa Evans Shika”
“Ngoja kidogo”
Simu ikaa hewani kwa sekunde kadhaa.


“Sijalipata jina kama hilo ndugu yangu”
“Sawa nina shukuru sana”
Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi taratibu.


“Vipi ame semaje?”
“Hakuna mtu kama huyo kwenye hiyo hoteli. Mwanangu wewe usiwe na shaka wala wasiwasi. Nitahakikisha nina mtafuta Evans popote alipo na nikimpata nita hakikisha ana lipa kwa jambo hili. Umenielewa”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akamkumbatia Julieth kwa sekunde kadhaa ikiwa ni ishara ya kumfanya ajiamini na wala asihofie kwa jambo la aina yoyote ile.


***


“Mkuu serikali ime fanya shambulizi katika moja ya bandari zilizopo chini ya Al-Shabab”
John alizungumza huku akimtazama mzee Mbogo usoni mwake.


“Ime idhinishwa na serikali?”
“Ndio ni raisi ndio ameidhinisha na hadi ninavyo zungumza hivi sasa tulio lilisha fanyika”
Mzee Mbogo akashusha pumzi taratibu huku akimtazama msaidizi wake huyo. Akawatazama wafanyakazi wengine walipo ndani ya chumba kikubwa kilichopo nyumbani kwake hapo. Wafanyakazi wake hao watiifu kwake wote wapo kwa ajili ya kufanya naye kazi.


“Naombeni munisikilize”
Mzee Mbongo alizungumza na kuwafanya wafanyakazi wote kukaa kimya na kumsikiliza.


“Tupo wachache sana ila tuna uwezo wa kuilinda nchi. Kuondolewa ndani ya ofisi yetu ambayo tume izoea isiwe mwisho wa kuacha kuwa watumishi waamini wa nchi yetu. Oparesheni ambayo nilikuwa nime ipinga ya kuwashambulia Al-Shabab, hadi ninavyo zungumza nanyi ime kamilika”


Wafanyakazi hao wakaanza kutazamana kwa maana wana tambua sababu za mzee Mbogo kukataa juu ya jambo hilo.


“Nina wajua Al-Shabab kuliko hata raisi Mtenzi, yeye alikuwa ni askari wa kulinda wananchi ila mimi nilikuwa nina linda nchi, hivyo nina tambua Wasomalia jinsi walivyo. Anaye kupiga na kukuua humjui kwa maana wote wame valia nguo za kawaida, hata mtoto mdogo wa miaka nane ana weza kutumia bunduki na ana weza kukushambulia. Hili lililo fanyika leo ni lazima watalipa kisasi.”


“Si mimi wala wewe ambaye ata jua wata tushambulia nchi yetu kwa staili gani. Jambo kubwa linalo tupasa kufanya ni kuhakikisha tuna kuwa macho kuhakikisha hakuna shambulizi ambalo lina fanyanyika ndani ya nchi hii.”
“Watakao umia sio raisi na familia yake. Ni familia zetu, ndugu zetu, mama zetu, wanetu na kadhalika. Nina zungumza kwa uchungu kwa maana nina jua ni yapi yaliyo tokea kwenye nchi ya Somalia. Nina hakikisha kila mmoja wenu nina mlipa mara mbili ya kile kiasi ulicho kuwa unalipwa na serikali.”


Mzee Mbogo alizungumza kwa sauti ya upole ila yenye msisitizo mkubwa sana huku akiwatazama wafanyakazi wake hao Maandalizi ya utendaji wa kazi katika chumba hicho ume fanyika na hakuna tatizo ambalo lita wazui kwa wao kufanya kazi.
“Ni muda wetu sasa kuwa tegemezi la taifa. Nina wategemea wote”
Wafanyakazi wote wakapiga makofi ikiwa ni ishara ya kumpongeza mzee Mbogo kwa ujasiri wake. Kila mfanyakazi akaanza kufanya kazi yake ambayo alikuwa ana ifanya katika kitengo cha NSA ili mradi ni kuhakikisha kwamba wana kwenda sambana na wafanyakazi walipo katika kitengo cha NSA.


***
“Tomas nime pata idea amayo ina weza kusaidia katika kulipiza kisasi chako”
Levina alizungumza huku akimtazama Tomas usoni mwake.
“Wazo gani?”
“Nime engeneza glasi ambayo ni bomu”
“Glasi ambayo ni bomu?”
“Ndio, kwenye ukumbi nina imani kuta kuwa na watu wengi na glasi ambazo zita fanyika. Jambo ambalo nina hitaji kulifanya ni kuipenyeza glasi hiyo na kuwa miongoni mwa glasi ambazo zia kuwa ndani ya ukumbi huo. Glasi hiyo tuta ilipua pale tu nabii Sanga na mke wake wata kuwa karibu”
“Ila mke wangu, kwenye ukumbi si kuta kuwa na watu wengine. Itakuwaje wakifa?”
“Wewe una taka kulipiza kisasi au una taka kuangalia watu wengine wata nusurika nini?”
“Japo nina roho ya kikatili sana, ila ukweli ni kwamba nina hitaji nabii Sanga, mwanaye na yeye waweze kufa”
“Hilo ni gumu mume wangu. Ulinzi ambao uta kuwepo katika eneo hilo hatuto weza kufanya jambo lolote”
Levina alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Tomas.


“Jaribu kufikiria idea nyingine mke wangu”
“Yule uliye zungumza naye jana ni nani?”
“Nani huyo?”
“Yule aliye kupigia”
“Magreth?”
“Ndio alikuwa amesemaje?”
“Amekataa kuhisiana na ofa niliyo mpatia ya kushirikiana naye”
“Naomba namba zake”
“Za nini?”
“Nahitaji kuonana naye ili nizumngumze naye hili swala la makini”
“Ata kuamini kweli?”
“Ishu sio kuniamini. Ishu ni kunipatia detail za kuhakikisha una lipiza vipi kisazi chako”
Tomas akajifikiria kwa muda kisha akampatia Levina namba ya Magreth. Levina akaipiga namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita, kisha ikapokelewa.


“Habari za asuhuhi dada Magreth”
“Salama nani wewe?”
“Mimi nina itwa Levina ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni inayo jihusisha sana kwa maswala ya tecnolojia. Nina omba kama tuna weza kukutana asubuhi hii?”
“Una weza kuja kwenye mgahawa wangu”
“Basi kama nusu saa nita kuwa hapo”
“Karibu sana”
Levina akakata simu, akaiweka kwenye pochi yake.


“Una kwenda wapi?”
“Ofisini kwake baadae”
Levina akambusu Tomas mdomoni kisha akatoka ndani hapo. Akaingia kwenye gari lake na kuiza safari ya kuelekea ofisini kwa Magreth. Akafika eneo la mgajawa, akasalimiana na Magreth kisha akamuomba waweza kuuzungumza ndani ya gari.
“Ndi ya gari lako?”
“Ndio kama huto jali”
Magreth akamtazama Levina kuanzia juu hadi chini. Kitu alicho weza kukigundua haraka haraka ni kwamba Levina hakuja eneo hilo kwa ubaya. Wakaingia kwenye gari na kukaa siti za mbele, Magreth akatazama nyuma ya gari hilo ili kama kuna mtu basi aweze kutambua. Alipo hakikisha kwamba kuan usalama, akamtazama Levina.
“Magreth mimi ni mke wa Tomas”
“Tomas huyu ninaye mjua mimi?”
“Ndio, nina imani kwamba alikuja hapa akiwa na sura bandia, mimi ndio niliye mtengeneza na wewe pekee ndio ume weza kugundua sura yake. Kufahamu hilo tu nime weza kuhisi kwamba una uwezo wa kipekee sana kama huto jali nina kiomba nikushirikishe jambo letu”


“Kama ni jambo la kumuu nabii Sanga kwa ajili ya kulipiza kisasi chake kwa kweli mimi sipo tayari. Una weza kuondoka kwenye mgahawa wangu”


Magreth alizungumza huku akifungua mlango wa gari hilo, kabla hajashuka Levina akawahi kumshika mkono wa kushoto na kumfanya Magreth kuutazama mkono wa Levina kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama usoni mwake kwa macho makali sana na yaliyo jaa ukali hadi Levina akaanza kuogopa.


ITAENDELEA


Haya sasa Julieth ana endelea kuonyesha msisitizo wa kukaa kushirikiana na Tomas, je Levina ata weza kumshawishi ikiwa tayari amesha anza kumuogopa? Usikose sehemu ya 93.
 
SIN 93

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Tomas huyu ninaye mjua mimi?”
“Ndio, nina imani kwamba alikuja hapa akiwa na sura bandia, mimi ndio niliye mtengeneza na wewe pekee ndio ume weza kugundua sura yake. Kufahamu hilo tu nime weza kuhisi kwamba una uwezo wa kipekee sana kama huto jali nina kiomba nikushirikishe jambo letu”


“Kama ni jambo la kumuu nabii Sanga kwa ajili ya kulipiza kisasi chake kwa kweli mimi sipo tayari. Una weza kuondoka kwenye mgahawa wangu”


Magreth alizungumza huku akifungua mlango wa gari hilo, kabla hajashuka Levina akawahi kumshika mkono wa kushoto na kumfanya Magreth kuutazama mkono wa Levina kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama usoni mwake kwa macho makali sana na yaliyo jaa ukali hadi Levina akaanza kuogopa.





ENDELEA


“Aha…samaahani”


Levina alizungumza huku akiuachia mkono wa Magreth.
“Muna hitaji nini kwangu”
Magreth alizungumza huku akimtazama Levina usoni mwake.
“Nina hitaji kufahamu ni vitu gani ambavyo nabii Sanga huwa ana penda na sehemu gania mbazo anazitembelea. Natambua kwamba una mahusiano naye ya kimapenzi kwa maana kuna siku mwanaye huyu anaye olewa pamoja na mama yake walikuja kazini kwangu waka hitaji niweze ku-hack namba ya mume wake na kweli niliweza kufanikiwa katika hilo na tuliweza kufahamu kwamba wewe na nabii Sanga mupo kwenye moja ya hoteli Bagamoyo”


Maelezo ya Levina yakamfanya Magreth kuikumbuka siku hiyo ambayo alikwenda hotelini na nabii Sanga.


“Hivyo usishangae kwa nini nina tambua kwamba wewe na nabii Sanga muna mahusiano”
“Yalikuwa zamani ila sio sasa”
“Sawa ila nina omba unisaidie katika hivyo vitu?”
“Sikumbuki ana penda nini wala ana tembelea maeneo gani kwa maana mimi na yeye tuliweza kuachana kwa ubaya hivyo sina kumbuku zozote na gata kama zitakuwepo basi ni lazima kwa yeye atakuwa amebadilisha code zake za sehemuambazo alikuwa ana pendelea kwenda”
“Sawa nime kuelewa Magreth je una weza kuniambia ni kwa nini uliachana naye?”
“Ohoo sasa hizi ni ishu ambazo hupaswi kufahamu”
“Hapana naamini zita nisaidia kidogo kwenye kazi yangu”
“Alihitaji kumuu boyfriend wangu, alimteka wakamtesa na akapoteza kumbuku zake”
“Masikini pole sana”
“Nashukuru”
“Je huyo boyfriend wako yupo wapi?”
“Sijui”
“Je huhitaji kufanya jambo kwa ajili ya hilo swala”
“Nimesamehe. Mimi ni mtu mwenye hofo na Mungu wangu hivyo sina haja ya kulipiza kisasi. Mungu mwenyewe ata lipa”
“Mmmmm sawa Mage nashukuru kwa muda wako”
“Nawe pia, ila ume sema kwamba uli hack namba yake?”
“Ndio”
“Sasa kwa nini usiendelee ku hack namba hiyo?”
“Haipo hewani tena”
Magreth akajifikiria kwa muda kidogo kisha akamtajia Levina namba ya nabii Sanga anayo itumia kwa sasa.


“Kupitia hiyo namba uta weza kumpata”
“Nashukuru sana Magreth”
Levina alizungumza kwa furaha kwa manaa kama namba hiyo ita kuwa ime mrahisishia sana kazi yake. Magreth akashuka kwenye gari hilo na kurudi kwenye mgahawa wake huku Levina naye akiondoka eneo hilo.


***


“Roho yako ime anza kuwindwa upya”
Evans akastuka usingizi, akamkuta mwadada ambaye ni jini akiwa amekaa kwenye moja ya sofa lililopo hapo chumbani.
“Una seama?”
“Roho yako ina windwa. Julieth na baba yake nabii Sanga wana taka kukuua”
“Kuniua kwa kosa gani ambalo nime wafanyia?
“Wanahisi kwamba uta toa siri”
“Siri gania mbayo mimi nina ifahamu?”
“Wamefeki bikra ya binti yao”
“Wame feki kivipi ikiwa mimi ndio niliye mvunja bikra yake?”
“Ndio hapo sasa, walimpeleka binti yao kwenye hospitali moja ya kichinana wakampandikiza bikra ya bandia na ndio hiyo walio mdanganya raisin a familia yake kwamba Julieth ni bikra”
“Sasa nifanye nini?”
“Mpigie nabii Sanga”
“Nimpigie alafu?”
“Umueleze kwa upole akikubali kukusikia basi itakuwani jambo jema ila asipo kubali yatakuwa ni mambo mengine”
“Sasa nina mpigiaje ikiwa sina namba yake”
“Inadike na umpigie sasa hivi”
Evans akachukua simu yake kuiandika namba hiyo anayo tajiwa.
“Mpigie”
Evans taratibu akampigia nabii Sanga na kuweka loudspeaker na simu hiyo ikaanza kuita.


“Haloo”


Evans akaisikia sauti ya nabii Sanga na kujikuta akimeza fumba zito la mate kwani ana wasiwasi mkubwa sana.
“Haloo”
“Habari yako nabii Sanga”
“Nani wewe?”
“Nina imani una nitafuta hivyo nime ona nikutute kabla ya wewe kunipata”
“Nani wewe”
“Una zungumza na Evans”
“Pumbavu wewe mwana haramu?”
Nabii Sanga alizungumza kwa kufoka.


“Mzee usinifokee, nimekupigia kwa wema. Nahitaji kuonana nawe”
“Wapi na saa ngapi?”
“Njoo Kigamboni darajani utanikuta nikikusubiri”
Evans alizungumza kwa kujiamini.
“Saa ngapi?”
“Saa mbili usiku”
Evans mara baada ya kuzungumza hivyo akakata simu.
“Saa mbili hiyo usiku nita kuwa nawe”
“Sawa”
Jini huyo akatoweka ndani hapo na kumuacha Evans peke yake akitafakari ni jinsi gani ambavyo ana weza kuonana na nabii Sanga.
***


Vijana ishirini wenye umri wa miaka kumi na sita hadi kumi na nane, wenye mafunzo ya kijeshi kutoka kwenye kikundi cha Al-Shabab wakaingia nchini Tanzania kwa njia tofauti tofauti. Udogo wao wa umri ukaondoa hofo kabisa kwa vyombo vingi vya usalama. Vijana hao wote kwa pamoja wakakutana Kariakoo katika mtaa wa Wasomali, wakakiribishwa na mzee Omary ambaye ana miliki duka la kuuza dawa za asili pamoja na mchele. Mzee huyo ambaye ni miongoni mwa washirika wa kuu wa kikundi hicho cha Al-Shabab aliwahifadhi vijana hao kwenye handaki lililopo chini ya gorofa hilo lenye duka lake.
“Karibuni sana Tanzania”
Mzee huyo alizungumza huku akiwatazama vijana hao.


“Tuna shukuru”
“Bunduki na mabomu vyote vipo tayari. Muna wiki moja ya kuhakikisha kwamba muna jiandaa vizuri kwa ajili ya shambulizi, nina imani kwamba muna elewa nini nina maanisha”
“Ndio mkuu”
“Chakula na vinywaji vyote muta kula. Sihitaji mtu yoyote kutoka huku chini wala kufanya maswaliano yoyote. Nilazima tulipe kisasi kwa ajili ya wezetu walio poteza maisha. Tuna enaelewana”
“Ndio mkuu”
Mzee Omary akatoka ndani humo na kurudi dukani kwake na kuendelea na biashara zake ikiwa hakuna hata mtu mmoja anaye fahamu kwamba chini ya duka lake lipo handaki lililo kusanya vijana wenye mpango wa kufanya shambulizi baya sana kwenye nchini ya Tanzania.
***


“Waoo hii ni nzuri”
Levina alizungumza mara baada ya kuyapata mazungumzo yaliyo ingia kwenye simu ya nabii Sanga.
“Nzuri nini?”


Tomas aliuliza huku akimtazama Levinaa liye vaa headphone masikoni mwake. Levina achomoa pini ya headphone hiyo aliyo ichomeka kwenye laptop yake na kufanya mazungumzo ya Evans na nabii Sanga kusikika.


“Wana kutana kwenye daraja la Kigamboni ehee?”
Tomas alizungumza huku akiwa na shahuku kubwa sana.


“Ndio, huo ni wakati wako sasa kuanza kulipa kisasi”
“Saa mbili usiku leo nabii Sanga una kwenda kuoionja kuzimu”
Tomas alizungumza kwa msisitozo huku akimtazama Levina aliye fanya kazi ya kunasa mawasiliano hayo ambayo kwa upande wao ni muhimu sana.


***


“Evans ana hitaji nionanae naye usiku wa saa mbili”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Julieth usoni mwake.


“Wapi?”
“Katika daraja la Kigamboni”
“Baba huo ndio muda wa kumua”
“Ngoja tuangalie na yeye ame jipangaje, tusije tuka fanya kosa lolote katika hilo”
“Sawa baba, ila nina hitaji tumuue Evans. Ata haribu kila kitu chetu. Kumbuka ni mambo mangapi tuna yafanya kwa muamvuli wa ndoa yangu”
“Ni kweli mwanangu nina litambua hilo usiwe na shaka. Nahitaji kutoka sasa hivi”
“Una kwenda wapi baba?”
“Kuna kijana nina hitaji kumpatia kazi hii”
“Sawa”
Nabii Sanga akaondoka nyumbani kwake na moja kwa moja akaelekea hadi katika nyumba ya Tyson, mdunguaji aliye acha kazi katika kitengo cha NSA, miaka mitatu iliyo pita.


“Sikutarajia kukuona hapa mzee wangu”
Tyson alizungumza huku akimpa mkono nabii Sanga mara baada ya kushuka kwenye gari lake.
“Nina kazi ya muhimu sana leo usiku nina hitaji uweze kunisaidia”
“Hakuna shaka. Karibu ndani”
Wakaingia ndani na kukaa sebleni.
“Bado una ishi peke yako?”
“Ndio mzee si una jua maisha yangu ni ya kujificha ficha hivyo siwezi kuwa na mwana mke mmoja wa kuweka ndani”
“Ni kweli. Lililo nileta hapa kuna kijana nina hitaji kwenda kukutana naye leo,ila nina hitaji uweze kumuua”
“Kwa nini?”
“Ana mfwatilia sana mbinti yangu na jambo baya zaidi ni kwamba binti yangu ana olewa na kijana wa raisi”
“Ni kweli, nina litambua hilo”
“Yaa sasa huu usumbufu wake una weza kupelekea mapingamizi yasiyo na kichwa wala miguu kwenye ndoa ya binti yangu na mimi wala sihitaji kulisikia hilo”
“Sawa nipatie picha yake”
“Mmmm kwa picha, ngoja kwaza”


Nabii Sanga akampigia simu Julieth akamuomba amtumie picha ya Evans. Mara baada ya picha hiyo kutumwa nabii Sanga akamuonyesha Tyson picha hiyo.


“Kweli mzee huyu perege ndio ana kuumiza kichwa?”
“Sana na ana jiamini hadi nina shindwa kutambua ni kwa nini ana jiamini kiasi hicho”
“So una taka nimteke au nimuue eneo la tukio?”
“Kipi ni kizuri?”
“Kumteka na kumuua eneo jengine. Endapo tuta muua katika eneo hilo basi kutakuwa na maswali mengi sana kwako”
“Basi fanya hivyo. Nina kwenda kuonana naye mida ya saa mbili usiku, katika daraja la Kigamboni. Hivyo nita hitaji uwepo eneo la tukio.”
“Usijali bosi”
“Ukifanikisha hili kikamilifu, una bingo yako”
“Nakuaminia mkuu”
Nabii Sanga akaagana na Tyson kisha akaondoka nyumbani hapo.


***


Majira ya saa moja usiku Evans akaingia kwenye gari lake na taratibu akaanza safari ya kuelekea kwenye daraja hili ambalo halipo mbali sana na eneo la hoteli hiyo. Akafika eneo la kabirbu kabisa daraja hilo, akalisimamisha gari lake pembezoni mwa barabara. Akashuka kwenye gari lake na kuanza kutembea kwa miguu huku akiangaza angaza kila sehemu ya daraja hilo. Wingi wa magari pamoja na taa kubwa zilizo fungwa kwenye daraja hilo vikamfanya Evans kujiamini sana. Akatoa simu yake mfukoni na kumpigia nabii Sanga.


“Nimefika”
“Nipo njiani nina kuja na hakikisha una onana na mimi”
Simu ya nabii Sanga ikakatwa na kumfanya Evans kujiuliza maswala lakadhaa ya kwa nini mzee huyo ame kata simu mapema sana. Evans akafika eneo la katikati ya daraja hilo, akasogea eneo la pembeni ya daraja hilo na kuchungulia eneo la chini ambapo kuna bahari. Akiwa hapo simu yake ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya nabii Sanga.


“Upo wapi?”
“Wewe upo wapi?”
“Nipo darajani nahitaji kujua upo wapi?”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo, gafla gari moja likafunga freki pembeni ya Evans wakashuka watu wawili walio valia suti nyeusi huku mikononi mwao wakiwa na bastola na wakamfanya Evans kustuka sana kwa maana uvaaji wao ni sawa na watu ambao walimteka mkoani Morogoro.


ITAENDELEA


Haya sasa ni kina nani hao ambao wame shuka kwenye gari hilo, kwa nini wana bastola mikononi mwao, na wametumwa na nani? Usikose sehemu ya 94.
 
SIN 94


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188




ILIPOISHIA


“Nipo njiani nina kuja na hakikisha una onana na mimi”
Simu ya nabii Sanga ikakatwa na kumfanya Evans kujiuliza maswala lakadhaa ya kwa nini mzee huyo ame kata simu mapema sana. Evans akafika eneo la katikati ya daraja hilo, akasogea eneo la pembeni ya daraja hilo na kuchungulia eneo la chini ambapo kuna bahari. Akiwa hapo simu yake ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya nabii Sanga.


“Upo wapi?”
“Wewe upo wapi?”
“Nipo darajani nahitaji kujua upo wapi?”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo, gafla gari moja likafunga freki pembeni ya Evans wakashuka watu wawili walio valia suti nyeusi huku mikononi mwao wakiwa na bastola na wakamfanya Evans kustuka sana kwa maana uvaaji wao ni sawa na watu ambao walimteka mkoani Morogoro.





ENDELEA


“Evans Shika ingia ndani ya gari”
“Nyinyi ni kina nani?”
“Ingia ndani ya gari haraka sana.”


“Nyinyi ni kina nani?”
“Sisi ni walinzi wa mzee Mbogo, nina imani kwamba una mfahamu. Tupo hapa kwa ajili ya kukusaidia, ingia ndani ya gari”
Evans akashusha pumzi hukua akiwatazama vijana hao. Wakaona gari moja ndogo likija kwa kasi sana, dereva wa gari hili akatoa mkono mmoja nje na kuanza kushambulia eneo walilo simama Evans na vijana hao kwa kutumia bastola yake. Hapakuwa na maulizo mengine zaidi ya Evans kuingia ndani ya gari hilo huku vijana hao nao wakiingia ndani ya gari hilo na kuondoka eneo hilo kwa kasi sana.


Tayson akazidi kuendesha gari lake huku akijitahidi sana kuwashambuli Evans na vijana wa mzee Mbogo.


“Hao ni kina nani wanao tushambulia?”
Evans aliuliza kwa mshangao huku akiwa ameinama chini, vijana hao hawakuweza kumjibu chochote zaidi kujitahidi kuhakikisha kwamba wana mzuia Tyson anaye endelea kuwashambulia. Gafla risasi moja ikapiga kwenye tairi la mbele la gari la Tyson na kusababisha gari hilo kukosa muelekeo huku likiyumba yumba na mwishowe likatoka kabisa nje ya barabara na kumfanya Tyson kujirisha na kuliacha gari lake likigonga mti mkubwa na likalipuka. Tyson taratibu akasimama huku akitazama jinsi gari la walio mchukua Evans likitokomea gizani. Tyson akatoa simu yake na kumpigia nabii Sanga.
“Kazi haijafanikiwa”
Tyson mara baada ya kuzungumza hivyo akakata simu na kuivunja vunja, akachomoa laini yake na kuondoka eneo hilo la tukio kabla ya raisi watoa msaada kufika. Vijana wa mzee Mbogo moja kwa moja wakafika katika moja ya fukwe, wakashuka na kuingia kwenye boti na kurudi upande wa pili wa jiji la Dar es Salaam. Wakawakuta wezao wawili kwenye ufukwe wa bahari wakaingia kwenye gari na kuelekea katika nyumba ya mzee Mbogo ambapo kwa sasa ndipo wanapo fanyia kazi.


***


“Madam kuna situation tume iona”
Kijana wa Emmy alizungumza na kumfanya Emmy kutoka ofisini kwake na kuelekea katika chumba cha mawasiliano. Emmy akaona video iliyo rekodiwa na cctv kamera zilizo fungwa kwenye daraja la Kigamboni, jinsi gari nyeusi aina ya Toyota Prado TX inavyo shambuliwa.
“Hao ni kina nani?”
Emmy aliuliza hukua kitazama sura za vijana wawili.


“Madam hawa ni wafanyakazi wazamani wa kitengo cha NSA”
“Majina yao?”
“Mmoja ana itwa Laurent na mwengine ana itwa Criss. Walianza kazi miaka miwili iliyo pita”
“Ina kuwaje wana mfwata huyo kijana?”
“Hatutajua muheshimiwa”
“Huyo kijana ni nani?”
“Ana itwa Evans Shika, ni mwana chuo aliye maliza mwaka jana”
“Hakikisheni kwamba muna ifwatilia hilo tukio”
“Sawa mkuu”
“Madam, raisi yupo kwenye laini namba tatu”
Madam Emmy akanyanyua mkongo wa simu ya mezani, akaminya batani yenye namba tatu na kuiweka simu yake sikioni.
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Kuna tukio gani linalo endelea Kigamboni kwa maana nime pata taarifa kuna tukio la kijambazi limetokea darajani”
“Ni kweli muheshimiwa raisi, ila tuna lifwatilia”
“Ni nani ambaye ana husika?”
“Hadi sasa hivi muheshimiwa tumeweza pata watu watatu, wawili ni wafanyakazi wa zamani wa kitengo cha NSA na mmoja waoa na itwa Evans Shika”
“Evans Shika !!!?”
“Ndio muheshimiwa”
“Hakikisheni muna mtafuta huyo kijana na muna nileta kwangua akiwa hai sawa”
“Sawa muheshimiwa je hawa vijana hujawatuma wewe?”
“Siwajui na wala sio mimi niliye watuma pia nitumie hiyo video ya CCTV”


“Nimekuelewa muheshimiwa raisi”
Emmy akakata simu huku akiwatazama vijana wake wanao endelea kufanya kazi kwa juhudi.


“Hakikisheni kwamba muna fahamu huyo Evans Shika ana pelekwa wapi na Aisha itume hiyo video ikulu”
“Sawa muheshimiwa”
Madam Emmy alizungumza huku akirudi ofisini kwake.
***


“Njoo ofisini kwangu”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akiwa amejawa na hasira kidogo. Baada ya dakika tano Jery akaingia ofisini kwa baba yake huku akiwa na wasiwasi kidogo kwa maana sauti ambayoa aliizungumza baba yake kidogo ime mtisha.


“Kaa hapo”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimnyooshea Jery kidole. Raisi Mtenzi akamgeuzia Jery laptop yake na kumuonyesha video ya tukio la Evans kuchukuliwa na gari. Jery akastuka kidogo kwa maana ana tambua kwamba Evans alisha uwawa na vijana wake.


“U…u…meiitolea wapi?”
“Huyo mpumbavu bado yupo hai. Garama kubwa ulizo zitumia, kupoteza maisha ya watu ila bado huyo kijana yupo tu?”
Raisi Mtenzia alizungumza kwa kufoka sana.


“Hata mimi baba nina shangaa”
“Una shangaa nini ikiwa ume muona hapo akiwa hai?”
“Sa….asa”
“Nahitaji afe kabla ya hili jua halijakwisha. Fanya ufanyavyo ila nina taka kuona maiti yake hapa mbele yangu. Umenielewa”
“Nimekuelewa baba”
Raisi Mtenzi akashusha pumzi huku akijaribu kuizuia sauti yake.
“Acha”
“Ehee”
“Acha kulifanya hilo tukio”
“Kwa nini baba?”
“Nita hitaji kumpata mimi mwenyewe na nita hitaji kuzungumza naye”
“Una hitaji kuzungumza naye nini baba?”
“Nina jua ni nini cha kuzungumza naye. Wewe endelea kufikiria mambo yako ya ndoa”
“Sawa baba”
Raisi Mtenzi akatoa ishara ya Jery kutoka ofisini kwake. Jery mara baada ya kutoka, akachukua simu yake na kumpigia Julieth.
“Upo wapi baby?”
“Nipo nyumbani”
“Evans ameonekana kwenye daraja la Kigamboni na kuna watu ambao wame mchukua ila baba ana mtafuta nina imani ata mkamata na ana hitaji kuzungumza naye”
“Evans!!?”


Julieth alizungumza kwa mshangao kwa maana kama Evans ata kamatwa na raisi Mtenzi basi ita kuwa ni jambo hatari sana kwa upande
“Ndio, ila kesho tuta lizungumza vizuri. Umenielewa?”
“Sawa mume wangu”
Jery akaka simu na kuingia chumbani kwake huku akiwaza ni jinsi gani anavyo weza kutumia watu wake kuweza kufahamu ni wapi alipo Evans.


***


“Shitii nime chelewa”
Tomas alizungumza huku akikaa kwenye sofa. Levina akamtazama kwa sekunde kadhaa huku akitabasamu.


“Kuchelewa kwako, ila kume tuwezesha kupata jambo”
“Jambo gani?”
Levina akawasha iliyopo sebleni hapo. Wakaona jinsi vijana wawili wakimchukua Evans na kuondoka naye darajani hapo huku wakishambuliwa na dereva aliyopo kwenye gari ndogo.


“Video hiyo ime naswa na kamera za CCTV zilizopo pale darajani. Kwa kutumia video hiyo basi tuta weza kumshawishi Magreth na akatusaidia katika hili”
“Magreth?”
“Ndio”
“Ila si amesha kataa?”
“Amekataa ila kuna ushidi wa mzungumzo”
Levina alizungumza huku akiweka mazungumzo ya mwisho yaliyo ingia kwenye simu ya nabii Sanga.”
“Huyo aliye sema kazi ime shindikana ni nani?”
“Ana itwa Tyson alikuwa yupo kitengo cha NSA ila aliacha kazi kipindi cha nyuma. Amekuwa ni mfanya kazi za uuaji na inavyo onyesha ana fanya kazi na nabii Sanga”
“Kwa hiyo tuki mpata Tyson tuna mpata nabii Sanga?”
“Kumpata Tyson ni jambo gumu kwa maana hata simu yake kwa sasa haionyeshi kwmaba yupo wapi. Amekuwa ni mtu ambaye ni hatari sana na ana ishi kwa kuzunguka zunguka kama kunguru”
“Sasa nabii Sanga”
“Ngoja kwanza”
Levina akaitafuta namba ya Magreth kwenye simu yake na kumpigia. Simu hiyo ikaanza kuita kwa muda kisha ikapokelewa.


“Mage ni mimi Levina”
“Una hitaji nini?”
“Samahani nina weza kufahamu kwamba upo wapi?”
“Sema una hitaji nini?”
“Kuna video na audio nina kutumia kwenye simu yako. Ukisha maliza kuvitazama na kusikiliza, basi nina kuomba unitafute”
Levina akakata simu na kumtumia Magreth video hiyo pamoja na sauti ya Tyson ambayo alimpigia nabii Sanga.


***


Magreth akapunguza sauti ya gari lake huku akisibiria askari walio zuia garli kupita katika daraja hilo la Kigamboni, kuziruhusu. Magreth akafungua video hiyo na akaanza kuitazama. Mapigo yake ya moyo yakaanza kumuenda kasi mara baada ya kumuona Evans akiwa ameshikwa bastola na watu wawili, video hiyo ikaendelea kuonyesha jinsi Evans na watu hao walivyo ingia ndani ya gari kwa uharaka huku gari nyingine ndogo ikiwashambulia kwa nyuma.


Magreth kwa woga na hasira akahisi mwili mzima ukimtetemeka kwa woga. Akatazama jinsi gari hizo zinavyo fukuzana na zilivyo toka kwenye daraja hilo na video hiyo ikakata kwa maana katika barabara za mitaani hakujafungwa kamera za aina yoyote. Hapo ndipo Magreth akatambua sababu ya gari zao kuziwa kupita darajani hapo kwa muda.


“Ohoo Mungu wangu Evans wangu”


Magreth alizungumza huku machozi yakimlenga lenga na isitoshe watu walio ondoka na Evans wamevaa sawa sawa na wale watu walio mteka kule mkoani Morogoro. Magreth akasikiliza audio hiyo ambao ni fupi tu.


‘Kazi haijafanikiwa’


Magreth kwa haraka akampigia Levina ili kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.


“Ni nani aliye mteka Evans”
“Tulia Magreth hili jambo halihitaji hasira hara kidogo.”
“Niambie ni nani ambaye amehusika kwenye jambo hilo”
“Nina weza kukueleza ila nita hitaji unisaidie na mimi kama jinsi nitakavyo kusaidia”
Levina alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Magreth kuzidi kupandwa na hasira.
“Una taka nikusaidie nini?”
“Nahitaji uungane nasi katika kumuangamiza nabii Sanga”
“Una taka kuniambia nabii Sanga ndio ana husika na jambo hili?”
“Siwezi kuwa na uhakika wa moja kwa moja ila nina hitaji kushirikiana na wewe. Tukae chini kwa pamoja kisha tujue ni nani ame husika”


Magreth akajifikiria kwa muda huku, kutokana bado ana mpenda Evans na ana muhitaji kwenye maisha yake hakuona haja ya kumkatalia Levina katika kushirikiana katika jambo hilo.
***


Julieth akahisi tumbo lake lina mpasuka kwa maumivu yatokanayo na woga. Hakuweza kabisa kukaa eneo moja na mbaya zaidi kila anavyo mpigia simu baba yake, hapokei. Mrs Sanga naye hakuweza kutulia eneo moja kwa wasiwasi. Wakasikia mgurumo wa gari la nabii Sanga, wote wakachungulia dirishani, wakamuona nabii Sanga akishuka, Julieth akataka kutoka nje ila mama yake akamzuia.


“Nje kuna walinzi na hili jambo lina paswa kuzungumzwa humu ndani”


Julieth aliweza kumuelewa mama yake. Nabii Sanga akaingia ndani hapo, moja kwa moja akapandisha gorofani pasipo kuzungumza jambo lolote na kuwafanya Julieth na mama yake kumfwata. Nabii Sanga akavunja chungu chenye uwa la urembo kwa hasira. Mrs Sanga na mwanaye hawakumsemesha chochote zaidi ya kumtazama jinsi anavyo tweta kwa hasira.
“Baba”
Julieth aliita kwa sauti ya upole. Nabii Sanga akamtazama Julieth kwa macho makali pasipo kumsemesha jambo lolote.
“Imekuwaje?”
“Kuna watu wame tokea na kumchukua Evans, hivyo Tyson hajafanikiwa kumpata”
“Ohoo Mungu wangu”
Mrs Sanga alihamaki huku naye wasiwasi ukizidi kumtawala.


“Baba ina bidi tuwahi kumpata Evans kwa maana hivi ninavyo zungumza raisi Mtenzi ame tuma timu yake kumtafuta na amedai akimpata ana hitaji kuzungumza naye uso kwa uso”
Maneno hayo yakamstua sana nabii Sanga, akahisi kama nguvu zina muishia miguuni mwake kwa maana endapo raisi Mtenzi ata fanikiwa kumpata tu kijana huyo basi siri ya bikra ya msichana wake ita kuwa hadharani.


ITAENDELEA


Haya sasa raisi Mtenzi na nabii Sanga wote wana muhitaji Evans ni nani ata kuwa wa kwanza kumpata na wakimpata ni nini wata mfanya? Usikose sehemu ya 95.
 
SIN 95

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188






ILIPOISHIA


“Imekuwaje?”
“Kuna watu wame tokea na kumchukua Evans, hivyo Tyson hajafanikiwa kumpata”
“Ohoo Mungu wangu”
Mrs Sanga alihamaki huku naye wasiwasi ukizidi kumtawala.


“Baba ina bidi tuwahi kumpata Evans kwa maana hivi ninavyo zungumza raisi Mtenzi ame tuma timu yake kumtafuta na amedai akimpata ana hitaji kuzungumza naye uso kwa uso”
Maneno hayo yakamstua sana nabii Sanga, akahisi kama nguvu zina muishia miguuni mwake kwa maana endapo raisi Mtenzi ata fanikiwa kumpata tu kijana huyo basi siri ya bikra ya msichana wake ita kuwa hadharani.





ENDELEA


“Mume wangu tuta fanyaje?”
Mrs Sanga aliuliza huku machozi ya wasiwasi yakimlenga lenga usoni mwake. Nabii Sanga akakosa hata jambo la kumueleza mwanamke huyo.


“Naombeni nipumzike”
“Baba una taka kupumzika ikiwa bado hatujapata muafaka wa hili jambo”
“Nipeni muda wa kutafakari kwa maana mtu niliye kuwa nina mtegemea ndio kama hivyo amemkosa Evans, sasa munataka mimi nifanye nini?”
Nabii Sanga alizugumza kw aukali sana huku akimtazama mke wake na Julieth ambao wote wana onekana kukatishwa tamaa na kauli hiyo ya nabii Sanga. Wakatoka chumbani hapo na kuelekea katika chumba cha Julieth.


“Mama nina waagiza wale vijana wetu wamtafute”
“Hapana hakuna haja ya kuwaagiza”
“Kwa nini mama ikiwa hali halisi ya mambo una iona?”
“Ndio ina iona ila kumbuka wale wapo kwa ajili ya kazi gani. Endapo tutawaingiza kwenye jambo hili binafsi ina weza kutugarimu. Wewe ngoja kwanza tutajua ni nini cha kufanya”
Mrs Sanga alizungumza kwa kumfariji tu mwanaye ila kwa upande mwengine na yeye hana amani kabisa ya moyo wake.


***


Gari waliyo panda Evans na vijana wa mzee Mbogo ikaingia katika maegesho maalumu yaliyo tengenezwa chini ya nyumba hiyo ambayo kwa eneo la juu ina onekana ni nyumba ya kawaida tu. Ila kwa chini ina ukumbi mkubwa sana ambao ndio hao ambao vijana wa NSA walio acha kazi, wana fanya kazi.


“Hapa ni wapi?”
Evans aliuliza, ila vijana hao wakashuka kwenye magari na kumfanya na yeye kushuka. Wakamuingiza Evans katika chumba ambacho kina sofa mbili tu kisha wakatoka.


“Kazi nzuri”
Mzee Mbogo alizungumza huku akimwatazama vijana wake hao.
“Tuna shukuru sana mkuu”
“Muna weza kuendelea na majukumu mengine”
“Hato kudhuru huyo kijana?”
“Hato weza kunidhuru hivyo kuweni na amani”
Mzee Mbogo alizungumza huku akiwatazama vijana wake hao. Mzee Mbogo akaingia ndani ya chumba hicho na kumfanya Evans kustuka kidogo.


“Wewe?”
Evans alizungumza kwa mshangao, mzee Mbogo akakaa kwenye soma lililopo mbele ya sofa alilo kalia Evans.


“Kwa nini ume niteka”
“Ulihitaji nikuache ufa kwa kushambuliwa kwa risasi?”
Mzee Mbogo alizugumza kwa upole sana hukua kimtazama Evans.
“Ulijuaje kwamba nipo pale?”


“Huwa nina tambua kila kitu kinacho endelea kwa sasa katika hii nchi. Tuliweza kukuona pale darajani, hivyo vijana wangu walio kuwa karibu na eneo lile waliweza kukuwahi haraka sana”
“Mulinionaje onaje?”
“Darajani pale kuna CCTV kamera. Tuachane na hayo, una weza kuniambia pale ulikwenda kukutana na nani?”
Evans akaka kimya huku akimtazama mzee Mbogo.


“Ehee”
“Ulikuwa ume panga kukutana na nani?”
“Nabii Sanga”
“Sanga huyu mchungaji?”
“Ndio”
“Bado ana kufwatilia?”
“Ndio na nilikuwa na lengo la kwenda kusawazisha tofauti zetu. Ila kabla ya kuonana kuna yale yaliyo tokea pale”
Mlango wa chumba hicho ukafunguliwa, akaingia msichana mrefu, aliye valia suti nyeusi.


“Mkuu kuna kitu naomba uje kukisikia”
“Sawa. Kuwa na amani kaa kwa amani upo sehemu salama”
Mzee Mbogo alizungumza na kuondoka ndani hapo.


“Kumbe una wasiwasi”
Sauti ya dada ambaye ni jini ika mstua sana Evans.


“Ulikuwa wapi hadi nika chukuliwa na watu nisio wajua”
“Nilikuwa pamoja nawe ndio maana hakuna aliye kudburu. Huyo mzee ni mtu mzuri kwako hivyo usiwe na shaka wala wasiwasi wowote”
“Una uhakika?”
“Kuna siku nilisha wahi kukudanganya?”
“Hapana”
“Baadaye”
Dada huyo akapotea ndani hapo. Mzee Mbogo akakabidhiwa headphone na kuzivaa masikioni mwake. Akaanza kusikiliza mazungumzo ya siri yaliyo naswa ndani ya ofisi ya raisi Mtenzi, akizungumza na mwanaye Jery. Mzee Mbogo akastuka sana kwa maana Evans wa watu ana windwa na mkuu wa nchi akishirikiana na mwanaye.


“Hayo mazungumzo ni ya lini?”
“Dakika kumi na tano zilizo pita na raisi ametoa agizo kwa Emmy kuhakikisha kwamba wana mtafuta Evans popote alipo pale alipo”
“Sawa niingizie hiyo sauti kwenye simu yangu. Pia hakikisheni kwamba muna wafwatilia wao hatua kwa hatu ili kutambua ni kitu gani ambacho wana kifanya”
“Sawa mkuu”
Mzee Mbogo akarudi katika chumba alicho muacha Evans.


“Una hitaji chochote cha kula?”
“Hapana nipo vizuri”
Mzee Mbogo akaiweka mazungumzo hayo aliyo tumiwa kwenye simu yake. Evans akastuka mara ya kusikia yeye ndio anaye zungumziwa hapo.
“Ni kina nani hao?”
“Huyo ni raisi Mtenzi pamoja na mwanaye Jery. Haya mazungumzo yana kulenga wewe na hapa ninavyo zungumza, una tafutwa nchi nzima. Sasa una nafasi ya kuzungumza na mimi, nieleze ni kitu gania mbacho kina endelea ulichukua kitu gania ambacho kina wafanya wakuu wa nchi wakose usingizi kwa ajili yako?”
“Mimi sijui jambo lolote na wanacho kifanya wao ni chuki dhidi yangu”
“Una taka kuniambia haya yote yana tokea kutokana na wewe kuwa na mahusiano na mtoto wa nabii Sanga?”
“Nina hisi hivyo mzee”
Mzee Mbogo akamtazama Evans kwa sekunde kadhaa na kweli anacho kizungumza kina ukweli wa asilimia mia moja.


“Nina kuletea shuka,uta lala humu ndani hadi kesho ume nielewa”
“Sawa ila nikirudi uraiani si wata niua kama walivyo kosa kosa kuniua mara ya kwanza”
“Mara ya kwanza walitaka kukuua?”
Mzee Mbogo akamtazama kwa sekunde kadhaa Evans kwa maana ana tambua kila jambo ambalo alikumbana nalo Morogoro akiwa hotelini na raisi ndio alimpatia amri ya kumzuia kijana wake kuto kuendelea na kazi ya kumlinda Evans huku akimini ilikuwa ni kutokana na usalama wa nchi. Mzee Mbogo akatoka chumbani hapa na baada ya dakika tano akarudi akiwa na mto pamoja na shuka.


“Hilo sofa lina matumizi mawili”
“Ehee!!”
“Usishangae”
Mzee Mbogo akamuomba Evans kusimama, mzee Mbogo akalikunjua sofa hilo na likawa kitanda.


“Usiku mwema. Kama una simu hapa nipatie”


Evans akatoa simu yake na kumkabidhi mzee Mbogo kisha akatoka ndani hapo na kumuacha Evans akiwa amejawa na maswali mengi sana.


“Mkuu tuna fanyaje kwa maana hapa Emmy na vijana wake wame zibaini sura za vijana wetu”
“Hilo lisikupe wasiwasi. Ueni data zote katika kitengo cha NSA”
“Muheshimiwa!!”
John alizungumza kwa mshangao huku akimtazama mzee Mbogo usoni mwake.


“Ndio, ueni data zote kwa kufanya hivyo hawato kuwa na hamu ya kuendelea kutufwatilia. Pigo hili hakikisheni kwamba hawato kaa warudishe kitu chochote ambacho kime potea. Sawa”
“Sawa mkuu”
Mzee Mbogo kutokana yeye ndio aliunda mfumo mzima wa kitekonolojia wa kitengo hicho cha NSA, hivyo ana fahamu code muhimu za kufuta mfumo huo mzima. John na vijana wengien wakanza kazi hiyo hadi wakafika hatua ya kuingiza code hiyo.


“Mkuu ni wakati wako”
Mzeee Mbogo akaisogelea computer ya msaidizi wake John. Akaingiza code hiyo ambayo hata vijana wake hao hawaijui. Alipo maliza kuiandika, akawatazama vijana wake ambao wote wana mtazama yeye. Mzee Mbogo akaminya batani ya kuruhusu code hiyo kuanza kufanya kazi. Watu wote wakahamishia macho yao kwenye tv kubwa iliyopo kwenye moja ya ukuta katika chumba hicho. Neno Delete lililo tokea kwenye tv hiyo kubwa likaandamana na mstari inao hesabu kwa asilimia. Kila mmtu aliweza kwenda na asilimia hizo hadi ilipo fika mia, mzee Mbogo akashusha pumzi kwa maana hadi waje kutengeneza mfumo kama huo basi ita wachuka hata miaka miwili.


“Kitengo cha NSA kwa sasa mfumo wao umezima. Sisi ndio tegemezi la taifa na endapo serikali ita tuhitaji kufanya kazi nasi basi nina wahakikishia kwamba nita hitaji kila mtu awe tajiri kwa kulipwa hata mara kumi na mshahara ninao walipa hivi sasa.”
Kila mfanyakazi akajawa na furaha.


“Muna weza kupumzika, ila nina waomba musiweze kutoka na kwenda majumbani. Huko nje sio salama kabisa. Usiku mwema”
Baada ya mzee Mbogo kuzungumza maneno hayo akatoka ndani hapo na kuwaacha wafanyakazi wake wakipiga stori mbili tatu huku wengine wakitafuta sehemu za kulala ndani ya nyumba hiyo.


***


Emmy na vijana wake wakazidi kuchanganyikiwa kwa maana kila kitu walicho kuwa wana kitegemea kime futika. Hakuna mawasiliano yanayo toka kwa simu za mezani. Hakuna kamera hata mmoja ya ulinzi inayo rekodi.


“Muna shangaa nini, fanyani kazi”
Emmy alizungumza kwa kufoka sana. Computer zote zina onyesha logo ya kitengo hicho na hakuna hata moja ambayo ina weza kuendelea zaidi ya hapo. Wanajaribu kuzizima na kuziwasha ila hakuna kitu chochote kinacho eneokana zaidi ya hiyo logo. Wenye laptop wakajaribu kufanya wanacho kiweza, ila hapakuw ana mtu hata mmoja aliye fanikisha chochote. Emmy akaingia ofisini kwake huku akiwa amejawa na hasira kali sana.


“Kharhgaaaaaa”
Emmy alipiga kelele kwa hasira huku akiitupilia mbali simu ya mezani kwake. Akatoa simu yake ya mfukoni, akashusha pumzi taratibu na kumpigia raisi Mtenzi.
“Mume fikia wapi?”
Raisi Mtenzi alianza kwa kuuliza.


“Mkuu system nzima ya kitengo cha NSA ime zima”
“Nini?”
“Mkuu hapa ninavyo zungumza na wewe kila kitu kwenye computer zetu kime futika.”
“Nina kuja”
Simu ikakatwa na kumfanya Emmya kuanza kutetemeka mwili mzima kwa maana ana muogopa sana raisi Mtenzi.


Raisi Mtenzi akaondoka ikulu na walinzi wachache pamoja na gari tatu. Wakafika katika kitengo cha NSA na yeye mwenyewe akashuhudia jinsi mfumo mzima wa utendaji wa kazi ulivyo zima katika ofisi hiyo kubwa ya usalama wa nchi.


“Hili tatizo limetokea saa ngapi?”
“Limetokea muda mchache kabla sijakupigia simu”
“Mkuu”
Mshauri wa raisi Mtenzi alimuita huku akimtazama usoni mwake.


“Ndio”
“Samahani kama nita kuwa nime kuvunjia utaratibu wako”
“Zungumza”
“Mimi nime fanya kazi katika kitengo hichi kwa miaka mingi ya nyuma”
“Nalijua hilo, huna haja ya kunihubiria. Wewe nenda kwenye pointi yako ya msingi.”
“Mfumo mzima wa utendaji wa kazi, ulitengenezwa na mzee Mbogo. Kumfukuza kazi, haya ndio matokeo yake”
Raisi Mtenzi akamtazama mshauri wake huyo kwa macho yaliyo jaa hasira kali.
“Mbogo yeye ni nani kwenye hili. Tatizo la kawaida kama hili una anza kujaji maamuzi yangua au una taka kuniamia kwamba nime kosea mimi kumfukuza yule kazi?”
Raisi Mtenzi alimfokea mshauri wake huyo ambaye ni mzee wa makamu kiasi.


“Muhehimiwa raisi ume nipa nafasi hii ili niwe mshauri wako. Kunapokuwa na haja ya kukueleza ukweli basi nita kueleza ukweli. Mbogo ndio mtu pekee anaye weza kutengeneza mfumo mzima wa kitengo cha NSA. Kama una bishana na mimi nina apa kwa jila la Mungu. Wape hawa vijana siku ya kufanya kazi kurudisha mfumo huo au kutengeneza mfumo kama huo, endapo wata fanikiwa basi nipo tayari kuachia nafasi yangu kama mshauri wako namba moja”
Mzee huyo alizungumza kwa ukali hadi kila mtu akashangaa.Mzee huyo ame fanya kazi na raisi Mtenzi hivyo ana mfahamu pasipo kuwa na majibizano naye kwenye vitu muhimu vya kuhusu taifa basi ana weza kuchukua maamuzi yatokanayo na hasira. Raisi Mtenzi akakasirishwa sana na kufokewa na mfanyakazi wake huyo, akajikuta akitabasamu huku akimtazama mzee huyo.
“Your fired”(Umefukuzwa kazi)
Kauli ya raisi Mtenzi ikazidi kuwa ogopesha watu wote humo ndani, ila mzee huyo hakuogopa chochote. Akamsogelea raisi Mtenzi karibu kabisa, walinzi wakataka kumzuia ila raisi Mtenzi akanyoosha mkono ikiwa ni ishara ya kuwazuia.


“Ipo siku, uta fahamu umuhimu wa Mbogo kwenye hii nchi. MR PRESIDENTTTTTTT…….”


Mzee huyo ambaye kwa jila la utani anaitwa The Brain, alizumgumza kwa msisitizo kisha akaliweka koti lake la suti vizuri na kuanza kuondoka ndani hapo huku akisindikizwa na walinzi wawili wa raisi Mtenzi kuhakikisha kwambaa na toka kwenye jengo hilo na haleti madara ya aina yoyote”
ITAENDELEA


Haya sasa raisi Mtenzi ana zidi kuwafukuza kazi watu muhimu kwenye serikali yake pasipo kutambua kuna maadui ambao wana muwinda yeye na familia yake, je atafanikiwa kupambana na maadui hao? Usikose sehemu ya 96.
 
SIN 96


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Your fired”(Umefukuzwa kazi)
Kauli ya raisi Mtenzi ikazidi kuwa ogopesha watu wote humo ndani, ila mzee huyo hakuogopa chochote. Akamsogelea raisi Mtenzi karibu kabisa, walinzi wakataka kumzuia ila raisi Mtenzi akanyoosha mkono ikiwa ni ishara ya kuwazuia.


“Ipo siku, uta fahamu umuhimu wa Mbogo kwenye hii nchi. MR PRESIDENTTTTTTT…….”


Mzee huyo ambaye kwa jila la utani anaitwa The Brain, alizumgumza kwa msisitizo kisha akaliweka koti lake la suti vizuri na kuanza kuondoka ndani hapo huku akisindikizwa na walinzi wawili wa raisi Mtenzi kuhakikisha kwambaa na toka kwenye jengo hilo na haleti madhara ya aina yoyote”


ENDELEA


Mr The Brain akapelekwa hadi kwenye maegesho ya kitengo hicho cha NSA. Akaingia kwenye moja ya gari la kitengo hicho.
“Hakikisha una mpeleka nyumbani kwake.”


Mmoja wa walinzi wa raisi Mtenzi alimuambia dereva wa gari hilo.


“Sawa mkuu”


Dereva huyo akapandisha kioo cha gari lake kisha wakaondoka katika makao makuu ya kitengo hicho.


“Wasiliana na balozi wa Marekeni muambie nina hitaji kuzungumza naye”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akiwa amekaa katika ofisi ya Emmy.


“Samahani mkuu simu zote za mezani hazitoi mawasiliano.”
“Kwa nini?”
“Sijajajua mkuu, ila hazitoi maswaliano”
Raisi Mtenzi akatoa simu yake mfukoni na kumpigia balozi huyo wa Marekeni.


“Muheshimiwa raisi”
“Habari za muda huu”
“Salama tu vipi mbona usiku”
“Kuna matatizo kidogo, nina omba unisaidie”
“Nakusikiliza muheshimiwa.”
“Kitengo changu cha NSA, kime poteza data zake zote na hadi ninavyo zungumza hivi sana kipo katika giza hivyo nina omba sana uweze kunisaidia”
“Una taka kuniambia kwmaba kitengo chote mfumo wake wa mawasiliano yme zimika?”
“Ndio”
“Muheshimiwa hilo ni jambo la hatari sana kwa nchi. Niambie una hitaji nini?”
“Nahitaji wataalamu ambao wana weza kutengeneza mfumo mzima”
“Sawa, ngoja niwasiliane na raisi wangu kisha nita kupigia simu”
“Nashukuru”
Raisi Mtenzi akashusha pumzi huku akimtazama Emmy usoni mwake.


“Mkuu nina weza kuzungumza jambo?”
“Zungumza”
“Wamarekenia endaopo wata tutengenezea mfumo mwengine, nina imani kuna baadhi ya siri zetu za serikali watakuwa wana zipata, isitoshe hichi ndio kitengo nyeti kabisa cha usalama katika nchi yako muheshimiwa. Hilo ume litazamaje?”
Raisi Mtenzi akashusha pumzi na kukumbuka skendo waliyo ipata Marekeni miaka kadhaa, wakishutumiwa na mmoja wa wafanyakazi wake aliye toa siri kwamba Wamarekeni wana iba baadhi ya siri za mataifa mengine pasipo mataifa hayo makubwa kufahamu.
“Hilo jambo ni kweli, sasa tuna fanya nini?”
“Mkuu unge tupa mwenzi mmoja. Nina waamini sana vijana wangu, tuta rudi hewani”
“Mwenzi mmoja?”
“Ndio mwenzi mmoja tu tuta rudi hewani, ila kwa Wamarekeni kwa kweli sikushauri tufanye nao kazi tena kwenye kitengo kama hichi”
“Nimekuelewa sana Emmy, una mwenzi mmoja wewe na vijana wako kuhajikisha muna tengeneza mfumo mwengine ambao utakuwa imara na wenye nguvu na hakuna hakers hata mmoja ambaye ata weza kuuvamia”
“Sawa muheshimiwa raisi, nina shukuru sana kwa kutuelewa”
“Usiku mwema”
“Nawe pia muheshimiwa”
Raisi Mtenzi akatoka makao makuu ya ofisi hiyo na kurudi ikulu.


***


Mzee Mbogo akaitazama simu yake jinsi inavyo ita. Namba ya Mr the Brain kidogo ikamfanya kusita kuipokea kwa maana ana tambua ni lazima kwa sasa serikali ita mtafuta hiyo ni kutokana na yeye kuzima mfumo mzima wa kitengo nyeti cha usalama cha NSA.


‘Ana hitaji nini huyu?’


Mzee Mbogo aliendelea kuzungumza huku akiitazama simu yake. Taratibu akaipokea na kuiweka sikioni mwake.


“Habari Mbogo”
“Salama muheshimiwa habari yako?”
“Sio salama.”
“Kuna nini?”
“Nime fukuzwa kazi kwa ajili yako”
“Kwa ajili yangu. Kivipi?”
“Mfumo mzima wa utendaji kazi wa NSA, ume futika na hapa ninapo zungumza na wewe hakuna mawasiliano yanayo ingia kwenye kitengo hicho wala wao hawana uweze wa kutumia hata CCTV kamera za jengo lao. Nilimshauri raisi Mtenzi kukurudisha wewe katika nafasi yako kwa maana wewe ndio mtengenezaji wa ule mfumo ila alikataa na ikapelekea mimi kufukuzwa kazi”
“Pole sana Mr The brain.”
“Nimesha poa. Ila nina mashaka makubwa saa kwa ajili ya hili. Nchi kwa sasa ipo gizani, hatuwezi kuona ni nani ana tushambulia na nini kitakacho kutokea na wewe mwenyewe una weza kugundua kwamba mfumo wa satelaiti ya ikulu hauwezi kunasa kila jambo kama mfumo wa NSA”
“Sasa yeye amechukua maamuzi gani?”
“Sijajua ndugu yangu. Hapa nipo nyumbani kwangu nime jipumzisha”
“Basi wewe jipumzishe na mimi nina endelea kuchukua mapumziko yangu kwa maana sihitaji tena kujihusisha na maswala ya usalama. Litakalo tokea lolote lita kuwa ni mikononi mwa raisi”
“Ni kweli Mbogo, ila akili yangu ina ona mbali”
“Kivipi?”
“Lile shambulizi tulilo lifanya kwa Al-Shabab nina uhakika ipo siku wata lipiza kisasi, je ita kuwa ni lini, wapi na saa ngapi. Yaani nina omba Mungu hilo jambo lisitokee katika kipindi hichi ambacho NSA ipo gizani”
“Ni kweli ndugu yangu. Tumuombe Mungu katika hilo”
“Nashukuru bwana. Nikutakie usiku mwema”
“Nawe pia”
Mzee Mbogo akakata simu yake huku akiwa amejawa na mashaka kwa maana kama mr the Brain amabaye ndio alikuwa injini kubwa ya kumfanya raisi Mtenzi kuonekana raisi bora Tanzania na bara zima la Afrika, basi nchi kwa sasa ita kuwa katika wakati mgumu sana. Mzee Mbogo akatoka chumbani kwake na moja kwa moja akaeleka katika chumba cha Evans.
“Hei kijana”
Mzee Mbogo alizungumza huku akimgusa Evans aliye lala begani mwake. Taratibu Evans akafumbua macho yake na mzee Mbogo akaka kwenye sofa jengi.
“Vipi mzee kume pambazuka?”
“Bado, ila ina hitaji kuzungumza na wewe”
“Sawa”
“Nina hitaji ujiunge na kitengo cha usalama wa taifa”
“Heeee!!”
Evans ali hamaki sana.


“Ndio nina hitaji ujiunge kwenye kitengo cha NSA”
“Siwezi mzee”
“Kwa nini?”
“Maisha yangu yote nina mtumikia Mungu. Hivyo nina hitaji kuwa na Mungu wangu, nipo kwenye arakati za kufungua kanisa hivyo kuifanya hiyo kazi ita kuwa ni ngumu kwa kweli”
Mzee Mbogo akashusha pumzi huku akimtazama Evans usoni mwake.


“Hakuna kanisa kama hakuna amani. Hakuna usingizi wala kizazi bora kama hakuna amani. Hakuna kulima kama hakuna amania. Hakuna biashara sehemu ambayo haina amani. Hakuna mahusiano wala kujipiga selfie sehemu ambayo hakuna amani. Tafakari kisha uta nipa jibu, usiku mwema”
Baada ya mzee Mbogo kuzungumza maneno hayo akatoka ndani hapo na kumucha Evans akiwa ana jishangaa sana.
“Una hisi ni kwa nini wana taka uwe mwana usalama”
Sauti ya mwana dada ambaye ni jini ikamstua sana Evans akamtazama mwana dada huyo aliye simama dirishani huku akitazama enei la nje la chumba hicho.


“Sijajua”
“Usikubali kushawishika”
“Ndio siwezi kushawishika kwa maana moyo wangu ulisha jiandaa kuwa nabii”
“Sawa, jina langu nina itwa Maimuna”
“Maimuna?”
“Ndio. Usiku mwema”
Maimuna akapotea ndani hapo huku akimuacha Evans akiwa katika hali kuchanganua kauli za mzee Mbogo.


***


“Hii ni ramani ya jiji la Dar es Salaam”
Kijana mmoja aitwaye Juma alizungumza huku akiwaonyesha wezake mchoro mkubwa uliopo kwenye karatasi waliyo ibandika ukutani ndani ya chumba hicho kilichopo chini ya gorofa katika mtaa wa Wasomali, Kariakoo.
“Siku ya harusi ya mtoto wa raisi Mtenzi, tuta shambulia maeneo makuu matatu ya kibiashara. Moja ni stendi ya mabasi Ubungo. Mbili ni katika uwanja wa Taifa wa mpira, kwa maana siku hiyo kuta kuwa na mechi kubwa ambayo watu elfu stini wata kuwepo katika kiwanja hicho. Tatu tuta shambulia katika kanisa ambalo ndipo harusi itakapo fanyika”
Juma alizungumza akiwa ndio kiongozi wa vijana hao kutoka katika kundi la Al-Shabab.


“Mashambulizi haya yote yata kuwa ni ya kujitoa muhanga.”
Vijana hao wakatazamana, huku kila mmoja akiwa hatambui ni nani ata jitoa muhanga”
“Tuna paswa kufanya shambulizi litakalo andika historia katika nchi ya Tanzania. Tume elewana?”
“Ndio”
“Haya tuendelee na kazi”
Vijana hao wakaendelea na kazi ya kuunda mabomu pamoja na kuzifunga silaha ambazo waliingia nazo Tanzania zikwa zime funguliwa vipande vipande.


***


Magreth akafika nyumbani kwake akiwa amechoka sana. Akamkuta Josephine akiwa amejilaza sebleni. Akamuamsha naa kaondoka sebleni hapo na kuelekea chumbani kwake. Magreth akaitazama video hiyo kw amara nyingine jinsi Evans akiingia ndai ya gari na kushambuliwa na watu hao. Akaingia chumbani ni na kuchukua laptop yake. Akakuta ujumbe mfupi wa barua pepe, akaufungua na kukuta maelezo yaliyo mfanya kujawa na tabasamu pana sana usoni mwake. Kutumwa kwa nguo zake hizo ambazo aliagiza zishonwe katika kiwanda hicho, kuka zidi kumuongeza morali wa kuhakikisha ana lipiza kisasi kwa nabii Sanga. Magreth usiku kucha akautumia katika kuperuzi kwenye baadhi ya tovuti zinazo fundisha namna ambayo una weza kuiba(hack) mawasiliano ya mtu mwengine kwenye simu yake pasipo ya yeye mwenyewe kufahamu. Asubuhi na mapema akaingia bafuni, akaoga haraka haraka. Akajiandaa, akamuaga Josephine na kuelekea nyumbani kwa Levina. Akafika katika nyumba hiyo, akafunguliwa geti na mwana dada huyo.


“Nina shukuru kwa kuja kwako”
“Asante”
Walizungumza huku wakipena mikono. Wakaingia ndani na kumkuta Tomas akiwa ameketi sebleni.


“Karibu sana Magreth”
“Nina shukuru. Nina omba munieleze mpango wenu kwa maana kidogo muda wangu ni mdogo sana.”


Tomas na Levina wakatazamana kwa sekunde kadhaa.


“Tuna imai kwamba wewe una muhitaji Evans wako si ndio?”
“Ndio”
“Ila una adui mpya ambaye ameongezeka katika kuisaka roho ya Evans wako”
Levina alizungumza huku akimtazama Magreth machoni mwake.


“Ni nani huyo”
Levina akwasha tv na ikaonekana sura ya raisi Mtenzi.


“Nina imani una mfahamu?”
“Ndio nina mfahamu. Raisi ana husikaje na kumteka mume wangu”
Levina akajibu kauli hiyo ya Magreth kwa kuweka mazungumzo ya raisi Mtenzi pamoja na Jery waliyo kuwa wana zungumza ndani ya ofisi yao. Mazungumzo hayo ya raisi Jery anayo mfokea mwanaye kwa kushindwa kumuua Evans yaka mstua sana Magreth. Hadi yanafikia mwisho, Magreth alihisi kama moyo wake una taka kupasuka kwa hasira


“Hili swala kwa sasa lime kaa kifamilia zaidi. Jery ndio mtu ambaye aliweza kuwatuma vijana wake katika kumuua Evans mkoani Morogoro. Sijajua kama una lifahamu hilo?”
“Ndio nina lifahamu”
“Ulifahamu kama Jery ndio mtu aliye husika nyuma ya lile tukio?”
“Hapana nilifahamu kwamba Evans ame tekwa na nilijitahidi kwa kadri ya uwezo wangu katika kumzuia mume wangu asitekwe ila nikashindwa kabisa.”
“Uli mzuia kivipi?”
Magreth akaka kimya huku akiwatazama Tomas na Levina kwa maana hadi sasa hivi haja waeleza kwamba yeye ana mpango gani katika ishu nzima ambayo wana iongelea hapo.
“Magreth ulijuaje?”
Levina aliuliza kwa msisitizo huku akimtazama Magreth ambaye bado ana jishauri katika kuwaamini wawili hao ambao bado hajatambua kama ni watu wema kwake au laa.


ITAENDELEA


Haya sasa je Magreth ata kuwa muwazi katika kufunguka ukweli wa siri ya mpango wake wa kumuangamiza nabii Sanga na familia yake? Usikose sehemu ya 97.
 
SIN 97


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Ulifahamu kama Jery ndio mtu aliye husika nyuma ya lile tukio?”
“Hapana nilifahamu kwamba Evans ame tekwa na nilijitahidi kwa kadri ya uwezo wangu katika kumzuia mume wangu asitekwe ila nikashindwa kabisa.”
“Uli mzuia kivipi?”
Magreth akaka kimya huku akiwatazama Tomas na Levina kwa maana hadi sasa hivi haja waeleza kwamba yeye ana mpango gani katika ishu nzima ambayo wana iongelea hapo.
“Magreth ulijuaje?”
Levina aliuliza kwa msisitizo huku akimtazama Magreth ambaye bado ana jishauri katika kuwaamini wawili hao ambao bado hajatambua kama ni watu wema kwake au laa.





ENDELEA


“Nina rafiki yangu ambaye ana uwezo wa kuonyeshwa ni wapi mtu alipo”
“Ana uwezo wa kuonyeshwa sehemu mtu alipo……!!?”
Tomas aliuliza huku akiwa amejwa na amshangao mkubwa sana.


“Ndio, ni kipawa kutoka kwa Mungu”
“Mmmm hiyo nia isikia leo”
Tomas alizungumza huku akitabasamu.


“Hao watu wapo usishange mume wangu. Huyo rafiki yako ana itwa nani?”
“Jamani sipo kituo cha polisi na kuanza kuhojiana maswali. So nyinyi muna mpango gani katika kumpata nabii Sanga”
“Jana usiku nilijaribu kuwahi darajani kwa ajili ya kumnyaka nabii Sanga ila kwa bahati mbaya sikuweza kumkuta kwa maana tayari Evans alisha chukuliwa”
“Kwa hiyo muna weza kunyaka mawasiliano yake yote yanayo ingia kwenye simu yake?”
“Ndio, kila anacho zungumza au kuingia kwenye simu basi sisi tuna kipata”
“Hivi muna fahamu hatari ya hilo jambo au muna fanya tu?”
“Ndio nina jua ila kwa ujuzi wangu hakuna ambaye ana weza kufahamu kama tume hack simu yake”
“Ujuzi wako ni mdogo Levina. Nyote hapa muna danganyana kwa maana niliweza kumjua Tomas kwamba ana sura bandia kutokana tu na jinsi alivyo itengeneza. Kufikiria za kuhack mawasiliano ya mtu, ina weza kuwapaleka kwenye mtego ambao hamto utegemea. Tazama kuna mambo mengi sana ambayo muna paswa kuyafahamu kabla ya kumkabili adui yake. Moja ina bidi umjue kwa undani sana na si kumjua kwa nje kama jinsi nyinyi munavyo mtazama nabii Sanga”
Maneno ya Magreth yakawafanya Levina na Tomas kukaa midomo wazi.


“Nikiaza kwa Tomas, ulikuwa kariu sana na nabii Sanga, ila kosa kubwa ulilo lifanya ni kutembea na mke wake na mukapanga kumteka kwa pamoja. Mulitumia mbinu za kitoto hadi polisi wakakukamata kirahisi sana.”
Kauli hiyo ikamstua sana Levina kwa maana hatambui kabisa juu ya swala hilo.


“Ulihisi ukimteka nabii Sanga muta zuia mafanikio yangu si ndio?”
“Magreth hilo sio tulilo kuitia hapa”
Tomas alizungumza huku akianza kupandwa na hasira.


“Acha azungumze. Magreth zungumza nahitaji kufahamu ukweli?”
“Kwani hukuweza kutambua mambo aliyo yafanya mume wako?”
“Magreth acha kunichonganisha mimi na mke wangu, sawa. Kama ume tumwa toka nyumbani kwangu”
“Hapa sio kwako ni kwangu. Magreth zungumza kila kitu”
Levina alizungumza kwa kujiamini na hasira sana. Magreth akatoa simu yake mfukoni, akaipa


kua video ya mrs Sanga na Tomas wakifanya mapenzi ofisini kwa nabii Sanga, kutoka kwenye google drive alipo ihifadhi.


“Angalia”
Magreth alizungumza huku akimkabidhi Levina simu hiyo. Levina macho yakamtoka, akasimama kwa jazba huku akimtazama Tomas.


“What’s fuc**”
Levina alitukana huku akimuonyesha Tomas video hiyo. Tomas nguvu zikamuishia kabisa, akajuta ni kwa nini aliamua kumuingiza Magreth kwenye mpango wake.
“Nijibu swali langu malaya wewe”
Levina alizungumza kwa kufoka huku akijawa na maumivu makubwa.
“Nina poteza muda wangu nina taka kujiingiza kwenye mambo mabaya kwa ajili ya wewe. Kumbe umetembea na yule malaya mzeee. Eheee?”
Levina alizungumza kwa uchungu sana.
“Ilikuwa ni azamani”
“Zamani what…….!! You fuc** this bi** now unaniambia ni zamani”
Levina alizidi kufoka huku akiwa amesimama mbele ya Tomas aliye ishiwa nguvu.
“Naomba nikuonyeshe kitu kingine”
“Nionyeshe nionyeshe”
Levina alizunumza huku akihema kwa hasira sana. Magreth aka ipakua video inayo muonyesha Thomas akiingiliwa kinyume na maumbilie na nabii Sanga.
“Hii ndio sababu ya mume wako kuhitaji kulipiza kisasi kwa nabii Sanga”
Levina akahisi nguvu za miguu zikumuishia. Taratibu akakaa kwenye sofa huku akiitazama video hiyo.
“This big dic** ime zama in your as**!!”
Levina alizungumza kwa sauti ya upole hukua akimuonyesha Frank video hiyo.


“Una hitaji mimi kupambana na upuuzi wako kama huu. Ohoo Mungu wangu sijukua Tomas wewe ni mwaanaume wa aina hiyo. Sikujua kama una niingiza kwenye matatizo makubwa ambayo baadae ninge jutia sana.”
“Baby”
“Stop calling me baby. Me and you it’s OVER”
“Hapana hapa mke wangu usinifanyie hivyo?”
“No mimi sio mke wako. Hujanivisha pete, huja jitambulisha kwetu na wala hakuna hata ndugu yangu mmoja anaye kufahamu wewe. Kitu kimoja ambacho nina hitaji kukusaidia tu, baki na hiyo sura yako ya bandia. Kapande ndege na urudi Afrika kusini leo. La sivyo nita fichua siri yako na mipango yako yote ya kumuua nabii Sanga na uta ona kama huto ozea gerezani”
Tomas taratibu akanyanyuka huku akimtazama Magreth kwa macho ya hasira sana.
“Magreth uta lipa kwa hili”
“Naamini wewe leo ndio una jua faida ya kulipa. Ulipanga kuniua wewe na mrs Sanga, so haya ndio malipo yake.”
Tomas akamfwata kwa hasira Magreth sehemu alipo simama. Akamkaba koo lake kwa hasira sana.


“Nakuua malaya wewe una niharibia maisha yangu.”
Magreth kwa kasi ya ajabua akaitoa mikono ya Tomas shingoni mwake, akapiga kigoti cha tumboni na kumfanya Tomas kujikunja kwa maumivu.
“Huwezi kuniua Tomas, kumbuka uliyajeruhi maisha yangu kwa kushindwa kufunga kwako mdomo mtoto wa kiume. Sasa leo hii yame rudi kwako.”
“Tomas sihitaji fujo ndani ya nyumba yangu. Umeshindwa kufanya nilicho kuambia ufanye acha nifanye mimi”
Levina akaingia ndani kwa haraka na kuwaacha Tomas na Magreth.


“Kwa nini ume fanya hivi Mage”
“Ni moja ya njia ya kumjua adui yako. Hivyo hata wewe pia nia adui yangu na kama ninge hitaji kukuua basi siku nyingi sana ninge kuua. Shukuru Mungu nina hofu ya Mungu ndani yangu la sivyo inge kula kwako”
“Hahahaaa….una hisi kunigombanisha na mwanake huyu. Mipango yangu haito endelea au?”
“Najua ita endelea hivyo simama wewe kama wewe na usimtegemee mwana mke”
Levina akarudi sebleni hapo akiwa na begi kubwa la nguo. Akamsukumia Tomas bagi hilo.
“Ondoka ndani ya nyumba yangu”
“Sawa usijali nina ondoka. Ila tambua kwamba nina weza kufanya kazi hii mimi peke yangu”
Tomas mara baada ya kufanya hivyo akaondoka ndani hapo huku akiwa amejawa na hasira kali sana.
“Nina ondoka”
“Magreth baki kwanza”
Levina alizungumza kwa upole huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Nakuomba uketi”
Magreth akaka kwenye moja ya sofa.
“Nakuomba sana hiyo video ya Tomas uifute”
“Kwa nini?”
“Ni udhalilishaji. Nakuomba kama mwanamke mwenzako”
“Ohoo sawa kwa ajili yako nina ifuta”
Magreth akaifuta video hiyo mbele ya Levina na yeye akaridhika na ufutaji huo.
“Naweza kuondoka?”
“Ndio japo roho yangu ina niuma”
“Hayo ni mambo yenu nyinyi wewenyewe mimi simo.”
Magreth akaaga na kuondoka nyumbani hapo huku akimuacha Levina akiwa katika wakati mgumu sana, kila alicho kiona ana hisi kama ni ndoto. Magreth moja kwa moja akaelekea Posta. Akapokea mzigo wake wa nguo kisha akaelekea hadi kwenye nyuma anayo hifadhia viafaa vyake. Akazijaribisha nguo hizo na hakika zipo vizuri sana. Magreth akachukua kisu chenye ncha kali na kujaribu kujichoma kwenye paja lake la kulia ila kisu hicho hakikuweza kutoboa nguo hiyo.


“Waoooo”
Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana kwani kama kisu hicho chenye ncha kali hakijaweza kupenye kwenye nguo hiyo basi hata riasi basi haito weza kuingia ndani ya nguo hiyo iliyo kaa mithili ya spider mam japo yake ina rangi nyeusi tupu.


***


“Umeamkaje?”
Mzee Mbogo alizungumza huku akimtazama Evans ambaye bado amejilaza.
“Salama mzee”
“Nina imani kwamba ume weza kujifikia na sasa una weza kunipatia jibu langu”
“Jibu lako lipo wazi mzee. Mimi na mambo usalama ni sawa na mbingu na ardhi.”
Mzee Mbogo akashusha pumzi taratibu huku akimtazama Evans.


“Endapo unge fahamu faida ambayo uta ipata endapo unge kubali kujiunga nami. Basi nina uhakika kwamba usinge ishi maisha ya kuruka ruka kama ngedere. Kutokana niliweza kukusaidia, basi vijana wangu wata kurudisha pale pale darajani uka endele na mkutano wako na nabii Sanga. Jiandae vijana wangu wakarudishe”
Mzee Mbogo alizungumza huku akianza kutembea, kuelekea mlangoni.
“Nina weza kuuliza swali?”
Mzee Mbogo akageuka na kumtazama Evans.
“Nina weza kupata walinzi wawili ambao wata kuwa wana nilinda na nita walipa kiasi wakitakacho?”
“Huna pesa ya kuwalipa”
“Ninayo pesa hata ya kukulipa wewe mzee. Ninacho hitaji mimi ni walinzi tu wawili”
“Hahaaa una pesa ya kunilipa mimi?”
“Ndio, na jana tu nime toka kulipia eneo ambalo nina mpango wa kujenga kanisa langu. Tafadhali nina kuomba inisaidie katika hilo”
“Na wewe una taka kuwa mtumishi kama baba yako mwe mzee Sanga?”
“Sio mkwe wangu kwa maana mwanaye ana mume wake sasa ambaye ndio ana kwenda kumuoa”
“Mwenye kisu kikali ndio anaye kula nyama. Sasa wewe rafiki yangu kisu chako ni butu hakina uwezo wa kula watoto wa waheshimiwa.”
“Nime kuelewa, ila kama ina wezekana naomba unifanikishie lengo langu. Nipo tayari kuwalipa kiasi chochote”
“Huna kazi mjini, isitoshe wewe umemaliza chuo hivi juzi juzi. Leo hii una taka kuniambia kwamba una uwezo wa kunilipa hata mimi. Hembu acha maigizo bwana”
“Najua wewe ni mpelelezi, ingia kwenye benki ya Bacrays nilipo hifafhia pesa kisha angalia ni kiasi gania mbacho nina miliki, baada ya hapo uta weza kuni jaji kama nina weza kuwalipa walinzi wako au laa”
Evans alizungumza kwa msisitizo.
“Nitajie namba ya akauti yako na jina lake”
Evans akataja namba ya akaunti yake na jina alilo jisajilia kisha akatoka chumbani hapo.


“John niangalizie hii akaunti”
Mzee Mbogo alizungumza na kumtajia msaidizi wake huyo akaunti namba ya Evans. Ndani ya muda mchache tu wakaletewa ripoti ya akauti hiyo. Mzee Mbogo akashangaa sana kuona kiasi kikubwa cha pesa


“Ametolea wapi hii pesa huyu kijana”
“Sifahamu mkuu ita bidi umuulize wewe mwenyewe”
“Hembu angalia kiasi kilicho tolewa kime elekea wapi?”
John akaomba taarifa hizo.


“Zime kwenda kwenye akaunti ya wilaya ya Kigamboni na amelipia ardhi”
“Nashukuru”
Mzee Mbogo akaondoka na kuingia katika chumba alichopo Evans. Mzee Mbogoa kachomoa bastola yake kiunoni mwake na kumyooshea Evans ya usoni mwake.


“Niambie ni wapi ulipo toa pesa nyingi ikiwa hauna rekodi yoyote ya biashara wala kuajiriwa?”
Kitendo hicho kikamfanya Evans kuanza kutetemeka mwili mzima kwa maana hajui hata atamjibu nini mzee Mbogo.


***


Simu ya nabii Sanga ikanza kuita, akaitazama kwa sekunde kadhaa namba hiyo ngeni kisha akaipokea.
“Haloo”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake, aliye kaa kiti cha mbele huku wakipata kifungua kinywa.


“Habari yako baba”
Sauti ya Tomas ika mstua sana nabii Sanga. Akakirudisha chini kikombe cha chai ambacho alikuwa amekishika. Mstuko huo wa mumewe, mrs Sanga naye aliweza kuutambua.
“Nani wewe?”
“Ohoo naamini kwamab ume nisahau. Mimi ni Tomas kijana wako mtiifu na mwizi wa mke wako”
Tomas alizungumza kwa sauti ya dharau na iliyo jaa kejeli kubwa sana. Nabii Sanga akamtazama mke wake kwa sekunde kadhaa kisha akanyanyuka na kutoka nje.


“Wewe mwana haramu upo Tanzania eheee?”
“Siku nyingi nipo Tanzania na jana nime kukosa kosa kukuua pale darajani na leo nina imani kwamba siwezi kukukosa”
Maneno hayo yakazidi kumstua nabii Sanga na kujikuta akiangaza angaza kwenye magorofa ya majirani zake ila hakuweza kuona dalili yoyote ya mtu.


“Hahahaaa!!! Ila siwezi kukuua kabla sija kufir*** nabiii”


Maneno hayo yakamfanya nabii Sanga kuanza kumwagikwa na jasho la wasiwasi. Mrs Sanga naye akafika eneo hilo na kumtazama mume wake.
“Una zungumza na nani mume wangu?”
“Naisikia sauti ya mahabuba wangu hapo. Mpe simu nizungumze naye”
Nabii Sanga akaiweka simu yake loud speaker.


“Mpe basi mpenzi wangu nizungumze naye”
Mrs Sanga akastuka sana, mapigo yake ya moyo yakaaanza kumuende kasi kwa maana hakutarajia kama Tomas ana weza kupiga simu kwa mume wake.


ITAENDELEA


Haya sasa Tomas ameamua kujidhihirisha uwepo wake kwa nabii Sanga na ametoa ahadi ya kulipiza kisasi kwa nabii huyo. Je ata fanikiwa kulipa kisasi? Usikose sehemu ya 98.
 
SIN 98


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


Maneno hayo yakazidi kumstua nabii Sanga na kujikuta akiangaza angaza kwenye magorofa ya majirani zake ila hakuweza kuona dalili yoyote ya mtu.


“Hahahaaa!!! Ila siwezi kukuua kabla sija kufir*** nabiii”


Maneno hayo yakamfanya nabii Sanga kuanza kumwagikwa na jasho la wasiwasi. Mrs Sanga naye akafika eneo hilo na kumtazama mume wake.
“Una zungumza na nani mume wangu?”
“Naisikia sauti ya mahabuba wangu hapo. Mpe simu nizungumze naye”
Nabii Sanga akaiweka simu yake loud speaker.


“Mpe basi mpenzi wangu nizungumze naye”
Mrs Sanga akastuka sana, mapigo yake ya moyo yakaaanza kumuende kasi kwa maana hakutarajia kama Tomas ana weza kupiga simu kwa mume wake.





ENDELEA


“Nisikilize wewe mshenzi. Nilicho kufanya mara ya kwanza hakija kutosha, ila nitakacho kwenda kukufanya sasa hivi nina hakikisha uta jutia maisha yako yote. Pumbavu wewe”
Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza hivyo akakata simu huku akiwa amevimba kwa hasira. Mrs Sanga akashindwa hata kuzungumza chochote kwa maana maneno hayo ya kejeli aliyo yatoa Tomas yame mkera sana mume wake. Nabii Sanga akaingia ndani na moja kwa moja akalekea chumbani kwake. Akafungu droo yake na kutoa simu yake ambayo huwa ana itumia kuwasiliana na vijana wake ambao kazi yako ni kulinda meli yake kubwa ya kifahari na maswasiliano ya simu hayo hayanaswi na mtando wowote wa Tanzania.


“Muheshimiwa”
“Kuna watu nina hitaji wafe leo”
“Nani muheshimiwa”
“Nina watumia namba zao. Hakikisheni muna watafuta na siku ya leo hii hii wana kufa”
“Sawa muheshimiwa”
Nabii Sanga akakata simu yake na kumtumia kijana huyo namba za simu za Tomas pamoja na Evans.
“Baby”
“Nini?”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira hadi mrs Sanga akatetemeka kwa woga.


“Mume wangu natambua kwamba ume kasirika”
“Huyu mpuuzi namba yangu ameipatia wapi?”


“Sifahamu mume wangu”
“Una jua?”
“Kweli mume wangu sijuia, tambua kwamba nime badilika na huyo mtu sina mahusiano naye kabisa. Nina kupenda wewe tu mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza hukua kimkumbatia mume wake kwa nyuma.
“Na nina waua leo hawa”
“Kina nani?”
“Kwani ni nani na nani ambao wana paswa kufa. Ehee?”
“Nime kuelewa mume wangu”
Nabii Sanga akajitoa mikononi mwa mke wake. Akaiweka simu yake mezani na kuingia bafuni. Mrs Sanga kwa haraka akaingia kwenye simu ya mume wake, akaikremisha akilini namba ya Tomas, kisha akairudisha simu ya mume wake sehemu ilipo kuwa. Nabii Sanga akatoka huku akijifuta mikono yake na taulo.


“Niandalie ile suti ya rangi ya kaki nina hitaji kuelekea mahali”
“Wapi mume wangu”
“Mbona una maswali mengi sana. Wewe niandalie tu sehemu ya kwenda.”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira na kumfanya mke wake kuandaa kile anacho kihitaji. Nabii Sanga akajiandaa haraka haraka na kuondoka nyumbani kwake hapo huku akiwa na hasira kali sana. Mrs Sanga mara baada ya kuhakikisha mume wake ameondoka. Akaitafuta pochi yake ambayo ina hifadhi laini ambayo alikuwa ana wasiliana na Tomas kwa kipindi kirefu. Akaiweka katika simu ndogo kisha akampigia kwa namba hiyo mpya. Simu hiyo ya Tomas ikapokelewa.
“Nilijua kwamba uta piga”
“Una taka nini kwa mume wangu Tomas”
“Nina taka kumla mk** kama vile alivyo kula wangu”
Mrs Sanga akaachia msunyo mkali na ulio jaa hasira na chuki ndani yake.
“Hivi ume changanyikiwa wewe?”
“Sijachanganyikiwa kwa maana lazima na mimi niionje ladha yake. Ila ngoja kwanza, nime miss penzi lako”
“Eti ehee?”
“Ndio nime miss penzi lako, hapo mara baada ya kusikia sauti yako ub** wangu ume simama kisawa sawa”
“Upo wapi?”
“Mmmm nipo hoteli moja, vipi una hitaji kuja?”
“Ndio nina hitaji kuja kwa maana hata mimi nime miss kukunwa na wewe”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya upole huku akizidi kupanga jambo baya juu ya Tomas.


“Nipo Kigamboni, hoteli moja inaitwa E HOTEL”
“Room namba ngapi?”
“Namba mia moja na ishirini”
“Nina kuja hapo”
Mrs Sanga akakata simu, akajiandaa na kuondoka nyumbani hapo. Moja kwa moja akaelekea hadi duka lake la dawa za mifugo na mimea.


“Karibu sana bosi”
“Salama, hivi muna ile dawa ya kuua wadudu katika zao la kabichi?”
“Ndio boss ipo”
“Hivi ni kali sana?”
“Ndio ni kali na hata bina damu ina weza kukuua ndani ya dakika kumi tu na uka kauka kau kau. Inabidi uwe makini sana boss”
“Sawa nipatie”
Muuzaji wa duka hilo akampatia mrs Sanga kichupa kidogo chenye dawa hiyo ambayo ni sumu kali sana.
“Boss hakikisha una weka tone moja kwenye ndoo ya maji ya lita moja, kisha baada ya hapo una nyweshea mime”
“Sawa nime kuelewa asante”
Mrs Sanga akatoa noti tano za elfu kumi kisha akaondoka. Akaingia ndani ya gari lake na kuelekea Sinza kwenye dula moja kubwa la nguo za kike. Akanunua baibui lenye kitambaa cha kufunika uso wake. Akanunua na bomba la sindano kisha akaelekea hadi kwenye hoteli yake iliyopo eneo hilo hilo la Kigamboni. Akaegesha gari lake kwenye maegesho. Akashuka na kutoka nje kabisa ya hoteli yake, akatembea hatua kadhaa na kulivaa baibu hilo, uzuri ni kwamba eneo ilipo hoteli yake hakuna watu wana katiza mara kwa mara. Akajifunga kitambaa hicho usoni mwake na kubakisha macho yake tu. Akakodisha bajaji na moja kwa moja akaelekea hadi katika hoteli aliyopo Tomas. Akaelekea katika gorofa yenye chumba hicho, akafika mlangoni na kuminya kitufe cha kengele. Mlango ukafunguliwa na akastuka sana kuona sura tofauti na Tomas anaye mjua.
“Heloo mrs Sanga”
Sauti ya Tomas ikamstua sana mrs Sanga na akavuta kumbukumbu ya haraka na akafanikiwa kukumbuka kwamba mwanaume huyo alishwa wahi kupeana naye mkono kanisani na alisha mtekenya kiganja cha mkono wake wa kulia.
***
“Ninarudia pesa ume toa wapi?”
Mzee Mbogo aliendelea kuzungumza kwa hasira huku akiendelea kumnyooshea bastola Evans.


“Pesa nime pewa na roho mtakatifu”
“What the fuc**”


Mzee Mbogo alijikuta akitukana kwa maana jibu hilo la Evans hakulitegemea.
“Kweli mzee wangu ndio maana hiyo pesa nina mpango wa kujengea kanisa.”
Mzee Mbogo taratibu akairudisha bastola hiyo kiuonini mwake.
“Nina miaka stini na mbili sasa.Ila sijawahi kuona malaika wala roho huyo mtakatatifu ambaye ana gawa pesa kwa watu. Hembu nieleze ukweli ni nani ambaye ana kupatia pesa hizo zote?”
“Ni hivyo nilivyo kueleza mzee wangu. Wewe si mpelelezi, nipeleleze nawe uta jua na hicho kiasi ulicho kiona kwenye hiyo akaunti yangu ni kidogo sana. Ila kuna pesa nyingi sana ina kuja. Maisha yangu nime yatoa kwa ajili ya kumtumikia Mungu hivyo nina kuomba unikubalie ombi langu”
Taratibu mzee Mbogo akaka kwenye moja ya sofa huku akimtazama Evans usoni mwake. Kwa uwezowake wa kuyasoma macho ya Evans akagundua kwamba ni kweli anacho kizungumza kijana huyo.
“Huyo roho mtakatifu umekutana naye wapi?”
“Sio ni mtu kwamba uta onana naye. Yeye ni roho ambayo haonekani”
“Sasa kama ni roho, je hizo pesa wewe ana kuleteaje?”
“Ana nipa maelekezo na nina jua ni wapia mbapo nina weza kuzipata pesa hizo”
“Una jua unacho kizungumza mimi sikielewi. Kama huyo roho wako ana weza kukupatia pesa nyingi basi akupatie na walinzi. Muda wako wa kuondoka hapa kwangu ume fika na hii ni simu yako. Tafadhali ondoka”
“Nashukuru mzee wangu”
“Ila huwezi kuondoka hivi hivi”
“Una maanisha nini?”
Mzee Mbogo akapiga mluzi kidogo, wakaingia vijana wawili. Mmoja akamfunga Evans kitambaa chausi usoni mwake kisha wakatoka ndani hapo na wakaingia kwenye gari jeusi na lenye vioo vyeusi. Wakaondoka eneo hilo na moja kwa moja wakampeleka hadi katika daraja la Kigamboni na waka mshusha katika eneo alipo liacha gari lake na wakaondoka zao. Evans akafungua kitambaa cha usoni mwake na kutazama eneo hilo ambalo sio geni kabisa. Akaliona gari lake, akatembea hadi lilipo, akalikagua kwa kulitazama huku akilizunguka. Alipo hakikisha lipo vizuri akaingia ndani na kuondoka eneo hilo na kuelekea hotelini.
***


“Vipi mume fanikiwa?”
Nabii Sanga alizungumza mara baada ya vijana hao wawili alio wapa kazi ya kuwatafuta Evans na Tomas kuingia ndani ya gari lake.
“Tume fanikiwa kupata maeneo ambayo vijana wako”
“Wote ni watu wepesi. Hivyo ina wapasa kutawanyika, kila mtu amchukue wa kwake, nina taka leo hii hii wawe wamesha kufa”
“Sawa mkuu ila picha zao tuna omba utusaidie”
Nabii Sanga akamtumia kila kijana mmoja picha ya Evans na Tomas. Wakashuka ndani ya gari hilo na kuondoka eneo hilo la ufukweni. Nabii Sanga akaitoa simu yake na kumpigia Julieth.
“Ndio baba”
“Upo wapi?”
“Nipo hapa kwa sonara nina tafuta mkufu pamoja na saa ambayo nita mkabidhi mume wangu kwenye sendoff”
“Walinzi si upo nao?””
“Ndio baba nipo na walinzi. Vipi mbona una uliza sana?”
“Ni muhimu kufahamu kwamba upo salama”
“Nashukuru baba nina kupenda”
“Nina kupenda”
“Nina kupenda pia mwanangu”
Nabii Sanga akakata simu na moja kwa moja akaelekea hadi ulipo mgahawa wa Magreth. Akashuka kwenye gari na kutembea hadi kwenye moja ya kiti na kukaa.
“Karibu sana nabii”
Muhudumu wa kike alizungumza kwa furaha sana.
“Nina shukuru sana”
“Una hitaji tukuhudumie nini?”
“Nahiyaji kupata kahawa alisi, sijui hapa ipo?”
“Ndio ipo muheshimiwa”
“Naomba uniletee”
Muhudumu huyo akaondoka. Nabii Sanga akaendelea kutazama jinsi mgahawa huo jinsi ulivyo changamka. Nabii Sanga akaletea kahawa hiyo na kuanza kuinywa taratibu. Akamshuhudia jinsi Magreth akishuka kwenye gari lake. Magreth akatembea kwa hatua za haraka huku akielekea kwenye ofisi yake, ila alivyo muona nabii Sanga akiwa eneo hilo la mgahawa wake, akapunguza mwendo kidogo. Akamtazama nabii Sanga ambaye naye ana mtazama kwa hatua za taratibu akamfwata hadi sehemu alipo.
“Ume kuja kufanya nini kwenye mgahawa wangu?”
Magreth alizungumza kwa sauti ya chini ila iliyo jawa na hasira snaa.
“Mimi nami pia ni mteja. Muna jitahidi sana kwa kahawa yenu”
“Tafadhali nina kuomba unanyuke na kuondoka eneo hilo. Umenielewa”
“Hahaaa, Mage Mage, kumbuka kwamba mimi ndio muasisi wa huu Mgahawa, pesa gari na kila kitu unacho kimiliki ni kutokana na pesa yangu”
“Kwa hiyo?”
“Niache nifanye kile ninacho jisikia. Isitoshe nita lipa kila kitu ninacho kitumia hapa”
Magreth akatamani hata kumzaba makofi nabii Sanga, ila ana shindwa hii ni kutokana na wingi wa watu waliopo katika eneo hilo. Magreth akaka taratibu huku akimtazama nabii Sanga, akamtumia video na sauti ya kijana wake ambaye ali muagiza katika kumuua Evans.
“Kuna meseji nime kutumia fungu”
Nabii Sanga akatoa simu yake na kuifungua video hiyo. Moyo wake uka mstuka sana kwa maana hakutarajia Magreth kama ana weza kuipata video hiyo. Akaifungua sauti hiyo na kumfanya azidi kustuka sana.


“Ume vipata wapi hivi vitu?”
Nabii Sanga alizungumza huku macho yakimtoka. Magreth hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kumpigia Levina.
“Ndio Mage”
“Una jipya lolote?”
“Ndio”
“Nitumie”
Magreth mara baada ya kukata simu. Zikaingia audio mbili. Akachomeka earphone na kusikiliza audio ya kwanza ina husiana na mazungumzo ya nabii Sanga na mwanaye. Akafungua audio ya pili na akayasikia mazungumzo yake na Tomas. Magreth akatabasamu na kumtumia nabii Sanga mazungumzo hayo. Nabii Sanga akafungua audio hiyo. Akamtazama Magreth kwa macho makali sana huku hasira ikianza kumpanda.
“Nina kufwatilia kwa kila hatua. Ume panga kumuua Evans ushahidi huo hapo na leo mbaya wako wame rudi. Ana hitaji kukula kiboga mzee baba. Hahaaa mchezo huu hauitaji hasira, sasa ole wako Evans apate madhara nita rusha uchafu wako wote siku ya harusi ya mwanao. Asubuhi njema nabii Sanga”
Magreth alizungumza kwa dharau huku akisimama na usoni mwake ametawaliwa na tabasamu lililo zidi kumfanya nabii Sanga kukasirika kiasi cha kutamani kumvamia Magreth ila ana shindwa kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo.


ITAENDELEA


Haya sasa nabii Sanga ameweza kutumiwa mazungumzo yake na Magreth je Magreth ata fanya kile alicho muahidi nabii Sanga? Usikose sehemu ya 99.
 
SIN 99


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


Akafungua audio ya pili na akayasikia mazungumzo yake na Tomas. Magreth akatabasamu na kumtumia nabii Sanga mazungumzo hayo. Nabii Sanga akafungua audio hiyo. Akamtazama Magreth kwa macho makali sana huku hasira ikianza kumpanda.
“Nina kufwatilia kwa kila hatua. Ume panga kumuua Evans ushahidi huo hapo na leo mbaya wako wame rudi. Ana hitaji kukula kiboga mzee baba. Hahaaa mchezo huu hauitaji hasira, sasa ole wako Evans apate madhara nita rusha uchafu wako wote siku ya harusi ya mwanao. Asubuhi njema nabii Sanga”
Magreth alizungumza kwa dharau huku akisimama na usoni mwake ametawaliwa na tabasamu lililo zidi kumfanya nabii Sanga kukasirika kiasi cha kutamani kumvamia Magreth ila ana shindwa kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo.





ENDELEA


Nabii Sanga kwa hasira akatoa noti ya elfu kumi na kuiweka mezani hapo kisha akandoka eneo hilo pasipo hata kumalizia kawaha yake. Nabii Sanga mara baada ya kuingia ndani ya gari lake, akatoa simu yake nyingine ambayo ni maalumu kwa kuwasiliana na vijana wake tu.


“Ndio mkuu”
“Kuna mtu ame hack simu yangu. Mawasiliano yangu yote ninayo yafanya ndani ya simu yangu ile nyingine yana rekodiwa. Nina hitaji munitafutiee huyo mjinga aliye fanya huo upuuzi.”
“Sawa mkuu”
“Nahitaji muda huu”
“Nime elewa mkuu nina fanya”
Nabii Sanga akakata simu yake huku akimtazama Magreth anaye zungumza na wafanyakzi wake, kisha akaondoka eneo hilo. Magreth kwa haraka akampigia simu Levina.
“Hei kuwa makini?”
“Kwa nini?”
“Nabii Sanga ame toka hapa mgahawani kwangu na ameweza kugundua kwamba simu yake ina rekodiwa hivyo fanya nina imani kwamba ata fanya kila linalo wezekana kuhakikisha kwamba ana mtafuta aliye hack simu yake hivyo kubwa makini”
“Usijali hakuna ambaye ana weza kuingia kwenye data base zangu. Tena ngoja hii ishu niihamishie kwa mke wake”
“Kivipi una weza kuihamisha”
“Wewe uta ona nitakacho kifanya baadae”
Levina akakata simu, akafungua laptop yake kwa haraka na kuanza kuhamishi data zake za kuhack kwa mrs Sanga na hata endapo kuna mtu atajaribu kutafuta ni nani ambaye ame hack simu ya nabii Sanga ni lazima itaonyesha muhusika mkuu ni mrs Sanga.


***


“Ahaa samahani, nina ona nime kosea chumba”
“Umekosea vipi chumba mpenzi wangu. Mimi ni Tomas.”
Mrs Sanga akazidi kushangaa kwa maana sura si ya Tomas yule anaye mfahamu.
“Samahani naona sura tofauti na yule niliye panga kuonana naye”
“Hahahaaa Mama Julieth mbona una pagawa hivyo. Tazama kovu la mkononi mwangu, mimi ni Tomas”
Tomas alizungumza huku akiomunyesha Mrs Sanga kovu la mkono wake wa kushoto. Kwakupitia kovu hilo, mrs Sanga akamuamini, taratibu mrs Sanga akaingia ndani ya chumba hicho huku akiangaza angaza kila sehemu. Leongo kubwa lililo mleta ni kuhakikisha ana muua Tomas kwa mikono yake yeye mwenyewe.
“Niambie mke wangu”
Tomas alizungumza huku akimkumbatia Mrs Sanga kwa nyuma.


“Hembu niambie kwa nini sura yako ume ibadilisha?”
“Ni kutokana na kutafutwa na mume wako. Una hisi nita ishije miaka yangu yote”
Tomas alizungumza huku hamu ya ngono ikiwa imemtawala. Tomas akaendelea kuyatomasa Tomasa makalio ya mrs Sanga ambayo ni malaini sana.


“Ahaa kwa hiyo ume ogopa kuishi na sura yako halisi?”
“Ndio”
Tomas alizidi kujibaragua pasipo kujua kwamba ana waziwa mabaya na mwana mama huyo. Taratibu Mrs Sanga akageuka na kulishika taulo la Thomas , akalivua na akabaki kama alivyo zaliwa.
“Waoo mashine yako iko vile vile”
“Ndio ulihisi ita pungua”
“Ita puguaje kwa mfano?”
Mrs Sanga alizungumza huku akimshika shika jogoo wa Tomas. Alipo hakikisha amesimama vizuri, taratibu akapiga magoti na akaanza kumnyonya. Udhaifu mkubwa wa Tomas ni kunyonywa jogoo wake. Akiwa katika hali kama hiyo ana hisi kuchanganyikiwa kabisa. Kwa utamu anao upata Tomas akajikuta akifumba macho huku akikishika kichwa cha mr Sanga na kuendelea kukikandamiza kwenye jogoo wake. Taratibu mrs Sanga akafungua pochi yake, akatoa bomba hilo la sindano pamoja na kichupa chenye dawa hiyo na kuulia wadudu wanao shambuliza zao la kabichi. Mrs Sanga akaendelea kuvuta dawa hiyo iliyopo kwenye kichupa pasipo Tomas mwenyewe kufahamu chochochote. Baada ya kuhakikisha kwamba bomba hilo limejaa kisawa sawa, akavirudisha vitu hivyo kwenye pochi yake.


“Baby lala kitandani”
Tomas hakujishauri hata mara mbili akajilaza kitandani huku miguu yake ikinin’inia chini. Mrs Sanga akapiga magoti chini na kuendelea kumnyonya. Tomas akazidi kutoa kelele za raha hadi akajikuta akijifunika na mto usoni mwake. Kitendo hicho kikawa ni kosa kubwa sana kwa Tomas. Mrs Sanga akatoa bomba hicho la sindano, akamkita kwa nguvu zake zote Tomas sindano hiyo maeneo ya tumboni mwake. Tomas akakurupuka, huku akisikilizia maumivu makali sana, ila tayari mrs Sanga alisha sukuma kiasi cha kutosha cha sindano hiyo.


“Malaya mkubwa wewe una niua…..”
Tomas alizungumza huku akisimama. Akajaribu kumshika mrs Sanga, ila mwili ukazidi kumuishia nguvu.


“Kufa mpumbavu wewe. Unahisi una weza kumf*** mume wangu wewe”
Tomas macho yakaaanza kumvuja damu. Pua nazo zikaanza kutokwa na damu, hakika dawa hiyo ina sumu kali sana. Tomas akaanza kuanguka chini huku akigara gara. Mrs Sanga akampigia mume wake, na baada ya kuita kwa sekunde kadhaa ikapokelewa.


“Baby upo wapi?”
Mrs Sanga alizungumza kwa wasiwasi.
“Nina rudi nyumbani, vipi mbona una wasiwasi?”
“Nimesha mmaliza”
“Nani?”
“Tomas”
“Nini?”
“Ndio, nime sha muaa.”
“Wa…api upo?”
“Kwenye hoteli niliyo aliyo fikizia”
“Ohoo Mungu wangu. Kwanini ume taka kuitia damu mikono yako?”
“Nime fanya hivyo mume wangu kwa ajili yako. Unahisi alicho kuambia mimi ninge pendezewa nacho. Nime fanya nilicho kifanya. Hapa nina hitaji msaada wako tu”
“Sikia kuna kijana ata fika hapo ndani ya dakika kadhaa. Ata kupa msaada”
“Sawa”
Mrs Sanga akakata simu huko mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana. Akamtazama jinsi Tomas mwili wake uliamvyo kakamaa. Sauti ya kengele ya mlangoni ikamstua, akatembea kwa hatahadhari hadi mlangoni. Akajifunika kitambaa cha baibui hilo usoni mwake. Akafunua mlango huo na kukutana na kijana ambaye ana mfahamu, kwani ni mmoja wa wafanyakazi wao wa kusambaza madawa ya kulevya duniani.
“Hei madam nime agizwa”
“Ingia”


Kijana huyo akaingia ndani ya chumba hicho na akashangaa kumuona Tomas akiwa amekauka kama mkaa.


“Huyu ni nani?”
“Ndio huyo ambaye mulipaswa kumuua. Hakikisha kwamba hii maiti ina potea na hakuna mtu hata mmoja anaye fahamu kwamba tulimuua”
“Sawa, ila mbona sura yake ni tofauti?”
“Hiyo ya juu ni sura ya bandia, ndio maana una ona amekauka mwili mzima pasipo sura yake tu”


Kijana huyo akausogelea mwili wa Tomas, akaishika ngozi ya sura yake na kweli ina ulaini. Taratibu akaanza kuitoa sura hiyo na Tomas akabakiwa na sura yake halisi.


“Sawa wewe ondoka hapa nita shuhulika naye”
“Poa”
Mrs Sanga akaondoka eneo hilo na kumuacha kijana huyo akitafakari ni jinsi gani anavyo weza kumtoa Tomas katika hoteli hiyo. Mrs Sanga akavua baibui hilo, akafika hotelini kwake, akaingia kwenye gari na kuondoka eneo hilo.


***


Nabii Sanga akaanza kutazama picha alizo tumiwa na kijana wake zikiuonyesha mwili wa Tomas ambaye ameuliwa na mke wake. Picha hizo zikaipa furaha nafsi ya nabii Sanga kwa maana jambo hilo alilitamani litimie siku hiyo hiyo na kweli, lime weza kutimia. Zikaingia picha za binti ambaye hajawahi kumuona kwenye maisha yake, kabla hajamaliza kuzitazama picha hizo, simu yake ikaanza kuita.


“Mkuu za muda kidogo”
“Salama, ehee nipe ripoti”
“Hizo picha ni za msichana ambaye ndio ame hack simu yako. Tunashukuru Mungu tuliweza kuyawahi mazungumzo ya mke wako kabla ya yeye kuyapata na tumeyafuta”
“Ohooo kwa hiyo hii ishu ya kumuu Tomas kumbe ilikuwa ina paswa kumfikia na yeye?”
“Ndio mkuu, ila tume muwahi”
“Safi sana. Nahitaji binti huyo munitafutie na mumkamate”
“Sawa mkuu”
Nabii Sanga akakata simu kisha akashuka kwenye gari. Kabla hajaingia ndani akaliona gari la mke wake likiingia getini. Mrs Sanga akashuka kwenye gari huku akiwa amejawa na wasiwasi, akamkumbatia mume wake kwa nguvu.
“Kazi nzuri mke wangu”
“Naogopa mume wangu”
“Usiogope, nipo pamoja nawe na lelo ume nidhihirishia kwamba wewe upo nami kwenye kila jambo”
“Nakupenda sana Sanga”
“Nakupenda pia mke wangu”
Nabii Sanga akaingia ndani na mke wake. Wakaelekea hadi chumbani kwao.


“Nasikia jamaa alijiweka sura bandia?”
“Ndio, alijiweka sura bandia, na kuna siku alisha wahi kuja kanisani”
“Wee”
“Ndio, nina imani kwamba alikuwa ana tafuta jinsi ya kulipiza kisasi”
“Ila ndio hivyo ameshindwa. Mke wangu kuna mtu ame hack simu yangu na mazungumzo yote yaliyo kuwa yana ingia kwenye simu yangu ana yapata”
Mrs Sanga akastuka sana, macho yakamtoka huku akikumbuka mazungumzo ya mwisho kuzungumza kwenye simu na mume wake sio mazuri sana na endapo yata fika kwenye vyombo vya usalama basi wana weza kumchukulia hatua kali sana na za kisheria.
“Ila usiwe na mashaka, vijana wangu wamesha zuia huo mchezo na wame nitumia picha zake”
“Hembu nimuone”
Nabii Sanga akamkabidhi mke wake, simu inayo onyesha picha za Levina.


“Huyu nina mjua huyu binti”
Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama Levina vizuri.


“Ume mjuaje?”
“Ni rafikia wa Julieth.”
“Rafiki yake?”
“Ndio”
“Ime kuwaje sasa ame hack simu yangu?”
“Sijajua, kwani Julieth yupo wapi?”
“Ametoka”
“Basi huyu ni rafiki yake.So una kwenda kumfanya nini?”
“Ngoja siku ya leo iishe alafu nita jua nini cha kufanya”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake kwa maana kama ni kumuua Levina basi ita kuw a ni jambo raisi sana na halito msumbua.


***


Wasiwasi mwingi sana ukazidi kumtawala Levina. Kila jinsia navyo jaribu kuhack simu ya nabii Sanga, anajikuta akishindwa.


‘Mungu wangu huyu mzee amesha fahamu’


Levina alizungumza huku akimwagikwa na jasho mwili mzima. Akakumbuka mameno ya Magreth kwamba ni lazima nabii Sanga ata tumia kila njia ya kuhakikishaa na mtafuta. Levina akanyayuka sebebleni hapona kuingia chumbani kwake. Akachukua nguo zake muhimu, kiasi cha pesa, anacho kaa nacho ndani kwake kisha akampigia Magreth.
“Dada upo wapi?”
“Nipo kwenye mgahawa wangu”
“Nina kuja”
“Vipi mbona una zungumza kwa wasiwasi”
“Nina kuja dada yangu”
Levina akakata simu, akabebe na laptop yake, akaifunga nyyumba yake kisa akaondoka enyumbani kwake. Dakika ishirini na sita zika tosha kabisa kwa yeye kufika kwenye mgahawa wa Magreth. Akashuka kwenye gari na akapokelewa.


“Levina una nini?”
“Naomba uni hifadhi, watu wa nabii Sanga wame weza kuingia kwenye database zangu na wame fanikiwa kuzuia kila nilicho kifanya kwenye simu ya nabii Sanga.”
“Ohooo Mungu wangu nilijua tu”
“Ndio hivyo Mage nina kuomba uni saidie kwa maana maisha yangu kwa sasa yapo hatarini. Wana weza kuniua”
“Ndio wata kuua, nabii Sanga sio mtu wa kawaida. Joho la utumishi wa Mungu alilo livaa ni sawa sawa na ngozi ya kondoo tu ila uhalisia wake ni chui mkali sana”


Maneno ya Magreth yakazidi kumuogopesha Levina.
“Je wana weza kujua location ya wapi ulipo?”
“Hapana”
“Basi uta kaa na mimi na tuta saidiana kuhakikisha kwamba tuna muua nabii Sanga na familia yake. Ume nielewa?”
Levina akajibu kwa kutingisha kichwa, akimaanisha kwamba ame elewa kwa maana kwa sasa hana namna ya kufanya zaidi ya kumsikiliza Magreth kila anacho muambia.


ITAENDELEA


Haya sasa Levina ameamua kuishi chini ya Magreth ambaye ana mipango kabambe ya kumuua nabii Sanga, je wata fanikiwa kumuangamiza yeye na familia yake? Usikose sehemu ya 100.
 
SIN 100


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Ndio hivyo Mage nina kuomba uni saidie kwa maana maisha yangu kwa sasa yapo hatarini. Wana weza kuniua”
“Ndio wata kuua, nabii Sanga sio mtu wa kawaida. Joho la utumishi wa Mungu alilo livaa ni sawa sawa na ngozi ya kondoo tu ila uhalisia wake ni chui mkali sana”


Maneno ya Magreth yakazidi kumuogopesha Levina.
“Je wana weza kujua location ya wapi ulipo?”
“Hapana”
“Basi uta kaa na mimi na tuta saidiana kuhakikisha kwamba tuna muua nabii Sanga na familia yake. Ume nielewa?”
Levina akajibu kwa kutingisha kichwa, akimaanisha kwamba ame elewa kwa maana kwa sasa hana namna ya kufanya zaidi ya kumsikiliza Magreth kila anacho muambia.





ENDELEA


“Twende kwangu”
“Sawa”
Magreth akamuaga Juma kisha akaingia kwenye gari lake na Levina naye akaingia kwenye gari lake na wakaondoka eneo hilo la Mgahawa. Wakafika nyumbani kwa Magreth na akamtambulisha kwa Josephine ambaye naye ana ishi hapo.
“Karibu sana na ujisikie nyumbani”
“Nashukuru sana.”
“Mimi jamani ngoja nirudi kwenye mgahawa nikaendelee na majukumu”
“Sawa, alafu Mage usisahau kuja na yale maziwa mtindi kwa maana humu kwenye friji nina ona yamebaki machache.”
“Sawa best”
Magreth akaondoka nyumbani kwake hapo na kuwaacha rafiki zake hao wawili.


***


Kijana wa nabii Sanga akaondoka hotelini hapo huku akiifunga mlango wa chumba hicho alipo uwawa Tomas. Baada ya nusu saa akarudi akiwa na begi la wastani ambalo kwa ndani ame babe chumpa mbili za lita mbili na nusu ambazo kwa ndani zina tingikali. Akaingia chumbani, akaunyanyua mwili wa Tomas na kuuingiza kwenye sinki la kuogea. Akatoa chupa hizo ndani ya begi na kuanza kuzimwagia tindikali hiyo, kadri jinsi anavyo zidi kuumwagia mwili huo ndivyo jinsi unavyo zidi kuyayuka mithili ya plastiki ndani ya moto. Zoezi hilo la kikatili likadumu ndani ya dakika ishirini. Alipo hakikisha kwamba mwili mzima wa Tomas ume yayushwa na tindikali hiyo ambayo ni kali sana. Akasafisha chumba kizima, akamwaga unga ambao hutumiwa na wapelelezi katika kutafuta alama za vidole katika eneo la tukio la mauaji au mwili wa mtu aliye uwawa. Alipo hakikisha alama hizo zime jitokeza katika maeneo baadhi ya chumba icho, akazifuta kiutaalamu sana.


Alipo hakikisha kwamba ame maliza kuifanya kazi hiyo, akasafisha na sinki la maji na hata akiingia mtu mwengine hato hisi kama ndani ya chumba hicho kuna mtu ameuwawa.


“Bossi”
“Ndio vipi ume mtoa?”
“Ndio, kila kitu kipo vizuri”
“Safi sana nina imani kwamba una fahamu ni jinsi gani ya kufuta ushahidi wa kamera”
“Ndio, pia simu yake nina ondoka nayo”
“Sawa kuwa makini”
“Usijali boss”
Kijana huyo akakata simu, akakikagua chumba hicho kwa umakini sana kisha akaondoka huku akiliacha begi la nguo la Tomas.
“Hei muna weza kuziachia kamera sasa”
“Poa”
Kijana huyo akawasiliana na wezake ambao wapo kwenye meli na kazi yao walikuwa ni kuhakikisha wana daka rekodi zote za kamera za hoteli hiyo. Wakafuta kila kitu ikiwemo jinsi mrs Sanga alivyo kuja kwenye hoteli hiyo na kuondoka.
***


“Usishuke kwenye gari”
Evans akastuka sana na akageuka nyuma.
“Ahaa mbona ume nistua”
“Hilo la kukustua halina msingi wowote kwako, ila ninacho kuomba kwa sasa usishuke kwenye gari”
Jini huyo alizungumza kwa msisitizo sana.
“Kwani kuna nini?”
“Unaiona ile gari nyueusi pale”
Jini huyo alizungumza hukua kimuonyesha Evans garia ina ya Toyota Rav 4.


“Ndio”
“Mule ndani kuna muuaji aliye agizwa kukuua wewe na endapo utashuka basi a=hali yako ina weza kuwa mbaya.


“Ame….ame tumwa na nina huyo muuaji?”
“Nabii Sanga pia kuna watekaji wengine ambao wame tumwa na raisi Mtenzi na wao pia wapo katika eneo hili”
Evans akahisi mwili wake ukiishiwa nguvu.


“Sasa ita kuwaje?”
“Nakuletea vitu vyako vilivyopo ndani ya hoteli na sasa hivi ina kupasa uanze safari ya kuelekea kwennu. Ume nielewa?”
“Ndio”
Jini huyo akafungua mlango wa gari hiyo ya Evans na kushuka. Kijana wa nabii Sanga akajawa an mashangao kidogo kwa maana alihisi kwamba ndani y gari hilo yupo Evans pike yake.


‘Huyu naye ni nani?’


Kijana huyo alijiuliza huku akimtazama mwana dada huyo mrembo jinsi anavyo katiza karibi kabisa na gari lake. Mwana dada huyo alipo pita, kijana huyo akashuka kwenye gari lake na kuangaza eneo hilo zima la maegesho ya magari. Akatoa simu yake mfukoni na kutazama alama ya gprs ni wapi inapo elekea. Alama hiyo ina onyesha eneo anapo kwenda mwana dada huyo.


‘Ina maana huyu ndio Evans au?”
Kijana huyo alijiuliza huku akiwa amejawa na mshangao. Akampigia simu nabii Sanga na baada ya muda mchache simu yake ikapokelewa.


“Mkuu huyu Evans uliye nitumia picha yake, ndio yeye mwenyewe au ume kosea?”
“Kwa nini nikosee?”
“Kwa maana ninaye muona hapa ni mwanamke na sio mwanaume”
“Ume muona wapi?”
“Nipo hotelini n anime jaribu kumfwatilia kama jinsi gprs ilivyo niongoza na kweli nime weza kufanikiwa kumuon ila ni mwanamke”
“Jiongeze wewe, ina weza kuwa simu ya kijana huyo anayo huyo mwanamke. Wewe nenda kambane huyo mwanamke na ata kueleza ni wapi alipo Evans.”
“Sawa mkuu”
Kijana huyo akaondoka eneo hilo na kuanza kueleeka alipo elekeea mwana dada huo. Akaingi akwenye lifti na taratibu akapandisha hadi gorofa ambayo alama hiyo ya gprs ime simama. Kijana huyo akatembea hadi mlangoni na kugonga mlango wa chumba cha Evans. Mlango ukafunguliwa na akakutana na mwana dada huyo.


“Ahaa samahani”
Kijana huyo alizungumza huku akiingia ndani ya chumba hicho pasipo kukaribishwa.


“Una mtafuta Evans?”
“Ndio, una weza kuniambia yupo wapi?”
“Huyu hapa”
Mwana dada huyo kwa haraka akamkaba kijana huyo shingo yake kwa mkono wa kulia. Akaanza kumnyanyua juu na kumfanya kijana huyo kuanza kutapa tapa kwa ajili ya kuyaokoa maisha yeka kwa maana hakutarajia kama mwa na dada huyo ana weza kuwa na nguvu kubwa kama hivyo.
“Usije ukadhubutu siku nyingine kumfwatilia Evans. Rudisha ujumbe kwa mbosi wako kwamba ume ifanikisha kazi yake ume nielewa”
“Nd….io”


Kijana huyo alijibu kwa shida sana.
“Ondoka hapa”
Kijana huyo kwa kasi ya ajabu akatoka hotelini hapo huku akiwa haamini kabisa alicho kiona. Jini Maimuna akachukua kila kitu cha Evans na kurudi kwenye gari.


“Yule mtu nime muona akiondoka hapa kwa kasi, ime kuwaje?”
“Nime mpa meseji akamsimulie mkuu wake. Jambo la kufanya hivi sasa ni wewe kuelekea nyumbani kwa mama na nitakuambi ni lini una paswa kurudi Dar es Salaam”
“Sawa, ila wale jamaa nilio wapa oda ya kujenga kanisa ina kuwaje?”
“Usijali hauto kaa muda mrefu, nahitaji mambo yaweze kutulia kidogo. Sawa”
“Sawa”


Jini Maimuna akatoka ndani ya gari hilo na Evans akaondoka. Jini maimuna akasogelea gari la walinzi wa raisi, akaligusa kodogo pasipo wao kufahamu chochote.


“Ana ondoka ana ondoka”
Mmoja wa walinzi wa raisi alianza kuzungumza huku akijaribu kuwasha gari ila jambo la kushangaza kila anavyo jaribu kuwasha, gari haliwaki.
“Ni nini kinacho endelea?”
“Sijui mwanangu. Naliwasha haliwaki”
Derevawa gari hili aliendelea kufanya kila anacho kiweza ila gari halikuwaka kabisa.


***


“Ume sema?”
Nabii Sanga alimuuliza kijana wake huyo kwa mshangao.
“Nime kutana na binadamu ambaye sio wa kawaida kabisa bosi. Amenikaba koo na ameninyanyua kwa mkono mmoja na isitoshe ni mwamamke.”
Nabii Sanga akashusha pumzi huku akimtazama kijana wake kwa maana hicho anacho kizungumza ana ona ni jambo la ajabu sana.


“Ina maana ni mwanamke ame kupiga wewe?”
“Bosi una nijua, kama nina weza kupigana na wanaume wenye uwezo wao hata sita. Ita kuwaje mwanmke mmoja, huyo sio bina damu wa kawaida.”
“Okay rudi kwenye meli alafu tuta jua ni kitu gani cha kufanya”
“Sawa mkuu”
Nabii Sanga akashuka kwenye gari la kijana huyo na akaondoka nje ya jumba hilo la nabii Sanga.
“Vipi kime tokea nini?”
“Ana dai kwamba ame shindwa kumuua sijui ame kutana msichana ambaye sio wa kawaida, amemkaba koo, ame mnyanyua juu kwa mkono mmoja. Nnashindwa kumuelewa kabisa”
“Mmm sasa ina kuwaje mume wangu”
“Tuta tafuta nafasi yingine, tuta muua”
“Jitahidi mume wangu, sinto hitaji harusi ya mwanangu ivurugike kwa aina yoyote ile ume nielewa?”
“Nime kuelewa mke wangu”
Julieth akarudi akiwa na walinzi wake, akawasialimia wazazi wake kwa furaha sana.
“Siku yako ime kwendaje?”
“Siku yangu ime kwenda poa sana, nime kamilisha kununua kila kitu.”
“Dada nawe ume nunua nini leo kwenye matembezi yenu?”
Mrs Sangaa alimuuliza mfanyakazi wao wa ndani ambaye wame ishi naye hapo kwa kipindi kirefu sana.
“Nime nunua vitu vingi mama, nina imani harusi ita kuwa bomba sana kwetu”


“Nina imani mimi na baba yenu tumesha kamilisha kila kitu”
“Alafu baba kina kaka wana kuja lini?”
“Kesho kutwa”
“Waooo waje tu kwa maana nina nime wa miss sana”
Julieth alizungumza huku fura ikiwa ime mtawala sana.


***


Magreth akarudi nyumbani kwake majira ya saa nne usiku, akawakuta rafiki zake wakiwa bado wakiwa wana zungumza mambo mengi. Wakasalimiana kwa furaha na Magreth akamkabidhi Josephine kidungu cha maziwa.


“Mage mpango wako ni upi kwenye hili swala?”
Levina alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Muna mpango gani?”
Josephine alizungumza huku akirudi sebleni hapo, akitokea jikoni. Magreth akajikuta akipata kigugumizi kwa maana haja mshirikisha Josephine juu ya mpango wake wa kumuua nabii Sanga.
“Mage lini ume anza kunificha mipango yako?”
“Sija kuficha rafiki yangu”
“Ila, najua nini una taka kufanya ila nina kuomba uni ambie kwa kinywa chako”
Magreth akashusha pumzi huku akimtazama Josephine usoni mwake.
“Naamini una tambua juu ya sakala la shemeji yako kupote?”
“Ndio na fahamu na tulikuwa sisi wote siku ile Morogoro.”
“Mtu aliye husika na swala la kumteka Evans ni nabii Sanga nilijaribu kumueleza mara kadhaa kuhusiana na kwa nini ana mteka mume wangu ila alinijibu kwa dharau”
“Mbona nabii Sanga haja husika na kumteka Evans”
“Kwa nini?”
“Najua aliye husika ni mtoto wa raisi Mtenzi huyu anaye muoa Julieth Sanga. Jamaa ana itwa Jerry Mtenzi”
Levina akamtazama Magreth kwa sekunde kadhaa.


“Samahani kwa kuingilia mazungumzo yenu. Dada Josephine ume fahamu vipi kwamba Jery ndio ana husika?”
“Levina mimi huwa nina uwezo wa kuomba na kuonyeshwa kila aina ya jambo ambalo lina fanyika au lina kwenda kufanyika”
Levina macho yakamtoka kwa mshangao mkubwa sana kwa maana haja wahi kukutana na my mwenye uwezo kama huo maishani mwake.


“Kwa hiyo kwa sasa una jua ni kitu gani ambacho kina kwenda kutokea?”
“Ndio nina fahamu kwamba mpango wenu ni kuhakikisha kwamba muna lipiza kisasikwa nabii Sanga kwa kuhusika kwa kupoea kwa Evans pia na kufa kwa Tomas”
Levina akastuka sana macho yakamtoka, kwa maana habari ya kufa kwa Tomas haitambui kabisa.
“U..na…tak…a kuni…ni…ambia kwamba Tomas wangu ame kufa?”
“Ndio ame uwawa leo na Mrs Sanga kwa kuchomwa sindano ya sumu”
Levina na Magreth wote wakajawa na mshangao huku Levina nguvu za mwili zikianza kumuishia huku mapigo ya moyo yakizidi kumuenda kasi huku joto kali la mwili likizidi kumpanda hadi akahisi roho yake ina kwenda kumtoka.


ITAENDELEA


Haya sasa Levina na Magreth wame fahamu ukweli kuhusiana na Tomas ambaye kwa sasa hayupo duniani. Watafanya nini kwa familia ya Sanga? Usikose sehemu ya 101.
 
SIN 101


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Levina mimi huwa nina uwezo wa kuomba na kuonyeshwa kila aina ya jambo ambalo lina fanyika au lina kwenda kufanyika”
Levina macho yakamtoka kwa mshangao mkubwa sana kwa maana haja wahi kukutana na my mwenye uwezo kama huo maishani mwake.


“Kwa hiyo kwa sasa una jua ni kitu gani ambacho kina kwenda kutokea?”
“Ndio nina fahamu kwamba mpango wenu ni kuhakikisha kwamba muna lipiza kisasikwa nabii Sanga kwa kuhusika kwa kupoea kwa Evans pia na kufa kwa Tomas”
Levina akastuka sana macho yakamtoka, kwa maana habari ya kufa kwa Tomas haitambui kabisa.
“U..na…tak…a kuni…ni…ambia kwamba Tomas wangu ame kufa?”
“Ndio ame uwawa leo na Mrs Sanga kwa kuchomwa sindano ya sumu”
Levina na Magreth wote wakajawa na mshangao huku Levina nguvu za mwili zikianza kumuishia huku mapigo ya moyo yakizidi kumuenda kasi huku joto kali la mwili likizidi kumpanda hadi akahisi roho yake ina kwenda kumtoka.





ENDELEA


“Josephine acha utani, una taka kuniambia Tomas ame kufa?”
Magreth aliuliza kwa msisitizo huku akiwa haamini hicho anacho kisikia.
“Haki ya Mungu, nina maono na wewe nina imani kwamba una tambua kwamba sijawahi kukosea kwenye maono yangu:
Magreth akashusha pumzi nyingi huku akitamani hata kumkamata mrs Sanga mbele yake na kumvunja vunja vipande vidogo vidogo.
“Ame muulia wapi mume wangu?”
Levina alizungumza huku machozi yakimwagika.
“Hotelini, ila sijaonyeshwa ni hoteli gani”


“Nina muua mrs Sanga, haki ya Mungu nita muua kwa mikono yangu mimi mwenyewe”
Levina alizungumza huku akilia kwa uchungu sana. Magreth akanyanyuka na kuingia chumbani kwake, akaichukua simu yake na kuiatazama namba ya nabii Sanga kwa zaidi ya dakika kumi. Akaminya kitufe cha kijani na taratibu simu hiyo ikaanza kuita.
“Una hitaji nini tena kwangu?”
“Ulisi kwamba dunia haito jua au kuna siri yoyote”
“Una zungumza nini wewe mwenda wazimu?”
“Mke wako amemuua Tomas kwa kumchoma sindano ya sumu. Ameamini kama ame maliza kila kitu, ila nina hitaji kukuambia kitu kimoja SANGA. Sinto kubali kuona una zidi kuwaonea wanyonge kisa wewe tu ni mtu mwenye pesa na mwenye kujuana na kiongozi wa hii nchi. Nina kuambia ukweli, nita dili na wewe pamoja na familia yako nzima. Mmoja baada ya mwengine ata kwenda kuionja joto ya jiwe”
“Hahaaaa Mage nimesha yazoea maneno yako hivyo ni fanya unacho taka kukifanya. Umenielewa?”
Nabii Sanga alizungumza kwa dharua na kumfanya Magreth kukata simu huku hasiri ikikifanya kifua chake kitanuke mithili ya mbeba vyuma.


***


“Huyu panya jike ana endelea kutufwatilia mke wangu”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku mwili mzima ukimtetemeka.


“Ina bidi ushuhulike naye kabla ya harusi mume wangu. Miimi Tomas nimesha dili naye ni zimu yako kushuhulika naye”
Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mume wake usoni.


“Sawa”
“Usiseme sawa, ikiwa mtu ana hack simu yake, pili ana kupigia simu za vitisho. Tatu sijui ame juaje kama mimi nime muua Tomas tena kwa sumu”
“Kuna jambo ambaloa na lifanya. Ila nita lijua tu. Nina kuja”
Nabii Sanga akatoka chumbani kwake hapo na kuelekea katika chumba chake cha siri kilichopo chini ya ardhi ambapo ndipo anapo fanyia sala zake za kishetani. Nabii Sanga akaufunga mlango wa chumba hicho kwa ndani, kisha akavua nguo zake zote. Akawasha mishumaa iliyo zunguka duara ambali ndipo ana abudu kwa mkuu wake wa anaye mpatia nguvu. Nabii Sanga akaanza kuzungumza maneno ya kumuita mkuu wake huyo. Ndani ya muda mchache, moshi mwingi ukaanza kutawala ndani ya chumba hicho.


“Sanga”
“Ndio mkuu”
Nabii Sanga aliitikia na kwa haraka akapiga magoti yake na kusujudia mwana dada huyo.


“Nime kuja”
“Mkuu nina shida kubwa sana”
“Shida gani?”
“Yule Magreth uliye niambie nimtoe sadaka, leo hii ana nisumbua sana. Ana nikosesha amani kwenye mambo yangu, ana taka kuisulubisha familia yangu”
Nabii Sanga alizungumza kwa unyenyekevu mkubwa sana.
“Magreth ana lindwa”
“Na nani?”
“Kuna msichana mmoja ana itwa Josephine, pia ni muumini kwenye kanisa lako. Josephine ana uwezo wa kuona mambo ya yajayo au yaliyo tokea. Ame simama vizuri mbele za Mungu, hivyo una paswa kujiangalia mara kwa mara pale unapo taka kuanzisha vita na huyo Magreth kwa maana ata kuwa ana fahamu mbinu zako na itakuwa ni rahisi kukupiga”
“Nime kuelewa mkuu. Nita fanya nini kumzuia huyo msichana?”
“Hashikiki na pia usijaribu kumuwinda kwa maana ata kuvurugia kila kitu chako kwani malaika wa Mungu wao ndio wana mlinda”
“Yupo wapi kwa sasa huyo Josephine?”
“Nyumbani kwa Magreth”
“Mkuu nisaidie ni fanye nini kuwaangamiza hao watu”


“Ni lazima damu nyingi imwagike ndio uta weza kuwapata”
“Imwagike kwa kina nani?”
“Uta jua, sio kila jambo nina paswa kukuambia. Una kitu kingine cha kuomba?”
“Ndio. Kuna kijana ana itwa Evans nina sikia ana lindwa na mtu ambaye sio binadamu wa kaiwada?”
“Huyo kijana simuoni kwenye ulimwengu wangu. Hivyo sina maoni yoyote kwa ajili yake. Siku mwema”
Mkuu wake huyo akapotea ndani ya chumba hicho na kusababisha moshi wote kuisha. Mishumaa aliyo iwasha yote ikajizima, taratibu akanyanyuka na kuwasha taa. Akavaa nguo zake huku akiwa ameshoshwa na habari hizo. Akarudi chumbani kwake na kumkuta mke wake akitazama televishion.


“Vipi mbona ume choka hivyo”
“Nafikiria jinsi ya kumuua Magreth”
“Leo ina weza ikawa ni siku nzuri ya kumuangamiza. Una vijana tana wenye uwezo, waelekeze ni wapi anapo ishi Magreth kisha wakafanye mambo usiku huu huu”
“Etii ehee?”
“Ndio mume wangu. Hakuna namna ni lazima uhakikishe maadui zetu wote tuna waua”
Nabii Sanga akambusu mke wake shavuni huku akiwa ame furahia ushauri huo. Akampigia kiongozi wa vijana wake.
“Ndio mkuu”
“Kuna kazi nahitaji ifanyike usiku huu”
“Kazi gani mkuu”
“Una vijana wangapi walipo Dar?”
“Sita”
“Nahitaji walekee Kigamboni, nina kutumia ramani ya eneo hilo la nyumba ya huyo msichana. Nawatumia na picha yake nahitaji usiku wa leo hii awe amekufa. Tume elewana?”
“Ndio muheshimiwa. Kazi ita fanyika kifahasa”
Nabii Sanga akakata simu, akatuma picha ya Magreth kwa kijana wake huyo na maelekezo ya wapi ilipo nyumba yake hiyo na amri ni moja tu. Magreth ana paswa kuwawa na kila atakaye kutwa ndani hapo ni lazima auwawe.


***


Dharau na kejeli aliyo onyeshwa na nabii Sanga ikamfanya Magreth kuanza kufanya mazoezi kwa juhudi zake zote. Josephine na Levina kazi yao kubwa ni kushuhudia jinsi Magreth anavyo ruka sarakani na kurusha mateka. Hapakuwa na hata mmoja kati yao aliye hisi kwamba Magreth ni mwepesi kiasi hicho.
“Mage pumzika, ni masaa matatu sasa una fanya mazoezi”
Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth aliye simama kwa kutumia mikono yake huku kichwa chake kikiwa chini na miguu juu. Taraibu Magreth akajigeuza na akasimama.
“Lazima nimuue Sanga”
Magreth alizungumza hukua kijifuta jasho kwa kitaulo kidogo.
“Huto weza Mage”
Josephine aliendelea kusisitiza.
“Kwa nini asiweze, ikiwa yeye na mke wake wama wadhuru wapenzi wetu”
“Sanga ana watu wengi sana wanao walinda. Hivyo hilo munali liwazia, ina wabidi mulifikiria kwa mara ya pili tena. Nyinyi sasa hivi mume kuwa zaidi ya ndugu zako hivyo sinto penda mupotee.”
“Jose saa ngapi sasa hivi?”


Magreth alizungumza huku akimtazama Josephine usoni mwake
“Ni saa nane usiku”
“Levina tuna weza kutoka?”
“Sasa hivi?”
“Ndio”
“Na mimi nita ambatana nanyi”
Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth aliye panga safari hiyo.
“Sawa, ngoja nichukue funguo ya gari”
Magreth akaingia chumbani kwake, hakuhitaji hata kubadilisha nguo hizo za mazoezi. Akaichukua funguo yake ya gari na wakaondoka nyumbani hapo.
“Tuna kwenda wapi Mage”
Levina aliuliza huku akiwa na wasiwasi kidogo.
“Nyinyi tulieni”
Wakafika katika nyumba aliyo hifadhia pikipiki na silaha zake. Magreth akafungua geti la nyumba hiyo, akaingiza gari kisha akalifunga geti.


“Hii nyumba mbona ime tulia sana. Kuna watu wanao ishi hapa?”
Josephine aliuza uku akitazama tazama kila pande ya nyumba hii iliyopo pembezoni mwa bahari.
“Ni nyumba yangu, niliirithi kwa babu yangu mmoja ambaye alikuwa ni raia wa Japan”
“Ahaa pazuri, kwa nini sasa tusikae huku, kuna upepo mzuri”
Josephine alizungumza hukua akiwa amejawa na furaha. Wakaingia ndani na Magreth akawasha taa za nyumba nzima.
“Tume kuja hapa kwa kazi moja. Eneo hilo ndio eneo la pekee ambalo tuta kuwa tuna fanyia kazi zetu za kupanga mipango yote ya kuhakikisha tuna lipizaje kisasi. Josephine, nina kuomba uwe pamoja nasi ume nielewa?”
“Mimi mbona nipo pamoja nanyi”
Simu ya Magreth ikaanza kutingishika(vibrate) mfukoni mwake. Akaitoa mfukoni mwake kwa haraka, akaingia upande wa kamera alizo zifunga nyumbani kwake. Akashuhudia gari moja aina ya BMW X5 ikisimama nje ya geti lake.


“Njooni muone”
Josephine na Levina wakasimama alipo Magreth na wakaanza kushudia jinsi wanaume sita wenye bunduki huku wakiwa wame ziziba nyuso zao wakishuka kwenye gari hilo na wakaanza kuruka ukuta.


“Hawa ni kina nani?”
Josephine aliuliza huku akitetemeka kwa woga.


“Sanga ame tuma watu wake kwa ajili ya kutuua. Endapo tunge kuwa ndani humo basi leo hii ndio inge kuwa mwisho wa maisha yetu”
Magreth alizungumza huku akikunja ngumi mkono wake wa kulia kwa manaa kama ni vita sasa ni ya uso kwa uso.


***


Vijana wawili walio ruka ukuta, wakafungua geti dogo la nyumba ya Magreth na wezao wakaingia ndani huku nje akibakia mmoja kuhakikisha ana imarisha ulinzi. Vijana hao wakatawanyika na kuizunguka nyumba huku wawili wakiingia ndani. Wakaanza kunyata kwa umakini huku wakikagua chumba kimoja baada ya kingine. Kila chumba walicho ingia hawakumkuta mtu yoyote.


“Hakuna mtu mkuu”
Mmoja wa vijana hao alizungumza huku akitoka nje.


“Wata kuwa wame kwenda wapi?”
“Hatujajua, ila dalili ina onyesha kuna watu wanao ishi humu ndani”
“Ngoja nimpigie mkuu”
Kijana huyo akampigia simu nabii Sanga.


“Muheshimiwa tume fika hapa nyumbani ila hatujamkuta mtu wa ina yoyote”
“Kwa nini?”
“Hatujui, ila hatujakuta mtu”
“Shenzi sana huyo panya. Sasa nyinyi ondokeni na murudi kwenye meli usiku huu huu”
“Sawa muheshimiwa”
Jamaa huyo akakata simu.
“Tuondokeni”
Wakatoka nje, wakaingia kwenye gari lao na kuondoka kwa mwendo wa kasi sana.


***


Josephine akashusha pumzi mara baada ya kuwaona watu hao wakiondoka.
“Mage maisha yetu yapo hatarini tuta fanya nini jamani?”
Josephine alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Mage una onaje uka wasiliana na askari watu hao waka kamatwa?”
“Levina hiyo ina wezekana ila ita kuwa ni kazi bure”
“Kwa nini?”
“Hata wakikamatwa basi wataachiwa huru. Hawa watu ni wa nabii Sanga. Mwanaye ana kwenda kuwa mkwe wa raisi, hivyo nina imani umoja wa kuungana kwa familia hizo uta palekea nabii Sanga kuzidi kuwa na nguvu.”
“Tuna fanyaje?”
“Laptop yako ipo wapi?”
“Nime iacha nyumbani”
“Basi kuna mtu mmoja ndani ya serikali nina weza kushirikiana naye na tuka muangusha nabii Sanga kwa maana yeye na nabii Sanga picha haziendi kabisa?”
“Ni nani huyo?”
Levina aliuliza huku akiwa amejawa na shahuku kubwa ya kuhitaji kumfamu ni nani ambaye ana weza kusaidiana naye katika kumuangamiza nabii Sanga na kikundi chake chote.


ITAENDELEA


Haya sasa ni nani amaye ata kuwa ni msaada kwa Magreth na yupo ndani ya serikali na je wata fanikiwa kumuangusha nabii SANGA na kikundi chake chote? Usikose sehemu ya 102.
 
SIN 102


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Tuna fanyaje?”
“Laptop yako ipo wapi?”
“Nime iacha nyumbani”
“Basi kuna mtu mmoja ndani ya serikali nina weza kushirikiana naye na tuka muangusha nabii Sanga kwa maana yeye na nabii Sanga picha haziendi kabisa?”
“Ni nani huyo?”
Levina aliuliza huku akiwa amejawa na shahuku kubwa ya kuhitaji kumfamu ni nani ambaye ana weza kusaidiana naye katika kumuangamiza nabii Sanga na kikundi chake chote.





ENDELEA


Magreth akaipata namba ya RPC na akampigia, kwa bahati nzuri simu hiyo ikaanza kuita.
“Magreth”
“Ndio muheshimiwa samahani sana kwa kukusumbua usiku huu”
“Hakuna shaka kwa maana nipo doria sasa hivi”
“Nyumbani kwangu nime vamiwa”
“Na nani na saa ngapi?”
Bwana Karata alizungumza huku akiwa amejawa na mstuko sana.


“Sijajua ila nina omba msaada wako muheshimiwa”
“Niambie upo wapi kwa sasa ili nikusaidie’
“Ngoja nikutumie video ya uvuamizi wa watu hao kwanza”
“Sawa nitumie sasa hivi”
Magreth akakata simu na kuanza kumtumia RPC Karata video hiyo.


“Ni nani huyo Mage?”
“Ni RPC Karata, ni mtu wangu wa karibu”
“Hapo ni sawa kwa maana yule baba ana ifanya kazi yake kwa haki sana”
Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth.


“Sasa sinto hitaji polisi waje hapa. Itawabidi nyinyi mubaki hapa na mimi niende kuonana nao”
“Hapa ni salama kweli Mage tusije tuka vamiwa?”


“Hakuna anaye weza kuja hapa, niaminini katika hilo”
Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akiwatazama rafiki zake.
“Sawa kuwa muangalifu”
“Sawa”
Magreth akaingia kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo. Akafika maeneo ya Mwenge na kusimama kwenye sheli iliyopo eneo hilo. Akampigia simu RPC Karata na akahidi ata fika eneo hilo baada ya muda mfupi tu. Defender ya polisi, ikafika eneo hilo la sheli, wakashuka askari sita wenye bunduki kisha RPC naye akashuka.


“Magreth pole sana”
RPC Karata alizungumza huku wakipena mkono na Magreth.


”Nashukuru, sana yaani nime poteza amani na nimeshindwa kabisa kukaa nyumbani kwangu”
“Tuzungumzie ndani ya gari lako”
Wakiangia ndani ya gari.


“Hizi sura ni ngeni sana machoni mwangu. Pia hatunazo kwenye database zetu za waalifu”
“Ni kweli muheshimiwa, ila hao ni watu wa nabii Sanga”
“Sanga huyu huyu au mwengine?”
“Huyo huyo mkuu. Yeye ndio aliye watuma kwa ajili ya kunia”
“Hivi lile bifu lenu hadi sasa hivi lipo?”
“Tena lime ongezeka na kukua kabisa. Yaani muheshimiwa nina kuomba unisaidie sana”
“Uwezo wa kukusaidia upo, ila jambo gumu sana ni kwamba huyu mzee kwa sasa ana lindwa na walinzi wa raisi. Hapo nina pata ugumu sana wa kumfwatilia na walisha nieleza kwamba nikiendelea kuwasumbua basi kuna mambo mawili, kushushwa cheo au kuhamishiwa mkoani huko”
“Sasa tuna fanyaje mkuu wangu. Ikiwa ni leo tu mrs Sanga ame toka kufanya tukio la mauaji”
“Mauaji? Nani ame muua tena?”
“Tomas”
“Tomas gani?”
“Yule aliye kuwa boyfriend wake”
“Yule mtu si tulimtafuta hadi ikafikia kipindi akataka kunifukuzisha kazi. Alikuwa wapi kipindi chote hicho?”
“Alikuwa ana ishi kwa sura ya bandia.”
“Wee!!?”
“Ndio hivyo leo hii ame uwawa na mrs Sanga kwa kuchomwa sindano ya sumu”
“Mungu wangu, yule mama kumbe ni katili kiasi hicho?”
“Ni zaidi ya katili. Ana hitaji kunia mimi na Evans ambaye juzi alitekwa pale daraja la Kigamboni”
“Hiyo niliipata na kuna habazi za chini ya kapeti kwamba ana swaka na muheshimiwa mwenyewe”
“Raisi?”
“Ndio, sijajua ni kitu gania mbacho amekifanya, ila sijui kama akipatikana ana weza kuachwa akiwa hai”
Magreth akashusha pumzi huku akimtazama RPC Karata.
“Hii nchi sasa ime haribika. Uwezo wa raisi kuongoza sasa ume yumba. Amekuwa ni mtu wa kufukuzisha watu kazi. Mkuu wa kitengo cha NSA amefukuzwa kazi, mshauri wake namba moja pia ame mfukuza kazi hivyo hatujui nani ata fwata. Ndio maana una niona nina jihusisha mambo ya uhalifu wa mkoa wangu tu ila mambo ya kufwatilia wakuu nime kaa kimya mdogo wangu”
“Ehee Mungu sijui nita ishije, sijui ni nani ambaye ata niua. Nashindwa hata kesho kwenda kazini kwangu”
“Ni kweli, ila Mage kuna uwezo fulani niliuona kwako, kwa nini usiitumie?”
“Uwezo gani?”
“Siku ulipo watandika mrs Sanga na mume wake. Kwa nini usiutumie ule uwezo kupambana na maadui zako”
“Nikiutumia wewe ndiye utakaye kuja kunikamata.”
“Ni kweli, ila ina kupasa kutumia akili kupambana na hawa watu. Yaani sasa hivi wewe nina kufananisha na Daud na Sanga ni Gholiath. Ukisema utumie njia za kieshiria my dear una kwenda kupotea. Tumia uwezo wako hakikisha Sanga ana anguka”
“Nashukuru kwa maneno yako, nita yafanyia kazi”
“Nina imani kwamba ume nilewa?”
“Nimekueleawa vizuri sana”
“Utakapo kuwa na uhitaji wa information zozote za ndani ya serikali ambazo una hisi kwamba zita kusaidia, basi nita kupatia ili mradi ninacho hitaji ni kumuona nabii Sanga utawala wake una kwisha”
“Nashukuru sana RPC na nime furahi kwa ushirikiano wako”
“Wala usijali katika hilo. Uta ishi wapi kwa sasa?”
“Nipo kwa rafiki yangu Mbezi beach hapo.”
“Ahaa sawa, ila ushauri mwengine usipende kutumia sana hili gari lako. Ikiwezekana nunua hata gari ndogo ambayo itakuwezesha katika mizunguko yako ya hapa mjini si una jua hili gari alikununulia yeye”
“Ndio”
“Basi fanya hivyo”
“Nashukuru sana kaka yangu”
“Karibu sana”
RPC Karata akashuka kwenye gari la Magreth, akaingia kwenye gari lake na vijana wake na wakaondoka eneo hilo huku naye Magreth akirudi alipo waacha rafiki zake.


***


Evans akafikia kijijini kwao majira ya saa kumi na moja alfajiri. Akasimamisha gari lake nje ya nyumba yao ambayo kwa kweli hajabadilika kwa chochote. Umasikini na ufukara alio nao mama yake hakika uka mfanya kuanza kulengwa lengwa na machozi.


“Ume fika salama sasa”
Sauti ya jini Maimuna ikamstua kidogo.


“Yaa nina imani kwamba mama ata kuwa bado haja aamka?”
“Ni kweli bado haja aamka”
“Nahitaji kubadilisha haya mazingira ya hapa kijijini, nahitaji kujenga nyumba kubwa eneo hilo”
“Ina wezekana kujenga, unajua wewe ni binadamu na una paswa kuishi mahala pazuri.”
“Ita kuwaje tukiamua kurudi Dar es Salaama kama vile ulivyo niambia”
“Hakuna mashaka, jambo zuri ni kwamba uta kuwa ume acha mazingira mazuri nyumbani kwenu”
Evans akashuhudia pazia la chumba cha mama yake likifunguliwa kwa tahadhari huku akichungulia nje.
“Mama yangu ame amka”
“Nenda kamsalimie”
Evans akafungua mlango wa gari na akashuka huku akiwa na furaha.


“Mama ni mimi mwanao”
Evans alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.


“Ngolo ni wewe?”
“Ndio mama ni mimi, nime rudi mwanao”
Mama Evans akafungua mlango, akatoka kwa furaha na wakakumbatiana na mwanaye. Miaka karibia minne Evans hakuwa amerudi nyumbani kwao, hii ni kutokana na kukosa nauli za kurudi kila likizo.
“Tazama mwanangu ume kuwa mkubwa. “
“Ndio mama una endeleaje?”
“Kama ulivyo tuacha mwanangu. Hii gari ni ya kwako Ngolo”
“Ndio mama”
Mama Evans akamuachia mwanaye na kulisogelea gari hilo, akaanza kulizunguka, hakika hakuwa na ndoto hata siku moja kwamba mwanaye ana weza kuwa na hata gari. Japo Maimuna yupo ndani ya gari ila mama Evans hakuweza kumuona.
“Una funguaje mlango Ngolo”
“Hapa”
Evans alizungumza huku akifungua mlango wa upande wa dereva. Mama yake akaingia huku akiwa na furaha sana.
“Jamani Ngolo, Mungu ni mkubwa jamani, hadi ume nunua gari Mungu akubariki mwanangu zaidi ya hapa”
“Nashukuru sana mama. Evelin yupo wapi?”
“Bado ame lala, si unajua leo ni jumamosi haendi shule”
“Amekuwa mkubwa ehee?”
“Ndio,ame kuwa ni mdada sasa. Yupo kidato cha tatu”


Mama Evans alizungumza huku akishuka kwenye gari hilo. Akamshika mkono Evans na wakaanza kuelekea ndani. Maimuna akamkonyeza Evans na akamuga. Mama Evans akaingia chumbani kwa Evelin na kuamuasha.


“Nini mama”
“Kaka yako ame kuja, vaa vizuri”
“Mama una ota au?”
“Sioti wewe, amka kaka yako ame kuja”
Evelin kwa haraka akajifunga kanga na kutoka chumbani hapo. Akasita kidogo alipo muona Evans akiwa ame kaa sebleni. Akamkimbilia na waka kumbatiana kwa furaha sana huku machozi yakiwamwagika.
“Mama maisha yetu yana kwenda kubadilika. Nahitaji kukujengea gorofa hapa”
“Kaka acha zako”
“Haki ya Mungu nahitaji kijijini hapa niwe mtu wa kwanza kujenga gorofa”
“Anayo yasema kaka yako ni kweli, hapo nje ame kuja na gari”
Evelin akamuachia kaka yake na kutimkia nje. Hakuamini kuona gari la kaka yake, kwa jinsi ufukara ulivyo itawala familia hiyo, ni jambo la ajabu sana kwa kaka yake kumiliki gari kama hilo.


“Mama jiandaeni, twendeni mjini tukafanye kwanza manunuzi ya nguo na vitu muhimu vya ndani baada ya hapo tuta jua tuna fanya nini ili turekebishe hili eneo”
“Sawa mwanangu. Wewe Eve sasa zubaa zubaa, tuna kuacha peke yako”
Mama Ngolo au Evans alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Evans akaelekea kwenye karuburi la baba yake lililopo pembezoni mwa nyumba hiyo. Taratibu akachuchumaa na kuanza kung’oa ng’oa vimajani vilivyopo eneo hilo.


‘Baba uli shindwa kutulea kwenye mazingira mazuri. Ila nisamehe kwa kuwahi kukuondoa duniani, ila sikuwa na jinsi siku ile kwa maana mama yangu ni muhimu sana kuliko wewe”


Evans alizungumza maneno hayo huku akilini mwake akikumbuka siku aliyo muua baba yake.


***


Simu ya Magreth ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaipokea.


“Ndio Levina”
“Naomba kama ina wezekana, unichukulie laptop yangu nyumbani kwako”
“Sawa”
Magreth akakata simu,akageuza gari lake na kuelekea nyumbani kwake eneo la Kigamboni. Akasimamisha gari lake mita chache kutoka ilipo nyumba yake. Akatambea kwa haraka hadi getini kwake, akatazama eneo zima kama lina usalama, akaingia ndani kwake, akachukua laptop yake, kisha akaingia chumbani kwa Levina na kuchukua laptop hiyo kisha akandoka nyumbani hapo. Akafika alipo waacha Levina na Josephine.


“Vipi huko ni salama?”
Josephine aliuliza huku akiwa na wasiwasi. Levina akamkabidhi laptop yake na wakaingia ndani.


“Nimezungumza na RPC Karata na ameweza kuelewa hali halisi ambayo tuna pitia na ukweli ni kamba hana msaada wa kutusaidia kwa maana kama ni hilo kundi lipo chini ya nabii Sanga, yeye hana uwezo wa kufanya chochote”
“Mungu wangu sasa tuta fanyaje Magreth?”
Josephine aliuliza kwa unyonge.


“Hatuna namba ya kufanya zaidi ya kujilinda sisi wenyewe.”
Levina akashusha pumzi huku akionekana kukata tamaa kabisa.
“Tukijituma tuta ishi, ila tukizembea tuta kufa. Je ni nani kati yenu ana hamu ya kufa na ujana huu?”
Levina na Josephine wakatazamana.
“Mimi hapana”
Levina alijibu kwa msisitozo.
“Hata mimi?”
“Sawa, tupo watatu ila tuta kuwa ni kama jeshi la watu elfu tatu. Hapa ninacho kifanya ni kuanza kugawa majukumu. Jose una uwezo wa kuona maono, nini kina kuja au nini kina fanyika. Levina una utaalamu wa mambo ya teknolojia. Mimi nina uwezo wa kupigana na ina mafunzo maalumu ambayo nime fuzwa toka nikiwa mtoto mdogo. Mbele yetu tuna maadui wakuu wawili SANGA FAMILY na JERY MTENZI. Tunacho paswa kufanya hivi sasa ni kuhakikisha tuna wawinda wote wawili na tukiwapata hakuna msamaha. Tuna waua mmoja baada ya mwengine tume elewana?”
“Ndio”
Levina na Josephine wakajikuta wakijibu kwa pamoja huku wote mioyoni mwao wakiwa wame kubaliana na wazo hilo kwani pasipo wao kufanya juhudi zozote za kumsaidia Magreth basi wata angamia.


ITAENDELEA


Haya sasa, Magreth na rafiki zake wama amua kupambana sasa, je wata fanikiwa kuwashinda maadui zao ambao ukiachilia tu wana nguvu ya pesa, pia wana nguvu ya kiserikali? Usikose sehemu ya 103.
 
SIN 103


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Sawa, tupo watatu ila tuta kuwa ni kama jeshi la watu elfu tatu. Hapa ninacho kifanya ni kuanza kugawa majukumu. Jose una uwezo wa kuona maono, nini kina kuja au nini kina fanyika. Levina una utaalamu wa mambo ya teknolojia. Mimi nina uwezo wa kupigana na ina mafunzo maalumu ambayo nime fuzwa toka nikiwa mtoto mdogo. Mbele yetu tuna maadui wakuu wawili SANGA FAMILY na JERY MTENZI. Tunacho paswa kufanya hivi sasa ni kuhakikisha tuna wawinda wote wawili na tukiwapata hakuna msamaha. Tuna waua mmoja baada ya mwengine tume elewana?”
“Ndio”
Levina na Josephine wakajikuta wakijibu kwa pamoja huku wote mioyoni mwao wakiwa wame kubaliana na wazo hilo kwani pasipo wao kufanya juhudi zozote za kumsaidia Magreth basi wata angamia.





ENDELEA


Hadi asubuhi kuna pambazuka hapakuwa na hata mmoja wao aliye pata hata lepe la usingizi. Magreth akaingia kwenye chumba cha siri, akachukua sanduku lenye vifaa vya mapigano pamoja na nguo zake maalumu ambazo ata zitumia katika kazi yake yote ya mauaji.


“Hilo sanduku lina nini?”
Josephine aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao. Magreth akafungua sanduku hilo.
“Waoooo”
Levina alihamaki huku akitazama vifaa hivyo ambavyo mara nyingi ame kuwa akiviona kwenye filamu za wa Japani na wachini.
“Hii niliona kwenye ile movie ya Ninja Assasination”
Levina alizungumza huku akiwa ameshika kishu kilicho jikunja alafu kina cheni ngumu na ndefu.


“Yaa hichi kisu kwa pigo moja la ukakika endapo, kikipita shingoni mwa mtu, kina ondoka na shingo yake.”
“Weee”
“Ndio kina ondoka na shingo yake, ni kikali na nina weza kumpiga mtu wa mbali pasipo ya yeye kunisogelea hata kidogo”
“Hivi ni nini?”
Josepgine aliuliza huku akiwa ameshika nyota yenye ncha nne na kali sana.


“Hiyo ina itwa Star, lete nikuonyeshe utendaji wake wa kazi”
Magreth akaichukua kifaa hicho kilicho kaa mithili ya nyota na akakirusha ukutani na kika nasa.


“Hiyo endapo ita ingia kwenye mwili wa bina damu ana kufa ndani ya dakika tano kwa maana ina sumu kali sana ambayo ina muua mwana damu.”
“Heee zipo nyingi”
“Ndio”
“Umezitolea wapi hizi?”
“Hii nyumba kipindi mimi nipo mdogo kuna mzee mmoja wa kijapani alikuwa ana ishi hapa. Mzee yule alikuwa ana penda sana maandazi ya mama yangu alivyo kuwa ana yapika. Basi yule mzee alimuomba mama awe ana kuja kumpikia kila asubuhi na kumfanyia usafi. Mimi nami nilikuwa nina ambatana na mama. Yule mzee alitoka kunipenda sana hivyo akaanza kunifundisha mafunzo taratibu ya kijapani. Hata lugha ya kijapani akaanza kunifundisha. Baada ya miaka kadhaa, muda wa yeye kuishi Tanzania ukawa umesha kwisha, ika mlazimu kuondoka”
“Sasa kama alikufundisha kwa nini hukujiunga na polisi?”
“Nilishindwa mambo mengi kwani mama yangu alianza kusumbuliwa na ungonjwa wa moyo. Ilinichukua kipindi kirefu sana kumuuguza na baada ya kumuuguza kwa kipindi huku tukiwa mara nyingi nina mpeleka kanisani kusali, basi nami nili okoka na nikwa na Mungu ndani yangu. Hadi mama ana fariki sikuwa na jinsi zaidi ya kuendeleza biashara ya mama ambayo kipindi ana umwa mimi ndio nilikuwa nina ifanya, nika achana kabisa na mambo haya hadi pale mambo yalipo badilika, nami ime ilazimu kuwa hivi”
“Waoo pole kwa mama kufa”
Levina alizungumza kwa sauti ya upole kidogo.


“Nina shukuru, nimesha poa. Kipindi kile mama alinisisitizia sana niwe mple na nisiwe mtu maugomvi gomvi namshukuru Mungu niliishia kwenye msingi huo.”


“Sawa tuachane na hayo Mage. Je una mpango gani?”
Magreth akakunjua karatasi kubwa aliyo chora ramani ya ukumbi mzima wa send off ya Julieth.


“Hizi ni ramani ya ukumbi utakapo fanyika send off ya Julieth. Ulinzi uta kuwa ni mkubwa sana. Nina hiyaji kuhakikisha kwamba bi harusi tuna mchukua akiwa ukumbini?”
“Kwani una mpango wa kumteka Julieth na si nabii Sanga?”


Levina aliuliza huku akiwa na msnag
“Nina mpango wa kumteka yeye?”
“Kwa nini bi harusi, unajua uki mteka yeye tuta swaka Tanzania nzima mimi nina shauri mpango wetu uendelee vile vile. Tudili na nabii Sanga”
Levina alishauri huku akimtazama Magreth usoni mwake.


“Sawa tuangalie shabaha yetu ita tua wapi. Jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba hatu feli kwenye jambo lolote lile”
“Mmmm nime pata wazo”
Levina alizungumza.


“Wazo gani?”
“Ile video ya nabii Sanga na Tomas unayo?”
“Ndio bado ninayo?”
“Video gani?”
Josephine aliuliza huku akiwa na shahuku kubwa ya kujua ni video gani.
“Nionyesheni na mimi nina taka kuona”
Josephine alizidi kung’ang’ani kuonyeshwa video hiyo. Magreth hakuwa na jambo la kuficha, akaiweka video hiyo kwenye simu yake na kumuonyesha Josephine.


“Ohoo Mungu wangu!! Huyu si mrs Sanga?”
“Ndio mama yenu wa kanisa”
“Jamani hapa si ana ingiliwa kinyume na maumbile?”
“Ndio”
“Heee kumbe huyu mama ni mchafu kiasi hichi?”
“Ndio maana yake”
Josephine akajikuta akishusha pumzi huku akiendelea kuitazama video hiyo.
“Mage hatuna haja ya kutumia nguvu, akili pia ni moja ya jambo muhimu. Wewe niachie alafu tuta jua ni kitu gani cha kufanya”
Levina alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana.


***


Siku zikazidi kusonga mbele na siku ya send off ya Julieth ika fika. Mamia ya wageni kutoka nchi mbalimbali wamefika nchini Tanzania kwa kushangulia send off na harusi ya mtoto wa raisi. Mahoteli yote yenye hathi kubwa jijini Dar es Salaam yame jaa na ulinzi ume imarishwa mara dufu. Vyombo vya habari vyote nchini na nje ya Tanzania vina tangaza juu sherehe hiyo ambayo ni kubwa sana kuwahi kutokea nchini Tanzania. Ukumbi wa sherehe ya send off ulinzi ume imarishwa kisawa sawa, hakuna mtu ambaye aliruhusiwa kuingia ndani ya ukumbi pasipo kibali muhimu.


“Vipi ume fanikiwa?”
Magreth alizungumza huku wakiwa awamekaa kwenye chumba kimoja cha gorofa ambacho kipo upande wa barabara kutoka lilipo gorofa hilo.


“Najaribu ku hack kameza zao ila una onekana una badilishwa kila muda”
Levina alizungumza huku akiendelea kuminya batani za laptop yake.
“Kwa hiyo hiyo video hatuwezi kuionyesha ukumbi mzima?”
“Najaribu, tusikate tamaa”
“Mimi nina wazo?”
Josephine alizungumza huku akiwa amekaa kitandani.
“Wazo gani?”
“Muna onaje tuka subiria siku ya harusi ndio tuonyeshe hiyo video na ukitegemea harusi ni kesho kutwa. Hivyo tuna kesho na kesho kutwa?”
“Wazo lako ni zuri best?”
Magreth alizungumza huku mtazama Josephine ambaye kwa sasa mguu wake umesha pona.


“Nipeni dakika thelathini nina endelea kuhushulika na hilo”
“Hivi haiwezekani kuituma kwenye mitandao ya kijamii?”
“Hiyo ina wezekana, ila ndani ya muda mchache wana weza kuifuta. Hivyo haito noga”
“Sawa kazi ni kwako”
Levina akaendelea na kazi yake hiyo huku Magreth akiwa amesimama pembeni ya dirisha akitazama jinsi askri wanavyo linda ukumbi huo wa send off.
***


“Ume pendeza sana mwanangu”


Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama Julieth aliye pambwa vizuri.
“Asante mama”
“Mdogo wetu hivi una jua wewe ni mzuri sana”
Mtoto wa kwanza wa nabii Sanga alizungumza huku wakimtazama Julieth wakiwa ndani ya gari la kifahari lenye milango sita.


“Nashukuru”
“Ila mdogo wangu una bahati sana. Kuolewa na mtoto wa raisi sio jambo la mchezo mchezo”
“Hahaa mbona ni kitu cha kawaida”
“Mmmm sisi tunaishi Marekani ila hata mtoto wa raisi hatuja bumiana naye”
“Alafu na nyinyi muoe na sio kushangaa shangaa magofora huko Marekani”
“Mama tuta oat u si una jua kwamba wanaume sisi ni lazima uangalie ni mwanamke gani mzuri, sio kukurupuka tu na kuoa”
“Ila umri una kwenda nahitaji mjukuu mimi”
“Sawa mama usijali”
Furaha ikazidi kutawala kwa familiaya mrs Sanga, huku wakiwa wana subiria muda wa kuingia ukumbini.


“Karibuni sana”
Nabii Sanga alizidi kuwakaribisha wageni wanao ingia ukukumbini hapo


“Tuna shukuru nabii wa Mungu”
Watu walizidi kumiminika na kuingia ndani hapo.


“Muheshimiwa una itwa na raisi”
Mlinzi mmoja alimnong’oneza nabii Sanga. Wakaondoka na mlinzi huyo na wakaingia ndani gari ya raisi.
“Naona mambo yame fika”
“Ndio ndugu yangu.”
“Tume imarisha ulinzi kila mahala hivyo usiwe na shaka ndugu yetu. Lazima watu wafurahie vijana wetu”
“Ni kweli, Jery yupo wapi?”
“Jery yupo gari moja na mama yeke. Lile pale”
“Sawa ndugu yangu”
“Una weza kuwaona”
“Nashukuru”
Nabii Sanga akashuak kwenye gari hilo na kuingia kwenye gari alipo Jery na mama yake.
“Baba mkwe heshima yako”
“Nashukuru sana. Umependeza kwa kweli”
“Kidogo baba”
“Hapana ume pendeza sana aisee.”
“Asante”
“Mkwe wangu karibuni sana mujisikie huru na mujisikie mupo sehemu salama kabisa”
“Tuna shukuru”
Mrs Mtenzi alijibu kwa utaratibu huku akimtazama nabii Sanga. Nabii Sanga akashuka kwenye gari na kuelekea kwenye gari walipo familia yake.
“Waooo mume pendeza sana wanangu”
“Asante baba”
“Ehee niambieni mume jiandaa vizuri na kucheza kwa maana musije muka tia aibu kwa kuingia ukumbini pale”
“Usijali baba tuna bonge moja la suprize kwenye kuingia ukumbini”
“Haya kazi ni kwenu”


Muda wa kuingia ukumbini ukawadia. Wakaanza kuingia wazazi wa bi harusi kisha wakafwatia wazazi wa Jery. Muda wa Julieth na kaka zake kuingia ukumbini ukawadia. Ukumbi mzima ukazizima kwa ukimya. Ukaanza kupigwa mlio kinanda, Julieth akaweka katikati ya kaka zake ambao wakaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu mithili ya gwaride la jeshi jinsi wanvyo tembea kwa mwendo wa taratibu mbele ya raisi. Kwa jinsi kaka zake wanavyo fanana na utembeaji huo hakika uka wavutia watu wengi. Julieth kazi yake ikawa ni kutembea kwa mwendo wa kawaida huku akipunga mkono kwa wageni waalikwa wa eneo hilo. Kila mwenye simu ambayo ina uwezo wa kurekodi video hakusita kuchukua video ya tukio hilo.


***


Magreth na Josephine macho yao yote yapo kwenye tv iliyopo chumbani hapo wakishuhudia sherehe hiyo ya send off inayo rushwa hewani mubasha.


“Ila amependeza bi harusi”
Josephine alizungumza na akajikuta akitazamwa kwa jicho kali sana na Magreth.
“Ohoo samahani ame tisha”
“Hapana una ogopa nini, ni kweli ame pendeza.”
“Sasa mbona ume nitazama kwa jicho kali?”
“Nime kutazama tu kwa ni vibaya jamani”
“Mmm haya.


“Levina kama ume shindwa dada yangu. Achana nalo tu hilo swala tuta dili nalo kwenye harusi”
“Sijawahi kushindwa na kitu chochote”
Levina alizungumza huku akizidi kuumiza kichwa kuhakikisha ana ipenyeza video ya ngono ya mrs Sanga kwenye tv zilizo fungwa ndani ya ukukumbi huo.


“Mmmm haya mama”
Levina akafumba macho yake kwa sekunde thelathini kisha akayafumbua na kuwatazama Magreth na Josephine.


“Vipi mbona ume tukazia macho?”
Magreth alizungumza huku akimtazama Levina anaye onekana kukata tamaa. Baada ya sekunde kadhaa Levina akatabasamu kwa furaha.
“Kazi ime kamilika je naweza kuituma sasa”
Kauli hiyo ikawafanya Magreth na Josephine kukurupuka na kushuka kitandani kwa haraka na kumfwata kwenye meza aliyo kaa huku akiwa amesha andaa kidole chake kimoja kuminya batani ya kuiruhusu video hiyo ya ngono ya mrs Sanga na Tomas kuonekana kwenye tv za ukumbi wa send off.


ITAENDELEA


Haya sasa, itakuwaje video hiyo ya ngono inayo muonyesha mrs Sanga na Tomas itakapo onekana kwenye ukumbi mzima na dunia nzima wakaishuhudia? Usikose sehemu ya 104.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…