Riwaya: SIN

Riwaya: SIN

SIN 29

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

Nabii Sanga akanyanyuka na kosogea sehemu aliyo kaa mkuu wake huyo ambaye ni wakala namba moja wa shetani kutoka kuzimu. Mwana dada huyo akasimama na kuanza kumzunguka nabii Sanga, akamvua joho lake na akabaki kama alivyo zaliwa. Akaanza kuyatomasa tomasa makalio ya nabii Sanga huku akimtazama.
“Ume kiuka masharti yako kwa nini?”
“Masharti gani mkuu?”
“Una paswa kum** kijana wa miaka chini ya kumi na nane na si mke wako wala mwanamke wa aina yoyote na wala si mwanaume wa miaka zaidi ya miaka kumi na nane. Kwakufanya hivyo itakupasa na wewe leo ufi**”
Kauli hiyo ya mkuu wake ikamfanya nabii Sanga mapigo yake ya moyo kuanza kumuenda kasi sana kwani toka kuzaliwa kwake hajawahi kutana na tukio hilo japo yeye alisha wahi kumfanyia Tomas, mtu aliye muibia mke wake.

ENDELEA


Nabii Sanga akaanza kutetemeka, huku woga ukiwa umemtawala mwili mzima.

“Mkuu na.a…..aomba kubadilishiwa adhabu”
Mwana dada huyo akamtazama nabii Sanga kwa macho makali. Akamsogelea karibu kabisa na uso wake, akautoa ulimi ake mrufu ambao katikati una tobo. Akaanza kumlamba lamba nabii Sanga puani mwake.

“Kalete kichwa cha mtoto mchanga wa siku moja hadi wiki na kichwa hicho kitokee nchini Tanzania. Hakikisha una mkata kichwa mtoto huyo wewe mwenyewe na una leta kichwa hapa umenielewa”
“Nimekuelewa mkuu”
“Nakupa siku nne kichwa hicho kiwepo hapa. Ondoka”
Nabii Sanga akasimama na kuanza kutembea kuelekea nje huku akiwa amejawa na mawazo mengi sana. Ila kwa upande mwengine ame epuka katika adhabu ambayo ita mdhalilisha utu wake.

“Una weza kwenda na wewe”
Nabii Okocha akasimama na kutoka ndani wakafika eneo la kubadilisha nguo zao. Wakavaa kikatoka ndani ya pango hilo, wakaingia kwenye gari walilo jia na kuondoka.

“Una weza kufanikisha ulilo ambiwa?”
“Hapa ndio nina fikiria, ina bidi kumuacha mke wangu na nirudi Tanzania ikiwezekana usiku huu huu niweze kupata ndege”
“Sawa hati za kusafiria si zipo nyumbani?”
“Ndio”
“Basi tuwahi”
Nabii Okocha alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari hilo ili wawahi nyumbani.

Mrs Sanga na mrs Okocha wakajikuta wakifika kileleni kwa pamoja huku kila mmoja akionekana kuridhishwa na kusagana kwao.

“Nilikuwa nina hamu sana na wewe mpenzi wangu”
Mrs Sanga alizungumza hukua kishika shika maziwa ya mrs Okocha.

“Hata mimi. Hembu tuoge, hawa wanaume wasije wakatukuta hivi”
Wakaingia bafuni na kuoga, kisha kila mmoja akavaa nguo zake. Hazikuisha hata dakika tano nabii Sanga na nabii Okocha wakafika nyumbani hapo.

“Mbona muna onekana muna haraka”
Mrs Okocha aliwauliza mara baada ya kuwaona wakiingia sebleni hapo.

“Ina bidi nabii Sanga arudi nchini Tanzania usiku huu”
“Kuna tatizo gani mume wangu?”
Mrs Sanga alimuuliza mume wake anaye pandisha ngazi za gorofani, nabii Sanga hakumjibu chochote mrs Sanga hadia akingia ndani.

“Nimepewa adhabu na chief”
“Adhabu gani mume wangu”
“Sikupaswa kum** Tomas na hapa nilipewa adhabu, ya kuingiliwa mimi au nilete kichwa cha mtoto mchanga ambaye ana siku moja hadi wiki”
“Ohoo Mungu wangu. Sasa hapo umechagua ya kuua mtoto mchanga?”
“Ndio au ulitaka na mimi nipinduliwe marinda?”
Mrs Sanga akaka kimya huku akimuona mume wake, akisoma maelezo ya hati yake ya kusafiria.

“Uta baki hapa, mimi nita rudi kesho kutwa ka maana hii kazi nina takiwa kuifanya ndani ya siku nne. Yaani yule fala wako ame nigarimu sana”
“Mmmmmm!!”
”Nina elekea airport nitajaribu kuangalia kama nina weza kupata ndege ya kuelekea Tanzania leo”
“Sawa mume wangu, mimi nitamtafuta yule rafiki yangu na nimueleze kuhusiana na ile kazi ya kuuza watu”
“Fanya hivyo si una jua tuna takiwa kuwa matajiri?”
“Ndio nina tambua mume wangu”
“Kuwa makini na si una naza kutamani tamani vijana wa watu hapa. Nitakuua”
“Siwezi kufanya hivyo mume wnagu. Nimesha badilika”
“Haya”
Nabii Sanga na mke wake wakatoka chumbani humo. Wakaagana kisha nabii Okocha na nabii Sanga awakainggia kwenye gari na kuianza safari ya kuelekea uwanja wa ndege. Wakafika uwanja wa ndege na kwa bahati nzuri nabii Sanga akapata ndege inayo ondoka nchini Nigeria kuelekea nchini Kenya majira ya saa nane usiku. Akakata tiketi ya siti ya mwisho kabisa ambayo ilikuwa ime salia kwenye ndege hiyo.

“Ndugu yangu tafadhali nina kuomba uweze kumuangalia mke wangu”
“Usijali kaka. Nitakuwa makini katika hilo nitahakikisha jinsi ulivyo kuja naye ndivyo jinsi ulivyo mkuta”
“Sawa”
Nabii Sanga na nabii Okocha wakakumbatiana, kisha nabii Okocha akaondoka na kumuacha nabii Sanga uwanjani hapo ili aweze kusubiria muda wa ndege hiyo kuondoka. Muda ulipo wadia, nabii Sanga akapanga foleni ya kugaguliwa, akagongewa muhuri na kuelekea katika mlango wa ndege. Baada ya abiri wote kukamilika ndani ya ndee hiyo, taratibu ikaanza kuacha ardhi na kupaa angani huku akilini mwake nabii Sanga akifikiria mtoto mchanga huyo ana weza kumpata wapi.
***
Nabii Okocha akafika nyumbani kwake huku akiwa na furaha moyoni mwake. Unzuri wa mrs Sanga siku zote umekuwa ukimvutia na huwa ana tamani hata kumshika japo kiuno. Kwamechi waliyo piga na mrs Sanga, Mrs Okocha akajikuta akichoka sana na akawaaga mrs Sanga na mume wake walioko sebleni hapo wakizungumza mambo mengi kuhusiana na maisha, kwamba ana elekea kulala.

“Leo mbona mapema mke wangu”
“Nimechoka tu mke wangu. Kaa kaa na mgeni mimi ngoja nijipumzishe”
“Sawa”
Mrs Okocha mara baada ya kuondoka hapo nabii Okocha akamtazama mrs Sanga aliye weke nne. Miguu yake minene kidogo ya myeupe hakika ina mpagawisha.

“Shemeji una taka kuniambia hadi sasa huna hata mtoto?”
“Yaaa wee acha tu. Ilitulazimu kukubali sharti la kuto kuzaa, ili maisha yetu yazidi kusonga mbele na kufanikiwa zaidi.”
“Ahaaa sawa sawa. Ila sharti hiko nalo gumu?”
“Ndio, ila nina mshukuru Mungu nime mpata mwanamke ambaye amekubaliana na hilo. Japo ana kupamba na changamoto kubwa za maneno ila ana zidi kunielewa.”
“Ni kweli, una jua kila nyuma ya maendeleo ya mwanaume basi nyuma yake yupo mwanamke ambaye ni muelewa wa hali halisi ya mume wake”
“Ni kweli shemeji”
“Yaani nina kumbuka mimi na Sanga tulipo toka. Kwenye kajichumba kamoja huwezi amini sasa hivi tuna kila kitu tulicho kuwa tuna kitamani hapo nyuma”
“Mungu awabariki sana. Shemeji nina kuja”
“Ahaa sawa”
Nabii Okocha akapandisha gorofani na kuingia chumbani kwake. Akamkuta mke wake akiwa ana koroma.

“Hei mama vipi?”
“Mmmm nime choka mume wangu”
“Ume choshwa na nini?”
“Nimechoka tu, najihisi uchomu mwingi sana mwili ni mwangu”
“Pole mke wangu. Haya pumzika”
Nabii Okocha akanyanyuka kitandani na kuingia bafuni, akaoga kisha akarudi, akavaa nguo maalumu za kulalia na kurudi sebleni huku akiwa ameshika chupa ya pombe kali pamoja na glasi mbili. Akashangaa mara baada ya kumkuta mrs Sanga akiwa hayupo sebleni hapo.

‘Ameenda wapi huyu mwanamke?’

Nabii Okocha alijiuliza, akapata wazo la kueleka chumbani kwa mrs Sanga, akajaribu kuufungua mlango na kukuta ukiwa ume fungwa. Akagonga taratibu na baada ya muda kidogo ukafunguliwa.

“Ohoo samahani kwa kukusumbua shemeji?”
Nabii Okocha alizungumza huku akimtazama mrs Sanga aliye vaa gauni jepesi la kulalia ambalo lina onyesha maungo yake ya ndani, ambayo ameyasitizi kwa chupi na sidiria.

“Bila samahani shem”
“Anaa je tuna weza kupata kinywaji kidogo?”
Mrs Sanga akatazama chupa ya pombe hiyo.

“Hapana shem naomba nipumzike”
“Ahaa….sawa usiku mwema”
“Nawe pia shem”
Mrs Sanga akafunga mlango na kupanda kitandani, huku nabii Okocha akishindwa kujua afanye nini kwa maana alilo likusudia kulifanya limepita kushoto.
***

Majira ya saa moja asubuhi, nabii Sanga akafika nchini Kenya, hakuona haja ya kuendelea kukaa nchini humo, akakta tiketi na kupanda ndege ambayo ndani ya muda mchache akafika jijini Dar es Salaam nchini Tanzania. Moja kw amoja akaeleka hadi ilipo hoteli yake ya kitalii maeneo ya posta. Akaingia kwenye chumba chake ambacho siku zote yeye na mke wake wakichoka kulala nyumbani hulala katika chumba hicho. Saa yake ya mkooni ina muonyesha ni saa nne asubuhi. Akilini mwake, ana waza ni wapi ambapo ana weza kumpata mwanamke aliye jifungua. Akili yake moja kwa moja ikatua katika hospitali ya Muhimbili.

“Pale siwezi kukosa kichwa cha mtoto”

Nabii Sanga aliwaza huku akiwa amejilaza chali kitandani. Akajaribu kumfikiria ni daktari gani mwenye ukaribu naye ambaye ana weza kumpa kazi hiyo. Ila akakumbuka kwamba kazi hiyo ana paswa kufanya yeye mwenyewe.

‘Ina bidi niende kufanya upelelezi wangu’

Nabii Sanga alizidi kujishauri. Akanyanyuka chumbani hapo na kutoka, akaomba gari la hoteli na moja kwa moja akaelekea hospitali ya Muhimbili.

“Nabii Sanga karibu sana”
Daktari wa mifupa aliye kutana naye kwenye maegesho ya magari alimsalimia huku wakipeana mikono.

“Nashukuru sana dokta”
“Vipi kuna mgonjwa umekuja kumuona au una umwa?”
“Hapana, nime kuja kuwaombea wakina mama waja wazito pamoja na wale walio jifungua. Roho wa bwana amenigusa na kujikuta nikifika hapa”
“Hoo hilo ni jambo kubwa sana nabii Sanga. Tunaweza kuongozana na nikakukabidhi kwa daktari wa kitengo hicho”
“Sawa, una itwa dokta nani?”
“Nina itwa dokta Wilbert Msangi”
“Nashukuru kukufahamu dokta Msangi.”
Wakafika katika ofisi ya dokta anaye shuhulika na kitengo cha wazazi. Hapakuwa na haja ya kumtambulisha nabii Sanga kwa mwana mama huyo kwa maana ana mfahamu vizuri nabii Sanga hii yote ni kutokana na vipindi vyake vinavyo rushwa kwenye televishion na mitandao ya kijamii.

“Mimi naitwa dokta Mbwambo”
“Nashukuru kwa kukufahamu”
Nabii Sanga akamueleza mwana mama kama alivyo mueleza dokta Wilbert Msangi. Dokta Mbwambo hakuwa na haja ya kukataa wito wa mtumishi huyo wa Mungu ambaye ni maarufu. Wakaanza kutembelea wodi za wamama wajawazito, na nabii Sanga akaanza kuwaombea, nguvu alizo nazo ziliweza kuwafukuza majini yaliyo kuwa ndani ya baadhi ya wana mama wajawazito. Kuna baadhi ya wanawake, walipanga kufanyiwa upasuaji kutokana na kuchelewa kujifungua, ila kwa maombi ya nabii Sanga, ikawapa kazi za ziada madaktari, kwani wana mama zaidi ya kumi walijikuta wakishikwa na uchungu wa haraka na kujifungua.

‘Siwezi kukosa kichanga kimoja kati ya hivi vilivyo zaliwa?’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku wakihamia kaika wodi nyingine ya wana mama ambao tayari wamesha kifungua. Akaendelea na huduma yake ya maombi huku akiendelea kusoma mazingira ya wodi hizo.

“Hivi dokta mara baada ya watoto hawa kuzaliwa. Wana hifadhiwa wapi?”
“Kuna chumba chao maalumu ambacho tuna wana wahifadhi wale watoto ambao mama zao wameweza kufariki au kupoteza fahamu baada ya kujifungua. Pia wale watoto walio zaliwa chini ya miezi saba, basi nao pia tuna waweka ndani ya chumba hicho.
“Nina weza kuelekea katika chumba hicho?”
“Ndio hakuna tabu mtumishi”
Wakaelekea katika chumba hicho, wakaingia ndani. Nabii Sanga akashangaa kuona vitanda vidogo vidogo vyenye watoto wengi sana.
“Karibia watoto wote wame zaliwa siku mbili hizi”
“Asiee ni malaika wazuri sana”
“Ni kweli ila huwa tuna kutana na vimbwanga vingi sana kwenye maeneo haya”
“Vimbwaga gani dokta?”
“Wachawi wana wasumbua sana hawa viumbe vya Mungu. Kuna kipindi ina fika saa sita usiku kueelekea saa nane, basi humu ndani kuna kuwa ni shida. Watoto wan alia kisawa sawa na muda mwengine wana poteza maisha”
“Aissee shetani hana adabu kabisa”
“Ni kweli nabii, kama ulivyo ona wamama wanavyo tokwa na mapepo, nahisi hata humu kuna mapepo huwa yana ingia”
“Ume sema kwamba ni muda gani hawa vichanga huwa wana pata shida ya kulia”
“Mida ya saa sita usiku hivi”
“Basi sasa nita ondoka na leo usiku kama hamuto jali nita fika eneo hili na nita omba niweze kufanya maombi kwa ajili ya hawa watoto”
Nabii Sanga alizungumza huku moyoni mwake lengo la kuzungumza hivyo ni kuhakikisha kwamba ana itumia nafasi hiyo kuiba kichanga ili akikate kichwa kwa ajili ya kulipa adhabu aliyo pewa na mkuu wake.

ITAENDELEA

Haya sasa, nabii Sanga amepata nafasi ya kusali katika chumba hicho cha watoto, je ata fanikiwa kupata mtoto mchanga wa kumuua? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 30.
 
SIN 30

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Aissee shetani hana adabu kabisa”
“Ni kweli nabii, kama ulivyo ona wamama wanavyo tokwa na mapepo, nahisi hata humu kuna mapepo huwa yana ingia”
“Ume sema kwamba ni muda gani hawa vichanga huwa wana pata shida ya kulia”
“Mida ya saa sita usiku hivi”
“Basi sasa nita ondoka na leo usiku kama hamuto jali nita fika eneo hili na nita omba niweze kufanya maombi kwa ajili ya hawa watoto”
Nabii Sanga alizungumza huku moyoni mwake lengo la kuzungumza hivyo ni kuhakikisha kwamba ana itumia nafasi hiyo kuiba kichanga ili akikate kichwa kwa ajili ya kulipa adhabu aliyo pewa na mkuu wake.

ENDELEA

“Hakuna shaka nabii, yaani nita shukuru sana”
“Usijali dokta”
Nabii Sanga na dokta Mbwambo wakatoka ndani humo. Wakarudi ofisini na daktari uyo akaanza kumuelezea nabii Sanga matatizo ya vijana wake wawili walipo chuo kikuu.

“Ina maana wote ni walevi?”
“Sana nabii, yaani nimeongea hadi nimechoka na mbaya baba yao amesha fariki dunia”
“Aisee pole sana. Sasa jioni ya leo ikiwezekani nije kwako niweze kufanya mauombi na hao vijana wako”
“Sijiui kama wana weza kufika nyumbani. Kwani haiwezekani uka waombe huko huko walipo kwa maana ni juzi tu nimetoka kutibuana nao”
“Wanaitwa nani?”
“Jackson na Jonson ni mapacha”
“Sawa tuombe”
Nabii Sanga akaanza kuomba huku akiwa ameshikana mikono na dokta Mbwambo. Maombi hayo yakachukua nusu saa na kumalizika.
“Mungu ata kwenda kufanya jambo juu yao”
“Amen”
Simu ya dokta Mbwambo ikaanza kuita, akaitazama na kukuta ni namba ya kijana wake Jackson.

“Jackson ana piga simu”
“Mpokelee”
Dokta Mbwambo akaipokea simu hiyo na kuiweka sikion mwake. Kijana wake akaanza kulia huku akiomuomba mama yake msamha akiahidi kwamba hato kiuka maonyo yake. Dokta Mbwambo mara baada ya kuzungumza na kijana wake huyo akajikuta akipiga magoti na kumshukuru Mungu kwani vijana wake hao aliwaonya sana hadi akachoka.

“Nabii maombi yako yamezaa matunda. Nina shukuru sana”
“Usijali, acha mimi niondoke nikajiandae nitarudi usiku”
“Sawa”
Dokta Mbwambo akamsindikiza nabii Sanga hadi kwenye maegesho ya magari. Nabii Sanga akaingia kwenye gari lake na kurudi hotelini kwake. Akajifungia chumbani huku akilala kitandani, akisubiria muda wa yeye kwenda kuufuanya unyama alio agizwa na mkuu wake utimie.
***
Asubuhi na mapema, Magreth akaelekea katika ofisi za dalali aliye mtafutia nyumba. Akampa kazi ya kutafuta jengo ambalo ana weza kufungua mgahawa mkubwa. Haikuwa kazi ngumu kwa dalali huyo, akafanikiwa kupata ofisi maeneo ya Mikocheni. Siku hiyo hiyo wakatembelea katika eneo hilo na Magreth akakubaliana na mmiliki kulipa kodi ya dola mia tano kwa mwenzi. Magreth akaelekea benki na mmiliki wa fremu hizo, akamkabidhi kiasi cha pesa cha mwaka mzima.

“Nashukuru sana binti”
Mwana mama huyo alizungumza.

“Usijali sana mama. Sasa pale nita hitaji nipafanyie marekebisho na nipaweke kwa namna ile ambayo nina ihitaji mimi”
“Usijali, tena nina mafundi wangu walio nijengea jengo lile. Nina weza kukupatia namba zao ukawasiliana nao”
“Itapendeza sana mama yangu”
Mwana mama huyo akawasiliana na mafundi wake. Akakubaliana nao wakutane naye kwenye jengo lake hilo.

“Inabidi turudi tena Kinondoni”
“Sawa mama”
Wakarudi Kinondoni na kuwakuta mafundi hao wakiwa wamesha fika. Magreth akaanza kuwalekeza jinsi ambavyo anahitaji mgahawa wake uonekane. Wakakubaliana bei ya mafundi hao akawalipa na wakahidi kazi itaanza siku inayo fwata.

Magreth hakuitaji siku hiyo kuitumia kwa kupoteza muda, akaanza kupita kwenye maduka yanayo uza vitu vya kupikia. Akanunua vifaa vyote vya kupikia ikiwemo na viti vizuri kwa ajili ya mgahawa wake. Kwenye kila duka alilo nunua vifaa aliondoka na risiti huku akiomba kuvichukua vitu hivyo alivyo vilipia siku mbili mbele akiamini kwamba mgahawa wake uta kuwa umesha kwisha.

‘Hapa nimebakisha wafanyakazi wanne’

Magreth alizungumza huku akitazama risiti za biadhaa alizo zinunua ambazo kwa zimegarimu zaidi ya milioni kumi.

‘Nitawapata kina nani ambao ni waaminifu?’

Magreth aliendelea kuwaza huku akitazama bajaji zinazo katika barabarani hapo. Akasimamisha bajaji moja na kuomba apelekwe hospitali ya Mwananyama. Akafika hospitalini hapo, mara baada ya kumlipa dereva bajaji moja kwa moja akaelekea hadi katika chumba cha Evans. Akamueleza juu ya matembezi yake ya siku nzima.
“Umefanya jambo la muhimu mke wangu. Tuombe Mungu niweze kupona haraka ili tuweze kusihirikiana”
“Usijali mume wangu. Nina muomba Mungu upone haraka. Hapa inabidi nitafute vijana wanne. Wawili wawe wa kike na wawili wawe wa kiume”
“Juu ya wafanyakazi hilo lisikuumize kichwa. Una weza kutangaza usahili na ukapata watu”
“Hiyo ina wezekana ehee?”
“Ndio ina wezekana tena ni jambo rahisi sana kwa dunia tuliyo nayo hivi sasa”
“Ngoja upone ili hiyo kazi tuanze kuifanya kwa pamoja. Kipindi hichi, inabidi nianze kuyapitia yale madaftari yangu ya ujasiriamali nianze kupitia pitia mafundisho ya mapishi ambayo tulikuwa tunafundishwa kanisani”
“Kanisani muna fundishwa mapishi siku hizi?”
“Ndio, kuna semina za kuna mama na wasichana zilikuwa zinatolewa bure hivyo nami nilikuwa miongoni mwao”
“Ahaa…hapo sawa mke wangu”
***
Baada ya kuondoka katika hoteli aliyo kuwa amelala usiku wa kuamkia leo. Tomas akawasiliana na rafiki yake aitwaye Ngosha ambaye alisoma naye shule ya Sekondari Mkoani Iringa. Ngoja akamueleza sehemu ambayo ana patikana na wakakutana. Wakasalimiana kwa furaha sana.

“Ehee na hiyo sura vipi mbona sio wewe?”
“Ngosha alimuuliza Tomas hukua kimshangaa.

“Kaka hii sura ya bandia si una tambua majanga yaliyo nikuta Tz”
“Kweli aisee. Unajua juzi nilikuwa nina peruzi mtandaoni nikaona mwana una sakwa sasa nikawa nina jiuliza ime kuwaje kuwaje hadi una swaka namna hiyo illa nikakosa jibu la maana”
“Weee acha kaka”
“Karibu bwana hapa ni home kwangu nina ishi peke yangu”
“Aisee ume pata wapi pesa za kushusha mjumba wote huu mwana?”
“Kaka haya maisha ndugu. Ehee sasa hiyo sura yako uta vua au uta itumia?”
“Yaani bado sijajua, ila si unajua nina sakwa bado inabidi niendelee kuitumia”
“Hivi tz kuna wataalamu wa kutengeneza sura bandia?”
“Wachache sana na wana fanya kazi zao kwa siri sana”
“Aise huyo angekuja huku south, haki ya Mungu angetajirika fast”
“Kweli?”
“Ndio, huku wapo wahuni kibao wana piga matukio makubwa makubwa na wana hitaji kubadilisha sura ila wana kosa nani wa kuwatengenezea sura hizo bandia mwana”
“Usijali mwana tutatafuta ustarabu. Ehee niambie una piga mitikasi gani?”
“Baba maisha yangu nina yaendesha kwa sembe na kuvunja mabenki”
“Weeee!!”
“Ohoo ndio life yangu hapa south. Unajua pale mwanazo nilikuwa nina tumwa kufanya hizo kazi. Ila sasa hivi nina vijana wangu maalumu. Ninacho kifanya mimi ni kuwa master plan, napokea mzigo au najua benki ina ingiza kiasi gani cha pesa kisha vijana wangu wanapiga kazi. Mavumba wananiletea mimi hapa kila mtu nina mpa chake na mimi nina baki na mavumba yangu na maisha yana songa”
“Hahaaa Ngosha hivyo unavyo zungumza na nikikumbuka upole wako shuleni haki ya Mungu una jua siamini”
“Wee acha tu kaka maisha haya yana tubadilisha”
“Ni kweli, una kumbuka kwamba nilikuwa ndio mtetezi wako. Wale waseng** kina nani wale”
“Pito na yule Rama”
“Ewalaaa. Walikuwa wana kuzingua sana bwenini, ila wakiniona wana unyata kishenzi”
“Hahaaa yani waseng** wale nina watamani kum**n**a zao. Walinitesa kishenzi. Nakumbuka ule mwezi ulio pigwa sas p. Walinitesa kishenzi”
Tomas na Ngosha walizungumza huku wakiwa wamejawa na furaha kubwa sana, kwani urafiki wao ulianza kuanzia kidato cha kwanza hadi sasa wamekuwa watu wazima.

“Ehee niambie kaka south ume kuja maisha au umekuja kusikilizia mambo yako?”
“Yaani sijajua ila nita kaa kwa muda. Nahitaji kuwa mnyama”
“Tomas nakujau kwa miaka mingi sana. Unyama una uweza, kikubwa nini mwanau. Leo usiku tuta timba kwenye club yangu alafu nita kutambulisha kwa wana”
“Una club”
“Ohoo mbona nina mazaga zaga mengi kaka. Mdogo mdogo uta yafahamu mwanangu”
“Upo vizuri Ngosha”
“Ndio hivyo broo.”
Ngosha akamuonyesha Tomas chumba chake cha kulala na kumuahidi kwamba ata msaidia kwenye kila jambo ambalo atahitaji kulifanya nchini hapo Afrika kusini.
***
Mrs Sanga mara baada ya kusali asubuhi hiyo akaingia bafuni na kuoga. Akavaa nguo nyingine na kutoka sebleni. Akamkuta Mrs Okocha akiandaa kifungua kinywa.

“Za asubuhi mpenzi”
Mrs Okocha alizungumza huku akiuzungusha mkono wake wa kulia kiunoni mwa mrs Sanga na kumbusu mdomoni mwake.

“Weee shemeji akituona itakuwaje?”
“Hayupo amekwenda kanisani.”
“Asubuhi yote hii?”
“Ndio, leo jumamosi ana ibada”
“Ahaa na nyumbani upo na nani mwenginine”
“Hakuna mtu, kaa unywe chai ukanipe raha”
“Mmmm na wewe ya jana huja ridhika?”
“Nitaridhikaje, si kwa utamu ule ulio nipatia kwa kweli”
“Hahaaa haya bwana”
Mrs Sanga na mrs Okocha wakaanza kupata kifungua kinywa huku kwa mara kadhaa wakilishana vitafunwa na kunyweshana chai. Hali ya hisia kati yao ikaanza kuwahishinda na kujikuta wakiaanza kunyonyana ndimi zao hapo hapo sebleni.

“Twende ndani”
Mrs Sanga alizungumza huku akisimama. Wakapandisha gorofani na kuingia chumbani kwa mrs Sanga.
“Leo nataka unipe hadi kiu yagu ikatike”
Mrs Okocha alizungumza huku akivua nguo zake taratibu.
“Kweli?”
“Ndio, yaani huyu mwanaume hanikuni vile ninavyo paswa yaani bora hata na wewe una nikuna kisawa sawa”
Mrs Okocha akamvua mrs Sanga nguo zake na akamsukumia kitandani kwa ajili ya kuanza mtanange huo wa kusagana.

Nabii Okocha akashindwa kabisa kukaa kanisani kwake kwani mawazo yake yote yapo kwa mrs Sanga. Akajaribu kumpigia simu mke wake, ili amuagize sehemu yoyote, ila simu ya mke wake haikuweza kupokelewa kabisa. Nabii Okocha akamuachia msaidizi wake aweze kuongoza ibada ya siku hiyo na akarudi nyumbani kwake.

Ukimya wa nyumbani kwake hapo hakuweza kumstua sana kwani ana tambua nyumba yake haina watu wengi. Akaingia sebleni na kukuta tv ikiwa ina wake ila mke wale wala mrs Sanga hawapo.

‘Wapo wapi hawa?’

Nabii Okocha alijiuliza huku akianza kupandisha gorofani kwake. Akaingia chumbani kwake ila hakumuona mke wake. Akaelekea chumbani kwa mrs Sanga na kujikuta moyo wake ukianza kumdunda kwa wasiwasi, kwani miguno ya kimahaba inayo toka ndani ya chumba hicho hakika sio ya kawaida. Nabii Okocha akafungua mlango wa chumba hicho taratibu na akashuhudia mke wake jinsi anavyo nyonywa kitumbu na Mrs Sanga, jambo lililo mfaya apigwe na butwaa kubwa sana.
***
Majira ya saa mbili usiku, nabii Sanga akaamka kutoka usingizini. Akaagiza chakula anacho kipenda na akaletewa kwenye chumba chake. Taratibu akaanza kula huku akitafakari ni jinsi gani anavyo weza kukata kichwa cha kichanga chochote ambacho ata fanikiwa kukipata katika hospitali ya Muhimbili.

Alipo hakikisha kwamba amemaliza kujaza kitu tumboni, akagoga na kubadilisha nguo, akachukua kofia na kuvaa.

‘Siwezi tumia gari la hotelini’

Nabii Sanga alizungumza huku akitoka kwenye liti, akitokea gorofa ya nane. Akafika mapokezi na kumuuliza muhudumu kama ana weza kupata gari binafsi la mfanyakazi yoyote hapo.

“Ndio boss una weza kutumia gari langu”

Kijana huyo akamkabidhi nabii Sanga fungu ya gari lake aina ya Toyota Alteza. Nabii Sanga akamshukuru mfanyakazi wake huyo na kuelekea hospitali ya Muhimbili. Akafika hospitalini hapo kutokana dokta Mbwambo aliacha maagizo ya kwamba nabii Sanga atarudi, walinzi wa getini hawakuweza kumzuia. Nabii Sanga akasimamisha gari kwenye magesho, akaelekea katika wodi za wakina mama. Nabii Sanga akapokelewa na nesi wa zamu ambaye naye pia aliachiwa maagizo ya ujio wa nabii Sanga. Wakaelekea katika chumba cha kuhifadhi watoto wachanga.

“Kila ikifika saa sita huwa wan alia sana. Yaani sijui hata ni kitu gani ambacho kina tokea”
Nesi huyo alizungumza hukua kimtazama nabii Sanga ambaye hakujibu kitu chochote zaidi ya kuitazama saa yake ya mkononi ambayo ina onyesha ni saa sita kasoro usiku.

“Nina omba uweze kuniacha hapa. Nahitaji kuwa peke yangu na hawa watoto”
Nesi huyo kutokana ana muamini nabii Sanga, hakuwa na wasiwasi wowote. Akaondoka na kumuacha nabii Sanga peke yake pasipo kujua kwamba usiku huo, utakuwa ni usiku wa maumivu kwa mmoja wa watoto wachanga waliomo kwenye chumba hicho.
ITAENDELEA

Haya sasa, nabii Sanga amepata bahati ya kipekee, bahati ambayo akiitumia vizuri atafanikiwa, je atafanikisha mpango wake huo? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 31.
 
SIN 31

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Kila ikifika saa sita huwa wan alia sana. Yaani sijui hata ni kitu gani ambacho kina tokea”
Nesi huyo alizungumza hukua kimtazama nabii Sanga ambaye hakujibu kitu chochote zaidi ya kuitazama saa yake ya mkononi ambayo ina onyesha ni saa sita kasoro usiku.

“Nina omba uweze kuniacha hapa. Nahitaji kuwa peke yangu na hawa watoto”
Nesi huyo kutokana ana muamini nabii Sanga, hakuwa na wasiwasi wowote. Akaondoka na kumuacha nabii Sanga peke yake pasipo kujua kwamba usiku huo, utakuwa ni usiku wa maumivu kwa mmoja wa watoto wachanga waliomo kwenye chumba hicho.

ENDELEA

Nabii Sanga akakaa ndani ya chumba hicho, hadi ilipo timu saa sita kweli, akaanza kuona kundi kubwa la wachawi wakiingia ndani humo na kuanza kuwatishia tishia watoto hao. Kutokana nabii Sanga naye ana nguvu kubwa za kimiujiza kuliko hata hao wachawi wenyewe, akamkamata mchawi mmoja na kuanza kumuadhibu kwa kumtandika vibao na kusababisha wengine kukimbia. Kwa mtu mwenye macho ya kawaida, hata akiingia chumbani humo kwa bahati mbaya hato weza kumuona mchawi hiyo anaye adhibiwa na nabii Sanga.

“Kwa nini muna sumbua viumbe vya Mungu?”
“Nisamehe mzee”
“Umetokea wapi wewe?”
“Sumbawanga mzee”
“Una jukumu moja la kuweza kunifanyia la sivyo nitakuua na nitakurudisha katika hali ya kibinadamu na utaona jinsi raisi watakavyo kushambulia kwa mame”
“Nisamehee mkuu nisamehe”
Kijana huyo amabye amevalia kaniki ya nyeusi na kujifunga iriza kubwa shingoni mwake, alilia mithili ya mtoto mdogo.

“Una weza kutoka na huyu mtoto hapa”
Nabii Sanga alizungumza huku akimuonyesha mchawi huyo mtoto huyo.

“Hapana mkuu sina nguvu ya kumbeba. Mkuu wangu ndio mwenye nguvu zote hizo”
Nabii Sanga akafumba macho kwa hasira akamtandika kofi jengine zito na kijana huyo akaanguka chini.

“Potea ndani humu”
Mchawi huyo akapotea kwa haraka ndani ya chumba hicho. Akaungana na wezake ambao wana kiona chumba hicho kimezungukwa na moto mkali sana na wakaondoka kwa kasi sana eneo hilo. Nabii Sanga akafanya maombi ya kuzungushia nguvu kubwa zaidi ya kishetani ambayo mchawi wala jini hato weza kuingia kwani yeye nguvu zake amewapita wote hao. Kitu ambacho kina mshinda nabii Sanga ni kujipoteza katika mazingira ya kawaida, ila wachawi na viumbe wengine wote huwaona kama kawaida. Nabii Sanga akamtazama mmoja wa watoto wenye afya iliyo nona. Akatazama kiji karatasi kilicho andikwa jina la mzazi wake pamoja na tarehe aliyo zaliwa. Mtoto huyo amezaliwa siku hiyo hivyo ana weza kuwa chakula kizuri sana kwa mkuu wake. Vitoto vyote ndani ya chumba hicho vime tulia tuli, na wala mitisho ya wachawi ambayo walikuwa wakikumbana nayo kila siku usiku yote ime futika. Taratibu nabii Sanga akamnyanyua mtoto huyo akamtazama kwa sekunde kadhaa, hakika ni mtoto mzuri sana wa kike.
‘Inabidi nifanye hakuna huruma hapa’
Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kutazama tabasamu pana analo pewa na mtoto huyo. Akamfunika vizuri na babyshow hiyo kisha akagungua mlango wa chumba hicho na kuchungulia kwenye kordo na kuona hakuna mtu wa aina yoyote. Akachunguza vizuri kwenye hiyo kordo na kuona kamera mbili za ulinzi zikiwa zimefungwa kwenye hiyo kordo.
‘Ohoo Mungu nitatokaje humu’
Nabii Sanga alizungumza huku akirudi ndani ya chumba hicho huku akitafakari ni kitu gani ambacho ana weza kukifanya juu ya kutoka na mtoto huyo. Akamrudisha mtoto huyo kwenye kiji kitanda chake.
“Nitatoka naye vipi jamani”
Nabii Sanga alizidi kulalama huku akitazama mlango wa kutokea ndani humo.

***
“Hei”
Nabii Okocha alizungumza kwa kufoka na kuwafanya mrs Sanga na mke wake kukurupuka kitandani humo. Kila mmoja akajikuta amejikunyata huku akitazamana na sura ya nabii Okocha iliyo jawa na hasira sana.
“Nini muna fanya?”
Nabii Okocha alizungumza kwa kufoka sana huku akiwafwata kitandani hapo, nabii Okocha akafungu mkanda wake wa suruali na kuuchomoa. Akaushika vizuri mkiononi mwake huku akiwakazia macho.
“Mu…m….me wangu naku…..ommmba u…ni….sa….me….he”
Mrs Okocha alizungumza huku akimwagikwa na machozi.
“Nikusamehe kwa nini? Hii tabia mume anza lini?”
“Sh…e….e…..m ni…nni…i…i…si…ku nyingi”
Mrs Sanga naye alizungumza huku akilalama kwa woga mwingi sana. Nabii Okocha akapata nafasi ya kutazama mwili mzuri wa mrs Sanga ambao umeumbika vizuri.

“Kwa nini muna muasi Mungu, ikiwa kila siku tuna wahubiria watu kuhusiana na tabia hizi?”
“Tusamehe shemeji. Nishetani ametupitia tu”
Mrs Sanga alizungumza kwa unyonge mkubwa sana. Nabii Okocha akarudi mlangoni na kufunga mlango huo kwa ndani na kuwafanya mrs Sanga na mrs Okocha kujawa na woga sana.

“Sasa nahitaji munifurahishe la sivyo adhabu yenu ita kuwa ni kubwa sana kuliko hii ninayo wapa”
“Mume wangu u…u…..”
“Ndio nataka nyote munipe kitu roho ina taka”
Nabii Okocha alizungumza huku akianza kufungua vifungo vya shati lake. Akamaliza kuvaa nguo zake zote na kuwasogelea kitandani hapo huku mkanda wake wa suruali akiwa ameushika mkononi.

“Ninyonyeni”
Nabii Okocha aliwamrisha na taratibu mke wake akamshika jogoo wa mume wake na kuanza kumnyonya.

“Na wewe una shangaa nini, ninyonye”
Mrs Sanga kwa woga akamsogelea nabii Okocha na kujumuika na mwenzake katika kumyonya nabii Okocha taratibu.

***

Ngosha na Tomas, usiku huo wakaelekea katika club ya Ngosha iliypo katika jiji hilo la Cape Town. Tomas akazidi kushangaa ukubwa wa Club hiyo ambayo ime jaa watu wengi sana huku wadada ambao ni wahudumu wa club hiyo wakiwa uchi kabisa.

“Kaka una taka kuniambia kwamba wewe ndio mmiliki wa hii Club?”
“Ndio mbona una shangaa”
“Aisee Ngosha ume fanya jambo kubwa sana hongera sana kaka”
“Nashukuru, vipi una taka malaya wa kugonga?”
“Ahaa badae badae kidogo kaka”
“Wewe sema kuna vyumba maalmu ndnai ya hii club, watu wana gonga kwa kulipia”
“Weee!!”
“Huami, twende nikakuonyeshe”
Ngosha na Tomas wakaingia kwenye vyumba ambavyo vipi maalumu kwa malaya kufanya kazi zao.

“Hapa kuna vyumba thelathini, kila goli moja ni dola mia moja. Wakiingia wanaume wawili kwa mwanamke mmoja ni dola mia mbili na hamsini”
“Una taka kuniambia pesa hizo wana lipwa hao wanawake?”
“Hapana, wana lipa pale kwa keshia, kisha mtu ana chagua picha ya mwanamke anaye muhitaji kisha ana patiwa funguo ya chumba cha mwanamke huyo. Hawa wana wake kazi yao ni kutombw** tu”

“Masaa yote au?”
“Hapana kazi yao ina anza kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa nene usiku”
“Duuu kazi kweli kweli”
“Ndio hivyo, alafu una jua kuna Watanzania humu ndani”
“Weee”
“Ndio wapo tena ngoja nikupeleke chumba namba ishirini na nane”
Wakaelekea katika chumba hicho, kwa bahati mbaya wakakuta kikiwa kime funga ikimaanisha kuna mwanaume ndani ya chumba hicho.

“Yaani katika wanawake wenye k** tamu na m** mtamu. Huyu wa chumba hichi ndio ame ongoza. Alafu mtoto ni mdigo ametokea tanga. Yaani akikuzungushia hicho kiuno mwanangu kama chereheni”
Ngosha alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Wacha weee”
“Yaani huyo mtoto hapa ndio ana kula pesa ndefu kuliko wote”
“Sasa kwa nini usimchukue ukamuweka ndani?”
“Weee kwa sasa bado kaka nahitaji kula kula maisha na kutafuta pesa zaidi. Tuachane na haya twende nikakuonyeshe vijana wa kazi”
Ngosha na Tomas wakaingia eneo la chini ya Club hiyo ambalo lina godauni la siri ambalo lina tumika kahitadhia madawa ya kulevya pamoja na bunduki zinazo uzwa kimagendo. Ngosha akasalimiana na vijana wake wapatao thelathini. Kundi kubwa la vijana hao wote ni majambazi wenye uwezo mkubwa sana wa kupambana na askari.
“Kutaneni na ndugu yangu. Ana itwa Tomas. Ametokea Tanzania”
Ngosha alizungumza huku vijana hao wakiwa wamewazunguka yeye na Tomas. Ngosha akaanza kumutambulisha kijana mmoja baada ya mwengine kwa Tomas.

“Mkuu mbona kama ni nyoka huyo jamaa”
Kijana mmoja alizungumza huku akimtazama Tomas kwa macho yenye ukali.

“Hapana huyu sio nyoka ni ndugu yangu kabisa.”
“Mkuu kuna kitu hujakijua kwa hiyo mtu”
Kijana huyo aliendelea kutilia msisitizo.

“Kitu gani?”
“Kijana huyo akamsogelea Tomas na kuanza kumchunguza.

“Ata tuchoma huyu siku”
“Rude muamini huyu ni ndugu yangu kabisa na hawezi kufanya jambo la ajabu la namna hiyo”
“Hapana mkuu huyu hapa alipo ana sura ya bandia”
Jambo hilo likawastua sana watu wote walipo katika eneo hilo.

“Ndio ana sura ya bandia. Kwa wale ambao mume tembelea mitando ya Tanzania. Huyu ndugu yangu ana tafutwa na amewekewa sura ya bandia ili mradi aweze kutoka nchini humo salama.”
“Sasa mkuu wewe mwenyewe huwa una tuimiza tusilete nyoka. Ina kuwaje wewe ana leta nyoka?”
“Kama vipi avue hiyo sura yake bandia. Tunataka kumuona”
“Ndio avue”
Vijana hao wakendelea kumshinikiza Tomas katika kutoa sura yake hiyo bandia. Tomas akamtazama rafiki yake Ngosha ambaye hakuwa na jinsi zaidi ya kufwata shinikizo lililo wekwa na vijana wake na kumuomba Tomas kuvua sura hiyo ya bandia.
***

Mlango wa chumba hicho ukafunguliwa na akaingia nesialiye mfanya nabii Sanga kustuka kidogo.
“Aisee nabii una jua nilikuwa nimekaa kule nikisubiria watoto waweze kulia, ila sijasikia wakilia kabisa.”
“Yaa kuna kundi kubwa la wachawi ambalo lina kuja na kufanya fujo juu yaw aha watoto”
“Weeee!! Alafu ni kweli nabii katika meneo kama haya wachawi huwa ni wengi sana. Una jua kuna nesi hapa yeye ana majini, hivyo huwa yakija huwa yanapanda kiasi kwamba amebadilishwa kitengo cha kufanya kazi kwa maana ana weza kudhuru hawa viumbe”
“Ni kweli ila sidhani kama wana weza kurudi. Wewe ni dini gani?”
“Mimi ni muislam”
“Ahaa sasa nesi nakuombaa tuzungumze jambo moja muhimu kidogo”
“Jambo gani”
“Kwa mwenzi una lipwa kiasi gani?”
“Ahaa laki tatu na nusu”
“Kuna kazi ambayo nahitaji unipatie”
“Kazi gani dokta?”
“Uta weza kuifanya?”
“Nita angalia ni kazi gani na ina kiasi gani ambacho uta nipatia”
“Nitakupatia milioni tano. Nahitaji mtoto wa kike mchanga ambaye amezaliwa kati ya leo hadi kesho”
Nesi huyo macho yakamtoka huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.
“Nabii mtoto wa nini?”
“Nahitaji mtoto wa kumkuza mimi mwenyewe. Nahitaji kusaidia mtoto mmoja wapo kati ya hawa watoto hapa”
“Mmm hilo kazi ni kubwa sana mzee wangu. Endapo nita kamatwa hakika kazi yangu ina weza kuingia matatani.”
“Nakupa milioni saba”
“Hapana mzee”
“Milioni kumi”
Nesi huyo akatafakari kwa sekunde kadhaa huku akimtazama nabii Sanga. Hakika pesa hiyo ni kubwa sana kwenye maisha yake ya kazi kwani toka aanze kazi ndani ya miaka miwili hajawai kuipata kwa mkupua.

“Sawa, niambie nikuletee wapi hiyo mtoto?”
“Nitakuwepo katika hoteli yangu ya GOLDEN PARK pale Kinondoni. Hakikisha mtu wa aina yoyote hawezi kufahamu”
“Mmmmm kukuletea hotelini hilo jambo litakuwa ni gumu sana. Labda kiwango kiongezeke kwa maana apa nina hatarisha kazi yangu”
“Una itwa nesi nani?”
“Mwajuma Rashidi”
“Sawa nesi Mwajuma. Nitakupatia milioni ishirini kwa kazi hiyo”
Nesi Mwajuma akajikuta akifurahia sana kwani hakuna kitu kizuri kama kupata pesa hiyo ya mkupuo.

“Hapo ume nena na nina weza kuifanya hata usiku huu”
“Itakuwa ni jambo zuri sana. Naweza kuipata namba yako ya simu?”
“Ndio”
Nesi huyo akamtajia nabii Sanga namba yake ya simu na akainakili kwenye simu yake.

“Nitakupigia mara baada ya mimi kufika hotelini”
“Sawa nabii je ni mtoto gani una muhitaji”
“Huyu hapa”
Nabii Sanga alimuonyesha nesi Mwajuma mtoto ambaye alimchuku na kushindwa kutoka naye ndani humo.

“Sawa nita mleta ifikapo saa kumi usiku”

‘Ukimleta ni lazima na wewe nikuue ila siri yangu iweze kudumu’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama nesi huyo anaye endelea kufurahia ofa hiyo kabambe.

ITAENDELEA

Haya sasa, nesi Mwajuma amekubali kuifanya kazi ya nabii Sanga je ata toka salama kwenye mikono ya nabii Sanga? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 32.
 
SIN 32

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Sawa nabii je ni mtoto gani una muhitaji”
“Huyu hapa”
Nabii Sanga alimuonyesha nesi Mwajuma mtoto ambaye alimchuku na kushindwa kutoka naye ndani humo.

“Sawa nita mleta ifikapo saa kumi usiku”

‘Ukimleta ni lazima na wewe nikuue ila siri yangu iweze kudumu’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama nesi huyo anaye endelea kufurahia ofa hiyo kabambe.

ENDELEA

Nabii Sanga akaagana na nesi Mwajuma na kutoka chumbani humo huku akiwa na uhakika mkubwa wa nesi huyo kuifanya hiyo kazi aliyo muagiza. Akaingia kwenye gari na kurudi hotelini.

‘Ina bidi huyu nesi nimuue ata kuja kuitoa siri yangu tu’

Nabii Sanga aliendelea kumuwazia mambo mabaya nesi huyo. Akampigia simu na ikapokelewa.

“Haloo”
“Mwajuma ni mimi”
“Ahaa nabii”
“Ndio, umefikia wapi?”
“Hapa ndio nipo kwenye gari langu, tafadhali kama ina wezekana nina kuomba uweze kukutana na mimi maeneo ya Sinza makaburini. Sinto weza kuja hotelini kwako kwa maana ni hatari sana.”
“Hatari ni ya nini au fwatiliwa na askari?”
“Hapana ila nafsi yangu ina sita kufika hotelini kwako”
“Ok nitafika hapo”
“Nitahitaji kiasi cha pesa ulicho niambia ndio nikukabidhi mtoto”
“Usijali”
Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi. Mpango wa kumuu nesi huo umeingia dosari, akatoka chumbani kwake na kuingia kwenye gari na kuelekea Sinza makaburini. Akawahi kufika eneo hilo kabla ya nesi Mwajuma kufika. Gari ina ya Rav 4 L ikafika yenye rangi nyeusi ikafika eneo hilo. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita, akaipokea.

“Nimefika upo kwenye gari lipi?”
“Hii Alteza”
“Sawa”
Nesi Mwajuma akalisogeza karibu kabisa gari lake na eneo lilipo gari la nabii Sanga. Akashuka huku akiwa amembeba kichanga hicho alicho kifunika na babyshow. Akafungua mlango wa siti ya nyuma na kuingia.

“Ume kuja peke yako?”
Nabii Sanga aliuliza huku akimgeukia nesi Mwajuma.

“Nimekuja mara moja na nimetoroka tu. Mtoto uliye muhitaji si huyu”
Nesi Mwajuma alifunua babyshow na kuonyesha uso wa kachanga hako.

“Ndio huyo huyo”
“Pesa yangu ipo wapi?”
“Naweza kukuhamishia kwa mfumo mtandao na kukuingizia kwenye akaunti yako”
“Njia hiyo ina wezekana?”
“Ndio ina wezakana nipatie akaunti namba yako”

Nabii Sanga alizungumza huku akisitisha wazo la kumuua msichana huyo kwa maana mazingira yaliyopo eneo hilo hayarubusu kabisa. Akaingiza kiasi cha milioni ishirini katika akaunti ya binti huyo.

“Nimeipata, sasa mtoto ni wako. Ila tafadhali sihitaji hii siri iweze kuvuja kwa mtu yoyote. Nina familia kubwa ambayo ina nitegemea. Umenielewa nabii Sanga?”
“Nimekuelewa na endapo nita sikia kwa mtu yoyote hili jambo. Nitakacho kufanya ni Mungu mwenyewe ndio atakaye jua”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo. Akakabidhiwa mtoto huyo na nesi Mwajuma akashuka kwenye gari hilo na kuingia kwenye gari lake huku akiwa na furaha na kuondoka zake. Nagii Sanga akamtazama kichanga hicho kilicho lala, akakiweka vizuri kwenye siti na kuondoka eneo hilo huku akiwa na furaha na amani kwani kilicho baki hivisasa ni kuondoka na kachanga hako hadi nchini Nigeria.
***
Japo ni jambo lenye kutia maumivu makali sana, ila Tomas hakuwa na namna zaidi ya kuanza kubandua ngozi hiyo ya bandia. Maumivu makali yakamfanya Tomas kumwagikwa na machozi, ila akaendelea kujikaza hadi sura hiyo ikaondoka na akabaki na sura yake halisi. Vijana wa Ngosha wakaridhika kwa kitendo hicho cha Tomas.

“Mkuu ina bidi kabla ya kumkaribisha kwenye familia ni lazima ale kiapo”
“Ndio ni utaratibu wa kila mtu anaye ingia. Tomas mimi ni ndugu yako ila ili uwe ni mwezetu ni lazima upate majaribio. Je upo tayari?”
“Ndio nipo tayari”
“Majaribio ni magumu”
“Hakuna shida kaka nimejiandaa kwa kila jambo”
“Sawa mimi narudi nyumbani na utaungana na vijana wangu katika majiribio hayo”
“Sawa”

Gafla Tomas akastukia akipigwa ngumi nzito ya tumboni na kujikita akianguka chini huku akihisi maumivu makali sana kutoka tumboni mwake. Akashushiwa teke jengine la kifuani na kumfanya atapike donge kubwa la damu.

“Mbo….o…na muna nipiga?”
Tomas alilalamika, ila Ngosha hakujibu chochote zaidi ya kutabasamu na kuondoka eneo hilo. Vijana wawili wakamnyayua Tomas na kuingiza kwenye pipa na kulifunga kwa mfuniko. Wakaanza kuliviringisha pipa hilo na kumfanya Tomas kulia sana akiwa ndani ya pipa hilo ila vijana hao hawakujali. Wakalitoa pipa hilo ndani hapo na kuelekea kwenye moja ya kilima na kulisukumia chini kai=tika kiporomoko na likaanza kubingirika huku Tomas akiwa ndani yake.

“Angekuwa mpelelelezi tunge mjua”
Kijana mmoja alizungumza huku wakitazama pipa hilo jinsi linavyo endelea kubingirka katika kilima hicho.

“Bado hatuja ridhika. Aapaswa kuendelea kupata mateso na isitoshe huyu ni mtu wa karibu wa mkuu. Inatubidi tumtese wakati huu na tukimrudisha kwa mkuu basi yupo hoi nyang’anyang’a.”
“Sawa”
Baada ya kufika chini ya kilima hicho vijana walio yangulia chini ya kilima hicho. Wakalinyanyua pipa hilo na kulipakiza ndani ya gari. Tomas ndani ya pipa hili, akahisi kama kichwa chake kikipasuka kwa maumivu makali anayo yapata.
“Nifungulieni nakufa”
Tomas aliomba msaada ila hapakuwa na mtu ambaye aliweze kusikia kilio chake. Wakafika kandokando ya bahari wa kiwa na pipa hilo. Wakalipakiza katika boti ndogo, akwalifunga mnyonyoro, kisha wakalitupia ndani ya maji na mmoja wao akaanza kuendesha boti hiyo kwa mwendo wa kasi jambo lililo mfanya Tomas ndani ya pipa hilo kupata shida kubwa sana kwani maji yanaanza kuingia taratibu.

***
Nabii Okocha akamgeuza mrs Sanga na kumbong’olesha. Taratibu akaanza kukila kitumbua cha mrs Sanga taratibu na kumfanya huku mke wake akiwa ana shuhudia jinsi mume wake akimshuhulikia mwana mama huyo kwa kasi ya ajabu sana. Nabii Okocha akazidi kufurahia penzi la mrs Sanga na wala hakuwa na hamu kabisa na mke wake.

“Zamu yangu sasa”
Mrs Okocha alizungumza huku akimuachanisha mrs Sanga na mume wake. Akamkalia mume wake na yeye akaanza kufurahi penzi hilo. Sikuzote mrs Okocha ana fahamu udhaifu wa mume wake kitandani ni kumkalia jogoo wake na huwa achukui muda mrefu hujikuta akimaliza mzunguko wake. Mrs Okocha akafanikiwa kukamilisha lengo lake na kujikuta mume wake akiwa amemaliza mzunguko huo pasipo kutarajia.

“Haya adhabu yetu ime kwisha”
Mrs Okocha alizungumza huku moyoni mwake akiwa amejawa na wivu mwingi sana kwani hakutarajia kuona siku moja mume wake ana fanya mapenzi mbele yake na mwanamke mwengine.

“Shemeji nina kuomba usije ukamuelza mume wangu”
“Sinto muambia na siri hii ni yetu sisi watatu”
“Sawa”
Nabii Okocha akashuka kitanda ni na kuvaa nguo zake. Mke wake naye akavaa nguo zake na kutoka ndani humo na kumuacha mrs Sanga akiwa na mawazo mengi sana. Mrs Sanga akakaingia bafuni na kuoga.

“Sijapenda mume wangu”
Mrs Okocha alilalama huku akiwa amejawa na hasira nyingi sana moyoni mwake.

“Hujapenda nini?”
“Ina kuwaje una mto** mke wa rafiki yako mbele yangu?”
“Na wewe ime kuwaje una sagana na mke wake. Ulihisi mimi nita fanya nini eeeehee. Hii ilikuwa ni haki yenu kuipata na nisinge kubali kuona mke wangu ame kuwa msagaji. Au mimi sikutoshelezi?”
“Una nitosheleza?”
“Kilicho kufanya uende kule ni nini?”
Mrs Okocha akakosa jibu ila akajiapiza ni lazima atalipiza kisasi kwa yeye kutembea na nabii Sanga.
***
Nabii Sanga usiku wa siku hiyo hiyo akakata tiketi ya ndege kuelekea nchini Nigeria. Akampigia mfanyakazi wake na kumuomba aweze kufika uwanja wa ndege ili kuchukua gari hilo. Nabii Sanga akanunua bgi kubwa katika moja ya maduka yaliyopo hapo uwanja wa ndege. Akarudi nalo ndani ya gari alipo kiacha kichanga hicho. Akakitazama kwa sekunde kadhaa na bila ya huruma akakivunja shingo yake na kukiingiza ndani ya begi hilo. Kutokana na kuaminika kwake, hapakuwa na mtu aliye weza kutilia mashaka begi hilo. Akaingia ndani ya ndege na safari ya kurudi nchini Nigeri ikaanza. Nabii Sanga akafanikiwa kufika alfajiri nchini Nigeria na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwa rafiki yake nabii Okocha. Akapokelewa na mrs Okocha akiwa katika hali ya furaha sana.
“Japo ni muda mufupi tu ume ondoka shemeji ila tulikumiss”
“Usijali shemeji”
“Naweza kukupokea begi?”
“Hapaana, usijali. Vipi ndugu yangu yupo?”
“Ndio yupo haja aamka bado”
“Basi naomba uni saidie kumuamsha”
“Sawa shemeji”

Mrs Okocha akaelekea chumbani kwake na kumfahamisha mume wake juu ya uwepo wa nabii Sanga. Nabii Okocha kwa haraka akatoka chumbani kwake na kumlaki rafiki yake.

“Nimefanikiwa ndugu yangu. Tuna weza kuondoka”
“Basi acha niajiandae twende”
“Sawa ngoja nikamuone mke wangu”
Nabii Sanga akasindikizwa na rafiki yake hadi mlangoni mwa chumba cha mke wake. Nabii Sanga akagonga mlango na baada ya muda kidogo mlango ukafunguliwa. Mrs Sanga akamkumbatia kwa furaha mume wake huku akimpiga mabusu mfululizo.
“Ume rudi mume wangu?”
“Ndio, ila sio mkaaji. Labda niandalie nguo niweze kuondoka eneo hili”
“Una kwenda wapi tena mume wangu?”
“Kuna sehemu tuna elekea na Okocha”
“Sawa mume wangu”
Nabii Sanga akaingia bafuni, akaoga kwa haraka na kuvaa nguo alizo andaliwa na mke wake. Wakawaaga wake zao na kuondoka nyumbani hapo na hawakuchukua muda mrefu sana wakafika katika msitu huo.

“Alafu sija kuuliza vipi ume pata kichwa au?”
“Nimekuja na mtoto mzima”
“Yupo hai?”
“Hapana nili mnyonga”
“Sasa ina bidi umchinje humo ndani tuingine na kichwa tu”
“Una kisi”
“Ninacho”
Nabii Okocha akatoa kisu ndani ya gari lake. Nabii Sanga aka utoa mwili wa mtoto huyo na kumchinja. Akagawanyisha kichwa cha kiwili wili kisha, kiwiliwili hicho akakiweka ndani ya begi na wakanza kuingia ndani humo. Wakapitia taratibu zote na wakafika katika makoa makuu ya mkuu wao. Nabii Sanga akakikabidhisha kichwa hicho kwa binti huyo ambaye ni wakala namba moja wa shetani ulimwenguni na yeye ndio anaye poke nguvu zote za shetani na kuzileta duniani kwa wale wote wanao omba kufanikiwa kwa kupitia nguvu za shetani.
“Una hitaji nini kwa sasa Sanga”
“Nahitaji kuwa mtumishi mkubwa sana duniani. Nataka kuwa na wafuasi ulimwenguni pote, nahitaji kufanya miujiza ambayo hakuna mchungaji mwengine ambaye ata weza kufanya. Nahitaji pesa zimiminike na nizidi kuwa tajiri zaidi ya hapa”
“Waooo si una jua masharti yetu. Jinsi unavyo zidi kwenda juu ndivyo jinsi unavyo paswa kutoa sadaka”
“Ndio mkuu”
“Basi ukihitaji kufika huko unapo hitaji kufika. Inabidi umtoa kafara mwanamke wako wa kwanza kumtoa bikra”
Nabii Sanga akastuka sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi sana kwani mwanamke wake wa kwanza kumtoa usichana ni Magreth, binti anaye mpenda na aliye muahidi kwamba ata mfanyia kitu chochote atakacho kihitaji chini ya jua.

ITAENDELEA

Haya sasa, nabii Sanga je ata kubali kumtoa Magreth kafara ili aweze kukubalika kiutumishi dunia nzima? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 33.
 
SIN 33
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA
“Nahitaji kuwa mtumishi mkubwa sana duniani. Nataka kuwa na wafuasi ulimwenguni pote, nahitaji kufanya miujiza ambayo hakuna mchungaji mwengine ambaye ata weza kufanya. Nahitaji pesa zimiminike na nizidi kuwa tajiri zaidi ya hapa”
“Waooo si una jua masharti yetu. Jinsi unavyo zidi kwenda juu ndivyo jinsi unavyo paswa kutoa sadaka”
“Ndio mkuu”
“Basi ukihitaji kufika huko unapo hitaji kufika. Inabidi umtoa kafara mwanamke wako wa kwanza kumtoa bikra”
Nabii Sanga akastuka sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi sana kwani mwanamke wake wa kwanza kumtoa usichana ni Magreth, binti anaye mpenda na aliye muahidi kwamba ata mfanyia kitu chochote atakacho kihitaji chini ya jua.

ENDELA

“Mbona una stuka ikiwa yupo ambaye ume mtoa bikra?”
“Aha..hapana mkuu”
“Basi ukihitaji kupanda juu basi ni lazima utoe kafara ya aina hiyo”
“Sawa mkuu nina omba mwezi wa kufikria hili jambo”
“Chukua muda utakao wewe. Ila usichelewe sana kwa maana ukichelewa kazi nitaikamilisha mimi mwenyewe”
“Una maana gani mkuu?”
“Nitamchukua huyo mtu mimi mwenyewe. Muna weza kwenda sasa”
Nabii Sanga na nabii Okocha wakaonyanyuka na kutoka mapangoni humo.

“Yaani ndugu yangu ume pata mtihani mwepesi sana. Mkuu ame kuchunuku”
“Kwa nini?”
“Kumtoa mwanamke wake wa kwaza kumtoa usichana. Aiseee ni jambo la kumshukuru Mungu kwa maana sisi wengine tuna pewa kazi kubwa sana”
“Wewe ulipewa kazi gani ndugu yangu?”

“Mimi nilimtoa kafara mjomba wangu ambaye nina mpenda sana na yeye ndio aliye nilea kwenye maisha yangu na ilinipasa kuhakikisha kwamba nina peleka kichwa chake”
“Mmmm!!”
“Ndio hivyo ndugu yangu”
“Ila kwagu pia ni mtihani”
“Kivipi?”
“Mtu ambaye nina paswa kumtoa kafara ni binti mmoja mazuri sana na bado ni mdogo ambaye ana jitafutia maisha yake na nina mpenda sana”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na masikitiko makubwa sana.

***

Walipo ridhika kuhakikisha wana mpatia Tomas mateso ya kutosha wakarudi nchi kavu na kulisimamisha pipa hilo ufukweni. Wakamtoa Tomas anaye tetemeka kwa woga mwingi sana.

“Sio mpelelezi huyu fala”
“Ni kweli”
“Oya sikia wewe. Kesho uta ingia kambini uta anza kupata mafunzo kuhakikisha una kuwa fiti. Ume nielewa”
“Nd…i..iooo”
Tomas alijibu huku wasiwasi mwingi ukiwa ume mtawala.
“Oya mpelekeni kambini”
Mkuu msaidizi wa kikosi hicho cha Ngosha akaagiza vijana waliopo chini yake na wakampakiza Tomas katika gari aina ya pic up na kuaondoka naye ufukweni hapo. Tomas akafikishwa kwenye kambi yao ambayo ipo porini sana na eneo hilo lina baridi kali sana. Wakamvua Tomas nguo zote na kumuingiza kwenye moja ya chumba ambacho hakina kitu chochote zaidi ya sakafu.

“Nita lala humu?”
“Ndio maana yake na hauto lala peke yako?”
“Nita lala na nani?”
“Rafiki zako”
Jamaa huyu alizungumza kimasihara huku akimtazama Tomas usoni mwake. Wezake wawili wakaleta mapipa yaliyo jaa barafu nyingi sana na wakamwaga barafu hiyo ndani ya chumba hicho na kusababisha baridi kuzidi kuongezeka.

“Usiku mwema”
Kijana huyo mwenye mwili mwembaba alizungumza huku akifunga mlango wa chumba hicho kwa nje. Katika maisha yake yote, Tomas hakutarajia kama ata kumbana na maisha magumu kama anayo kumbana nayo hivi sasa. Baridi kali inayo sababishwa na madonge madonge ya barafu yakaufanya mwili mzima wa Tomas kutetema. Haukuwa usiku wenye furaha kwake, hakuweza kupata hata lepe la usingizi. Hadi kuna pambazuka bado kuna mabonge madonge ya barafu bado hayaja yayuka. Mlango ukafunguliwa na akaingia kijana huyo ambaye alimfungia Tomas jana usiku.

“Oya amka”
Kijana huyo alizungumza huku akiwa ameshika suruali ya jeshi, buti nyeusi za jeshi pamoja na tisheti nyeusi.

“Una dakika mbili za kuvaa baada ya hapo, kuna kile kilima pale ina bidi upandishe mara hamsini”

Jamaa huyo alizungumza huku akimuonyesha Tomas kilima hicho kirefu kupitia dirishani.

“U….u…na sema pale?”
“Ndio, mbona una kigugumizi vaa jamaa. Mimi huwa sina huruma na mtu na nikipewa jukumu kama hili huwa nina furahi sana”
Jamaa huyu alizungumza kwa kejeli huku akiendelea kumtazama Tomas usoni mwake. Tomas alipo maliza kuvaa nguo hizo wakatoka nje ya chumba hicho. Endo hilo la kambi lina ulinzi mkali na kila mtu ana onekana yupo bize na mambo yake.

“Hapa ni kambi ya jeshi?”
Tomas alimuuliza jamaa huyo aliye valia nguo nyeusi pamoja na kiti kubwa jeusi ili kujikinga na baridi.

“Acha us** wewe kuna kambi ya jeshi ya aina hii. Haya twende”
Jamaa huyo alizungumza huku akimzaba Tomas bao la mgongo. Wakaanza kukimbia kwa pmaoja kupandisha kilipa hicho kirefu. Tomas akajihisi moyo wake ukichomoza kwani hajawahi kufanya mazoezi magumu kama hayo. Wakafika kileleni katika kilima hicho huku Tomas akihema mithili ya mbwa wa polisi aliye mkumbiza mwizi kwa kipindi kirefu.

“Shuka mimi nina kusubiria hapa”
Kijana huyo alizungumza huku akichukua kiti na kukaa.

“Nishuke!!!?”
“Oya sirudii kauli zangu shuka”
Tomas akaanza kujishauri huku akiwa ameinama.

“Nitakusukuma ukafie kule chini”
“Aha...naomba nizungumze na Ngosha”
“Huwezi kuzungumza naye. Shuka kwenye hicho kiporomoko na upandishe tena”
Kijana huyo alizungumza huku akichomoa bastola yake kiunoni na kumuelekezea Tomas ya usoni mwake na kumfanya ajawe na woga mwingi sana na kuanza kushuka kwenye kiporomoko hicho pasipo kupenda.

***

Hali ya Evans ikazidi kuimarikia kadri siku zinavyo zidi kwenda huku penzi lake na Magreth likizidi kupamba moto. Magreth taratibu akajikuta akianza kumsahau nabii Sanga ambaye yeye ndio aliye mfanya awe na maisha ya kufanikiwa. Evans akaruhusiwa kutoka hospitalini hapo na moja kwa moja wakaelekea nyumbani kwa Magreth.

“Weee una taka kuniambia kwamba una ishi hapa?”
“Ndio ni kwangu mbona huamini”
“Mbona pazuri sana na hujawahi kuniambia kwamba una maisha mazuri kama haya”
“Hahaa hapana bwana mume wangu. Nilihitaji kukufanyia suprize”
“Mmmm kweli hii suprize na hiyo gari Audi Q7 ni ya nani?”
“Gari langu hilo”
“Aisee siamini Magreth kwa umri wako una maisha mazuri kama hayo. Hembu nipe risi ya mafanikio yako”
“Usijali mume wangu ipo siku nita kuambia”
“Haya hizi kamera zina fanya kazi?”
“Ndio zina fanya kazi, ila huwa nina zizima nikiwa ndani, nikiwa nina toka nina ziwasha”
“Ahaa sawa”
“Karibu chumbani”
Magreth alizungumza huku akiwa amemshika Evans mkono. Wakaingia ndani ya chumba cha kulala cha Magreth. Taratibu Magreth akaanza kumvua Evans nguo zake huku akiwa amejawa na hamu kubwa sana ya kupata penzi la Evans.

“Evans”
“Mmmm”
“Si uta weza kunipa baby?”
“Ndio japo sinto kwenda mpute mpute kama siku ile isije kidonda kika lete shida si una jua hakijapona kabisa”
“Sawa mpenzi wangu”
Magreth taratibu akachuchumaa na kuanza kumshika shika jogoo wa Evans ambaye tayari amesha simama kidete na akaanza kumnyonya taratibu huku akiwa na uchu mkubwa sana. Magreth alipo jiridhisha wakavua nguo zake huku Evans akijilaza kitandani. Wakaanza mtanange huo taratibu huku kila mmoja akifurahia penzi hilo. Mtanange huo ukachukua dakika ishiri na tano na kufika tamati.

“Nina kupenda sana Evans”
“Nami pia nina kupenda sana mpenzi wangu”
“Je una weze kuendesha gari?”
“Ndio nina weza mpenzi wangu”
“Basi uta nifundisha”
“Kwani wewe huwezi?”
“Hapana mimi siwezi”
“Apia?”
“Haki ya Mungu vile. Yaani toka hilo gari liletwe na dereva wa kampuni niliyo nunua. Sijalisogeza hata nyuma”
“Hahaa usijali nita hakikisha kwamba una fahamu mapema sana”
“Nashuru”
Siku hiyo ikawa ni ya furaha sana kwao kwani ndio siku ambayo wame anza kulala kwa pamoja. Siku iliyo fwata wakaelekea madu ya nguo na Magreth aka mnunulia Evans nguo na viatu vya kutosha. Evans hakutarajia yale maisha ya shida na tabu ambayo alikuwa ana hangaika nayo toka alipo maliza chuo, yamebadilia kwa kiasi kikubwa na sasa amesha sahau shida hizo. Wakatangaza usahili wa wahudumu wa mgahawa wao mpya ambao wana hitaji kuufungua.

Siku ya usahili, wakajitokeza wasichana wengi wenye kila aina ya sifa ya uzuri hadi Magreth akaanza kujihisi wivu kwani uzuri wa wasichana hao una weza kumteka mume wake. Wakafanikiwa kupata wasichana watatu na wavulana wawili ambao wana shuhulika katika mgahawa huo. Wakafanya maandalizi yote ya ufunguzi wa mgahawa na siku ya ufunguzi ika fika. Siku hiyo wakatangaza wateja mia moja wa kwanza wata kula chakula bure kabisa. Wakajitokeza watu wengi sana hadi Magreth akashangaa wingi wa watu hao.

“Watu hawa wote kweli wata kuja hivi hivi siku zinazo kuja au ni leo kisa ni bure?”
Magreth alimuuliza Evans huku wakiwa wamesimama eneo la mapokezi wakitazama watu hao wanao wanao zidi kupata chakula kitamu ambacho amekiandaa yeye pamoja na wapishi wawili wanao msaidia kupika”
“Wata kuja, una jua hii ni njia nzuri sana ya kujitangaza kibiashara. Laiti tungesema tunze kwa kuwatoza pesa wasinge kuja wengi kama hivi”
“Mungu abariki mume wangu”
Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde kadhaa na kuona ni namba ngeni. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Habari yako mke wangu”
Sauti ya nabii Sanga ikamstua sana Magreth kwani toka nabii Sanga aondoke nchini Tanzania hajawahi kuwasiliana naye jambo ambalo lilimfanya azidi kuuhamishia moyo wake kwa Evans na kumtoa kabisa mzee huyo katika hisia zake. Magreth akaondoka eneo hilo na kujitenga kidogo.

“Salama mpenzi”
Magreth alizungumza kwa wasiwasi kidogo huku akimtazama Evans anaye endelea kushuhulika na wateja.

“Mmmmm nimeona jitihada zako. Hakika nime furahi sana kutazama taarifa ya ufunguzi wa mgahawa wako youtube.”
“Nashukuru sana mpenzi wangu. Mbona siku zote huja nitafuta kwema?”
“Kwema, nilikuwa nipo bize sana vikao vingi sana.”
“Pole sana mpenzi”
“Salama, nisalimie Evans naona ametoka hospitalini”
Magreth akastuka kidogo ila akajikaza.

“Ni kweli ametoka MUNGU ame msaidia”
“Sawa sawa nimebakisha wiki moja nitarudi nchini Tanzania. Nina hamu sana na wewe mke wangu”
“Wiki moja!!?”
“Ndio mbona una shangaa?”
“Ahaa…aha….siku tarajia kama ume bakisha siku chache hivyo”
“Usijali niambie nikuletee zawadi gani?”
“Mmmm yoyote upendayo”
“Basi usijali. Nakata simu ila usipige hii namba hadi nikupigie”

Simu ikakatwa na kumfanya Magreth kubaki katika alama kubwa ya kujiuliza, akamtazama Evans ambaye hadi leo hajawahik umuambia kwamba ana mahusiano na nabii Sanga na haju ataanzia wapi kumueleza mwanaume huyo anaye mpenda kuliko kitu chochote.

***

Nabii Sanga akakata simu mara baada ya kumuona shemeji yake mrs Okocha akija katika bustani hiyo aliyo kaa.
“Shemeji”
“Naam”
“Umekaa peke yako hujihisi unyonge?”
“Usijali nipo hapa nina peruzi peruzi. Vipi Okocha ata rudi saa ngapi?”
“Nimetoka kuzungumza naye ana amesema ana ingia kwenye kikoa. Vipi mke wako naye ana rudi saa ngapi kwa rafiki yake?”
“Mmmm ata chelewa kurudi”
Mrs Okocha akamazama nabii Sanga kwa macho ya matamanio. Katika wiki zote walizo ishi hapo, amekuwa akimuwinda sana nabii Sanga ila amekuwa akikosa nafasi ya kukamilisha haja yake ya kupata penzi.

“Shem kuna kitabu nahitaji ukanisaidie kutafuta kule kwenye reading room. Sijui una weza kunisaidia?”
“Usijali twende”
Wakaondoka eneo hilo na kuingia katika chumba kikubwa cha kusomea. Mrs Okocha akafunga mlango huo kwa ndani na bila ya kujiuliza maswali mara mbili mbili akavua dera alilo livaaa.

“Shemeji una fanya nini?”
“Shem naomba uni samehe. Nimeshindwa kuzizuia hisia zangu, nakuomba unipe penzi lako”
“Shemeji ila wewe ni mke wa rafiki yangu siwezi kufanya hivyo unavyo hitaji”
Nabii Sanga alizungumza huku akianza kurudi nyuma nyuma kwani katika vitu anavyo viogopa kwenye maisha yake ni kutembea na mke wa mtu tena mke wa rafiki yake.

“Tafadhali Sanga naomba unipe kile kitu ninacho kihitaji. Tazama jinsi nilivyo mrembo, tazama makalio yangu yalivyo makubwa. Huyatamani kweli?”
Mrs Okocha alimshawishi nabii Sanga ambaye bado yupo kwenye kigugumizi kizito sana.

“Una niigiza majaribuni shemeji, tafadhali nina kuomba”
“Nakupenda sana Sanga. Naomba unipe penzi lako”
Mrs Okocha akamgandamiza ukutani nabii Sanga na kuanza kumnyonya shingo yake.

“Tafadhali niachie. Siwezi kumsaliti rafiki yangu kipenzi”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akijitoa mikoni mwa mrs Okocha na kuanza kutembea kwa hatua za haraka kuelekea mlangoni mwa chumba hicho.

“Huyo rafiki yako unaye muamini, tayari amesha mt** mke wako tena mbele ya macho yangu”
Kauli hiyo ya mrs Okocha ikamfanya nabii Sanga kusimama huku akistuka sana, taratibu akamgeukia mwanamke huyo na kumtazama, sura ya mrs Okocha ina onyesha dhairi hilo alilo lizungumza ni jamboa la kweli kabisa na halina uwongo wa aina yoyote.
ITAENDELEA

Haya sasa, mrs Okocha ameamua kutoa siri ambayo waliahidiana kwamba hawato itoa kabisa. Ni nini nabii Sanga atakifanya mara baada ya kufahamu ukweli huo? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 34.
 
SIN 33
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA
“Nahitaji kuwa mtumishi mkubwa sana duniani. Nataka kuwa na wafuasi ulimwenguni pote, nahitaji kufanya miujiza ambayo hakuna mchungaji mwengine ambaye ata weza kufanya. Nahitaji pesa zimiminike na nizidi kuwa tajiri zaidi ya hapa”
“Waooo si una jua masharti yetu. Jinsi unavyo zidi kwenda juu ndivyo jinsi unavyo paswa kutoa sadaka”
“Ndio mkuu”
“Basi ukihitaji kufika huko unapo hitaji kufika. Inabidi umtoa kafara mwanamke wako wa kwanza kumtoa bikra”
Nabii Sanga akastuka sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi sana kwani mwanamke wake wa kwanza kumtoa usichana ni Magreth, binti anaye mpenda na aliye muahidi kwamba ata mfanyia kitu chochote atakacho kihitaji chini ya jua.

ENDELA

“Mbona una stuka ikiwa yupo ambaye ume mtoa bikra?”
“Aha..hapana mkuu”
“Basi ukihitaji kupanda juu basi ni lazima utoe kafara ya aina hiyo”
“Sawa mkuu nina omba mwezi wa kufikria hili jambo”
“Chukua muda utakao wewe. Ila usichelewe sana kwa maana ukichelewa kazi nitaikamilisha mimi mwenyewe”
“Una maana gani mkuu?”
“Nitamchukua huyo mtu mimi mwenyewe. Muna weza kwenda sasa”
Nabii Sanga na nabii Okocha wakaonyanyuka na kutoka mapangoni humo.

“Yaani ndugu yangu ume pata mtihani mwepesi sana. Mkuu ame kuchunuku”
“Kwa nini?”
“Kumtoa mwanamke wake wa kwaza kumtoa usichana. Aiseee ni jambo la kumshukuru Mungu kwa maana sisi wengine tuna pewa kazi kubwa sana”
“Wewe ulipewa kazi gani ndugu yangu?”

“Mimi nilimtoa kafara mjomba wangu ambaye nina mpenda sana na yeye ndio aliye nilea kwenye maisha yangu na ilinipasa kuhakikisha kwamba nina peleka kichwa chake”
“Mmmm!!”
“Ndio hivyo ndugu yangu”
“Ila kwagu pia ni mtihani”
“Kivipi?”
“Mtu ambaye nina paswa kumtoa kafara ni binti mmoja mazuri sana na bado ni mdogo ambaye ana jitafutia maisha yake na nina mpenda sana”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na masikitiko makubwa sana.

***

Walipo ridhika kuhakikisha wana mpatia Tomas mateso ya kutosha wakarudi nchi kavu na kulisimamisha pipa hilo ufukweni. Wakamtoa Tomas anaye tetemeka kwa woga mwingi sana.

“Sio mpelelezi huyu fala”
“Ni kweli”
“Oya sikia wewe. Kesho uta ingia kambini uta anza kupata mafunzo kuhakikisha una kuwa fiti. Ume nielewa”
“Nd…i..iooo”
Tomas alijibu huku wasiwasi mwingi ukiwa ume mtawala.
“Oya mpelekeni kambini”
Mkuu msaidizi wa kikosi hicho cha Ngosha akaagiza vijana waliopo chini yake na wakampakiza Tomas katika gari aina ya pic up na kuaondoka naye ufukweni hapo. Tomas akafikishwa kwenye kambi yao ambayo ipo porini sana na eneo hilo lina baridi kali sana. Wakamvua Tomas nguo zote na kumuingiza kwenye moja ya chumba ambacho hakina kitu chochote zaidi ya sakafu.

“Nita lala humu?”
“Ndio maana yake na hauto lala peke yako?”
“Nita lala na nani?”
“Rafiki zako”
Jamaa huyu alizungumza kimasihara huku akimtazama Tomas usoni mwake. Wezake wawili wakaleta mapipa yaliyo jaa barafu nyingi sana na wakamwaga barafu hiyo ndani ya chumba hicho na kusababisha baridi kuzidi kuongezeka.

“Usiku mwema”
Kijana huyo mwenye mwili mwembaba alizungumza huku akifunga mlango wa chumba hicho kwa nje. Katika maisha yake yote, Tomas hakutarajia kama ata kumbana na maisha magumu kama anayo kumbana nayo hivi sasa. Baridi kali inayo sababishwa na madonge madonge ya barafu yakaufanya mwili mzima wa Tomas kutetema. Haukuwa usiku wenye furaha kwake, hakuweza kupata hata lepe la usingizi. Hadi kuna pambazuka bado kuna mabonge madonge ya barafu bado hayaja yayuka. Mlango ukafunguliwa na akaingia kijana huyo ambaye alimfungia Tomas jana usiku.

“Oya amka”
Kijana huyo alizungumza huku akiwa ameshika suruali ya jeshi, buti nyeusi za jeshi pamoja na tisheti nyeusi.

“Una dakika mbili za kuvaa baada ya hapo, kuna kile kilima pale ina bidi upandishe mara hamsini”

Jamaa huyo alizungumza huku akimuonyesha Tomas kilima hicho kirefu kupitia dirishani.

“U….u…na sema pale?”
“Ndio, mbona una kigugumizi vaa jamaa. Mimi huwa sina huruma na mtu na nikipewa jukumu kama hili huwa nina furahi sana”
Jamaa huyu alizungumza kwa kejeli huku akiendelea kumtazama Tomas usoni mwake. Tomas alipo maliza kuvaa nguo hizo wakatoka nje ya chumba hicho. Endo hilo la kambi lina ulinzi mkali na kila mtu ana onekana yupo bize na mambo yake.

“Hapa ni kambi ya jeshi?”
Tomas alimuuliza jamaa huyo aliye valia nguo nyeusi pamoja na kiti kubwa jeusi ili kujikinga na baridi.

“Acha us** wewe kuna kambi ya jeshi ya aina hii. Haya twende”
Jamaa huyo alizungumza huku akimzaba Tomas bao la mgongo. Wakaanza kukimbia kwa pmaoja kupandisha kilipa hicho kirefu. Tomas akajihisi moyo wake ukichomoza kwani hajawahi kufanya mazoezi magumu kama hayo. Wakafika kileleni katika kilima hicho huku Tomas akihema mithili ya mbwa wa polisi aliye mkumbiza mwizi kwa kipindi kirefu.

“Shuka mimi nina kusubiria hapa”
Kijana huyo alizungumza huku akichukua kiti na kukaa.

“Nishuke!!!?”
“Oya sirudii kauli zangu shuka”
Tomas akaanza kujishauri huku akiwa ameinama.

“Nitakusukuma ukafie kule chini”
“Aha...naomba nizungumze na Ngosha”
“Huwezi kuzungumza naye. Shuka kwenye hicho kiporomoko na upandishe tena”
Kijana huyo alizungumza huku akichomoa bastola yake kiunoni na kumuelekezea Tomas ya usoni mwake na kumfanya ajawe na woga mwingi sana na kuanza kushuka kwenye kiporomoko hicho pasipo kupenda.

***

Hali ya Evans ikazidi kuimarikia kadri siku zinavyo zidi kwenda huku penzi lake na Magreth likizidi kupamba moto. Magreth taratibu akajikuta akianza kumsahau nabii Sanga ambaye yeye ndio aliye mfanya awe na maisha ya kufanikiwa. Evans akaruhusiwa kutoka hospitalini hapo na moja kwa moja wakaelekea nyumbani kwa Magreth.

“Weee una taka kuniambia kwamba una ishi hapa?”
“Ndio ni kwangu mbona huamini”
“Mbona pazuri sana na hujawahi kuniambia kwamba una maisha mazuri kama haya”
“Hahaa hapana bwana mume wangu. Nilihitaji kukufanyia suprize”
“Mmmm kweli hii suprize na hiyo gari Audi Q7 ni ya nani?”
“Gari langu hilo”
“Aisee siamini Magreth kwa umri wako una maisha mazuri kama hayo. Hembu nipe risi ya mafanikio yako”
“Usijali mume wangu ipo siku nita kuambia”
“Haya hizi kamera zina fanya kazi?”
“Ndio zina fanya kazi, ila huwa nina zizima nikiwa ndani, nikiwa nina toka nina ziwasha”
“Ahaa sawa”
“Karibu chumbani”
Magreth alizungumza huku akiwa amemshika Evans mkono. Wakaingia ndani ya chumba cha kulala cha Magreth. Taratibu Magreth akaanza kumvua Evans nguo zake huku akiwa amejawa na hamu kubwa sana ya kupata penzi la Evans.

“Evans”
“Mmmm”
“Si uta weza kunipa baby?”
“Ndio japo sinto kwenda mpute mpute kama siku ile isije kidonda kika lete shida si una jua hakijapona kabisa”
“Sawa mpenzi wangu”
Magreth taratibu akachuchumaa na kuanza kumshika shika jogoo wa Evans ambaye tayari amesha simama kidete na akaanza kumnyonya taratibu huku akiwa na uchu mkubwa sana. Magreth alipo jiridhisha wakavua nguo zake huku Evans akijilaza kitandani. Wakaanza mtanange huo taratibu huku kila mmoja akifurahia penzi hilo. Mtanange huo ukachukua dakika ishiri na tano na kufika tamati.

“Nina kupenda sana Evans”
“Nami pia nina kupenda sana mpenzi wangu”
“Je una weze kuendesha gari?”
“Ndio nina weza mpenzi wangu”
“Basi uta nifundisha”
“Kwani wewe huwezi?”
“Hapana mimi siwezi”
“Apia?”
“Haki ya Mungu vile. Yaani toka hilo gari liletwe na dereva wa kampuni niliyo nunua. Sijalisogeza hata nyuma”
“Hahaa usijali nita hakikisha kwamba una fahamu mapema sana”
“Nashuru”
Siku hiyo ikawa ni ya furaha sana kwao kwani ndio siku ambayo wame anza kulala kwa pamoja. Siku iliyo fwata wakaelekea madu ya nguo na Magreth aka mnunulia Evans nguo na viatu vya kutosha. Evans hakutarajia yale maisha ya shida na tabu ambayo alikuwa ana hangaika nayo toka alipo maliza chuo, yamebadilia kwa kiasi kikubwa na sasa amesha sahau shida hizo. Wakatangaza usahili wa wahudumu wa mgahawa wao mpya ambao wana hitaji kuufungua.

Siku ya usahili, wakajitokeza wasichana wengi wenye kila aina ya sifa ya uzuri hadi Magreth akaanza kujihisi wivu kwani uzuri wa wasichana hao una weza kumteka mume wake. Wakafanikiwa kupata wasichana watatu na wavulana wawili ambao wana shuhulika katika mgahawa huo. Wakafanya maandalizi yote ya ufunguzi wa mgahawa na siku ya ufunguzi ika fika. Siku hiyo wakatangaza wateja mia moja wa kwanza wata kula chakula bure kabisa. Wakajitokeza watu wengi sana hadi Magreth akashangaa wingi wa watu hao.

“Watu hawa wote kweli wata kuja hivi hivi siku zinazo kuja au ni leo kisa ni bure?”
Magreth alimuuliza Evans huku wakiwa wamesimama eneo la mapokezi wakitazama watu hao wanao wanao zidi kupata chakula kitamu ambacho amekiandaa yeye pamoja na wapishi wawili wanao msaidia kupika”
“Wata kuja, una jua hii ni njia nzuri sana ya kujitangaza kibiashara. Laiti tungesema tunze kwa kuwatoza pesa wasinge kuja wengi kama hivi”
“Mungu abariki mume wangu”
Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde kadhaa na kuona ni namba ngeni. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Habari yako mke wangu”
Sauti ya nabii Sanga ikamstua sana Magreth kwani toka nabii Sanga aondoke nchini Tanzania hajawahi kuwasiliana naye jambo ambalo lilimfanya azidi kuuhamishia moyo wake kwa Evans na kumtoa kabisa mzee huyo katika hisia zake. Magreth akaondoka eneo hilo na kujitenga kidogo.

“Salama mpenzi”
Magreth alizungumza kwa wasiwasi kidogo huku akimtazama Evans anaye endelea kushuhulika na wateja.

“Mmmmm nimeona jitihada zako. Hakika nime furahi sana kutazama taarifa ya ufunguzi wa mgahawa wako youtube.”
“Nashukuru sana mpenzi wangu. Mbona siku zote huja nitafuta kwema?”
“Kwema, nilikuwa nipo bize sana vikao vingi sana.”
“Pole sana mpenzi”
“Salama, nisalimie Evans naona ametoka hospitalini”
Magreth akastuka kidogo ila akajikaza.

“Ni kweli ametoka MUNGU ame msaidia”
“Sawa sawa nimebakisha wiki moja nitarudi nchini Tanzania. Nina hamu sana na wewe mke wangu”
“Wiki moja!!?”
“Ndio mbona una shangaa?”
“Ahaa…aha….siku tarajia kama ume bakisha siku chache hivyo”
“Usijali niambie nikuletee zawadi gani?”
“Mmmm yoyote upendayo”
“Basi usijali. Nakata simu ila usipige hii namba hadi nikupigie”

Simu ikakatwa na kumfanya Magreth kubaki katika alama kubwa ya kujiuliza, akamtazama Evans ambaye hadi leo hajawahik umuambia kwamba ana mahusiano na nabii Sanga na haju ataanzia wapi kumueleza mwanaume huyo anaye mpenda kuliko kitu chochote.

***

Nabii Sanga akakata simu mara baada ya kumuona shemeji yake mrs Okocha akija katika bustani hiyo aliyo kaa.
“Shemeji”
“Naam”
“Umekaa peke yako hujihisi unyonge?”
“Usijali nipo hapa nina peruzi peruzi. Vipi Okocha ata rudi saa ngapi?”
“Nimetoka kuzungumza naye ana amesema ana ingia kwenye kikoa. Vipi mke wako naye ana rudi saa ngapi kwa rafiki yake?”
“Mmmm ata chelewa kurudi”
Mrs Okocha akamazama nabii Sanga kwa macho ya matamanio. Katika wiki zote walizo ishi hapo, amekuwa akimuwinda sana nabii Sanga ila amekuwa akikosa nafasi ya kukamilisha haja yake ya kupata penzi.

“Shem kuna kitabu nahitaji ukanisaidie kutafuta kule kwenye reading room. Sijui una weza kunisaidia?”
“Usijali twende”
Wakaondoka eneo hilo na kuingia katika chumba kikubwa cha kusomea. Mrs Okocha akafunga mlango huo kwa ndani na bila ya kujiuliza maswali mara mbili mbili akavua dera alilo livaaa.

“Shemeji una fanya nini?”
“Shem naomba uni samehe. Nimeshindwa kuzizuia hisia zangu, nakuomba unipe penzi lako”
“Shemeji ila wewe ni mke wa rafiki yangu siwezi kufanya hivyo unavyo hitaji”
Nabii Sanga alizungumza huku akianza kurudi nyuma nyuma kwani katika vitu anavyo viogopa kwenye maisha yake ni kutembea na mke wa mtu tena mke wa rafiki yake.

“Tafadhali Sanga naomba unipe kile kitu ninacho kihitaji. Tazama jinsi nilivyo mrembo, tazama makalio yangu yalivyo makubwa. Huyatamani kweli?”
Mrs Okocha alimshawishi nabii Sanga ambaye bado yupo kwenye kigugumizi kizito sana.

“Una niigiza majaribuni shemeji, tafadhali nina kuomba”
“Nakupenda sana Sanga. Naomba unipe penzi lako”
Mrs Okocha akamgandamiza ukutani nabii Sanga na kuanza kumnyonya shingo yake.

“Tafadhali niachie. Siwezi kumsaliti rafiki yangu kipenzi”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akijitoa mikoni mwa mrs Okocha na kuanza kutembea kwa hatua za haraka kuelekea mlangoni mwa chumba hicho.

“Huyo rafiki yako unaye muamini, tayari amesha mt** mke wako tena mbele ya macho yangu”
Kauli hiyo ya mrs Okocha ikamfanya nabii Sanga kusimama huku akistuka sana, taratibu akamgeukia mwanamke huyo na kumtazama, sura ya mrs Okocha ina onyesha dhairi hilo alilo lizungumza ni jamboa la kweli kabisa na halina uwongo wa aina yoyote.
ITAENDELEA

Haya sasa, mrs Okocha ameamua kutoa siri ambayo waliahidiana kwamba hawato itoa kabisa. Ni nini nabii Sanga atakifanya mara baada ya kufahamu ukweli huo? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 34.
Duuh hii ni km movie, ni zambi tupu...kweli wanasema mwanamke ni zaidi ya shetani
 
SIN 34


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


“Tafadhali niachie. Siwezi kumsaliti rafiki yangu kipenzi”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akijitoa mikoni mwa mrs Okocha na kuanza kutembea kwa hatua za haraka kuelekea mlangoni mwa chumba hicho.


“Huyo rafiki yako unaye muamini, tayari amesha mt** mke wako tena mbele ya macho yangu”
Kauli hiyo ya mrs Okocha ikamfanya nabii Sanga kusimama huku akistuka sana, taratibu akamgeukia mwanamke huyo na kumtazama, sura ya mrs Okocha ina onyesha dhairi hilo alilo lizungumza ni jamboa la kweli kabisa na halina uwongo wa aina yoyote.


ENDELEA


Nabii Sanga taratibu akamsogelea mrs Okocha huku uso wake ukiwa umejaa mikunjo ya hasir.

“Ume sema kwamba?”
“Mume wangu amem** mke wako mbele yako”
“Lini na ilikuwaje?”
“Mimi na mke wako tuna mahusiano ya kimapenzi”
Nabii Sanga akashangaa mara baada ya kuisikia kauli hiyo.

“Kivipi!!?”
Nabii Sanga aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.
“Tuna sagana, mume wangu alitufumania na adhabu aliyo amua kutupatia ni kutula sisi sote wawili ila mradi siri isiweze kutoka kwako. Ila mimi nimeshindwa kukaa na siri hii”
Nabii Sanga akashusha pumzi nyingi huku akimtazama mwana mama huyu.

“Hivi nyinyi ni binadamu wa aina gani jamani?”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na hasira. Mrs Okocha hakujali hasira hizo kwani akimkosa leo nabii Sanga basi hato weza kumpata tena.

“Ndio mambo yaliyo tokea. Je utakubali mke wako kuliwa na rafiki yako.”
Mrs Okocha alizungumza huku akimsogelea nabii Sanga. Akamshika jogoo wake na kuamza kuminya minya.

“Tafadhali, hembu onja asali yangu”
Mrs Okocha alizidi kumshawishi nabii Sanga ambaye taratibu akajikuta akilegea. Wakakutanisha lipisi zao na kuanza kunyonyana huku kila mmoja akiwa katika hali ya hisia. Nabii Sanga akavua nguo zake, akavuta moja ya kiti na kukaa. Taratibu akampakata mrs Okocha na kuanza kumla kitumbua chake kwa hasira ya kulipiza kisasi cha kuibiwa mke wake.
***

“Kuna mabaharia wenye meli zao ambazo zina kwenda masafa marefu. Nitakukutanisha nao wiki hii wanaingia hapa Nigeria. Kwakuwatumia hao una weza kuwasafirisha wasichana hao kwenda Tailand, South Afrika, China na Marekani, japo kwa sasa Marekani wapo makini sana kwenye kudhibiti biashara hiyo.”
Miss Adela alizungumza huku akimtazama mrs Sanga aliye mtembelea hapo nyumbani kwake.

“Katika hizo nchi, ipi ina ina lipa sana kwenye hiyo biashara?”
“Marekani, China na South Afrika. Biashara hiyo ina toka kwa haraka sana. Hawa Tailand kidogo wana shida shida kwenye malipo”
“Naomba uni kutanishe nao hao watu kwa maana nina hamu kubwa ya kuifanya hiyo biashara”
“Ila mr si ata kuunga mkono?”
“Yeye hana shida. Ni mimi kujua ni wapi nina weza kuwapakiza hao wasichana, kina nani ambao nita wauzia basi biashara ina fanyika. Una jua kwa nchi yetu ya Tanzania hiyo biashara kidogo haijawa kubwa. Biashara kubwa iliyopo sasa hivi ni kuwachukua wasichana na wanakwenda kuajiriwa kazi za ndani kwenye nchi kama Oman na Misri”
“Ahaa hiyo hailipi sana. Hii bwana ukisha malizana kumuuza mtu basi wewe una jitoa na hakuhusu kabisa. Hivyo akifanikiwa asipo fanikiwa, akifa, asipo kufa yote ni juu yake mwenyewe”
“Yaani nimeipenda nina tamani kuianza hata kesho”
“Ehee vipi cocain una piga au?”
“Tulisimama kidogo mara baada ya raisi mpya kuingia madarakani ila hivi sasa. Tutarudi kwa nguvu zote kwa maana raisi tumesh amuweka kiganjani”


“Ukirudi basi musisite kuniunga mkono si una jua sasa hivi nina chukua kilo nyingi sana kutoka Pakistani”
“Una chukua kilo ngapi?”
“Hadi kilo elfu moja”
“Weeee Adela una muda vipi kuzifikisha nchini hapa!!?”
“Umesahau best kwamba mimi ni mafia”
“Mmmmm kweli wewe ni mafia. Ukiingiza hizo una zisambaza hapa hapa Nigeria au una toa nje ya nchi?”
“Nina sambaza Afrika nzima. Sema yule agent wa Tanzania alikamatwa nikaachana naye hivyo sikuweza kusafirisha tena kwa nchi yenu”
“Hongera sana rafiki yangu Adela. Nitamshauri mrs tuchukue hata mzigo wa dola milioni tano”
“Yaani hapo ndipo ninapo kupendea tu. Sasa hivi hakuna haja ya kutumia watu sikui kubeba sijui kufanya nini, yaani nime kuja na mbinu mpya”
“Cocain ambayo nina ichukua Pakistani au Colombia. Ina kuja kwa mfumo wa unga kwa kupitia submarine ndogo hivi niliinunua miezi nane iliyo pita”
“Eheee submarine ndio nini?”
“Na wewe umezidi kukaa kimungu Mungu ndio maana mambo mengine huyajui. Njoo uone”
Mrs Sanga akanyanyuka kwenye sofa lake na kukaa kwenye sofa la Adela. Akaonyeshwa meli hiyo inayo tumika kupita chini ya bahari.


“Hii submarine ina kasi kubwa sana na hakuna nchi ambayo ina weza kuinasa kwa rada zake”
“Ina endeshwa na watu?”
“Hapana mama. Yaani hii ni sawa na zile ndege zisizo na rubani. Muendeshaji yupo Nigeria ila ina uwezo wa kuzunguka dunia nzima kwa kupita chini ya maji”
“Mmm best hapo ume uchinja kwa kweli. Ni kiasi gani hiyo?”
“Hahahaa una taka kunipiku kwenye biashara yangu?”
“Hamna bwana Adela. Unajua kwamba michongo mingi ya hizi biashara nina itoa kwako”
“Okay sinto kuambia ni kiasi gani. Ila ukihitaji nikuletee mzigo hata Tanzania, kuna malipo yake ambayo ni tofauti kabisa na malipo ya mzigo wenyewe. Kwamfanao kuna kunchi ambazo hazina bahari, mzigo ukifika hapa. Kuna dawa fulani nina ichanganya kwenye mzigo na wote una badilika na kuwa maji”
“Cocaine kuwa maji!?”
Mrs Sanga alishangaa sana kwani hakuwahi kusikia kitu kama hicho.

“Ndio tena ina kuwa fresh water kabisa. Una paki maji hayo kwenye chupa Ana una safirisha kama maji ya kawaida. Hata ipite Air port hakuna kifaa wala mbwa yoyote anaye weza kufahamu kwamba hayo maji ni cocaine”
“Adela niachie masiraha bwana”
“Haki ya Mungu, tena njoo nikuonyeshe. Nina kilo moja hapa”
Mrs Sanga na Adela wakaingia katika chumba ambacho Adela huifadhia pakti za dwa za kulevya. Adela akachukua patki moja na kuiimimina kwenye kindoo kidogo. Akamimina dawa hiyo na taratibu unga huo ukaanza kuyayuka na kuwa maji safi .

“Waoooo”
“Umeona sasa hapo yamekuwa maji. Kuna dawa nyingine uki ukimimina unga una rudi kwenye hali ya kawaida”
“Nionyeshe”
Adela akachuku dawa nyingine na kumimina katika kindoo hicho na unga taratibu ukaanza kurudi kwenye hali yake ya kawaida.


“Weee haupungui kilo?”
“Hata theluthi haipungui. Unga huu ukirudi kwa mara ya pili, una kuwa ni mkali sana. Yaani mtu akivuta kidogo tu, basi ana pata stimu ya kufa mtu”


“Aisee hii dawa ni nani ambaye ame itengeneza?”
“Mimi mwenyewe. Dunia nzima hakuna anaye jua kuitengeneza hii dawa. Watu ninao wauizia kwa njia ya maji huwa kichupa kidogo nina wauzia kwa dola milioni mbili”
“Ahaahaha….wewe mwanamke ni mchumi”
“Ndio hivyo, kila kitu ni akili”
“Endapo ikatokea mtu akanywa madawa yakiwa kwenye mfumo wa maji inakuwaje”
“Ana rudisha namba kwa sir God”
“Weee”
“Ndio kwa maana kama mtu ana vuta kaji ukucha ana hisi wenge. Itakuwaje akinywa chupa nzima na ukweli ni kwamba maji yake hayana ladha ni kama maji ya kawaida kabisa”
“Duuu yaani natamani ningekuwa na kichwa kama chako”
“Hahaaa mimi ndio black widow”
“Hilo ni jina lako jipya?”
“Ndio, mume wangu alifariki mwaka jana”
“Jamani alafu hukuniambia?”
“Nilichanganyikiwa si unajua yeye ndio alikuwa kichwa kwenye hii biashara. Ila toka alipo kufa basi ni memejikuta nikiwa jasiri na nimekuwa kila siku nikibuni njia mpya ya kuwakwepa polisi na majasusi wa dunia nzima”
“Duu kazi kweli kweli”
“Ndio hivyo na wewe ina bidi ujiongezee utengeneze. Sio siku mr anakufa na wewe ndio kwishinei kiuchumi”
“Weee siwezi kufa kiuchumi. Nita kuwa drag lord lady.”
“Hahaa nimeipenda hiyo. Siku hizi ume nona naona wowowo lipo vizuri niambie siri yako mama?”


Adela alizungumza huku akiyaminya minya makalio ya mrs Sanga.
“Wee acha kuna kijana nilimpata miezi ya hivi karibuni. Ana nifir***”
“Wacha wee”
“Yaani kuongezeka hivi ni shahaw** zake”
“Aisee ame fanya kazi nzuri sana. Hembu niyaone”
Adela alizungumza huku akifungua tenge kubwa ambalo mrs Sanga amejifunga kiunoni mwake. Mrs Sanga akabakiwa na suruali iliyo chora vizuri maungo yake. Taratibu Adela akaingiza mkono wake kwenye suruali hiyo na kuanza kuyatomasa maziwa ya mrs Sanga, jambo lililo sababisha hisia za mrs Sanga kuanza kuamka taratibu naye akajikuta akijibu mapigo ya Adela kwa kuanza kumtomasa tomasa maziwa yake. Ndani ya muda mfupi wakajikuta wakizama katika penzi nzito sana ikiwa ndio mara yao ya kwanza kuingia katika hisia za kimapenzi.
***

Mazoezi ya mateso ambayo Tomas amekuwa akipewa ikiwa ni wiki ya tatu sasa. Yamembadilisha kabisa na kuwa kawa katika hali ya uhodari na umahiri mkubwa. Katika kipindi hicho kifupi Tomas akamshangaza mwalimu wake ambaye alikuwa naye toka siku ya kwanza ana ingia kambini hapo. Uwezo wa Tomas katika kutumia silaha ukamfanya mwalimu wake huyo kumbatiza jina la Joh Wick akimfananisha na mcheza filamu aliye cheza katika filamu ya Joh Wick.


“Karibi asilimu themanini ya watu kwenye hii kambi nimewafundisha wewe. Ila wewe ume kuwa muelewa kwa haraka sana na unafanya kama vile ninavyo hitaji. Hembu niambie nini siri ya haya yote”
“Nimeipenda hii kazi”
“Hata kama kuna kuipenda, ila kuna jambo ambalo nina kuona lipo nyuma yako. Jambo hilo ndio lina kufanya ufanye kazi kwa juhudi kubwa sana. Niambie ni jambo gani hilo?”
Tomas akaka kimya huku akikumbuka jinsi nabii Sanga alivyo muingilia kinyume na maumbile kilazima. Tomas akakumbuka rafiki zake Rama D jinsi walivyo uwawa na askari mbele yake kabisa.


“Ticha”
“Ndio”
Tomas akatazama miti mingi iliyo chini ya kilima hicho alipo kaa na mwalimu wake.
“Toka nianze kufanya mazoezi sija fahamu jina lako. Una itwa nani?”
“Hahaa, nina itwa Scooby doo. Huu wembamba wangu na pua yangu ndio vina wafanya watu kunipa jina hilo”
“Nashukuru kukufahamu”
“Usijali, ehee usipotezee swali langu. Niambie kua kitu gani kilichopo nyuma yako na kina kufanya ufanye kazi kwa juhudi kubwa sana.?”
“Kuna watu wawili nina hiaji kuwaua. Ila kabla ya kuwaua, nahitaji kuwapa mateso makali sana”
“Ni kina nani na walikufanyia kitu gani?”
“Sinto kutajia ni watu gani. Ila nitakueleza kwa ufupi. Mke wa mtu alinipenda, alinipa kila nilicho kihitaji, ikiwemo kunipa nyuma”
“Alikupa mk**?”
Scooby doo aliuliza huku akiwa na tabasamu paa usoni mwake.


“Ndio”
“Daim……Ehee niambie ikawaje?”
“Mume wake alifahamu juu ya mapenzi yetu. Ila kabla hajagundua mke wale alipanga mission ya kumteka mume wake.”
“Kwa nini?”
“Mumewe naye alikuwa na mahusiano na mwamke mwengine. Mke wake akaamua kutumia njia hiyo kulipiza kisasi kwa kumteka mume wako. Jumba bovu la kumteka mzee yule likaniangukia mimia. Huwezi amini nili shuhudia rafiki zangu wanne ambao niliwapa dili hilo wakiuwawa kinyama na askari. Mume wa yule bi mkubwa alikuja kufahamu kwamba mke wake ndio aliye mteka. Ila jambo hili nilisukumia mimi na kutokana ni mjanja mjanja ikanilazimu kutoroka makao makuu ya polisi”
Tomas alijipa sifa ambazo sio za kwake.


“Hapo ndipo ukaanza kutangazwa msakao wa nchi ni nikafanikiwa kubandikwa sura ya bandia na kutoroka nchini. Yule mama na mume wake wamanisababishia matatizo makubwa sana”
“Ni kweli ila nawe ushukuru Mungu walikutangazia kukutafuta kuliko huyo jamaa angeamua kukufanyia mchezo mchafu wa kukugeuza”


Kauli hiyo ya Scooby doo ikazidi kumpandisha hasira Tomas na kujiapiaza endapo siku ata pata nafasi ya kukutana na mrs Sanga au nabii Sanga ni lazima ata waua.


Simu ya Scooby ikaita, akapata maelekezo ya kurudi mjini na Tomas kwa ajili ya kuifanya kazi ambayo ipo usiku wa siku hiyo. Wakajiandaa na kuondoka porini hapo. Wakafika mjini na moja kwa moja wakaeleka kwenye makao makuu ya kundi hilo ambalo ni chini ya Club kubwa ya Ngosha. Tomas akakutana na Ngosha wa mara nyingine. Wakasalimiana kwa furaha kubwa sana.


“Ume badilika sana. Umekuwa mkakamavu”
“Nashukuru sana kaka”
“Hongera. Leo kuna kazi muta kwenda kuifanyana vijana wengine wanne. Hakikisha una rudi salama”
“Sawa boss”
Scooby nashkuru kwa kazi uliyo ifanya ka Tomas.
“Nashukuru boss”
“Aha…ni kazi gani hiyo tunayo kwenda kuifanya Ngosha”
“Leo ni siku ya kwanza kwa ndugu yetu Tomas kuifanya kazi ya kundi hili. Kazi iliyopo mezani ni kuvamia benk ya Standar Chartered. Kuna kiasi cha dola milioni mia moja zipo ndani ya hiyo benki. Tomas hakikisha una rudi salama”
Tomas alijibu kwa kutingisha kichwa akimuhakikishia Ngosha kwamba ata rudi salama ikiwa ndio mara yake yake ya kwanza kufanya kazi ya ujambazi tena wa kuvamia benki kubwa kama hiyo.


ITAENDELEA


Haya sasa Tomas amesha kwiva, ana hasira kubwa sana na nabii Sanga pamoja na mke. Leo ndio kazi yake ya kwanza kwenda kuvamia benki je atafanikiwa na kurudi salama? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 35.
 
SIN 35


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Hongera. Leo kuna kazi muta kwenda kuifanyana vijana wengine wanne. Hakikisha una rudi salama”
“Sawa boss”
Scooby nashkuru kwa kazi uliyo ifanya ka Tomas.
“Nashukuru boss”
“Aha…ni kazi gani hiyo tunayo kwenda kuifanya Ngosha”
“Leo ni siku ya kwanza kwa ndugu yetu Tomas kuifanya kazi ya kundi hili. Kazi iliyopo mezani ni kuvamia benk ya Standar Chartered. Kuna kiasi cha dola milioni mia moja zipo ndani ya hiyo benki. Tomas hakikisha una rudi salama”
Tomas alijibu kwa kutingisha kichwa akimuhakikishia Ngosha kwamba ata rudi salama ikiwa ndio mara yake yake ya kwanza kufanya kazi ya ujambazi tena wa kuvamia benki kubwa kama hiyo.


ENDELEA


Wakapanga mipango yote ya jinsi gani wanavyo weza kutumia njia iliyopo chini ya ardhi kutokea katika chumba ambacho kina hiafadhia pesa katika benki hiyo. Kila mpango ulipo kamilika. Vijana kumi akiwemo Tomas wakaondoka eneo hilo la ukumbi wa starehe. Wakafika katika moja ya jengo ikiwa ni majira ya saa tano usiku. Wakachukua vifaa ambayo vitawasaidia katika kazi yao hiyo. Wakaingia kwenye gari tena huku wakiwa wamevalia mavazi maalumu kama mafundi gareje(overall). Wakafika katika moja ya mtaa ambao una njia nyingi sana za chini ya ardhi. Wakasimamisha gari lap pembezoni mwa barabara. Mmoja wao akafungua mfuniko mmoja mzito ulipo katikati ya barabara. Wakaanza kuingia mmoja baada ya mwengine ndani ya shimo hilo ambalo kwa chini lina mfereji mkubwa unao pitisha maji taka. Vijana wawili wakabaki nje na kufunika mfuniko huo na kuimarisha ulinzi. Tomas na vijana wengine wakazidi kusonga mbele kwa kutumia ramani ambayo wamekabidhiwa na Ngosha. Ramani hiyo ikawafikisha hadi eneo ambalo ndipo ilipo benki hiyo.


“Jamani hatuna muda wa kupoteza. Kinacho paswa kufanyika sasa hivi ni kutoboa hiyo sehemu na tuna ingia kwa pamoja sawa”
Kijana aliye kabidhiwa jukumu la kuongoza kikosi hicho alizungumza. Wakatoa vifaa maalumu ambavyo vina tumika katika ujenzi. Wakaanza kukata ukuta mkubwa wa saruji ulio tengenezwa chini ya eneo hilo. Kazi hiyo kwa ushirikiano wa pamoja haikuchukua muda mrefu wakafanikiwa kuutoa ukuta huo. Kijana mmoja akakunjia ngazi na kupanda. Aka gonga gonga eneo hililo baki.”
“Hapa imebakia kidogo tu tutoboe”
Kijana huyo alizungumza huku akigonga gonga eneo hili”
“Kila mtu aandae sihata yake na kuziba sura yake”
Kila mtu akafwata amri ya kijana huyo akiwemo Tomas. Walipo hakikisha kwamba wapo tayari, wakaitoboa sehemu hiyo taratibu na wakapata shimo ambalo kila mmoja ana weza kupita. Kijana huyo akatanguliza kamera ndogo iliyo kaa mithili ya fimbo. Wakaweza kuona eneo zima la chumba hicho chenye ma shelfu mengi sana yakuhifadhia pesa na vitu vya thamani.


“Kuna mionzi ya hatari ime wekwa. Hivyo inatupasa kuuizima hiyo mionzi”
“Ngoja nifanye kazi yangu”
Kijana mwenye taaluma ya kuharibu mionzi hiyo ya ulinzi ambayo mingu hutumia umeme. Akapanda kwenye ngazi hiyo na kuanza kucheza na kifaa ambacho huistopisha mionzi hiyo kimya kimya pasipo kutoa ishara yoyote kwa walinzi wa benki hiyo. Kazi hiyo ika mchukua dakika tano kijana huyo hadi kuimaliza.


“Muna weza kuingia”
Waliweza kupokea ujumbe wa sauti kutoka kwa wezao walio waacha katika gari kwani wao kazi yao ni kuhakikisha wana hack kamera za chumba hicho na hata walinzi hawato weza kuelewa kama ndani ya chumba hicho kuna kitu chochote kinacho endelea kwani kamera hizo hazirekodi chochote zaidi ya kuonyesha picha iliyo pita. Wakaanza kuzama ndani ya chumba hicho mmoja baada ya mwengine huku wakiwa na mabegi makubwa sana. Kwakutimia moto wa gesi wakaanza kuvunja shelfu moja baada ya nyingine huku pesa nyingi zikiwa zimehifadhiwa kwenye vitororori vikubwa vilivyomo ndani ya chumba hicho.


“Tuna dakika kumi ya kusafisha chumba”
Kijana huyo alizungumza huku wakianza kazi ya kupakiaza mabunda ya pesa za kimarekani katika mabegi hayo makubwa na meusi. Pesa, vipande vya madini, cheni za dhahabu pamoja na pete za zahabu zilizopo kwenye mashelfu ya wateja wa benki hiyo wavikusalimika kabisa. Ndani ya dakika nae chumba hicho hakikuwa na hata dola moja. Tomas ambaye toka kuzaliwa kweke hakuwahi kuona pesa hizo, alihisi kuchanganyikiwa kwa kweli, pasipo mtu yoyote kumuona, akaificha peta moja ya dhabubu kwenye boksa yake na wakatoka ndani humo. Hawakutaka kuliacha shimo hilo wazi. Taratibu wakaanza kulitengeneza kwa saruji ambayo ina ganda kwa haraka sana. Walipo hakikisha wamefunika shimo hilo wakaanza kurudi sehemu walipo wezao.


Wakafika eneo la barabara, wezao wakawafungulia mfuniko huo wa chuma. Wakatoa mabegi ishirini yaliyo jaa pesa, dhahubu, cheni pamoja na pete za dhahabu. Wakaingia ndani ya gari hilo na kufunga mfuniko huo na kuondoka. Wakarudi Club na kumkuta Ngosha akiwasubiria.


“Kazi nzuri kazi nzuri sana”
Ngosha alizungumza kwa furaha mara baada ya kuona kiwango hicho kikubwa sana cha pesa.


“Tunashukuru sana”
“Kama munavyo jua, silazi zege. Kila mtu nina mpa anacho stahili kukipata. Ila tukumbushane kitu kimoja. Umakini ni jambo muhimu sana. Hamupaswi kufanya ujinga hadi polisi waka fahamu kwamba sisi tume husika. Tumeelewana?”
“Ndio mkuu”
“Sheria ina julikana. Endapo uta tiliwa mashaka na askari tuna kuua ili siri ibaki pale pale”
Ngosha alizungumza kwa msisitizo huku akiwatazama vijana wake. Wakaanza kupiga hesabu ya pesa waliuo ipata wakakuta ni dola milioni mia moja na ishirini na tano.
“Hahaaa haki ya Mungu waseng** wakiamka asubuhi wata lia kwa kweli”
Ngosha alizungumza na wakaanza kugawa pesa kwa vijana wake hao. Kila kijana akapata dola milioni tatu na nusu, kiasi kilicho salia akabaki nacho Ngosha.


“Kesho kuanzia asubuhi tuta kuwa na party kwenye boti. Mujiandae”
Vijana wa Ngosha wakajawa na furaha sana.


“Tomas kuna zawadi nime kuandalia tutaenda nyumbani”
“Sawa”
Ngosha na vijana wake wengine akiwemo Tomas wakabeba pesa zake, madini, cheni na pesa na moja kwa moja wakaeleka hadi nyumbani kwake. Ngosha akavihifadhi vitu hivyo katika kisima chake cha pesa kilichopo chini ya kitanda chake ambacho sio rahisi mtu yoyote kufahamu na yeye pekee ndio ana jua kisima hicho. Alipo hakikisha amehifadhi pesa hiyo, akarudi sebleni na kumkta Tomas akiwa amejawa na furaha sana.


“Tomas pesa yako uta ifanyia nini?”
“Yaani kaka hata sijui nita fanya nini. Unajua sijawahi kumiliki mkwanja mrefu kama huu”
“Ndio hivyo ume miliki ndugu yangu. Tuliza akili na fikiria nini cha kufanya na mimi nita kuunga mkono. Sihitaji uwe katika hii kazi ni ngumu sana”
“Ni kweli kaka, ila nime pata wazo moja”
“Wazo gani?”
“Kutokama nipo vizuri sana kwneye maswala ya udalali. Unaonaje nikawa dalali wa wanawake wanao kuja kwenye kama hizi kujiuza?”
“Waooo ni big idea ndugu yangu, nitakupa support yangu. Unaweza ukawa agent, una pokea wanawake kutoka Afrika Mashariki na una wauza hapa Afrika kusini na nina kuapia ndani ya muda mchache sana uta kuwa na maisha mazuri”
Tomas akazidi kujawa na furaha kwani harakati zake zote za kutafuta maisha mazuri ni kuhakikisha ana lipa kisasi kwa nabii Sanga na mke wake.


***


Mrs Sanga na Adela wakazidi kupeana burudani huku kila mmoja akionyesha ujuzi wa kumsaga mwenzake. Mrs Sanga kutokana ana ujuzi na mchezo huo mchafu, akamshinda Adela kwa pointi nyingi sana na kujikuta Adela akianza kuufungua moyo wake taratibu na kumkaribisha mrs Sanga kama mpenzi wake.


“Toka kuzaliwa kwangu, sijawahi kujisikia raha ya mapenzi kama ulivyo nifanya wewe leo”
“Kweli Adela?”
“Haki ya Mungu vile. Umenikamata mama, yaani ume nifanya nihame dunia hii kwa muda na hadi nina fika kileleeni, nime jikuta nikirudi huku nikihisi kama nimekuwa malaika fulani”
Adela alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwa mrs Sanga.


“Jamani hongera”
“Na wewe ume enjoy?”
“Sana”
“Ila una onekana una ujuzi, au ulisha anza kuufanya huu mchezo muda mrefu?”
“Hapana ni kipaji tu”
“Mmmm Muongo wewe una nidanganya”
“Kweli vile, ni kipaji tu”
“Ahaa yaani ume nitoa hadi ute wangu wa mwisho. Yaani hapa hata sina hamu tena”
“Hahaaa, kwani toka mume wako alipo fariki ulisha wahi kukutana na mwanaume?”
“Hapana, sikuwahi, kuna dada wangu wa kazi nilikuwa nina fanya naye huu mchezo. Ila alifariki naye kwa ajali ya pikipiki miezi miwili iliyo pita hivyo nime jikuta nikiwa mpekwe na nikakosa mtu wa kumueleza hisia zangu kwamba mimi ni lesbian. Ila kwa kuwa nime kupata wewe nakuomba sana ujali hisia zangu. Pia nakuomba mume wako asifhamu juu ya mahusiano yetu”
“Usijali nitazijali hisia zako Adela”
“Nashukuru kusikia hivyo. Twende tukaoge nikurudishe ulipo fikia”
“Sawa mpenzi”
Mrs Sanga na Adela wakaingia bafuni, wakaoga kwa pamoja huku wakicheza michezo ya kimahaba. Walipo maliza kila mtu akavaa nguo zake na wakaianza safari ya kuelekea katika jumba la nabii Okocha.


***


“Shemeji haki ya Mungu wewe mtamu. Mke wako ana faidi sana”
Mrs Okocha alizungumza mara ya mtangange huo wa kukata na shoka kumalizika.
“Hii iwe siri yetu na sihitaji kusikia kwa mtu yoyote lasivyo nita kuua”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akivaa nguo zake. Akatoka chumbani humo na kumuacha mrs Sanga akiwa amejawa na furaha sana kwani kiu yake ya mapenzi na kulipiza kisasi ime kwisha. Nabii Sangaa kaingia chumbani kwake na moja kwa moja akapitiliza hadi bafuni, akaga huku akimfikiria nabii Okocha ni kwa nini ame amua kumsaliti.


‘Ila mke wangu ndio mwenye makosa’


Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akijisugua mwili wake taratibu.


‘Kwa hiyo mke wangu ni msagaji?. Mmmmm haya kweli ni matatizo, mara Tomas ana mla mk** mara huku ana sagana na mrs Okocha. Sasa nime pata mke au mcheza ngono jamani’


Mawazo hayo yakamfanya nabii Sanga kudhamiria kumuuliza mke wake kila jambo linalo endelea hapa Nigera. Akavaa nguo zake, akavaa earphone zake masikioni, akaingia katika mtandao wa youtube na kuanza kufwatilia sherehe ya ufunguzi wa mgahawa mkubwa wa Magreth.


‘Magreth nina kupenda sana na sipo tayari kukutoa sadaka. Hii pesa niliyo nayo ina nitosha’


Nabii Sanga akayahamishia mawazo kwa Magreth kwani matatizo ya mke wake nahisi yana mpasua kichwa kwa mawazo tu.


‘Asiee huyu mtoto ni mzuri sana. Lazima niwe makini kwani kuna wajinga ni lazima wata kuwa wana mmendea’


‘Lazima nihakikishe kila anaye jaribu kumnyatia Magreth wangu ata kumbana na majanga. Yeye ni wa kwangu peke yagu na sinto jali jamii ita zungumza jambo gani juu yake. Nina mpenda sana Magreth wangu’


Nabii Sanga alizungumza huku akiwa ameweka pause video hiyo inayo nyesha uso wa Magreth akihojiwa na waandishi wa habari. Mlango wa chumbani kwake ukafunguliwa na kwa haraka akaitoa video hiyo na kumtazama mke wake anaye ingia hapo huku akiwa amejawa na furaha.


“Ohoo Mume wangu nime kuacha peke yako ehee?”
“Ndio ila usijali mke wangu natazama tazama video hapa”
“Nimekuja na yule rafiki yangu Adela yupo sebleni. Nakuomba twende ukamuone”
“Mmmmm sawa”
Nabii Sanga akanyanyuka kitandani na wakatoka kwa pamoja chumbani hapo. Wakafika sebleni na kumsalimia Adela aliye jawa na tabasamu mara baada ya kumuona nabii Sanga.


“Ni siku nyingi sana Adela hatujaonana”
“Ni kweli shemeji. Ila una endeleaje?”
“Mmm hakika nina mshukuru Mungu ana zidi kutulinda na kutuinua. Vipi biashara zako zina kwendaje?”
“Kwa kweli ni jambo la kumshukuru Mungu, zinakwenda vizuri sana”


“Kama zina kwend vizuri ni jambo la heri. Ehee niambie Tanzania una kuja llini Adela”
“Shemeji acha tupange pange ratiba kisha nita wajulisha. Nime miss yule mtoto wenu wa mwisho nani?”
“Julieth”
“Ndio naamini sasa ata kuwa mdada”
“Ohoo amekuwa mkubwa kwa kweli na yupo chuo kikuu sasa”
“Waoo hongereni sana”
“Tunashukuru. Vipi mrs ana endeleaje?”
Kidogo Adela akawa mpole kwani mume wake tayari amesha fariki.
“Shem mume wangu alisha fariki”
“Weeee!! Acha masihara Adela?”
“Aki ya Mungu shem”
“Aise pole sana kwa nini hukutujulisha hata tufike msibani”
“Shemeji huwezi kuamini, nilizimia takribani wiki nzima”
“Aisee pole sana shemeji”
“Asante. Nimemleta mke wako, nilihisi kwambaa akija huku uta mfokea kwa nini ame chelewa kurudi na ikiwa yupo ugenini?”
“Haha hapana shemeji mimi sina neno na isitoshe nina kufahamu hata ange lala huko isinge kuwa tatizo”
“Wee kwa hiyo shemeji una niruhusu leo nika lale na mke wako”
“Muulize yeye akipenda sawa. Isitoshe ata kuwa ana kufariji fariji kwa maana nina imani upo mpweke sana nyumbani kwako”
“Ni kweli shemeji nakuomba nikae naye japo hata siku mbili”
“Hei ume kubalian ana ombi hilo?”
“Ndio”
Ikawa ni furaha kwa Adela, mrs Sanga akaelekea chumbani kwake na kuchukua nguo kadhaa, kisha wkaanza safari ya kurudi kwa Adela huku wote wakionekana kuwa na furaha kubwa sana kwani wata utumia muda huo walio pewa kuburudisha kisawa sawa.


***


Hadi wana fika nyumbani, Magreth ana onekana ni mwenye mawazo. Ana wazia ni jinsi gani ata ishi na Evans pale nabii Sanga atakapo rudi nchini Tanzania. Isitoshe ana kumbuka ahadi zote za ubaya ambazo nabii Sanga alikuwa akiziweka endapo tu ata mjua msaliti wake kwa Magreth.


“Hei baby vipi una umwa mbona kama haupo sawa?”
Evans alizungumza kimahaba mara ya kuingia sebleni, wakitokea kwenye mgahawa wao. Magreth akashusha pumzi nyingi huku akikaa kwenye sofa na kuipandisha miguu yake mezani.


‘Masikini Evans nakuingiza matatizoni pasipo wewe kujua’


Magreth aliwaza huku akimtazama Evans anaye mtazama kima haba.


“Mage kuna jambo lolote lime kwenda vibaya siku ya leo?”
“Hapana mpenzi wangu”
“Ila kuna nini, mbona upo mnyonge kiasi hicho?”
“Evans”
“Naam”
“Una nipenda?”
“Ndio nina kupenda mpenzi wangu ndio maana nilikuwa tayari kuyatoa maisha yangu ili kukuokoa wewe uwe salama”
Kauli hiyo ya Evans ika uchoma sana moyo wa Magreth.
“Nina jambo lina niumiza sana moyoni mwangu natamani kukueleza ukweli, ila nina jikuta nina shindwa”
“Kuwa huru Magreth mimi nipo tayari kusikia ukweli na siku zote nina mpenda mtu mkweli na muwazi kwenye maisha yangu”
Magreth akajikuta akianza kulengwa lengwa na machozi kwani endapo ata mueleza Evans kwamba mali zote hizi na kila kitu walicho kivaa kimetokana na yeye kutoa penzi kwa nabii Sanga hakika itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Evans ambaye alimdanganya kwamba mali hizo zime tokana na urithi wa pesa za marehemu baba yake.


ITAENDELEA


Haya sasa Magreth ana tamani kumueleza ukweli Evans, je Evans akifahamu ukweli ita kuwaje, ata kubaliana na hali hiyo au ataachana na Magreth? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 36.
 
SIN 36

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Ndio nina kupenda mpenzi wangu ndio maana nilikuwa tayari kuyatoa maisha yangu ili kukuokoa wewe uwe salama”
Kauli hiyo ya Evans ika uchoma sana moyo wa Magreth.
“Nina jambo lina niumiza sana moyoni mwangu natamani kukueleza ukweli, ila nina jikuta nina shindwa”
“Kuwa huru Magreth mimi nipo tayari kusikia ukweli na siku zote nina mpenda mtu mkweli na muwazi kwenye maisha yangu”
Magreth akajikuta akianza kulengwa lengwa na machozi kwani endapo ata mueleza Evans kwamba mali zote hizi na kila kitu walicho kivaa kimetokana na yeye kutoa penzi kwa nabii Sanga hakika itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Evans ambaye alimdanganya kwamba mali hizo zime tokana na urithi wa pesa za marehemu baba yake.

ENDELEA

Magreth taratibu akashusha miguu yake mezani na kumgeukia Evans aliye jawa na hamu ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho Magreth ana hitaji kumueleza.

“Yale yote niliyo kueleza juu ya hizi mali na pesa ninazo zimiliki ni uongo”

Magreth alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Evans usoni mwake.
“Ni uongo kivipi?”
“Sikurithi mali kutoka kwa baba yangu. Kwani baba yangu alikufa masikini mimi nikiwa na umri wa miaka nane”

“S…a….a….aaa hizi pesa zote ume tolea wapi?”
Evans alishikwa na kigugumizi huku mapigo ya moyo yakianza kumdunda taratibu. Macho yakamtoka huku akimtazama Magreth anaye mwagikwa na machozi.

“Niliuza kitu muhimu sana kwenye maisha yangu”
“Kitu gani Magreth”
Evans alizungumza hukua akijifuta jasho linalo mwagika kwa kitambaa.

“Evans niliyafanya yote haya ili kufika hapa nilipo”
“Sawa Magreth uliuza nini, tafadhali niambie”
“Niliuza usichana wangu kwa mwanaume ambaye sikuweza kumpanda. Mwanaume huyo ndio aliye nipatia pesa hizi zote na bado ana nipenda na kwa sasa yupo nje ya nchi ila ata rudi siku si nyingi. Ni mtu aliye ahidi endapo kwamba nita kuwa na mahusiano na mwanaume mwengine basi ata muua mwanaume huyo. Ile simu iliyo pigwa muda ule na nikaenda kuipokea pembeni ni yeye na ameniambia kwamba wiki ijayo ana rudi. Evans nina ogopa sana haya maisha, nina ogopa kukuingiza kwenye matatizo makubwa kwa maana mwanaume huyo nina mfahamu na hashindwi kukufanyia jambo baya. Naogopa Evans”
Magreth alizungumza hukua akilia kwa uchungu mkubwa sana. Evans mwili mzima ukazidi kumtetemeka. Woga ulio changanyikana na hasira ukazidi kuuvaa moyo wake.

“Kwa kuyatoa maisha yangu kwa ajili yako. Haya ndio malipo yake si ndio Magreth?”
Evans alizungumza huku akiendelea kutetemeka kwa woga.

“Hapana Evans sikuhitaji haya mambo yawe hivi. Mimi nina kupenda wewe”
“Acha unafki Magreth.”
Evans alizungumza kwa ukali sana huku akinyanyuka kwenye sofa hilo.

“Wewe una nileta humu ili niuwawe si ndio?”
“Evans naomba uni elewe, mwanaume huyo sikujua kama ana weza kufanya haya aliyo ya fanya. Namuogopa Evans, amenitoa mavumbini na amenifanya niheshimike na kujulikana”
“Niachie unafki, kukutoa mavumbini kwako kwa hiyo una taka na mimi anirudishe mavumbini nikiwa mfu si ndio? Nashukuru kwa juhudi zako zote ulizo weza kunionyesha nilipo kuwa nimelela pale hospitalini. Sikuja na kiti kwenye hii nyumba ya mumeo. Acha nikatafute maisha yangu, nina mama yangu ana nitegemea kijijini nahisi ata shangaa na kuumia kuona mwanaye nitakufa eti kisa nimekutwa na mke wa mtu”
Evans alizungumza kwa hasira sana na kumfanya Magreth kujawa na hofu kubwa sana. Kwenye kipindi chote hicho hakuwahi kumuona Evans akiwa katika hali ya hasira kama hivyo.
“Eva…..”
“Kaa kimya mwanamke, ni heri ungenieleza ukweli toka nilipo kuwa hospitalini ninge jua ni jinsi gani nina pambana na hali yangu. Kuliko umesubiri nikuuingize moyoni mwangu alafu unakuja kunieleza ukweli. Hahaa…..hapa sio kwangu sijanunua hata hili kapeti nililo kaganya hapa, je nitaendelea kujiita mume wa mtu au mariooo? Siwezi kuishi maisha ya namna hiyo. Kwaheri, funguo za gari lako hizi hapa, simu uliyo ni nunulia hii hapa, pia ukihitaji nguo hizi ulizo ninunulia na viatu nita vua pia”
Evans aliendelea kuzungumza kwa hasira huku akimrushia Magreth funguo ya gari pamoja na simu. Magreth kwa haraka akasimama na kumfwata Evans anaye elekea mlangoni.

“Evans mimi nina kupenda wewe. Wewe ndio mume wangu, mwanaume wa maisha yangu”
“FUNGAAAAAAAAAA BAKULIIII LAKOOOO MAGEEEEEEEE. Usitake nikuueee kama nilivyo muua mzeee SHIKAAAAA………………..!!!”
Evans alizungumza huku macho yakiwa yamejaa uwekundu hadi Magreth akasitisha hatua za kumfwata. Maneno ya kumuua mzee Shika yakaanza kumrudia rudia Magreth kichwani mwake na kuzidi kumuogopesha.

“Kama niliweza kumuua baba yangu. Nawewe ninaweza kukuua hivyo achana na mimi kenge wewe.”
Evans mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akafungua mlango na kuubamiza kwa nguvu. Akatoka nje na kufungua geti dogo, akalibamiza na kutokomea gizani. Magreth akahisi nguvu zikimuishia miguuni mwake na taratibu akajikuta akikaa chini huku akilia kwa uchungu sana. Magreth akajikaza na kutoka nje ya geti la nyumba yake, akajaribu kuangaza kila sehemu kama ana weza kumuona Evans ila hakubahatika kumuona kabisa na kutokana ni usiku hakuweza kwenda mbali na nyumbani kwake, hii ni kutokana na woga. Akarudi sebleni huku akiwa na matumaini kwamba hasira za Evans zikiisha ata rudi.
***

Kundi kubwa la vijana nane wenye mapanga na marungu, wakavamia katika duka kubwa la jumla la mzee Hindu. Wakafanikiwa kumuweka mlinzi chini ya ulinzi mkali huku wakimfunga kamba na kupatia kipigo kizito almanusura waichomoe roho yake. Wakiwa katika harakati za kuvunja geti kubwa la duka hilo, gari mbili za polisi zilizopo kwenye doria, zikatiza eneo hilo na kusababisha vijana hao kuanza kutawanyika huku kila mmoja akipita njia yake. Polisi wenye silaha pamona na mbwa wakali wakaruka kwenye magari hayo hata kabla hayajasimama na wakaanza kuwafukuzia vijana hao ambao mpango wao ume vurugika. Evans akiwa na hasira zake akaona watu wawili wakija nyuma yake huku wakiwa spidi sana. Kutokana ni usiku na eneo alilipo lina tisha kidogo, akaona usalama wake ni kuanza kutimua mbio.

Vijana hao waka mpita kwa maana wana mazoezi mazuri tu ya kukimbia mithili ya mwana riadha maarufu duniani Hussein Bolt. Polisi ambao nao wapo kwenye spidi, wakaanza kukaribia Evans ambaye naye ana anakimbia kuelekea wanapo kwenda vijana hao. Askari mrefu na anaye kimbia kuwapita wezake, akafanikiwa kumfikia Evas na njia pekee ambayo aliona ita msaidia kumzuia Evans ni kumtandika teke kwa nyuma na teke hilo likafanikiwa kuifikia miguu ya Evans na uifanya igongane na kuanguka vibaya sana.

“Mfungeni pingu huyo”
Askari huyo aliwaambia wezake watatu walipo nyuma yake huku yeye akizidi kukimbizana na vijana hao wawili. Askari wawili, wakamvamia Evans anaye jitahidi kua kunyanyuka chini hapo, wakamlaza kifudi fudi na kuirudisha mikono yake kwa nyuma na kumfunga pingu.

“Jamani mimi kosa langu ni nini?”
Evans alilalama, ila askajibiwa kwa kutandikwa teke la mbavu na kumfanya agugumie kwa kutoa maumivu makali sana. Wakamnyanyua, huku wakimzaba ngumi na makofi mfululizo. Wakafika eneo walipo simamisha defender zoa mbili na kukuta vijana wengine sita wakiwa wame kamatwa tayari na wapo chini ya ulinzi mkali sana.

“Panda panda”
Evans akasukumiwa kwenye gari hilo na kuchanganywa na waizi hao.

“Jamani mimi sijui ni nini kinacho endelea. Muna nionea tu”
Evans alilalama hukua kilia kwa uchungu sana. Hapakuwa na askari aliye weza kumsikiliza wala kujali kilio chake. Askari huyo mrefu na mwenye nguvu akarudi eneo hilo huku akiwa amewaswega vijana hao wawili suruali zao maeneo ya makalioni. Akawasukumia kwa wezake ambao wakaanza kuwashambulia kwa mateka na makofi huku wakiwapandisha kwenye gari hizo.

“Wajinga sana hawa watoto. Badala ya kufanya kazi kwa juhudi wame kuwa mijizi”
Askari huyo alizunguma huku akihema kwani shuhuli aliyo ifanya si ndogo kwa kweli. Askari kadhaa wakabaki katika eneo hilo la tukio huku wengine wakiondoka na kundi hilo la vijana hadi central Polisi. Wakawashusha huku wakiwatandika virungu, huku Evans naye akijikuta akipata dhahama hiyo.

“Panga mstari mmoja”
Askari huyo mrefu alizungumza na hapakuwa na kijana hata mmoja aliye goma kufwata amri hiyo kwani kipigo walicho kipata si kidogo.

“Chuchumaa weweeee. Munataka kuingia kwa kutembea hapa ni kanisani kwani?”
Vijana wote wakachuchumaa. Wakaanza kurukishwa kichura chura huku wakiingizwa katika kituo hicho kikubwa cha polisi. Wakingizwa katika sero ya kwao peke yao wakisubiri utaratibu mwengine.

“Afande mimi sihusikia”
Evans aliendelea kuwaomba askari hao.
“Alafu wewe kaa kimya, si ulikuwa una kimbizana na hawa wezako. Tena ukiendelea kupiga piga kelele tuta kuvunja”
Askari huyo alizungumza kwa ukali na kumfanya Evans kukaa kwa kuogopa kuvunjwa.
“Sasa ole wenu nisikie kelele, tutapiga risasi mmoja baada ya mwengine”
Vitisho hivyo vya askari vikawafanya vijana hao kukaa kimya huku malengo yao na ndoto zao walizo kuwa wana zipanga kuhusiana na kupata mali zilizomo dukani humo, zikiishia katika chumba hicho chenye giza tototo.

***

Hadi kuna pambazuka, Magreth hakuweza kupaona uwezo wa Evans. Wasiwasi na woga ukazidi kumjaa kwani kuondoka kwa Evans haukuwa kwa amani.

‘Jamani upo wapi Evans wangu’

Magreth alilala na ana shindwa kumpigia simu kwa maana simu ya Evans ipo sebleni hapo. Magreth akajifikiria kwa muda kisha akaingia chumbani kwake. Akaoga na kubadilisha nguo zake, akafunga nyumba yake na kuingia kwenye gari lake ambalo kwa sasa ana weza kuliendesha vizuri. Akaaanza safari ya kuelekea ofisini kwake huku akijipa matumaini ya kumkuta Evans ofisini kwake. Foleni kubwa ya barabarani ika mfanya Magreth kutumia zaidi ya masaa mawili kufika ofisini kwake. Akafika ofisini na kuwakuta vijana wake wakifanya usafi wa mgahawa huo mkubwa. Akasalimiana na wafanyakazi wake hao.

“Evans mume muona asubuhi hii?”
“Hapana bosi”
“Hajafika?”
“Ndio, mimi ndio wa kwanza kufika hapa ila sija muona”
“Ohoo Mungu wangu ata kuwa wapi huyu mwanume?”
Magreth aliwaza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Kwani bosi jana si uliondoka naye?”
“Ndio niliondoka naye ila tulipishana kauli usiku na aliondoka kwa hasira. Sasa ijajua ni wapi ame kwenda.”
“Jaribu kumpigia simu yake?”
“Sim aliacha nyumbani ndio maana nina pata wakati mgumu sana kumtafuta”
“Ila kama aliondoka kwa hasira basi zikiisha ata rudi. Si ana marafiki wengi hapa Dar?”
“Ndio anao ila hajawahi kunitambulisha?”
“Usijali bosi ata rudi”
Magreth alipewa matumaini na mfanyakazi wake huyo wa kike aitwaye Anjelina. Wakaanza kazi ya kuandaa vifungua vinywa kama kawaida kwani mgahawa huo una fanya kazi kuanzia asubuhi hadi usiku. Wateja wakaanza kumiminika hadi wakajikuta wengine wakikosa nafasi za kukaa. Wingi wa wateja uka mfanya Magreth kuwa bize sana na hata wazo la kumfikiria Evans akaliweka kando.

Mapishi ya Magreth yakazidi kuwapagawisha wateja wengi ambao kila mmoja alijikuta akimwaga sifa kedekede kwa Magreth.

“Mimi nina kula chakula kwenye migahawa mingi hapa Kinondoni na Dar kwa ujumla ila chakula chako kipo very amaizing”
Mwana dada huyo ambaye ni mteja alimsifia Magreth hukua akihesabu noti za shilingi elfu kumi kumi sita na kumkabidhi Magreth, kwani chakula na vinywaji walivyo kula na wezake vime fika kiasi hicho cha pesa.

“Nashukuru sana”
“Yaani nina kuambia uta kuwa top in dar. Mungu akikubariki huko mbeleni, fungua hata hoteli au ongeza ukubwa wa eneo hili”
“Nitalifanyia kazi wazo lako”
“Hivi muna pika vyakula kwenye maharusi?”
“Mmmm kutokana ndio kwanza tuna anza bado hatujaanza kupika, ila tukipata oda ya uhakika basi tuta pika”
“Sasa chukua namba yangu nawe nipe yako. Mwezi ujao, mdogo wangu wa mwisho ana funga ndoa. Nitapenda chakula tutakacho kula ukumbini kifikie hapa”
“Karibuni sana”
“Nashukuru, tena tuta kulipa vizuri sana. Yaani ume nikamata Mage”
“Nashukuru sana, una itwa dada nani?”
“Vivian”
“Sawa nita kusave kwa jina hilo”
“Sawa, leo usiku nitakuja na familia yangu yote hapa, tuje kupata chakula cha usiku na baada ya hapo nita washawishi juu ya kukupa tenda ya kutupikia kwenye harudi ya dogo”
“Karibuni sana na nina imani kwamba hamto jutia kwa nini mulinipa nafasi”
“Sawa acha nirudi ofisini kwangu”
“Karibu sana”
Magreth akazidi kujawa na furaha na usongo wa kufanya vizuri kwenye mapishi yake. Kwajinsi watu wanavyo zidi kuingia na kutoka kwenye mgahawa wa Magreth ukaanza kuwafanya wamiliki wengine wa migahawa na mahoteli ya karibu naye kuingiwa na kinyongo cha chuki, kwani wateja wao walio kuwa wana wategemea wote wame hamia kwa Magreth.

***

Habari ya kuvunjwa na kuibwa kiwango kikubwa cha pesa katika benki ya Standar Chartered iliyopo Sandton South Afrika ikaanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ndani ya nchi hiyo na nje ya nchi hiyo.Vituo vikubwa vya habari duniani kama CNN, BBC na Al Jazirah zikaitangaza habari hiyo huku wakidai majambazi walio fanya kazi hiyo ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa akili na wameweza kuisoma ramani ya benki hiyo kwa kipindi kirefu sana. Wapelelezi kutoka katika vitengo mbalimbali katika nchi ya Afrika kusini, wakaanza kushirikiana kwa pmoja ili kuhakikisha kwamba wana pata japo hata alama za vidole vya waizi hao ili mradi waweze kumtambua japo mmoja wao amabaye ana weza kusababisha wengine kuweza kupatikana.

Kazi ya upelelezi wao haikuweza kuzaa matunda ya aina yoyote kwani hakuna hata alama ya kidole iliyo weza kuachwa.

‘Bado tuna endelea na upelelezi na tuna wahakikishia watu kwamba ni lazima tuta watia nguvuni majambazi hao’

Ngosha akazima tv kubwa iliyopo sebleni hapo huku akiangua kicheko cha dharau hadi Tomas akabaki akiwa ana mshangaa.

“Mbona una cheka”
“Namcheka huyu kamishina wa polisi.”
“Kwa nini una mcheka?”
“Hii si mara yake ya kwanza kuzungumza jambo hilo. Unajua katika kipindi chote ambacho vijana wangu wana kuwa wana fanya matukio ya wizi wa mabeki, huwa hakuna mpelelezi hata mmoja anaye weza kupata ushahidi wa aina yoyote na huwa wana ishia kusema kwamba watatutia nguvuni ila hakuna kitu”
“Ni kwa nini wanashindwa kupata ushahidi wowote?”
“Ndio maana kuna ile kambi ya siri kule. Nina imani Scooby doo alikufundisha vizuri. Umakini na kiwango ambacho tuna kitazama kwa wana timu yanagu ni umakini. Tazama mume kwenda, mume iba na hakuna uzembe ulio fanyika. Huo ndio umakini ninao uzungumzia”
“Sawa sawa hapo nime kuelewa”
“Ehee lini una kwenda kumuona mwanao. Sasa hivi una una takiwa kutengeneza mazingira kwa mwanao”
“Ni kweli kaka inabidi leo niende kwa yule mwanamke”
“Una uhakika kwamba yule jamaa yake huto weza kumkuta?”

“Sijajua, ila kutokana simpendi sina haja ya kuwa na wivu naye. Ile sherehe uliyo zungumza ita fanyika saa ngapi?”
“Leo hii, boti tayari ipo tayari na ndani ya boti tuta kuwa na wanawake mia moja walivalia bikini tu na sidiria”
“Weeee!!”
Tomas alishangaa huku akihisi udenda una mtoka.
“Ndio hiyo kaka hiyo ina itwa SEX PARTY, yaani wewe una jikamatia umtakaye, una kula mzigo, una chukua mwengine una kula mzigo. Yaani kwa wewe ambaye una ugwadu wa kukaa porini nina imani wata kukoma”
“Yaani kaka nina tamani hiyo sherehe ianze hata sasa hivi”
“Je kwenda kuiona familia yako?”
“Siku nyingine tuta kwenda ila nataka kwenda kushuhudia kwa macho yangu hiyo Patry na nitakacho wafanya hao wasichana hakika wata simuliana”
Tomas alizungumza kwa msisitizo huku shetani wa ngono akiwa tayari amesha mtawala ufahamu wake wa akili na mwili mzima.

ITAENDELEA

Haya sasa Tomas ana ingia kwenye ulimwengu wa starehe. Evans amekamatwa na polisi akidhaniwa ni muhalifu je atafanikiwa kutoka? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 37.
 
Back
Top Bottom