Riwaya: SIN

Riwaya: SIN

SIN 78


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Wanatupatia dili hilo ila wanacho kihitaji wao ni kujua ujuzi tunao tumia katika kutengeza chakula chetu kwa maana ni kitamu sana na endapo wakifahamu basi wana weza kumaliza mkataba na sisi na tukarudi katika maisha ya wateja wetu”
“Sasa niwajibu nini bosi”
“Waambie kwamba chakula chetu kina pikwa hapa. Atakaye hitaji kuja kula aje asiye hitaji kuja aondoke ndio maana nime fungua mgahawa. Sawa Juma?”
Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Juma usoni mwake.
“Ndio bosi nime kuelewa”
Juma alijibu kwa unyonge kwa maana kile alicho kuwa ana kitarajia sicho alicho jibiwa na bosi wake.





ENDELEA


“Safi kama ume nielewa”
“Ila bosi nina kuomba uweze kufikiria mara mbili hili dili. Una jua wame tuambia wata tulipa kiasi gani kwa wiki?”
“Kiasi gani?”
“Dola laki moja, hivyo kwa mwenzi tuta kuwa na dola laki nne sawa na milioni mia nane za Kitanzania kwa wakati huu”
Magreth macho yakamtoka kwa maana kiwango hicho cha pesa ni kikubwa sana.


“Bosi haya ni maisha na hii ni bahati. Kuna makampuni mangapi yanayo pika chakula yameachwa na kufwata sisi kwenye mgahawa wetu. Hembu jaribu kulitazama hilo bosi.”
“Juma acha utani?”
“Sikutanii bosi nina kueleza ukweli. Hii ni namba ya mshauri wa balozi wa Marekeni, ameniachia leo baada ya kupata chakula chetu hapa”
Juma alizungumza huku akimuonyesha Magreth kadi ndogo yenye ndani ya mshauri huyo wa balozi wa Marekani nchini hapa Tanzania.Kadi hiyo imeandikwa jina la mshauri huyu, namba zake za simu na ofisi anayo ifanyia kazi na ina dhihirisha kweli ana fanya kazi katika ubalozi huyo wa Marekani.


“Wewe ni bosi wangu, natambua kwenye maisha yako siku zote una wazia kuwa tajiri mkubwa ili uweze kuwa katika orodha ya watu wenye pesa nyingi hapa Tanzania. Sasa huu ndio wakati wako kufanikiwa bosi”
Ushawishi wa Juma ukazidi kumuingia Magreth akilini mwake.


“Hembu niambie ilikuwaje kuwaje?”
“Kama unavyo jua hali halisi iliyopo hapa nchini. Raisi wa Marekani yupo hapa nchini. Wamarekani kwa sasa wapo wengi sana, hivyo walikuja hapa na wakaanza kupata chakula cha jioni. Walivutiwa sana na chakula chetu, wakazungumza biashara na mimi nami nimekuletea ili uwe muamuzi wa mwisho”
“Okay nime kubali, huyo muhisika ana hitaji tuonane naye lini?”
“Hata leo yupo tayari”
“Basi mpigie ili kama ni kuonana naye tuweze kukutana”
“Sawa”
Juma akampigia kiongozi huyo, ila simu yake haikuweza kupokelewa, akarudi kwa zaidi ya mara tatu ila majibu yakwa ni hayo hayo.


“Kama hapokei basi ata pokea baadae kwa maana nahisi wata kuwa kule kiwandani”
“Yaa ni kweli nime kumbuka”
“Alafu acha nikupe namba yangu ya benki pasa ikifikia mchana una kwenda kuzituma benki sawa”
“Sawa bosi”
Magreth akampatia Juma namba ya akaunti yake ya benki kisha akaelekea jikoni kumuandalia Josephine chakula cha jioni.


***


Nabii Sanga mara baada ya kutoka kwenye sherehe za ufunguzi wa kiwanda cha magari nchini Tanzania. Wakaelekea katika mji wa Bagamoyo, wakapata chakula cha usiku katika hoteli moja ya kitalii ambayo nabii Sanga huwa ana penda sana kwenda kupata chakula akiwa katia mji huo.


“Chakula chao ni kitamu sana”
Julieth alizungumza huku akiendelea kula.


“Umekipenda ehee?”
“Ndio baba nime kipenda”
“Siku ya kwanza tulipo kuja hapa na baba yako nili mshawishi tuwachukue hawa wapishi wakatupike kule kwenye hoteli yetu”
“Ikawaje mama?”
“Walikataa. Wapishi wa hapa wana jali sana utu kulipo pesa”
“Mmmm labda muliwawekea dau dogo”
“Hapana tuliwapa ofa nzuri ila walishindwa kutuelewa, basi hatukuwa na namna”
“Bado muna wahitaji?”
“Ndio, una jua katika biashara yoyote ni lazima mtu uhakikishe kwamba una cheza rafu li mradi mambo yako yaweze kwenda”
“Ni kweli baba, ila nipeni siku kadha, nita washawishi na nita waondoa wote hapa”
Nabi Sanga akatoa simu yake iliyopo mfukoni na kuipokea.


“Ndio”
“Munaweza kuja”
“Haya”
Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza maneno hayo ya mkato mkato akakata simu na kuirudisha mfukoni.


“Baba ni kina nani hao wana kuja?”
“Ni vijana wangu, wana kuja kutuchukua”
“Tuna kwenda wapi kwani?”
“Kwenye eneo ambalo ndio kikao leo kita fanyika kuanzia saa sita usiku. Tambua una kwenda kuwa mrithi wa mtandoa wetu, hivyo akili yako ina kupasa kuwa active zaidi ya hivi sasa”
“Sawa baba”


Majiria ya saa nne usiku, gari moja nyeusi aina ya BMW X5 ikafika katika eneo hilo la hoteli.


“Simu na vitu vyote vya mawasiliano tuviache kwenye gari”
Nabii Sanga alimuambi Julieth na mke wake. Wakaweka simu zao pamoja pochi zao ndani ya gari lao, kisha wakafunguliwa mlango na kijana mrefu aliye valia suti nyeusi na wakaingia katika gari hilo kisha wakaondoka hotelini hapo. Wakafika pembezoni mwa bahari na wakashuka kwenye gari hilo na wakapokelewa na vijana wengine wawili ambao nao wame valia suti nyeusi. Wakapanda kwenye boti ya ndogo na wakaanza safari.


“Mbona una tetemeka?”
Mrs Sanga alimuuliza Julieth aliye jikunyata.


“Baridi”


“Mpatie mwanangu koti”
“Sawa mkuu”
Kijana huyo akavua koti lake na kumkabidhi Julieth na akalivaa. Safari ya boti hiyo inayo kwenda kwa kasi, ikawachukua masaa mawili kufika katikati ya bahari na wakakuta meli moja kubwa ambayo ina lindwa kwa ulinzi mkali sana.


“Hii meli ni mali yetu mwanangu”
“Hii meli?”
“Ndio mwanangu”
Nabii Sanga alizungumza huku akitabasamu. Wakafika eneo la kushukia, wakapokelewa na vijana wengine ambao mikononi mwao wana bunduki. Vijana hao wakamsalimia nabii Sanga kwa kuinamisha kichwa chini. Julieth akazidi kushangaa uzuri wa meli hii kubwa na nzuri.


“Baba acha utani una taka kuniambia kwamba hii ni meli yetu?”
“Ndio mwanangu mbona huamini?”
“Na hawa watu?”
“Hawa ni walinzi wetu ambao ni wa siri sana na wana tulinda kwa siri sana ndio maana na umaarufu wangu wote huja wahi kuniona nikiongozana na walinzi kama watu wengine maarufu”
“Ahaaa…”
“Sisi na baba yako kuna mambo mengi ya siri ambayo taratibu utaanza kuyajua.”
Wakaingia katika chumba kimoja kilicho tengenezwa vizuri.


“Mkuu nguo zenu zipo tayari”
Dada mmoja mwenye asili ya Russian alizungumza huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.
“Nashukuru Lana”
Dada huyo akainamisha kichwa chake chini kisha akatoka ndani hapo.


“Badilisheni nguo haraka, kikao kina karibia kuanza”


Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza hivyo akatoka ndani hapo. Julieth na mama yake wakabadilisha nguo zao kwa haraka kisha nabii Sanga naye akaingia ndani ya chumba hicho na kuvaa nguo zoa ambazo ni suti nyeusi tupu. Wakaelekea katika ukumbi mkubwa ambao upo ndani ya meli hiyo. Julieth akashangaa sana kukuta watu wa mataifa mbalimbali, ambao mara baada ya kumuona nabii Sanga waka inamisha vichwa vyao chini ikwia ni ishara ya kumpa heshima. Mrs Sanga na mwanaye nao wakainamisha vichwa vyao chini wakiashiria kumpatia heshima kubwa nabii Sanga. Nabii Sanga mara baada ya kukaa kwenye kiti chake watu wote nao wakakaa. Kikao hicho cha siri ambacho kina wahusisha wauza madawa ya kulevya wakubwa sana kikaanza. Nabii Sanga akawatambulisha Julieth na akatangaza kwamba kuanzia hapo yeye ndio ata kuwa kiongozi wa muunganiko huo. Japo ni jambo la mshangazo kwa wengi, ila wote waka subiria kuona ni jinsi gani Julieth ata zungumza. Julieth akasimama na akapishwa kiti na nabii Sanga.
“Nita kuwa mara tatu na alicho kifanya baba yangu. Nita hakikisha tuna kuwa invisible na dunia nzima tuta itawala. Asanteni”
Julieth alizungumza kwa kujiamini hadi yeye mwenyewe akajishangaa. Watu wote wakaanza kupiga makofi kwa maana ujasiri alio uonyesha Julieth ume zaa imani kubwa kwa watu hao.


***


Siku zikazidi kusonga mbele na hali ya Evans ikazidi kuimarikia. Kwa wiki tatu na siku mbili alizo kaa nyumbani kwa mzee Msese, zika mfanya afahamu mambo mengi sana katika milima hiyo. Siku kadhaa Evans aliweza kuondoka na mzee Msese kwenye milima kutafuta dawa kwa ajili ya wateja mbalimbali wanao fika katika milima hiyo kwa ajili ya kutibiwa.


“Evans”
Kwa mara ya kwanza Evans alishangaa baada ya mzee huyo kumuita jina lake. Siku zote wame kuwa wakizungumza kwa kupitia Dada ambaye ana fahamu lugha ya kiswahili na kiruguru.


“Ndio mzee wangu.”
“Kwenye maisha yako ume kuwa ni mtu wa kudhulumiwa haki zako si ndio?”
“Ndio mzee kumbe una weza kuzungumza kiswahili?”
“Ndio nina tambua tena vizuri sana.”
“Kwa nini kipindi hicho chote ume kuwa ukizungumza kiruguru?”
“Nilihitaji kukujua vizuri na sasa nina kujua vizuri sana”
Mzee Msese alizungumza huku akimtazama Evans usoni mwake.
“Ahaa”
“Ndio. Nyota yako ni kubwa sana na ndio inayo kufanya uweze kuwa na ulinzi mkubwa kiasi kwamba hadi mamba walishindwa kukutafuna kwenye ule mto. Nimekaa kwenye hii milima sasa ni mwaka wa stini na sita, sijawahi kuona binadamu wa kawaida anaye ingia kwenye ule mto pale na kushindwa kumtafuna mtu”
“Mmmmm”
“Ni kweli, wewe ndio binadamu wa kwanza kabisa kutoka ukiwa pale salama na tena mamba waliweza kukaa mbali na wewe. Nita kufanyia dawa ambayo nyota yako isiweze kuchukuliwa na watu wabaya”
“Sawa mzee wangu. Na nyota huwa zina chukuliwaje?”
“Ni mambo ya kitaalamu hayo mwanangu. Ila leo twende nika kuonyeshe kitu”
Mzee Msase alizungumza. Wakandoka nyumbani hapo na Evans na wakaelekea kwenye milima mikubwa kabisa iliyopo jirani na wanapo ishi.


“Mzee wangu hivi huku milimani kuna watu wana ishi?”
“Hapana, huku ni sisi tu ndio tuna ishi tena tuna ishi kutokana kukubaliwa na mizimu ya milima hii”
“Kuna mizimu?”
Evans alizungumza kwa mshangao mkubwa sana.


“Ndio achilia mizimu peke yake, ila kuna hadi majini wakubwa wana ishi humu. Ndio maana binadamu wa kawaida akiingia humu hawezi kutoka”
“Mmmm mzee wangu una niogopesha.”
“Usiogope kwa maana kuna habari nzuri kwako”
“Habari gani?”
“Mizimu ime weza kukukubali ndio maana una ishi kwa amani na furaha ndani ya msitu huu. Ila inge kuwa sio hivyo unge kuwa umesha potwezwa siku nyingi sana.”


“Mmmm”
Evans alizungumza huku akizidi kumfwata mzee Msese. Wakafika katika moja ya pango kubwa.


“Tuna ingia humu ndani, ila kabla ya kuingia ina bidi ujichane kidogo kwenye mkono wake na umwage damu yako hapa chini”
Maneno ya mzee Msese yaka mstua sana Evans na kujikuta akizidi kujawa na woga.


“Kwa nini?”
“Humu ndani kuna utajiri wako, ila una lindwa na majini na wewe ndio mtu wa pekee unaye weza kuchukua hadihina hiyo.”
Evans macho yakamtoka, akatazama kisu anacho pewa na mzee Msese kisha taratibu akakipokea huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana kwani hakutarajia kama safari hiyo inaweza kufika hapo walipo fika.


“Mzee ume sema kwamba humu ndani kuna majini?”
“Ndio kuna majini na hakuna mtu aliye wahi kuingia humo ndani.”
“Hata wewe hujawahi kuingia ndani humo?”
“Ndio sijawahi kuingia. Ila wewe ndio una pawa kuingia na ukitoka humo hakika wewe ume kuwa tajiri”
Evans akazidi kushangaa huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.


“Evans huu ni utajiri wako ingia ndani humo”
Mzee Msese alizidi kumshawishi Evans. Evans akafikiria maisha aliyo pitia kutoka kwa Magreth hadi Julieth. Katika mahusiano hayo yote hakuweza kuambulia hata biashara ya kuuza machungwa.


‘Liwalo na liwe ni lazima niwe tajiri’


Evans alizungumza kimoyo moyo kisha akajikata kiganja chake cha mkono wa kulia kisha akaanza kumwaga damu eneo alilo onyeshwa na mzee Msese na taratibu akaanza kuingua ndani ya pango hilo ambalo lina giza totoro.


ITAENDELEA


Haya sasa Evans ameingia ndani ya pango hilo je ata kuwa tajiri kama alivyo ambiwa na mzee huyo msese.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 79.
 
SIN 79


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


Hata wewe hujawahi kuingia ndani humo?”
“Ndio sijawahi kuingia. Ila wewe ndio una pawa kuingia na ukitoka humo hakika wewe ume kuwa tajiri”
Evans akazidi kushangaa huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.


“Evans huu ni utajiri wako ingia ndani humo”
Mzee Msese alizidi kumshawishi Evans. Evans akafikiria maisha aliyo pitia kutoka kwa Magreth hadi Julieth. Katika mahusiano hayo yote hakuweza kuambulia hata biashara ya kuuza machungwa.


‘Liwalo na liwe ni lazima niwe tajiri’


Evans alizungumza kimoyo moyo kisha akajikata kiganja chake cha mkono wa kulia kisha akaanza kumwaga damu eneo alilo onyeshwa na mzee Msese na taratibu akaanza kuingua ndani ya pango hilo ambalo lina giza totoro.





ENDELEA


Mwili mzima wa Evans ukaanza kusisimka kutokana na hali ambayo sio kawaida iliyopo ndani ya pango hilo. Giza likazidi kumuogopesha Evans ila akajikuta akijishangaa kwa jinsi miguu yake inavyo zidi kupata ujasiri wa kuzidi kusonga mbele japo haoni kitu cha aina yoyote. Ubaridi mkali taratibu ukaanza kumtawala mwilini mwake. Kadri jinsi anavyo tembea kwa hahadhari ndivyo jinsi baridi hiyo inavyo zidi kuongezeka hadi ikafikia hatua akajikuta akianza kutetemeka.


‘Lazima nizidi kusonga mbele’


Evans alijipa moyo huku akizidi kupiga hatua huku akipapasa papasa ukuta. Gafla Evans akajikuta akianza kuelea hewani na akaanza kupiga kelele kwa maana anapo elekea ni ndani ya shimo tena kwenye shimo refu ambalo hajui itakuwaje pale atakapo fika chini ya shimo hilo.


***


Maandalizi ya ndoa ya Jery na Julieth yanazidi kupamba moto, vikao vya kamati ya watu wachache na wenye pesa nyingi, vikazidi kusonga mbele huku nabii Sanga akipania kufanya shuhuli kubwa sana ambayo Tanzania haijawahi kutokea. Kadri siku zikivyo zidi kwenda ndivyo jinsi michango ilivyo zidi kuongezeka katika familiza za pande zote mbili. Umaarufu wa nabii Sanga uliweza kumsaidia katika kupata michango mingi na kutoka kwa matajiri wengi.


“Nina good new mwanangu”
“Ipi hiyo baba?”
“Shirika la ndege la KLM line tupa ndege yake moja ya kifahari, kukusafirisha wewe na mume wako baada ya harusi yetu”
“Weee tuna walipa kiasi gani?”
“Hatulipi chochote hiyo ni Luxury plane. Hivyo hata mukitaka kutembelea dunia wapo tayari kuwapeka nyinyi wawili tu”
“Weee”
“Ndio, ngoja nikutumie picha za ndege hiyo muta ipenda”
Nabii Sanga akamtumia Julieth picha za ndege hiyo. Julieth akaanza kuitazama moja baada ya nyingine. Hakika ni ndege kubwa ambayo kwa ndani ime tengenezwa kwa mfumo wa nyuma, ina vyumba viwili vya kulala, seble ya kupmzikia, eneo la kulia chakula jiko pamoja na chumba cha baa yenye vinywaji vya kila aina.


“Baba hii ndege yote kweli tuta kuwa watu wawili?”
“Ndio”
“Sasa wao wata nufaiki vipi na sisi?”
“Watakuwa wana watumia kwenye matangazo yao kwa maana hiyo ndege ndio ya kwanza iliyo tengenezwa kwa ajili ya wana ndoa tu. Wewe na Jery ndio mutakao izindua”
“Waoooo”
Julieth akaanza kuruka ruka sebleni hapo hadi mama yake aliye kuwa jikioni akiandaa chakula akatoka.


“Kuna nini?”
“Baba katutafutia ndege ya kututembeza mimi na mume wangu mtarajiwa”
“Weee”
“Ndio mama icheki”
Julieth akamkabidhi mama yake simu hiyo, akazitazama picha hizo za ndege.


“Ni nzuri je sisi tuna weza kupelewa lifti….Hahaaa”
Mrs Sanga alizungumza kwa kutania.


“Yaa na sisi tuna weza kuwasindikiza sindikza kwenye nchi mbili tatu”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.
***


“Ni lazima nirudi Tanzania hii ndio nafasi yangu kaka”
Tomas alizungumza huku akimtazama Ngosha usoni mwake.


“Tomas yule niliye ondoka nina kimbia kimbia kama kunguru sio wa sasa. Nilazima nirudi Tanzania kulipiza kisasi changu kwa nabii Sanga”
Tomas aliendelea kuzungumza kwa msisitizo.
“Sawa kaka mimi siwezi kukataa hilo jambo. Je ume zungumza na shemeji na ukakubaliana naye juu ya hilo jambo, kwa maana kuna mambno mawili ndugu yangu. Kufa na kupona, je ukifa ita kuwaje kwa familia yako ikiwa mwanao bado ume muacha ni mdogo sana”
Ngosha alizungumza kwa upole na kumfanya Tomas kushusha pumzi taratibu.


“Nina mtu wa kunisaidia”
“Nani?”
“Yule aliye nifanikisha mimi kufika hapa Afrika Kusini ndio huyo huyo atakaye nisaidia kurudi nchini Tanzania”
“Basi mpigie ili kama ni kufahamu hali halisi inayo endelea kwa sasa nchini Tanzania”
“Sawa”
Tomas akaingiza namba ya Levina kwenye simu yake na kumpigia. Simu ikaita na baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa.


“Ni mimi”
“Tom”
“Yaa”
“Mshenzi kweli wewe. Umekwenda Afrika kusini na ume kaa huko hata kunitafuta”
“No baby ni story ndefu sana na nina hitaji kurudi nyumbani”
“Usitake kuniambia kwamba una rudi kwa ajili ya hii harusi”
“Ndio, huu ndio wakati wangu sasa. Mzee huyo aliniharibia maisha yangu ya amani nami nina hitaji kumuharibia maisha yake”
“Sawa, ehee bado una ile sura au ume rudi kwenye sura yako halisi?”
“Nina sura yangu halisi na sasa nina mshukuru Mungu nina pesa nyingi sana na ya kutosha”
“Okay nitumie nauli nije huko, nifanye kazi kisha turudi pamoja”
“Hapo ndipo ninapo kupendea. Sawa nita fanya hivyo leo. Nitakutumia kupitia western Union”
“Sawa ila nime miss mashine yako”
“Hahaa hata mimi”
Tomas alizungumza huku akitazama tazama eneo hilo walilo kaa kwa maana mke wake ana weza kumsikia ikawa balaa.
“Sawa ngoja nirudi nyumbani nianze kujiandaa fasta. Niingizie nauli ya kutosha”
“Dola elfu kumi si ina tosha?”
“Yaa ina tosha baby”
“Poa naelekea kwa wakala muda si mrefu”
“Sawa mume wangu”
Levina alizungumza kwa furaha kisha akakata simu.


“Usitake kuniambia kwamba msichana huyo ni demu wako?”
“Yaa kaka tena ndio mwanamke wangu wa kwanza kwanza kabisa jijini Dar”
“Sawa, ila asifikizie hapa si una jua heshima kwa shemeji ni lazima iwepo”
“Ni kweli, nita kutana naye hotelini, tuta ifanya kazi yetu tukiimaliza tuna rudi zetu Tanzania”
“Basi mueleze mke wako”
“Sawa”
Tomas akaondoka eneo hilo na kuingia chumbani kwake, akamkuta mke wake akimvalisha nguo mtoto wao.


“Tom mbona kama una jambo una hitaji kunieleza?”
“Ndio mke wangu. Nahitaji kurudi Tanzania kwa kazi moja ya mwisho baada ya hapo nita rudi zangu hapa Afrika Kusini na tuendelee na maisha yetu hadikufa kwetu”
“Mbona gafla?”
“Kweli ni gafla ila ina bidi kuikamilisha kazi hiyo kwa kipindi hichi”
“Sawa mume wangu nakupa baraka zote. Una ondoka lini?”
“Leo, kuna mtu nina paswa kuonana naye kisha nita ondoka saa nane usiku”
“Ume zungumza na rafiki yako?”
“Ndio na muta kaa hapa nina imani mupo mikono salama?”
“Yaa tupo mikono salama. Sawa mume wangu ila kuwa makini”
“Usijali mke wangu”
Tomas akamkumbatia mke wake kisha akambusu mwanaye shavuni. Akaondoka nyumbani hapo, akamtumia Levina kiasi hicho cha pesa na Levina akaahidi siku hiyo hiyo ana kuja nchini Afrika kusini kwa ajili ya kazi ya kumtengenezea Tomas sura ya bandia”
***


Kupoeta kwa Evans kuna zidi kumuumiza Magreth moyo wake. Japo ana dili nono la kufanya kazi ya upishi katika ubalozi wa Marekani na kuingiza kiwango kikibwa cha pesa, ila bado hana furaha kabisa na maisha hayo ya utajiri. Habari za ndoa ya Julieth na Jery zina zidi kumuumiza akili yake.


‘Ina kuwaje wana kula raha ikiwa mimi nina teseka hivi moyoni mwangu’


Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akitafakari ni namna gani anavyo weza kutumia nafasi hiyo kuhakikisha ana mpata Evans wake. Akaitafuta namba ya nabii Sanga kwenye simu yake kisha akampigia.
“Una hitaji nini?”
Nabii Sanga aliuliza kwa sauti ya hasira.


“Nahitaji kuonana na wewe”
“Kwa nini una hitaji kuonana na mimi”
“Endapo uta onana nami nita kueleza ni kitu gani ambacho nita kuhitaji”
Ukimya ukatawala kidogo huku nabii Sanga akijaribu kutafakari ni wapi aonane na Magreth.


“Tukutane Koko Beach, baada ya lisaa moja”
“Sawa”
Nabi Sanga akakata simu na kumfanya Magreth kushusha pumzi.


“Juma endeleeni hapa, mimi kuna mahala nina elekea”
“Kwema lakini?”
“Ndio ni kwema. Chochote kitakacho hitajika basi muna nipigia simu”
“Sawa mkuu”
Magreth akaondoka kwenye mgahawa wake huo na kuaza safari ya kuelekea koko beach. Ndani ya dakika arobauni akafanikiwa kufika katika fukwe hizo. Akasimamisha gari lake pembezoni mwa fukwe hizo, hazikupita dakika kumi nabii Sanga akafika katika fukwe, akashuka kwenye gari lake na kuingia kwenye gari la Magreth huku akiwa amevalia kofia ili maradi watu wasiweze kumfahamu.


“Kwa nini ume niita?”
“Nahitaji kufahamu ni wapi alipo mume wangu”
“Baada ya siku zote hizo leo hii ndio una niuliza kwamba yupo wapi mume wako. Kwanza isitoshe mimi sio mlinzi wa kumlinda huyo mume wako sawa binti”
“Sanga Sanga. Usinikere na wala usiwe na kiburi cha kujibu unacho jisikia. Mwanao sasa hivi ana kula bata tu mimi toka siku ile nilipo toka sikuweza kumpata na niliweza kushuhudia usiku ule watu wakiwa wame mteka kule Morogoro na wewe ndio ulisema uta muua. Hivyo nina taka kufahamu ni wapi mume mpeleka mume wangu na kama ni kumuua basi niambieni ili niweze kuona hata kaburi lake”
“Wewe binti nina hisi kwamba uta kuwa ume changanyikiwa. Ukweli ni kwamba, sifahamu ni wapi alipo huyo paka wako na kama ame kufa basi ni jambo la heri kwa maana hato weza kuweka kipingamizi chochote kwenye ndoa ya mwanangu. Na siku nyingine usije ukadhubutu kuniita kwa mambo ya kijinga”
Maneno ya kejeli ya nabii Sanga yakazidi kumuudhi Magreth. Nabii Sanga akafunua shati eneo la kiunoni mwake na kumuonyesha Magreth bastola yake.


“Sasa hivi mimi si yule Sanga niliye pagawa kwa penzi lako. Ila sasa hivi ni mume bora katika familia yangu hivyo usijaribu kuingia kwenye kumi nane zangu nita kumaliza”
Nabii Sanga alijikuta akizidi kujigamba mbele ya Magreth.
“Nashukuru”
Magreth alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Nabii Sanga akamtazama Magreth kwa sekunde kadhaa kisha akashuka kwenye gari hilo na kuingia kwenye gari lake kisha akaondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana. Magreth akajipangusa machozi yake, kisha naye akaondoka eneo hilo huku akiwa na kisasi kikubwa sana moyoni mwake. Akaelekea moja kwa moja katika nyumba ambayo mama yake alikuwa anafanya kazi chini ya mzee wa Kijapani. Nyumba hiyo iliyopo pembezoni mwa bahari, kwa sasa ime jaa majani mengi sana kwa maana haina uangalizi wa mto yoyote kwa kipindi cha miaka sasa. Magreth akashuka kwenye gari lake na kuruka ukuta wa nyumba hiyo na kutua ndani.


Akaanza kutembea kwa umakini huku akichunguza eneo hilo ambalo lime kosa matuzo. Miaka karibia kumi na mbili haja kanyaga katika nyumba hiyo. Akashika kitasa cha mlango huo, akajaribu kuusukuma kwa ndani ila kwa bahati mbaya aka kuta ukiwa ume fungwa. Akarudi nyuma kwa hatua kadhaa kisha akaupiga teke moja la nguvu na mlango uka funguka. Vumbi pamoja na mitando ya baibui imejaa katika seble ya nyumba hiyo ambayo vitu vyake vingi vimetolewa.


Magreth moja kwa moja akaelekea katika chumba alicho kuwa ana lala mzee huyo. Akasogeza kitanda hicho, kisha akalitoa kapeti zito lililopo eneo hilo. Akafungua mlango mdogo wa siri ulipo katika chumba hicho ambao una elekea chini. Magreth hakuogopa kitu chochote kwa maana ana ifahamu nyumba hiyo vizuri na mzee huyo alisha mueleza kila kitu kinacho husiana na wapi anapo tunza vifaa vyake vya siri. Akawasha taa na mwanga ukatawala katika chumba hicho cha siri. Japo kuna vumbi jingi, ila Magreth aliweza kuona sanduku maalimu lilolo tengenezwa kwa mbao ngumu likiwa eneo hilo. Magreth akalisoegelea sanduku hilo, kisha akachuchumaa taratibu, akaanza kuingiza namba za siri ambazo zipo tatu. Sanduku hilo likafunguka. Magreth akatabasamu mara baada ya kukuta kile kilicho mleta kikiwa ndani ya sanduku hilo. Nguo nyeusi ambazo wana vaa maninja, upanga mrefu na wenye sumu kali, nyota ndogo ndoho ambazo ni silaha, visu viwili, kimoja kikiwa kime unganishwa na cheni ndefu huku mbele kikiwa kime jikunja kiasi. Kisu kingine kirefu, mishale ya chuma pamoja na upinde ulio tengenezwa na chuma na una wanya mbili ngumu nao pia umo ndani ya sanguduku hilo.


‘Sasa nina kwenda kuwa vigilante lady nabii Sanga na watu wako ni lazima mulipe, lazima mutalipa tu”
Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akitazama vifaa hivyo kwa maana vyote ana jua kuvitumia vizuri sana mithili ya maninja halisi kutoka nchini Japan.


ITAENDELEA


Haya sasa Magreth ana amua kulipiza kisasi cha kupotetelwa kwa Evans wake je ata fanikiwa.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 80
 
SIN 80


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


Magreth akatabasamu mara baada ya kukuta kile kilicho mleta kikiwa ndani ya sanduku hilo. Nguo nyeusi ambazo wana vaa maninja, upanga mrefu na wenye sumu kali, nyota ndogo ndoho ambazo ni silaha, visu viwili, kimoja kikiwa kime unganishwa na cheni ndefu huku mbele kikiwa kime jikunja kiasi. Kisu kingine kirefu, mishale ya chuma pamoja na upinde ulio tengenezwa na chuma na una wanya mbili ngumu nao pia umo ndani ya sanguduku hilo.


‘Sasa nina kwenda kuwa vigilante lady nabii Sanga na watu wako ni lazima mulipe, lazima mutalipa tu”
Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akitazama vifaa hivyo kwa maana vyote ana jua kuvitumia vizuri sana mithili ya maninja halisi kutoka nchini Japan.





ENDELEA


Simu ya Magreth ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kuitazama namba hiyo. Akatabasamu kidogo kisha akaipokea.


“Ndio”
“Madam pikipiki yako tumesha itoa bandarini”
“Nashukuru, nita fika hapo muda si mrefu”
“Sawa”
Magreth akatazama eneo hilo.


“Hakuna haja ya kuondoka na sanduku hili”
Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha. Akatoka ndani hapo, akaingia kwenye gari lake na kuondoka kwa kasi eneo hilo. Akafika Posta kwenye kampuni inayo shuhulika na uingizaji wa magari na pikipiki nchini Tanzania.


“Karibu sana madam”
“Nashukuru ehee niambie yaani njia nzima nina kiwelu welu cha kutaka kuiona pikipiki yangu”
“Hahaa nililifahamu hilo. Kama ulivyo niagiza wiki iliyo pita, nime weza kutafuta pikipiki moja nzuri na ni mpya. Twende ukaione”
Magreth akatoka ofisi hapo huku akiongozana na kijana huyo ambaye ana itwa Sudy na ndio mmiliki wa kamouni hiyo. Wakafika katika holi kubwa linalo hifadhia magari ya kifahari pamoja na pikipiki za kifahari.


“Nimekuchagulia pikipiki nyeusi kama ulivyo nieleza. Hii ina itwa BMW HP4 RACE, ni pikipiki mpya kabisa kwa kampuni hii ya BMW na ina spidi ya hali ya juu ambayo ina kuwezesha kushindana kwa spidi na gari ya aina yoyote”
“Weee”
“Ndio madam”
“Ina spidi km ngapi?”
“Madam hii ina speed km 348 km per hour”
“Weeee una taka iniue ehee?”
“Haikuui madam, ni uendeshaji wako na ubora wako katika kutumia vitu kama hivi”
“Mara ya mwisho kuendesha pikipiki nilikuwa binti mdogo sana”
“Kama uliwahi kuiendesha hii basi una weza kuindesha vizuri tu”
“Ehee niambie ni madola mangapi?”
“Ni dola elfu sabini na nane tu na bei ya kukueletta hadi hata tuta kuchaji dola elfu mbili hivyo itakuwa ni dola elfu themanini”
“Weee Sudy una niaona mimi nina pesa ehee?”
“Hapana madam ndio bei yake. Hii pikipiki hapa Tanzania wewe ni wa tatu kuiingiza. Kuna wahindi wawili na wewe pekee”
“Hii nina weza kwenda nayo wapi na wapi?”
“Popote ndani ya Tanzania hata nje ya Tanzania ina tembea. Ni wewe tu na umakini wako”
“Sawa nitalipa kupitia benki.”
“Hakuna shaka madam. Pipikipi hii ime kuja na nguo zake ambazo ni kwa ajili ya dereva.”


Sudy alizungumza huku akimuonyesha Magreth nguo hizo.


“Kama una kwenda sehemu za mbali, hizi nguo ni nzuri uka zitumia kwa maana zina ugumu ambao hata ukia anguka, huto heza kuchubuka, ila kama ni kuvunjika basi uta vunjia kutokana na kuanguka kwako”
“Ahaaa hii kofia yake haivunjiki kweli?”
“Halment yake ni ngumu sana, yaani hata ipige vipi kwenye lami haivunjiki”
“Kwa kweli nime ipenda”
Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha. Akaipanda pikipi hiyo, akakabidhiwa funguo na kuanza kuiendesha taratibu ndani ya ukumbi huo. Japo ni kwa mwendo wa taratibu ila akaamini ameweza kuiendesha hata kwa umbali mkubwa. Magreth akalipa na kukabidhiwa nyaraka zote za umiliki wa pikipikiki hiyo.


“Naacha gari langu, nataka kuijaribu kwa kuelekea morogoro sasa hivi”
“Sawa na uzuri tume kuwekea mafuta full tanki”
“Shukrani sana”
Magreth akavaa nguo maalumu wanazo vaa madereva wa pikipiki hiyo, akaiwasha na kuondoka eneo hilo. Kadri muda anavyo zidi kuiendesha ndivyo jinsi anavyo anza kuizoea. Ikafikia hatua akaweza kuimudu kwa kila kitu. Safari ya kutoka Dar es Salaam hadi Chalinze haikumchukua hata masaa mawili.


‘Nina ua na hakuna ambaye ata nikamata’


Magreth alizungumza huku akizidi kuongeza mwendo kasi wa pikipiki hiyo. Ndani ya msaa matatu akafika Morogoro mjini. Akakizunguka kiplefti cha mjini hapo mara nne kisha akaanza safari ya kurudi Dar es Salaam kwa mwendo wa kasi sana.Kila trafki aliyopo barabarani alijikuta akishindwa hata kuisimamisha pikipiki hiyo kwa maana mwendo wake ni wa kasi sana. Magreth akarudi ofisini hapo alipo inunua pikipiki hiyo.
“Sudy ni nomaa, asikuambie mtu. Yaani kuna mabasi niliyapita nikiwa nina kwenda. Narudi nime kutana nayo”
Magreth alizungumza huku akishuka kwenye pikipiki hiyo.


“Weee, umefika hadi wapi?”
“Nimefika Msavu nimeizunguka ile around abauti pale mara nne. Yaani njiani, trafiki wana jitokeza, wanajaribu kunisimamisha, ila spidi ninayo wapiti nina imani kwamba wana simuliana”
“Duu ume tumia masaa natano”
“Yaa tena hapa ni mwanzo ila nikizoea nita kwenda na kurudi hata kwa masaa matatu”
“Duu pia Bongo yetu kuna foleni, ila ungepata bararaba ambayo haina magari, basi unge kuwa mbali sana”
“Ni kweli, nashukuru sana Sudy kwa kunichagulia hii pikipiki”
“Nashukuru, nime ona gari yako ime jaa michubuko, imekuwaje?”
“Nilipata ajali?”
“Pole sana una onaje uka badilisha rangi”
“Hapa muna fanya hee?”
“Ndio kampuni yangu ina fanya hiyo kazi, ila gareji yetu ipo kule Tegera”
“Ahaa utanifanyia kiasi gani?”
“Ita gemegea na rangi unayo ihitaji?”
“Nahitaji dark paple ila inayo ng’aa vizuri. Hiyo si ndio rangi za sisi wanawake?”
“Yaa basi una weza kuileta gari tuka kufanyia kazi hiyo”
“Kwani hiyoni kazi ya muda gani?”
“Siku mbili au tatu ina kuwa ime kwisha?”
“Basi nina liacha hapa likiwa tayari uta nipigia”
“Sawa”
Magreth avaa begi alilo weka nguo zake alizo zibadilisha. Akaondoka eneo hilo na moja kwa mojaa akaelekea kwenye nyumba mzee wa kijapani aliye mpatia mafunzo ya kupigana mithili ya maninja. Akaiingiza pikipiki hiyo ndani, kutokana nyumba hiyo ipo pemezoni mwa bahari na ime jitenga sana hapakuwa na mtu aliye weza kufahamu juu ya uwepo wake katika nyumba hiyo.


‘Hapa ndipi nitakapo panga mipango yangu yote’


Magreth alizungumza huku akivua nguo na kuvaa nguo za mzee huyo. Ngoo hizi kidogo hazikuweza kumtosha kutokana na urefu wake na mzee huyo kidogo alikuwa ni mfupi. Magreth akazipiga picha nguo hizo kisha akaondoka nyumbani hapo na kuanza kutembea hadi kituo cha waendesha pikipiki. Akakodi pikipiki na kuelekea kwa mwana mitindo mmoja, akamuelezea wazo la nguo anazo hitaji kushonewa na mwana mitindo huo.
“Si nina weza kushonewa na kitambaa kigumu ambacho hata nikipigwa na kitu kigumu kama risasi hakuto weza kuingia”
“Mmmm dada kwa utaalamu kama huo hapa Tanzani hakuna labda u google una weza kupata wataalamu wa kutengeneza nguo kama hizo ila kwa hapa Tanzania, sijawahi kuona”
“Baso nashukuru kwa ushauri wako, nina omba mchoro ulio uchora”
“Ina bidi ulpie dada”
“Kiasi gani?”
“Elfu hamsini”
“Kuchora tu huku ni elfu hamsini?”
“Ndio dada”
“Mmmm haya”
Magreth akalipa kiais hicho cha pesa kisha akarudi kwenye Mgahawa wake. Akaingia kwenye mtandao na kuanza kuperuzi ni kiwanda gani kina utaalamu wa kutengeneza nguo anayo hitaji na kw abahatu nzuri akafanikiwa kupata kampuni moja kutoka nchini Thailand ambayo ina uwezo wa kutengeneza nguo hizo, akawasiliana nao na akawatumia michoro na vipimo vya nguo anayo ihitaji na wakamuahidi nguo hiyo ndani ya wiki moja ita kuwa tayari.


‘Sanga sasa nina kuja kwa ajili yako’


Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akitazama picha ya nabii Sanga na mwanaye huyo wa kike ambaye ni Julieth.


***


Levina akafika nchini Afika kusini na kupokelewa na Tomas. Moja kw amoja wakaelekea katika hoteli ambayo Tomas ama kodisha chumba.


“Vipi Tanzania?”


“Nime kumiss bwana, hembu nipe haki yangu hayo mambo ya Tanzania tuta ulizana baadae”
Levina alizungumza huku akianza kuvua nguo zake. Akamsukumia Tomas kitandana na kumkalia juu ya kiuno chake. Wakaanza kunyonyana ndimi zao huku kila mmoja akiwa na hamu kubwa ya mwezake. Levina akamvua Tomas nguo zake akageuka kwa haraka na kuanza kumnyonya jogoo wa Tomas huku naye Tomas akianza kunyonya kitumbua chake. Zoezi hilo likazidi kuwafanya wapagawishane, Tomas akamgeuza Levina kisha akamlaza chali.


“Noo nataka nimkalie”
Levina alizungumza huku akirudi tena kumkalia Tomas. Taratibu akamkalia jogoo wa Tomas na kuanza kukizungusha kiuno chake huku akitoa miguno ya kimahaba. Mtanange huo ukawa ni piga ni kupige, kila mmoja akaonyesha ujuzi wake katika mikao ya kimahaba. Hadi wana maliza mzunguko wa kwanza kila mmoja, ana mwagikwa na jasho kana kwamba ndani ya chumba hicho hakuna A/C(Air condition).
“Kidogo nye** zime nipungua”
“Kweli?”
“Ndio kidogo zime pungua kwa maana ulipo niambia tu nije, yaani huku chini nilihisi kama kuna vuja vuja. Hata nilipo kuwa kwenye ndege nilihisi kama vile ina chelewa”
“Hahaa huku chepuka kweli?”
“Sikuchepuka, niliamini ipo siku tu uta rudi na nitakuwa tena nawe. Ila kwa sasa Frank nina uomba usiniache kabisa. Nina omba usika mbali na wewe, nina kuomba sana tuweze kuanzisha maisha. Tana tafuta pesa kwa ajili ya nini sasa ikiwa watu wenyewe hatu hitaji hata kuanzisha maisha?”
“Usijali mpenzi wangu tuta azisha familia na nina imani kwamba familia yetu ita kuwa ni bora sana”
“Kweli?”
“Kweli vile niamini mpenzi wangu”
“Niahidi kama uta nipa mtoto?”
“Usijali nita kupatia mtoto”
“Nashukuru mume wangu. Ehee niambie mipango?”
“Nahitaji kurudi nchini Tanzanai, nina ona harusi ya mtoto wa nabii Sanga na mtoto wa raisi Boaz. Ila kisasi changu mimi nina taka kukipeleka kwa nabii Sanga na familia yake tu”
“Ila familia ya Sanga ina ulinzi wa moja kwa moja kutoka Ikulu ni ngumu sana kuivamia”
“Usijali mke wangu katika kipindi chote hicho ambacho nilikuwa nipo nchini humu, niliweza kupata mafunzo ya kijasusi kama nilivyo kuwa nime kusudia. Now ni wakati wa mimi kuhakikisha kwamba nina lipa kisasi kwa nabii Sanga”
“Sawa, kisasi ina bidi tutumie akili sana kuhakikisha kwamba tuna fanya hii kazi”
“NI kweli”
“Basi nime tengeneza sura ile ile na hati za kusafiria zile ulizo kuja nazo. Kazi iliyooi hivi sasa ni kukupachika hiyo sura ya bandia”
“Sawa mama, kazi ni kwako”
Levina akafungua begi lake kubwa na kutoa vifaa vyake vya kufanyia kazi na taratibu akaanza kuifanya kazi hiyo ya kuipashika sura hiyo ya bandia katika uso wa Tomas.


***


Raizi Mtenzi akaagiza walinzi kumi kuhakikisha wana mlonda nabii Sanga na familia yake. Mfumo mzima wa ulinzi wa nyumba ya nabii Sanga uka badilika kabisa.


“Kwa upande wetu huku sisi tuna karibia kukamilisha”
Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama raisi Mtenzi aliye mtembelea hapo nyumbani kwake.


“Nashukuru kusikia hivyo. Sisi kwa upande wetu kila kitu kipo tayari na tuna subiri siku ya kumchukua mkwe wetu”
“Nashukuru sana muheshimiwa”
“Jambo ambalo lime niletea hapa ni kuhitaji kufahamu utayari wa mama pale nitakapo amua kumpatia nafasi ya ubunge wa viti maalumu katika serikali yangu”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama mrs Sanga aliye anza kutabasamu.


“Mimi nipo tayari”
“Kweli, kwa maana nyinyi familia yenu ni ya kichungaji hivyo nina ogopa sana kuwaingiza kwenye hizi siasa zetu za Kitanzania”
“Usijali mkwe nita jitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha kwamba nina nina pambana bungeni kwa ajili ya wana nchi”
“Nafurahi kusikia hivyo mkwe. Basi nina waomba niwaache nirudi ikulu. Endapo kutakuwa na chochote basi muna weza kuniambia tu”
“Sawa tuna shukuru sana kwa kuja”


“Nanyi karibuni sana Ikulu”
Raisi Mtenzi akapena mikono na nabii Sanga kisha akaondoka nyumbani hapo na walinzi wake.


“Huu ndio wakati sasa”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake usoni mwake.


“Wakati wa nini?”
“Kuhakikisha Julieth ana inyanyua biashara yetu huku na wewe ukimpa support ya moja kw amoja kwa maana nyote mutakuw andani ya serikali”


Mrs Sanga akatabasamu kwa maana anatambu ni kitu gani ambacho kina kwenda kufwata baada ya kupewa nafasi hiyo adimu sana kwenye maisha yao.


ITAENDELEA


Haya sasa mambo yana zidi kuwaendea vizuri nabii Sanga na familia yake je vipi kwa upande wa kina Magreth na Tomas je wata weza kulipiza visasi vyao hivyo? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 81
 
SIN 81

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Nafurahi kusikia hivyo mkwe. Basi nina waomba niwaache nirudi ikulu. Endapo kutakuwa na chochote basi muna weza kuniambia tu”
“Sawa tuna shukuru sana kwa kuja”


“Nanyi karibuni sana Ikulu”
Raisi Mtenzi akapena mikono na nabii Sanga kisha akaondoka nyumbani hapo na walinzi wake.


“Huu ndio wakati sasa”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake usoni mwake.


“Wakati wa nini?”
“Kuhakikisha Julieth ana inyanyua biashara yetu huku na wewe ukimpa support ya moja kw amoja kwa maana nyote mutakuw andani ya serikali”


Mrs Sanga akatabasamu kwa maana anatambu ni kitu gani ambacho kina kwenda kufwata baada ya kupewa nafasi hiyo adimu sana kwenye maisha yao.





ENDELEA


“Jamanimbona mume jawa na furaha sana kuna nini mume ambiwa?”
Julieth aliuliza huku akishusha kwenye ngazi akitokea gorofani.
“Bi harusi utakiwi kutoka chumbani kwako”
Nabii Sanga alizungumza kwa kutania.


“Jomoooniiii baba, si nipondani bado”
“Nakutania mwanangu. Mama yako amepewa nafasi ya kuwa mbunge wa viti maalumu”
“Kweli baba?”
“Ndio mkwe ana zidi kutufanyia mambo makubwa na hii ndio nafasi yako Julieth mwanangu”
“Usijali baba nina tambua ni nini ninacho kifanya nyinyi wenyewe mutanikubali”
***


Evans akatua chini, baada ya ubali mrefu kutoka juu alipo kuwa. Gaffa eneo hilo likaanza kuwaka mishumaa mingi iliyo pangwa katika majabali hayo makubwa.Evans akazidi kuogopa huku akijishangaa kwa maana umbali wote ule alio toka juu hadi chini, ila hajaumia wala kuhisi maumivu yoyote kwenye mwili wake. Mishumaa hiyo mikubwa ikazidi kuwaka na kuzudi kumchanganya kwa maana anaye washa wala haonekani.


‘Heiii’


Evans aliita ili kama kuna mtu basi aweze kumuona. Jipande cha jiwe kilicho kaa kama mlango kika funguka katika mwamba huo mkubwa. Evans akaona mwanga mkali mweupe ukitokae ndani ya eneo hilo.


“Ingia ndani”


Ilisikika sauti nyororo ya kike.Taratibu akaingia emeo hilo na kukutana na msichana mmoja mrefu aliye valia nguo nyeupe na zinazo ghara mithili ya malaiki wa mbinguni. Jambo linalo mshangaza Evans ni jinsi msichana huyo alivyo na mikono minne ambayo yote ina fanya kazi.


“Usiogopeee”
Msichana huyo alizungumza huku akimsogelea Evans. Taratibu akaanza kumpapasa mwilini mwake huku akimshika maeneo mbalimbali. Evans alizidi kujawa na woga kwani kwenye maisha yake hajawahi kukutana na binadamu wa aina kama hiyo. Msichana huyo mwenye asili ya kiarabu na macho yenye mboni ya blue, akasimama mbele ya Evans huku akimtazama.


“Nimekuchagua uwe msaidizi wangu duniani”


“Msaidizi wako kivipi?”


Evans alijikaza kuzungumza huku akiendelea kutetemeka kwa maana mikono yote minne ya mwana dada huyo iliendelea kumchezea mwilini mwake.
“Binadamu wengi sana wana hitaji msaada. Wengi wana shindwa kupata msaada, ila wewe uliweza kupata msaada kwa maana bila ya hivyo basi sasa hivi unge kuwa ni marehemu”
Maneno ya msichana huyo yakazidi kumuweka njia panda Evans.


“Una hitaji utajiri?”
“Nd…io…o”
“Ukiwa tajiri sasa hivi uta fanya nini?”
“Ni…niita….a saidia familia yangu na watu wengine wenye shida”
“Ndio maana nika kuchagua. Natambua kwamba uta hisi ume kuja huku kwa bahati mbaya au nguvu zako zime kufikisha huku kwa bahati mbaya. Ila ukweli ni kwamba mimi ndio nime kusaidia kukuleta huku, nilikuweka chini ya huyo msaidizi wangu mzee Msese, kisha nika mpa maagizo ya kukuleta uonane na mimi”
“Wewe ni nani?”
“Jini”
Evans macho yaka mtoka kwa maana kwenye maisha yake yeye ame kuwa akisikia tu habari za majini kwenye vitabu vya dini na maeneo mbalimbali kama filamu, ila hakuwahi kukutana naye ana kwa ana.


“Jini huwa ana onekana”


Gafla dada huyo akapotea mbele ya Evans na kumfanya ahisi haja ndogo ina kwenda kumtoka.


“Hapo una niona?”


Evans aliisikia sauti tu, ila hamuona.


“Ha..ha…aha..pana”
“Hivi je”
Dada huyo akajitokeza tena mbele ya Evans na akamuona.


“Nakuona”
“Majini tupo wa aina mbili. Kuna majini ambao ni wazuri kwa wanadamu na msaada kwao na kuna majini ambao ni wabaya sana kwa watu na wana wadhuru kwa haraka sana. Mimi ni jini mzuri sana pale tu unapo endana na masharti yangu, ila ukienda kinyume na masharti yangu basi hakika nina kuwa mbaya”
“Sa…a…a wewe una itwa nani?”
“Kwa sasa nitambue tu kama jini ila huko baadae uta weza kunifahamu jina langu. Twende kwenye mada ya msingi ambayo ime kufanya nikuite hapa”


Dada huyo alizungumza huku akisogelea sanduku kubwa lililopo eneo hilo.
“Nahitaji uweze kurudi jijini Dar es Salaam”
“Dar es Salaam!!”
“Ndio mbona una shangaa?”
“Kule kwa kweli siwezi kurudi, kuna watu watu wengi sana wanao niwinda. Simfahamu mzuri au mbaya kwangu”
“Nalitambua hilo ndio maana nahitaji urudi Dar es Salaam”
“Nikafe?”
“Hapana huwezi kufa ila una kwenda kufanya kazi ambayo nina hitaji kukueleza”
“Kazi gani?”
“Nahitaji ukafungue kanisa na uwe muhubiri”
“KANISAAAA!!?”
Evans alishangaa sana hadi dada huyo akaachia kicheko cha kejeli kisha akamtazama akamsogelea karibu Evans.


“Ndio nahitaji ukafungue kanisa”
“Na..nani ambaye atakuwa kiongozi wa hilo kanisa?”
“Nani ambaye ame fungua hilo kanisa?”
Evans akabaki mdomo wazi huku akikosa hata cha kumjibu dada huyo kwa maana hana kabisa kipawa cha kuhubiri.


“Wewe ndio utakaye kuwa muhubiri, natambua kwamba adui yakoni nabii Sanga si ndio?”
“Ndio”
“Yeye ndio alikuponya Magreth na huyo huyo akakupokonya na mwanaye si ndio?”
“Ndio”
“Ulijisikiaje?”
“Vibaya sana”
“Na mtu aliye taka kukuua una mjua?”
“Si nabii Sanga?”
“Hapana Sanga alikupokonya malengo yako ila ali taka kukuua wewe ni mume wa Julieth ambaye ni mtoto wa raisi Mtenzi. Yeye ndio aliye tuma watu wake wakakuteka na kukueleta huku”
Evans akajikuta akishusha pumzi kwa maana hilo jambo hakuwahi kulifikiria.


“Watu wengi kwa sasa wana hali ngumu sana za kimaisha. Nahitaji kupitia wewe waweza kufanikiwa kwenye maisha yao na hakika uta fanikiwa kupata wafuasi wengi sana na kuchukua wafuasi wote ambao wapo chini ya watumishi wa dini nchini Tanzania, akiwemo huyo nabii Sanga.”
“Hili lita wezekana vipi?”
“Nina kupatia utajiri, rudi jijini Dar es Saalam, kanunue eneo kubwa eneo la Kigamboni, kisha jenga kanisa ambalo ni la gorofa na liweze kuingiza watu laki moja kwa awamu moja.


“Watu laki moja, si wengi sana hao?”
“Ndio ni wengi ila ila wezekana waka ingia kwenye kanisa lako na kila atakeye kuwa muumini wako basi ata fanikiwa mara mbili ya kile kipato anacho kimiliki kwa sasa”
“Atafanikiwa vipi ikiwa mimi sio mtumishi wa Mungu na wala sina upako wa aina yoyote?”
Dada huyo akatabasamu.


“Evans tambua kwamba mimi nipo nyuma yako na mimi ndio nitakaye fanya kazi hiyo na wala sio wewe. Utawaponya watu, uta wafufua wale ambao wame chukuliwa misukule. Utafanya miujiza mingi sana ambayo watu wata kufananisha na Yesu”
“Mmm Yesu!!?”
“Ndio ila siri ni kwamba nguvu zote zina tokea kwangu”
“Sawa, je ikitokea siku nika kutana na mtumishi ambaye ana tumia nguvu za Mungu ita kuwaje hapo?”
“Muna kutana vipi kwa mfano?”
“Dunia ni ndogo hii, siku ana kuja mtumishi mwenye nguvu za Mungu za kikweli kweli, si nita ingia aibu mimi?”
“Watu wa aina hiyo Tanzania hawafiki hata kumi”
“Nini?”
“Hawafiki hata watano na wengi wao wapo mikoani na ni kadhaa wapo Dar”
“Mmmm una taka kuniambia kwamba nabii Sanga yeye hatumii nguvu za Mungu?”
“Haahaa hatumii nguvu zozote na huyo ndio ana patia nguvu zake za kichawi nchini Nigeri. Ila tusimuongelee sana kwa maana sijapanga leo kumzungumzia. Njoo hapa”
Evans akasogea ene alipo simama dada huyo. Akafungua sanduku hilo kubwa, Evans akashangaa kuona vibunda vya dola mia mia vikiwa vime pangwa vizuri sana.


“Hizi ni pesa za kimarekani, ni dila milioni moja. Dola laki 5, kawekeze kwenye kanisa hilo, kuanzia kununua kiwanja hadi kulijenga. Ume nielewa?”
Evans akashindwa hata kujibu kwa maana kwenye maisha yake hajawahi kukutana na kiwango kikubwa cha pesa kama hicho.


***


“Jiangalie kwenye kioo”
Levina alizungumza na kufanya Tomas kushuka kitandani kwa haraka. Akasimama kwenye koo hicho na kuanza kujitazama. Akashangaa jinsi alivyo rudi katika sura feki aliyo ingia nayo nchini hapo Afrika kusini.


“Wewe mwanamke hichi kipaji alikupatia nani?”
“Kwa nini baby”
“Umenibadilisha tu ndani ya muda mchache”
“Yaa ni professional kwenye kazi yangu, kama vile wewe ulivyo kuwa ni professional kwenye udalali wako wa nyuma”
“Hahaa kazi yangu nime imiss sana”
“Tuna weza kurudi Tanzania leo hii?”
“Ndio leo hii tuta ondoka usiku wa saa nne, niliweka booking”
“Sawa, ila kabla ya kuondoka nahitaji unipe mechi ya mwisho”
Levina alizungumza huku akimvua Toma taulo lake. Taratibu akachuchumaa na kuanza kunyonya jogoo wa Tomas na kumfanya aanze kutoa miguno ya kimahaba.


Wakaanza kupeana burudani huku kila mmoja akihakikisha ana mridhisha mwenzake. Walipo maliza mizunguko hiyo miwili, wakaingia bafuni na kuoga. Wakajianda ana kuondoka hotelini hapo na kuelekea uwanja wa ndege. Wakafika uwanjani, wakakta tiketi mbili, kisha wakaingia kwenye mmoja wa mgahawa na kuanza kupata chakula cha usiku.


“Tomas”
“Naam”
“Baada ya kisasi chako kumalizika una mpango gani?”
“Mmmm mapango wangu ni kuhakikisha nina fanya biashara zangu. Kutokana huku south nime acha pesa za kutosha basi nina endelea na maisha ya aina hiyo”
“Ndoa je?”
“Ndoa ni swala la mimi na wewe kukubaliana. Mimi nipo tayari ila wewe mwenzangu sijui”
“Tom, wewe una jua ni jinsi gani ninavyo kupenda. Wewe una tambua ni jinsi gani ambavyo moyo wangu upo kwako, siwezi kukataa ombi kama hilo tena kutoka kwako”
“Nashukuru kusikia hivyo”
Wakamaliza kupata chakula hicho cha usiku, wakasubiri kwa muda machache kisha wakaingia kwenye ndege na kuianza safari ya kurudi nchini Tanzania huku kukiwa hakuna mtu hata mmoja ambaye aliweza kugundua kwamba Tomas ana sura ya bandia.


***


Viongozi wa vitengo vya kuzia uingizaji wa madawa ya kulevya nchini Tanzania, wakaanza kuchanganyikiwa. Baada ya kijiaminisha ndani ya miaka miwili kwamba wame weza kutokomeza mtando una jiita GHOST ambao ulikuwa una fanya kazi ya kuingiza na kutoa madawa ya kulevya nchini Tanzania.


“Mume fikia wapi?”
Raisi Boaz alizungumza huku akiwa ameingia kwenye ukumbi wa mikutano katika kitengo hicho.


“Muheshimiwa bado vijana wetu wapo kwenye oparesheni”
“Wapo wapi kwa sasa?”
“Boti zipo baharini, na inavyo dakika mzigo huo utaingia saa nane usiku leo”
Raisi Boaz akatazama tv kubwa iliyopo ndani hapo, inayo onyesha jinsi askari wa kitengo hicho wakiwa baharini wakisubiria boti walio pewa habari kwamba ina ingia nchini Tanzania na madawa ya kulevya. “
“Tume iona boti mkuu”
Sauti ilisikika ndani hapo kutoka kwa kiongozi wa askari hao walipo kwenye oparesheni.


“Ivamieni na hakikisheni kwamba muna wakamata watu wote waliopo ndani hapo na wata tueleza ni nani ambaye ni muhusika wa mtandoa wao huo unao itwa Ghost”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Raisi Boaz taratibu akasimama na kusogea mbele zaidi ili kushuhudia jinsi vijana wake anavyo ifanya kazi hiyo kikamilifu, kuhakikisha kwamba madawa ya kulevya hayaingia ndani ya nchi ya Tanzania.


ITAENDELEA


Haya sasa mtandao wa Ghost ume sha julikana na serikali je wata fanikiwa kuizuia boti hio na ita kuwaje kwa Julieth na babii Sanga wakipata habari ya boti hiyo kuzuiwa? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 82
 
SIN 82


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188




ILIPOISHIA


“Wapo wapi kwa sasa?”
“Boti zipo baharini, na inavyo dakika mzigo huo utaingia saa nane usiku leo”
Raisi Boaz akatazama tv kubwa iliyopo ndani hapo, inayo onyesha jinsi askari wa kitengo hicho wakiwa baharini wakisubiria boti walio pewa habari kwamba ina ingia nchini Tanzania na madawa ya kulevya. “
“Tume iona boti mkuu”
Sauti ilisikika ndani hapo kutoka kwa kiongozi wa askari hao walipo kwenye oparesheni.


“Ivamieni na hakikisheni kwamba muna wakamata watu wote waliopo ndani hapo na wata tueleza ni nani ambaye ni muhusika wa mtandoa wao huo unao itwa Ghost”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Raisi Boaz taratibu akasimama na kusogea mbele zaidi ili kushuhudia jinsi vijana wake anavyo ifanya kazi hiyo kikamilifu, kuhakikisha kwamba madawa ya kulevya hayaingia ndani ya nchi ya Tanzania.





ENDELEA


Askari hao wakaizingira meli hiyo huku wakiwa makini sana na silaha zao mikononi. Wakaisimamisha boti hiyo na taratibu ikapunguza mwendo na kusimama. Askari hao wakaanza kuingia mmoja baada ya mwengine. Jambo la kushangaza sana ni mara baada ya kukuta boti hiyo haina mtu wa aina yoyote. Gafla mlipuko mkubwa ukasababisha watu wote ndani ya chumba hicho kustuka huku raisi Mtenzi akiwa haamini anacho kiona kwa maana askari karibia nane walio ingia ndani ya boti hiyo wamelipuka na mlipuko huo huku askari wengine walio kuwa kwenye boti ndogo ndogo zinazo kwenda kwa kasi zipatazo sita wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana kwa maana boti zao zilikuwa karibu sana na boti hiyo kubwa.
“Ohoo Mungu wangu”
Raisi Mtenzi alizungumza huku machozi ya hasira yakimlenga lenga. Wakiawa katika hali ya kushangaa wakashuhudia boti moja ikija kwa mwendo wa kasi sana.


“Hao ni kina nani?”
Raisi Mtenzi aliuliza huku akimtazama mkuu wa oparesheni hiyo.


“Hatufahamu mkuu”
“Hembu zoom”
Kijana anaye shuhulika juu ya swala la kuongoza video zinazo rekodiwa moja kwa moja kwa kupitia satelaiti akaifanya kazi hiyo. Wakashuhudia nyuso za watu hao waliomo kwenye boti hiyo wakiwa wamezifunika nyuso zao. Watu hao wanne na wenye bunduki mikononi mwao wakaanza kuwashambulia askari wote walio salia wakielea elea katika bahari hiyo kisha wanaondoka eneo hilo la tukio na kumfanya kila mtu ndani ya chumba hicho kupatwa na uchungu mkubwa sana.


“Wafwatilie wanapo kwenda”


Raisi Boaz alizungumza huku akiwa amejawa na hasira kali sana. Gafla waka shuhudia boti hiyo ikilipuka na kuwafanya watu wa raisi Mtenzi kuchanganyikiwa sana kwa maana wame poteza kila kitu. Raisi Mtenzi akafumba macho yake taratibu kwa maana toka aingie madarakani leo hii ndio siku ambayo ame poteza vijana wengi sana wapatao ishirini na mbili.


“Wasiliana na mkuu wa Navy atume kikosi sasa hivi na nita taka kufahamu ni kitu gani kinacho endele na nani ambaye ame husika katika tukio hili.
“Sawa muheshimiwa raisi”
Raisi Mtenzi akatoka ndani hapo huku akiendelea kutafakari ni mtu gani ambaye ana jiamini sana hadi kupelekea vijana wake kufa vifo vya kinyama namba hiyo.


***


Mlio wa meseji ulio ingia kwenye simu yake ya siri ambayo Julieth alipewa na baba yake uka mfanya astuke kutoka usingizini. Akaifungua meseji hiyo na kumfanya akurupuke na kukaa kitako huku akiwa amejawa na tabasamu. Akavaa nguo za kulalia na kuelekea chumbani kwa wazazi wake, akagonga mlango na kwa bahati nzuri aka kuta wakiwa bado hawajalala.
“Vipi?”
“Mpango wangu ume kwenda kama vile nilivyo panga”
“Mpango gani huo”
“Baba ilisha wahi kuingiza kilo laki moja za dawa katika siku moja?”
Julieth aliwauliza wazazi wake huku akiwatazama kwenye nyuso zao.


“Hapana, vipi?”
“Leo nime fanikiwa kuingiza kiasi hicho cha pesa na kina thamani ya dola BIlioni mbili na nusu”
“Weee mtoto hembu acha kutupagawisha muda huu”
“Haki ya Mungu baba soma hii meseji”
Nabii Sanga akaichuku simu hiyo na kuona meseji ikiwa ime andikwa neno moja tu ‘DONE’


“Hakuna namba ni meseji tu so ume ingizaje hicho kiasi cha mzigo”
“Akili”
“Akili maana yake ni nini?”
“Uliniambia kwanba niwe BLACK GHOST, basi nime kuwa hivyo.”
“Julieth hembu acha kutuweka roho juu bwana”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa na hamu kubwa ya kutaka kujua ni jambo gani hilo lifanya mtoto wao hadi kujigamba kwa kiasi hicho.


“Njia moja ya kuingiza mzigo mkubwa ambao uki piga ni lazima utokea kimaisha ni kuwapumbaza ambao macho yao muda wote yapo wazi katika kutaka kujua ni kitu gani ambacho kina endelea katika nchi hii. Nikizungumza hivyo nina imani kwamba muna fahamu vizuri ni nini ninacho maanisha”
“Hapana”
“Serikali na vitengo vyake. Nilipanga mpango katika njia kuu mbili, moja ikiwa ni ya kujitoa sadaka na nyingie ikiwa ni ya kuingiza mzigo huo ambao kwa sasa upo sehemu salama”
“Ume jitoaje sadaka”
“Niliagiza vijana watafuta boti moja nzuri na nika penyeza taarifa ya siri kwamba boti hiyo ime lete mzigo wa madawa ya kulevya ndani ya nchi. Basi macho yote ya serikali yalikuwa juu ya boti hiyo ambayo kwa ndani nili agiza iwekwe mabomu ya siri. Nilitambua kabisa kwamba boti hiyo ni lazima ita fwatiliwa tu, kipindi boti hiyo ina fwatiwa, mita mia moja ndani ya bahari niliweka vijana zaidi ya kumi ambao wana jua kuogelea. Walikuwa na mabegi makubwa ambayo ndani yake yalikuwa na kilo hizo za unga”
Nabii Sanga macho yakamtoka huku akimtazama Julieth anaye zungumza kwa kujiamini sana.
“Japo sikuwepo eneo la tukio, ila mpango wangu ulikuwa ni kwamba endapo boti hiyo ita lipuka basi vijana wangu wata kuwa na mwanya mzuri wa kuingia katika zone ya bahari ya Tanzania kiurahisi sana kwa maana vijana hao walikuwa wana tokea Mombasa.”
“Kabla huja kwenda mbali huo mzigo uliutolea wapi Julieth?”
“Colombia na Mexco”
“Mmmm muda mchache sana ume pata watu hadi huko?”
“Ndio maana baba nika kuambia akili. Nyinyi mukiwa muna fikiria harusi yangu. Mimi nina fikiria hii biashara tena mara baada ya kufahamu kwamba ita tuingizia kiasi kikubwa sana cha pesa akili yangu ime tanuka mara dufu”
“Ehee tuambie imekuwaje?”
“Baada ya boti kulipuka, ilikuwa ni rahisi kwa wale viiaja kupita eneo la chini wakiwa na mzigo wote kwa maana macho ya askari wote yalikuwa kwenye mlipuko huo. Nikaweza vijana wengine wanne ambao baada ya mlipuko huo basi wakasawazishe eneo hili kwa kutengeneza statement nzuri kwa serikali kwamba kwa sasa hali ime badilika na kiongozi ni mpya kabisa”
Nabii Sanga aka shusha pumzi huku akiwa haamini hichi anacho kizungumza binti yake.


“Eheee imekuwaje juu ya hao vijana?”
“Wamepoteza ushahidi kwa kulipua boti huku wao wakijirusha kwenye maji na wote wanne wapo salama”
Julieth alizungumza huku akitabasamu sana na kumfanya mrs Sanga kumkumbatia mwanaye huyo kwa furaha sana kwa maana alilo lifanya sio jambo rahisi japo wame poteza maisha ya watu wasio na hatia.


***
Tomas na Levina wakafika nchini Tanzania majira ya saa nne usiku. Moja kwa moja wakaelekea nyumbani kwa Levina na hapakuwa na mtu hata mmoja katka kiwanja cha ndege aliye fahamu kwamba huyo aliye pita hapo ni Tomas ambaye alikuwa ana tafutwa na jeshi la polisi akisadikika na jambazi mkubwa sana. Levina akawasha laptop yake na kunza kuperuzi kwenye maeneo mbalimbali kwenye vitengo vya usalama ili kufahamu ni jambo gani linalo endelea.


“Tom njoo uone?”
Tomas akamsogelea Levina aliye kaa mezani hapo.


“Kuna kuna nini?”
“Hii video ime rekodiwa dakika arobaini na tano zilizo pita.”
“Hao ni kina nani?”
“Hawa ni askari wa kitengo cha kupambana na dawa za kulevya”
“Ahaaa sasa mbona wame lipuliwa?”
“Hata sifahamu ime kuwaje, alafu wame uwawa”
Levina alizidi kushangaa video hiyo huku akiendelea kutazama tukio hilo la kinyama.


“Acha wafe, mimi aliye nirudisha hapa ni nabii Sanga na familia yake tu”
“Mmmmm nita lifwatilia kwa kina. Harusi ya mtoto wa raisi pamoja na Julieth ume bakia mwenzi mmoja na siku nne. Ina tupasa kuhakikisha kwamba tuna panga mpango ambao uta muua nabii Sanga taratibu na hakuna atakaye fahamu kwamba wewe ndio unaye husika”
“Mmmmm yaa nita jaribu kufikiria nini cha kufanya. Ila nita hitaji kwenda kwenye ile nyumba yangu niliyo kuwa nina ishi”
“Kule sio salama Tom”
“Kwa nini?”
“Polisi wame ifunga na ime zungushiwa utepe unao waonya watu wasiweze kuingia”
“Ila mule ndani kuna vitu vyangu muhimu Levina”
“Nalitambua hilo ila hakuna namna ya kufanya. Vitu hivyo ni muhimu kuliko usalama wako au roho yako. Usijitaharishe kwenye vitu ambavyo sio vilivyo kuleta hapa. Jambo la msingi ni kuwa mvumilivu, tuimalizie siku hii kwa kulala kisha kukipambazuka basi tuta weza kufahamu ni jambo gani ambalo lina tupasa kufanya”
“Sawa mpenzi wangu”
Taratibu Levina akaifunga laptop yake, akamvuta Tomas aliye simama mbele yake. Akaifungua zipu ya suruali yake, akamtoa jogoo wa Tomas na kuanza kumyonya taratibu.


“Ohoo aiiss…Mbona una penda kufanya hivi sana?”
Tomas alilalama huku akiendelea kusikilizia raha za kunyonywa jogoo na Levina. Levina hakujibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kumshuhulikia jogoo huyo, alipo jiridhisha na maandalizi yake, akavua suruali yake na kuinama huku mikono yake ikishika meza hiyo yenye laptop na taratibu Tomas akaanza kazi ta kushuhulika na kitumbua cha Levina.


***


“Nita zibabeje hizi pesa?”
Evans aliuliza huku bado akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.


“Nita kuletea kule utakapo kwenda, ila kwa sasa beba kibunda kimoja kisha nita kutoa ndani hapa”
Evans akatazama vibunda hivyo vya dola mia mia vilivyo fungwa vizuri. Akachukua kimoja na kukishika mkononi mwake.


“Sharti la kanisa lako nilikuwa bado sija kupatia”
“Niambie ni lipi?”
“Lazima uwe una tembea na wanawake bikra tu kila wiki moja ina bidi umpate binti mmoja tu. Endapo uta itoa bikra yake basi uta achana naye na usirudie kufanya naye mapenzi kwa siku nyingine wala muda mwengine”
Evans macho yakamtoka huku akiwa ana shangaa.


“Hivi kwa Dar ninayo ijua mimi, kweli nita kuwa nina pata hao wasichana bikra?”
“Wana patikana, kumbuka kanisa lako lita kuwa lina watu wengi sana kutoka maeneo mbali mbali. Hivyo ina kupasa kufanya hivyo”
“Je nitamtambuaje kwamba huyu binti ni bikra?”
“Huo ndio mtihani wako na hakikisha kwamba kila mwanamke unaye mtoa usichana wake una mpiga alama kwenye kalio la upande wake wa kushoto, ila yeye mwenyewe asifahamu”


“Mmmm alama gani?”
“Kuna pete nita kupatia mara baada ya kanisa lako kukamilika. Pete hiyo ita kusaidia kuhakikisha kwamba una una mkita nayo msichana huyo kwenye kalio lake na ita acha alama”
“Sawa hapo nime kuelewa. Je ikitokea kwamba nime mpenda mmoja wa wanawake hao ita kuwaje?”
“Una hitaji kuumizwa tena kwa mra ya tatu? Magreth ulimpenda, ukashikiwa bastola na kutaka kuuwawa. Julieth uli mpenda, waka taka kukutoa roho yako. Je huyo wa tatu utakakaye mpenda ita kuwaje?”
Evans akashusha pumzi taratibu kwa maana jini huyo ana fahamu historia yake nzima.
“Je wakipata mimba?”
“Hito weza kuwapa mimba na muda wa kumpatia mwanamke mimba ukifika basi nita hakikisha kwamba mwanamke ambaye nita muona mimi ndio sahihi basi ata beba ujauzito wako”
“Sasa, kama unavyo wajua waswahili waliyo kuwa mashilawadu. Je ikitokea siri kwamba mimi nina tembea na wasichana kila wiki tena wenye bikra, hapo ita kuwaje, si wata niitwa king Mswati?”
“Atakaye toa siri hiyo ata kufa”
“Heee!!!”
“Ndio tena ita kupasa umue wewe mwenyewe”
“Ohoo Mungu wangu, sasa mimi nita wauaje?”
“Kwani baba yako uli muuaje?”
Evans akaishiwa pozi kabisa na kubaki akimtazama jini huyo.


“Baada ya kupata nyumba ya kununua, kamchukue mama yako na mdogo wako na sasa ni muda wa wao kula matunda wanayo stahili. Ume nielewaa?”
“Nime kuelewa”
“Kitu kingine kabla sija sahau, hakikisha kwamba una uangusha ufalme wa nabii Sanga na una utambulisha unabii wako”
“Kwa hiyo nita jiita nabii Evans?”
“Ndio”
“Mmmm haya ila ita bidi nika anze kuijua biblia vizuri?”
“Ndio kaisome kwa maana kupitia hiyo biblia uta pata wafuasi wengi na watakao kuwa wana kuamini sana”
“Sawa”
“Jambo la mwisho kama sio la kwanza. Wasichana wote hao utakao kuwa una watoa bikra zao, mapenzi ni lazima uyafanyie nyuma ya madhabahu yako tena usiku wa kuanzia saa saba hadi saa tisa. Na siku ya kufanya hivyo ina kupasa iwe jumatano ya kila wiki. Ukienda kinyume na masharti hayo, uta kwenda kupata adhabu. Umenielewa?”
Masharti hayo ya jini yakamfanya Evans kubaki mdomo wazi kwa maana alihisi ana weza kumchukua msichana yoyote na kumpeleka sehemu yoyote, ila sehemu anayo takiwa ni kwenye madhabahu ya kanisa lake analo hitaji kwenda kulijenga.


ITAENDELEA


Haya sasa je masharti hayo aliyo pewa Evans ata weza kuyatekeleza je akishindwa ni adhabu gani atakayo pewa? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 83
 
Ukiipenda simulizi fulani halafu msimuliaji analeta visa muda anaotaka yeye inachosha sana.
Ndio maana watu hawapendi kuzifuatilia.
 
Kipande cha evanc na ishu ya kufungua kanisa la mashatit sijakielewa, hakijanivutia, hakijanifurahisha i wish kingekatwa au kueditiwa tukaambiwa hata historia nzima ya evance kumuua baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiipenda simulizi fulani halafu msimuliaji analeta visa muda anaotaka yeye inachosha sana.
Ndio maana watu hawapendi kuzifuatilia.
Kama una muda wa kukaa jf muda wote we kaa kuna maisha nje ya jf so siwezi kua napost muda unaotaka wewe. Kama huwezi subiri kila episode ina namba ya mwandishi unaweza mpigia mkakubaliana ukamlipa 5000 yake akakupa story yote.

Humu nilisema ntapost story yote na ntafanya hivyo nilisema ntapist kila siku na ninafanya hivyo siku nikishindwa kesho yake nafidia at least nipo consistent kuliko story ambazo mtu anapost mara moja kwa wiki kama hilo nalo huwezi vumilia acha wanaotaka wasome
 
SIN 83


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Kwa hiyo nita jiita nabii Evans?”
“Ndio”
“Mmmm haya ila ita bidi nika anze kuijua biblia vizuri?”
“Ndio kaisome kwa maana kupitia hiyo biblia uta pata wafuasi wengi na watakao kuwa wana kuamini sana”
“Sawa”
“Jambo la mwisho kama sio la kwanza. Wasichana wote hao utakao kuwa una watoa bikra zao, mapenzi ni lazima uyafanyie nyuma ya madhabahu yako tena usiku wa kuanzia saa saba hadi saa tisa. Na siku ya kufanya hivyo ina kupasa iwe jumatano ya kila wiki. Ukienda kinyume na masharti hayo, uta kwenda kupata adhabu. Umenielewa?”
Masharti hayo ya jini yakamfanya Evans kubaki mdomo wazi kwa maana alihisi ana weza kumchukua msichana yoyote na kumpeleka sehemu yoyote, ila sehemu anayo takiwa ni kwenye madhabahu ya kanisa lake analo hitaji kwenda kulijenga.





ENDELEA


“Sa…a p…ale ma..dhabahuni si eneo lole la mbele kabisa ya kanisa anapo simama mchungaji?”
“Ndio”
“Sasa ni msichana gani ambaye ata kubali kufanywa pale mbele kabisa?”
“Una hitaji pesa ua uhitaji pesa?”
“Nataka”
“Basi fanya nilicho kueleza”


Evans hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana na jambo hilo. Isotoshe akitafakari juu ya umasikini alio nao yeye na familia yake. Mbaya zaidi vyetu vyake vyote halisi, vimeibiwa siku aliyo kuwa ana msaidia Magreth.


“Nina kurudisha nje ya pango hili. Kesho asubuhi mzee msese ata kusindikiza hadi kwenye kituo cha mabasi. Hakikisha kwamba una kwenda moja kwa moja hadi Dar es Salaam. Tafuta hoteli, kodisha chumba nauanze kutafuta kiwanja kikubwa sijui ume nielewa?”
“Ndio nime kuelewa, ila je wale wanao nisaka na kuitoa roho yangu endapo nita kutana nao iyakuwaje hapo?”
“Huwezi kukutana nao”
“Kweli”
“Ndio”
“Sawa”
Dada huyo akamrudi Evan hadi kwenye mlango wa pango na akamkuta mzee msese akiwa ana msubiria.


“Kumbe kumesha kuwa usiku?”
“Tena wa manane”
“Duuu”


“Naamini ume fanikiwa”
“Ndio mzee wangu”
“Maagizo yako nime yapata. Turudi nyumbani tupate chakula kisha wewe kesho alfajiri na mapema upande basi kueleke Dar”
“Sawa mzee”
Evans na mzee Msese wakarudi hadi nyumbani na kumkuta binti yake akiwasubiria nje. Wakasalimiana, akawaandalia chakula na wakaanza kula.


“Asubuhi Evans ana ondoka”
Mzee Msase alizungumza huku akifinyanga finyanga tonge la wali maharage.
“Mbona gafla hivyo baba?”
“Ndio hivyo mizimu ime mtaka aweze kuondoka hivyo leo ndio siku yake ya mwisho kuwepo hapa”


Mzee Msese alizungumza kwa sauti ya unyonge sana kiasi cha kumfanya hata binti yake kuwa mnyonge kwa maana Evans wame mzoea kwa kipindi kirefu sana.
“Ila nitarudi tu kuwatembelea, nyinyi ni dungu zangu sasa. Siwezi kuwatupa”
Binti huyo akashindwa kujivumilia na kujikuta akianga kilio na kutoka ndani hapo na kuwafanya Evans na mzee Msese kumshangaa.
“Binti yangu alisha anza kukupenda. Ila mizimu ambayo ina nipatia nguvu hizi za kuwatibu watu, wana hitaji binti huyo abaki kuwa bikra hadi kufa kwake. Endapo ata fanya tu mapenzi na mwanaume wa aina yoyote basi mimi nita kufa”


Evans macho yaka mtoka.


“Ndio maana nime weka jini ambalo lina muua kila mwanaume ambaye ana mtamani mwanangu”
Evans akakumbuka kauli za siku ya kwanza za msichana huyo kwamba ana mtamani na endapo ata endelea kufanya hivyo basi ata kufa.


“Kwa nini sasa wame muwekea sharti kubwa kama hilo?”
“Sijajua ila sisi tuna fwata kile tulicho ambiwa. Huwa nina muona mwanangu anavyo tesekaga kihisia ila ndio hivyo hakuna namna”
“Mwanao ana itwa nani?”
“Malaika”
“Heeee”
“Ndio ana itwa Malaika, mbona una shangaa, au ulihitaji awe na jina la kiasili kama hilo la kwangu?”
“Ahaa hapana mzee wangu”
“Ukishiba nenda ukamfariji na kumueleza maneno ya matumaini”
“Sawa mzee wangu”
Evans akapiga matonge ya haraka haraka huku kibunda cha pesa kikiwa kimeutunisha mfuko wake wa suruali wa upande wa kulia. Akanawa mikono yake haraka haraka kisha akatoka nje na kumkuta Malaika akiwa amekaa kwenye moja ya jiwe kubwa ambalo lina elekea katika korogo kubwa sana lilipo pembezoni mwa nyumba yao. Taratibu Evans akatembea hadi eneo hilo kisha na yeye akaka, akachungulia kwa chini na kutazama umbali huo jinsi ulivyo mrefu.


“Hapa mtu ukianguka, una vujina vunjika mifupa”


Evans alizungumza huku akimtazama Malaika usoni mwangu. Malaika hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kuendelea kulia kwa uchungu sana. Malaika akamgeukia Evans kisha akamkumbatia kwa nguvu, chuchu zake zilizo simama vizuri, zikaanza kumkita kita Evans kifuani mwake na kumfanya apate wakati mgumu sana kwa kumbana jogoo wake aliye anza kufurukuta ndani ya suruali.
“Kwa nini una niacha galfa hivi Evans?”
Malaika alizungumza kwa sauti nyororo iliyo zifi kumpagawisha Evans.


“Mmmmm….mmmm!!”
“Natambua siwezi kufanya chochote na mwanaume. Ila hisia zangu sio vibaya uka zitambua Evans. Sikuwahi kukaa na mwanaume tofauti na baba yangu kwa kipindi kirefu kama hichi. Wewe ndio wa kwanza kukaa na mimi, ucheshi wako na juhudi zako zime weza kuleta madhara kwenye moyo wangu. Nilitamani siku kwenda mizimuni na kuwaomba waweze kunibadilishia sharti ili niweze kuolewa na wewe. Ila kabla sija kamilisha mpango wangu ume amua kuondoka, kwa nini Evans”
Malaika alizungumza huku akimwagikwa na machozi. Evans akashindwa kabisa kuzungumza na jambo la pekee ni kuanza kumbembeleza Malaika.


“Mimi ni mzuri, nina kila kigezo cha kuolewa, ila haya mambo ndio yana nifanya nipoteze furaya yangu muhimu kama wewe”
“No hapana Malaika”
“Ume lijuaje jina langu”
Malaika alistuka sana huku akimuachia Evans.


“Una hisi kwamba siku zote sinto weza kufahamu jina lako?”
“Mtu pekee anaye fahamu jina langu halisi ambalo ni hilo ni mtu mmoja tu, ambaye ni baba”
“Basi huyo huyo ndio aliye nieleza jina lako. Tambua kwamba nina kwenda Dar es Salaam kuifanya kazi moja ambayo ita tuletea manufaa makubwa sana kwenye maisha ya baadae. Jambo la msingi nina kuomba tu uweze kunivumilia katika hilo. Sawa”
“Mmmm nitakuvumilia ikiwa najua huwezi kufanya kitu chochote na mimi?”
“Maisha yana badilika na sheria pia zina badilika. Jambo la msingi ni kunivumilia. Tafadhali nina kuomba sana uweze kufanya hivyo. Tuta jaribu kutafuta njia kadhaa kuhakikisha kwamba hili sharti lina punguzwa sawa”
“Utatafuta wapi ikiwa nilikuwa nalo toka nikiwa mchanga kabisa hadi sasa hivi nime kuwa mtu mzima”
“Natambua ila nielewe katika hilo”
“Mmmm sawa, Evans. Natambua haya yote ni maneno ya kunifariji ila ukweli ndio kama huo”
“Usijali”
Evans akaanza kubadilisha mada na kuanza kupiga hadithi za uwongo na kweli na kumfanya Malaika kujawa na furaha na kusahau kabisa kwamba Evans huyo anaye mfurahisha ama bakisha masaa machache sana kabla ya yeye kuondoka. Mzee Msese akawatazama Evans na Malaika, akatabasamu kisha akarudi ndani na kulala.


Malaika na Evans hawakuweza kulala hadi kukapambazuka. Evans akajianda na safari kisha wakaanza kutembea kwa miguu wote watatu hadi katika eneo la tambarare.
“Hapa kuna gari langu”
Mzee Msese alimuambia Evans huku wakiingia kwenye moja ya kichaka kilicho jifunika vizuri kwa majani yaliyo tengeneza kama kujiumbo. Evans akashangaa kuona gari aina ya Toyota Prado Tx ikiwa ndani ya kichaka hicho.


“Mzee kumbe una gari nzuri namna hii?”
“Ndio mbona mimi nina mali nyingi sana na nime wekeza sehemu nyingi sana. Ila ndio hivyo kule juu mimi na mwanangu tupo kikazi”
“Ahaaa”
Wakaingia kwenye gari hilo na kuianza safari ya kuelekea katika kituocha mabasi ambacho kipo mbali sana na eneo hilo.
“Evans iangalie hii njia vizuri siku nyingine uta kuja wewe mwenyewe”
Malaika alizungumza huku akiwa amekaa siti ya nyuma.


“Ni kweli, hapa akili yangu ina weka vialama alama vya kuhakikisha kwamba siku nikija siwezi kupotea”
Saa kumi na mbili kasoro alfajiri wakafika katika kituo hicho cha mabasi. Mzee Msese akatoa noti kumi la elfu kumi kumi na kumkabidhi Evans.


“Natambua pesa uliyo pewa ni pesa ya matumizi husika ambayo ume pewa maelekezo yake si ndio?”
“Ndio mzee”
“Hii uta itumia kwenye nauli na manunuzi ya vitu vyako vya njiani. Jambo la kufanya kwa sasa ni wewe kuwa makini huko uendapo”
“Nashukuru sana mzee wangu. Malaika, mtunze baba na wewe pia ujitunze”
“Sawa Evans”
Malaika aliitikia kwa sauti ya upole. Mzee Msese na Evans waka shuka kwenye gari, malaika akatamani kushuka ila moyo wake una pata maumivu makali sana ya kuona Evans ana ondoka. Akamshuhudia Evans akipelekwa na baba yake hadi kwenye moja ya gari lililopo eneo hilo. Evans akaanza kukatiwa tiketi na makonda wa gari hilo. Malaika uvumilivu uka mshinda kabisa, akashuka kwenye gari na kumkimbilia Evan. Akamkumbatia kwa nguvu na kuanza kumnyona lipsi zake na kuwafanya watu karibia wote walio shuhudia tukio hilo kuanza kushangilia. Mzee Msese akabaki akitabasamu kwa maana hata moyo wake ume ridhia kabisa mwanaye kuwa na Evas, ila kizuia tu ni kwamba hawezi kufanya mapenzi naye. Malaika akamuachia Evans na akanyoosha mkono wake wa kulia, akimuelekeza Evans aingia kwenye basi hilo.


“Ingia sitaki kukuona Evans”
Malaika alizungumza kwa ukali ulio changanyikana na ukali, huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Taratibu mzee Msese akamkumbatia mwanaye huyo na kumpa ishara Evans ya kuingia kwenye gari na Evans akatii. Kila mmoja alishangaa sana kumuona binti huyo wa mganga maarufu mzee Msese akidendeka na kijana huyo. Karibia watu wote wa mji huo wana tambua kwamba msichana huyo haingiliki na endapo uta jaribu kumtongoza tu basi humalizi masaa ishirini na nne lazima ufe. Evans akaka siti ya nyuma ya dereva huku naye machozi yakimlenga lenga usoni mwake, akawashuhudia mzee Msese na mwanaye wakiondoka eneo hilo, wakaingia kwenye gari huku wakiwa na huzuni kubwa na kuondoka zao.


“Mwanangu una bahati”
Dereva aliye kaa kwenye siti yake alizungumza na kumfanya Evans amtazame.


“Kwa nini?”
“Yule binti wa mzee Msese ni kiboko, hajawahi kuwa na mwanaume yoyote kama ni bikra ya denda, baba wewe ndio wa kwanza”


Dereva huyo alizungumza huku akiwasha basi hilo na kuanza kupiga piga honi kwa ajili ya abiria kupanda garini kwani muda wa kuondoka sasa ume wadia. Taratibu basi likaanza kuondoka na Evans akayatazama mazingira hayo ambayo tayari alisha yazoea, ila hana jinsi zaidi ya kurudi katika jiji la Dar es Salaama lililo jaa kila aina ya dhambi.


***


“Baba mbona huna furaha kuna nini?”
Jery alimuuliza baba yake anaye fungwa tai na mama yake sebleni hapo.
“Kuna mashmbulizi jana yaliwakumba askari wangu na ikapelekea wao kufa”
“Wapi huko baba?”
“Baharini usiku wa kuamkia leo”
“Mmm sasa mume weza kutambua ni nani ambaye ame husika na shambulizi hilo?”
“Bado hatujajua ila vijana wangu wana endelea kufwatilia hili swala.”


“Daa pole sana baba”
“Ndio majukumu”
“Jery ume muambia baba yako kwamba leo ndio siku munayo kwenda kukutana na yule sonara kwa ajili ya kutengeneza pete zenu za harusi”
“No nilisahau. Kweli baba, leo nina kwenda kumchukua Julieth kwao na kwenda kukutana na huyo sonara”
“Sawa, ni wapi muta kutana naye?”
“Posta hapo”
“Basi sawa hakikisha muna kuwa salama na sinto penda muhojiwe hojiwe kwenye vyombo vya habari sinto penda muonekane onekane mukiwa pamoja kabla ya ndoa”
“Sawa baba”
Raisi Mtenzi akambusu mke wake mdomoni kisha akatoka ndani hapo na kuelekea ofisini kwake kuendelea na majukumu yake. Jery akaondoka ikulu na walinzi wake, wakapita nyumbani kwa nabii Sanga na akamchukua Julieth na kuelekea naye kwenye ofisi za sonara hayo wa kindindi.


“Baby”
“Mmmmm”
“Mbona una onekana kama hauna raha kabisa usoni mwako?”
Julieth alizungumza kwa sauti nyororo huku akiwa amekilaza kichwa chake begani mwa Jery.
“Kuna tatizo kidogo”
“Tatizo gani?”
“Baba amenieleza jana usiku kuna askari walio kuwe kwenye oparesheni baharini, wame shambuliwa na kufa. Isitoshe hao walio washambulia hadi sasa hawaja wafahamu. Hapa nina pata wasiwasi kama hao watu waliweza kuvamia kundi kubwa la askari kiasi hicho, ita kuwaje wakivamia kwenye harusi yetu. Hapo ndipo ninapo jawa na woga mke wangu”


Maneno ya Jery yaka mstua kiasi Magreth kwa maana yeye ndio master plan wa kila jambo lililo tokea katika mauaji ya askari hao wasio na hatia kabisa.


ITAENDELEA


Haya sasa Jery ana wasiwasi na usalama katika harusi yao ikiwa msababishaji wa mambo hayo ame kaa naye hapo karibu je ni nini kitaendelea? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 84.
 
SIN 84


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Baby”
“Mmmmm”
“Mbona una onekana kama hauna raha kabisa usoni mwako?”
Julieth alizungumza kwa sauti nyororo huku akiwa amekilaza kichwa chake begani mwa Jery.
“Kuna tatizo kidogo”
“Tatizo gani?”
“Baba amenieleza jana usiku kuna askari walio kuwe kwenye oparesheni baharini, wame shambuliwa na kufa. Isitoshe hao walio washambulia hadi sasa hawaja wafahamu. Hapa nina pata wasiwasi kama hao watu waliweza kuvamia kundi kubwa la askari kiasi hicho, ita kuwaje wakivamia kwenye harusi yetu. Hapo ndipo ninapo jawa na woga mke wangu”


Maneno ya Jery yaka mstua kiasi Magreth kwa maana yeye ndio master plan wa kila jambo lililo tokea katika mauaji ya askari hao wasio na hatia kabisa.





ENDELEA


“Mmmmm mume wangu sasa tuta fanya nini?”


Julieth alijifanya kuuliza kwa wasiwasi, ili mradi kuficha madhambi yake hayo.
“Yaani hata mimi sielewi tuta fanyaje mke wangu”


Jerty alizungumza huku akionekana dhairi kwamba ana woga mkubwa sana.


“Ila Mungu ata kuwa nasi mume wangu, hakuna ambaye ana weza kuvuruga lile alilo lipanga Mungu. Sawa mume wangu”


“Sawa baby nina shukuru kusikia hivyo”
Wakafika katika moja ya gorofa refu. Walinzi wote wakashuka kwenye magari yao, kisha wakawafungulia mlango Jery na Julieth. Wakaingia kwenye gorofa hilo na kuingia kwenye lifti iliyo wapelekea hadi gorofa ya sita. Wakakribishwa na muhindi huyo ambaye ana sifika afrika mashariki nzima kwa utengenezaji wa pete nzuri na za kuvutia. Wakaanza kupitia picha za baadhi ya pete.


“Hii ita tufaa ehee?”
Julieth alizungumza huku akimuonyesha Jery pete hiyo.


“Ndio hii hata mimi nime ipenda mke wangu”


Wakakubaliana juu ya matengenezo ya pete hizo. Jery akalipa kiasi chote kisha wakaondoka eneo hilo.


***


Levina mara baada a kutoka usingizini, akawasha laptop yake na kuanza kufwatilia video waliyo itazama wakati wa usiku.


“Mbona una pata shida sana na hiyo video?”


Tomas alimuuliza Levina ambaye mara kwa mara ana irudia video hiyo.


“Nina hitaji kufahamu ni kina nani na ime kuwaje hadi waka walipua hawa askari”


“Hizi nyingine ni oparesheni za kijeshi hivyo achana nazo zisikuumize kichwa.”


Levina akamatzama kwa sekunde kadhaa Tom kisha akatabasamu.


“Ehee niambie una mpango gani katika kisasi chako”
“Nahitaji kufahamu nyendo za mtoto wa Julieth mtoto wa nabii Sanga. Nahitaji kumteka yeye kabla ya send off yake”
“Kwa nini umteke yeye na uki mteka yeye ita kuwaje?”
“Najua nikimteka yeye nita hakikisha kwamba hakuna ndoa yoyote inayo kwenda kutokea. Nabii Sanga na mke wake ni lazima wata changanyikiwa”
“Naamini kwamba ume sahau huyo anaye kwenda kumuoa ni mtoto wa nani?”
“Nalitambua ni mtoto wa raisi Mtenzi”
“Sasa una taka nchi nzima ikutafute kwa maana hapo ni lazima tuhakikishe tuna fanya tukio ambalo halito tuletea shida husuasani mimi na kampuni yangu”
“Sasa ni jambo gani hapo ambalo halito kuwa na mdhara yoyote kwetu?”
“Nipe siku ya leo kisha nita kuambia. Sasa hivi nahitaji kujianda ana kuelekea kazini kwa ajili ya kujua ni nini ninacho kipanga”
“Sawa, ila mimi nita kwenda kanisani kwa nabii Sanga”
“Kufanya nini?”
“Kuangalia ni mango gani ambao wana ufanya”
“Sawa ila kuwa makini”
“Usijali nina imani kwa sura hii hawawezi kujifahamu na sasa kwenye maswala ya upiganaji nipo vizuri sana”
“Sawa mpenzi wangu”


Levina akajianda na kuondoka nyumbani hapo. Ilipo timu majira ya saa saba mchana, Tomas naye akajiandaa na kuelekea kanisani kwa nabii Sanga ambapo kuna inaba ya jioni. Akasimamisha gari alilo pewa na Levina kwenye maegesho kisha akaingia ndani ya kanisa hilo na kukaa kiti cha mbele kabisa cha kanisa hilo. Mapigo ya moyo ya Tomas yakaanza kumuenda kasi sana mara baada ya kumuona nabii Sanga wakiwa mbele ya kanisa hilo huku wakiwapungia waumini wau mikono ikiwa ni ishara ya kuwasalimiia kabla ya ibada hiyo kuanza.


***


Taratibu Evans akaanza kushuka kwenye ngazi tatu za basi hilo. Akashusha pumzi huku akitazama madhari ya stendi hii ya mkoa, Ubungo. Wandesha taksi wakaanza kumzonga zonga, huku kila mmoja akimuomba aweze kuingia kwenye taksi yake.
“Wewe twende”
Evans alimchagua mmoja wa dereva taksi akaingia kwenye gari lake na wakandoka eneo hilo.


“Simama hapo Ubungo Plaza, nika toa pesa”
“Sawa mkuu”
Dereva akasimama kwenye jengo hiilo kubwa la kibisashara.
“Dakika tano”
Evans akashuka kwenye gari hilo na kuingia kwenye dula la kubadilishia pesa. Akabadilisha dola mia tano na kupewa pesa shilingi ya Tanzania. Akarudi kwenye taksi.
“Tuna kwenda wapi mkuu”
“Kwenye hoteli yoyote nzuri”
“Sawa”
Evans akafika kwenye hoteli aliyo ipenda, akamlipa dereva taksi kisha akakodisha chumba kwa wiki moja. Akatazama saa ya ukutani ina muonyesha kwa muda huo ni saa nane mchana. Akatoka hotelini hapo, akaelekea kwenye maduka ya simu, akanunua simu aipendayo pamoja na baadhi ya mavazi, akapita kwenye kibanda cha kusajilia laini, akamugonga elfu kumi msajili wa laini hizo na akamsajilia kwa kitambulisho chake.


Baada ya mizunguko yake hiyo akarudi hotelini na kuanza kutafuta kwenye mtandao ni kdalali gani ambaye ana weza kumsaidia katika kazi yake hiyo ya kutafuta kiwanja kikubwa. Akabahatika kumpata dalali mmoja, akampigia simu dalali huyo.


“Naitwa Evans nina hitaji kuwanja kwa maeneo ya Kigamboni ambayo yana weza kuingia hata ukubwa wa kiwanja kikubwa cha mpira”
“Karibu sana bosi wangu. Maeneo yapo mengi sana”
“Kwa jioni hii nina weza kupata?”
“Tufanye kesho kwa maana kwa sasa nipo Bagamoyo, ila asubuhi niambie ni muda gani niwwasiliane na wewe ili nikakuonyeshe maeneo hayo”
“Sawa uta nipigia majira ya saa mbili asubuhi”
“Hakuna shaka nita fanya hivyo, si ume sema chenye ukubwa hata wa kuingia kiwanja cha mpira?”
“Ndio”
“Sawa”
Evans akakata simu, akaendelea kuperuzi kwenye mtandao wa kijamnii akijaribu kutafuta ni kanisa gani kubwa duniani. Akapata picha kadhaa za makanisa makubwa yapatikanayo Roma Italia.


“Hili ni zuri”
Evans alizungumza huku akitazama kanisa hilo, gafla hali ya hewa ya chumba hicho ikaanza kubadilika, mwili mzima ukaanza kumtetemeka. Gafla akamuona jini ambaye alimuacha pangoni mkoani Morogoro, akiwa amekaa pembeni yake na kumfanya akurupuke huku akiogopa sana.


“Bado una niogopa?”
“Ume ingiaje humu ndani?”
“Swali gani hilo la kijinga”


Jini huyo alizungumza huku akiwa na mikono miwili tofauti na mikono minne aliyo kuwa nayo kwenye pango. Evans akashsuha pumzi nyingi huku akiyasikilizia mapigo yake ya moyo jinsi yanavyo muenda kasi sana.


“Nita kuwa nina kutembelea mara kwa mara na sehemu yoyote ile. Naona upo vizuri katika kuikamilisha kazi niliyo kupa”
“Ndio”
“Hembu hiyo picha ya kanisa”
Jini huyo alizungumza na Evans akamkabidhi simu yake. Akaitazama picha hiyo kwa umakini.
“Hili ume lipenda?”
“Ndio na lina ingia watu zaidi ya laki moja”
“Sawa kesho nita kueletea ramani yake ya ujuenzi”
“Una weza kuchora?”
“Kila kitu nina weza. Ukitoka kutafuta eneo hilo nita kuletea pesa pamoja na hiyo ramani ume nielewa”
“Sawa, ila nina swali moja?”
“Swali gani?”
“Mbona leo hauna mikono minne?”
“Nina uwezo wa kubadilika na kuwa vyovyote vile ninavyo hitaji. Kwa heri”
Jini huyo akapotea katika macho ya Evans na kumfanya azidi kujawa na mshangao ulio changanyikana na woga mwingi sana kwa maana katika maisha yake ya kawaida hajazoea kukutana na mambo magumu kama hayo.


***


“Muheshimiwa raisi ripoti ya tukio la mauaji ime kamilika”
Mkuu wa kitengo kinacho shuhulika na madawa ya kulevya alizungumza huku akiwa amesimama mbele ya meza ya raisi Mtenzi iliyopo ofisini kwake.


“Ehee mume gundua nini?”
“Kitu tulicho kigundua muheshimiwa ni kwamba ulikuwa ni mtego, tulijaribu kui track namba iliyo tupatia taarifa ila hatuja weza kugundua chochote.”
“Je wale watu wanne walio kuwa wana waua askari nao vipi?”
“Hatuja weza kuwakuta kabisa na hakuna dalililo yoyote ya mwili wa bina damu katika eneo lile”
Raisi Mtenzi akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kutafakari.
“Mkuu hapa ina bidi tuunde kikosi cha kufwatilia kwa umakini hili jambo ina wezekana ikwa ni tukio la kigaidi”
“Kigaidi?”
Raisi Mtenzi aliuliza kwa mshangao kidogo.


“Ndio mkuu, kwa mawazo yangu ya karibu nina imani kwamba walio tekeleza jambo hili wata kuwa ni kikundi cha Al-Shabab kwa manaa ile Boti ilikuwa ina tokea kwenye ukanda wa Mombasa na eneo hilo ni hatari sana kwa maharamia hao”
Raisi Mtenzi mwili mzima uka mtingishika kwa hasira.


“Ni lazima tuka lipize siwezi kuziacha damu za vijana wangu wengi namna ile kuondoka kilazima”
“Ndio muheshimiwa, ina bidi tuwasiliane na serikali ya Kenya tuweze kushirikiana katika hili”
“Sawa fanya hivyo wasiliana na mkuu wa kitengo cha NSA mumbie nina muhitaji hapa”
“Nitafanya hivyo muheshimiwa raisi”
Mkuu huyo mara baada ya kuzungumza akatoka ofisini hapo na akawasiliana na mzee Mbogo ambaye baada ya nusu saa akafika ofisini kwa raisi Mtenzi.
“Ndio muheshimiwa”
“Nina imani kwamba uliweza kuiona ile video ya jana?”
“Ndio muheshimiwa raisi nilifanikiwa kuiona”
“Nahitaji uniandalie timu ya watu watano, nina hitaji kuwatuma Somalia kwenda kuwasaka Al-Shabab popote walipo”
“Sawa muheshimiwa raisi, ila kabla ya kufanya maamuzi kama hayo ina bidi tupate kidhibitisho cha kuhakikisha kwamba wao ndio watakuwa wana husika”
“Vaa yao yote ina onyesha kwamba wale ni Al-Shabab”
“Ni kweli muheshimiwa raisi, ila kw amfano kama wangekuwa wame valia nguo za Kimarekani je inge kuwaje? Tungekwenda kushambulia Marekani kwa sababu ya kuongozwa na hisia zetu?”
Maneno ya mzee Mbogo yaka mfanya raisi Mtenzi kushusha pumzi taratibu.


“Nipatie muda muheshimiwa mimi na timu yangu. Tukikamilisha juu ya zoezi hilo basi nita kueletea ripoti kamili”
“Una siku mbili sawa”
“Sawa muheshimiwa”
“Una weza kwenda”
Mzee Mbogo akasimama, akapiga saluti kisha akatoka ndani hapo na kumuacha raisi Mtenzi akiendelea kutafakari ni njia gani anazo weza kuzifanya kuhakikisha ana wakamata wote walio husika na mauaji hayo pasipo kujua kwamba mkwe wake anaye muingiza kwenye familia yake ndio ana husika.


***


Magreth akasimama nje ya hoteli yenye ukumbi utakao fanyika send off ya mtoto wa nabii Sanga, akautazama kwa sekunde kadhaa kisha akaingia ndani. Akaingia mapokezi mwa hoteli hiyo na kumsalimia muhudumu aliye mkuta.
“Hivi nikihitaji kukodisha ukumbi nina weza kupata?”
“Mmm ngoja niwasiliane na mejena”
“Sawa”
Muhudumu huyo akawasiliana na meneja wake na akaomba Magreth kupelekwa ofisini kwake. Magreth akaongozana na muhudumu huyo hadi katika ofisi ya meneja huyo mwenye asili ya kihindi.


“Sura yako sio ngeni kwangu”
Meneja huyo alizungumza.


“Ndio nina imani uta kuwa umewahi kupata chakula kwenye mgahawa wangu”
“Ni kweli, karibu una hitaji nini?”
“Nahitaji ukumbi kwa ajili ya shuhuli yangu ya ufunguzi wa product yangu”
“Ahaa ukumbi ume lipiwa hadi siku ambayo ita fanyika sherehe ya huyu mtoto wa nabii Sanga ana itwa nani?”
“Julieth”
“Ewalaa..Kama hiyo shuhuli yako ina weza kusubiria hadi sherehe hiyo kupita basi karibu sana”
“Hakuna shaka, je nina weza kuuona”
“Ndio hakuna shaka”
Meneja huyo alizungumza huku akiwa na furaha sana. Wakatoka katka ofisi hiyo na kuelekea katika ukumbi huo. Magreth akaanza kuutazama kwa umakini sana kwani lengo lake si kuukodisha, ila lengo lake ni kuhakikisha kwamba ana fanya shambulizi siku hiyo ya send off na mtu anaye muhitaji kumpata ni Julieth kwanza kwa maana yeye ndio aliye muibia mume wake.


ITAENDELEA


Haya sasa Magreth ana mpango wa kumteka Julieth huku Tomas naye ana mpango wa kumteka binti huyo kwa lengo la kuhkikisha ana lipiza kisasi kwa nabii Sanga nani ata wahi kutekeleza mpango wake? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 85.
 
SIN 85


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Nahitaji ukumbi kwa ajili ya shuhuli yangu ya ufunguzi wa product yangu”
“Ahaa ukumbi ume lipiwa hadi siku ambayo ita fanyika sherehe ya huyu mtoto wa nabii Sanga ana itwa nani?”
“Julieth”
“Ewalaa..Kama hiyo shuhuli yako ina weza kusubiria hadi sherehe hiyo kupita basi karibu sana”
“Hakuna shaka, je nina weza kuuona”
“Ndio hakuna shaka”
Meneja huyo alizungumza huku akiwa na furaha sana. Wakatoka katka ofisi hiyo na kuelekea katika ukumbi huo. Magreth akaanza kuutazama kwa umakini sana kwani lengo lake si kuukodisha, ila lengo lake ni kuhakikisha kwamba ana fanya shambulizi siku hiyo ya send off na mtu anaye muhitaji kumpata ni Julieth kwanza kwa maana yeye ndio aliye muibia mume wake.





ENDELEA


“Ukumbi ni mzuri sana”
“Yaa ni mzuri madam na tuna toa huduma za wahudumu wetu kuhudumia siku ya sherehe”
“Ahaa sawa. Ehee garama zenu zipo vipi?”
“Ni milioni ishini kwa siku, ila kutokana ni wewe nita kufanyia milioni kumi na nane?”
“Mmmmm, sawa basi shehere hiyo itakapo kwisha basi nita kuja”
“Karibu sana”
“Nashukuru,je booking ni kiasi gani?”
“Tuna anza kupokea kuanzia asilimia ishirini na tano ya kiasi cha ukumbia”
“Nashukuru sana, nita rudi tena na nina shukuru sana kwa muda wako”
“Karibu sana”
“Je hapa milango ndio hii miwili au kuna mwengine?”
“No upo mlango wa tatu ambao hautumiki sana”
“Ulinzi hapa upo vizuri sana, hivyo usiwe shaka na mali au magari ya wageni watako hudhuria sherehe zako”
“Sawa nina shukuru sana je nin weza kupiga picha japo kadhaa ili nikawaonyeshe tumu yangu ya maandalizi?”
“Ndio madam ni wewe tu”


“Sawa”
Magreth alizungumza huku akianza kuupiga picha ukumbii huo. Magreth mara baada ya kumaliza kupiga picha hizo akaagana na meneja wa ukumbi huo kisha akandokana eneo hilo. Akapitia kwenye maduka yanayo uaza vifaa vya uchoraji. Akanunua vifaa ambayo ana amini kwamba ana weza kuchora mipango yake yote kuhakikisha kwamba mipango yake ina kwenda vizuri. Magreth akaelekea kwenye nyumba ambayo kwa sasa ipo chini ya uangalizi wake. Akaingia kwenye chumnba hicho cha siri, akaziweka karatasi hizo kwenye moja ya meza, akachukua simu yake na kuanza kuutazama ukumbi huo vizuri. Akaanza kuchora ukumbi huo na eneo zima la nje. Kazi hiyo ikamchukua lisaa mmoja kupata michoro mizuri ambayo ana iwazia kichwani mwake. Akazibandika picha hizo ukutani.


“Hapa kuta kuwa na walinzi wangapi?”
Magreth alizungumza huku akiwa amejishika kiuno chake.


“Mia?”
“Hapana ni wengi sana kwa mtu kama nabii Sanga”
“Hamsini je?”
Magreth aliendelea kujiuliza maswali kichwani mwake huku akiendelea kutazama ramani hizo.


‘Lazima nifanye upelelezi wangu, nimtafute mtu ambaye ata kuwa ndani ya kamati ya send off”
Magreth alizungumza huku akiwaza ni nani amabye ana weza kumtumia. Sehemu ya pekee ambayo ana weza kupata japo mwana kamati ni kanisani kwa nabii Sanga.


“Sija kwenda pale siku nyingi sana ila leo ina bidi niende”


Magreth alizungumza huku akitazama saa yake ya mkononi. Akakuta muda bado una mruhusu, akaingia kwenye gari lake ambalo kwa sasa limesha badilishwa rangi. Akafika kanisani hapo na kukuta ibada ikiwa katika hatua za maombezi. Akasalimiana na baadhi ya waumini ambao wana mfahamu. Akaka hadi mwisho wa ibada, nabii Sanga akatangaza kwa wale watu wenye michango kwa ajili ya send off ya mwanaye, basi wamuone mchungaji msaidizi.


“Huyu huyu ata nifaa”
Magreth aliuzungumza huku akimtazama mchungaji msaidizi aliye anza kupunga mkono kwa waumini ili wamfahamu. Ibada ikaisha na watu wakaanz a kutawanyika, Magreth akamfwata msaidizi huyo ambaye wana fahamiana.
“Mwanagu ume potea sana”
“Nipo baba yangu. Shikamoo”
“Marahaba. Hivi upo Tanzania hapa?”
“Nipo baba yangu, ila nilikuwa mkoani”
“Ahaa ehee niambie”
“Baba nahitaji kufahamu juu ya taratibu za michango kwa maana ndio nina fika na sijajua ni taratibu gani zina fwata”
“Michango ya send off ni elfu hamsini kwa mtu mmoja na laki moja na nusu kwa watu wawili”
“Basi nita toa mchango wa watu wawili.”
“Sawa mwanangu”
Magreth akafungua picho yake na kutoa laki mbili, akamkabidhi mzee hiyo.


“Imezidi mwanangu”
“Hiyo hamsini uta pata soda baba yangu”
“Ohoo Mungu akubariki sana”
“Nashukuru sana mwanangu”
“Ehee hivi kamati mipango yake ina kwendaje?”
“Ina elekea vizuri na kila kitu tuna karibia kumaliza”
“Ahaa kwa hiyo kwa sasa mambo yana kwenda vizuri”
“Ndio mwanangu”
“Vipi maswala ya chakula mume shapata mpishi?”
“Ndio tume pata mwanangu”
“Ahaa je upande wa ulinzi?”
“Pia huo upande upo vizuri sana, si unajua familia ya raisi ita kuwepo pale. Hivyo walinzi wata kuwa ni wengi sana.”
“Sawa sawa baba yangu. Mungu akubariki”
“Amen”
Magreth akachana na mzee huyo huku akipishana na Tomas amabaye naye ame mfwata mzee huyo. Akamkabidhi kiasi cha laki moja na nusu kwa ikiwa ni mchango wa sherehe hiyo. Tomas akamtazama mrs Sanga ambaye ana endelea kupeana mikono na waumini wa kanisa hilo. Akajipenyeza katikati ya waumini hao, ika fika wakatik wake na akampa mrs Sanga anaye toa baraka kwa waumini hao.


“Mungu akubariki”
Mrs Sanga alizungumza huku akishikana mkono na Tomas.


“Amen”
Sauti ya Tomas ika mstua sana mrs Sanga kwa maana ni sauti ya mtu ambaye ana mfahamu hata akizinduka kuyoka usoningizi. Jambo ambalo lina mfanya ashindwe kumtambua Tomas ni sura yake kwa maana ni tofauti sana na Tomas anaye mfahamu yeye. Mrs Sanga akatabasamu huku akiuachia mkono huo na kuushika mkono wa mto mwengine. Tomas akajito akatika kundi hilo la waumini huku akihisi maumivu makalis ana ya moyo wake. Hasira itokanayo na kisasi anacho taka kukifanya kwa nabii Sanga na familia yake ndio hicho kinacho muumiza sana moyoni mwake. Tomas, akaingia kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo huku akiwa na hasira kali sana.


“Shosti yangu kweli Mungu amekufungulia njia”


Rafiki wa Magreth alizuungumza huku akimtazama Magreth ambaye amebadilika, sio yule msichana wa minyoosho kichwani mwake. Sasa hivi ana wigi ambalo kwa haraka haraka anavyo hisi lina weza kugarimu hata laki moja au laki mbili.


“Kweli Mungu ni mwema, sasa hivi nina ishi Kigamboni na sio kule uswahili”
“Unaonyesha rafiki yangu. Ehee nipo siri ya mafanikio yako?”
“Ni Mungu huyu huyu tunaye muomba shosti yangu”
“Mmmm kwako kweli ame wahi kujibu”
“Haaa usijali, kesho njoo kwenye mgahawa wangu”
“Una Mgahawa?”
“Ndio ninao wewe njoo, kisha tuta peana michongo ya kimaisha”
“Sawa rafiki yangu”
“Hii ita kuwa pesa ya nauli”
Magreth akamkabidhi Anna kiasi hicho cha shilingi elfu ishirini na kumfanya ajawe na furaha kwa maana alikuwa ni mwana kwaya mwezake wanao imba sauti ya kwanza.


“Nashukuru sana Magreth Mungu akubariki na nina kuhidi kesho nita fika hapo kwenye mgahawa wako”
“Ila hujaniuliza upo wapi?”
“Furaha rafiki yangu hadi nina shindwa kuuliza, pia nmba za simu sijazichukua”
“Hahaa ni kweli”
Magreth akamuelekeza Anna ni sehemu gani ambapo mgahawa wake ulipo. Wakabadilishana namba za simu kisha Magreth akaondoka kanisani hapo. Magreth akafika nyumbani kwake na kumkuta rafiki yake Josephine amabuye kwa sasa ana ishi naye, akiendelea kupika chakula cha usiku.


“Best yangu wewe mbishi sana, nina kuambia usipike, wewe bado una fanya kazi. Huo mguu wako huunei huruma?”
“Mage, mimi siwezi kukaa tu na kila kitu nikawa ina kuachia wewe. Isitoshe sasa hivi nina weza kutembea bila gongo. Acha nifanye kazi hizi ndogo ndogo”
“Mmm nakuonea huruma sana”
“Usijali”
“Leo nime kutana na Anna kanisani”
“Weee hajakushangaa?”
“Yaani amechanganyikiwa kuniona jinsi nilivyo badilika. Kesho nime muambia aje kwenye mahawa wangu”


“Waoo mualike basi aje hadi nyumbani”
“Usijali tumuombe Mungu abariki. Acha nijimwagike maji kwanza”
“Sawa”
Magreth akaondoka jikoni hapo na kuingia chumbani kwake kwa ajili ya kubadilisha nguo na kuoga.


***


Kila anapo zikumbuka taswira na nabii Sanga na mke wake, akili yake ina chemka kwa hasira. Tomas akazidi kukugumia mafunda ya wisky huku akiendelea kukumbuka tukio la kinyama sana alilo fanyiwa na nabii Sanga. Tukio la kuingiliwa kinyume na maumbile yake hakika lina mkosesha amani na furaha kubwa moyoni mwake.


“Nita ua, lazima niwaue”
Tomas alizungumza huku akizunguka zunguka sebleni hapo. Levina akaingia sebleni na kuwasha taa, akamuona Tomas akiwa ana mwagikwa na jasho jingi huku akiwa uchi kama alivyo zaliwa.
“Frank kuna nini?”
Levina alizungumza huku akimfwata kwa haraka”
“Nitawaua ni lazima niwaue”
“Kina nani?”
Levina aliuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana, kwani katika kipindi chote toka amfahamu Tomas hajawahi kumuona akiwa katika hali kama hiyo.


“Nabii Sanga na mke wake. Nime waona leo lazima niwaue”
“Tomas tafadhali hembu acha kwanza kunywa”
Levina alizungumza hukua kimpokonya Tomas chupa hiyo ya pombe kali. Akaiweka mezani, akamshika mkono Tomas ambaye ana yumba yumba kutokana na kuzidiwa na pombe hiyo. Akamuingiza bafuni na kumuingiza kwenye sinki la kuogea. Akalijaza maji ya baridi ili kuusaidia mwili wake upate japo nguvu na pombe ipungue mwilini. Levina akatoka bafuni hapo, akaingia jikoni, akafungua friji na kutoa malimao mawili makubwa ambayo yana maji mengi, akayakamulia kwenye glasi na kutoa tumba za malimao hayo zilizo ingia katika glasi hiyo. Akarudi bafuni na kuanza kumywesha Tomas juisi hiyo ili kuikata pombe kabisa.
“Fungua mdomo”
Levina aliendelea kumsisitiza Tomas na akazidi kumnywesha juisi hiyo ya limao hadi ikaisha. Hazikupita hata dakika tano Tomas akaanza kutapika, hadi pombe yote mwilini ikamuisha. Levina akamuogesha na kumrudisha chumbani.
“Frank hivi unahisi kunywa pombe ndio solution ya matatizo yako”
Levina alizungumza kwa ukali huku akimtazama Tomas.


“Nimekuja na mpango mzuri. Wewe hapa umenivuruga, haya una taka nini wewe?”
“Nisamehe?”
“Tomas tambua kwenye mpango huu nina hitaji akili yako iwe vizuri, sasa unapo anza ujinga wa mapombe kisa tu ume waona. Je siku ya kwenda kufanya kazi uta weza kweli kutimiza lengo lako au hasira yako ndio ita haribu kila jambo?”
“Nisamehe Levina”
“Una nikera bwana”
“Ume kuja na mpango gani?”
“Ule ulale na mpango nita kuambia kesho”
Levina akatoka ndani hapo huku akiwa na hasira sana kwa maana vitu anavyo vichukia sana kwenye maisha yake ni ulevi ulio pitiliza kiwango.


***


“Kumekucha”
Evans akastuliwa na sauti ya dada ambaye ni jini. Akafumbua macho yake na kumkuta akiwa amekaa pembeni ya kitanda chake. Evana kwa haraka akajifunika shuka vizuri kwa maana yupo uchi kama alivyo zaliwa.


“Huna haja ya kuficha kitu kwa maana nimesha kuona kila kitu”
Jini huyo alizungumza huku akimpapasa papasa Frank kifuani mwake.


“U…u..me…kuj…a saa ngapi?”
“Dakika kumi zilizo pita. Ramani hiyo hapo mezani, pia nina masharti mapya”
“Mashrti gani tena?”
“Nimekuondolea kigezo cha kutembea na wasichana ambao ni bikra”
“Kweli?”
“Ndio, ila kigezo hicho kita ondoka mara baada ya kutembea na wasichana Bikra tisini na tisha kisha huyo wa mia moja ndio ata kuwa mke wako wa ndoa. Endapo uta shindwa kufanya hivyo au ukienenda kinyume na hivyo basi uta kufa. Nina imani ume nielewa?”
Evans akatingisha kichwa akimaanisha kwamba ame muelewa jini huyo ila kwa kweli hayo mashari aliyo pewa ni magumu sana kwa maana kwa upeo wake wa kawaida tu hawezi kufahamu mwanamke bikra ni yupi na yupi sio bikra.


ITAENDELEA


Haya sasa masharti yana zidi kuwa magumu kwa Evans na akikosea tu ata kufa je ata fankiwa kutimiza mipango yake? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 86.
 
Naona kazi ya kujitolea inasababiswhwa navunjiwa heshima humu ndani nimeishia hapa kwa yoyote anayetaka story atawasiliana na mwandishi maana mimi sio mtunzi wa hiyo story
 
Naona kazi ya kujitolea inasababiswhwa navunjiwa heshima humu ndani nimeishia hapa kwa yoyote anayetaka story atawasiliana na mwandishi maana mimi sio mtunzi wa hiyo story
Hakunaga story iliyowekwaga humu ikaisha hata siku moja ni lazima mkishaanza kupata xoment tu za watu wakihitaji mueendelezo mnaaza kuleta habari ya pesa mnatuchosha bora musiwe mnaweka story zenu mana inakuwa upuuzi na hapo umevunjiwa heshima wap huyo si kauliza kwamba akitoa hyo pesa unaishusha yote au unahitaji kila mmoja atoe pesa ndio aipate muendelezo wake?haya onyesha ulipovunjiwa heshima wap au ndio unataka uonekane muhimu kwa stori ambayo umeweka wazi hutungi ww?msiwe mnaleta ujinga wenu humu kama hamjajipanga vya kutosha watu wana vingi vya kufanya?unavyokuja ndio unavyopokelewa mana nilijua toka jana lile swali lazima utafute tundu la kutokea asee.
 
Hakunaga story iliyowekwaga humu ikaisha hata siku moja ni lazima mkishaanza kupata xoment tu za watu wakihitaji mueendelezo mnaaza kuleta habari ya pesa mnatuchosha bora musiwe mnaweka story zenu mana inakuwa upuuzi na hapo umevunjiwa heshima wap huyo si kauliza kwamba akitoa hyo pesa unaishusha yote au unahitaji kila mmoja atoe pesa ndio aipate muendelezo wake?haya onyesha ulipovunjiwa heshima wap au ndio unataka uonekane muhimu kwa stori ambayo umeweka wazi hutungi ww?msiwe mnaleta ujinga wenu humu kama hamjajipanga vya kutosha watu wana vingi vya kufanya?unavyokuja ndio unavyopokelewa mana nilijua toka jana lile swali lazima utafute tundu la kutokea asee.
mkuu story nyingi mbona zimeisha labda haujafuatilia ila story nyingi zimeisha ni arosto yako tu ya kutamani kusoma full kwa siku moja wapo watu humu nikiwemo mmoja wapo tumesoma story moja almost for 2 years na kumbe kulikuwa na possibility ya kuxoma yote kwa wiki kikubwa uvumilivu wak
 
Kabisa tu, na wanasema mvumilivu ula mbivu...mwanaume yake subra,
 
Back
Top Bottom