Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,585
- 1,771
- Thread starter
- #201
SIN 92
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188
ILIPOISHIA
“Samahani huruhusiwi kuingia eneo hili”
Mmoja wa walinzi alimuambia Evans ambaye ana hitaji kuingia katika eneo la mgahawa wa hoteli hiyo.
“Ahaa samahani kwani kuna nini?”
Evans aliuliza huku akitazama tazama eneo la ndani, akashangaa sana kuona eneo zima la mgahawa huo kukiwa na watu wawili tu, mwanaume na msichana huko watu wengine wote wakiwa hawapo. Evans akamkazia macho msichana huyo aliye mpa mgongo. Mlio wa simu ya Evans uka mfanya Julieth kugeuka nyuma kwa maana hata simu yake ina mlio wa aina hiyo. Macho ya Evans yakagongana na macho ya Julieth na kumfanya astuke kidogo kwa maana Julieth anavyo tambua kwamba Evans amepoteza kumbukumbu zake mara baada ya mateso makali aliyo patiwa na watu ambao hadi sasa hajaweza kuwafahamu.
ENDELEA
Evans akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akaondoka eneo hilo huku akiitoa simu yake mfukoni. Akaitazama namba ngeni inayo ingia kwenye simu yake.
‘Ni nani mwenye namba yangu?’
Evans alijiuliza hukua akiendelea kuitazama namba hiyo. Akaipokea na kuweka simu sikioni mwake.
“Halooo, Halooo”
Evans alijaribu kuzungumza ila hapakuwa na mtu yoyote aliye zungumza. Evans akata simu hukua kiamini kwamba huyo mtu ame kosea namba. Kukutana na Julieth kukaanza kuzua maswali mengi sana kichwani mwa Evans, akakumbuka siku alipo kutana na bwana Mbogo na akampatia picha za yeye na Julieth. Akakumbuka jinsi alivyo elezwa kwamba asijaribu kuwa na mahusiano na watoto wa vigogo.
‘Huyu ndio mume wake. Kama ndio mume wake basi yeye ndio aliye niteka mimi?’
Evans aliendelea kuwaza akilini mwake huku akiingia chumbani kwake.
“Baby mbona ume poteza furaha gafla vipi?”
Jery aliuliza huku akimtazama Julieth usoni mwake.
“Najihisi kichwa kuniuma baby”
“Kime anza saa ngapi?”
“Muda huu mume wangu”
“Ohoo pole basi acha tuondoke nikupelekea hospitalia”
“No baby, wewe nipelekea nyumani nikampumzike kidogo”
“Kweli”
“Ndio mume wangu”
“Vipi kishumba huto kula tena”
“Naomba uwambie wanifungie kwenye take way”
“Sawa mke wangu”
Kumuona Evans hakika kume mpotezea hata hamu ya kukaa hotelini hapo, jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba Jery hakumuona Evans. Wahudumu wakakifunga chakula cha Juliethe kwenye vyombo maalumu vya kubebea chakula. Wakaondoka hotelini hapo, wakamfikisha Julieth nyumbani kwako.
“Nashukuru mume wangu. Naomba nipumzike”
“Sawa mke wangu. Hakikisha una nieleza kila jambo linalo endelea. Sawa mama”
“Nime kuelewa mume wangu”
Jery akambusu Julieth mdomoni mwake kisha akaondoka nyumbani hapo kwa nabii Sanga. Julieth akaingia chumbani kwake huku akiwa amejawa na hsira sana kwa maana kumuona Evans ni hatari sana kwa ndoa yake.
“Baba upo wapi?”
“Nipo njiani nina rudi”
“Nakuomba uwahi”
“Vipi kwema?”
“Sio kwema”
Julieth akakata simu na kuirushia kitandani. Hazikupita hata dakika thelathini nabii Sanga na mke wake wakafika nyumbani hapo. Moja kwa moja wakaeleka chumbani kwa Julieth na wakamkuta Julieth akiwa amekaa kwenye moja ya sofa huku uso wake ukionekana dhairi kwamba amekasirika.
“Kuna nini mwanangu?”
Mrs Sanga aliuliza hukua kikaa pembeni ya Julieth.
“Nime muona Evans leo”
“Wapi?”
“Nilikwenda hoteli kupata lunch na Jery, kwenye hiyo hoteli tulikutana na Evans”
“Ila Evans hana kumbukumbu mwanangu?”
“Baba anazo, amenitazama kabisa na amenikazia macho, kama ni mtu ambaye hana kumbukumbu basi asinge nitazama kwa zaidi ya dakika moja”
“Mume wangu kama huyo Evans ana mkosesha amani mtoto kwa nini usimfanye apotee hapa dunianii. Hembu kumbuka ndio mwanaume aliye mtoa usichana mtoto wetu na endapo ata kwenda kufunguka mbele ya raisi au Jery una hisi sura zetu tuta ziweka wapi ikiwa mtoto wetu ana julikana kwamba ana bikra yake”
Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo.
“Umesema hoteli gani?”
“KX Royol”
“Ile ya Kigamboni?”
“Ndio”
Nabii Sanga akatoa simu yake na kumpigia meneja wa hoteli hiyo kwa maana ana fahamiana naye.
“Ndugu habari”
“Salama kaka yangu. Habari za masiku”
“Nina mshukuru Mungu. Nina kuomba uni saidie jambo”
“Jambo gani?”
“Nakuomba unitafutie jina la Evans kwenye listi ya wageni wako alafu uniambie yupo chumba gani”
“Sawa kaka, ila kwema?”
“Kwema tu ndugu yangu”
“Sawa nita kujulisha baada dakika tano”
“Nashukuru sana”
Nabii Sanga akakata simu huku akimtazama Julieth.
“Hivi ana itwa Evans nani?”
“Shika”
Kabla ya hata dakika tano hazijasha simu ya nabii Sanga ikaanza kuita. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Ndio kaka”
“Ndugu yangu nime jaribu kutafuta majina ya wageni wote walio fika hotelini kwangu, ila kwa bahati mbaya sijalipata jina la aina hiyo”
“Ana itwa Evans Shika”
“Ngoja kidogo”
Simu ikaa hewani kwa sekunde kadhaa.
“Sijalipata jina kama hilo ndugu yangu”
“Sawa nina shukuru sana”
Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi taratibu.
“Vipi ame semaje?”
“Hakuna mtu kama huyo kwenye hiyo hoteli. Mwanangu wewe usiwe na shaka wala wasiwasi. Nitahakikisha nina mtafuta Evans popote alipo na nikimpata nita hakikisha ana lipa kwa jambo hili. Umenielewa”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akamkumbatia Julieth kwa sekunde kadhaa ikiwa ni ishara ya kumfanya ajiamini na wala asihofie kwa jambo la aina yoyote ile.
***
“Mkuu serikali ime fanya shambulizi katika moja ya bandari zilizopo chini ya Al-Shabab”
John alizungumza huku akimtazama mzee Mbogo usoni mwake.
“Ime idhinishwa na serikali?”
“Ndio ni raisi ndio ameidhinisha na hadi ninavyo zungumza hivi sasa tulio lilisha fanyika”
Mzee Mbogo akashusha pumzi taratibu huku akimtazama msaidizi wake huyo. Akawatazama wafanyakazi wengine walipo ndani ya chumba kikubwa kilichopo nyumbani kwake hapo. Wafanyakazi wake hao watiifu kwake wote wapo kwa ajili ya kufanya naye kazi.
“Naombeni munisikilize”
Mzee Mbongo alizungumza na kuwafanya wafanyakazi wote kukaa kimya na kumsikiliza.
“Tupo wachache sana ila tuna uwezo wa kuilinda nchi. Kuondolewa ndani ya ofisi yetu ambayo tume izoea isiwe mwisho wa kuacha kuwa watumishi waamini wa nchi yetu. Oparesheni ambayo nilikuwa nime ipinga ya kuwashambulia Al-Shabab, hadi ninavyo zungumza nanyi ime kamilika”
Wafanyakazi hao wakaanza kutazamana kwa maana wana tambua sababu za mzee Mbogo kukataa juu ya jambo hilo.
“Nina wajua Al-Shabab kuliko hata raisi Mtenzi, yeye alikuwa ni askari wa kulinda wananchi ila mimi nilikuwa nina linda nchi, hivyo nina tambua Wasomalia jinsi walivyo. Anaye kupiga na kukuua humjui kwa maana wote wame valia nguo za kawaida, hata mtoto mdogo wa miaka nane ana weza kutumia bunduki na ana weza kukushambulia. Hili lililo fanyika leo ni lazima watalipa kisasi.”
“Si mimi wala wewe ambaye ata jua wata tushambulia nchi yetu kwa staili gani. Jambo kubwa linalo tupasa kufanya ni kuhakikisha tuna kuwa macho kuhakikisha hakuna shambulizi ambalo lina fanyanyika ndani ya nchi hii.”
“Watakao umia sio raisi na familia yake. Ni familia zetu, ndugu zetu, mama zetu, wanetu na kadhalika. Nina zungumza kwa uchungu kwa maana nina jua ni yapi yaliyo tokea kwenye nchi ya Somalia. Nina hakikisha kila mmoja wenu nina mlipa mara mbili ya kile kiasi ulicho kuwa unalipwa na serikali.”
Mzee Mbogo alizungumza kwa sauti ya upole ila yenye msisitizo mkubwa sana huku akiwatazama wafanyakazi wake hao Maandalizi ya utendaji wa kazi katika chumba hicho ume fanyika na hakuna tatizo ambalo lita wazui kwa wao kufanya kazi.
“Ni muda wetu sasa kuwa tegemezi la taifa. Nina wategemea wote”
Wafanyakazi wote wakapiga makofi ikiwa ni ishara ya kumpongeza mzee Mbogo kwa ujasiri wake. Kila mfanyakazi akaanza kufanya kazi yake ambayo alikuwa ana ifanya katika kitengo cha NSA ili mradi ni kuhakikisha kwamba wana kwenda sambana na wafanyakazi walipo katika kitengo cha NSA.
***
“Tomas nime pata idea amayo ina weza kusaidia katika kulipiza kisasi chako”
Levina alizungumza huku akimtazama Tomas usoni mwake.
“Wazo gani?”
“Nime engeneza glasi ambayo ni bomu”
“Glasi ambayo ni bomu?”
“Ndio, kwenye ukumbi nina imani kuta kuwa na watu wengi na glasi ambazo zita fanyika. Jambo ambalo nina hitaji kulifanya ni kuipenyeza glasi hiyo na kuwa miongoni mwa glasi ambazo zia kuwa ndani ya ukumbi huo. Glasi hiyo tuta ilipua pale tu nabii Sanga na mke wake wata kuwa karibu”
“Ila mke wangu, kwenye ukumbi si kuta kuwa na watu wengine. Itakuwaje wakifa?”
“Wewe una taka kulipiza kisasi au una taka kuangalia watu wengine wata nusurika nini?”
“Japo nina roho ya kikatili sana, ila ukweli ni kwamba nina hitaji nabii Sanga, mwanaye na yeye waweze kufa”
“Hilo ni gumu mume wangu. Ulinzi ambao uta kuwepo katika eneo hilo hatuto weza kufanya jambo lolote”
Levina alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Tomas.
“Jaribu kufikiria idea nyingine mke wangu”
“Yule uliye zungumza naye jana ni nani?”
“Nani huyo?”
“Yule aliye kupigia”
“Magreth?”
“Ndio alikuwa amesemaje?”
“Amekataa kuhisiana na ofa niliyo mpatia ya kushirikiana naye”
“Naomba namba zake”
“Za nini?”
“Nahitaji kuonana naye ili nizumngumze naye hili swala la makini”
“Ata kuamini kweli?”
“Ishu sio kuniamini. Ishu ni kunipatia detail za kuhakikisha una lipiza vipi kisazi chako”
Tomas akajifikiria kwa muda kisha akampatia Levina namba ya Magreth. Levina akaipiga namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita, kisha ikapokelewa.
“Habari za asuhuhi dada Magreth”
“Salama nani wewe?”
“Mimi nina itwa Levina ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni inayo jihusisha sana kwa maswala ya tecnolojia. Nina omba kama tuna weza kukutana asubuhi hii?”
“Una weza kuja kwenye mgahawa wangu”
“Basi kama nusu saa nita kuwa hapo”
“Karibu sana”
Levina akakata simu, akaiweka kwenye pochi yake.
“Una kwenda wapi?”
“Ofisini kwake baadae”
Levina akambusu Tomas mdomoni kisha akatoka ndani hapo. Akaingia kwenye gari lake na kuiza safari ya kuelekea ofisini kwa Magreth. Akafika eneo la mgajawa, akasalimiana na Magreth kisha akamuomba waweza kuuzungumza ndani ya gari.
“Ndi ya gari lako?”
“Ndio kama huto jali”
Magreth akamtazama Levina kuanzia juu hadi chini. Kitu alicho weza kukigundua haraka haraka ni kwamba Levina hakuja eneo hilo kwa ubaya. Wakaingia kwenye gari na kukaa siti za mbele, Magreth akatazama nyuma ya gari hilo ili kama kuna mtu basi aweze kutambua. Alipo hakikisha kwamba kuan usalama, akamtazama Levina.
“Magreth mimi ni mke wa Tomas”
“Tomas huyu ninaye mjua mimi?”
“Ndio, nina imani kwamba alikuja hapa akiwa na sura bandia, mimi ndio niliye mtengeneza na wewe pekee ndio ume weza kugundua sura yake. Kufahamu hilo tu nime weza kuhisi kwamba una uwezo wa kipekee sana kama huto jali nina kiomba nikushirikishe jambo letu”
“Kama ni jambo la kumuu nabii Sanga kwa ajili ya kulipiza kisasi chake kwa kweli mimi sipo tayari. Una weza kuondoka kwenye mgahawa wangu”
Magreth alizungumza huku akifungua mlango wa gari hilo, kabla hajashuka Levina akawahi kumshika mkono wa kushoto na kumfanya Magreth kuutazama mkono wa Levina kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama usoni mwake kwa macho makali sana na yaliyo jaa ukali hadi Levina akaanza kuogopa.
ITAENDELEA
Haya sasa Julieth ana endelea kuonyesha msisitizo wa kukaa kushirikiana na Tomas, je Levina ata weza kumshawishi ikiwa tayari amesha anza kumuogopa? Usikose sehemu ya 93.
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188
ILIPOISHIA
“Samahani huruhusiwi kuingia eneo hili”
Mmoja wa walinzi alimuambia Evans ambaye ana hitaji kuingia katika eneo la mgahawa wa hoteli hiyo.
“Ahaa samahani kwani kuna nini?”
Evans aliuliza huku akitazama tazama eneo la ndani, akashangaa sana kuona eneo zima la mgahawa huo kukiwa na watu wawili tu, mwanaume na msichana huko watu wengine wote wakiwa hawapo. Evans akamkazia macho msichana huyo aliye mpa mgongo. Mlio wa simu ya Evans uka mfanya Julieth kugeuka nyuma kwa maana hata simu yake ina mlio wa aina hiyo. Macho ya Evans yakagongana na macho ya Julieth na kumfanya astuke kidogo kwa maana Julieth anavyo tambua kwamba Evans amepoteza kumbukumbu zake mara baada ya mateso makali aliyo patiwa na watu ambao hadi sasa hajaweza kuwafahamu.
ENDELEA
Evans akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akaondoka eneo hilo huku akiitoa simu yake mfukoni. Akaitazama namba ngeni inayo ingia kwenye simu yake.
‘Ni nani mwenye namba yangu?’
Evans alijiuliza hukua akiendelea kuitazama namba hiyo. Akaipokea na kuweka simu sikioni mwake.
“Halooo, Halooo”
Evans alijaribu kuzungumza ila hapakuwa na mtu yoyote aliye zungumza. Evans akata simu hukua kiamini kwamba huyo mtu ame kosea namba. Kukutana na Julieth kukaanza kuzua maswali mengi sana kichwani mwa Evans, akakumbuka siku alipo kutana na bwana Mbogo na akampatia picha za yeye na Julieth. Akakumbuka jinsi alivyo elezwa kwamba asijaribu kuwa na mahusiano na watoto wa vigogo.
‘Huyu ndio mume wake. Kama ndio mume wake basi yeye ndio aliye niteka mimi?’
Evans aliendelea kuwaza akilini mwake huku akiingia chumbani kwake.
“Baby mbona ume poteza furaha gafla vipi?”
Jery aliuliza huku akimtazama Julieth usoni mwake.
“Najihisi kichwa kuniuma baby”
“Kime anza saa ngapi?”
“Muda huu mume wangu”
“Ohoo pole basi acha tuondoke nikupelekea hospitalia”
“No baby, wewe nipelekea nyumani nikampumzike kidogo”
“Kweli”
“Ndio mume wangu”
“Vipi kishumba huto kula tena”
“Naomba uwambie wanifungie kwenye take way”
“Sawa mke wangu”
Kumuona Evans hakika kume mpotezea hata hamu ya kukaa hotelini hapo, jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba Jery hakumuona Evans. Wahudumu wakakifunga chakula cha Juliethe kwenye vyombo maalumu vya kubebea chakula. Wakaondoka hotelini hapo, wakamfikisha Julieth nyumbani kwako.
“Nashukuru mume wangu. Naomba nipumzike”
“Sawa mke wangu. Hakikisha una nieleza kila jambo linalo endelea. Sawa mama”
“Nime kuelewa mume wangu”
Jery akambusu Julieth mdomoni mwake kisha akaondoka nyumbani hapo kwa nabii Sanga. Julieth akaingia chumbani kwake huku akiwa amejawa na hsira sana kwa maana kumuona Evans ni hatari sana kwa ndoa yake.
“Baba upo wapi?”
“Nipo njiani nina rudi”
“Nakuomba uwahi”
“Vipi kwema?”
“Sio kwema”
Julieth akakata simu na kuirushia kitandani. Hazikupita hata dakika thelathini nabii Sanga na mke wake wakafika nyumbani hapo. Moja kwa moja wakaeleka chumbani kwa Julieth na wakamkuta Julieth akiwa amekaa kwenye moja ya sofa huku uso wake ukionekana dhairi kwamba amekasirika.
“Kuna nini mwanangu?”
Mrs Sanga aliuliza hukua kikaa pembeni ya Julieth.
“Nime muona Evans leo”
“Wapi?”
“Nilikwenda hoteli kupata lunch na Jery, kwenye hiyo hoteli tulikutana na Evans”
“Ila Evans hana kumbukumbu mwanangu?”
“Baba anazo, amenitazama kabisa na amenikazia macho, kama ni mtu ambaye hana kumbukumbu basi asinge nitazama kwa zaidi ya dakika moja”
“Mume wangu kama huyo Evans ana mkosesha amani mtoto kwa nini usimfanye apotee hapa dunianii. Hembu kumbuka ndio mwanaume aliye mtoa usichana mtoto wetu na endapo ata kwenda kufunguka mbele ya raisi au Jery una hisi sura zetu tuta ziweka wapi ikiwa mtoto wetu ana julikana kwamba ana bikra yake”
Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo.
“Umesema hoteli gani?”
“KX Royol”
“Ile ya Kigamboni?”
“Ndio”
Nabii Sanga akatoa simu yake na kumpigia meneja wa hoteli hiyo kwa maana ana fahamiana naye.
“Ndugu habari”
“Salama kaka yangu. Habari za masiku”
“Nina mshukuru Mungu. Nina kuomba uni saidie jambo”
“Jambo gani?”
“Nakuomba unitafutie jina la Evans kwenye listi ya wageni wako alafu uniambie yupo chumba gani”
“Sawa kaka, ila kwema?”
“Kwema tu ndugu yangu”
“Sawa nita kujulisha baada dakika tano”
“Nashukuru sana”
Nabii Sanga akakata simu huku akimtazama Julieth.
“Hivi ana itwa Evans nani?”
“Shika”
Kabla ya hata dakika tano hazijasha simu ya nabii Sanga ikaanza kuita. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Ndio kaka”
“Ndugu yangu nime jaribu kutafuta majina ya wageni wote walio fika hotelini kwangu, ila kwa bahati mbaya sijalipata jina la aina hiyo”
“Ana itwa Evans Shika”
“Ngoja kidogo”
Simu ikaa hewani kwa sekunde kadhaa.
“Sijalipata jina kama hilo ndugu yangu”
“Sawa nina shukuru sana”
Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi taratibu.
“Vipi ame semaje?”
“Hakuna mtu kama huyo kwenye hiyo hoteli. Mwanangu wewe usiwe na shaka wala wasiwasi. Nitahakikisha nina mtafuta Evans popote alipo na nikimpata nita hakikisha ana lipa kwa jambo hili. Umenielewa”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akamkumbatia Julieth kwa sekunde kadhaa ikiwa ni ishara ya kumfanya ajiamini na wala asihofie kwa jambo la aina yoyote ile.
***
“Mkuu serikali ime fanya shambulizi katika moja ya bandari zilizopo chini ya Al-Shabab”
John alizungumza huku akimtazama mzee Mbogo usoni mwake.
“Ime idhinishwa na serikali?”
“Ndio ni raisi ndio ameidhinisha na hadi ninavyo zungumza hivi sasa tulio lilisha fanyika”
Mzee Mbogo akashusha pumzi taratibu huku akimtazama msaidizi wake huyo. Akawatazama wafanyakazi wengine walipo ndani ya chumba kikubwa kilichopo nyumbani kwake hapo. Wafanyakazi wake hao watiifu kwake wote wapo kwa ajili ya kufanya naye kazi.
“Naombeni munisikilize”
Mzee Mbongo alizungumza na kuwafanya wafanyakazi wote kukaa kimya na kumsikiliza.
“Tupo wachache sana ila tuna uwezo wa kuilinda nchi. Kuondolewa ndani ya ofisi yetu ambayo tume izoea isiwe mwisho wa kuacha kuwa watumishi waamini wa nchi yetu. Oparesheni ambayo nilikuwa nime ipinga ya kuwashambulia Al-Shabab, hadi ninavyo zungumza nanyi ime kamilika”
Wafanyakazi hao wakaanza kutazamana kwa maana wana tambua sababu za mzee Mbogo kukataa juu ya jambo hilo.
“Nina wajua Al-Shabab kuliko hata raisi Mtenzi, yeye alikuwa ni askari wa kulinda wananchi ila mimi nilikuwa nina linda nchi, hivyo nina tambua Wasomalia jinsi walivyo. Anaye kupiga na kukuua humjui kwa maana wote wame valia nguo za kawaida, hata mtoto mdogo wa miaka nane ana weza kutumia bunduki na ana weza kukushambulia. Hili lililo fanyika leo ni lazima watalipa kisasi.”
“Si mimi wala wewe ambaye ata jua wata tushambulia nchi yetu kwa staili gani. Jambo kubwa linalo tupasa kufanya ni kuhakikisha tuna kuwa macho kuhakikisha hakuna shambulizi ambalo lina fanyanyika ndani ya nchi hii.”
“Watakao umia sio raisi na familia yake. Ni familia zetu, ndugu zetu, mama zetu, wanetu na kadhalika. Nina zungumza kwa uchungu kwa maana nina jua ni yapi yaliyo tokea kwenye nchi ya Somalia. Nina hakikisha kila mmoja wenu nina mlipa mara mbili ya kile kiasi ulicho kuwa unalipwa na serikali.”
Mzee Mbogo alizungumza kwa sauti ya upole ila yenye msisitizo mkubwa sana huku akiwatazama wafanyakazi wake hao Maandalizi ya utendaji wa kazi katika chumba hicho ume fanyika na hakuna tatizo ambalo lita wazui kwa wao kufanya kazi.
“Ni muda wetu sasa kuwa tegemezi la taifa. Nina wategemea wote”
Wafanyakazi wote wakapiga makofi ikiwa ni ishara ya kumpongeza mzee Mbogo kwa ujasiri wake. Kila mfanyakazi akaanza kufanya kazi yake ambayo alikuwa ana ifanya katika kitengo cha NSA ili mradi ni kuhakikisha kwamba wana kwenda sambana na wafanyakazi walipo katika kitengo cha NSA.
***
“Tomas nime pata idea amayo ina weza kusaidia katika kulipiza kisasi chako”
Levina alizungumza huku akimtazama Tomas usoni mwake.
“Wazo gani?”
“Nime engeneza glasi ambayo ni bomu”
“Glasi ambayo ni bomu?”
“Ndio, kwenye ukumbi nina imani kuta kuwa na watu wengi na glasi ambazo zita fanyika. Jambo ambalo nina hitaji kulifanya ni kuipenyeza glasi hiyo na kuwa miongoni mwa glasi ambazo zia kuwa ndani ya ukumbi huo. Glasi hiyo tuta ilipua pale tu nabii Sanga na mke wake wata kuwa karibu”
“Ila mke wangu, kwenye ukumbi si kuta kuwa na watu wengine. Itakuwaje wakifa?”
“Wewe una taka kulipiza kisasi au una taka kuangalia watu wengine wata nusurika nini?”
“Japo nina roho ya kikatili sana, ila ukweli ni kwamba nina hitaji nabii Sanga, mwanaye na yeye waweze kufa”
“Hilo ni gumu mume wangu. Ulinzi ambao uta kuwepo katika eneo hilo hatuto weza kufanya jambo lolote”
Levina alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Tomas.
“Jaribu kufikiria idea nyingine mke wangu”
“Yule uliye zungumza naye jana ni nani?”
“Nani huyo?”
“Yule aliye kupigia”
“Magreth?”
“Ndio alikuwa amesemaje?”
“Amekataa kuhisiana na ofa niliyo mpatia ya kushirikiana naye”
“Naomba namba zake”
“Za nini?”
“Nahitaji kuonana naye ili nizumngumze naye hili swala la makini”
“Ata kuamini kweli?”
“Ishu sio kuniamini. Ishu ni kunipatia detail za kuhakikisha una lipiza vipi kisazi chako”
Tomas akajifikiria kwa muda kisha akampatia Levina namba ya Magreth. Levina akaipiga namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita, kisha ikapokelewa.
“Habari za asuhuhi dada Magreth”
“Salama nani wewe?”
“Mimi nina itwa Levina ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni inayo jihusisha sana kwa maswala ya tecnolojia. Nina omba kama tuna weza kukutana asubuhi hii?”
“Una weza kuja kwenye mgahawa wangu”
“Basi kama nusu saa nita kuwa hapo”
“Karibu sana”
Levina akakata simu, akaiweka kwenye pochi yake.
“Una kwenda wapi?”
“Ofisini kwake baadae”
Levina akambusu Tomas mdomoni kisha akatoka ndani hapo. Akaingia kwenye gari lake na kuiza safari ya kuelekea ofisini kwa Magreth. Akafika eneo la mgajawa, akasalimiana na Magreth kisha akamuomba waweza kuuzungumza ndani ya gari.
“Ndi ya gari lako?”
“Ndio kama huto jali”
Magreth akamtazama Levina kuanzia juu hadi chini. Kitu alicho weza kukigundua haraka haraka ni kwamba Levina hakuja eneo hilo kwa ubaya. Wakaingia kwenye gari na kukaa siti za mbele, Magreth akatazama nyuma ya gari hilo ili kama kuna mtu basi aweze kutambua. Alipo hakikisha kwamba kuan usalama, akamtazama Levina.
“Magreth mimi ni mke wa Tomas”
“Tomas huyu ninaye mjua mimi?”
“Ndio, nina imani kwamba alikuja hapa akiwa na sura bandia, mimi ndio niliye mtengeneza na wewe pekee ndio ume weza kugundua sura yake. Kufahamu hilo tu nime weza kuhisi kwamba una uwezo wa kipekee sana kama huto jali nina kiomba nikushirikishe jambo letu”
“Kama ni jambo la kumuu nabii Sanga kwa ajili ya kulipiza kisasi chake kwa kweli mimi sipo tayari. Una weza kuondoka kwenye mgahawa wangu”
Magreth alizungumza huku akifungua mlango wa gari hilo, kabla hajashuka Levina akawahi kumshika mkono wa kushoto na kumfanya Magreth kuutazama mkono wa Levina kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama usoni mwake kwa macho makali sana na yaliyo jaa ukali hadi Levina akaanza kuogopa.
ITAENDELEA
Haya sasa Julieth ana endelea kuonyesha msisitizo wa kukaa kushirikiana na Tomas, je Levina ata weza kumshawishi ikiwa tayari amesha anza kumuogopa? Usikose sehemu ya 93.