Riwaya: SIN

Riwaya: SIN

Hii kitu nimeichukia mana ina hamasisha sana ushoga na kusagana, imagine ichezwe movie hii, itakuaje
 
Hii kitu nimeichukia mana ina hamasisha sana ushoga na kusagana, imagine ichezwe movie hii, itakuaje
Hii simulizi inatoa fundisho kwa wale Manabii uchwara.
Au umemsahau yule Nabii aliyejirekodi na mtoto wa kike mweupe wakifanya yao?
Vipi huko nyuma ya pazia ?
Ndio maana imeandikwa kwa watu aged 18+
Ushoga unasababishwa na spirit za Giza.
God natural man hakuumbwa na hisia za ushoga na hawezi shawishiwa kuwa hivyo.
Ukiona hayo mambo ujue kuna mzizi wa uovu ulipandwa kabla yake na hayo ni matokeo yake kama unavyo soma matendo ya Giza ya Nabii Sanga.
Tuwakinge watoto wetu dhidi ya devilish issues, wataepushwa na Hilo janga.
 
Hii kitu nimeichukia mana ina hamasisha sana ushoga na kusagana, imagine ichezwe movie hii, itakuaje
Ila tukienda na ukwelo ndio reality ya maisha kwa sasa
 
SIN 69


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com





ILIPOISHIA


“Nita kuamini vipi kama wewe ni room service”
“Mimi ndio yule niliye kupa chumba pale mapokezi. Ume sahau sauti yangu?”
Evans akaka kimya kwa sekunde kadhaa, akaikumbuka sauti ya kijana, akaufungua mlango huo. Kwaharaka mpelelezi huyo akaingia ndani hapo na kumstua sana Evans kwa maana alicho kitegemea ni tofauti kabisa na hichi anacho kiona.
“Wewe ni nani?”
“Vaa nguo zako sasa hivi na tuondokea, eneo hili sio salama”
Mpelelezi huyo alizungumza huku akikimbilia dirishani, akachungulia na kushuhudia kundi kubwa la watu walio valia suti nyeusi, wapatao ishirini, wakishuka katikamagari mawili aina ya Toyota VOXY. Mpelelezi huyo akachomoa bastola yake na kuwafanya Evans na muhudumu huyo kustuka sana.





ENDELEA


“Una shangaa nini, nimekueleza vaa nguo zako na tundoke humu ndani?”
“Wewe ni nani?”
“Utanijua baadae ila kwa sasa fanya kile ninacho kihitaji. Umenielewa?”
Evans akamtazama muhudumu huyo, kisha kwa haraka akairudia suruali yake iliyopo kitandani na kuivaa haraka haraka. Akavaa na viatu vyake, kisha mpelelezi huyo akachungulia mlangoni hapo. Alipo hakikisha kwamba hakuna mtu yoyote, kwa haraka akamshika Evans mkono na wakaanza kutembea huku bastola yake ikiwa mkononi mwake.


***


“Maelezo ya Julieth bado hayajanitosheleza”
Jery alizungumza huku akimtazama mlinzi wake.


“Nimepata habari kwamba kijana huyo amekimbilia Morogoro”
“Amekimbilia Morogoro?”
“Ndio mkuu”
“Sasa kama angekuwa sio muhalifu nina imani kwamba asinge kimbia. Una timu gani ambayo ina weza kwenda Morogoro na kuhakikisha wana mleta Evans mikononi mwangu”
“Nimewakabidhi wale vijana wangu wawili na wamepata viajana wengine kama kumi na nane hivi wenye uwezo wa mapigano. Nina imani kazi ita fanyika”
“Waambie kabisa kwamba hiyo kazi ni ya siri. Haihusiani kabisa na serikali ya baba yangu na hakikisha kwamba atakaye kamatwa basi ana kunywa kidonge cha sumu na kujiua yeye mwenyewe. Umenielewa?”
“Nimesha toa hayo maelezo mkuu”
“Na nitahitaji kumpata huyo mpelelezi anaye mfwatilia Evans na kutupiga hizi picha”
“Sawa mkuu ata patapatikana”
Jery akamimina glasi ya pombe kali aina ya wisky kwenye glasi yake na taratibu akaanza kuinywa huku akitamani sana kumtia Evans mikononi mwake, kwani ana amani endapo ata mbana Evans basi ata pata ukweli ju ya bikra ya mpenzi wake Julieth.


“Mkuu nimepata ujumbe kwamba kikosi kipo njiani kuelekea Morogoro na nime tumiwa video ya CCTV Camera iliyo muonyesha Evans katika stendi ya Msamvu Morogoro.”
“Hembu niione”
Jery alizungumza kwa pupa. Mlinzi wake akamkabidhi simu hiyo na kuanza kuitazama video hiyo inayo muonyesha Evans akishuka kwenye gari pamoja na abiria wengine.


“Jamaa mwenyewe kumbe ni mbaya hivi”
Jery alizungumza kwa kejeli.
“Ndio mkuu”
“Umesema ume tuma kundi la vijana wangapi?”
“Ishirini mkuu”
“Waambie wasimuue nahitaji kuonana naye uso kwa uso. Endapo ata kiri kwamba Julieth ni mpenzi wake basi haki ya Mungu nita muua”
“Usijali mkuu, wameniambia ndani ya dakika ishirini wata kuwa wamefika hoteli ambayo amefikizia Evans”
“Sawa”
Gari mbili aina ya Toyota VOXY zenye rangi nyeusi zinazo endeshwa na madereva wenye umahiri mkubwa sana mithili na mr transpoter. Zina zidi kuongezwa mwendo huku vijana wenye siha za moto wakitazama picha za watu wawili wanao kwenda kuwafwata mkoani Morogoro. Picha ya kwanza ni ya Evans huku picha ya pili ikiwa ni picha ya mpelelezi kutoka kiyengo cha NSA.


“Nisikilizeni, kwa umakini”
Kiongozi wa kikundi hicho alizunugmza wa kutumia kinasa sauti chake mkononi ambacho kina wafanya waweza kusikilizana viziuri.


“Mission yetu ni kumkamata Evans. Ila huyo wa pili sio jukumu letu, hivyo endapo ata ingia kwenye mpango wetu basi tuhakiksihe tuna muangamiza. Mume nielewa?”
“Ndio mkuu”
Kutokana na kuto kuwa na magari mengi njiani, ika wawezesha kufika Morogo katika muda mfupi sana. Moja kwa moja wakaeleka katika hoteli aliyopo Evans.


Ujumbe mfupi ulio imgia katika simu ya mpelelezi anaye mfwatilia Evans uka mstua sana. Ujumbe huo ulio tumwa kutoka makao makuu ya kitengo chake cha NSA ambacho wataalamu wake wamefanikiwa ku-hack kamera za hotelini hapo, waliweza kumfahamisha kwamba kuna gari mbili zime fika hotelini na ikamfanya aanze kuwa makini kuhakikisha kwamba ana mlinda Evans kwa garama yoyoe ile.


“Kaa nyuma yangu sawa”
Mpelelezi huyo alizungumza huku wakiendelea kutembea kwenye kordo hiyo. Lifti ina onyesha kwamba ina kuja gorofa ya juu jambo lililo mfanya mpelelezi huyo kujiongeza na kwa haraka wakaanza kushuka kwenye ngazi za gorofa hilo huku akiendelea kuwa makini sana.
“Ni kitu gani kinach……..”


Kabla hata Evans hajamalizia sentensi yake. Gafla risasi ikapiga katika ukuta wa pembeni yao na kumfanya mpelelezi huyo naye kuanza kujibu mashambulizi kwa mtu huyo aliye mfyatulia risasi.
***


Magreth usiku kucha hakupata usingizi. Kila muda mapigo yake ya moyo yana mstuka hadi ikafikia kipindi akajishisi moyo huo una weza kuchomoka muda wowote. Magreth akakumbuka namba ya rafiki yake ambaye alikuwa ana Sali naye katika kanisa la nabii Sanga. Akampigia na kwa bahati nzuri simu yake ikapokelewa.


“Josephine samahani rafiki yangu kwa kukusumbua usiku huu”
“Bila samahani. Vipi kwema Mage”
“Sio kwema rafiki yangu”
“Kuna tatizo gani?”
“Nina kuomba unisaidie kuomba ili kufahamu ni wapi mume wangu alipo”
“Mume wako? Mbona huja wahi kuniambia kama una mume Mage?”
“Ni stori ndefu sana ila nina kuomba unisaidie rafiki yangu katika hilo”
“Sawa mume wako ana itwa nani?”
“Evans Shika”
“Sawa acha nianze kuomba nita kupa majibu”
“Nashukuru sana Josephine”


“Mungu atuongoze katika hili”
“Amen”
Magreth akakata simu na kukaa kitandani kwake huku akisubiria majibu kutoka kwa binti huyo ambaye ana kipawa cha kuomba mbele za Mungu na kuonyeshwa ni mambo gani ambayo yana weza kumpata mtu katika muda fulani au kutambua ni sehmu gani alipo. Baada ya dakika kumi na tano simu ya Magreth ikaanza kuita na kwa haraka akaipokea kwa maana simu hiyo ina toka kwa Josephine.


“Mmm rafiki yangu mbona mume wako yupo kwenye matatizo makubwa”
“Ohoo Mungu wangu matatizo gani?”
“Kuna watu kama ishirini hivi wenye bunduki mikononi mwao wana mshambulia yeye na kama mmoja ambaye sija pewa jina lake na Mungu, ila kaka huyo ana onekana ndio ana msaidia Evans”
“Wapo wapi?”
“Morogoro”
“Samahani sana rafiki yangu nina weza kukupitia kwako usiku huu tuka enda pamoja”
“Mmmm tukaenda kufanya nini?”
“Tukamsaidie mume wangu”


Josephine akaka kimya huku akitafakari juu ya ombi hilo alilo pewa na rafiki yake kipenzi.


“Sawa nipitie si una gari?”
“Ndio ninalo”
“Sawa nipitie”
Magreth kwa haraka akakata simu, akajianda kwa haraka na kutoka nje. Akawasha gari lake na kuondoka nyumbani kwake. Kutokana rafiki yake huyo ana ishi hapo hapo Kigamboni, ikawa ni rahisi kwa yeye kumfikia. Josephine akaingia kwenye gari na wakaianza safari ya kuelekea mkoani Morogoro huku mara kwa mara Josephine ana omba ili kufahamu ni kitu gani kinacho endelea eneo hilo la tukio.
***


“Wametokea wapi hawa?”
Mzee Mbogo alizungumza huku akitazama tv kubwa iliyopo katika chumba cha mawasiliano ikionyesha jinsi watu hao walio funika nyuso zake wanavyo shambuliana kwa na mplelezi wake anaye mlinda Evans.


“Hatufahamu mkuu kwa maana hatuwezi kuwatambua kutokana na sura zao zime funikwa”
Mzee Mkumbo aka ichekecha akili yake kwa haraka na jina la nabii Sanga likamjia kichwani mwake. Akaondoka ndani ya chumba hicho na kuingia ofisini kwake. Akahakikisha kwamba hakuna mtu yoyote anaye weza kusikia mazungumzo yake hayo, akampigia simu nabii Sanga. Simu yake ikaita kwa sekunde kadha kisha ikapokelewa.


“Ndugu yangu vipi?”
“Sanga niambie hawa vijana ni wewe ulio watuma kumuangamiza Evans?”
“Vijana gani?”
“Kuna watu wanao mvamia Evans muda huu ninavyo zungumza. Sasa niambie ukweli ni wewe ulio waagiza au?”
“Hapana ndugu yangu siwezi kufanya hivyo japo nilizungumza kwa hasira kauli kama hiyo mbele yako ila ukweli ni kwamba sijafanya mpango wowote na wala sijui ni kitu gani kinacho endelea”


Mazungumzo ya nabii Sanga kidogo yaka mfanya mzee Mbogo kuamini.


“Una nihakikishia kwamba sio vijana wako?”
“Haki ya Mungu sio vijana wangu”
“Wakiwa ni vijana wako nini nifanye?”
“Nifanye kitu chochote rafiki yangu. Yaani hata sielewi ni kitu gani kinacho endelea”
“Sawa nimekulewa”
Mzee Mbogo akakata simu yake huku akiwa amejawa na hasira sana. Akatoka ofisini hapo na kurudi katika chumba hicho kikubwa cha mawasiliano.


“Ame waangusha wangapi?”
“Wanne mkuu”
“Kuna dalili yoyote ya askari kufika eneo la tukio?”
“Hapana mkuu”
“Niunganishe na RPC wa Morogoro”
“Sawa mkuu”
Baada ya dakika moja RPC wa Morogoro akapokea simu hiyo kutoka kwa mzee Mbogo.
“Unazungumza na Martin Mbogo mkuu wa kitengo cha NSA. Kuna kijana wangu ame uzungukwa na wavamizi katika hoteli ya HIGH CLASS hapo mjini”
“Nimekuelewa mkuu, nina agiza vijana wangu kuelekea huko sasa hivi”
“Wahakikishe wana kamata japo mmojawao akiwa hai”
“Nimekuelewa mkuu”
Mzee Mgogo akakata simu hiyo huku akizidi kumuangalia kijana wake jinsi anavyo jitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha ana yaokoa maisha ya Evans kama alivyo agizwa na mku wake wa kazi.


***


“Vipi mume wangu ni nani?”
Mrs Sanga alimuuliza mume wake huku akiwasha taa kwa kutumia swichi iliyopo pembezoni mwa kitanda chao.
“Ni Mbogo amenipigia ana dai kwamba kuna watu wana mvamia Evans hivyo wana hisi kwamba mimi ndio nime waagiza.”
“Mungu wangu, kama kitengo cha NSA wame tambua hilo si itakuwa ni matatizo”
Nabii Sanga akamtazama mke wake kwa macho ya mshangao.


“Mimi sija mtuma mtu yoyote mume wangu”


Mrs Sanga alijishuku.
“Kwani nime kuuliza?”
“Ila Julieth alidhamiria kumuua Evans. Mungu wangu sijui ni yeye ndio aliye waagiza”
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.


“Kwahiyo una taka kuniambia kwamba Julieth ndio aliye waagiza hao watu?”
“Sina uha kika ila twende tuka muulize”
“Akaghaa!!”
Nabii Sanga alishuka kitandani huku akiwa amegadhibika. Akavaa suruali yake huku mke wake akijifunga tenge. Wakatoka ndani kwao na moja kwa moja wakaelekea chumbani kwa Julieth. Wakagonga mlango kwa muda huku wakimuita jina lake. Julieth akafungua mlango huku akipiga miyao itokanano na uchovu wa usingizi.


“Vipi kuna tatizo?”
Julieth aliuliza huku akiwatazama wazazi wake hao walio simama hapo mlangoni.


“Ndio kuna tatizo, tuingie ndani tuzungumze”
Nabii Sanga alizungumza huku akitangulia kuingia ndani humo. Julieth na mama yake wakafwata kwa nyuma na wakaka kitandani.


“Julieth kwa nini una hitaji kumua Evans?”
“Baba maswala ya Evans usiku wote huu yana fwata nini bwana?”
“Tafadhali Julieth nijibu sipo kwenye wakati wa masihara?”
“Nitaka kumua kwa sababu yeye amenitoa usichana wangu ambao nilikuwa nina utunza kwa ajili ya mume wangu. Mbaya zaidi yeye ametembea na Magreth ambaye wewe pia ume tembea naye. Hapo una hisi nita muacha hai ili aje kunivunjia ndoa yangu na Jery kwa kuleta vipingamizi kanisani”
Nabii Sanga akashusha pumzi huku akiwa amejawa na hasira.


“Hivi unajua unacho kifanya kina weza kukupeleka jela kwa maana sio siri tena”
“Sio siri ikiwa nime waeleza nyinyi wazazi wangu au muta nisaliti kwa kwenda kuni staki polisi kwamba nina mpango wa kumua Evans?”
“Sio hivyo mwanangu. Ila kitengo cha NSA kime fahamu kwamba Evans ana pangwa kuuwawa”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Julieth usoni mwake.


“Julieth sina muda mwingi wa kupoteza katika hili. Chukua simu yako hapo, wapigie hao majambazi wako wanao mvamia Evans sasa hivi, waambie wasitishe mpango wa kumuua Evans la sivyo utasababisha NSA kuja hapa na kunikamata mimi kwa kauli yangu tu ya mashaka niliyo zungumza mbele ya mbosi wao kwamba nita muua Evans kwa mikono yangu mimi mwenyewe”
Julieth akastuka sana kwa maana ni kweli ana mpango wa kumuua Evans ila haja mtuma muuaji wa aina yoyote na wala hamjui mtu yoyote ambaye ana weza kufanya kazi ya mauaji.


ITAENDELEA


Haya sasa, bado ni kitendawili katika kitengo cha NSA na familia ya mzee Sanga inayo muhisi mtoto wao kama mstakiwa namba moja wa kutaka kumua EVANS je ukweli uta fahamika? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 70
 
SIN 70


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188




ILIPOISHIA


“Hivi unajua unacho kifanya kina weza kukupeleka jela kwa maana sio siri tena”
“Sio siri ikiwa nime waeleza nyinyi wazazi wangu au muta nisaliti kwa kwenda kuni staki polisi kwamba nina mpango wa kumua Evans?”
“Sio hivyo mwanangu. Ila kitengo cha NSA kime fahamu kwamba Evans ana pangwa kuuwawa”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Julieth usoni mwake.


“Julieth sina muda mwingi wa kupoteza katika hili. Chukua simu yako hapo, wapigie hao majambazi wako wanao mvamia Evans sasa hivi, waambie wasitishe mpango wa kumuua Evans la sivyo utasababisha NSA kuja hapa na kunikamata mimi kwa kauli yangu tu ya mashaka niliyo zungumza mbele ya mbosi wao kwamba nita muua Evans kwa mikono yangu mimi mwenyewe”
Julieth akastuka sana kwa maana ni kweli ana mpango wa kumuua Evans ila haja mtuma muuaji wa aina yoyote na wala hamjui mtu yoyote ambaye ana weza kufanya kazi ya mauaji.





ENDELEA


“Mimi mbona sija muagiza mtu yoyote kwenda kumvamia Evans”
“Nini?”
“Haki ya Mungu vile baba nina kuambia ukweli, sijamuagiza mtu yoote kwenda kumvamia Evans, japo nina mchukia na nina mpango wa kumua, ila sija fanya hatua yoyote ile.”
“Mmmm sasa ni nani ambaye ata kuwa ametekeleza jambo hilo?”
Nabii Sanga alizungunza huku akiwa amejawa na mashaka mengi sana.


“Ila mume wangu hawawezi kukutia hatiani kwa maana huja lifanya hilo jambo wewe usiwaze sana”
Mke wa nabii Sanga alizungumza huku akimpapasa papasa nabii Sanga mgongoni mwake.


“Julieth kweli huja fanya hivyo mwanangu?”
“Baba nime apia kwa jina la Mungu, sija fanya kitu kama hicho.”
“Haya usiku mwema”
Nabii Sanga akanyanyuka kwa unyonge na kutoka chumbani hapo, huku mke wake akimfwata kwa nyuma.


***


“Una weza kutumia bastola?”
Mpelelezi huyo alimuuliza Evans ambaye mwili mzima una mtetemeka kwa woga.


“Si…si…si…wezi”
Evans alizungumza huku akihisi haja ndogo ikianza kumwagika taratibu. Mpelelezi huyo hakuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kuhakikisha ana pambana na wavamizi hawa wanao endelea kuzivurumisha risasi katika chumba cha jiko walicho jificha Evans na mpelelezi huyo. Jambo la kumshukuru Mungu mlango wa kuingilia katika chumba hicho ni mlango wa chuma na kwa ndani wame weka vitu vizito ambayo hata wavamizi hawa wakijaribu kuvamia hawawezi kuingia ndani ya chumba hicho. Kila mtu aliyomo ndani ya hoteli hiyo alijificha sehemu anayo ijua yeye mwenyewe kwa maana hakuna anaye hitaji kufa. Wavamizi wanne walio baki nje ya hoteli hiyo walipo ziona gari za polisi zikija eneo hilo, hawakuhitaji kupewa amri kutoka kwa mkuu wao na kitu walicho kifanya ni kuhakikisha wana wazuia askari hao kadri wanavyo weza.


“Bro una itwa nani?”
Evans alimuuliza mpelelezi huyo huku akimtazama usoni mwake.


“Dogo una muda wa kuulizana jina langu”
Evans ikambidi kutulia kwa maana hajibiwa hivyo kuna tosha. Evans akachukua meza ya chumba iliyopo jikoni hapo na kupanda juu.


“Una fanya nini?”
“Katika hizo gorofa ni lazima kuna njia za juu zinazo tumiwa kupitishia hewa tuna weza kupita”


Evans alizungumza huku akiangaza angaza sehemu ambayo ima kimfuniko cha wavu ambacho kime fungwa kwa kutumia nati hivyo sio rahisi kwa wao kuweza kupitia kirahisi.
“Nyinyo mbona muna shambulia nje”


Mkuu wa kikundi hicho alizungumza kwa kutumia kinasa sauti chake.
“Mkuu kuna kundi kubwa la askari wame fika hapa, imetulazimu kuwazuia”
“Hakikisheni kwamba hakuna askari anaye ingia humu ndani. Sawa”
“Sawa mkuu”
“Ikiwezekana tumieni mabomu au kitu chochote ili mradi moango wetu uende kama tulivyo panga’
“Nime kupata”
Mkuu wa kikundi hicho akaendelea kuwahimiza vijana wake kujitahidi kuhakikisha wana uvunja mlango huo wa chumba. Mmoja wa wavamizi hao, akafungua nyuma ya gari moja wapo walilo kuja nalo, akachukua bomu aina ya RPG, akaoiga goti moja chini huku bomu hilo akiwa ameliweka begani mwake. Akailenga moja ya gari la polisi linalo wasili hapo na kulifyatua.


“RPG……..”


Dereva wa askair wa gari hilo alipiga kelele huku akifungua mlango wa gari hilo na kujirusha, kila askari alijirusha upande wake na ndani ya sekunde chake bomu hilo kika lichangua changua gari polisi hilo na kuwajeruhi baadhi ya askari walio kuwa karibu na gari hilo.


***


Mlango wa chumba cha raisi Chinas Mtenzi ukagongwa na mlinzi wake namba moja. Raisi Mtenzi akafungua huku akiwa amevalia nguo zake za kulalia.


“Samahani muheshimiwa raisi kuna tatizo lime tokea mkoni Morogoro.”
“Tatizo gani?”
“Kuna majambazi wame vamia katika moja ya hoteli na wamewashambulia askari hivyo muheshimiw auna hitajika katika chumba mawasiliano”


Raisi Mtenzi akashusha pumzi, akaingia chumbani kwake, akachukua koti lake na kuvaa kisha akaongozana na mlinzi wake hadi katika chumba hicho kikubwa cha mawasiliano kilichopo chini ya ikulu hiyo na ndani ya chumba hicho watendaji wote wa kazini ni watu walio jaliwa ufahamu mkubwa wa akili(IQ) hivyo ina kuwa ni rahisi kwa wao kuju kila jambo linalo endelea ndani na nje ya nchi ikiwemo ulinzi wa mikaka ya nchi kwa kutumia satelaiti.


“Muheshimiwa raisi”
Mmoja wa fanyakazi alizungumza na kuwafanya wafanyakazi wote wapatao hamsini kusimama.


“Kaaeni, kuna kitu gani kinacho endelea?”
“Muheshimiwa hizi ni baadhi ya video zilizo rekodiwa na satelati zetu zina onyesha jinsi wavamizi walivyo tumia silaha ya RPG kuwavamia askari”
“Kuna askari yoyote aliye fariki?”
“Bado hajujafahamu muheshimiwa ila tuna amini kwamba kuna walio jeruhiwa vibaya sana kwa maana walivyo shambuliwa gari lilikuwa kwenye mwendo wa kasi sana”
“Jambazi wa Kitanzania kumiliki RPG sio jambo la kawaida.”
“Ndio muheshimiwa raisi ila tuna hisi kuna kitu ambacho kina endelea hapa”
“Hembu wavuteni sura zao karibu”
Sura ya mmoja wa majambazi walipo nje ya hoteli ikavutwa karibu kabisa ila kitu ambacho ni kigumu ni kuweza kuona sura kamili kwa maana nyoso zao zime funikwa.


“Niunganishe na mkuu wa NSA”
“Sawa muheshimiwa raisi.”
Raisi Mtenzi akashuhudia jinsi askari wake wakiangushwa kwa risasi.


“Muheshimiwa, Mbogo yupo kwenye laini namba moja”
Raisi Mtenzi akanyanyua mkonga wa simu na kuweka sikioni mwake.
“Muheshimiwa raisi”
“Hivi una ona hichi ninacho kiona hapa mimi au?”
“Ndio muheshimiwa raisi ila tuna endelea kuhakikisha majambazi hao wana dhibitiwa haraka iwezekanavyo”
“Unafahamu chanzo cha uvamizi wao?”
“Ndio muheshimiwa”
“Ni kitu gani?”
“Kuna mpelelezi wangu mmoja nilimpatia jukumu la kuhakikisha ana mfwatilia kijana mmoja ambaye ana itwa Evans. Hivyo hao majambazi tuna imani kwamba wame agizwa kumuangamiza kujana huyo”
“Kijana huyo ni nani?”
“Ehee?”
“Kijana huyo ni nani?”
“Ni mpenzi wa Julieth Sanga. Mtoto wa nabii Sanga”


Raisi Mtenzi akasstuka sana kwa maana binti huyo ni mkwe wake mtarajiwa.
“Una uhakika na hicho unacho kizungumza?”
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Nitumieni picha ya huyo kijana nimuone”
“Sawa muheshimiwa”
Hazikuisha hata sekunde ishirini, picha ya Evans ikaonekana katika tv kubwa ambayo ipo katika chumba hicho. Baadhi ya wafanyakazi wakajikuta wakimtazama muheshimiwa raisi kwa maana hawajui ni kwa nini picha ya kijana huyo ime tumwa kwa wakati huo.


“Toeni hiyo picha. Niunganishe na RPC wa Morogoro”
“Sawa muheshimiwa raisi”


Raisi mtenzi akajikuta akijawa na hasira sana moyoni mwake kwa maana katika vitu ambavyo havipendi kwenye maisha yake ni kudanganywa. Kitendo cha Evans kuwekewa ulinzi ambao una sababisha askari wasio na hatia kujeruhiwa vibaya ina zidi kumuumiza roho.


“Muheshimiwa raisi RPC yupo kwenye mtandao”
Raisi Mtenzi akauweka mkonga wa simu sikioni mwake.
“Habari za usiku muheshimiwa raisi”
“Sio salama, nipe ripoti ni hali gani ambayo ina endelea huko Morogoro?”
“Vijana wanne wamejeruhiwa vibaya na mashambulizi bado yana endelea muheshimiwa”
“Waambie vijana wako wote warudi nyuma”
Kauli hiyo ika washangaza hadi baadhi ya watu waliomo ndani ya chumba hicho.”
“Samahani muheshimiwa ume sema?”
“Nimesemaa warudishe vijana wote nyuma na ikiwezekana waondoke eneo hilo la tukio”
“Sawa muheshimiwa”
Kutokana ni amri ikamlazimu RPC kufwata agizo hilo. Raisi akampigia simu mkuu wa NSA mzee Mbogo.


“Ndio muheshimiwa raisi”
“Huyo kijana wako muambie amsalimishe huko kijana kwa hao watu”
“Nini?”
“Ni amri na sio majadiliano”
“Sawa muheshimiwa raisi”


Raisi Mtenza akaurudisha mkonga huo wa simu sehemu alipo utoa na kuanza kutoka ndani hapo.


“Samahani muheshimiwa raisi mbona ume fanya maamuzi hayo?”
Mshauri wa maswala ya ulinzi alimuuliza raisi Mtenzi ambaye ana onekana kugadhibika sana.


“Hatuwezi kupoteza maisha ya vijana wangu kisa kijana mmoja ambaye hana impact yoyote kwenye hii nchi.”
“Samahani muheshimiwa raisi. Ila kijana huyo ni Mtanzania na ana haki ya kulindwa kama Watanzania wengine”
“Mark nime make my final decision. Good night”
Baada ya raisi mtenzi kuzungumza hivyo akaondoka ndani hapo na kuwaacha watu wote wakiwa hoi kwani walicho kitarajia sio hicho walicho kiona kutoka kwa raisi Mtenzi.


Mlinzi wa karibu wa Jery akaingia ndani kwa Jery ambaye ana subiria kupata ripoti ya hali halisi inavyo endelea mkoni Morogoro.


“Jery mambo yame haribika”
“Kwa nini?”
“Mzee amefahamu juu ya vijana wetu walipo kule Morogoro”
Jery akastuka sana na mapigo yake ya moyo yakaanza kubadilika na kumuenda kasi tofauti na mfumo wa kawaida. Katika siku zake zote za maisha ya kuishi na baba yake ana fahamu jinsi baba yake alivyo kuwa mtu wa maamuzi magumu sana kwani ana fahamu jinsi baba yake alivyo toa amri kwa kaka yake wa kwanza kuuwawa kutokana na shuhuli zake za ujambazi.


“Ohoo Mungu tuta fanya nini?”
“Usi panic mkuu. Tusubiri tuoe na wala usionyeshe dalili yoyote ya kuhusika na tukio hilo”
Gafla mlango wa chumba hicho uka gongwa na kuwafanya wastuke sana. Raisi Mtenzi akaingia ndani humo na kumfanya Jery azidi kujawa na mshangao ulio changa nyikanana woga. Macho makali aliyo tazamwa nayo mlinzi huyo yakamfanya atoke nje pasipo kuambiwa chochote.
“Jery ume kosa wasichana hadi una kwenda kujichanganya na wanawake ambao wana tembea na watu hata wasio julikana”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kufoka sana huku akiwa amevimbiana kwa hasira.


“Ba..ba….ba…mbona sielewi?”
“Huyo Julieth wako ni mtu wa kutembea na kijijaa ambacho hakaeleweki mbele ni wapi na nyuma ni wapi na wewe una taka uka jichanganye humo humo?”
“Ba…ba….ba….Ju…liee..t ni birka”
“Ahaa ndivyo alivyo kudanganya? Sasa ni hivi asubihi nina hitaji ukamlete huyo binti asubuhi. Atapimwa na madaktari wa hapa ikulu. Akionekana ana bikra utamuoa ila akionekana hana bikra basi sahau kumuona na uhusiano wetu na ile familia utakuwa umekufa”
Raisi Mtenzi mara baada ya kuzungumza hiyvo akatoka chumbani hapo humo na kuubamiza mlango huo kwa nguvu na kumuacha Jery katika njia panda asijue afanye nini.


***


Evans kwa haraka akachukua kisu kukubwa ila chenye ncha ambayo ana amani kwamba ana weza kufungua nati za kijimlango hicho cha nyavu ambacho kina pita katika bomba moja kubwa ambalo lina muwezesha mtu kupita akiwa ana tambaa mithili ya mtoto mdogo.


“Una hisi kwamba ina kita fungua?”
“Ndio kaka wewe subiri”
Simu ya mpelelezi huyo ikaanza kuita, akaitoa mfukoni mwake na kuitazama kwa sekunde kadhaa na kukuta ni namba ya mkuu wake mzee Mbogo.


“Ndio muheshimiwa”
“Bony mupo wapi?”
“Bado tupo ndani ya hoteli mkuu tuna tafuta njia ya kujiokoa kwa maana hawa watu ni wengi sana na hapa nilipo risasi zina karibia kuniishia”
“Kama upo na huyo kijana mkabidhishe kwa hao majambazi”
“NINI!!!?”
“Kama ulivyo nisikia hiyo ni amri kutoka moja kwa moja kwa raisi hivyo fwata amri ya muheshimiwa”
Simu hiyo ikakatwa na kumfanya Bony kushusha pumzi taratibu kwani kazi yake siku zote ni ya kufwata amri kwa wale walio mpita cheo na mamlaka.


ITAENDELEA


Haya sasa, amri ya Evans kuchwa peke yake ime mfikia Bony je Evans ata jiokoaje ikiwa yupo mwenyewe na hajui hao watu walio tumwa wana lengo gani kwake? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 71
 
SIN 71


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


“Ndio kaka wewe subiri”
Simu ya mpelelezi huyo ikaanza kuita, akaitoa mfukoni mwake na kuitazama kwa sekunde kadhaa na kukuta ni namba ya mkuu wake mzee Mbogo.


“Ndio muheshimiwa”
“Bony mupo wapi?”
“Bado tupo ndani ya hoteli mkuu tuna tafuta njia ya kujiokoa kwa maana hawa watu ni wengi sana na hapa nilipo risasi zina karibia kuniishia”
“Kama upo na huyo kijana mkabidhishe kwa hao majambazi”
“NINI!!!?”
“Kama ulivyo nisikia hiyo ni amri kutoka moja kwa moja kwa raisi hivyo fwata amri ya muheshimiwa”
Simu hiyo ikakatwa na kumfanya Bony kushusha pumzi taratibu kwani kazi yake siku zote ni ya kufwata amri kwa wale walio mpita cheo na mamlaka.





ENDELEA


“Sawa mkuu nime kuelewa”


Bony akakata simu huku akimtazama Evans. Bony akatazama ndani ya chumba hichi cha jiko, akachukua fagia lenye mti mrefu, akachukua moja ya nguo nyeupe inayo tumiwa na wapishi. Akaiweka nguo hiyo mbele ya mti huo kisha akaanza kusogeza kabati zito kililopo hapo mlangoni.


“Una fanya nini kaka?”
Evans aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana. Bony hakumjibu chochote zaidi ya kuufungua mlango huo taratibu, akautoa mti huo ambao mbele ume tanguliza nguo hiyo nyeupe. Kwa watu waelewa huwa wana tambua kwamba ishara hiyo ina ashiria amani au muhusika ame amua kujisalimisha. Wavamizili walio agizwa na Jery waliweza kuielewa ishara hiyo na wote wakaacha kuushambulia mlango huo. Bony akaitoa bastola yake ikiwa ni ishara ya kuonyesha kwamba haitaji kuendelea na mapambano hayo.


“Fungua mlango”


Bony akatii amri hiyo na kuufungua mlango wote


“Munyae muhitaji sio mimi si yule?”
Bony alizungumza huku mikono yake ikiwa juu. Wakatazamana huku wote wakiwa hawaamini kwamba mtu huyo amejisalimihsa. Evans mwili mzima ukazidi kumtetemeka, hakutarajia kama ana weza kuachwa peke yake na kukabidhiwa kwa watu hao wana iwinda roho yake. Mmoja wa vavamizi akampiga Bony kisogoni kwa kutumia kitako cha bunduki na kumfanya apoteze fahamu hapo hapo. Evans akajaribu kupambana na vijana hao ila hakuweza kabisa kwa maana wame mzidi kwa wingi na pia hata kwa mafunzo ya kupigana wamemshinda. Ndani ya dakika moja wakamzimisha Evans na hakuweza kuelewa ni kitu gani kinacho endelea.


“Mkuu polisi wana ondoka”
Kijana mmoja aliyopo nje alitoa ripoti hiyo.


“Kwa nini?”
“Hatufahamu mkuu”
“Isije ikwa ni mtego”
“Hatufahamu mkuu”
“Hakikisheni tuna ondoka na miili yote ya wezetu kufupa ushahidi”
“Sawa mkuu”


Kazi ya kuikusanya miili ya wezao walio fariki ikaanza walipo hakikisha wame ipata kazi hiyo, wakatoka ndani hapo huku wakiwa ameubeba pia na mwili wa Evans. Wakaingia kwenye gari zao na kuanza kuondoka hotelini hapo.


***


Magreth na Josephine wakafika hotelini na kuhuhudia moja ya gari la likiteketewa kwa moto huku gari nyingine za polisi zikianza kurudi nyuma na kuondoka eneo hilo.


“Evans wako yupo hapa”
“Wale si majambazi?”
“Ndio ni majambazi”
“Sasa tuta fanya nini?”
“Tusishuke kwenye gari kwa maana kama askari wenyewe wameshindwa na kuondoka basi tuangalie ni kitu gani kitatokea”
Josephine alizungumza huku wakiendelea kuwaangalia majambazi hao jinsi walivyo imarisha ulinzi nje ya hoteli hiyo. Hazikuisha hata dakika tano wakatoka watu walio bebe miili ya watu ambao wame valia kama wao.


“Evans yule pale”
Magreth alizungumza mara baada ya kumuona Evans akiwa ame bebwa begani na mmoja wa watu.


“Tulia una shuka una taka kwenda wapi?”
“Kumuokoa mume wangu”
“Acha ujinga Mage wewe, uta uwawa”
“Hapana nina jua nini cha kufanya”
“Hapana”


Josephine alimzuia Magreth hadi gari hizo zikaanza kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi. Magreth akageuza gari lake kwa kasi na kuanza kuwafwatilia watu hao. Gari hizo hizo zikashika njia ya kuelekea jijini Dar es Salaam. Magreth naya hakutaka kuwapa nafasi ya kuwaacha kwa umbali mrefu kwa maana hiyo ndio nafasi ya pekee kwa yeye kumpata Evans.


“Mkuu kuna gari nyuma yetu ina tufwata kwa kasi sana”
Mmoja wa kijana alizungumza huku akitazama jinsi gari ya Magreth inavyo kuja kwa mwendo wa kasi sana.


“Hatuelekei Dar tukifika Mikese tuelekee huko hii gari inayo tufwatilia tuta malizana nayo huko huko”
“Sawa mkuu”
Gari zikazidi kuongeza mwendo.


“Wanaongeza mwendo”
Josephine alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.


“Hamia siti ya nyuma”
“Mmm”
“Hamia siti ya nyuma”


“Ehehee”
“Hamia siti ya nyuma”
Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akizidi kuzifukuzia gari hizo kwa mwendo wa kasi sana. Josephine akahamia siti ya nyuma na kufunga mkanda.


“Un ampango gani Mage?”
“Wewe tulia”
Gafla gari hizo zikaachaa barabara ya lami na kukunja kulia na kushika barabara ya vumbi. Magreth naye akapungza mwendo na kukunja katika marabara hiyo huku akisoma kibao cha pembeni kilicho andikwa Mikese.


“Magreth wana kwenda wapi kule”
“Sijui ila tuta wafwata hadi mwisho wao”
“Huogopi?”
“Mbele ya mume wangu siwezi kuogopa jambo la aina yoyote”
Magreth alizungumza huku akikunja kona moja kali hadi gari lika karibia kuacha njia ila, ila akajitahidi kadri ya uwezowake na kuliweka sawa na kuendelea na kuwakimbiza majambazi hao.


***


Mlio wa simu uka mstua Julieth ambaye bado ana hangaika kuutafuta usingizi. Akaichukua simu yake na kukuta ni namba ya Jery. Akatazama saa yake simu hiyo ina onyesha muda huu ni saa tisa kasoro usiku. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.


“Baby vipi?”
“Sio kwema, baba ametambua juu ya mahusiano yako na sijui Evans na hapa ninapo kuambia ameniaeleza kwamba kesho asubuhi nije kukuchukua na tunakupeleka kwa daktari ili akupime kama wewe ni bikra au sio bikra”
Moyo wa Julieth bado nusu tu usimame kwa mstuko. Katika maisha yake hakuna habari ya mstuko aliyo ipokea kama hiyo.


“Julieth”
“Mmmm”
“Hivyo jiandae kesho asubuhi nina kuja hapo. Sawa”
“Sawa baby”
Jery akakata simu na kumfanya Julieth akae kimya kama dakika kumi hivi akitafakari ni kitu gani ambacho ana weza kukifanya ili kufanikiwa katika mtihani huo. Akanyuka kwa haraka na moja kwa moja akaelekea katika chumba cha wazazi wake. Akagonga kwa muda kisha mlango ukafunguliwa na nabii Sanga.


“Julieth kuna nini?”
“Baba nina hitaji kuzungumza na mama”
“Kuna tatizo”
“Wewe nina omba kuzungumza na mama”
Mrs Sanga akasimama mlangoni hapo, akamtazama Julieth kwa sekunde kadha ana akatambua kuna jambo ambalo lina msumbua mwanaye huyo. Wakatoka ndani hapo na kuelekea chumbani kwa Julieth.


“Kuna nini mwanangu””
“Jery amenipia na kuniambai kwamba baba yake ame tammbua kuwa nina mahusiano na Evans”
“What….imekuwjae?”
“Sifahamu mama ila jambo baya zaidi ni kwamba baba yake ana hitaji kunipima bikra na kesho asubuhi hapa Jert ana kuja kunichukua kuelekea Ikulu”
“Mungu wangu sasa tuta fanya nini ikiwa sio bikra wewe kwa sasa?”
“Ndio hivyo mama nina ogopa”
“Aha…nimekumbuka ngoja nina kuja”
Mrs Sanga akatoka chumbani hapo, akaelekea chumbani kwake na baada ya muda akarudi akiwa ameshika simu yake mkononi. Akamtafuta mmoja wa madaktari wa kichina ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza bikra za bandia kwa wasichana. Simu ya daktari huyo ikaanza kuita kisha ikapokelewa.


“Dokta Jing”
“Habari mrs Sanga”
“Salama na samahani sana kwa kukupigia muda huu”
“Bila ya samahani”
“Nina shida je nina weza kukuona usiku huu”
“Sawa nipo hospitalini kwangu una weza kuja”
“Nashukuru”
Mrs Sanga akakata simu na kumueleza Julieth ajiandae kwa safari hiyo. Akaelekea chumbani kwake na kumueleza mume wake hali halisi.


“Tuna kwenda wote”
Nabik Sanga alizungumza na wote kwa pamoja wakajiandaa na kuianza safari ya kuelekea hospitalini kwa dokta Jing. Wakafika hospitalini hapo na moja kwa moja wakaelekea ofisini kwa daktari huyo.
“Karibuni sana”
“Tuna shukuru. Tuna shida, binti yangu hapa ame tolewa usichana wake. Mwanaume aliye hitaji kumuoa ana hitaji amkute akiwa na bikra. Je hapo uta weza kutusaidia?”
“Kuwasaidia mrs Sanga ina wezekana. Binti ume wahi kufanya tendo la ndoa mara ngapi?”
Julieth akamtazama mama yake na baba yake.


“Zungumza una toa toa nini macho”
Nabii Sanga alizungumza kwa ukali huku akimtazama mwanaye huyo.


“Mara sita”
“Ni mwanaume mmoja au tofauti?”
“Mwanaume mmoja tu”
“Sawa hiyo kazi ina weza kufanyika usiku huu”
“Itachukua muda gani dokta?”
“Mmm lisa amoja na nusu kumuingizia katitika chumba cha upasuaji. Nina imani mupo tayari kwa hili”
“Ndio dokta tupo yari, Garama zake ni kiasi gani?”
“Dola mia sita”
“Sawa hakuna shaka dokta”
Julieth akaingizwa kwenye chumba cha upasuaji na daktari Jing akishirikiana na manesi wake wawili wakichina wakaianza kasi hiyo ambayo wana taaluma nayo kubwa sana na niidadi kubwa sana ya wanawake waliomo ndani ya ndo nyingi kabla ya kuolewa na wanaume wanao wapenda walijikuta wakiwekewa bikra hizo feki ambazo ni ngumu sana kwa mwanaume kuweza kufahamu kwamba bikra hizo ni feki.


***


“Hawa ni lazima niwapate”
Magreth alizungumza huku akizidi kukanyaga mafuta. Uzuri wa gari lake ni imara na lina uwezo mkubwa wa kukimbia.
“Washambulieni”
“Sawa mkuu”
Vijana wawili walio panda gari la nyuma wakajitokeza kwenye madirisha ya gari hilo na kuanza kuwashambulia kina Magreth. Jambo jengine la kumshukuru Mungu ni kwamba gari la Magreth haliingii risasi hivyo ime kuwa ni ngumu sana kuwadhuru. Josephine akajikuta akianza kulia kwa uchungu sana huku akimuomba Mungu kwa maana hajui kama wana weza kutoka salama kwenye mapambano hayo.


“Magreth wata tuua hao”
“Tulia Josephine usilie wewe muombe Mungu tu”


Magreth alizungumza huku akizidi kujiamini kuongeza mwendo wa gari lake. Akalifikia kwa ukaribu gari hilo la nyuma ambalo lina vijana wanao mshambulia kwa risasi. Akaanza kuligongwa kwa nguvu huku akiamini kabisa kwamba Evans yupo gari la mbele. Gari hilo likaanza kuyumba, Magreth akaongeza tena mwendo wa gari lake hukua kiwa amejikaza mwili mzika. Akaligonga tena gari hilo na kulisababishia lipoteze muelekeo kabisa na likaanza kubingirika kwenye maporomoko ya kilima kiitwacho Chamanyani. Ikabaki gari moja tu na Magreth hakuhitaji kulipoteza gari hilo wala kuligonga kwa nyuma kwa maana kufanya hivyo kuna weza kukasababisha ajali mbaya sana na ina weza ikapoteza maisha ya mwanaume ampendaye Evans


“Walipueni”
“Sawa mkuu”
Kijana mmoja akavunja koo cha nyuma cha gari hilo aina ya Toyota Voxy akaweka begani kwake bomu aina ya RPG. Bila hata ya kujishauri akafyatua bomu hilo, Magret kwa haraka akalikwepesha gari hilo ila kwa bahati mbaya gari ikamzidi nguvu, ikapinduka na kuanza kuserereka kwenye gema lililopo pembeni mwa barabara na safari ya kumuokoa Evans wake ikaishia hapo.


ITAENDELEA


Haya sasa, Magreth amepata ajali na gari lake kupinduka, je ata fanya nini ili awapate majambazi hao walio mteka Evans.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 72
 
SIN 72


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


Ikabaki gari moja tu na Magreth hakuhitaji kulipoteza gari hilo wala kuligonga kwa nyuma kwa maana kufanya hivyo kuna weza kukasababisha ajali mbaya sana na ina weza ikapoteza maisha ya mwanaume ampendaye Ethath.


“Walipueni”
“Sawa mkuu”
Kijana mmoja akavunja koo cha nyuma cha gari hilo aina ya Toyota Voxy akaweka begani kwake bomu aina ya RPG. Bila hata ya kujishauri akafyatua bomu hilo, Magret kwa haraka akalikwepesha gari hilo ila kwa bahati mbaya gari ikamzidi nguvu, ikapinduka na kuanza kuserereka kwenye gema lililopo pembeni mwa barabara na safari ya kumuokoa Evans wake ikaishia hapo.





ENDELEA


Kelele za maumivu za Josephine zikamfanya Magreth kuufungua mkanda wa siti yake aliyo kalia. Akaufungua mlango wa upande wa abiria kwa maana katika upande wake ndipo gari lilipo angukia.


“Mguu wangu”
Josephine aliendelea kulalama huku maumivu makali ya mguu wake wa kulia ulio vunjika mara mbili, yakiendelea kumtafuna mwili wake. Magreth akaanza juhudi za kumtoa kwa uamkini Josephine na akafanikiwa. Akamlaza pembeni ya barabara huku akiendelea kulia sana


“Mage nina kufa mimi”
Josephine alilalama na kuzidi kumpa wasiwasi Magretha ambaye naye ame chubuma katika mkono wake wa kulia.


“Huwezi kufa rafiki yangu. Vumilia nitafute msaada”
Julieth alizungumza huku akiendelea kuangaza angaza eneo hilo ambalo kwa habahati mbaya halina nyumba hata moja zaidi ya miti mirefu iliyo fungamana na kusababisha msitu mkubwa na kutisha. Magreth akajipapasa mfukoni mwake na kuitoa simu yake. Akajikuya akishusha pumzi kwa maana simu hiyo ime pasuka kioo chake hivyo hawezi kuitumia kwa wakati huo.
“Mage”
Josephine alimuita Magreth kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge. Akamsogelea rafiki huku woga na wasiwasi vikiwa vime mtalawa.


“Tuombe”
Josephine alizungumza huku akimshika Magreth kiganja cha mkono wa kulia. Taratibu Josephine akaanza kusali huku akikishika kwa nguvu kiganja cha mkono huo wa kulia. Baada ya dakika nane akamuachia Magreth na akapoteza fahamu. Magreth akaanza kuangua kilio huku akihisi kuchanganyikiwa kwa maana kama ni Evans ame mpoteza na rafiki yake hapa ana hali mbaya sana na sehemu walipo hakika hamjui mtu wa aina yoyote.


***


Zoezi la kumtempandikiza Julieth bikra ya bandia ikafanikiwa kwa asilimia tisini na tisha. Wakatoka katika chumba hicho huku dokta Jing akiwa na furaha sana.


“Ndio dokta tupe ripoti”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama daktari huyo.


“Zoezi letu lime kwenda vizuri na nina uhakika kwamba hata akifanyiwa kipimo na kifaa cha aina yoyote basi hakuna anaye weza kugunda kwamba hiyo ni bikra feki”
“Kweli dokta?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa na furaha sana.


“Ndio mama Sanga”
“Ohoo asante Mungu. Ehee malipo tuna yafanya by casha au kwa njia ya benki?”
“Mmmmm ni nzuri sana mukifanya kwa njia ya benki kwa maana ndio njia salama zaidi ya hii”
“Sawa basi kama huto jali dokta nina omba nipatie akaunti namba yako”
Dokta Jing akaiandika namba hiyo kwenye kikatasi kidogo. Mrs Sanga akahamisha kiasi hicho cha pesa kwa kutumia njia ya simu kisha wakaaga na kuondoka eneo hilo.
“Sasa ukakutane na huyo mjinga wako akuvunje bikra kwa mara ya pili, uta tutambua sisi ni kina nani”
Nabii Sanga alizungumza huku akizidi kuongeza mwendo wa gari hilo kwa maana kama kuna karibia kupambazuka. Wakafika nyumbani na kika mmoja akaelekea chumbani kwake. Julieth akaa kitanda ni huku akiwa na furaha sana, akakumbuka akiwa ndani ya chumba dokta Jing alimueleza kwamba ame mpaka dawa ambayo ita mfanya uke wake kubana na kuwa mtamu sana kwa mwanaume ambaye ata kutana naye katika ndoa yake.


Julieth akachukua kioo kikubwa, akavua nguo zake zote kisha akachukua kioo hicho na kukiweka kwa mbele na kuanza kujichungua, hakika uke wake ume badilika kwa asilimia kubwa sana.


Furaha ikazidi kumtawala na wala hakupata usingizi kwa maana ule wasiwasi ambao alikuwa nao kwa sasa ume kwisha. Majira ya saa kumi na mbili asubuhi gari nne kutoka ikulu, zikafika nyumbani hapo. Jery akiwa ameongozana na walinzi, wakashuka katika gari hizo. Mrs Sanga akawakaribisha kwa maana na yeye hakuweza kupata usingizi kabisa akilifikiria tukio hilo.


“Shikamoo mama”
Jery alisalimia kwa heshima zote.


“Salama mwanangu. Karibu sana”
“Nashukuru sana mama yangu. Nimekuja kumchukau Magreth baba ana hitaji kwenda kukutana naye”
“Ahaa basi acha nika muamshe kwa maana amelala. Au uliwasiliana naye?”
“Hapana mama”
“Basi nisubiri. Vipi nikuandalie kifungua kinywa?”
“Hapana mama nipo vizuri”
“Sawa mwanangu nina kuja”
Mrs Sanga akapandisha gorofani na kuingia chumbani kwa Magreth na kumkuta akiwa ana malizia kuvaa nguo.


“Umemuona Jery?”
“Yaa nime ziona gari zao”
“Sasa nimemuambia kwamba ume lala. Hivyo chelewa chelewa kidogo”
“Sawa mama, ila mbona leo wame kuja na gari nyingi hivi?”
“AHaa….Si wamekuja kumchukua mkwe wa raisi”
“Hahaaa”
Wingi wa walinzi hao, baadhi yao ni walinzi wanao mlinda raisi, ambao jukumu lao walillo pewa na raisi Mtenzi ni kuhakikisha kwamba wana mlinda Jery asiwasiliane na mtu wa aina yoyote hadi pale watakapo rudi na Julieth ikulu. Walinzi hao hawakumruhusu kabisa Jery kupandisha chumbani kwa Julieth. Baada ya dakika kumi na tano, Julieth na mama yake wakashuka kwenye ngazi huku, Julieth akiwa amevalia gauni refu jeupe huku nywele zake akiziweka katika mtindo mzuri na wa kuvutia sana.


Wakaagana na mrs Sanga kisha wakaondoka nyumbani hapo, huku Julieth akipandishwa kwenye gari jengine tofauti na gari alilo panda Jery.


***


Gari la abiria linalo toka katika mji wa Dutumi na kuelekea Morogoro mjini, likawa ndio gari la kwanza kufika eneo walilo pata ajali Magreth na Josephine. Abiria wakashuka huku wakishangaa shangaa jinsi gari hilo lililo pinduka.


“Dada mupo salama?”
Dereva wa gari hilo alizungumza.


“Hapana mwenzangu hapa amevunjika mguu nina waomba mumsaidie”
“Sawa oya Jafari, muingizeni kwenye gari na tumlaze siti ya nyuma”
Dereva huyo alitoa maagizo kwa makonda wawili wa gari hilo. Wakanza kumbeba Josephine na kumlaza siti ya mwisho huku watu walio kuwa wamekaa kwenye siti hizo wakihamia siti za mbele kidogo.


“Kama huto jali naomba mumfikishe katika hospitali kubwa na ninakuomba unipatie naomba uni andike namba zako za simu, ili nikipata msaada wa gari langu kulitoa hapa basi iwe rahisi kwa mimi kuwasiliana nawe”
Magreth alimuambia dereva wa basi hilo dogo la abiria.


“Sawa ila hii gari hapa mbona ina weza kusukumwa na kukaa sawa”
“Kweli?”
“Ndio”
“Hembu naombeni munisaidie”
Wanaume wapatao kumi na tano, wakaanza kujiahidi kulisukuma gari la Magreth lililo pindukwa kwa ubavu wa kulia. Nguvu za wanaume hao zikazaa matunda. Gari la Magreth likaa sawa.


“Hembu jaribu kuliwasha”
Magreth akaingia ndani ya gari lake, akajaribu kuliwasha ila halikuweza kuwaka.


“Hapa tuna fundi wetu hivyo ngoja tukuachie kisha sisi tumuwahishe hospitali huyu mgonjwa”
“Nashukuru sana kaka”
“Usijali”
“Hivi huko mulipo toka hamjaona gari moja aina ya Toyota Voxy?”
“Hapana sijakutana na gari lolote”
“Nashukuru”


Dereva na abiria wake wakaondoka eneo hilo huku wakimuacha fundi wa gari hilo akianza kutafuta ni wapi gari la Magreth lime lete itilafu.


“Ilikuwaje dada hadi mukapinduka?”
“Kuna gari la majambazi nilikuwa nina lifukuzia. Hivyo waliweza kunichezea mchezo mbaya wa kunipindua”
“Majambazi!!?”
“Ndio mbona una shangaa?”
“Mmmm nashangaa kwa maana majambazi ni watu hatari na nina sikia kwamba jana wamevamia hoteli moja pale Morogoro mjini”
“Yaa ndio hao hao nilikuwa nina wafukuzia”
“Mmmm wewe ni askari?”
“Hapana, ila wame mteka mume wangu hivyo nilikuwa katika harakati za kuhakikisha kwamba nina muokoa mume wangu”
“Mmmmm”
Fundi huyo alijikuta akiguna huku akimtazama Magreth kwa macho ya kuiba kwa maana si kwa maelezo hayo ya kujiamini. Baada ya dakika kumi na tano za matengenezo madogo, gari hilo likafanikiwa kuwaka.
“Dada una bahati sana kwa maana taaluma yangu hii ya kutengeneza magari ya aina hii niliipata kwa Mahindi fulani pale Dar”
“Nashukuru sana kaka yangu. Tuelekee mjini nita kupatia zawadi nzuri sana”
“Usijali dada. Mafundi hawa wa gereji bubu, hawawezi kutengeneza hizi gari kwa maana ni garama sana na zina mifumo yao ya uundwaji ni ya kipekee sana, tofauti na hizi Toyota ambazo mifumo yao ina ingiliana ingiliana”
“Ni kweli nashukuru sana”
Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Fundi huyo akaingia kwenye gari, Magreth akaligeuza na kuanza safari ya kueleeka mjini Morogoro huku akipewa maelekezo na fundi huyo ni barabara ipi apite.


***


Kwa mara yake ya kwanza maishani kuingia katika jengo linalo lindwa kupita majengo yote nchini Tanzania. Julieth akaendelea kushangaa shangaa jinsi Ikulu ilivyo pambwa na bustani nzuri za maua huku walinzi wenye bundukiwa wakiwa wamezagaa kila mahali ndani ya ikulu hiyo.


“Jery mzee ana kuita ofisini kwake”
Mlinzi mmoja alizungumza na kumfanya Jery anze kujiuliza maswali mengi sana kichwani kwake. Julieth moja kwa moja akapelekwa anapo ishia raisi na familia yake akisubiria kunza kufanyiwa vipimo. Jery akaingia ofisini kwake na kumkuta raisi Mtenzi akitwa amesimama hukua kitazama dirishani.


“Baba nime rudi”
Raisi Mtenzi akaendelea kukaa kimya kana kwamba hajasikia chocote.
“Baba”
“Jery hivi niki kufunga au nikikupa adhabu kubwa sana nita kuwa nina makosa?”
Mapigo ya moyo ya Jery yakaanza kumuenda kasi sana huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga sana. Raisi Mtenzi akageuka huku akiwa ameshika picha zipatazo kumi. Akaanza kutembea hadi sehemu alipo simama Jery ambaye kujiamini kwake kote kume muisha.


Raisi Mtenzi akamzaba Jery kofi zito hadi akayumba nusura aanguke chini.
“Kuwa mtoto wa raisi si kuwa na mamlaka ya kutumia rasilimali zangu au za nchi hii jinsi unavyo jisikia. Umenielewa?”
“Nd…iooo baba”
Raisi Mtenzi akamkabidhi Jery picha zinazo onyesha maiti za baadhi ya watu alio waagiza kwenda kumteka Evans. Picha hizo zote ni maiti za vijana hao walio pata ajali katika moja ya maporomoko katika mkoa wa Morogoro.


“Kuanzia sasa nime kubadilishia mlinzi na huto ruhusiwa kutoka na kwenda sehemu yoyote nje ya ikulu pasipo idhini yangu. Simu yako pia nime iunganisha tambua kwamba chochote ambacho una zungumza na mtu yoyote, nitakuwa nina kisikia na mimi pia kwenye hii simu yangu. Umenielewa”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya chini ila ya kukoroma sana inayo dhihirisha kwamba ame jawa na hasira sana.
“Nimekuelewa baba”
“Huyo mwanamke wako amesha fika?”
“Ndio baba”
“Kamlete hapa ofisini kwangu”
Jery akatoka ofisini hapo huku akishika shika shavu lake kwa maana kofi hilo lime muingia kisawa sawa. Jambo analo jivunia Jery ni kwamba ana pendwa sana na baba yake. Jery akaingia ndani kwao na kumkuta Julieth akizungumza na mama yake.
“Baba ana kuhitaji”
Jery alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.


“Wewe mbona haupo sawa”
Mrs Mtenzi alimuuliza mwanaye huku akimtazama usoni.
“Nipo sawa mama”


“No nina kufahamu niambie una nini?”
“Hapana mama. Julieth twende”
“Mama baadae”
Jery na Julieth wakatoka ndani hapo huku njia nzima wakiwa kimya.
“Mume wangu kuna nini?”
Jery hakujibu chochote zaidi ya kuendelea kutembea. Wakaingia ofisini kwa raisi Mtenzi na kumkuta akiwa amekaa kwenye kiti chake. Julieth akasalimia kwa heshima zote, raisi Mtenzi hakuitikia salamu hiyo zaidi ya kumpandisha na kumshusha Julieth.


“Baba tumefika”
“Toka ndani hapa”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo, Jery akamtazama Julieth na kuanza kuelekea mlangoni, kabla hajatoka raisi Jery akampa ishara Jery ishara ya kurudisha picha hizo, kisha akatoka ndani hapo. Raisi Mtenzi akampatia Julieth picha hizo na kumfanya astuke kidogo kwa maana zina tisha sana na watu hao wame kufa vifo vibaya sana.


ITAENDELEA


Haya sasa, nini lengo la Raisi Mtenzi kumkabidhi Julieth picha hizo.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 73
 
SIN 73


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Mume wangu kuna nini?”
Jery hakujibu chochote zaidi ya kuendelea kutembea. Wakaingia ofisini kwa raisi Mtenzi na kumkuta akiwa amekaa kwenye kiti chake. Julieth akasalimia kwa heshima zote, raisi Mtenzi hakuitikia salamu hiyo zaidi ya kumpandisha na kumshusha Julieth.


“Baba tumefika”
“Toka ndani hapa”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo, Jery akamtazama Julieth na kuanza kuelekea mlangoni, kabla hajatoka raisi Jery akampa ishara Jery ishara ya kurudisha picha hizo, kisha akatoka ndani hapo. Raisi Mtenzi akampatia Julieth picha hizo na kumfanya astuke kidogo kwa maana zina tisha sana na watu hao wame kufa vifo vibaya sana.





ENDELEA


“Hao watu wame kufa kwa ajili yako”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Julieth kwa macho makali. Julieth macho yakamtoka huku akiwa hajui ni kwa nini watu hao wame kufa kwa ajili yake.
“Upuuzi wa huyo bwana wako, ameagiza watu wangu waende kumteka huyo mjinga wako Evans na mwishowe wame aishia kwenye vifo. Watu hao wana familia ambazo zina wategemea. Upuuzi wa mapenzi yenu ya kijinga una wagarimu watu wengine ambao hawana hatina na wala hawato kuwepo pale mutakapo kuwa muna panuana miguu kitandani”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali sana na lumfanya Julieth kutetemeka sana kwa woga kwa maana siku ya kwanza kukutana na baba mkwe ana fokewa kwa kiasi chiho.
“Sasa nina taka kujua ukweli, ukinidanyanya nita fanya kitu kibaya ambacho huja wahi kufanyiwa na mtu wa aina yoyote”
Julieth akatamani ardhi ipasuke ili mmeze.
“Evans amekuto** au haja kuto**”
Raisi Mtenzi alizungumza maneno ambayo Julieth hakutarajia kama yana weza kutoka kwenye kinywa cha mkwe wake huyo. Julieth akahisi kuchanganyikiwa kwa maana hajui hata amjibu kitu gani raisi Mtenzi.


“Nijibu”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akipiga kofi zito juu ya meza yake na kumfanya Julieth kustuka kwa woga huku akiziachia picha hizo na kuanguka chini. Mlango wa raisi Mtenzi ukafunguliwa na akaingia mlinzi wake namba moja.
“Muheshimiwa muda ume fika, kuelekea airport”
Raisi Mtenzi akashusha pumzi huku akimtazama Julieth aliye inama chini huku akihisi kuchanganyikiwa kama si mlinzi huyo kuingia ndani hapo basi angezungumza ukweli wote wa mahusiano yake na Evans.
“Sawa mpelekeni huyu binti kwa daktari na nime muachia maelekezo yote. Waambie wahakikishe asionane na Jery wala mtu yoyote hadi pale nitakapo rudi”
“Sawa mkuu”
Wakaingia walinzi wawili wa kike, wakaondoka ofisini hapo na Julieth ambaye ana mwagikwa na machozi. Wakiwa njiani wakakutana na Jery.


“Baby vipi mbona un alia?”
Jery alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi. Walinzi hao wakamzuia Jery kuzungumza na Julieth na wakampita kama sio yeye. Julieth akaingizwa kwa daktari wa kike na ambaye amepewa maagizo ya kumpima Julieth vipimo vyote. Jery akaingia ofisini kwa baba yake huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.


“Baba ume mfanya nini Julieth?”
Jicho jali alilo tazamwa nalo likawa ni jibu tosha kwa Jery kukaa kimya. Raisi Jery na walinzi wake wakatoka ndani hapo na kumkuta mke wake akiwa tayari amesha ingia ndani ya gari.
“Baba Jery kuna nini kinacho endelea kwa watoto”
“Tuna ongea tukimaliza majukumu ya kiserikali”
Raisi Mtenzi alizungumza hukua kifunga mkanda wa siti yake na kuianza safari ya kuelekea uwanja wa ndege kumpokea raisi wa Marekani anaye kuja kwa ziara ya siku mbili nchini Tanzania.
***


Watu wa Evans wakafika kwenye moja ya msiti mkubwa sana ulipo katika miliya ya Uruguru. Wakasimamisha gari lao na kumtoa Evans ambaye bado amepoteza fahamu.


“Simu za wakuu wote wawili hazipatikani”
Mmoja wao alizungumza mara baada ya kuwasiliana na Jery pamoja na mlinzi wake.
“Tuna fanyaje na huyu boya?”
“Sijajua kabisa mkuu, isitoshe wezetu watakuwa wame kufa”
“Jaribuni kuwatafuta na ikishindikana tuna muua”
“Sawa mkuu”
Mmoja wa walinzi huyolizungumza na kuendelea kutafuta mawasiiano na mlinzi wa Jery ambaye ndio amewapatia kazi hiyo. Mmoja wa walinzi ambaye ana laptop inayo msaidia kuperudi katika mtandoa wa NSA wanao ili kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.


“Mkuu”
“Ndio”
Akamuonyesha mkuu wake picha za wezao ambao wamefariki katika ajali waliyo ipata jana usiku. Kila mmoja wao akajawa na wasiwasi mkubwa sana kwa maana jambo hilo kama lime weza kujulikana ndani ya kitengo chao ni lazima na wao wata kuwa wana tafutwa na endapo wata kamatwa badhi adhabu yao ni kifo kwa maana kitendo cha kuwadhuru askari polisi basi ni moja ya kosa kubwa sana katika katiba ya kitengo chao.
“Mkuu tuta fanya nini?”
“Hadi sasa hivi tuna hesabika ni waasi wa serikali. Ina bidi kuhakikisha kwamba hakuna hata mmoja wetu ambaye ana ingia mikononi mwa vyombo vya usalama”
“Na huyu”
Mmoja wao alizungumza huku akimtazama Evans. Mkuu wao akachomoa bastola yake na kumuelekezea kichwani mwake.
“Usimuue kwa risasi uta poteza risasi zako bure mkuu”
“Tufanye nini?”


“Huyu tuna mzika akiwa hai”
“Muda wa kuchimba kaburi sisi hatuna”


Mkuu wao alizungumza, akaifunga bastola yake kiwamboa cha kuuzia sauti. Kabla hajafyatua risasi, simu yake ikaanza kuita. Akaitoa mfukoni na kukuta ni namba ngeni, akaipokea na kuiweka sikioni mwake.


“Ndio”
“Ni mimi Jery”
“Mkuu”
“Mume mpata huyo mjinga?”
“Ndio tunaye”
“Hakikisheni muna kuwa naye hai na nita dili naye mimi mwenyewe, Kajiificheni sehemu ambayo hakuna mtu ambaye ata wapata. Nitakuja kuwacheki”
“Sawa mkuu”
Simu ikakatwa, mkuu huyo akamtazama Evans kisha akawaagiza wezake wamuingize kwenye gari na wakaondoka eneo hilo na kutokomea wanapo pafahamu wao wenyewe.


***


Magreth na fundi huyo wakaifka katika hospitali ya mkoa aliyo pelekewa Josephine na kumkuta akiwa bado yupo katika chumba cha upasuaji.


“Hapa mjini ni wapi kuna fundi wa hizi iphone?”
“Yupo jamaa yangu mmoja ana tengeneza hizo simu”
“Una weza kunipeleka?”
“Ndio”
Wakaelekea kwa fundi huyo na simu ya Magreth ikaanza kutengenezwa. Hawakuchukua muda mrefu fundi huyo akamaliza kuitengeneza simu hiyo. Magreth akatoa kiasi cha milioni mbili kwa wakala wa mtandoa mmoja wa simu, akamlipa fundi hiyo kisha akampatia fundi huyo wa gari kiasi cha laki tatu na kuagana naye. Magreth akarudi hospittalini hapo na kumkuta Josephine akipelekwa kwenye wodi ya wagonjwa.
“Vipi dokata hali yake ina endeleaje?”
“Ni mguu ume vunjika mara mbili, ila tume jitahidi kwa kadri ya uwezo wetu na tumefanikiwa kuuweka sawa”
“Ahaa je nina weza kupata msaada wa kumuhamishia katika hospitali ya Dar es Salaam.”
“Wewe ni nani yake?”
“Mdogo wake”
“Sawa ila kuna garama kwa maana ina bidi atumie usafiri wa hapa hospitalini”
“Hakuna shaka dokta, je ni kiasi gani?”
“Laki mbili”
“Sawa nina weza kulipia kwa sasa”
“Hakuna shaka. Uta elekea pale kwa muhasibu na utalipia”
“Sawa”
Magreth akamaliza taratibu zote za kulipia gari hilo la wagonjwa na safari ya kuelekea jijini Dar es Salaam ikaanza huku na yeye akifwata kwa nyuma gari hilo la wagonjwa. Kutokana na king’ora kinacho pigwa na gari hizo kika wapa wepesi mkuwa wa kupishwa barabarani na gari nyingine hivyo ikawasaidia kuto kusimama kwenye foleni na wakafika Dar es Salaam ndani ya muda mchache. Moja kwa moja Josephine akapelekwa kwenye hospitali ya Muhimbili na kupokelewa na madaktari wa hospitali hiyo, wakamfanyia uchunguzi na walipo hakikisha kwamba yupo salama wakampelekea kwenye wodi ya kwake peke yake huku Magreth akiendelea kulipa huduma za matibabu yote hayo. Vyombo vyote vya nchini Tanzania na jirani ya nchi ya Tanzania vime jawa na habari ya shambulizi lililo tokea katika mkoa wa Morogoro. Habari hiyo ikaendelea kumuumiza Magreth kwa maana ame jitahidi kwa kadri ya uwezo wake ila hajafanikiwa kumuokoa mume wake.


‘Mungu msaidie Josephine aamke anisaidie kumtafuta mume wangu kwa maombi yako’


Magreth aliendelea kuomba kimoyo moyo huku akiwa amejiinamia katika kiti alicho kalia. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama na kuipokea.


“Juma”
“Naam bosi habari ya mchana”
“Salama za wewe”
“Safi mbona huonekani ofisini, vipi kwema?”
“Yaa kwema kiasi ila nita pita hapo ofisini baadae kidogo”
“Sawa bosi”
Magreth akakata simu, kisha taratibu akanyanyuka na kuingia katika chumba alicho lazwa Josephine ambaye bado yupo katika usingizi mzito utokanao na sindano ya usingizi alio chomwa kipindi anafanyiwa upasuaji.


***


Daktari wa raisi akamaliza kumfanyia Julieth vipimo vyote kisha akampelekwa katika chumba cha mapumziko. Jery akafika katika chumba hicho alicho kaa Julieth ambaye bado ana msongamano wa mawazo ulio ambatana na woga mwingi sana. Walinzi wawili walipo mlangoni hapo wakamzuia.
“Hamuna nguvu ya kunizuia. Mume nielewa?”
Jery alizungumza kwa hasira huku akiwatazama wadada hao.


“Jery tuna kuheshimu, ila hatufanyi kazi kwako. Tuna fwata amri ya muheshimiwa raisi”
“Ila kumbukeni kwamba mimi ni mtoto wa raisi?”
“Ndio tuna lijua hilo, ila hatufwati amri yako”
Walinzi wengine wawili wakafika sehemu hiyo.


“Samahani mkuu una itwa”
“Na nani?”
“Mlinzi wako”
“Yupo wapi?”
“Tufwate”
Jery akawatazama kwa sekunde kadhaa wadada hao kisha akaongozana na walinzi hao hadi eneo la chini ya ikuli ambapo toka anze kukaa hapo ikulu hajawahi kuiona sehemu hiyo. Eneo walilo ingia ni sehemu iliyo jengwa kwa ajili ya kuwafunga walinzi wana kiuka sheria za eneo hilo. Akamkuta mlinzi wake akiwa amepigwa sana hadi mwili ukamsisimka kwa woga.


“Bosi samahani”
Mlinzi huyo alizungumza kwa shida sana huku jicho lake moja likiwa lime ziba kwa kupigo hicho.


“Kime kupata nini?”


Jery aliuliza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.


“Ni..same…he…Mzee amegundua mpango wetu”
“Ndio akupige hivi?”
“Nisamehe kwa kushindwa kutunza siri mkuu”
Mlinzi huyo alizidi kumtia huruma Jery na kumpandisha hasira.
“Kama nikifa mkuu nakuomba umlee mwanangu”
“Huwezi kufa”
“Hapana mkuu nime iasi katiba yangu ni lazima nife”
“Hapana uzingumze hivyo. Nitahakikisha nina zungumza na baba”
Jery alizungumza kwa msisitozo, taratibu mlinzi wake huyo ambaye ame kuwa naye kwa kipindi kirefu, akamshika Jery viganja vyake vyote viwili na kumfanya ajawe na hasira na uchungu mwingi sana kwa maana tukio hilo ni la kikatili sana kwa mlinzi wake ambaye ana mpenda na amejitoa sana kwa ajili ya maisha yake.
“Mleteni daktari apewe matibabu?”
“Hatuwezi kufanya hivyo kwa maana hii ni amri ya raisi na ume ingia hapa kwa heshima yako ila pia ulikuwa huruhusiwa kuingia hapa”
Mlinzi mmoja alizungumza huku akimtazama Jery usoni mwake. Jery akazidi kujawa na hasira sana kwa maana endapo ata muacha mlinzi wake katika mazingira hayo basi ana weza kupoteza maisha. Jery akamnyanyua mlinzi wake huyo, akataka kutoka naye ndani hapo ila akazuiwa.
“Tafadhali Jery usitulazimieshe kutumia nguvu”
Mlinzi mmoja alizungumza huku akimzuia Jery kwa kumshika kifuani mwake. Jery akautazama mkono wa mlinzi huyo na kumfanya autoe.


“Nina mtoa sasa ole wake mtu aniguse, huo ugeni wenu leo wote uta vurugika na muta jua kama mimi ni kishaa au nina akili timamu”
Jery alizungumza na kuwafanya walinzi hao kutazamana huku wakijuliza ni kitu gani ambacho Jery amekidhamiria kukifanya kwao.


ITAENDELEA


Haya sasa, Je ni mkwara tu anao upiga Jery au ana maanisha kwa kile anacho kizungumza.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 74.
 
SIN 74


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Tafadhali Jery usitulazimieshe kutumia nguvu”
Mlinzi mmoja alizungumza huku akimzuia Jery kwa kumshika kifuani mwake. Jery akautazama mkono wa mlinzi huyo na kumfanya autoe.


“Nina mtoa sasa ole wake mtu aniguse, huo ugeni wenu leo wote uta vurugika na muta jua kama mimi ni kishaa au nina akili timamu”
Jery alizungumza na kuwafanya walinzi hao kutazamana huku wakijuliza ni kitu gani ambacho Jery amekidhamiria kukifanya kwao.





ENDELEA


“Kama leo muna mfanyia mwenzenu hivi ambaye amjitoa maisha yake yote kwa ajili yangu. Kumbukeni huyo huyo ambaye alimfanya awe hivi ipo siku nanyi ata wafanya kuwa hivi. Ana stahiki kuishi ana mtoto wa kike ni mdogo na ana miaka mitatu ana stahili maleze ya baba yake. Nina mjua baba yangu sio mtu mwenye utu kabisa.”
Jery alizungumza maneno ambayo yaliwaingia walinzi hao wawili mioyoni mwao.


“Ana hitaji kuishi mwenzenu”
“Sawa ila daktari aletwe hapa hatutoa hitaji atoke hapa ndani kwa maana na sisi hatuhitaji kupata adhabu kama hiyo”
“Sawa nita mtibu mimi mwenyewe. Nisubirini nina kuja”
Jery akatoka ndani hapo kwa haraka, akaingia chumbani kwake na kuchukua kibegi chake kidogo chenye vifaa vya kidaktari kisha akarudi eneo hilo na kuanza kumpatia matibabu ya siri mlinzi wake huyo.


***


Ulinzi ukazidi kuimarishwa katika kiwanja cha ndege cha mwalimu Jk Nyerere na majeshi ya nchi za pande mbili, Marekani na Tanzania. Umakini haukuwa tu kwenye maeneo ya ardhini, bali hata eneo la anga, ndege za kijeshi aina ya Jet zipatazo kumi zime uzingira uwanja huo huku zikisubiria ndege kubwa ya raisi wa Marekani, ali maarufu kwa jila la Air Force One itue katika kiwanja hicho.


Raisi Chinas, mke wake pamoja na viongozi wengine wa kitaifa, wamekusanyika katika kiwanja hicho kuusubiria ugeni huo ambao kwa nchi ya Tanzania ni ugeni mmoja mkubwa sana. Hazikupita dakika kumi na tano ndege hiyo ikaanza kuonekana kwenye anga la uwanja huo wa taifa. Wananchi wengi walio jitokeza wakaanza kushangilia huku kila mmoja akiwa na hamu kubwa sana ya kumuona raisi wa Marekani. Taratibu ndege hiyo ikaanza kutua na kupunguza mwendo wake wa kasi, ilipo kaa sawa, ikaendeshwa hadi katika zulia jekundu lililo wekewa ngazi maalimu kwa ajili ya raisi wa Marekani na timu yake kushuka. Raisi Chinsa Mtenzi mpamoja na mke wake wakasogelea katika eneo hilo la ngazi huku kukiwa na vitoto viwili vya kike vikiwa vime beba maua ambayo wata mpatia raisi huyo ambaye naye ameambatana na mke wake pamoja na mtoto wake wa kike.
Raisi Minler Thomas akaanza kushuka na mke wake katika ngazi hizo huku wakiwa wame jawa na furaha kubwa sana. Wakapeana mikono na raisi Chinas Mtenzi huku wakiwa na furaha kubwa snaa. Wakatambulishana wake zao kisha wakaeleka kwenye kijukaa maalumu. Ukaanza kupigwa wimbo wa Taifa wa nchi ya Tanzania kisha ukafwatia wimbo wa taifa wa nchi ya Marekani. Baada ya hapo, wakakagua kikosi cha jeshi kilichopo hapo uwanjani kisha wakaelekea katika eneo la wacheza ngoma. Wakatazama ngoma hizo kwa dakika tano kisha wakaingia kwenye gari maalumu ambalo lina tumiwa na raisi wa Marekani.


“Nchi yako ina watu wakarimu sana”
“Nashukuru sana ndugu yangu. Karibu sana Tanzania”
“Nashukuru sana ndugu yangu. Nime jawana furaha sana kufika hapa. Kipindi chote cha misha yangu nime kuwa na hamu kubwa sana ya kufika nchini hapa na leo ndoto yangu ime kamilika”
“Nafurahi kusikia hivyo ndugu yangu”
Msafara huo moja kwa moja ukafika ikulu. Raisi Mtenzi akamuagiza mmoja wa walinzi wake waende kumuita Jery kw amaana na yeye ana paswa kutambulishwa kwa familia ya raisi Minler. Mlinzi huyo akaanza kuulizia ni sehemu gani aliyopo na akaelezwa kwamba yupo katika gereza alilo fungwa mlinzi wake. Akafika katika gereza hilo na kumkuta Jery akimalizia kumuhudumia mlinzi huyo.


“Jery baba yako ana kuita”
“Wameshafika?”
“Ndio”
“Ndugu yangu hii sindano niliyo kuchoma ita saidia sana katika kukausha majeraha ya vidonda.”
Jery alizungumza kisha akaondoka eneo hilo, moja kwa moja akaelekea chumbani kwake, akaoga haraka haraka ana kuvaa suti nzuri kisha akeleeka katika eneo walipo wazazi wake. Jery akasalimia na riaisi Minller, mkewe pamoja na mwanaye wa kike.


“Huyu ni mwanangu wa mwisho”
“Ohoo nashukuru sana kumfahamu”
“Jery una weza kumtembeza mwanangu na muka zungumza mambo mawili matatu”
Raisi Minler alizungumza na kumfanya Jery atabasamu. Wakatoka eneo hilo pamoja na mtoto huyo wa kike wa raisi Minler ambaye ana umri mmoja na Jery.


“Una itwa nani?”
“Naitwa Godliver”
“Wao ni jina zuri sana”
“Nashukuru hata na wewe pia jina lako ni zuri sana.”
Jery akampeleka msichana huyo kwenye bwawa kubwa ambalo lime zungukwa na maua mazuri pamoja na bata mzinga wengi ambao wame kuwa ni kivutia kizuri sana kwa Godliver.


***


“Nimejarubu kumpigia Julieth simpati hewani vipi wewe ume mpata?”


Mrs Sanga alimuuliza mume wake ambaye amekaa sebleni akisoma biblia yake.
“Hawezi kuwa hewani, leo ikulu kuna ugeni mkubwa hivyo ni lazima simu yake itakuwa off. Si unajua jinsi wezetu Wamarekani wanavyo jali sana kwenye mambo ya usalama”
“Ahahaa….Nilijawa na wasiwasi mwingi, nikihisi labda ule mpango wetu ume julikana”
“Hapana, yule dokta yupo vizuri sana”
“Mume wangu, haya sasa tuna nafasi ya ukaribu na raisi, ehee je tuna fanyaje juu ya mipango yetu?”
“Subiri kidogo muda uta amua. Unajua inabidi tuvumilie hadi pale utakapo ingia bungeni na mambo yakiwa vizuri basi kila jambo tutakalo lipanga litakwenda poa”
“Sawa mume wangu mimi nina kusikiliza wewe. Vipi leo una kwenda kwenye ibada?”
“Yaa nina hamu sana ya kurudi mazabahuni.”
“Mungu akutangulie”
“Vipi hutaki kwenda na mimi?”
“Mmmm hapana kuna mahala nina kwenda mara moja kisha nina rudi nyumbani. Nahitaji kuwandalia chakula kizuri kwa leo usiku”
“Sawa mke wangu”


Mrs Sanga akambusu mume wake mdomoni kisha akaondoka nyumbani hapo. Nabii Sanga alipo hakikisha ameandaa somo zuri la kwenda kuhubiri kanisani akajiandaa na kuanza safari ya kuelekea kanisani kwake. Wingi wa watu walio kusanyika kanisani hapo, uka zidi kumfanya nabii Sanga aamini nguvu alizo nazo zina zidi kufanya kazi. Kila muumini aliye muona nabii Sanga alizidi kujawa na wa furaha kwa maana ni kipindi kirefu hawajamuona mtumishi wao huyo. Shangwe na nderemo zikazidi kupambam moto kanisani hapo huku wana kwaya wakizidi kutumbuiza kisawa sawa. Nabii Sanga akaanza makeke yake ya kuhubiri huku waumini wake wakizidi kujawa na imani mioyoni mwao pasipo kufahamu kwamba siri ya mambo yote nyuma ya nabii wao huyo ina tokana na nguvu za giza na wala si kwa nguvu za Mungu.


***


Kadri muda unavyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi Julieth anavyo jawa na wasiwasi.Hatambu lengo la yeye kuweka ndani ya chumba hicho ambacho kina kila aina ya huduma. Kitu kibaya zaidi ni simu yake ameicha alipo kuwa ana ingia ofisini kwa raisi. Akasimama na kugonga mlango huo. Mlango ukafunguliwa na akachungulia mlinzi mmoja wa kike.


“Ndio”
“Nahitaji kumuona Jery”
“Kwa sasa Jery yupo na wageni”
“Tafadhali nin kuomba umuombe aweze kuja humu”
“Hapana dada. Raisi wa Marekani yupo hapa hivyo kila mmoja yupo busy”
“Sasa kwa nini nime fungiwa humu ndani kama mfungwa?”
“Haujafungiwa kama mfungwa ndio maana hauna pingu mkononi mwako.”


“Ila nina kuomba unisaidie kumuita yule ni mume wangu mtarajiwa na nina kila haki ya kumuona”
Mlinzi huyu kidogo akastuka baada ya kusikia kwamba Julieth ni mke mtarajiwa wa Jery. Wakashauriana walinzi hao na mmoja wapo akaondoka na kuanza kumtafuta Jery. Akafanikiwa kumuona Jery, akamsogelea na kumgong’oneza sikioni mwake.


“Sawa muambie nina kuja”
Mlinzi huyo akaondoka na kumuacha Jery akiendelea kuzungumza na mgeni wake.


“Ana kuja”
“Sawa”
Kidogo Julieth akaanza kujawa na furaha kwa maana ana weza kupata fumbo la yeye kuwekwa ndani hapo. Baada ya nusu saa Jery akaingia ndani hapo. Wakakumbatiana kwa nguvu huku kila mmoja akiwa na hisia kali za kimapenzi kwa mwenzake.


“Jery nime choka kukaa peke yangu humu ndani”
“Usijali twende chumbani kwangu. Unajua kuna ugeni mkubwa sana wa raisi kutoka Marekani”
“Ahaa kumbe ni leo”
“Yaa ni leo. Pia si una jua kwamba wewe ni mke wangu mtarajiwa hivyo baba haja penda uwe una onekana onekana kwa watu hadi pale tutakapo oana”
Jery alimuomgopea Julieth ili mradi ajawe na amani ambayo anatambua kwamba ilisha mtoweka.
“Nime kuelewa mume wangu”
“Nashukuru kusikia hivyo. Twende”


Jery akatoka na Julieth na walinzi hao wakashindwa kuwazuia, walicho kifanya ni wao kufwata kwa nyuma. Jery akamuingiza Julieth chumbabi kwake.


“Kila kitu kipo humu ndani mke wangu. Ukihitaji games zipo kuwa na furaha”
“Simu yangu”
“Ohoo simu nita mtafuta yule mlinzi kisha nita kuletea”
“Sawa mume wangu”
“Vipi una jihisi njaa?”
“Kwa mbali?”
“Basi nita muagiza mpishi akuletee. Ila nisamehe sana mke wangu kwa maana kuna baadhi ya wageni ambao baba ame nikabidhi niwe nao hivyo sipaswi kuwa nao mbali”
“Usijali mume wangu, huo ndio wakati wa wewe kuji funza baadhi ya mambo. Huwei jua huko mbele nawe ukaja kuwa raisi”
“Hahaa sawa mke wangu. Nina kupenda sana”
“Nakupenda pia”
Jery akambusu Julieth mdomoni mwake kisha Jery akatoka ndani hapo. Akamuaagiza mpishi wa familia ya kumuandalia Julieth chakula, kisha yeye akaelekea alipo muacha mtoto wa raisi wa Marekani.


***


“Mkuu gari ina elekea kukata mafuta na huku tulipo ni porini”
Dereva alizugumza huku akimtazama mkuu wake aliye kaa siti ya pembeni.


“Daa na huku hakuna hata dalili ya mtu kuishi?”
“Yaaa”
“Dogo endapo mafuta yatatuishia, damu yako ita kuwa ndio mafuta yetu”
Jamaa huyo alizugumza huku akimtazama Evans usoni mwake.


“Kwa nini jamani mume niteka?”
“Wewe una kulaje sahani moja na wenye nchi. Hili ndio linalo kutokea”
Mkuu huyo alizungumza huku akimtazama Evans kwa macho ya dharau. Evans machozi yakaanza kumlenga lenga na hapa ndipo akaanza kupata picha kwamba mateso haya yote anayo yapitia kwa sasa ni kutokana na kuwa na mahusiano na Julieth.


‘Wanawake kweli ni wauaji’


Evans alizungumza kimoyo moyo huku akiwatazama wanaume hawa watano alio kaa nao ndani ya gari hilo linalo elekea asipo pajua.


“Naombeni kujisaidia haja ndogo”
Evans alizungumza huku akijaribu kutazama maporomoko yaliyopo pembezoni mwa hii barabara.


‘Una zingua una jua?”
“Ni kweli naombeni sana nijisaidie”
Kwa ishara mkuu wa kikosi hicho akamuomba dereva huyo kusimamisha gari hilo pembezoni mwa barabara.Vijana wawili walio kaa siti ya nyuma na Evans waka shuka ndani ya gari hilo, walipo hakikisha kwamba ulinzi upo vizuri wakamshusha Evans ambaye ni kweli ame banwa na haja kubwa.


“Mkuu una jua kwamba tuna songa tu mbele na hatujui ni wapi tunapo elekea?”
“Huku mbele kuna kijiji ana ishi babu yangu, nina imani tuna weza kukaa pale hadi mkuu atakapo kuja”
“Ila mkuu tume poteza sana wezetu. Sisi tulio baki hatujui tuna ishi vipi, hatuelewi familia zetu zita kuwa kwenye hali gani”
“Ni kweli nina wasiwasi hata mimi, Ila hii ndio njia tuliyo ichagua. Hatuna namna ya kurudi nyuma tena”
“Daa kazi kweli kweli kaka. Ila huyu dogo sijui ata fanywa nini na Jery?”
“Atamuu “
“Ila mapenzi ni mambo ya kijinga sana. Sisi tuna hangaika ila wao wakipatana mambo yana endelea”
“Tuta fanyaje sasa ikiwa ndio kazi yetu”
Evans akasogea pembezoni kabisa kwa barabara hiyo, akafungua zipu ya suruali yake na kuanza kujisahidia haja ndogo huku macho yake yote yakitazama katika eneo hilo lenye bonde kubwa. Chini kabisa ya hilo bonde ambalo ni refu sana akaona mto mkubwa sana una tirisha maji. Akageuka nyuma na kuwatazama watu hao walio mteka. Wawili alio shuka nao kwenye gari wame simama eneo moja huku wakipiga stori zao na kucheka. Wengine watatu wapo ndani ya gari wakiendelea na mazungumzo yao.


‘Ni heri kufa kuliko kuendelea kushikiliwa na hawa watu ambao sijui hatima ya maisha yangu itakuwa ni nini mikononi mwao’


Evans alizungumza huku akiifunga zipu ya suruali yake. Akarudi hatua mbili nyuma kisha akakimbia kwa kasi na kujirusha kuelekea chini katika bonde hilo kubwa na kuwafanya walinzi hao wote kustajabu kwa maana hakuna hata mmoja wao aliye tarajia kuona Evans akifanya tukio kama hilo.


ITAENDELEA


Haya sasa, Evans ameamua kujitosha kwenye bonde hilo kubwa, je atafanikiwa kutoka hai ikiwa walinzi hao wamepewa agizo la kuhakikisha wana mshikilia Evans hadi pale atakapo onana na Jery.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 75.
 
SIN 74


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Tafadhali Jery usitulazimieshe kutumia nguvu”
Mlinzi mmoja alizungumza huku akimzuia Jery kwa kumshika kifuani mwake. Jery akautazama mkono wa mlinzi huyo na kumfanya autoe.


“Nina mtoa sasa ole wake mtu aniguse, huo ugeni wenu leo wote uta vurugika na muta jua kama mimi ni kishaa au nina akili timamu”
Jery alizungumza na kuwafanya walinzi hao kutazamana huku wakijuliza ni kitu gani ambacho Jery amekidhamiria kukifanya kwao.





ENDELEA


“Kama leo muna mfanyia mwenzenu hivi ambaye amjitoa maisha yake yote kwa ajili yangu. Kumbukeni huyo huyo ambaye alimfanya awe hivi ipo siku nanyi ata wafanya kuwa hivi. Ana stahiki kuishi ana mtoto wa kike ni mdogo na ana miaka mitatu ana stahili maleze ya baba yake. Nina mjua baba yangu sio mtu mwenye utu kabisa.”
Jery alizungumza maneno ambayo yaliwaingia walinzi hao wawili mioyoni mwao.


“Ana hitaji kuishi mwenzenu”
“Sawa ila daktari aletwe hapa hatutoa hitaji atoke hapa ndani kwa maana na sisi hatuhitaji kupata adhabu kama hiyo”
“Sawa nita mtibu mimi mwenyewe. Nisubirini nina kuja”
Jery akatoka ndani hapo kwa haraka, akaingia chumbani kwake na kuchukua kibegi chake kidogo chenye vifaa vya kidaktari kisha akarudi eneo hilo na kuanza kumpatia matibabu ya siri mlinzi wake huyo.


***


Ulinzi ukazidi kuimarishwa katika kiwanja cha ndege cha mwalimu Jk Nyerere na majeshi ya nchi za pande mbili, Marekani na Tanzania. Umakini haukuwa tu kwenye maeneo ya ardhini, bali hata eneo la anga, ndege za kijeshi aina ya Jet zipatazo kumi zime uzingira uwanja huo huku zikisubiria ndege kubwa ya raisi wa Marekani, ali maarufu kwa jila la Air Force One itue katika kiwanja hicho.


Raisi Chinas, mke wake pamoja na viongozi wengine wa kitaifa, wamekusanyika katika kiwanja hicho kuusubiria ugeni huo ambao kwa nchi ya Tanzania ni ugeni mmoja mkubwa sana. Hazikupita dakika kumi na tano ndege hiyo ikaanza kuonekana kwenye anga la uwanja huo wa taifa. Wananchi wengi walio jitokeza wakaanza kushangilia huku kila mmoja akiwa na hamu kubwa sana ya kumuona raisi wa Marekani. Taratibu ndege hiyo ikaanza kutua na kupunguza mwendo wake wa kasi, ilipo kaa sawa, ikaendeshwa hadi katika zulia jekundu lililo wekewa ngazi maalimu kwa ajili ya raisi wa Marekani na timu yake kushuka. Raisi Chinsa Mtenzi mpamoja na mke wake wakasogelea katika eneo hilo la ngazi huku kukiwa na vitoto viwili vya kike vikiwa vime beba maua ambayo wata mpatia raisi huyo ambaye naye ameambatana na mke wake pamoja na mtoto wake wa kike.
Raisi Minler Thomas akaanza kushuka na mke wake katika ngazi hizo huku wakiwa wame jawa na furaha kubwa sana. Wakapeana mikono na raisi Chinas Mtenzi huku wakiwa na furaha kubwa snaa. Wakatambulishana wake zao kisha wakaeleka kwenye kijukaa maalumu. Ukaanza kupigwa wimbo wa Taifa wa nchi ya Tanzania kisha ukafwatia wimbo wa taifa wa nchi ya Marekani. Baada ya hapo, wakakagua kikosi cha jeshi kilichopo hapo uwanjani kisha wakaelekea katika eneo la wacheza ngoma. Wakatazama ngoma hizo kwa dakika tano kisha wakaingia kwenye gari maalumu ambalo lina tumiwa na raisi wa Marekani.


“Nchi yako ina watu wakarimu sana”
“Nashukuru sana ndugu yangu. Karibu sana Tanzania”
“Nashukuru sana ndugu yangu. Nime jawana furaha sana kufika hapa. Kipindi chote cha misha yangu nime kuwa na hamu kubwa sana ya kufika nchini hapa na leo ndoto yangu ime kamilika”
“Nafurahi kusikia hivyo ndugu yangu”
Msafara huo moja kwa moja ukafika ikulu. Raisi Mtenzi akamuagiza mmoja wa walinzi wake waende kumuita Jery kw amaana na yeye ana paswa kutambulishwa kwa familia ya raisi Minler. Mlinzi huyo akaanza kuulizia ni sehemu gani aliyopo na akaelezwa kwamba yupo katika gereza alilo fungwa mlinzi wake. Akafika katika gereza hilo na kumkuta Jery akimalizia kumuhudumia mlinzi huyo.


“Jery baba yako ana kuita”
“Wameshafika?”
“Ndio”
“Ndugu yangu hii sindano niliyo kuchoma ita saidia sana katika kukausha majeraha ya vidonda.”
Jery alizungumza kisha akaondoka eneo hilo, moja kwa moja akaelekea chumbani kwake, akaoga haraka haraka ana kuvaa suti nzuri kisha akeleeka katika eneo walipo wazazi wake. Jery akasalimia na riaisi Minller, mkewe pamoja na mwanaye wa kike.


“Huyu ni mwanangu wa mwisho”
“Ohoo nashukuru sana kumfahamu”
“Jery una weza kumtembeza mwanangu na muka zungumza mambo mawili matatu”
Raisi Minler alizungumza na kumfanya Jery atabasamu. Wakatoka eneo hilo pamoja na mtoto huyo wa kike wa raisi Minler ambaye ana umri mmoja na Jery.


“Una itwa nani?”
“Naitwa Godliver”
“Wao ni jina zuri sana”
“Nashukuru hata na wewe pia jina lako ni zuri sana.”
Jery akampeleka msichana huyo kwenye bwawa kubwa ambalo lime zungukwa na maua mazuri pamoja na bata mzinga wengi ambao wame kuwa ni kivutia kizuri sana kwa Godliver.


***


“Nimejarubu kumpigia Julieth simpati hewani vipi wewe ume mpata?”


Mrs Sanga alimuuliza mume wake ambaye amekaa sebleni akisoma biblia yake.
“Hawezi kuwa hewani, leo ikulu kuna ugeni mkubwa hivyo ni lazima simu yake itakuwa off. Si unajua jinsi wezetu Wamarekani wanavyo jali sana kwenye mambo ya usalama”
“Ahahaa….Nilijawa na wasiwasi mwingi, nikihisi labda ule mpango wetu ume julikana”
“Hapana, yule dokta yupo vizuri sana”
“Mume wangu, haya sasa tuna nafasi ya ukaribu na raisi, ehee je tuna fanyaje juu ya mipango yetu?”
“Subiri kidogo muda uta amua. Unajua inabidi tuvumilie hadi pale utakapo ingia bungeni na mambo yakiwa vizuri basi kila jambo tutakalo lipanga litakwenda poa”
“Sawa mume wangu mimi nina kusikiliza wewe. Vipi leo una kwenda kwenye ibada?”
“Yaa nina hamu sana ya kurudi mazabahuni.”
“Mungu akutangulie”
“Vipi hutaki kwenda na mimi?”
“Mmmm hapana kuna mahala nina kwenda mara moja kisha nina rudi nyumbani. Nahitaji kuwandalia chakula kizuri kwa leo usiku”
“Sawa mke wangu”


Mrs Sanga akambusu mume wake mdomoni kisha akaondoka nyumbani hapo. Nabii Sanga alipo hakikisha ameandaa somo zuri la kwenda kuhubiri kanisani akajiandaa na kuanza safari ya kuelekea kanisani kwake. Wingi wa watu walio kusanyika kanisani hapo, uka zidi kumfanya nabii Sanga aamini nguvu alizo nazo zina zidi kufanya kazi. Kila muumini aliye muona nabii Sanga alizidi kujawa na wa furaha kwa maana ni kipindi kirefu hawajamuona mtumishi wao huyo. Shangwe na nderemo zikazidi kupambam moto kanisani hapo huku wana kwaya wakizidi kutumbuiza kisawa sawa. Nabii Sanga akaanza makeke yake ya kuhubiri huku waumini wake wakizidi kujawa na imani mioyoni mwao pasipo kufahamu kwamba siri ya mambo yote nyuma ya nabii wao huyo ina tokana na nguvu za giza na wala si kwa nguvu za Mungu.


***


Kadri muda unavyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi Julieth anavyo jawa na wasiwasi.Hatambu lengo la yeye kuweka ndani ya chumba hicho ambacho kina kila aina ya huduma. Kitu kibaya zaidi ni simu yake ameicha alipo kuwa ana ingia ofisini kwa raisi. Akasimama na kugonga mlango huo. Mlango ukafunguliwa na akachungulia mlinzi mmoja wa kike.


“Ndio”
“Nahitaji kumuona Jery”
“Kwa sasa Jery yupo na wageni”
“Tafadhali nin kuomba umuombe aweze kuja humu”
“Hapana dada. Raisi wa Marekani yupo hapa hivyo kila mmoja yupo busy”
“Sasa kwa nini nime fungiwa humu ndani kama mfungwa?”
“Haujafungiwa kama mfungwa ndio maana hauna pingu mkononi mwako.”


“Ila nina kuomba unisaidie kumuita yule ni mume wangu mtarajiwa na nina kila haki ya kumuona”
Mlinzi huyu kidogo akastuka baada ya kusikia kwamba Julieth ni mke mtarajiwa wa Jery. Wakashauriana walinzi hao na mmoja wapo akaondoka na kuanza kumtafuta Jery. Akafanikiwa kumuona Jery, akamsogelea na kumgong’oneza sikioni mwake.


“Sawa muambie nina kuja”
Mlinzi huyo akaondoka na kumuacha Jery akiendelea kuzungumza na mgeni wake.


“Ana kuja”
“Sawa”
Kidogo Julieth akaanza kujawa na furaha kwa maana ana weza kupata fumbo la yeye kuwekwa ndani hapo. Baada ya nusu saa Jery akaingia ndani hapo. Wakakumbatiana kwa nguvu huku kila mmoja akiwa na hisia kali za kimapenzi kwa mwenzake.


“Jery nime choka kukaa peke yangu humu ndani”
“Usijali twende chumbani kwangu. Unajua kuna ugeni mkubwa sana wa raisi kutoka Marekani”
“Ahaa kumbe ni leo”
“Yaa ni leo. Pia si una jua kwamba wewe ni mke wangu mtarajiwa hivyo baba haja penda uwe una onekana onekana kwa watu hadi pale tutakapo oana”
Jery alimuomgopea Julieth ili mradi ajawe na amani ambayo anatambua kwamba ilisha mtoweka.
“Nime kuelewa mume wangu”
“Nashukuru kusikia hivyo. Twende”


Jery akatoka na Julieth na walinzi hao wakashindwa kuwazuia, walicho kifanya ni wao kufwata kwa nyuma. Jery akamuingiza Julieth chumbabi kwake.


“Kila kitu kipo humu ndani mke wangu. Ukihitaji games zipo kuwa na furaha”
“Simu yangu”
“Ohoo simu nita mtafuta yule mlinzi kisha nita kuletea”
“Sawa mume wangu”
“Vipi una jihisi njaa?”
“Kwa mbali?”
“Basi nita muagiza mpishi akuletee. Ila nisamehe sana mke wangu kwa maana kuna baadhi ya wageni ambao baba ame nikabidhi niwe nao hivyo sipaswi kuwa nao mbali”
“Usijali mume wangu, huo ndio wakati wa wewe kuji funza baadhi ya mambo. Huwei jua huko mbele nawe ukaja kuwa raisi”
“Hahaa sawa mke wangu. Nina kupenda sana”
“Nakupenda pia”
Jery akambusu Julieth mdomoni mwake kisha Jery akatoka ndani hapo. Akamuaagiza mpishi wa familia ya kumuandalia Julieth chakula, kisha yeye akaelekea alipo muacha mtoto wa raisi wa Marekani.


***


“Mkuu gari ina elekea kukata mafuta na huku tulipo ni porini”
Dereva alizugumza huku akimtazama mkuu wake aliye kaa siti ya pembeni.


“Daa na huku hakuna hata dalili ya mtu kuishi?”
“Yaaa”
“Dogo endapo mafuta yatatuishia, damu yako ita kuwa ndio mafuta yetu”
Jamaa huyo alizugumza huku akimtazama Evans usoni mwake.


“Kwa nini jamani mume niteka?”
“Wewe una kulaje sahani moja na wenye nchi. Hili ndio linalo kutokea”
Mkuu huyo alizungumza huku akimtazama Evans kwa macho ya dharau. Evans machozi yakaanza kumlenga lenga na hapa ndipo akaanza kupata picha kwamba mateso haya yote anayo yapitia kwa sasa ni kutokana na kuwa na mahusiano na Julieth.


‘Wanawake kweli ni wauaji’


Evans alizungumza kimoyo moyo huku akiwatazama wanaume hawa watano alio kaa nao ndani ya gari hilo linalo elekea asipo pajua.


“Naombeni kujisaidia haja ndogo”
Evans alizungumza huku akijaribu kutazama maporomoko yaliyopo pembezoni mwa hii barabara.


‘Una zingua una jua?”
“Ni kweli naombeni sana nijisaidie”
Kwa ishara mkuu wa kikosi hicho akamuomba dereva huyo kusimamisha gari hilo pembezoni mwa barabara.Vijana wawili walio kaa siti ya nyuma na Evans waka shuka ndani ya gari hilo, walipo hakikisha kwamba ulinzi upo vizuri wakamshusha Evans ambaye ni kweli ame banwa na haja kubwa.


“Mkuu una jua kwamba tuna songa tu mbele na hatujui ni wapi tunapo elekea?”
“Huku mbele kuna kijiji ana ishi babu yangu, nina imani tuna weza kukaa pale hadi mkuu atakapo kuja”
“Ila mkuu tume poteza sana wezetu. Sisi tulio baki hatujui tuna ishi vipi, hatuelewi familia zetu zita kuwa kwenye hali gani”
“Ni kweli nina wasiwasi hata mimi, Ila hii ndio njia tuliyo ichagua. Hatuna namna ya kurudi nyuma tena”
“Daa kazi kweli kweli kaka. Ila huyu dogo sijui ata fanywa nini na Jery?”
“Atamuu “
“Ila mapenzi ni mambo ya kijinga sana. Sisi tuna hangaika ila wao wakipatana mambo yana endelea”
“Tuta fanyaje sasa ikiwa ndio kazi yetu”
Evans akasogea pembezoni kabisa kwa barabara hiyo, akafungua zipu ya suruali yake na kuanza kujisahidia haja ndogo huku macho yake yote yakitazama katika eneo hilo lenye bonde kubwa. Chini kabisa ya hilo bonde ambalo ni refu sana akaona mto mkubwa sana una tirisha maji. Akageuka nyuma na kuwatazama watu hao walio mteka. Wawili alio shuka nao kwenye gari wame simama eneo moja huku wakipiga stori zao na kucheka. Wengine watatu wapo ndani ya gari wakiendelea na mazungumzo yao.


‘Ni heri kufa kuliko kuendelea kushikiliwa na hawa watu ambao sijui hatima ya maisha yangu itakuwa ni nini mikononi mwao’


Evans alizungumza huku akiifunga zipu ya suruali yake. Akarudi hatua mbili nyuma kisha akakimbia kwa kasi na kujirusha kuelekea chini katika bonde hilo kubwa na kuwafanya walinzi hao wote kustajabu kwa maana hakuna hata mmoja wao aliye tarajia kuona Evans akifanya tukio kama hilo.


ITAENDELEA


Haya sasa, Evans ameamua kujitosha kwenye bonde hilo kubwa, je atafanikiwa kutoka hai ikiwa walinzi hao wamepewa agizo la kuhakikisha wana mshikilia Evans hadi pale atakapo onana na Jery.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 75.
🔥🔥
 
SIN 75


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188






ILIPOISHIA


Evans akasogea pembezoni kabisa kwa barabara hiyo, akafungua zipu ya suruali yake na kuanza kujisahidia haja ndogo huku macho yake yote yakitazama katika eneo hilo lenye bonde kubwa. Chini kabisa ya hilo bonde ambalo ni refu sana akaona mto mkubwa sana una tirisha maji. Akageuka nyuma na kuwatazama watu hao walio mteka. Wawili alio shuka nao kwenye gari wame simama eneo moja huku wakipiga stori zao na kucheka. Wengine watatu wapo ndani ya gari wakiendelea na mazungumzo yao.


‘Ni heri kufa kuliko kuendelea kushikiliwa na hawa watu ambao sijui hatima ya maisha yangu itakuwa ni nini mikononi mwao’


Evans alizungumza huku akiifunga zipu ya suruali yake. Akarudi hatua mbili nyuma kisha akakimbia kwa kasi na kujirusha kuelekea chini katika bonde hilo kubwa na kuwafanya walinzi hao wote kustajabu kwa maana hakuna hata mmoja wao aliye tarajia kuona Evans akifanya tukio kama hilo.





ENDELEA


“Huu ni using** gani”
Kiongozi wa kikundi hicho alizungumza huku akishuka kwenye gari kwa haraka na kukimbilia sehemu walipo simama wezake wana. Wakamshuhudia Evans akidumbukia katika mto mkubwa wa maji ambao una pita katika mabonde hayo. Mkuu wao akavua koti lake la suti kisha na yeye akajirusha ndani ya mto huo kwa maana haitaji kumkosa Evans, kwani kumpoteza kwake kutazidi kuyaweka maisha yao hatarini.


“Baki na gari”
Mmoja wao alimuambia dereva wa gari abaki eneo hilo huku nao wakianza kujirusha kwenye mto huo. Evans akajigeuza taratibu ndani ya maji na kuanza kupanda juu kwa maana kina cha mto huo ni kirefu sana. Evan akawaona watu walio mkamata nao wakijirusha katika mto huo. Hapakuwa na haja ya kujishauri mara mbili na kitu pekee alicho kifanya ni kuhakikisha kwamba ana ogelea kadri ya uwezo wake. Wingi wa maji hayo ambayo yana kasi kubwa, yakamzidi Evans na kujikuta akianza kupelekwa mbele huku akijibamiza kwenye baadhi ya majabali yaliyomo ndani ya mto huo. Evans akafanikiwa kushikilia moja ya jabali moja kubwa na taratibu akanza kupanda katika jabali hilo ambalo kwa juu kuna sehemu unayo weza kukaa vizuri. Jitihada zake zikazaa matunda na akakaa eneo hilo huku akiwashuhudia jinsi watu walio mteka nao wakipambana na hali zao kwa maana maji hayo yana nguvu kubwa kuwashinda hata wao wenyewe. Evans akashuhudia kiongozi wa kikosi hicho akipita pembezoni mwa jabali hilo huku akiwa ana mwagikwa na damu nyingi kichwani mwake ikiashiria kwamba ame pigiza kichwa chake kwenye moja ya jabali.


***


Raisi Mtenzi na raisi Minler wakakutana na waandishi wa habari na kuanza kutoa hotuba fupi zinazo husiana na uhisiano mzuri wa nchi hizi mbili, Tanzania na Marekani. Pia wakazungumzia juu ya miradi mikubwa ambayo Marekani wana mpango wa kuwekeza nchini Tanzania ikiwemo kiwanda kikubwa cha utengenezaji wa magari ambayo yatauzwa ndani na nje ya nchi ya Tanzania. Mkutano huo wa dakika ishirini ukamalizika na raisi Mtenzi akamkaribisha raisi Minler kujumuika naye kwenye chakula cha jioni kilicho andaliwa hapo hapo ikulu.


“Baba tuna weza kuzungumza”
Jery alimnong’oneza baba yake sikioni mwake mara baada ya kumaliza kupata chakula hicho.


“Kuna nini?”
“Ni kuhusiana na Julieth. Si una tambua kwamba yupo tu ndani na hana pa kwenda”
“Kumbe bado yupo?”
“Ndio au ulisahau kama yupo?”
“Ahaa vipimo vyake vime tokaje?”
“Sijajua kwa maana sijakutana na daktari”
Raisi Mtenzi akaomba ruhusa ya kuondoka eneo hilo na akamuacha raisi Minler na familia yake. Wakaelekea moja kwa moja katika chumba cha daktari.


“Muheshimiwa raisi”
Dokta alizungumza huku akinyanyuka na kwenye kiti chake


“Majibu ya mkwe wangu yapo tayari?”
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Nayaomba”
Daktari akamkabidhi raisi Mtenzi faili lenye majibu hayo. Akaanza kupitia kitu kimoja baada ya kingine, Jery akatamani kusoma ila akashindwa kwa maana wana tazamana na baba yake. Raisi Mtenzi akapitia neno moja baada ya jengine, majibu yote yana onenyesha kwamba Julieth yupo sawa na bado ni bikra.


“Mke wako yopo salama. Uta mchukua na kumpeleka kwao na tuta jua ni taratibu gani nyingine za ndoa zitakavyo fwata”


“Kwa hiyo baba ume mkubali?”
“Ndio si muna pendana?”
“Ndio baba”
“Basi tusubiri huu ugeni uondoke kisha tuta jua ni nini cha kufanya”
“Nashukuru sana baba”
“Jambo jengine wale wajinga wako ulio watuma wasilina nao na waambie wajisalimishe na wasiendelee kuichafua sifa ya serikali yangu”
“Sawa baba”
Jery akatoka ndani hapo huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Akaingia chumbani kwake na kumkuta Julieth akiendelea kula taratibu. Akamkabidhi Julieth faili hilo la majibu ya daktari.


“Waoo”


Julieth alizungumza huku akiwa wamejawa na furaha kubwa sana, moyoni mwake. Wakakumbatiana na Jery huku wakimwagikwa na machozi ya furaha kwa maana ndoa yao ina anza kunikia taratibu.


“Ina bidi nikupeleke nyumbani sasa”
“Baba amekubali niondoke hapa?”
“Ndio mke wangu”
“Ila baba yako ni mkali, sikutarajia kama ana weza kunifokea kiasi kile”
“Usijali alikuwa ana kupima tu kujua ujasiri wako”
“Ila amenionyesha picha za watu wakiwa wame uwawa na ana seme kwamba mimi ndio nina husika”
“Ule mpango wote ulio tokea Morogoro mimi ndio nime husika. Nina muhitaji Evans akiwa hai, bado kuna mambo mengi nahitaji kuyafahamu kwake”
Julieth akastuka kidogo huku akimtazama Jery usoni mwake.
“Wewe ndio una husika”
“Ndio ni mimi na siwezi kumuachia hadi pale nitakapo jiridhisha na maswali yangu nitakayo muuliza”
“Ila baby kwa nini usiachane, ikiwa upo na mimi hapa?”
“Mke wangu hujanijua bado. Mimi nipo hivi, huwa nikianza jambo huwa sipendi liishie katikati, ndio maana nime ishi Marekani maisha yangu, nimekutana na wanawake wa kila aina ila sikuhitaji kuwa nao kwa maana nime anza na wewe na nita hitaji kuyamaliza maisha yangu nikiwa na wewe. Hivyo tambua kwamba sinto weza kumuacha Evans. Maliza kula twende nyumbani”
Jery alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Julieth usoni mwake. Julieth hakuwa na hata hamu ya kuendelea na chakula hicho, akabeba pochi yake, akakabidhiwa simu yake kisha wakaondoka eneo hilo la Ikulu chini ya ulinzi wa walinzi sita wana aminika sana katika kitengo cha NSA.


***


Taratibu Josephine akayafumbua macho yake huku akianza kuangaza angaza ndani ya chumba hicho. Akamuona Magreth akiwa amejilaza kwenye sofa lililopo ndani ya chumba hicho. Akajitazama mguuni mwake na kuukuta ukiwa umefunga bandeji gumu sana(p.o.p.o). Kwa wakati huo hakuweza kuhisi maumivu ya aina yoyote kwa maana bado ganzi ipo mwilini mwake.
“Mage”
Josephine aliita kwa sauti ya uchomvu. Taratibu Magreth akayanyua kichwa chake na kumtazama rafiki yake Akasimama kwa haraka na kusogea sehemu alipo lala Josephine.


“Vipi una jisikiaje?”
“Tupo wapi?”
“Tupo Muhimbilia”
“Tume ondokaje Morogoro?”
“Ni kastori karefu, ila nina shukuru madaktari wa hospitali ya mkowa wa Morogoro walinipatia msaada na nime fanikiwa kukufikisha hapa salama”
“Nashukuru sana rafiki yangu vipi wewe ume umia?”
“Hapana ni michubuko ya hapa na pale, ila hayana madhara”
“Mguu wangu wamesemaje?”
“Wameniambia ume vunjika mara mbili ila wame weza kuuweka sawa na Mungu akibariki uta pona”
“Sawa, je Evans ume pata habari yoyote ya kumuhusu yeye?”
“Hapana sija jua na safari yetu iliishia pale tulipo pata ajali”
“Ila Mungu ata msaidia ata kuwa salama”
“Kweli?”
“Ndio, ila Mage nakuomba umpigie mchumba wangu na umueleze hili sidhani kama ata kuwa ana fahamu kama jana tuliweza kuondoka usiku”
“Usijali una namba zake?”
“Ngoja nikutajie”
Josepheni akataja namba za mpenzi wake kisha Magreth akampigia simu na kumueleza juu ya ajali waliyo ipata.


“Nina kuja hapo sasa hivi”
Kijana huyo alizungumza na simu ikakatwa.


“Magreth nina ogopa, sijui itakuwaje mchumba wangua kija hapa ikia sikumuaga jana usiku”
“Usijali nita zungumza naye mimi”
“Kweli?”
“Ndio nita zungumza naye mimi. Wewe kuwa na amani”
Haikuisha hata lisaa mija, kijana mrefu aliye jazia mwili wake kwa misuli, akaingia ndani ya chumba hicho. Akajawa na mshangao mara baada ya kumuona Josephine akiwa amefungwa bandeji gumu mguuni mwake.


“Kimetokea nini?”
Jamaa huyo alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Tulipata ajali jana usiku”
“Ajali, mulikuwa muna toka wapi?”
Jamaa huyo alizungumza kwa ukali kidogo.


“Joseph, nisamehe mpenzi wangu jana sikuweza kukuaga kwa maana ulikuwa kazini ila rafiki yangu alipata matatizo na alihitaji msaada wangu”
Josephine alijitetea huku akimtazama mpenzi wako huyo.


“Shemeji natambua uta kuwa ume gadhibika kwa hili lililo tokea. Huyu ni rafiki yangu na kama unavyo fahamu ana kipawa maalumu cha kuweza kutambua mambo mengi kwa njia ya maombi. Mume wangu aliweza kutekwa na watu wasio julikana hivyo niliweza kumuomba maada wa kufahamu ni wapi alipo na kwa kupitia kipawa chake tilifahamu kwamba mume wangu yupo mkoa wa Morogoro na kwa bahati mbaya alishikiliwa na watu ambao tuliweza kuwafukuzia na gari na kwa habati mbaya tuliweza kupata ajali”
Joseph akamtazama Magreth kwa macho yaliyo jaa hasira.


“Ume kuwa na mamlaka kwa mke wangu mtarajiwa si ndio?”
“Hapana shemeji”
“Ila”
“Ni jambo la kumuomba msada ila kwa bahati mbaya mambo yame kuwa kama hivi”
“Mulishindwa kutoa taarifa polisi”
“Tuliwakata polisi eneo la tukio ila hawakuweza kufanya jambo lolote”
Magreth aliendelea kuzungumza kwa kujiamini huku akimtazama Joseph aliye fura kwa hasira sana.


“Josephine una tambu kwamba sipendi utoke au kwenda sehemu pasipo idhini yangu kwa nini unisikii. Ona sasa jinsi ulivyo vunjika, je unge kufa wewe malaya ungeniambia nini wewe?”
“Samahani ume niitaje?”
“Malaya, una mchukuaje mke wangu na kutoka naye pasipo idhini yangu?”
“Nina kushehimu ila chunga sana kinywa chako”
“Wewe malaya na una mfundisha mke wangu umalaya”
“Joseph mume wangu usi……”
“Kaa kimya na wewe. Unajifanya mlokole kumbe malaya tu. Umekwenda huko kwa mabawana zenu aoneni sasa mulivyo pata ajali.”
Maneno ya Joseph yakamfanya Josephine kuanza kumwagikwa na machozi ya uchungu kwani katika kipendi chote hicho amekuwa ni mtu wa kuvumilia matusi na manyanyaso kutoka kwa mwanaume huyo ambaye tayari amesha mtambulisha kwa wazazi wake na wapo kwenye hatua za maandalizi ya ndoa.
“Joseph kwa nini hubadiliki, hunionei hata huruma jinsi hali yangu ilivyo. Kwanini una kuwa mwanaume wa aina hiyo.”
“Nikuonee huruma na umalaya wako huo. Jana si ulinieleza kwamba una lala, sasa inakuwaje una niambia oohoo sijui hali yangu ohoo sijui nini. Umalaya tu una kusumbua wewe”
Joseph aliendele kumtusi Josephine na Magreth.
“Nashukuru, ila sidhani Joseph kwa hali kama hii nina weza kuendelea kudumu nayo kwenye maisha yangu yote. Nimechoka kuvumilia manyanyaso yako na mateso hivyo nina kuomba uni ache. Kama nipo tu hivi kitandani una nitusi hivi je nikiwa nina hali mbaya kama hii uta nifanyaje”
“Una semaje wewe mbwa?”
“Nashukuru mimi ni Mbwa ila kuanzia hivi sasa mimi na wewe basi”
Joseph akamsogelea Josephine kwa hasira akataka kumshika mkono wake ila Magreth akauwahi na kumzuia.


“Usione nime kaa kimya ukahisi nina kuogopa tafadhali nina kuomba uweze kutoka ndani hapa”
Joseph akamtazama Magreth kuanzia usoni hadi katika mkono wake ulio mshika.
“Niachie mkono wangu kabla sija kuvuruga sura yako”
“Nitakuachia mkono wangu pale utakapo kubali kutoka ndani hapa”
Joseph kwa nguvu akamashika Magreth shingoni mwake na kuanza kumkaba. Kitendo hicho kika muashiria Magreth kwamba mwanaume huyo hataki amani na analo lihitaji kwa sasa ni fujo. Magreth kwa mikono yake miwili akaupiga kwa nguvu mkono wa Joseph, akampiga kigoti cha tumboni na kumfanya Joseph kuanza kugugumia kwa maumivu makali sana kwa maana hakutegemea kamaa ana weza kupigwa na Magreth ambaye ana mchungulia ni mnyonge kama mpenzi wake Josephine.


ITAENDELEA


Haya sasa, Joseph ameingia kwenye kumi na nane za Magreth je ata fanywa nini na Magreth.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 76.
 
SIN 76


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Usione nime kaa kimya ukahisi nina kuogopa tafadhali nina kuomba uweze kutoka ndani hapa”
Joseph akamtazama Magreth kuanzia usoni hadi katika mkono wake ulio mshika.
“Niachie mkono wangu kabla sija kuvuruga sura yako”
“Nitakuachia mkono wangu pale utakapo kubali kutoka ndani hapa”
Joseph kwa nguvu akamashika Magreth shingoni mwake na kuanza kumkaba. Kitendo hicho kika muashiria Magreth kwamba mwanaume huyo hataki amani na analo lihitaji kwa sasa ni fujo. Magreth kwa mikono yake miwili akaupiga kwa nguvu mkono wa Joseph, akampiga kigoti cha tumboni na kumfanya Joseph kuanza kugugumia kwa maumivu makali sana kwa maana hakutegemea kamaa ana weza kupigwa na Magreth ambaye ana mchungulia ni mnyonge kama mpenzi wake Josephine.





ENDELEA


“Toka humu ndani na usidhubutu kurudi tena kwa maana ukirudi nita hakikisha nina kufanya kitu amacho hujawahi kufanywa kwenye maisha yako”
Magreth alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka kwa hasri, Joseph taratibu akaanza kutoka ndani hapo huku akiwa amejikunja kwa maana maamivu anayo yahisi kwenye tombo lake si ya mchezo mchezo.


“Na jambo jengine. Ole wako nione siku una mtukana rafiki yangu au kumdhalilisha kwa aina yoyote ile, nakuapia haki ya Mungu sinto kuacha salama wewe. Umenielewa?”
Joseph akatingisha kichwa, akafungua mlango na kutoka ndani hapo. Taratibu akamsogelea Josephine na kumkumbatia.


“Japo tume umbwa kusikiliza amri ya mwanaume na kufwata yale anayo yahitaji ila haitupasi kuendelea kukaa chini yamanyanyaso yao na kejeli kama hizi. Nimuda wako sasa Josephine kusimama wewe kama wewe na si kumtegemea mwanaume. Sawa”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.


“Nashukuru kusikia hivyo rafiki yangu. Nina kupenda sana”
“Nina kupenda pia Josephine”
Wakakumbatiana huku wote wakimwagikwa na machozi mengi kwenye nyuso zao.


***


Walinzi hao wakazidi kujitahidi kuogelea ila kila aliye jaribu kushika jabali alilo kalia Evans, hakuweza kumruhusua na alicho kifanya ni kuikanyaga mikono yake, kutokana na wingi na nguvu ya maji hayo wakajikuta wakisombwa na kuzidi kupelekwa mbali sana. Evans akaendelea kukaa ju ya jabali hilo kwa muda mrefu huku mwili wake wote ukitetemeka kwa baridi kali pamoja na maumivu ya kujibamiza katika baadhi ya majabali yaliyomo ndani ya mto huo. Masaa yakazidi kusonga mbele na giza likaanza kutawala anga. Baridi kali ikazidi kuutesa mwili wa Evans ambaye hapo alipo ana tisheti na suruali yake tu.


‘Ehhee Mungu kwa nini nina pitia mateso yote haya. Ni nini nilicho kukosea mimi?’


Evans alizungumza huku akiendelea kujikunyata kwa baridi hiyo. Maji ya mto huo hayakuweza kutulia kabisa, matone ya mvua yaliyo anza kumdondokea taratibu yaka zidi kumpa wasiwasi na woga mwingi sana. Hazikuisha hata dakika ishirini mvua kubwa ikaanza kunyesha na kumfanya Evans azidi kuteseka katika eneo hilo. Maji yakazidi kujaa mara dufu, maji hayo sasa yakaanza kufika kimo cha jabali hilo na kuzidi kumfanya Evans kupagawa.


‘Ehee Mungu niokoe’


Evans alizungumza huku akiendelea kung’ang’ania jabali hilo. Wimbi kubwa likamkumba na kujikuta akishindwa kabisa kushikilia jambali hilo. Akasombwa na maji hayo na kujikuta akianza kupiga kelele huku akilia kwa jinsi anayo zungushwa zungushwa na maji hayo yanayo mfanya ashindwe hata kuogelea. Evans naye akaanza kubamizwa kwenye baadhi ya majabali yaliyomo katika mto huo na kumsababishia maumivu makali sana. Maumivu hayo yakazidi kuutesa mwili wake na mwishowe akajikuta akipoteza fahamu.


Sauti za watu wanao zungumza lugha ambayo Evans hakuweza kuitambua kwa uharaka kwa maana ni lugha ya kikabila. Akafumbua macho yake na kujikuta akiwa amelazwa k


wenye kitanda chakavu fulani. Chumba alicho lala kime tengenezwa na matofali ya kuchomwa na juu kime ezekwa na nyasi. Mwanga wa jua unao pitia dirisha dogo, ukamfanya Evans kutambua kwamba kume pambazuka japo hakumbuki ni jinsi gani alivyo weza kufika katika eneo hilo.


Akanyanyuka kitandani taratibu, ila maumivu makali ya mwili mzima yakamfanya aweze kurudi tena kitandani na kulala. Akaingia msichana aliye valia kaniki nyeusi huku kichwani mwake akiwa amenyoa nywele zote. Msischana huyo akamuita baba yake, naye akaingia ndani hapo huku naye akiwa amejifunga kaniki nyekundu huku mkononi mwake akiwa ameshikilia mkia wa Simba. Mzee huyo akazungumza kilugha huku akimtazama Evans usoni mwake.
“Baba yangu ana uliza una jisikiaje?”


Msichana ali tafsiri lugha hiyo ya kiruguru.


“Nasijisikia maumivu mwili mzima. Hapa nipo wapi?”
Msichana huyo akamuambia baba yake huyo ambaye ni mzee sana na wala hafahamu lugha ya kiswahili.


“Baba ana sema uta pona tu”
“Sawa, hapa nilipo nipo wapi?”
“Upo kwenye milima ya Ukaguru”
Binti huyo alijibu na kumfanya Evans kujawa na mshangao mkubwa sana.


“Nimefikaje fikaje hapa?”
“Leo asubuhi tulipo kuwa tuna tafuta samaki kwenye bwawa tuliweza kukuokota wewe ukiwa ume nasa kwenye moja ya jiwe kubwa. Tulipo gundua kwamba upo hai tulikuleta hapa”
Evans akamtazama msichana huyo kisha macho yake akayahamishia kwa mzee huyo na akakutana na tabasamu pana la mzee huyo.


“Nina shukuru kwa kunisaidia”
Msichana huyo akamtafsiria baba yake. Kisha baba yake huyo amampa maagizo ya kuleta dawa walio kuwa ana ichemsha. Baada ya muda msichana huyo ambaye ukimchunguza kwa sana, ana urembo ulio fichika katika dibwi kubwa la umasikini, akaingia ndani hapo huku mkononi mwake akiwa ameshika kikombe cha plastiki ambacho kime jaa dawa.


“Hii ni dawa ya kuponyesha maumivu ya ndani kwa ndani”
Msichana huyo alizungumza huku akimkabidhi Evans kikombe hicho. Taratibu Evans akachukua kikombe hicho, akakitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kunywa. Uchungu wa dawa hiyo ukamfanya Evans kusitisha kwanza kunywa dawa hiyo huku akisikilizia jinsi inavyo mkereketa kwenye kinywa chake.


“Kunywa, ita kusaidia”
“Mbona chungu sana?”
“Ndio dawa kaka”
Msichana huyo aliendelea kumsisitizia Evans, hakuwa na jinsi yoyote zaidi ya kujikaza na kunywa dawa hiyo. Kwani kitendo cha watu hao mkusaidia na kumleta nyumbani hapo basi wana onekana ni watu wema sana hivyo hakuwa na wasiwasi na dawa hiyo.


“Ohooo khragrahaaa!!!”
Evans alilalama huku uso wake ukiwa umejikunja kisawa sawa. Baada ya kumaliza dawa hiyo, binyo huyo akamkabidhi Evans kipande cha sukari guru.
“Ni nini hii?”
“Sukari, lamba ina maliza uchungu wako mdomoni”


Evans akatazama kipande hicho,akakilama kidogo na alipo gundua kweli ni kitambu basi akaanza kukilamba kwa fujo ili mradi kutoa uchungu wote mdomoni.


“Una itwa nani?”
“Mimi?”
“Ndio”
“Naitwa Evans”
“Sawa”
Binti huyo akamtafsiria jinsi alivyo zungumza na Evans.


“Baba ana kuambia ukaribie hapa nyumbani”
Mzee huyo akatoka ndani hapo na kumuacha binti yake huyo na Evans. Taratibu Evans akamtazama binti huo jinsi alivyo jazia maeneo ya kiunoni mwake. Hispi zake kwa kweli zime weza kubeba makalio makubwa kiasi cha kumfanya Evans kuingiwa na tamaa ya ngono. Mbaya zaidi kaniki aliyo ivaa kidogo ina onyesha maumbilie yake ya ndani.


“Mbona una nichunguza sana?”
“Aha….hapana”
“Usinitamani kwa maanaa mwanaume yoyote anaye jaribu kufanya hivyo basi ni lazima afe”


Msichana huyo ambaye haja jitambulisha jina lake alizungumza kisha akatoka ndani hamo na kumuachia Evans maswali ya sinto fahamu ya kwani msichana huyo ame weza kuzisoma hisia zake haraka sana tofauti na alivyo mdhania kwa maana amekaa kishamba shamba.
***


“Ehee jana ilikuwaje?”
Nabii Sanga alimuuliza Julieth mara baada ya kukutana naye sebleni.
“Ahaa katika siku zangu zote za maisha nilizo ishi hapa duniani, jana ilikuwa ni siku yangu ngumu baba”
“Kwa nini ilikuwa ni siku ngumu?”
“Daa wee acha tu. Yaani baba yangu mkwe ni mkali kisawa sawa. Ile nina kutana naye akanionyesha picha za walinzi walio uwawa mkono Morogoro. Weee niliogopa sana, baada ya hapo akaagiza nipelekwe kwa dokta nipimwe kila kitu. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba nimekutwa nipo salama kila idara”
“Yule mzee ni mkali sana. Ila mwishoni ilikuwaje?”
“Nimepita jaribio hilo na amekubali niolewe na mwanaye”
Nabii Sanga akatabasamu kidogo kisha aka mkumbatia Julieth kwa maana uwepo wake uta leta faidi kubwa sana kwenye familia yake.


“Sasa kuna mambo nina bidi kukueleza kama mwana familia uliye kuwa na una kwenda kuolewa sasa mwanangu”
Nnabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Julieth kwa umakini sana usoni mwake.


“Ni nini baba”
“Niandalie kahawa nzuri na uje huku kwenye bustani.”
“Sawa”
Nabii Sanga akaondoka sebleni hapo na Julieth akaandaa kahawa hiyo ambayo yeye na mama yake tu ndio watu wa pekee wanao weza kuandaa kahawa nzuri na inayo mpendeza mzee huyo. Julieth akamuandalia baba yake kikombe hicho cha kawaha kisha akaa kiti cha pembeni katika kijibanda hicho cha kupumzikia, kilichopo katika bustani hiyo yenye majani mazuri sana.


“Ndio baba”
“Kwenye maisha yangu kuna mambo mengi sana sikuweza kukueleza kama mwanangu mpendwa. Japo kuna baadhi ulisha wahi kuyaona na yaka kuumiza ila sasa ni wakati wa wewe kuweza kutambua kila jambo”
Nabii Sanga baada ya kuzungumza hivyo, akapiga fumba moja la kahawa kisha akaendelea kuzungumza.


“Natambua hivi karibuni una kwenda kuwa mkwe wa raisi Mtenzi. Uwepo wake kwenye familia yake si kumzalia wajukuu tu na akafurahi, bali nasi kwa upande wetu ni lazima tuweze kunufaika katika kipindi hichi ambacho yeye ata kuwa ana nufaika na wewe”
“Nahitaji ukiingia kwenye familia yake kuna baadhi ya majukumu uweze kuyafanya”
“Majukumu gani baba?”
“Moja nina hitaji uweze kumshawishi Jery kubaki hapa nchini Tanzania na kama ata rudi nchini Marekani basi akamalizie kusoma tu kisha arudi Tanzania”
“Hilo ni jambo rahisi halina shaka baba”
“Jambo jengine nina hitaji utengeneze uaminifu na uweze kupata nafasi ndani ya ikulu ya raisi Mtenzi, si kama mkwe tu bali uwe kama sekretari au uwe na nafasi yoyote ambayo itakusaidia katika kujua kila jambo linalo endelea ndani ya ikulu ile”
“Kwa nini baba una taka niajiriwe ikiwa una fahamu kabisa kwamba mimi ndoto zangu ni kuwa mfanya biashara mkubwa?”
“Nalielewa hilo mwangu, ila kazi yako utakayo ipata ikulu, ita zitimiza kwa haraka ndoto zako za kuwa mfanya biashara mkubwa sana ndani na nje ya Tanzania. Moja uta weza kuhakikisha kwamba biashara zako zote zina pita bandarini pasipo usubumbu wa aina yoyote na wala huto weza kuchukuliwa kodi ya aina yoyote ila. Nina imani una tambua ni jinsi gani kodi zinavyo waumiza wafanya biashara”
“Yaa ni kweli baba”
“Pili nahitaji tuingie kwenye biashara ya giza”
“Biashara ya giza? Kivipi baba?”
“Biashara ya giza ni biashara ambazo zina tuingizia kipato kikubwa. Mimi na mama yako tulikuwa tuna ifanya biashara hiyo kwa siri sana na wewe ndio uta kuwa mtu wa pekee ambaye una weza kufahamu siri hiyo”
“Ni biashara gani hiyo baba?”
“Tuna uza madawa ya kulevya”
“BABAAAAAAA!!!”
Julieth alishangaa sana huku akimtazama baba yake.


“Usishangae mwanangu. Una hisi kanisa kama kanisa lina weza kutuingizia pesa nyingi kiasi cha nyinyi akaunti zenu kuwa na mabilioni of money? No hii biashara ndio ima wafanya na nyinyi leo mukipangwa kwenye orodha ya vijana matajiri basi na nyinyi wanangu wote watatu muta kuwepo”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Julieth kushusha pumzi nyingi.


“Muna muda gani muna ifanya hiyo biashara?”
“Kabla hata wewe hujazaliwa”
“Hee hamjawahi kukamatwa?”
“Hakuna aliye weza kutugusa wala kufahamu au kuhisi. Trust ndio kitu pekee kilicho tufanya tukae zaidi ya miaka ishirini na nane kwenye hiyo biashara. Ni hivi juzi juzi tu ndio tuli simama kama miaka miwili, kuangalia nguvu ya raisi Mtenzi ipo vipi ila kwa sasa tuna yaka kurudi rasmi na tuna hitaji kuingiza kiasi kikubwa sana cha pesa kutokana na mahusiano yetu haya tunayo kwenda kuyajenga”
Julieth akashusha pumzi taratibu huku akimtazama baba yake usoni kwa maana mtihani alio pewa ni mkubwa sana.


“Ila baba ni kazi hatari?”
“Ndio ni hatari ila hakuna ambaye ata fahamu juu ya wahusika wake”
“Ila baba nikiwa ndani ya ikulu, muda wote ita nipasa kuwa karibu sana na raisi. Nina imani kwamba simu zangu zita kuwa zina rekodiwa. Je hapo itakuwaje baba?”
“Kuna mfumo maalumu ambao tuta kuwa tuna utumia kuwasiliana”
“Mfumo gani huo baba?”
“Nita kuamabia ni mfumo gani ila jina lako utakuwa una litumia kwenye uongozi wa biashara hiyo ni BLACK GHOST. Kwa maana mimi baba yako nina kwenda kukurithisha jina hilo”


Nabii Sanga alizungumza huku akitabasamu na kumfanya Julieth naye kutabasamu huku kwa maana mtoto wa nyoka naye ni nyoka.


ITAENDELEA


Haya sasa, nabii Sanga ana hitaji kumuachia mwanaye Julieth biashara ya madawa ya kulevya je ita kwenda salama vizuri kama alivyo ipeleka yeye mwe nabii Sanga.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 77.
 
SIN 76


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Usione nime kaa kimya ukahisi nina kuogopa tafadhali nina kuomba uweze kutoka ndani hapa”
Joseph akamtazama Magreth kuanzia usoni hadi katika mkono wake ulio mshika.
“Niachie mkono wangu kabla sija kuvuruga sura yako”
“Nitakuachia mkono wangu pale utakapo kubali kutoka ndani hapa”
Joseph kwa nguvu akamashika Magreth shingoni mwake na kuanza kumkaba. Kitendo hicho kika muashiria Magreth kwamba mwanaume huyo hataki amani na analo lihitaji kwa sasa ni fujo. Magreth kwa mikono yake miwili akaupiga kwa nguvu mkono wa Joseph, akampiga kigoti cha tumboni na kumfanya Joseph kuanza kugugumia kwa maumivu makali sana kwa maana hakutegemea kamaa ana weza kupigwa na Magreth ambaye ana mchungulia ni mnyonge kama mpenzi wake Josephine.





ENDELEA


“Toka humu ndani na usidhubutu kurudi tena kwa maana ukirudi nita hakikisha nina kufanya kitu amacho hujawahi kufanywa kwenye maisha yako”
Magreth alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka kwa hasri, Joseph taratibu akaanza kutoka ndani hapo huku akiwa amejikunja kwa maana maamivu anayo yahisi kwenye tombo lake si ya mchezo mchezo.


“Na jambo jengine. Ole wako nione siku una mtukana rafiki yangu au kumdhalilisha kwa aina yoyote ile, nakuapia haki ya Mungu sinto kuacha salama wewe. Umenielewa?”
Joseph akatingisha kichwa, akafungua mlango na kutoka ndani hapo. Taratibu akamsogelea Josephine na kumkumbatia.


“Japo tume umbwa kusikiliza amri ya mwanaume na kufwata yale anayo yahitaji ila haitupasi kuendelea kukaa chini yamanyanyaso yao na kejeli kama hizi. Nimuda wako sasa Josephine kusimama wewe kama wewe na si kumtegemea mwanaume. Sawa”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.


“Nashukuru kusikia hivyo rafiki yangu. Nina kupenda sana”
“Nina kupenda pia Josephine”
Wakakumbatiana huku wote wakimwagikwa na machozi mengi kwenye nyuso zao.


***


Walinzi hao wakazidi kujitahidi kuogelea ila kila aliye jaribu kushika jabali alilo kalia Evans, hakuweza kumruhusua na alicho kifanya ni kuikanyaga mikono yake, kutokana na wingi na nguvu ya maji hayo wakajikuta wakisombwa na kuzidi kupelekwa mbali sana. Evans akaendelea kukaa ju ya jabali hilo kwa muda mrefu huku mwili wake wote ukitetemeka kwa baridi kali pamoja na maumivu ya kujibamiza katika baadhi ya majabali yaliyomo ndani ya mto huo. Masaa yakazidi kusonga mbele na giza likaanza kutawala anga. Baridi kali ikazidi kuutesa mwili wa Evans ambaye hapo alipo ana tisheti na suruali yake tu.


‘Ehhee Mungu kwa nini nina pitia mateso yote haya. Ni nini nilicho kukosea mimi?’


Evans alizungumza huku akiendelea kujikunyata kwa baridi hiyo. Maji ya mto huo hayakuweza kutulia kabisa, matone ya mvua yaliyo anza kumdondokea taratibu yaka zidi kumpa wasiwasi na woga mwingi sana. Hazikuisha hata dakika ishirini mvua kubwa ikaanza kunyesha na kumfanya Evans azidi kuteseka katika eneo hilo. Maji yakazidi kujaa mara dufu, maji hayo sasa yakaanza kufika kimo cha jabali hilo na kuzidi kumfanya Evans kupagawa.


‘Ehee Mungu niokoe’


Evans alizungumza huku akiendelea kung’ang’ania jabali hilo. Wimbi kubwa likamkumba na kujikuta akishindwa kabisa kushikilia jambali hilo. Akasombwa na maji hayo na kujikuta akianza kupiga kelele huku akilia kwa jinsi anayo zungushwa zungushwa na maji hayo yanayo mfanya ashindwe hata kuogelea. Evans naye akaanza kubamizwa kwenye baadhi ya majabali yaliyomo katika mto huo na kumsababishia maumivu makali sana. Maumivu hayo yakazidi kuutesa mwili wake na mwishowe akajikuta akipoteza fahamu.


Sauti za watu wanao zungumza lugha ambayo Evans hakuweza kuitambua kwa uharaka kwa maana ni lugha ya kikabila. Akafumbua macho yake na kujikuta akiwa amelazwa k


wenye kitanda chakavu fulani. Chumba alicho lala kime tengenezwa na matofali ya kuchomwa na juu kime ezekwa na nyasi. Mwanga wa jua unao pitia dirisha dogo, ukamfanya Evans kutambua kwamba kume pambazuka japo hakumbuki ni jinsi gani alivyo weza kufika katika eneo hilo.


Akanyanyuka kitandani taratibu, ila maumivu makali ya mwili mzima yakamfanya aweze kurudi tena kitandani na kulala. Akaingia msichana aliye valia kaniki nyeusi huku kichwani mwake akiwa amenyoa nywele zote. Msischana huyo akamuita baba yake, naye akaingia ndani hapo huku naye akiwa amejifunga kaniki nyekundu huku mkononi mwake akiwa ameshikilia mkia wa Simba. Mzee huyo akazungumza kilugha huku akimtazama Evans usoni mwake.
“Baba yangu ana uliza una jisikiaje?”


Msichana ali tafsiri lugha hiyo ya kiruguru.


“Nasijisikia maumivu mwili mzima. Hapa nipo wapi?”
Msichana huyo akamuambia baba yake huyo ambaye ni mzee sana na wala hafahamu lugha ya kiswahili.


“Baba ana sema uta pona tu”
“Sawa, hapa nilipo nipo wapi?”
“Upo kwenye milima ya Ukaguru”
Binti huyo alijibu na kumfanya Evans kujawa na mshangao mkubwa sana.


“Nimefikaje fikaje hapa?”
“Leo asubuhi tulipo kuwa tuna tafuta samaki kwenye bwawa tuliweza kukuokota wewe ukiwa ume nasa kwenye moja ya jiwe kubwa. Tulipo gundua kwamba upo hai tulikuleta hapa”
Evans akamtazama msichana huyo kisha macho yake akayahamishia kwa mzee huyo na akakutana na tabasamu pana la mzee huyo.


“Nina shukuru kwa kunisaidia”
Msichana huyo akamtafsiria baba yake. Kisha baba yake huyo amampa maagizo ya kuleta dawa walio kuwa ana ichemsha. Baada ya muda msichana huyo ambaye ukimchunguza kwa sana, ana urembo ulio fichika katika dibwi kubwa la umasikini, akaingia ndani hapo huku mkononi mwake akiwa ameshika kikombe cha plastiki ambacho kime jaa dawa.


“Hii ni dawa ya kuponyesha maumivu ya ndani kwa ndani”
Msichana huyo alizungumza huku akimkabidhi Evans kikombe hicho. Taratibu Evans akachukua kikombe hicho, akakitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kunywa. Uchungu wa dawa hiyo ukamfanya Evans kusitisha kwanza kunywa dawa hiyo huku akisikilizia jinsi inavyo mkereketa kwenye kinywa chake.


“Kunywa, ita kusaidia”
“Mbona chungu sana?”
“Ndio dawa kaka”
Msichana huyo aliendelea kumsisitizia Evans, hakuwa na jinsi yoyote zaidi ya kujikaza na kunywa dawa hiyo. Kwani kitendo cha watu hao mkusaidia na kumleta nyumbani hapo basi wana onekana ni watu wema sana hivyo hakuwa na wasiwasi na dawa hiyo.


“Ohooo khragrahaaa!!!”
Evans alilalama huku uso wake ukiwa umejikunja kisawa sawa. Baada ya kumaliza dawa hiyo, binyo huyo akamkabidhi Evans kipande cha sukari guru.
“Ni nini hii?”
“Sukari, lamba ina maliza uchungu wako mdomoni”


Evans akatazama kipande hicho,akakilama kidogo na alipo gundua kweli ni kitambu basi akaanza kukilamba kwa fujo ili mradi kutoa uchungu wote mdomoni.


“Una itwa nani?”
“Mimi?”
“Ndio”
“Naitwa Evans”
“Sawa”
Binti huyo akamtafsiria jinsi alivyo zungumza na Evans.


“Baba ana kuambia ukaribie hapa nyumbani”
Mzee huyo akatoka ndani hapo na kumuacha binti yake huyo na Evans. Taratibu Evans akamtazama binti huo jinsi alivyo jazia maeneo ya kiunoni mwake. Hispi zake kwa kweli zime weza kubeba makalio makubwa kiasi cha kumfanya Evans kuingiwa na tamaa ya ngono. Mbaya zaidi kaniki aliyo ivaa kidogo ina onyesha maumbilie yake ya ndani.


“Mbona una nichunguza sana?”
“Aha….hapana”
“Usinitamani kwa maanaa mwanaume yoyote anaye jaribu kufanya hivyo basi ni lazima afe”


Msichana huyo ambaye haja jitambulisha jina lake alizungumza kisha akatoka ndani hamo na kumuachia Evans maswali ya sinto fahamu ya kwani msichana huyo ame weza kuzisoma hisia zake haraka sana tofauti na alivyo mdhania kwa maana amekaa kishamba shamba.
***


“Ehee jana ilikuwaje?”
Nabii Sanga alimuuliza Julieth mara baada ya kukutana naye sebleni.
“Ahaa katika siku zangu zote za maisha nilizo ishi hapa duniani, jana ilikuwa ni siku yangu ngumu baba”
“Kwa nini ilikuwa ni siku ngumu?”
“Daa wee acha tu. Yaani baba yangu mkwe ni mkali kisawa sawa. Ile nina kutana naye akanionyesha picha za walinzi walio uwawa mkono Morogoro. Weee niliogopa sana, baada ya hapo akaagiza nipelekwe kwa dokta nipimwe kila kitu. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba nimekutwa nipo salama kila idara”
“Yule mzee ni mkali sana. Ila mwishoni ilikuwaje?”
“Nimepita jaribio hilo na amekubali niolewe na mwanaye”
Nabii Sanga akatabasamu kidogo kisha aka mkumbatia Julieth kwa maana uwepo wake uta leta faidi kubwa sana kwenye familia yake.


“Sasa kuna mambo nina bidi kukueleza kama mwana familia uliye kuwa na una kwenda kuolewa sasa mwanangu”
Nnabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Julieth kwa umakini sana usoni mwake.


“Ni nini baba”
“Niandalie kahawa nzuri na uje huku kwenye bustani.”
“Sawa”
Nabii Sanga akaondoka sebleni hapo na Julieth akaandaa kahawa hiyo ambayo yeye na mama yake tu ndio watu wa pekee wanao weza kuandaa kahawa nzuri na inayo mpendeza mzee huyo. Julieth akamuandalia baba yake kikombe hicho cha kawaha kisha akaa kiti cha pembeni katika kijibanda hicho cha kupumzikia, kilichopo katika bustani hiyo yenye majani mazuri sana.


“Ndio baba”
“Kwenye maisha yangu kuna mambo mengi sana sikuweza kukueleza kama mwanangu mpendwa. Japo kuna baadhi ulisha wahi kuyaona na yaka kuumiza ila sasa ni wakati wa wewe kuweza kutambua kila jambo”
Nabii Sanga baada ya kuzungumza hivyo, akapiga fumba moja la kahawa kisha akaendelea kuzungumza.


“Natambua hivi karibuni una kwenda kuwa mkwe wa raisi Mtenzi. Uwepo wake kwenye familia yake si kumzalia wajukuu tu na akafurahi, bali nasi kwa upande wetu ni lazima tuweze kunufaika katika kipindi hichi ambacho yeye ata kuwa ana nufaika na wewe”
“Nahitaji ukiingia kwenye familia yake kuna baadhi ya majukumu uweze kuyafanya”
“Majukumu gani baba?”
“Moja nina hitaji uweze kumshawishi Jery kubaki hapa nchini Tanzania na kama ata rudi nchini Marekani basi akamalizie kusoma tu kisha arudi Tanzania”
“Hilo ni jambo rahisi halina shaka baba”
“Jambo jengine nina hitaji utengeneze uaminifu na uweze kupata nafasi ndani ya ikulu ya raisi Mtenzi, si kama mkwe tu bali uwe kama sekretari au uwe na nafasi yoyote ambayo itakusaidia katika kujua kila jambo linalo endelea ndani ya ikulu ile”
“Kwa nini baba una taka niajiriwe ikiwa una fahamu kabisa kwamba mimi ndoto zangu ni kuwa mfanya biashara mkubwa?”
“Nalielewa hilo mwangu, ila kazi yako utakayo ipata ikulu, ita zitimiza kwa haraka ndoto zako za kuwa mfanya biashara mkubwa sana ndani na nje ya Tanzania. Moja uta weza kuhakikisha kwamba biashara zako zote zina pita bandarini pasipo usubumbu wa aina yoyote na wala huto weza kuchukuliwa kodi ya aina yoyote ila. Nina imani una tambua ni jinsi gani kodi zinavyo waumiza wafanya biashara”
“Yaa ni kweli baba”
“Pili nahitaji tuingie kwenye biashara ya giza”
“Biashara ya giza? Kivipi baba?”
“Biashara ya giza ni biashara ambazo zina tuingizia kipato kikubwa. Mimi na mama yako tulikuwa tuna ifanya biashara hiyo kwa siri sana na wewe ndio uta kuwa mtu wa pekee ambaye una weza kufahamu siri hiyo”
“Ni biashara gani hiyo baba?”
“Tuna uza madawa ya kulevya”
“BABAAAAAAA!!!”
Julieth alishangaa sana huku akimtazama baba yake.


“Usishangae mwanangu. Una hisi kanisa kama kanisa lina weza kutuingizia pesa nyingi kiasi cha nyinyi akaunti zenu kuwa na mabilioni of money? No hii biashara ndio ima wafanya na nyinyi leo mukipangwa kwenye orodha ya vijana matajiri basi na nyinyi wanangu wote watatu muta kuwepo”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Julieth kushusha pumzi nyingi.


“Muna muda gani muna ifanya hiyo biashara?”
“Kabla hata wewe hujazaliwa”
“Hee hamjawahi kukamatwa?”
“Hakuna aliye weza kutugusa wala kufahamu au kuhisi. Trust ndio kitu pekee kilicho tufanya tukae zaidi ya miaka ishirini na nane kwenye hiyo biashara. Ni hivi juzi juzi tu ndio tuli simama kama miaka miwili, kuangalia nguvu ya raisi Mtenzi ipo vipi ila kwa sasa tuna yaka kurudi rasmi na tuna hitaji kuingiza kiasi kikubwa sana cha pesa kutokana na mahusiano yetu haya tunayo kwenda kuyajenga”
Julieth akashusha pumzi taratibu huku akimtazama baba yake usoni kwa maana mtihani alio pewa ni mkubwa sana.


“Ila baba ni kazi hatari?”
“Ndio ni hatari ila hakuna ambaye ata fahamu juu ya wahusika wake”
“Ila baba nikiwa ndani ya ikulu, muda wote ita nipasa kuwa karibu sana na raisi. Nina imani kwamba simu zangu zita kuwa zina rekodiwa. Je hapo itakuwaje baba?”
“Kuna mfumo maalumu ambao tuta kuwa tuna utumia kuwasiliana”
“Mfumo gani huo baba?”
“Nita kuamabia ni mfumo gani ila jina lako utakuwa una litumia kwenye uongozi wa biashara hiyo ni BLACK GHOST. Kwa maana mimi baba yako nina kwenda kukurithisha jina hilo”


Nabii Sanga alizungumza huku akitabasamu na kumfanya Julieth naye kutabasamu huku kwa maana mtoto wa nyoka naye ni nyoka.


ITAENDELEA


Haya sasa, nabii Sanga ana hitaji kumuachia mwanaye Julieth biashara ya madawa ya kulevya je ita kwenda salama vizuri kama alivyo ipeleka yeye mwe nabii Sanga.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 77.
Hatari🔥🔥🔥
 
SIN 77

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


“Ila baba ni kazi hatari?”
“Ndio ni hatari ila hakuna ambaye ata fahamu juu ya wahusika wake”
“Ila baba nikiwa ndani ya ikulu, muda wote ita nipasa kuwa karibu sana na raisi. Nina imani kwamba simu zangu zita kuwa zina rekodiwa. Je hapo itakuwaje baba?”
“Kuna mfumo maalumu ambao tuta kuwa tuna utumia kuwasiliana”
“Mfumo gani huo baba?”
“Nita kuamabia ni mfumo gani ila jina lako utakuwa una litumia kwenye uongozi wa biashara hiyo ni BLACK GHOST. Kwa maana mimi baba yako nina kwenda kukurithisha jina hilo”


Nabii Sanga alizungumza huku akitabasamu na kumfanya Julieth naye kutabasamu huku kwa maana mtoto wa nyoka naye ni nyoka.





ENDELEA


“Black ghost?”
“Ndio mbona kama una lishangaa?”
“Miaka ya nyuma kama nilisha wahi kulisikia hili jina ila sikuwahi kulifwatili”
“Ulilisikia wapi?”
“Sikumbuki ni wapi nililisikaila nilisha wahi kulisikia”
“Sawa baadae usiku kuna sehemu tutakupeleka sisi na mama yako kukutana na wanachama watakao kuwa chini yako”
“Leo?”
“Ndio leo usiku, kwa maana biashara tuna hitaji kuanza hivi karibuni”
“Sawa baba nipo tayari, ila kuna jambo moja nina hitaji kukuomba”
“Jambo gani?”
“Nahitaji uhidi juu ya usalama wangu”
“Nina kuahidi na kitu cha pekee ni akili, ukitulia basi kila jambo lita kuwa sawa. Umenielewa mwanangu”
“Nimekuelewa baba”
“Sawa”
Nabii Sanga akatabasamu huku akimtazama Julieth usoni mwake kwa maana alicho kipanga kukifanya ni kuhakikisha mwanaye huyo ana kuwa Mungu wa madawa ya kulevya Afrika na duniani kwa uzima.
***


Binti huyo akaingia tena chumbani hapo akiwa amebeba sahani yenye vipande vinne vya maboga. Akakaa pembeni ya kitanda hicho alicho lala Evans.


“Una fahamu haya?”
“Ndio nina fahamu si maboga?”
“Yaa, ndio kifungua kinywa chako kwa leo. Inabidi ule kwa maana hiyo dawa ulio kunywa ina nguvu kubwa sana”
“Nashukuru, ila sijafahamu jina lako una itwa nani?”
“Niite tu dada”
“Dada ndio jina lako?”
“Hapana sio jina langu ila wewe niite hivyo. Kula ukimaliza nitakuja kuchukua sahani kwa sasa kuna wateja nina paswa kwenda kuwashuhulikia”
“Sawa ila nina swali moja kama huto jali?”
“Uliza”
“Una sema kwamba muli niokota kwenye mto je humkuokota mili ya watu wengine?”
“Hapana hatujaiona, ila kwa mto ule huwa ni bahati sana kwa mtu kuweza kupona. Wewe una bahati kwa maana kuna mamba wakubwa sana”
“Wee!!”
“Shangaa ila huo ndio ukweli”
Dada baada ya kuzungumza hivyo akanyanyuka na kutoka ndani hapo. Vijana wote walio agizwa na Jery kumkamata Evans na walijitosa kuhakikisha wana mkamata Evans aiye jirusha kwenye kwenye mto hawakuwa na bahati kwenye maisha yao. Nguvu ya maji ya mto huo hawakuweza kupambana nayo kwa maana wote walijikuta wakiingia kwenye mto ambao una mamba wakubwa sana. Mmoja baada ya mwengine walijikuta wakitafunwa vibaya sana na mambo hao. Mvua kubwa iluyo nyesha iliweza kumsaidia sana Evans kwa maana mamba hao waliweza kwenda mbali na eneo la pembezoni mwa mto huo. Hadi Evans ana pata msaada wa kuokotwa na dada, mamba hao walikuwa bado hawajarudi katika eneo hilo.


Evans taratibu akaanza kula maboga hayo na kujikuta akikumbuka maisha ya nyumbani kwao. Akakumbuka jinsi mama yake alivyo kuwa ana muandalia maboga kabla ya kwenda shule alfajiri. Jitihada zake za kusoma hakika zilimuwezesha kufika mbali kielimu, ila ubaya ni kwamba wa sasa hata hata cheti hata kimoja na kuna watu wana muwinda ili kuyatoa maisha yake.


‘Sinto kuja kumpenda mwanamke yoyote wala kumuamini’


Evans alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Akakumbuka wosia ambao mama yake alikuwa ana mpatia mara baada ya kuchaguliwa kwenda chuo kikuu jijini Dar es Salaam. Mama yake alimsisitizia ajitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuhakikisha ana soma kwa bidii ili kuitoa familia yake kwenye dimbwi kubwa la umasikini. Isitoshe yeye ndio ame husika katika kumuua baba yake ambaye alikuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha kuwafanya wame masikini. Evans akajipangusa machozi yake na kuendelea kula maboga hayo. Akamaliza kula, kisha akajitahidi taratibu na kushuka kitandani. Akaanza kujikongoja kuelekea nje huku akiwa ameishika sahani hiyo. Evans akajikuta macho yakimtoka kwa maana eneo hilo ilipo jengwa nyumba hiyo ni mlimani na kumezungukwa na miti mingi pamoja na mawe makubwa makubwa.


“Mbona ume toka, nilikuambia ita kuja kuchukua sahani”
Dada alizungumza huku akimfwata Evans mlangoni hapo.


“Nimeona nisikusumbue’
“Hapana bwana udi ndani usije ukapata maumivu mengine”
Dada alizungumza huku akichukua sahani hiyo na kuontondoka eneo hilo na kuingia katika nyumba ya pembeni ambayo nayo ime tengenezwa kwa matofali ya kuchoma.


***


“Vipi ame kubali?”
Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mumewe usoni.


“Yaa amekubali, na nina imani kwamba Julieth ata kuwa mbaya kuliko hata sisi”
“Hata mimi nina ona. Watoto wetu wa kiume wote wawili naona kila mmoja ana njia yake ila Julieth nina imani ata kuwa nasi pamoja”
“Yaa ndio maana miaka yangu yoye nime kuwa karibu naye ili mradi nije kumrithisha maisha yetu. Nakuambia ata kuja kuwa mkali zaidi ya sisi tunavyo hisi”
Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini huku akimtazama mke wake. Taratibu mrs Sanga akamsogelea mume wake, akaanza kumfungua vifungo vya shati lake.


“Nahitaji leo uni fuc** hadi nyeg** zangu zote ziniishe”
Mrs Sanga alizungumza huku akimvua mume wake shati hilo. Nabii Sanga akamsukuma mke wake kitandani, akakipandisha kigauni chake alicho kivaa juu, kisha akavua suruali yake na yeye akapanda kitandani. Kabla hajafanya kitu chochote simu yake ikaanza kuita.


“Ohoo sorry mke wanu”
Nabii Sanga alizungumza na kushuka kitandani, akaichukua simu yake mezani na kuitazama kwa sekunde kadhaa.


“Muheshimiwa raisi”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kwa maana simu hiyo ni kutoka kwamkwe mwenzake.


“Ndio muheshimiwa”
“Ahaa Sanga ni mara ngapi nilikuleza usiniite muheshimiwa, tukiwa tuna zungumza mimi na wewe”
“Ohoo samahani kwa hilo”
“Sasa saa kumi jioni tuta kuwa na ufunguzi wa kiwanda cha magari. Hivyo kama huto jali nina kuomba uweze kufika hapa ili kufungua kwa maombi, si unajua bila ya maombi ya watu watakatifu kama nyinyi mipango ina weza kwenda vibaya”
“Ni kweli muheshimiwa. Tuta fika hapo na mke wangu”
“Nashukuru sana tena sana”
“Hata sisi tuna shukuru kwa mualiko wako mkubwa ulio tupatia”
“Sawa”
Simu ikakatwa na kumfanya nabii Sanga kuzidi kujawa na furaha kwa maana kama ni mipango yake basi ina zidi kuchanua. Nabii Sanga akapanda kitandani hapo na kuanza kumpa mke wake haki yake ipasavyo.


“I like your dic** baby”
“Really?”
“Yaa I like it”
Mrs Sanga alizungumza huku akizidi kukata mauno huku akiwa amemkalia jogoo wa nabii Sanga. Wakamaliza mzunguko wa kwanza na wakaendelea na mzunguko wa pili. Walipo hakikisha kwamba kila mmoja kiu yake ime katika, wakaingia bafuni kwa pamojana kuoga.


“Muambie Julieth juu ya safari hii”
“Ajumuike nasi?”
“Ndio mke wangu. Kumbuka kwamba Julieth ndio kiunganishi chetu na familia ya mtenzi”
“Sawa mume wangu”
Mrs Sanga akampigia simu Julieth aliyopo chumbani kwake, akamueleza kuhusiana na safari hiyo na Julieth akakubali. Wakajiandaa na saa tisa na nusu wakaianza safari ya kuelekea katika kiwanda hicho.


“Julieth”
“Bee mama”
“Ume tupa heshima kubwa sana mwanangu. Ila nina kuomba usije ukaipoteza heshima hii tuliyo pewa”
“Usijali baba, kuanzia sasa natambua kwamba mimi ni nani na lengo langu la kwenda kwenye familia ile ni nini”
“Ndio maana nina kupenda mwanangu”
Nabii Sanga alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari hilo la kifahari Toyota VX V8. Wakafika eneo hilo la kiwanda lililo jengwa kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo. Nabii Sanga akapokelewa na sekretari wa raisi Mtenzi kisha yeye na vamilia yake wakapelekwa katika jukwaa la V.I.P ambapo viongozi wengine wana zaidi kuongezeka mmoja baada ya mwengine huku wakiwa na hamu ya kumuona raisi wa Marekani pamoja na raisi wao wa Tanzanaia raisi Mtenzi. Haukupita muda mrefu gari za maraisi hao zikafika katika eneo hilo. Watu wengi walio jitokeza katika eneo hilo wakazidi kushangilia maraisi hao. Baada ya maraisi hao kuketi kwenye viti vyao ratiba ikaanza huku shehe mkuu akipewa nafasi ya kuanza kusali kisha akafwatia nabii Sanga kusali.


***


Magreth akaachia msunyo mkali mara baada ya kumuona nabii Sanga akiomba katika ufunguzi wa kiwanda hicho.


“Mbona una sunya. Una muona nabii wetu amealikwa naye?”
Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth aliye kasirishwa mara baada ya kumuona nabii Sanga akisali katika tv iliyopo chumbani hapo.


“Hakuna”
“Kweli?”
“Ndio hakuna jambo”
“Magreth kuna jambo moja nahitaji kufahamu”
“Jambo gani?”
“Utajiri wako ume utolewa wapi. Kutoka kuuza maandazi hadi kumiliki mgahawa tena ndani ya muda mchache niambie ime kuwaje?”
Magreth akashusha pumzi huku akimtazama Josphine ambaye ndio mtu wa kwanza kumuuliza swali hilo linalo husiana na utajiri wake. Kabla hajazungumza chochote simu yake ikaita, kwa haraka akaitazama na kukuta ni Juma.
“Juma vipi?”
“Safi vipi mgahawa una kwendaje?”
“Una kwenda vizuri bosi. Tume pata new oder”
“Kutoka wapi?”
“Ubalozi wa Marekani hivyo wana kuhitaji tuweze kuzungumza nao”
“Kwa lini?”
“Leo hii saa moja usiku”
“Duu oder ni ya chakula”
“Ndio bosi una hisi ita kuwa ni oda ya nini tena”
“Nipo Muhimbili, basi acha nije hapo kazini”
“Sawa”
Magreth akakata simu na kumgekia Josephine.


“Jose nina toka rafiki yangu, nina kwenda kwenye ofisi yangu kuna mambo ya kuyaweka sawa. Hilo swali lako nina kuomba sana niweze kukujibu siku nyingine”
“Sawa kuwa makini”
“Usijali, nita kuja kama saa mbili au saa tatu usiku, ila madaktari nitazidi kuwasisitizia wakuangale kwa ukaribu sana ili huyu jamaa yako asije akarudi”
“Usijali rafiki yangu Mungu yu pamoja nami”
“Amen”
Magreth akaondoka hospitalini hapo na kufika kazini kwake. Akasalimiana na wafanyakazi wake ambao toka asubuhi haja onana nao.


“Ehee niambie”
“Jana jioni hadi leo tume pata wateja wengi kutoka nchi ya Marekani na China. Hivyo tume ombwa tuwe tuna tengeneza chakula kwa ajili ya ubalozi huo. Ila wana hitaji chakula hicho kikapikiwe kule kule ubalozini”
“Wamarekani ni wajanja sana”


“Kivipi?”
“Wanatupatia dili hilo ila wanacho kihitaji wao ni kujua ujuzi tunao tumia katika kutengeza chakula chetu kwa maana ni kitamu sana na endapo wakifahamu basi wana weza kumaliza mkataba na sisi na tukarudi katika maisha ya wateja wetu”
“Sasa niwajibu nini bosi”
“Waambie kwamba chakula chetu kina pikwa hapa. Atakaye hitaji kuja kula aje asiye hitaji kuja aondoke ndio maana nime fungua mgahawa. Sawa Juma?”
Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Juma usoni mwake.
“Ndio bosi nime kuelewa”
Juma alijibu kwa unyonge kwa maana kile alicho kuwa ana kitarajia sicho alicho jibiwa na bosi wake.


ITAENDELEA


Haya sasa, kwa nini Magreth ama kataa dili kubwa kama hilo akihofia ujuzi wake wa kutengeza chakula uta ibiwa nini kitatokea.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose se hemu ya 78.
 
Back
Top Bottom