Riwaya: SIN

SIN 37

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Weeee!!”
Tomas alishangaa huku akihisi udenda una mtoka.
“Ndio hiyo kaka hiyo ina itwa SEX PARTY, yaani wewe una jikamatia umtakaye, una kula mzigo, una chukua mwengine una kula mzigo. Yaani kwa wewe ambaye una ugwadu wa kukaa porini nina imani wata kukoma”
“Yaani kaka nina tamani hiyo sherehe ianze hata sasa hivi”
“Je kwenda kuiona familia yako?”
“Siku nyingine tuta kwenda ila nataka kwenda kushuhudia kwa macho yangu hiyo Patry na nitakacho wafanya hao wasichana hakika wata simuliana”
Tomas alizungumza kwa msisitizo huku shetani wa ngono akiwa tayari amesha mtawala ufahamu wake wa akili na mwili mzima.

ENDELEA

“Sawa upendavyo broo, wewe nenda kajiandaa tukale mavituzi ya watoto wazuri wazuri”
Ngosha alizungumza huku akiwa amejawa na furaha, Tomas akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake huku furaha ikizi kumtawala. Akaangalia kiacha hicho cha pesa kilochopo ndani ya begi lake kubwa.

‘Lazima kiasi wewe uongezeke’

Tomas alijisemea kimoyo moyo. Akamaliza kujiandaa kisha akachukua kiasi cha pesa na kuweka kwenye koti lake alilo livaa, akazifungia pesa hizo ndani ya kabati kubwa na kutoka huku akiwa ameishika funguo ya kabati hilo. Wakaondoka nyumbani hapo, wakafika katika fukwe za bahari huku karibia vijana wote wakiwa wamefika. Wakaingia katika boti hiyo kubwa.

“Kuna yoyote aliye bakia?”
“Hapana mkuu”
“Twende zetuni”
Wakaianza safari hiyo huku mziki mkubwa ukipigwa katika boti hiyo na wasichana ambao hawana nguo kabisa wakicheza pasipo kujali utu wao. Tomas, akatazama ni msichana gani ambaye ana weza kumfaa. Akawaona wasicha wawili walio jazia makalio yao, akawafwata na kuwashika mikono.

“Tuna weza tuka jumuika pamoja?”
“Hakuna tatizo sisi ni wako tu”
Msichan mmoja alizungumza huku akizing’ata ng’ata lipsi zake. Wakaingia ndani ya moja wapo ya chumba cha boti hiyo. Wasichana hao wakamsukumia Tomas katika sofa kubwa lililomo ndani ya chumba hicho kisha wakaanza kupapasana wenyewe kwa wenyewe na kumfanya Tomas kuzidi kujawa na uchu. Wasichana hawa, wakaanza kunyonyana ndimi zao huku wakiendelea kupapasana maeneo ya maziwa. Walipo hakikisha wame mpagawisha Tomas kwa vitendo hivyo taratibu wakamsogelea na kuanza kumlamba lamba masikioni mwake.

‘Ohooo aiisss…..iiii’
Tomas alilalama huku akiwa ameyafumba macho yake. Msichana moja akafungua zipu ya suruali ya Tomas na kumtoa jogoo wake kisha na taratibu wakaanza kumnyonya kwa zamu zamu na kuzidi kumpagawisha Tomas.
***

Magreth akaandaa meza kubwa kwa ajili ya oda aliyo pewa na mwana dada aliye kipenda chakula chake. Kwa kusaidiana na wafanyakazi wake wakaandaa chakula hicho na kuwakaribisha familia hiyo ya kitajiri. Wakawaandalia chakula hicho na kuwakaribisha kwa ukarimu sana. Baba Vivian alipo onja tu chakula hicho, akajikuta akitingisha kichwa ikiwa ni ishara ya kunogewa.
“Wewe ndio ume pika hiki chakula?”
Baba Vivian alimuuliza Magreth aliye simama pembeni yao.

“Ndio mkuu”
“Kwa kuanza tu chakula kina onekana ni kizuri. Ngoja niendele kisha nita kupa maksi zako mwisho”
“Karibuni sana”
Magreth akaondoka katike eneo hilo na kuingia ndani huku akimuwaza Evans wake ambaye hadi sasa hivi haja muona kabisa.

“Bosi”

“Niambie Diana”
“Mbona una onekana haupo sawa”
“Bado nina mfikiria Evans, sijui atakuwa wapi mume wangu”
“Usijali ata rudi tu nyumbani usiwa na mashaka”
“lla usiku alio ondoka ni mbaya sana”
“Usijali, Mungu ata mlinda”
“Hivi ume mfahamu yule mzee pale”
“Nani wale tulio waalika?”
“Ndio?”
“Hapana?”
“Huyu ndio yule mzee anaye miliki makampuni ya utengenezaji wa mafuta ya kula, unga wa ngano hata huu unga tunao utumia ni wa kampuni yake”
“Weeee!! Mimi simfahamu”
“Ndio yeye ana itwa mzee Morris. Ana pesa balaa”
Diana alizungumza huku wakiwatazama mzee Morris na familia yake.

“Duu ndio maana mzee alipo anza kula tu alitingisha kichwa akionakana kunogewa na kile anacho kula”
“Ndio hivyo. Yaani nakuambia boss mwaka huu usipo kuwa tajiri basi hauto kuwa tajiri kabisa’”
“Ehee Mungu atujalie”
Ndugu wote wa Vivia wakakisifia chakula hicho kilocho pikwa na Magreth.

“Vivian ukiachana na tenda ya kumpa katika harudi ya mdogo wako. Una onaje tukamtumia katika matangazo ya ngano yetu mpya inayo kuja?”
Mzee Morris alimuuliza Vivian ambaye ndio mkurugenzi mkuu wa kampuni zote za baba yake huku mzee Raisi akiwa ndio raisi wa kampuni hizo.
“Kama vile ulikuwa kichwani mwangu baba. Ngoja kwanza tumpe hii tenda ya harusi kisha tuta angalia swala la kumpatia mkataba wa matangazo”
“Hapo sawa, wewe si upo karibu naye?”
“Ndio”
“Basi anza kumshawishi, kwa maana makampuni mengine wakigundua kipaji chake cha upishi basi kwa asilimia kubwa tuna weza tuka jikuta tuna mpoteza au una semaje mke wangu?”
“Ni kweli baba Vivian. Sijawahi kupna mtu mwenye kipaji cha upishi namba hii”
“Ngoja nika muite”
Vivian akanyanyuka na kumfwata Magreth sehemu alipo, wakarudi kwenye meza hiyo na yeye aka pewa kiti ili waweze kuzungumza naye.

“Chakula chako kusema kweli nisiwe mnafki, ni chakula kitamu sana”
“Nashukuru sana mzee”
“Una umri gani?”
“Miaka isihirini na tano”
“Waooo bado mdogo sana na una uwezo mkubwa namna hiyo. Sasa swala la kupata tenda ya upishi katika harusi ya kijana wangu ume ipata. Pia kuna jambo jengine nilimuagiza Vivian akuambie, ila acha nikuambia mimi mwenyewe.”
Magreth akakaa vizuri hukua akimtazama mzee Morris.

“Mimi ni mmiliki wa makampuni ya MORRIS GROP’S OF CAMPANY. Namiliki makampuni zaidi ya kumi na tano yanayo jihusisha na mambo mbalimbali. Ila kampuni yangu iliyo kubwa zaidi ni kampuni inayo husiana na maswala ya utengenezaji unga wa ngano na ugali”
“Nime fikiria kukupa mkataba wa matangazo katika kampuni yangu hiyo. Kila aina ya ngano itakayo kuwa ina toka basi wewe uwe ni mtangazaji wa bidhaa hiyo. Hapo una semaje?”
Magreth akashindwa hata kuitikia zaidi ya kubaki mdomo wazi, macho ya wanafamilia wote watano kumi na tano wana subiria jibu la Magreth.
“A…a..a..aa ni..nime nimekubali”
“Safi sana. Nita chukua namba zako kwa Vivian hapa kisha tuta wasiliana kesho asubuhi na nitakupa maelekezo ya wapi uweze kufika”
“Sawa asante sana baba”
“Mmmmm Mage huyu ndio baba yangu, huyu mama yangu. Hao wawili ni mapacha ndio wadogo zangu wa kike wanao nifwata. Yule kule ni dogo na ndio bwana harusi mtarajiwa. Naye niliona sio vyema nika muacha kwenye dinner hii. Wale kule ni wajomba zangu na wake zoa, kiufupi hii ni robo ya familia, wengine walishindwa kufika hapa kutokana na sababu mbalimbali”
“Nafurahi sana kuwaona jamani na karibuni sana kwenye mgahawa wangu”
“Tunashukuru nawe”
“Malipo tuta malizana mimi na wewe Mage sawa”
“Sawa”
Baada ya mazungumzo hayo, Magreth na Viviana wakaelekea eneo la ndani mgahawa huo. Vivian akatoa milioni mbili na kumkabidhi Magreth.”
“Mbona ni nyingi sana ikiwa chakula mulicho kula hakiifiki hata laki tano?”
“Hii nyingine ni bonus, ila kumbuka wewe una tufaa sana, endapo kuta tokea watu wengine waka kushawishi sijui ukafanye nini kwenye makampuni yao. Tafadhali nina kuomba tuliza kwanza akili na fikiria lile alilo lizungumza baba yangu”
“Nashukuru sana dada Vivian”
“Usijali wewe kuwa na amani.”
“Asante sana.”
Viviana na familia yake wakaondoka na kumuacha Magreth akiwa katika furaha kubwa sana kwani malengo yake ya kibiashara yana zidi kupamba moto. Kutoka kuwa muuza maandazi wa kutembeza mtaani hadi kumiliki mgahawa mkubwa sana ambao ume kuwa ni gunzo katika jiji la Dar es Salaam.

Magreth akawapo bonas wafanyakazi wake ya laki moja na nusu kila mmoja, kisha wakashirikiana kwa pamoja kufunga mgawa kwani tayari muda umesha kimbia sana.

“Jamani kesho nina weza nika chelewa kufika ofisini. Ila kabla ya kwenda huko nitakapo kwenda nita ipitisha funguo hapa sawa”
“Sawa boss”
“Niwatakie usiku mwema na kuweni makini”

“Nawe pia”
Magreth akaingia katika gari lake na kurudi nyumbani kwake huku akiwa na mfuko wa nailoni ulio jaa pesa. Akajitupa sebleni na kuzimwaga pesa zote juu ya meza, akaanza kuzitengenisha noti za elfu kumi, elfu tano, elfu mbili na elfu moja moja. Akaanza kuzihesabu moja baada ya nyingine. Akapata kiasi cha milioni kumi na moja na laki sita, stini na tano elfu.

“Ohoo asante Mungu, wewe ndio una jua ni wapi nilipo toka”
Magreth alijikuta akirufahia huku akizirudisha pesa hizo kwenye mfuko na kuingia chumbani kwake. Akavua nguo zake na kuingia bafuni, akiwa bafuni akaanza kusikia simu yake ikiita na kwa haraka akatoka. Akakuta namba ngeni, kwa furaha akaipokea huku akiamini kwamba atakaye kuwa ana mpigia ata kuwa mpenzi wake Evans.
***

Siku nzima hapakuwa nahata mmoja wao aliye patiwa dhamana wala kuletewa chakula na ndugu ama jamaa. Hadi giza lina tawala hali zao katika upande wa njaa, ila karibi siku nzima Evans amekuwa ni mtu wa kulia na kumuomba kula askari anaye pita hapo aweze kumsikiliza ombi lake.

“Alafu mwanangu una jua kwamba una zingua?”
Kijana aliye kaa karibu na Evans alizungumza huku akimtazama usoni mwake. Evans akamtazama kijana huyo kw amacho yaliyo jaa hasira.

“Ndio una zingua mjinga wewe. Una lia lia nini?”
“Oya usinivuruge na wewe”
“Sio nisikuvuruge. Wewe mtoto wa kiume jikaze. Usilete umama mama humu”
Maneno ya kijana huyo yakazidi kumkera Evans aliye jawa na hasira kali sana. Evans akamtandika kijana huyo ngumi ya mbavu pasipo kujua kwamba kundi lot la vijana hao ni timu moja. Vijana hao kwa pamoja wakanza kumshuambulia Evans kwa kumpiga kwani ame anzisha mashambulizi kwa vijana hao. Kelele za vijana hao zikawafanya askari kufika eneo hilo. Wakafungua geti la mahabusu hilo na kumtoa Evans ambaye ndani ya muda mfupi ame chakazwa vibaya kwani vijana hao ni wahuni.

Askari hawakuweza kuwaacha salama vijana hao walio mpiga Evans. Wakaanza kuwatembezea kipigo kikali kwa kutumia virungu.

“Kuna nini kinacho endelea?”

RPC Karata aliuliza mara baada ya kufika eneo hilo.
“Mkuu hawa vijana wame mshambulia huyu mwenzo hembu angalia walivyo muumiza”
“Hawa ndio wale walio kuwa wakivunja duka Kigamboni?”
“Ndio”
“Kesho wote wapelekwe mahakamani. Hakuna haja ya kuendelea kuwa nao katika eneo hili. Sawa”
“Sawa mkuu”
“Jamani mimi sio miongoni mwao. Mimi nilikuwa ni mpita njia tu. Nilipo waona hawa vijana wana kimbia wakiwa wana kuja nyuma yangu nikahisi wana taka kunidhuru na mimi niliamua kukimbia ndio polisi nao aka nikamata”
Evans alizungumza kwa haraka haraka. Akari mmoja akataka kumpiga ila RPC Karata aka mzuia.

“Hembu mkalisheni hapo”
Askari huyo akamnyanyua Evans na kumkalisha.

“Wewe ndio yule ambaye una fanya kazi katika ule mgahawa mpya wa Magreth?”
“Ndio. Ni mimi afande”
Evans alizungumza kwa matumaini makubwa sana.

“Huyu kijana nina mfahamu. Nina wasiliana na Magreth endapo ata kutambua, basi utaratibu wa dhamana uweze kufanyika. Unaitwa nani?”
“Evans”
RPC Karata akatoa simu yake mfukoni na kuitafuta namba ya Magreth na kumpigia. Simu ya Magreth ikaanza kuita na baada ya muda kidogo ika pokelewa.

“Habari za muda huu Magreth”
“Salama tu wewe ni nani?”
“Mimi nina mkuu wa polisi nina itwa RPC Karata nina imani kwamba una nifahamu”
“Ndio baba shikamoo”
“Marahaba. Sasa ni hivi, kuna kijana wako mmoja tuna mshikilia hapa kituoni kwetu sijui kama una mfahamu”
“Kijana wangu!! Nani huyo?”
“EVANS usiku wa jana alikamatwa na kundi la waizi walio kuwa wana vunja moja ya duka huko Kigamboni je una taarifa naye?”
“A…me…me ka…kaa….matwa na wai….zi”
Magreth alizungumza huku wakiwa wamejawa na kigugumizi kizito sana kwani hakuwahi kufikiria kama ipo siku Evans wake ata kuwa mwinzi tena wa duka.
ITAENDELEA

Haya sasa Evans Magreth amepata taarifa iliyo mtatiza je akifanikiwa kumtoa Evans mikoni mwa askari ita kuwaje.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 38.
 
SIN 38

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Mimi nina mkuu wa polisi nina itwa RPC Karata nina imani kwamba una nifahamu”
“Ndio baba shikamoo”
“Marahaba. Sasa ni hivi, kuna kijana wako mmoja tuna mshikilia hapa kituoni kwetu sijui kama una mfahamu”
“Kijana wangu!! Nani huyo?”
“EVANS usiku wa jana alikamatwa na kundi la waizi walio kuwa wana vunja moja ya duka huko Kigamboni je una taarifa naye?”
“A…me…me ka…kaa….matwa na wai….zi”
Magreth alizungumza huku wakiwa wamejawa na kigugumizi kizito sana kwani hakuwahi kufikiria kama ipo siku Evans wake ata kuwa mwinzi tena wa duka.



ENDELEA


“Ndio kama una weza kufika hapa central njoo”
“Nakuja sasa hivi”
“Sawa”
RPC Karata akakata simu huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Bosi wako ana kuja. Mpelekeni katika chumba cha kupumzikia na mumpe huduma ya kwanza”
“Sawa mkuu”
Evans akapelekwa katika chumba cha mapumziko na kupewa huduma ya kwanza. Baada ya nusu saa Magreth akafika kituoni hapo, akamuulizia RPC na kuelekezwa ofisini kwake.

“Karibu sana Magreth”
“Nashukuru sana”
“Hongera sana sifa za mgahawa wako zina fika hadi hapa ofisini kwangu na kuna vijana wangu huwa wana kula hapo”
“Nashukuru sana baba yangu. Evans yupo wapi?”
“Yupo kwenye chumba cha mapumziko, huwa hatutoi zamana majira ya usiku kama haya. Ila kutokana nina kufahamu na pia nina muheshimu nabii Sanga, basi nina kusaidia kufanya hivyo”
“Nina shukuru sana baba yangu”
“Usijali vipi nabii Sanga amesha rudi?”
“Hapana ana rudi wiki ijayo”
“Ahaa sawa sawa. Ngoja nika mlete mtu wako”
RPC Karata akanyanyuka na kutoka ofisini hapo, baada ya dakika tano akarudi akiwa na Evans aliye fungwa bandeji mkononi mwake kwa maana vijana hao walimjeruhi mkono wake.
“Ohoo jamani mume wangu”
Magreth alijisahau kwamba RPC ana fahamu mahusiano yake na nabii Sanga na alisha wahi kuwakuta chumbani pamoja. Magreth akamkumbatia Evans kwa furaha.

“Nini kilikupata jamani?”
Magreth aliuliza huku akimtazama Evans kuanzia juu hadi chini.
“Ni matatizo mke wangu”
“Pole sana. Mzee wangu nina kushukuru sana kwa kile ulicho nisaidia”
“Usijali, ila sijui tuna weza kuzungumza?”
“Bila shaka”
“Kijana subiri hapo nje”
Evans akatoka ofisini humo na kuwaacha Magreth na nabii Sanga waweze kuzungumza.

“Kwa nini una msaliti nabii Sanga?”

Magreth akastuka sana, sasa akili yake ndio ikakumbuka kwamba RPC Karata ana fahamu mahusiano yake na nabii Sanga.

“Aha….aha…..”
“Una msaliti yule mzee. Najua una jua ni kipi kilimpata Tomas mara baada ya kutembea na mke wa nabii Sanga?”
“Mmmmmm”
Magreth alibu huku akiktingisha kichwa.

“Mzee yule amekutoa kwenye maisha ya chini hadi hapo ulipo fika. Nina mfahamu yule mzee katika swala zima la mahusiano. Tafadhali muweke mbali huyo kijana, sihitaji mikono yangu ije kuingia dhambini tena kwa kusaidia maovu ya mzee yule”
Maneno ya RPC yakamfanya Magreth kuanza kutetemeka mwili mzima.

“Ume nielewa Mage”
“Ndio nime kuelewa baba, nina kuomba usi muambie chochote mzee”
“Mimi sina tabia ya kuzungumza mambo ya watu. Ila nimekueleza kama binti mdogo kwa maana huyo kijana ata potezwa”
“Sawa nita fanya hivyo”
“Lifanyie kazi”
“Sawa acha sisi turudi nyumbani”
Magreth akaagana na RPC karata kisha akatoka ofisini hapo. Wakaondoka kituoni hapo na kupita katika moja ya hospitali. Evans akapatia matibabu kisha waka rudi nyumbani.

“Siku hizi ume kuwa mwizi?”
Magreth alimuuliza Evans mara tu ya kuingia ndani.
“Siwezi kuwa mwizi na wewe una litambua hilo. Wale vijana walikuwa wana nikimbizi hivyo nami niliona hakuna haja ya kusimama na kupambana nao na nikao na mimi ni heri nikimbie”
“Unanona jinsi mahasira yako yalivyo kusababishia matatizo ya kijinga”
“Nashukuru kwa kunitoa polisi, ila sina amani ya kuendelea kuishi hapa kwako”
“Huna amani kwa nini?”
“Wewe hujui kwa nini? Au una hitaji mumeo akija hapa ani ng’oe meno”
Magreth akashusha pumzi huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Natambua una nipenda Mage, silikatai hilo ila kuna mwanaume mwengine ambaye amesha tanguli. Isitoshe ana kuhudumia kwa kila jambo. Siwezi kuhatarisha maisha yangu na ikiwa una jua ukweli kwamba huyo mwanaume aliye naye ana uwezo wa kufanya jambo lolote baya”
Evans alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Kwenye maisha kuna kila aina ya watu. Kuna watu wapo kwa ajili ya kumnyanyua mwengine kimaisha, hilo ndio alilo lifanya huyo mume wako. Ame kunyanyua kimaisha na sinto penda kukuona siku una rudi kwenye yale maisha ya kutembeza maandazi mtaani.”
Maneno yaa Evans yakamfanya Magreth kuanza kutiririkwa na machozi usoni mwake.
“Nakupenda sana Magreth, tena sana na sikudanganyi. Wewe ndio mwanamke wangu wa kwanza kwenye maisha yangu, ila nipo tayari kukuacha uishi kwa amani na huyo mume wako.”
“No baby usisema hivyo”
“Ni jambo la ukweli. Siku zote mtu anaye mpenda mwengine, huwa ana mtakia mema. Hembu piga picha mume wako akijua kwamba mimi nina mahusiano na wewe itakuwaje?”

“Evans mimi ndio nina kupenda na nita mueleza ukweli juu ya kila kitu kuhusiana na hisia zangu kwako”
“Je akiniteka na kunipoteza duniani itakuwaje?”
“Nami nita kufa, nina kupenda sana Evans wangu”
Magreth alizungumza huku akimkumbatia Evans kwa hisia kali sana kwa maana upendo wake sasa umezidi hata thamani ya pesa aliyo pewa na nabii Sanga.
***
“Hei mama wale jamaa wamesha fika hapa Nigeria. Hivyo ina tupasa tujiandae twende”
Adela alizungumza huku akimpapasa mrs Sanga kwa nyuma.
“Weee”
“Ndio ulipo kuwa bafuni walinipigia simu. Sasa vaa twende”
Mrs Sanga taratibu akageuka na kumkumbatia Adela aliye jifunga tenge. Taratibu akaanza kumpapasa makalio yake taratibu.

“Mmmm tutachelewa bwana jiandae”
Adela alizungumza hukua kijitoa mikononi mwa mrs Sanga. Wakajiandaa na kuianza safari ya kuelekea katika hoteli moja ya kifahari iliyopo hapo jijini Lagos.

“Adela”
“Bee”
“Yaani siku mbili tulizo pewa na mume wangu zime isha haraka haraka jamani”
“Ndio hivyo mwaya, leo inabidi urudi hatuna jinsi. Ila kusema kwelli nime furahi”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu. Umenisugua kisawa sawa”
Adela alizungumza hukua akipunguza mwendo kasi wa gari lake kwani mbele yao kuna fuleni ya magari mengi.

“Hata wewe ume kata kiu yangu. Hapa nina jihisi mwepesi sana”
“Haya bwana”
Wakafika hotelini na kuingia katika chumba walicho elekezwa. Wakakutana na raia wawili kutoka nchini Marekani, mmoja ni mwanaume huku mwengine ni mwanamke. Adela aliweza kumfahamu mwanaume huyo kwa maana ndio anaye shuhulika naye kwenye biashara mbalimbali. Akamtambulisha mrs Sanga kwa watu hao huku watu hao wakijitambulisha wenyewe kwa mrs Sanga’

“Ninairwa Harrison, huyu ni mke wangu ana itwa Julieth”
“Waooo ana jina kama la mwanangu”
“Ahoo kumbe una mtoto wa kike?”
“Ndio”
“Ana umri gani?”
“Miaka ishirini na mbili”
“Wewe ni wa kuwa na mtoto mkubwa kama huyo. Mbona uso na mwili hauonyeshi kama una mtoto mkubwa kama hivyo?”
Julieth alishangaa sana kwani mrs Sanga bado ni mbichi sana kana kwamba hana mtoto yoyote.

“Wee mbona mwanangu wa kwanza ana umri wa miaka ishirini na tisa”
“Weee”
“Ndio nina vijana wawili wa kiume. Wapo Marekani na binti wa mwisho yupo Tanzania”
“Asiee hongera sana”
“Nashukuru”
Mrs Sanga na Julieth wakazoeana kwa mufa mfupi sana. Wakaanza kuzungumzia kuhusiana na biashara ya kuuza wasichana kutoka nchini Tanzania. Hadi wana fika tamati ya mazungumzo, mrs Sanga akaahidi kwamba mwezi una kuja ata kuwa amesha kamilisha idadi ya wasichana mia moja wenye mvuto mzuri sana. Mara baada ya kikao hicho cha siri kuisha, mrs Sanga na Adela wakaaga na kuondoka.

“Mbona yule demu alikuwa ana kuchekea chekea ana kujua?”
Adela alizungumza kwa hasira kidogo.
“Kama ndio nina kutana nao pale. Mimi nitakuwa nina juana nao vipi?”
“Sasa mbona ana kuchekea chekea, hajui kwamba wewe ni mke wa mtu na ni mume kwangu”
“Hahaaa ehee Mungu wangu. Una taka kuniambia kwamba una ona wivu mimi kuzungumza kwa kumchangakia Julieth”
“Ndio, sitaki utamu wako ugawe kwa watu wengine zaidi ya yetu sisi wawili”
“Wawili na nani?”
“Mimi na mume wako”
“Hahaa Adela usiwe hivyo mpenzi wangu”
“Haya bwana, nikimuona ana leta mambo ya ajabu hakika nita hakikisha biashara ina kufa”
“Mmm haya bwana”
Simu ya mrs Sanga ikaanza kuita, akaitoa kwenye pochi na kukuta ni mume wake ndio anaye piga.

“Nani mbona hupokei?”
“Ni mume wangu”
“Pokea sasa, mimi huyo siwezi kumuone wivu kwa maana najua nime mkuta”
Kauli ya Adela ikamfanya mrs Sanga kuipokea siu hiyo.

“Hei baby”
“Mume amkaje?”
“Salama tu vipi nyingi huko”
“Sisi tumeamka salama. Sasa ni hivi, rudi nyumbani by saa tano uwe hapa kwa maana saa kumi jioni tuna ondoka Nigeria”
“Tuna ondoka Nigeria leo?”
“Ndio mbonaunahamaki kuna nini?”
“Nimeuliza tu, mbona galfa sana?”
“Nimeamua tu, tukamalizie hii wiki Afrika kusini. Hivyo hakikisha kwamba una rudi”
“Sawa mume wangu”
Mrs Sanga akaitoa sikioni simu yake mara baada ya nabii Sanga kukata simu.

“Muna kwenda wapi?”
“Afrika Kusini?”
“Kufanyaje?”
“Kumalizia matembezi yetu. Sasa hivi ni saa nne na mimi siwezi kuondoka pasipo kukuacha wewe kwenya hali nzuri”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya mahaba huku kiganja cha mkono wake wa kikianza kupapasa paja la Adela.
“Mmmm nina endesha bwana”
“Mimi nina hamu na wewe jamani”
Mrs Sanga alizungumza huku akizidi kwenda mbali zaidi na kuingiza koganja chake hicho kwenye kitumbua cha Adela na kuanza kukisugua taratibu. Adela uvumilivu wa kufika hadi nyumbani kwake uka mshinda. Akasimamisha gari lake katika moja ya hoteli, wakakodi chumba na wakaanza kuburudishana huku kila mmoja akiwa na hamu ya kukata kiu kabisa ya mwenzake kwani hiyo ita kuwa ndio siku yao ya mwisho kabisa.
***


“Shemeji mbona gafla sana ume panga kuondoka?”
Mrs Okocha alimuuliza nabii Sanga aliye kaa sebleni hapo.

“Ahaa tumekaa sana jamani, wiki tatu sio haba na kule tume acha huduma kule, nime wamiss sana waumini wangu”
“Ila kaka nilisha kuzoea san…….”

Nabii Okocha hakuimalizia sentensi yake, simu yake ikaanza kuita, akaitaza kisha akaipokea.


“Ndio”
“Sasa hivi”
“Basi nina kuja”
Nabii Okocha akakata simu na kunyanyuka, akachukua fungua ya gari lake iliyopo mezani.
“Nina kwenda kumuona msaidizi wangu, ame pata ajali na yupo hospitalini. Mke wangu wewe baki hapa uandae mazingira ya safari ya shemeji yako. Kaka tuta wasiliana kama nitapata muda basi tuta kutana air port.

“Sawa ndugu yangu na pole kwa matatizo”
“Nashukuru”
Nabii Okocha akatoka nje huku akisindikizwa na mke wake. Akaingia kwenye gari lake na mke wake akafunga geti, mrs Okocha akarudi ndani huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Huwezi kuondoka pasipo haki yangu na mke wako ameniambia kwamba una mla mk** hivyo na wewe leo nataka unitoe bikra ya mk**”
Mrs Okocha alizungumza huku akiavua shati lake kubwa alilo livaa na kuanza kumsogelea nabii Sanga taratibu.

ITAENDELEA

Haya sasa mrs Okocha ana taka kutolewa bikra ikiwa nabii Sanga masharti ya utajiri wake na nguvu zake za kimiujiza hapaswi kufanya hivyo, nini atafanya.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 39.
 
SIN 39

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


“Sasa hivi”
“Basi nina kuja”
Nabii Okocha akakata simu na kunyanyuka, akachukua fungua ya gari lake iliyopo mezani.
“Nina kwenda kumuona msaidizi wangu, ame pata ajali na yupo hospitalini. Mke wangu wewe baki hapa uandae mazingira ya safari ya shemeji yako. Kaka tuta wasiliana kama nitapata muda basi tuta kutana air port.


“Sawa ndugu yangu na pole kwa matatizo”
“Nashukuru”
Nabii Okocha akatoka nje huku akisindikizwa na mke wake. Akaingia kwenye gari lake na mke wake akafunga geti, mrs Okocha akarudi ndani huku akiwa amejawa na furaha sana.


“Huwezi kuondoka pasipo haki yangu na mke wako ameniambia kwamba una mla mk** hivyo na wewe leo nataka unitoe bikra ya mk**”
Mrs Okocha alizungumza huku akiavua shati lake kubwa alilo livaa na kuanza kumsogelea nabii Sanga taratibu


ENDELEA


Nabii Sanga akasimama na kuanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani, mrs Okocha akaanza kumfwata kwa nyuma huku mwili mzima ukiwa umejawa na hisia kubwa. Mrs Okocha akampiga hatua za haraka na kumkumbatia nabii Sanga kwanyuma.

“Jamani mbona nuna nikimbia?”
“Mke wangu nimepigia simu na nimemuomba afike nyumbani sasa hivi. Je nikifanya ujinga kama huu ita kuwaje?”
“Usijali hawezi kufika hapa, naomba unifanye japo kidogo”
“Ila sinto kukula mk**”
“Sawa hakuna tatizo katika hilo ila nina omba uweze kuniapa raha Sanga”
Mrs Okocha alizungumza kwa sauti iliyo jaa mahaba huku viganja vya mikono yake vikiwa na kazi ya kupapasa papasa kifua cha nabii Sanga. Taratibu nabii Sanga akajikuta akianza kupandwa na hisia za kimapenzi, akafungua mlango wa chumba chake na wakaingia ndani. Akamuinamisha mrs Okocha huku akiwa ameshika ukuta, nabii Sanga akafungua suruali yake, akamhomoa jogoo wake ambaye tayari alisha simama.

“Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kwa mimi kumsaliti rafiki yangu”
“Nipe bwana”
Mrs Okocha alilalama kwa sauti iliyo jaa mahaba. Wakaanza kuingia kwenye mtanange mzito na wenye nguvu sana. Kila mmoja ana hitaji kuonyesha uwezo wake wa kuhakikisha kwamba ana mridhisha mwezake. Nabii Sanga akamgeuza mrs Okocha na kumnyanyua huku akiwa ameyashikilia mapaja yake na mrs Sanga akiwa ameipitisha mikono yake juu ya magega ya nabii Sanga na ikawa ni rahisi kwa nabii Sanga kumbeba mwana mama huyo aliye jaliwa makalio makubwa. Nguvu na pumzi na nabii Sanga zilimuwezesha kuhimili uzito wa mrs Okocha hukku wakiendelea na mtanange huo mzito. Hadi wanafika tamati mrs Okocha akajikuta akiwa hoi kabisa, kwani toka kuzaliwa kwake hajawahi kubeba na mwanaume yoyote.

“Umenikomesha mpenzi wangu”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu. Umenipa kitu ambacho sikuwahi kupewa kwenye maisha yangu”
“Sawa. Nenda chumbani kwako sasa mke wangu ana weza kutukuta humo”
“Haya”
Mrs Okocha akachukua nguo zake na akatoka chumbani humo uchi kabisa huku akiwa amechoka sana. Nabii Sanga akaingia bafuni na kuoga huku naye mwili wake ukiwa umechoka sana.
***

Adela na mrs Sanga wakamaliza mtanange wa kupeana raha. Wakaijiandaa kwa haraka na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa nabii Okocha.

“Kwa raha hizi ulizo nipa nakuhakikishia kwamba nitakupa mipango yote ya biashara ya Unga jinsi inavyo kwenda”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu vile. Yaani umeniingia moyoni mwangu”
“Nafurahi kusikia hivyo ila jambo la msingi nina kuomba usitoa siri hii kwa mtu yoyote”
“Sinto weza kuifanya ujinga kama huu. Itakuwaje unipe utamu kama huu alafu niwe nina zungumza kwa watu. Nikiibiwa je”
“Hahaa haya bwana nguo zilizopo kwako zita baki huko”
“Usijali mpenzi wangu”
Wakafika nyumbani kwa nabii Okocha. Wakafunguliwa geti nabii Sanga.
“Vipi mume wangu mbona wewe ndio ume fungua geti. Wenyeji wapo wapi?”
“Shemeji ame lala na ndugu yangu ame toka”
“Ahaa sawa mume wangu”
“Shem habari”
“Salama shemeji yangu za toka majuzi?”
“Salama tu. Nimemrudisha mke wako bwana”
“Hahaa nashukuru sana”
“Ila jamani mbona muna ondoka haraka haraka?”
“Aha….kuna mambo kidogo tuna kwenda kuyashuhulikia hivyo ime tubidi iwe hivyo”
“Ahaa sawa bwana shemeji. Mimi kuna vitu nina kwenda kuvishuhulikia kwa sasa ngoja niwaache”
“Sawa Adela”
Adele akaondoka eneo hilo huku akiwa amejawa na masikitiko, siku chache alizo ishi na mrs Sanga amejikuta akimzoea sana. Nabii Sanga na mke wake wakashirikiana kuanda mizigo yao kwa ajili ya safari ya kuondoka nchini Nigeria. Mrs Sanga akamuamsha Mrs Okocha ambaye toka amefika nyumbani hapo hajatoka kusalimiana naye.

“Vipi una umwa?”
“Yaa nina jisikia sikia mwili haupo sawa”
Mrs Okocha alidanganya ila ukweli ni kwamba amekutana na mtange ulio mpa shuhuli kubwa sana.

“Pole sana mpenzi. Ume wasiliana na shemeji sasa?”
“Hapana, ila kwa kupumzika huku nina imani kwamba nitarudi kwenye hali yangu ya kawaida.”
“Sawa sisi safari ndio ime fika, sasa sijui una weza kutusindikiza?”
“Yaa nita jitahidi, siwezi kuwaacha muondoke, mimi nikiwa nime lala. Acha niingie bafuni nikaoge”
“Sawa tuna kusubiria”
Mrs Sanga akatoka ndani humo. Mrs Okocha akajiandaa na wakaianza safari ya kuelelekea uwanja wa ndege. Wakamkuta nabii Okocha ambaye aliahidi kujitahidi kufika uwanja huo wa ndege kuagana nao.

“Mungu awatangulie ndugu yangu”
“Nashukuru sana nanyi mubaki salama”
“Amen”
“Shemeji musitusahau bwana, mume muna kuja kututembelea Tanzania”
“Usijali shemeji yangu kwenye mwenzi wa kumi na mbili mwaka huu tutakuja Tanzania mimi na mke wangu”
“Nina shukukuru kusikia hivyo. Shosti yangu sisi tunaondoka”
“Niwatakie safari njema jamani”
“Tuna shukuru”
Haukuwa wakati mzuri kwa nabii Okocha na mke wake kwani kika mmoja wao hapo ana hamu ya kuendelea na kubaki na mpenzi wa mwenzake, kwani mrs Okocha amecha pagasiwsha na penzi la nabii Sanga huku nabii Okocha amepagawisha na penzi la Mrs Sanga amabaye ame amepata utamu wa penzi hilo mara moja tu. Nabii Sanga na mke wake wanaingia kwenye ndege waliyo kata tiketi na kuianza safari ya kuelekea Afrika kusini kwa mapumziko ya wiki moja na baada ya hapo wana rudi nchini Tanzania.
***

Tomas mara baada ya kuburudika na wasichana hao akatoka katika chumba hicho na wakaendelea kula starehe na kunywa pombe na vijana wengine. Haikuwa sherehe ya mchezo mchezo. Kila mmoja alihakikisha kwamba ana maliza haja za mwili wake.

“Tomas”
“Niambie kaka”
“Njoo nikuonyeshe kitu”
Ngosha alizungumza huku wakipandisha ngazi na kuapnda juu kabisa ya boti hiyo ambapo kuna eneo la waty kupumzika.
“Vipi wadada wame kupa burudani nzuri?”
“Sana na ni wanawake watamu sana kwa kweli”
“Haaa safi. Kuna biashara moja nina hitaji kukushirikisha nina imani kwamba ina weza kukuingizia kiasi kikubwa snaa cha pesa”
“Biashara gani?”
“Biashara ya Poda”
“Poda ya aina gani?”
“Madawa ya kulevya. Kuna dada mmoja yupo nchini Nigeria, nahitaji kukuagiza kwake na nimewasiliana naye leo na nihahitaji aweze kukupa maelekezo ya kuweza kutengeneza mtando mwengine wambao uta kufanya uwe na pesa nyingi sana”
“Mmmmm ila kaka hii biashara kama unavyo fahamu huwa ina pigwa vita sana duniani. Je huyo dada ana mbinu nzuri ambazo hatuto kamatwa?”
“Kaka hadi mimi kukuambia hivyo ni kwamba nime fanya biashara na watu wengi sana. Kama hujui mwenzako sasa hivi uta jiri wangu una fika dola bilioni moja”
“Weee”
“Wewe sema weee. Kutoka kuwa kilaza darasani hadi kuwa master plan katika swala zima la kusaka pesa”
“Duu ehee hembu niambie nini nina paswa kufanya”
“Kesho asubuhi tuta zungumza na huyo dada ana itwa Adela. Atakupa mifumo yote ya kusambaza unga. Liweke hilo akilini”
“Sawa ndugu yangu”
“Poa kaendelee na bata batani”
“Hahaa poa kaka”
Ngosha na vijana wake wakendelea kusherekea hadi majira ya saa nisa usiku ndipo walipo rudi nchi kavu. Tomas na Ngosha wakaondoka eneo hilo huku wakiwa na wasichana sita, wakafika nyumbani kwa ngosha na wakendelea na starehe ya kulewa na ngono,
***

“Mage nimepata wazo”
Evans alizungumza huku Magreth akiwa amekilaza kichwa chake kufuani mwa Evans.

“Wazo gani?”
“Si una nipenda?”
“Ndio nina kupenda?”
“Una onaje uka nipa mtaji na mimi nikawa na biashara yangu”
“Biashara gani una hitaji mume wangu?”
“Ahaa…bado sijapata wazo la kuwa na biashara fulani ila nikipata wazo la biashara je utanipa support?”
“Ndio kwa nini nisikusaidie mume wangu. Tambua kwamba wewe ndio mwanaume wa maisha yangu na nina kupenda kuliko kitu chochote”
“Nashukuru kusikia hivyo.”
“Twende ndani ukaoge, ukimaliza kuoga upate chakula cha usiku kisha upumzike mume wangu”
“Sawa”
Magreth akamuingiza chumbani Evans, kwa pamoja wakagoga kwa pamoja kisha akamuandalia chakula cha usiku na wakaketi mezani na kuanza kula.

“Leo biashara yangu ime kwenda vizuri sana mpenzi wangu”

“Kweli huwezi amini nime ingiza milioni kumi na moja na laki tisa na chenchi zake”
“Weeee!!”
“Kweli kuna hawa wamiliki wa kampuni ya kutengeneza unga wa ngano wame niomba kesho niweze kwenda kwenye ofisi zao ili niingie nao mkataba wa matangazo ya unga woa. Pia mmiliki wa kampuni hiyo walikuja na familia nzima kupata chakula cha usiku kwenye mgahawa wangu”
“Hongera sana mpenzi wangu. Unajua mwanzo huo ni mzuri sana, endapo uta endelea kufanya kazi hivyo hivyo tuta fika mbali sana mpenzi wangu”
“Ndio hapa ninacho jitahidi ni kuhakikisha kwamba nina kuja kumiliki hoteli moja kubwa sana hapa Tanzania.”
“Hilo lina wezekana, pia kwa sasa una weza kutengeneza ajira kwa vijana wengine”

“Kutengeneza ajira za namna gani?”
“Kuna watu wengi maofisini ambao muda wao wa kutoka nje ya ofisi zao na kwenda kutafuta chakula ni mdogo sana. Kitu ambacho tuna takiwa kukifanya ni kuwa na fast food. Tuna fungua website ambayo itawasaidia watu kuweka oda ya chakula wanacho kihitaji, chakula hicho kina andaliwa kisha tuna kuwa tumeajiri madereva wa pikipiki zaidi ya kumia ambao wana weza kusafirisha chakula hicho sehemu mbalimbali za jiji hili la Dar es Salaam”
“Evans”
“Naam”
“Una akili sana mume wangu. Sikutarajia kama una weza kutoa wazo kama hilo. Nita lifanyia kazi”
“Ni kweli, tuna nunu pikipiki kama kumi. Gari aina ya NOAH na zina kuwa na kazi ya kusambaza vyakula. Pale kwenye mhagahawa, kuna saidia kwa wale watu wana penda kuja kukuona wewe au walipo karibu na mgahawa”
“Je malipo ina kuwaje?”
“Malipo ni kwa mitandao ya simu au ana lipa cash kwa yule atakaye mkabidhi chakula”
“Hapo nimekuelwa mpenzi wangu ni wazo zuri. Ila kwa nini usiwe maketing meneja wa mgahawa wetu?”
“Kumbuka mke wangu kuna mtu ame kupa pesa zake kwa ajili ya kufanya hivyo, itakuwaje wivu ukaingia katikati na kuamua kuchukua kila alicho kupa. Je ume lifikiria hilo?”

Magreth akashusha pumzi nyingi kwani alilo lizungumza Evans kwa namna moja ama nyingine lina ukweli ndani yake.
***

Nabii Sanga na mke wake wakafika nchini Afrika kusini majira ya saa kumi na moja alafajiri. Wakaelekea katika hoteli ambayo nabii Sanga alisha weka booking.

“Mume wangu mbona ume nuna toka tulipo kuwa ndani ya ndege kuna tatizo?”
“Ndio tatizo lipo”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake machoni.

“Tatizo gani?”
“Niambie ni lini ume anza tabisa ya kusagana na wanawake wezako?”
Swali la nabii Sanga likaustua sana moyo wa mrs Sanga na kujikuta akikosa cha kujibu huku mwili mzima ukianza kumtetemeka kwa woga.
ITAENDELEA

Haya sasa MRS Sanga siri yake ime fahamika je ata jitetea vipi ikiwa mume wake ana fahamu ukweli wa kila jambo.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 40.
 
SIN 40

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA

“Mume wangu mbona ume nuna toka tulipo kuwa ndani ya ndege kuna tatizo?”
“Ndio tatizo lipo”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake machoni.

“Tatizo gani?”
“Niambie ni lini ume anza tabisa ya kusagana na wanawake wezako?”
Swali la nabii Sanga likaustua sana moyo wa mrs Sanga na kujikuta akikosa cha kujibu huku mwili mzima ukianza kumtetemeka

E NDELEA

“U…u…m….e…..ju..aje mu…me wangu”
“Funga bakuli lako hivi nikupe nini wewe mwanamke nimekuachanisha na yule kijana huku una kuja kusagana na wanawake wezako hivi ume rogwa wewe mwanamke eheee?”

Nabii Sanga alizidi kufoka huku akimkazia macho mke wake ambaye mwili mzima una endelea kumtetemeka kwa woga.
“Haki ya Mungu laiti kama inge kuwa sijakuoa wewe mwanamke ninga ku……”
Nabii Sanga alijikuta akishindwa kuzungumza neno hilo kwa hasira kwani kitendo anacho kifanya mke wake kwa namna moja ama nyingine kime muudhi.
“Nakuomba uni samehe mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nabii Sanga akaingia bafuni pasipo kumjibu kitu chochote mke wake. Mrs Sanga taratibu akanyanyuka na kuingia bafuni humo na kukuta mume wake akiwa amepiga ngumi katika kioo kilichopo ukutani na kimetoa nyufa nyingi nyingi huku vidole vikivuja damu nyingi.

“Ni mara mia moja uka to** na mwanaume kulio kusagana na mwanamke mwenzako na mbaya zaidi ukaamua kuni saliti na rafiki yangu”
Nabii Sanga alizungumza huku akikoroma jambo lililo zidi kumfanya mrs Sanga kujawa na woga, kwani hayo yote yanayo tajwa hapo ni kweli ameyafanya.

“Unataka nikufanyie nini wewe mwanamke?”
Nabii Sanga aliendelea kuzungumza kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo huku akimgeukia mke wake aliye jikuta

akirudi nyuma nyuma na kujikuta akiishia kukwama ukutani.

“SEMA NIKUFANYIEEEE NINI?”
“Ha…aha…a.a.hapana mume wangu nina kuomba unisamehee”
Mrs Sanga alilalama huku akipiga magoti na kuikumbatia kwa pamoja miguu ya mume wake huku akiendelea kuangua kilio.
“Ondoka miguuni mwangu”
“Nipo tayari kupokea adhabu yoyote mume wangu ila nina kupenda. Nina kuomba unisamehee”
“Acha unafki malaya mkubwa wewe. Una nipenda nini mimi eheee?”
Nabii Sanga alizidi kufoka huku akimtazama mke wake aliye mgang’ang’ania miguu yake.

“Naomba unisamehe mume wangu”
Mrs Sanga aliendelea kulia kwa uchungu sana. Nabii Sanga taratibu akamnyanyua mke wake na kumtazama kwa macho yaliyo jaa hasira. Roho yake moja ina mshawishi kumnyonga huku roho yake nyingine ikimshawishi kumsamehe.

“Poa nimekusamehe”
Nabii Sanga alizungumza huku akimuachia mke wangu.
“Natambua huja nisamehe mume wnagu.”
“Unataka nitoe moyo wangu nje ili nikuonyesha kwamba nime kusamehe au?”
Nabii Sanga alizungumza kwa kufoka, akaanza kunawa kiganja chake kinacho mwagikwa na damu.

“Ina bidi tuwwasiline na watu wa hoteli watuletee first aid kit”
“Alfu?”
“Nikuhudumie jeraha lako mume wangu”
“Mume wako si umemuacha Nigeri. Achana na mimi bwana”
Nabii Sanga alizungumza kwa dharau.

“Sijamuacha mume wangu Nigeria. Wewe ndio mume wangu na uwe umenisamehe au huja nisaheme sijali ila ukweli ni kwamba mimi nina kupenda na wewe ndio mume wangu. Hata wewe unapo kuwa una fanya makosa huwa nina kusamehe kwa asilimia mia moja. Kumbuka na wewe ulimgeuza yule kijana wa kiume kuwa nyumba yako ndogo kisa masharti ya huyo mkuu wenu. Sasa mimi sikufanya bila kupenda ina bidi uni samehe mume wangu.”
Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mume wake.

“Hivi una wenda wazimu wewe? Mambo ya nyuma yana kujaje hapa?”
“Yanakuja na huo ndio ukweli. Unahisi kipindi kile mimi nilikuwa siumii. Niliumia ila nilikuvumilia na kutunza siri yako kifuani mwangu. Kikubwa na wewe ni kutunza siri yangu na kunisamehe maisha yaendelee”
Mrs Sanga mara baada ya kuzungumza hivyo akatoka ndani humo na kuelekea eneo la mapekezi kwa ajili ya kuomba kiboksi kinacho kaa na vifaa vya huduma ya kwanza kwa mgonjwa.

***

Tomas akawa wa kwanza kukurupuka kutoka usingizini. Akawatazama wasichana watutu alio lala nao kitanda kimoja huku wote wakiwa uchi kabisa. Akashuka kitanda huku akiyumba yumba, akatazama saa yake ya ukutani katika chumba hicho ina muonyesha ni saa kumi na mbili asubuhi. Akaingia bafuni na kujisaidia haja ndogo huku akioga taratibu. Mawazo ya kumkumbuka mwanaye taatibu yakaanza kumtawala kichwani mwake, akamaliza kuoga na kuvaa suruali yake kisha akatoka chumbani kwake. Akamkuta Ngosha akiwa amelala sebleni na wasichana wengine watatu huku wote wakiwa uchi kabisa.

“Hei hei bro”
Tomas alimuasha Ngosha aliye fumbua macho yake yaliyo jaa ukungu mwingi utokanao na usingizi ulio changanyikana na pombe kali aliyo kunywa.

“Tom”
“Niambie”
“Vipi kume pambazuka?”
“Ndio ndugu yangu.Nina hitaji kwenda kuonana na mke wangu”
“Asubuhi hii?”
“Ndio ndugu yangu nime mkumbuka sana mwanangu”
“Ahaa sasa ume wasiliana naye?”
“Hapana”
“Jaribu kufanya hivyo basi”
“Sawa”
“Chukua simu yangu”
Ngosha akampatia Tomas simu yake. Tomas akaingiza namba ya mke wake na kumpigia, simu ya mke wake ikaanza kuita na baada ya muda kidogo ikapokelewa.
“Haloo”
“Tomas”
“Yaa ni mimi”
“Ohoo asante Mungu, nimejaribu kukutafuta karibu kila eneo ila sijaweza kukupata”
“Upo wapi?”
“Kwa sasa nipo KING’S ROYAL HOTEL. Sijui una pafahamu?”
“Hapana ila nita muuliza mwenyeji wangu. Una fanya nini asubuhi hotelini asubuhi yote hii?”
“Nina matatizo makubwa sana Tomas, kama ina wezekana nina kuomba uweze kufika hapa”
“Mmmm sawa ila mwanangu yupo wapi?”
“Nipo naye”
“Sawa nina kuja hapo”

Tomas akakata simu na kuifuta namba ya mke wake katika simu ya Ngosha.

“Vipi ume mpata?”
“Ndio yupo hoteli ya King’s Royal Hotel, una pafahamu?”
“Ndio mji huu wote ni wangu. Hivyo hakuna sehemu ambayo siifahamu. Ngoja nimpigie dereva taksi mmoja aje kukuchukua na akupeleke”
“Sawa”

Tomas akarudi chumbani kwake, akafungua shelf kubwa ya chuma, akafungua begi lake lenye pesa na kutoa vibunda vinne vya dola lefu moja moja na kuviweka kitandani. Akafunga shelf hiyo kisha akaanza kuwaamsha wasichana hawa walio jawa na usingizi mzito kwani usiku wa kuamkia siku ya leo, ulikuwa ni wa mpute mpute kwao, japo wao wapo watatu ila wamejikuta wakishindwa kumuhimili Tomas pekee.

“Heeii tokeni humu chumbani. Kaleleni sebleni”
Wasichana hao wkaajizoa zoa na kutoka chumbani humo. Tomas akavaa tisheti yake pamoja na koti moja kubwa la kuzuia baridi. Akabebe kiasi hicho cha pesa na kurudi sebleni huku akiwa amebeba viatu vyake aina ya American but. Akakaa kwenye moja ya sofa na kuanza kuvaa huku akimtazama Ngosha jinsia navyo chezewa chezwa jogoo wake na wasichana hao.

“Vipi kaka wame kupa burudani hawa?”
Ngosha alizungumza huku akiminya minya moja ya kalio la msichana aliye jilaza pembeni yake.

“Yaaa japo wachovu wachovu, si una jua mambo yangu”
“Duuu, niwaweke hadi utakapo rudi au ndio una kwenda kuonana na wife uta maliza kiu huko?”
“Kama vipi wasepe”
“Poa mambo ya mkwanja yote nitayamaliza mimi”
“Sawa ndugu”
Dereva taksi akafika eneo hilo, Tomas akaingia kwenye gari na kuianza safari ya kuelekea katika hoteli ya King’s Royal Hotel, hawakuchukua muda mrefu sana wakafika katika hoteli hiyo. Tomas akamlipa dereva huyo kisha akaingia kwenye hoteli hiyo. Moja kwa moja akaelekea mapokezi na kuomba aweze kuwasiliana na mgeni wake katika aliyopo katika hoteli hiyo. Muhudumu huyo hakuwa na tatizo lolote, akamkabidhi Tomas simu ya mezani na akingiza namba ya mke wake na kumpigi, simu ya mke wake ikaita kisha ikapokelewa.

“Halooo”
“Nimefika hapa hotelini”
“Pandisha gorofa ya nena, chumba namba elfu nane na sita nipo hapa”
“Sawa”
Tomas akakata simu hiyo na kumshukuru dada huyo aliye mkuta hapo mapokezi. Tomas akapiga hatua hadi kwenye eneo lenye lifti nne, akakuta lifti mbili zikiwa zina tumika na moja ina kwenda juu huku nyingine ina shuka chini. Akaminya kitufe cha lifti ambayo haitumiki, taratibu mlango wa lifti hiyo ika funguka na akaingia na kuminya kitufe cha gorofa ya nane na mlango ukaanza kujifunga taratibu.

Lifti aliyo panda mrs Sanga, taratibu ikafunguka na akatoka kwenye lifti hiyo na akanza kutembea kwa mwendo wa haraka hadi katika eneo la mapokezi.
“Tafadhali dada nina weza kupata first aid kit?”
“Ndio mama, je kuna tatizo ambalo lina hitaji msaada mkubwa zaidi?”
“Hapana ni kidonda kidogo mume wangu ame pata”
“Sawa”
Muhudumu huyu akatoa kiboksi hicho kilicho chorwa msalaba mwekundu kwa juu. Akakibeba na kurudi eneo lenye lifti, akaingia katika lifti aliyo shuka nayo na kuminya kitufe kinacho mpeka gorofa ya nane kwani chumba chao ni namba elfu nane na tano.

Tomas akafika katika chumba alicho elekezwa na mke wake. Akaminya kitufe cha kengele na baada ya muda kidogo mlango ukafunguliwa, akakumbatiana na mke wake na wakaingia ndani. Tomas akabaki akiwa amejawa na mshangao kwa maana uso wa mke wake ume jawa na majeraha yanayo onyesha kwamba ame pigwa.

“Ume patwa na nini?”
Tomas alimuuliza mke wake huku akizidi kumshangaa.

“Karibu kwanza ukae mume wangu”
Tomas alishikwa na mke wake mkono na wakakaa kwenye sofa lililopo ndani hapo. Tomas akamtazama mtoto wake aliye lala kitandani

“Ume kumbwa na nini, niambie?”
“Last nigh nili gombana na Mac”
“Mac…..Mac ndio nani?”
“Yule mwanaume ambaye siku ile ulikuja na kumkuta pale nyumbani. Kwanza nina kuomba uni samehe Tomas, haikuwa lengo langu kuingia kwenye mahusiano na Mac huku nikijua dhairi kwamba wewe upo”
“Chanzo cha kukupiga ni nini?”
Tomas aliuliza huku akiwa amejawa na hasira.

“Ni harakati zangu na kukutafuta wewe. Nilimueleza ukweli kwamba nina kupenda wewe na sihitaji kukupoteza. Hivyo alinipiga sana ndio maana niliamua kukimbia nyumbani na kuja kuishi hapa hotelini na mwanangu na pia alitishia kwamba ata muua mwanangu”
“Ata muua?”
“Ndio”
Tomas alitabasamu huku akiwa amejawa na hasira kali sana.

“Nahitaji kwenda kumuona huyo Mac”
“Tomas, tafadhali sihitaji kuleta vita baina yako na yeye. Nimeamua kuachana naye na sihitaji tena kuwa naya. Nipo tayari kwenda sahemu yoyote na wewe. Ila si kubaki na Mac”
“Irene stop, huo unao uzungumza hapa ni ujinga. Nina hitaji kwenda kumuona huyo mjinga aliye kufanya wewe hivi na kutishia kumua mwanangu. Siwezi kukaa na kukubaliana na ujinga kama huo. Muamshe mtoto sasa hivi tuna ondoka”
Tomas alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake. Akanyanyuka kwenye sofa hilo na kumnyanyua mwanaye.

“Chukua kila kilicho chako na tuna ondoka sasa hivi”
Tomas alizungumza huku akianza kutembea kuelekea mlangoni. Akashika kitasa cha mlango huku akimtazama mke wake jinsi anavyo tafuta pochi yake kubwa. Akaichukua na kuanza kumfwata Tomas mlangoni, taratibu Tomas akafungua mlango kidogo, ila mke wake akarudi kitandani.

“Umesahau nini?”
“Simu, simu yangu”

Mke wa Tomas alizungumza huku akiangaza angaza kitandani hapo.

“Fanya haraka hakika leo nitakwenda kumuonyesha yule mwana haramu kwamba mimi ndio mwanaume niliye kamilika na hawezi kukupiga wewe mke wangu na mimi nika muacha acha kijinga hivi”

Sauti ya Tomas kidogo ika mfanya mrs Sanga kusika takika kufungua mlango wa chumbani kwake, kwani ana ifahamu vizuri sauti ya kijana huyo kwani bado ana ishi moyoni mwake.
ITAENDELEA

Haya sasa Mrs Sanga ameisikia sauti ya Tomas, kijana anaye mpenda, pasipo kujua kwamba Tomas ama hifadhia chuku na kisasi kikubwa dhidi yake na mume wake? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 41.
 
SIN 41

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA

“Umesahau nini?”
“Simu, simu yangu”

Mke wa Tomas alizungumza huku akiangaza angaza kitandani hapo.

“Fanya haraka hakika leo nitakwenda kumuonyesha yule mwana haramu kwamba mimi ndio mwanaume niliye kamilika na hawezi kukupiga wewe mke wangu na mimi nika muacha acha kijinga hivi”

Sauti ya Tomas kidogo ika mfanya mrs Sanga kusika takika kufungua mlango wa chumbani kwake, kwani ana ifahamu vizuri sauti ya kijana huyo kwani bado ana ishi moyoni mwake.

ENDELEA

Nabii Sanga akafungua mlango na kumfanya mke wake kustuka sana. Sura ya nabii Sanga iliyo jaa hasira kali ikamfanya mrs Sanga kuingia ndani humu taratibu na kushindwa kukamilisha adhima yake ya kumuona Tomas. Nabii Sanga akafunga mlango wa chumba hicho huku akimtazama mke wake aliye jawa na mashaka ambayo yalianza kumfanya nabii Sanga kuhisi kuna jambo ambalo mke wake lina msumbua.

Mke wa Tomas akaipata simu yake, wakatoka chumbani humo huku Tomas akiwa ame mbabe mwanaye huyo huku akiwa amelala usingizi fofofo. Wakaifka kwenye lifti na kuingia na taratibu wakaanza kuelekea chini.

“Una mashaka mashaka ya nini wewe?”
Nabii Sanga alizungumza kwa kufoka huku akimtazama mke wake usoni.
“Hapana”
“Hapana nini ikiwa una onekana una mshaka kana kwamba una wanga barabarani”
“Nimekuja na vifaa kaa hapa nikuhudumia”
Mrs Sanga alikaa kitandani huku moyo wake ukitanga tanga, akitamani sana kutoka chumbani humo ili kama ni kwenda kuhakikisha huyo aliye msikia ni Tomas kweli au laa.
“Lete basi mkono”
Mrs Sanga alizungumza huku uso wake ukiwa umejikunja ndita kadhaa.

“Sitaki”
Nabii Sanga alizugumza huku akiurudisha mkono wake nyuma na kuendelea kumchunguza mke wake ambaye ana jambo ambalo lina msumbua.
“Una jua kwamba nita acha”
“Acha kwa maana umesha ona kijana wa kukupagawisha huko na akili yako yote ipo huko nje”
“Muda wote wewe una hisi kwamba mimi nina kijana si ndio?”
“Ndio maana yake kama una weza kusuguana kum** na mwanamke mwenzako, je una hisi kwamba una shindwa kufanya hivyo kwa kihudumu hata cha hoteli?”
“Sanga maneno yako yana nikera bwana.”
“Sio yana kukera, nilicho kueleza ndio ukweli na kweanini nikufiche, ikiwa ndio tabia yako mwanamke wewe”
“Haya nimeona mdada wa kumsaga roho yako ime ridh……”
Sentensi ya mrs Sanga ikakatishwa kwa kofi zito lililo tua shavuni mwake.

“Nina hisi kwamba ume sha nisahau. Nitakuua mjinga wewe”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake aliye anza kulengwa lengwa na machozi kwani kofi hilo la kustukiza lime muweka katika mshangoa ulio changanyika na huzuni kubwa sana .

“Sawa nashukuru. Niue tu”
Mrs Sanga alizunguzma huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Taratibu akapanda kitandani mwake na kuanza kulia kwa uchungu.
***

Alfajiri na mapema Magreth akajianda kwa ajili ya kuelekea kazini kwake. Hakumruhusu Evans kufanya kazi kwani bado mwili wake uma majera na maumivu.

“Kua makini mke wangu”
Evans alizungumza huku akijfunika shuka lake vizuri”
“Nashukuru mume wangu. Kila kitu kipo kwenye friji kama uta kupika basi nina imani una weza”
“Ndio mke wangu”
Magreth akafungua mfuko wenye pesa na kutoa kiasi cha laki mbili na kumkabidhi Evans.

“Kilinda wallet mume wangu, usije ukataka kutoka kwenda sehemu uka shindwa kwenda. Simu yako ipo kwenye droo ya hapo pembeni ya kitanda”
“Nashukuru sana mke wangu. Siku nyingine usiwe una hatarisha usalama wako kwa kutembea kwa pesa nyingi kiasi hicho si una fahamu kwamba hali ya kiusalama kwa sasa ni ndogo”
“Ni kweli mume wangu, ila si siku ya kwanza. Ila hapa nikitoka hapa breki ya kwanza ni benki kisha ndio niende kazini”
“Sawa mke wangu”
“Nakupenda sana Evans wangu”
“Nina kupenda pia mke wangu”
Magreth akambusu Evans mdomoni mwake kisha akavaa mkanda wapochi yake.

“Mume naomba msaada wa kunifungulia geti”
“Wala usijali katika hilo”
Wakatoka nje na Magreth akaingia kwenye gari lake. Akauweka mfuko huo wa pesa katika siti ya pembeni, Evans mara baada ya kufungu geti akaondoka na kumuacha Evans akifunga geti la nyumba hiyo. Magreth akawahi kufika benki na kukuta ndio kwanza ina funguliwa. Baada ya mlinzi kuruhusu wateja kuingia, Magreth akawa wa kwanza kuingia ndani ya benki hiyo. Akachukua kikaratasi cha kuhifadhia pesa, akaandika kiasi cha pesa alicho nacho na kuelekea katika dirisha la mhudumu.

“Mage”
Dada huyo alimfurahia kana kwamba ana mfahamu.
“Habari yako”
“Salama tu, naamini una shangaa nime kujuaje. Mimi ni miongoni mwa wateja wako wa chakula pale mgahawani”
“Ahaaa….waoo nashukuru kukufahamu”
“Hata mimi nashukuru kwa chakula kitamu sana unacho kipika yaani. Jana nilipo kila mchana, nikasema hapana, lazima usiku niurudi kukila tena. Haki ya Mungu, wewe dada una mkono wa kupika.”
Muhudumu huyo alizungumza kwa furaha huku akichukua vibunda vya pesa za Magreth, akaziingiza kwenye mashine ya kuhesabia pesa na ikaanza kufanya kazi ya kuhesabu.

“Nashukuru na karibu sana”
“Usijali leo nita washawishi karibi ofisi nzima. Lunch uta tuona pale”
“Asante sana, ukiniletea zaidi ya watu kumi muta lipa asilimia hamsini tu ya bili ambayo muta tumia”
“Kweli Mage?”
“Haki ya Mungu, wewe fanya hivyo”
“Basi usijali, nitakuja na rafiki zangu mida ya saa saba saba hivi mchana.”
“Karibuni sana, una itwa nani?”
“Aziza, nahisi kwamba huwezi kulishau jina langu”
“Siwezi kwa kweli”
Azazia akamaliza kusaini na kupiga muhuri katika karatasi hiyo ya kuhifadhia pesa ikiwa ni ishara kwamba ame zipokea pesa hizo.
“Leo niwapikie nini?”
“Yaani wewe fanya kama jana, yaani hapana. Nimekula kwenye mahoteli makubwa na migaha mingi hapa jijini Dar es Salaam ila sijawahi kukutana na chakula kitamu kama chakula chako”
“Nashukuru sana Azazi. Acha uendelee na majukumu naona wateja wamesha anza kupanga foleni”
“Sawa Mage karibu sana”
“Nashukuru sana”
Magreth mara baada ya kupokea risiti hiyo akatoka ndani ya beki hiyo. Akaingia ndani ya gari lake, kabla hata hajaliwasha simu yake ikaanza kuita, akaitazama vizuri na kukuta ninamba ya Vivian.

“Habari za asubuhi dada Vivian?”
Magreth alizungumza kwa furaha mara baada ya kuipokea simu hiyo”
“Safi ume amkaje?”
“Nimeamka salama dada yangu. Sijui kwa upende wako?”
“Mimi nime amka salama salmini. Sasa una weza kufika hapa Morocco?”
“Ndio nina weza kufika”
“Basi njoo, ukifika hapo nita kuelekeza ni gorofa gani ambalo uje”
“Sawa, ila niambie ni gorofa gani hapo nifike”
“Ukifika hapo mataa uta ona kuna goroa refu kuliko yote na vioo vyake vina rangi ya blue bahari. Hapo ndipo makao makuu ya ofisi za kampuni ya baba yangu”
“Sawa nina fika hapo”

Magreth akawasha gari lake, ila kabla hajaondoka akamuona bi Ngedere akija eneo alipo simamisha gari lake huku akionekana akiwa katika mishe mishe zake.Magreth akapiga honi huku akifungua kioo cha gari hilo.

“Weweeee!!!”
Bi Ngedere alizungumza kwa mshangao huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Ndio ni mimi, shikamoo”
“Marahaba mwanangu hujambo?”
Bi Ngedere aliifurahia salamu hiyo tofauti na siku zote alizo wahi kupewa salamau hiyo na Magreth.

“Sijambo, haya wapi asubuhi asubuhi hii?”
“Naenda hapo benki kukopa”
“Unakwenda kukopa kiasi gani mama yangu?”
“Laki tatu tu kuna vijora nataka nikanunue kwa ajili ya harusi ya yule mtoto wa mdogo wangu . Hivyo niliahidi kujitolea vijora hivyo vivyo inabidi nitoe na isitoshe sherehe ni wiki ijayo”
“Hahaaa…..bi Ngedere bwana hembu ingia kwanza kwenye gari”
Bi Ngedere kwa haraka haraka akazunguka upande wa pili wa gari hilo huku akilishangaa sana.

“Huu mlango wafungukaje, kwa maana ushamba huu”
Maneno ya bi Ngedere yakamfanya Magreth kufurahi kidogo huku akimsaidia kuufunga mlango wa gari hilo kwa ndani na bi Ngedere akaingia.

“Hee Mage hivi hili gari ni lako au?”
“Ndio ni langu mbona una shangaa shangaa?”
“Mmmm umejitahidi mwanagu. Hivi ni danga gani hilo umelipata hadi maisha yamebedilika kwa kiasi hichi kwa maana sisi kule mtaani ndio tunazidi kufulia”
“Hahaa hakuna cha danga wala nini, ni kumuomba Mungu. Kuwa na heshima kwa wako na kukaza buti basi. Tatizo lako umejawa na maneno mengi na vitendo ni sifuri”
“Mmmm alafuni ni kweli shosti yangu ila ndio hivyo si unajua uswahili na maisha bila unafki hayahendi”
“Hahaa haya. Basi hiyo laki tatu mimi nita kupatia. Ila kwa sasa nikupeleke kwenye mgahawa wangu, nikuache hapo kisha nikirudi kwenye mizunguko yangu, basi nita kupatia. Ila siku nyingine bi Ngedere usikope alafu pesa ukafanyia sherehe. Ita kugarimu na kujikuta una uza nyumba kwa laki tanu”
“Nashukuru sana mwanangu. Mungu akubariki”
“Amen”
Magreth alizungumza huku akiwasha gari lake na kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa tartaibu taratibu.

“Mashosti zangu wana endeleaje?”
“Mmmm wapo tu, hawana pa kwenda na waume zao walio fulia”
“Hahaaa haya bwana”

Magreth na bi Ngedere wakafika kwenye mgahawa wake. Magreth akasalimiana na wafanyakazi wake. Akamkabidhi bi Ngedere kwa wafanyakazi hao na kuwaomba wamuhudumie kitu chochote ambacho bi Ngedere ata hitaji. Magreth akaeleka katika ofisi zilizopo katika eneo la Morocco. Akaelekea hadi katika ofisi za kampuni ya MORRIS GROP’S OF CAMPANY na akakaribishwa kwa furaha sana na Vivian.

“Karibu sana Mage. Baba yupo ofisini kwake ana kusubiria”
“Nashukuru sana”
Vivian na Mage wakaingia katika ofisi ya mzee Morris. Wakasalimiana kwa furaha kisha mazungumzo yakaanza.

“Mage tuna fahamu kwamba hii biashara yako ni mpya. Ila ume toka kupata wateja wengi sana na kwa muda mfupi sana. Nimatarajio yangu kwamba tukikupa dili la kufanya kakampuni yetu basi wateja wana weza kuongezeka na kuwa wengi kama ilivyo kuwa kwako?”
“Ni kweli”
“Basi tuna hitaji kufanya kazi ya wewe kututangazia kampuni yetu na bishaa zetu tuna imani kwamba tuta kutangaza wewe na sisi tuta tangazika zaidi”
“Sawa sawa. Je mume panga kukulipa kiasi gani?”
“Ahaa Mage tulishauriana na baba kwamba tuanze kukulipa kiasi cha milioni mia moja. Je wewe una afikiana na kiasi hicho kwa maana nia uhakika wa asilimia mia moja kwamba milioni mia moja zetu hatuendi kuzitupa katika hili”

Magreth akashusha pumzi taratibu huku akimtazama mzee Morris na Vivian ambao wana subiria jibu la Magreth kwa hamu kubwa sana.
***

Tomas, mke wake na mwanaye wakaingia kwenye taksi na kuianza safari ya kueleka katika nyumba anayo ishimke wake. Wakafika nyumbani hapo na Tomas akamkabidhi mke wake mtoto wao ambaye tayari amesha zinduka kutoka usingizini. Tomas akaanza kugongwa kwa nguvu mlango huo. Kijana huyo mwenye asili ya kizungu akafungua mlango huo huku akionekana kujawa na mawenge ya usingizi.
“Umerudi tena wewe malaya?”
Mac alizungumza huku akimtazama mke wa Tomas. Tomas hakusubiria hata mke wake ajibu shambulizo hilo la maneno. Akamsukumia ndani Mac na akapepesuka na kuanguka chini. Tomas kwa haraka akamrukia na kumkalia tumboni mwake na kuanza kumshushia makonde ya haja. Mazoezi aliyo pewa na Scooby doo, hakika yalimuwezesha kumdhidi mbinu Mac ambaye ana jaribu kufurukuta eneo hilo la chini alipo anguka.

“Tomasa uta ua, utaua mume wangu”
Mke wa Tomas alizungumza huku akimziba mwanaye sura ili asiweze kushuhudia kipigo hicho anacho patiwa baba yake wa kambo ambaye siku zote ame zoea kumuona hapo.

“Acha nimfunze adabu huyu”
Tomas alizungumza huku akizidi kushushia ngumi za uso kijana huyo wa kizungu.

“Nisamehee kaka”
Mac aliomba msamaha mara baada ya kuona hali ime kuwa ngumu kwake. Msamaha hau oka mfanya Tomas kusitisha mashambulizi hayo na akanyanyuka huku akitazama uso wa Mac jinsi unavyo churuzikwa na damu.
“Ndani ya dakika tano nahitaji utoke ndani kwangu sasa wewe kenge?”
Tomas alizungumza kwa kufoka hukua kimtazama Mac anaye jizoa zoa chini hapo.
“Ha…ahhaaa…ahya”
Mac alizugumza hukua akijikaza kunyanyuka chini hapo. Mac akaanza kutembea kwa kuyumba huku akielekea chumbani, ila kabla hajafika chumbani akaingia jikoni na kuchukua kisu kirefu na siku zote huwa hawapendi watu weusi na ana anaamini kwamba watu weusi ni mbwa ambao hawawezi kuwa juu ya wazungu.

“Tomas nyuma yako”
Mke wa Tomas alitoa ukelele mara baada ya kumuona Mac akija kwa kasi na kutaka kumchoma kisu cha mgongoni. Tomas kwa haraka akageuka na uuwahi mkono wa Mac ulio shika kisu hicho, akaugeuza kwa kasi sana na Mac akajikuta juhudi zate za kuhititaji kumdhuru Tomas kwa kisu hicho, kikitua tumboni mwkae na macho yakamtoka. Tomas akazidi kukishindilia kisu hicho tumboni mwa Mac na kusababisha damu nyingi kuanza kumwagika chini.

ITAENDELEA


Haya sasa Tomas amejikuta akiingia katka kesi nyingine ya mauaji tena katika nchi ya ugenini je ata fanikiwa kutoka katika kesi hiyo ikiwa mke wake ame shuhudia boyfriend wake akiuwawa.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 42.
 
SIN 42

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA


“Ha…ahhaaa…ahya”
Mac alizugumza hukua akijikaza kunyanyuka chini hapo. Mac akaanza kutembea kwa kuyumba huku akielekea chumbani, ila kabla hajafika chumbani akaingia jikoni na kuchukua kisu kirefu na siku zote huwa hawapendi watu weusi na ana anaamini kwamba watu weusi ni mbwa ambao hawawezi kuwa juu ya wazungu.

“Tomas nyuma yako”
Mke wa Tomas alitoa ukelele mara baada ya kumuona Mac akija kwa kasi na kutaka kumchoma kisu cha mgongoni. Tomas kwa haraka akageuka na uuwahi mkono wa Mac ulio shika kisu hicho, akaugeuza kwa kasi sana na Mac akajikuta juhudi zate za kuhititaji kumdhuru Tomas kwa kisu hicho, kikitua tumboni mwkae na macho yakamtoka. Tomas akazidi kukishindilia kisu hicho tumboni mwa Mac na kusababisha damu nyingi kuanza kumwagika chini.


ENDELEA

Mke wa Tomas akabaki mdomo wazi huku akiendelea kumtazama Tomas aliye endelea kukigandamiza kisu hicho tumboni mwa Mac.

“T…..oo..o….ma u…me….e…ua”
“Mpelekea mtoto ndani”
Tomas alizungumza kwa ujasiri mkubwa kana kwamba hakuna kitu kilicho tokea. Tomasa hakuweza kuogopa chochote kwa maana tauari moyo wake umesha jawa na hali ya ukatili ambayo ina mfanya kufanya tukio baya kuona ni jambo la kawaida sana. Mke wa Tomas aliondoka sebleni hapo huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga sana. Tomas akamuachia Mac na akaanguka chini huku damu zikidi kumtoka, Tomas akafunga mlango wa mbele kwa ndani kisha akaingia jikoni na kuanza kunawa viganja vyake vilivyo jaa damu nyingi sana.

“Tom tuta fanyaje?”
Sauti ya mke wake ikamstua na kumfanya ageuke nyuma na kumtazama.

“Hoyo jamaa ana zungumza na majirani?”
“Hapana hakuna jirani anaye zungumza naye”
“Naomba simu yako”
“Una taka kufanya nini Tomas”
“Veronica wewe naomba namba simu yako”
Tomas alimuita mke waje jina lake analo lipenda. Veronica akamkabidhi Tomas simu yake, Tomas akaitafuta namba ya Ngosha na kumpigia.

“Haloo”
“Kaka ni mimi”
“Tomas, vipi mbona una zungumza na wasiwasi mwingi sana”
“Nipo kwenye matatizo”
“Matatizo gani ndugu yangu”
“Unaweza kufika hapa nilipo?”
“Niambie ni wapi?”
Tomas akamueleza Ngosha sehemu alipo kisha akamrudishia mke wake simu yake.

“Ni nani huyo jamaa?”
“Ni rafiki yangu ambaye nina ishi naye hapa Afrika kusini”
“Una muamini?”
“Ndio nina muamini, ndio maana nime muita hapa”
Baada ya nusu saa Ngosha akafika nje ya nyumba hiyo, Tomas akamfungulia na akaingia ndani. Ngosha akashangaa sana kukuta mwili wa Mac ukiwa imezungukwa na dimbwi la damu.

“Kaka nina hitaji msaada wako. Huyu ndio yule fala niliye kuwa nina kuambia kwamba ana ishi na mke wangu na hichi ndicho alicho kuwa ana kifanya kwa mke wangu katika kumpiga na kumnyanyasa kiasi hichi.”
Tomas alizugumza kwa wasiwasi huku akimtazama Ngosha usoni mwake.

“Usiwe na wasiwasi kaka. Shemeji habari yako”
“Salama”
“Huyu ana itwa Ngosha ni rafiki yangu toka nilipo kuwa sekondari”
“Nashukuru kukufahamu shemeji”
“Hata mimi nina shukuru kukufahamu shemeji. Sasa hili swala kuna mtu mwengine ana lifahamu?”
“Hapana ni sisi wawili ndio tuna lijua”
“Basi nina wapigia vijana wangu waje kusafisha hili eneo. Ila inabidi muondoke nchini ikiwezekana leo hii hii”
“Tutaelekea wapi shemeji ikiwa mume wangu nchini Tanzania ana tafuwa na sidhani kama tuna weza kwenda kwenye nchi kubwa kama Marekani kwa maana kule ulinzi wake ni mkubwa sana na wana weza kumkamata mume wangu na kumrudisha nchini Tanzania”
Veronica alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Kuna sehemu nyingi sana duniani ambazo muna weza kwenda. Shemeji wewe jiandae kwa kwa safari”
“Sawa shemeji”
“Mtoto yupo wapi?”
“Ndani amelala”
“Sawa wewe jiandae”
Veronica akaondoka sebleni hapo na kuwaacha Tomas na Ngosha.

“Sasa kaka ilikuwaje?”
“Yaani wee acha tu. Jamaa alinivamia na kutaka kunichoma kwa kisi, katika kujilinda, nikajikuta nikikirudisha kisu hicho tumboni mwake. Je hapo nime fanya kosa?”
“Hapana hujafanya kosa ndugu yangu kwa maana ange kudhuru wewe. Ila inabidi kwa sasa muelekee nchini Nigeria, nitawasiliana na Adela aweze kuwapokea”
“Sawa ndugu yangu. Ila samahani kwa kukuingiza kwenye matatizo ambayo hakika sikuyatarajia”
“Usijali ndugu yangu mimi na wewe ni ndugu, ambao sio tu kwenye raha tuna saidiana ila hadi kwenye shida. Sasa hizi ndio shida zenyewe ndugu yangu”
“Sawa sawa nashukuru kusikia hivyo ndugu yangu”
“Poa”
Ngosha akawapigia simu vijana wake na baada ya muda mdupi wakafika eneo hilo na gari maalumu kama yanayo tumiwa na wafanya usafi kwenye majumba ya watu. Wakaingai ndani hapo kila aliye ona maiti hiyo akashangaa.
“Sasa sikilizeni. Safisheni hapa na kuwe kama hakujatokea kitu chochote”
“Sawa sawa bosi, je tuna paswa kumzika au kumdumbukiza kwenye pipa la tindikali?”
“Muingize kwenye pipa la tindikali hatuhitaji aweze kuonekana kabisa”
“Sawa”
Vijana hao wakaanza kazi ya kuuweka mwili wa Mac katika mfuko maalumu wa plastiki na kuanza kusafisha eneo hilo. Ndani ya dakika kumi na tano hapakuwa na hata alama inayo onyesha kwamba eneo hilo lilikuwa na damu. Walipo hakikisha kwamba eneo hilo lipo safi wakaondoka na mwili huo wa Mac pasipo mtu yoyote kugundua chochote.”
Veronica akatoka chumbani kwake huku akiwa amembeba mwanaye hukua kiburuza begi la nguo. Akashangaa kukuta sebeleni kwake kukiwa kumesafishwa vizuri.
“Kimetokea nini?”
“Ni kazi ya viana wangu. Umesha jiandaa kwa kila jambo”
“Ndio shemeji”
“Basi kwa sasa twendeni kwangu huku tukipanga safari ya nyinyi kuelekea nchini Nigeria”
“Nigeria?”
“Ndio shemeji. Mbona una shangaa?”
“Mmmmm ile nchi si ina makundi ya kigaidi kama Boko haramu. Mume lifikiria hilo endapo mimi na mume wangu tuta ingia kwenye matizo?”
“Tuta lizungumza hilo shemeji yangu. Ila kwa sasa twendeni kwangu”
Wakaondoka nyumbani hapo na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa Ngosha.

***

Mrs Sanga alijikuta akishindwa kupata amani ya moyo wake. Kibao alicho pigwa na mume wake wala hakijamgusa moyoni mwake kama vile alivyo guswa na sauti ya Tomas.

“Una hangaika hangaika nini kitandani?”
Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kijitibu jeraha lake la kiganjani.

“Haikuhusu”
“Una semaje wewe?”
“Haikuhusu hujanisikia au?”
“Hivi kwa nini una kuwa na jeuri kiasi hicho. Una matatizo gani wewe mwanamke. Badala ya kujinyenyekeza mbele ya mume wako. Wewe una kazi ya kujikwenda kijinga jinga”
“Sanga una nini. Si umenipiga roho yako ime ridhika. Nini kingine unacho kihitaji zaidi kutoka kwangu, au una taka roho yangu?”
“Kama ningekuwa nina hitaji roho yako ninekuwa nimesha kutoa sadaka siku nyingi”
Kauli hiyo ikamstua sana mrs Sanga na kujikuta akikaa kitako kitandani huku akimtazama mume wake kwa sura iliyo jaa hasira.

“Kwahiyo ulihitaji kunitoa sadaka?”
“Siwezi kukutoa sadaka ila kuna mtu nina hitaji kumtoa sadaka”
“Wewe toa sadaka watu wote, ila si wanangu. Haki ya Mungu mwanangu yoyote akifa nita hakikisha kwamba dunia nzima ina fahamu ukatili wako na hakuna utumishi wowote ndani yako”
“Yaani siku utakayao fungua kinywa chako ndio siku ambayo dunia ita mpata nguruwe mwenye kichwa cha mtu. Tena atakuwa na kicha chako wewe.”
Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza hivyo akafaunga kiboksi hicho chenye vifaa vya huduma ya kwanza.

“Alafu jambo jengine ni kwamba. Usidhubutu kunitishia kwamba una zungumza siri zangu. Wewe zungumza na uta nitambua vizuri mimi ni nani”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo na kumfanya mrs Sanga kunywea kidogo.

“Tenda tuondoke muda huu. Tunarudi Tanzania”
“Eheee!!?”
“Tuna rudi nchini Tanzania, kaoge ubadilishe nguo zako”
“Jamani nimechoka kusafiri safiri kwenye mandege mimi”
“Ndio hivyo. Oga safari ya Tanzania ime wadia na sasa hivi ni saa mbili asubihi hivyo by saa tano tutakuwa tumepata ndege ya kurudi nchini Tanzania.”
Kutokana nabii Sanga ndio msemaji wa mwisho, mrs Sanga hakuwa na kipingamizi chochote zaidi ya kufwata amri ya mume wake ya kujiandaa kwa ajili ya kurudi nchini Tanzania.
***

“Mage tunasubiria jibu lako”
Vivian alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Ninaomba munipatie muda. Inabidi nijadiliane na mume wangu katika hii. Nipeni siku ya leo kisha kisho muta lipata jibu lenu”
“Sawa ni wewe tu, jambo kubwa tuna tarajia kupata majibu mazuri kutoka kwako”
“Musijali nina heshimu uchaguzi wenu wa kunichagua mimi”
“Sawa Magreth nikutakie kazi njema na siku njema kwa ujumla”
“Nawe pia mzee”
Magreth akatoka ofisini hapo na Viviana.

“Mage hakika hii ni bahati ya kipekee ambayo ume ipata. Huwa mara kadhaa tuna fanya matangazo na wasanii wakubwa wa filamau na wasanii wa muziki, ila kwa kweli matangazo hayo huwa hayatulipi sana kama vile tunavyo tarajia”
“Ila ni kitu gani ambacho mume kiona kwangu. Ikiwa mimi sio maarufu na biashara yangu ndio kwanza ina anza?”
“Kuna mambo mengi sana ambayo tumeyaona kwako. Kimojawa wapo ni nguvu ya ushawishi. Unajua mimi ni mtu wa kukosoa kosoa vyakula ila nilipo kula chakula chako na marafiki zangu, tulijikuta tukihitaji kula tena na tena. Kiufupi upo vizuri madam Magreth”
“Hahaa nashukuru sana dada Vivian”
Wakafika hadi kwenye maegesho ya magari. Wakaagana na Magreth akaingia kwenye gari lake na kurudi kazini kwake. Akamkuta bi Ngedere akiwa bado ana msubiri.

“Mage mgahawa wako una watu wengi”
Bi Ngedere alizungumza huku akiachia tabasamu la kinafki ila moyoni mwake amejawa na wivu mkubwa sana.

“Mungu ana bariki, ehee ume onaje chai ya hapo?”
“Ni nzuri na tamu”
“Eti ehee?”
“Ndio”
“Boss samahani nina weza kuzungumza na wewe?”
“Ndio tuna weza kuzungumza”
Magreth akasimama na kumfwata Juma sehemu alipo simama.
“Kuna jambo kidogo ambalo nina omba nikushirikishe kama huto jali”
“Zungumza tu Juma”
“Huyu mama ni nani yako?”
“Alikuwa ni mama mwenye nyumba yangu huko uswahilini nilipo kuwa ina ishi.”
“Hivyo bado una mazoea naye mazuri?”
“Kivipi?”
“Yaani una muheshimu kama mama yako au?”
“Mmmm kiasi niambie kuna nini?”
“Mama huyu ni mchawi na hapa alipo ana jitahidi sana kuhakikisha ana fanya kila linalo wezekana ana wafukuaza wateja wetu kwa nguvu zake za kichwawi.”
Kauli hiyo kidogo ikamstua Magreth.

“Juma wewe ume juaje!!?”
“Mimi nimezaliwa Tanga na babu yangu ni mganga. Kichwani mwangu nina majini hivyo mtu akiwa ni mbaya basi huwa nina fahamu kwamba huyu mtu ni mbaya na hiyo shida ya laki tatu ambayo ana hiyaji tafadhali usimpatie kwa mkono wake, kama ina wezekana umtumie kwenye simu yako”
“Juma hayo yote ume yajuaje kama ana shida ya laki tatu”
“Boss nimekuambia kwamba mimi nime tokea Tanga na nina majini ambayo hakika yana uwezo wa kumjua mtu mbaya. Kama huamini ngoja nikuonyeshe uchawi wa huyo bibi hapo”
“Una nionyeshaje Juma”
Magreth alizungumza huku akiwa ana zidi kushangaa kwa kila jambo analo ambiwa na kijana huyo. Juma akamshika mkono Magreth na wakatembea hadi kwenye meza aliyo kaa bi Ngedere peke yake.
“Bibi uta endelea na mpango wako wa kuhitaji kutufukuzia wateja au nikuumbue kwa kila mtu kwamba wewe ni mchawi?”
Kauli hiyo ikamstua san bi Ngedere na kumfanya mapigo yake ya moyo kuanza kumuenda kasi huku mwili mzima ukianza kumtetemeka kwa woga hadi Magreth akaanza kuhisi alicho kizungumza Juma ni jambo la ukweli kabisa kwani si kwahali hiyo inayo endelea kwa bi Ngedere.
ITAENDELEA

Haya sasa Juma anahitaji kumuadhirisha bi Ngedere ambaye ina sadikika ni mchawi na bi Ngedere yupo katika wakati mgumu sana je Juma ata fanya kama alivyo muahidi Magreth.? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 43.
 
SIN 43

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


“Boss nimekuambia kwamba mimi nime tokea Tanga na nina majini ambayo hakika yana uwezo wa kumjua mtu mbaya. Kama huamini ngoja nikuonyeshe uchawi wa huyo bibi hapo”
“Una nionyeshaje Juma”
Magreth alizungumza huku akiwa ana zidi kushangaa kwa kila jambo analo ambiwa na kijana huyo. Juma akamshika mkono Magreth na wakatembea hadi kwenye meza aliyo kaa bi Ngedere peke yake.
“Bibi uta endelea na mpango wako wa kuhitaji kutufukuzia wateja au nikuumbue kwa kila mtu kwamba wewe ni mchawi?”
Kauli hiyo ikamstua san bi Ngedere na kumfanya mapigo yake ya moyo kuanza kumuenda kasi huku mwili mzima ukianza kumtetemeka kwa woga hadi Magreth akaanza kuhisi alicho kizungumza Juma ni jambo la ukweli kabisa kwani si kwahali hiyo inayo endelea kwa bi Ngedere.

ENDELEA

“U…naa….na….zu…ng…umzia nini wewe?”
Bi Ngedere alizungumza huku midomo yake yote ikimtetemeka kwa woga. Juma akamshika mkono wake wa kulia na kuuvuta karibu. Kitendo hicho kimfanya Bi Ngere kuurudisha nyuma mkono wake kwa haraka na kumfanya Magreth kushangaa.

“Mage umenileta hapa ili kunidhalilisha au?”
Bi Ngere alizungumza kwa ukali huku akimtazama Magreth na Juma wanao endelea kumkodolea macho. Juma akaushika tena mkono wa kulia wa bi Ngerede na safari hii Juma hakuhitaji kuuachia japo bi Ngedere ana hitaji kuurudisha nyuma. Juma kwa kutumia nguvu zake, akafungua kiganja cha mkono huo wa kulia wa bi Ngedere. Magreth macho yakamtoka kwani iridhi kubwa ya rengi nyeusi inayo pumua mithili ya moyo wa binadamu, ndio ina onekana mkononi mwa bi Ngedere.

“Bosi ume ona?”
Bi Ngedere mwili mzima ukaizidi kumtetemeka kwa woga. Magreth akamtazama bi Ngedere kwa macho yaliyo jaa hasira kali sana.
“Hichi ndio kitu nilicho kuambia”
“Bi Ngedere kwa usalama wako, nifwate la sivyo watu wote hapa kwenye huu mgahawa watajua kwamba wewe nimchawi. Si unajua jinsi gani Dar es Salaama wachawi wanavyo fanywa. Sasa wewe nifwate”
Bi Ngedere machozi yakaanza kumlenga lenga, mipango yake yote ime mvurugika. Akanyanyuka na kuanza kumfwata Magreth aliye tangulia mbele huku Juma akiwa ana mfwata kwa nyuma. Wakaingia katika chumba kinacho tumika kama jiko na upende huo ni wapishi na wafanyakazi wa mgahawa huo ndio wana paswa kuingia.

Magreth akamzaba bi Ngedere kibao cha uso na kuwafanya wapishi wawili waliomo ndani ya chumba hicho kushangaa kwa maana hawaelewi ni kitu gani ambacho kina endelea.

“Mwanamke mpumbavu kweli wewe. Unahisi kwamba una weza kunirudisha kwenye umasikini wa kutembeza maandazi kama pale awali eheee?”
Magreth alizungumza kwa hasira sana huku akimtazama bi Ngedere anaye zidi kutetemeka huku machozi yakimtoka.

“Bosi kuna nini?”
“Huyu bibi ni mchawi, amekuja hapa mgaawani kwangua kiwa na muirizi wake hapo. Juma waonyeshe”
Juma akakunjua kiganja cha mkono wa kulia wa bi Ngedere ambao umeshika irizi hiyo. Wapishi hao wawili wakabaki wakiwa wamejawa na mshangao mkubwa sana. Mpishi mmoja akachukua kishoka maalumu cha kukatia nyama na kutaka kumpiga nacho kichwani bi Ngedere ila Juma akamzuia.

“Acha hatutaki kumwaga damu ya wachawi hapa kwenye mgahawa.”
Juma alizungumza huku akimzuia jamaa huyo.

“Mchawi na mwizi siku zote sio watu wa kuishi. Wana rudisha maendeleo ya watu nyuma. Acha tumcharange, hivi dada Mange leo hii akifulia sisi tutakwenda kuishi maisha gani ehheee?”
“Hussein tulia, huyu tuna malizana naye”
Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akiendelea kumkazia macho bi Ngedere.

“Ndio maana siku zote wapangaji wako hawaendelei kwenye ile nyumba. Laiti kama nisinge kuwa na Mungu ndani yangu, ningekuwa nina uza maandazi hadi leo si ndio?”
Magreth alizungumza kwa hasira sana huku machozi yakimlenga lenga. Siku zote alihisi tatizo kubwa la bi Ngedere ni mdomo wa kuropoka ropoka mambo, kumbe yupo hadi kwneye mambo ya kishirikina. Magreth akamtandika bi Ngedere kofi jengine hadi iridhi aliyo ishika ikaanguka.
“Ahaa…..kum*k* walai. Dude lina pumua”
Hussein alizungumza huku akishangaa iridhi hiyo jinsi inavyo puma hapo ilipo angukia.

“Una kazi ya kuwaweka wapangaji wa watu katika wakati mgumu, wana fanya biashara ila hawatoki. Waume zao kila asubuhi wana kasi ya kudimka kuwahi makazini ili wapate miambili mia tatu kumbe wewe malaya mzee una wachawia. Sasa leo nina kwenda kukuadhirisha mbele ya wapangaji wako”
“Aha….Mage nakuomba usinifanyie hivyo mwanangu”
“Koma wewe mimi sio mwanao. Unajua uchungu wangu wewe. Ungekuwa ni mwanamke unaye jiheshimu unge nitakia mema. Yaani umeona nime fanikiwa kidogo una kuja kuniroga hadi hapa. Yaani jamani hivi waswahili sisi tupo vipi jamani”
Magreth alizungumza kwa uchungu sana huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Okota dude lako”
Magreth alizidi kufoka huku akitamani kumvamia bi Ngedere na kumpa mangumi ila ana jiheshimu na kuheshimu eneo lake la kazi. Bi Ngedere akaokota irdhi yake huku aibu kubwa ikiendelea kumtafuna taratibu.

“Juma hakikisha ana fika kwenye gari langu. Tuna kwenda nyumbani kwake sasa hivi”
“Sawa bosi”
“Mage Mage, tuyaongee mwanangu”
“Nyamaza wewe nita KUUAAAAAA”
Magreth alizungumza huku macho yakimtoka. Kila mtu akashangaa kumuona Magreth kwenye hali kama hiyo, uzuri wake wote ume potea na amekuwa ni mtu wa tofauti sana.

“Mama hujui kabila langu wewe. Nitakuuaa Juma mtoea hapa”
“Sawa mkuu”
“Tena ingia naye kwenye gari nina kuja”
Magreth alizunguumza huku akimkabidhi Juma funguo za gari lake. Juma na bi Ngedere wakatoka jikoni humo huku Juma akiwa amemshika bi Ngedere mkono. Magreth akapiga piga makofi ukutani kuipunguza hasira yake.

‘Ohoo Mungu nisaidie’

Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akiinama. Akavuta pumzi ya kutosha, kisha akasimama wima huku akiwatazama wapishi wake hao ambao ana shirikiana nao katika maswala ya kupika.

“Hakikisheni kwamba chakula kina kuwa kizuri kama vile ninavyo hitaji siku zote”
“Usijali bosi”
“Haya yaliyo tokea humu ndani iwe siri yenu. Sitaki kuyasikia kwa hawa wadada au mtu mwengine mume nielewa?
“Usijali bosi hatuwezi kumueleza mtu yoyote. Ila pole sana”
“Asante Hussein”
Magreth akajiweka uso wake vizuri na kufuta machozi yote. Akatoka ndani humu na kuwakuta wahudumu wake wa kike wakiendelea kuwahudumia watu vizuri.

“Nina toka nitarudi baada ya muda kidogo”
Magreth aliwaambia wafanyakazi wake hao, kisha akeleeka kwenye maegesho ya magari na kuwakuta Juma na bi Ngedere wakiwa wamekaa siti ya nyuma. Magreth akaka kwenye siti yake huku akishusha pumzi, akajifunga mkanda huku akitafakari kidogo.
“Juma mzigo wkae huyo si anaoa?”
“Ndio bosi”
“Hakikishi haitupi ndani ya gari langu na tusije tuka pata ajali”
“Hawezi bosi hapa nilipo nime mamkamaya kisawa sawa.”
“Poa”
Magreth akawasha gari na wakaondoka eneo hilo na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa bi Ngedere ili akamuumbue kwa wapangaji wake.
***

Nabii Sanga na mke wake wakarudisha funguo katika hoteli hiyo japo walipanga kukaa hotelini hapo kwa siku saba.

“Vipi muheshimiwa, mbona muna ondoka mapema. Kuna tatizo lolote kwenye huduma za hoteli yetu?”
Muhudumu aliuliza kwa mshangao kwa maana watu hao wame ingia asubuhi hiyo na wanaondoka asubuhi hiyo hiyo.

“Hapana vyumba vyenu vipo vizuri na hakika tumevipenda. Ila kuna dharura ime tokea hivyo ina tupasa kuondoka”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake. Ila mke wake dhahiri ana onekana haja penda kuondoka muda huo.
“Ahaa karibuni sana”
“Tunashukuru”
Wakababe mabegi yao hadi nje, wakakodisha taksi na kumuomba dereva huyo waelekee kwenye maduka.

“Tuna kwenda kufanya nini huko?”
Mrs Sanga aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka.

“Dereva wewe twende”
Nabii Sanga alizungumza pasipo kujali swali la mke wake. Wakafika katika mtaa wenye maduka mengi sana.

“Mimi sishuki nime choka na nina usingizi. Nita kusubiria humu ndani ya gari”
“Utajijua mwenyewe”
Nabii Sanga alizungumza huku akishuka kwenye gari. Akaingia kwenye moja ya duka linalo uza vito vya dhahabu, akaanza kuangaza angaza huku na kule huku akimtafutia Magreth mkufu mzdhuri wa garama.

“Ah…huu mkufu ni kiasi gani?”
“Ni dola elfu kumi na tano”
“Sawa je huu hapa?”
Nabii Sanga alionyesha mkufu mwengine ulio pambwa na madini mbalimbali.

“Huu hapa ni dola elfu stini mkuu”
“Okay nipatie huu, si ninapata na herini zake?”
“Ndio bosi”
Muhudumu huyo alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana kwani ni watu wachache sana huwa wana wanunulia wapenzi wao mikufu yenye thamani kubwa kama huo.

“Nipatie miwili inayo fanana na hiyo”
“Sawa muheshimiwa”
“Itenganishe, kila mmoja uwe kivyake. Mmoja niwekee kwenye mfuko na mwengine nipe tu katika kisanduku chake”
“Sawa sawa muheshimiwa”
Nabii Sanga akaendelea kuangaza mapambo hayo ya thamani kwa ajili ya wanawake. Akaona pete nzuri sana iliyo tengenezwa kwa madini ya diamond.
“Kijana hii ni dola ngapi?”
“Dola elfu kumi mkuu”
“Nipatie hii pete”
Kijana huyo kwa haraka akaitoa pete hiyo, nabii Sanga akaitazama kwa sekunde kadhaa na kutingisha kichwa akiamini kwamba inatosha kabisa kuingia kidoleni mwa Magreth. Nabii Sanga akaendelea kuangaza huku na kule akiendelea kutafufa zawadi za garama kwa Magreth na mwanaye.
“Hii saa hapa je?”
Nabii Sanga alionyesha saa iliyo tengenezwa kwa madini ya dhahabu tupu.

“Hii ni dola elfu ishirini na tano”
“Naomba mbili”
Muhudumu huyo akatoa saa hiyo huku akiona ni habati kubwa sana kwa kupata mteja kama huyo asubuhi asubuhi hiyo.

“Kuna wanaume wana kera sana”
Mrs Sanga alizungumza hukua akiachia msunyo mkali sana. Gari nyeusi aina ya RANGE ROVER VOG ikapaki mbele ya taksi hiyo, akashuka jamaa mmoja mweusi kiasi na mrefu na akaanza kutembea kuelekea kwenye duka hilo.
***

“Jamani kabla hatujaenda nyumbani kwangu. Tupitie madukani kidogo ili tununue baadhi ya nguo kwa ajili yenu”
Ngosha alitoa wazo hilo na Tomas pamoja na mke wake wakaliunga mkono. Wakafika kwenye baadhi ya maduka na kununua nguo, viatu pamoja na mahitaji ya Veronica.

“Kuna duka langu moja lipo mtaa wa pili hapo nina udha vito vito vya thamani kwa ajili ya wanawake. Tupiteni hapo nikamchukulie shemeji japo mkufu”
“Sawa kaka”
Ngosha akawasha gari lake hilo aina ya Range rover Vog, Hawakumaliza hata dakika tano wakafika dukani hapo, akasimamisha gari lake mbele ya taksi aliyo ikuta ime simama mbele ya duka lake.
“Kaka humu hakuna bidhaa za kiume vipi una shuka au niende kumchagulia shemeji mkufu nilio ahidi kumpatia?”
Tomas akajibu kwa ishara ya kidole akimuonyeshea mwanaye aliye mbeba huku akiwa amemlaza kifuani mwake.
“Kweli bwana mkubwa ame lala. Basi ngoja nishuke, au shemeji una hitaji tukachague ndani?”
“Mmmm hapana shemeji, unajua hiyo ni zawadi, sasa nikiwanina hitaji kuchagua ninacho kihitaji nitakutia hasara bure”
“Hahaa hapana huwezi ninipa hasara”
“Nashukuru sana shemeji, acha sisi tukusubirie humu”
Ngosha akashuka kwenye gari hilo na kuingia dukani kwake na kumkuta mfanyakazi wake akiwa bize na mteja mmoja.

“Hei vipi Poul”
“Safi sana bosi karibu”
“Nashukuru, biashara ina kwendaje?”
“Safi sana bosi yaani yule mzee pale hadi sasa hivi ame nunua vitu vinavyo karibia dola laki mbili”
“Wewee!!”
“Ndio bosi yaani asubuhi ya leo ime anza vizuri sana”
“Mambo yakiwa vizuri, ikifika mida fulani wewe funga duka kapumzike na katika mauzo ya leo utachukua asilimia tano sawa”
“Nashukuru sana bosi”
Ngosha akaanza kuzunguka zunguka kwenye dula lake hilo kubwa ambalo lina vitu vingi sana vya thamani. Japo duka ni kubwa ila ameamua kuwa na muuzaji mmoja tu kwani Poul ni mchapakazi na ni mtu muaminifu sana.

“Rafiki yako ana onekana ni mkarimu sana?”

Veronica alimuuliza Tomas huku akimtazama usoni mwake.
“Yaa jinsi alivyo hapa ndivyo jinsi alivyo kuwa shuleni. Ana roho nzuri sana”

Mlio wa simu ya Ngosha alio iacha kwenye siti ya mbele katika gari hilo ikawafanya Tomas na Veronica kutazamana kwa sekunde kadhaa.

“Mpelekee simu ina weza kuwa ya maana”
“Hapana Tomas hiyo ni simu ya mwanaume mwenzako. Mimi siwezi ishika, mlete mtoto umpelekee”
Tomas akamkabidhi Magreth mtoto, kisha akaichukua simu hiyo, akafungua mlango wa gari hilo na kushuka. Akaanza kuelekea ndani ya duka hilo. Moyo wa mrs Sanga ukalipuka kwa mstuko mkubwa sana mara baada ya kumuona Tomas akielekea ndani ya duka hilo huku akiwa katika hatua za haraka ambazo zina onyesha dhairi kuna mtu ana mfwata ndani ya duka hilo na mtu wa pekee ambaye mrs Sanga ana mfikiria akilini mwake ni mume wake kwani yeye ndio mwenye bifu kubwa na Tomas na alishuhudia unyama ambao nabii Sanga alimfanyia Tomas.
ITAENDELEA

Haya sasa Mrs Sanga amemuona Tomas kwa mara nyingine, ndani ya duka hilo yupo nabii Sanga je itakuwaje Tomas na nabii Sanga wakikutana uso kwa uso tena ndani ya nchi ya Afrika kusini? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 44.
 
SIN 44

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA


“Mpelekee simu ina weza kuwa ya maana”
“Hapana Tomas hiyo ni simu ya mwanaume mwenzako. Mimi siwezi ishika, mlete mtoto umpelekee”
Tomas akamkabidhi Magreth mtoto, kisha akaichukua simu hiyo, akafungua mlango wa gari hilo na kushuka. Akaanza kuelekea ndani ya duka hilo. Moyo wa mrs Sanga ukalipuka kwa mstuko mkubwa sana mara baada ya kumuona Tomas akielekea ndani ya duka hilo huku akiwa katika hatua za haraka ambazo zina onyesha dhairi kuna mtu ana mfwata ndani ya duka hilo na mtu wa pekee ambaye mrs Sanga ana mfikiria akilini mwake ni mume wake kwani yeye ndio mwenye bifu kubwa na Tomas na alishuhudia unyama ambao nabii Sanga alimfanyia Tomas.

ENDELEA

Mrs Sanga akataka kutoka ndani ya taksi hiyo ila kabla hajafungua mlango, akamshuhudia mwanaume ambaye alimuona akiingia dukani humo, akitoka na wakakutana na Tomas mlangoni. Akashuhudia Tomas akimkabidhi mwanaume huyo simu, kisha Tomas akarudi ndani ya gari. Ngosha akamaliza kuzungumza na simu hiyo na kurudi ndani ya gari.

“Shemeji vipi huu mkufu ume upenda?”
Ngosha alizungumza huku akimuonyesha Victoria mkufu huo.

“Waooo asante sana shemeji, nimeupenda”
“Nashukuru kwa kushukuru. Sasa turudini nyumbani”
Ngosha alizungumza, akawasha gari na wakaondoka eneo hilo. Mrs Sanga akashusha pumzi huku wasiwasi ukitulia kwani hakujua ni kitu gani kingetokea kama nabii Sanga angekuatana uso kwa Tomas. Baada ya nabii Sanga kumaliza kununa kila alicho kihitaji akarudi kwenye taksi hiyo.

“Zawadi yako”
Nabii Sanga alizungumza huku akiweka boksi maalumu lililo na cheni juu ya mapaja ya mrs Sanga.

“Eheee”
“Zawadi yako una stuka stuka nini?”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na jazba kidogo. Mrs Sanga akachukua kiboksi hicho chenye rangi nyekundu na kuifungua. Akakuta cheni nzuri ya dhahabu.
“Asante”
Mrs Sanga alizungumza huku akiendelea kumuwaza Tomas. Nabii Sanga akamkata mke wake jicho la hasira, kwani kwa zawadi ya aina hiyo hakutakiwa kujibu kwa ufupi namna hiyo. Safari ya kuelekea uwanjani wa ndege ikaanza na hawakuchukua muda mrefu sana wakafika uwanjani hapo. Wakakaa kwa nusu saa kisha wakaingia kwenye ndege na safari ya kuelekea nchini Tanzania ikaanza.
***

Magreth akasimamisha gari lake mbele ya nyumba ya bi Ngedere. Akamkuta baba bakari akiwa ana kanga mihogo kibarazani hapo huku akiwa amezungukwa na wateja kadhaa.

“Mage tafadhali nina kuomba usinifanyie hivyo”
Bi Ngedere aliomba kwa unyeyekevu huku akimtazama Magreth aliye kaa siti ya mbele.

“Mama mimi sirogeki kijinga. Yaani nilikuacha pale kwa lengo zuri sana ila mwisho wa siku una nifanyia mambo ya ajabu”
Magreth alizungumza kwa msisitozo huku akimtazama bi Ngedere aliye keti siti ya nyuma. Magreth akafungua mlango wa gari lake na kushuka. Mama Boka na wateja wote wanao mtambua Magreth wakabaki wakiwa wamejawa na mshangao. Kwani Magreth yule waliye kuwa wana mfahamu, amebadilika sana. Magreth amekuwa ni mzuri kupita maelezo. Juma akamfungulia bi Ngedere na kwa ishara ya macho akamuomba ashuke. Taratibu bi Ngedere akashuka huku mwili mzima ukimtetemeka. Juma naye akashuka kwenye gari huku akiwa amesimama karibu kabisa na bi Ngedere.

“Mage”
Mama Boka alizungumza huku akimtazama Magreth.

“Ndio mimi shosti yangu”
“Waooooo”
Mama Boka alizungumza huku akiacha shuhuli ya kuwahudumia wateja wake hao. Akakumbatiana na Magreth kwa furaha kwani ni shosti yake wa kipindi kirefu sana.

“Shosti yangu ume badilika jamani”
“Mungu ana bariki bariki. Niambie una endeleaje?”
“Kama unavyo ona. Jinsi ulivyo tuacha ndivyo jinsi ulivyo tukuta”
“Watu wote wapo?”
“Ndio wapo, hawajaamka wengine”
“Kama huto jali nina kuomba uwaamshe. Nahitaji kuzungumza nao hapo kwenye kordo”
“Kuna nini?”
“Wewe nakuomba ufanye hivyo mama Bakari”
“Sawa hakuna tatizo. Wewe Asha niangalizie mihogo yangu isiungue”
Mama Boka akaanza kuingia ndani, huku Magreth, bi Ngedere na Juma wakimfwata kwa nyuma. Magreth akafunga mlango huo wa mbele, kisha akapitiliza hadi katika mlango wa uwani. Akachungulia kwa nje ili kuona kama kuna mtu ana pika uwani hapo, ila hakumuona. Akafunga mlango huo na kusikama kwenye kordo hiyo. Wapangaji wote wakatoka vyumbani kwao huku wengine wakitoka na waume zao. Kila mmoja akamsalimia Magreth kwa furaha sana, kwani katika kipindi chote cha miaka zaidi ya minne wame ishi naye kwa amani na upendo.
“Jamani kwanza nina waomba munisamehe kwa kuwaamsha muda na wakati kama huu”
“Bila msahama tulikuwa tumesha amka”
“Jamani nimekuja na jambo moja muhimu sana ambalo niliona nisipo fanya kama hivi basi nyinyii wengine nitakuwa nime waacha katika wakati mgumu na mateso mazito sana. Ila kabla sija zungumza mimi, bi Ngedere zungumza kile ulicho kifanya leo ufisini kwangu”
Bi Ngedere mwili mzima ukaanza kumtetemeka, siku zote amezoelekea kuwa mzungumzaji mkubwa snaa ila watu wote wakashangaa kumuona akiwa amejawa na kigugumizi na kushindwa kuzungumza kabisa.”
“Zungumza wewe mama, au una taka nikushushushie makofi”
Magreth alizungumza kwa ukali kidogo ulio zidi kuwashangaza wapangaji wengine kwani siku zote wamesha zoea kumuona Magreth akiwa ni mpole na mnyenyekevu.
“Shosti yangu kuna nini kinacho endelea?”
“Mama Asha wewe ngoja, atazungumza yeye mwenyewe. Uzinipotezee muda zungumza”
“Mimi…leo…leo ni..li…li ku…tana na….na Mage ku…ku…le….le….”
“Mbona ume jawa na kigugumizi. Juma hembu waonyeshe”
Juma akaushika mkono wa kulia wa bi Ngedere na kuvifungua kwa nguvu viganja vya mkono huo. Wapangaji wote wakajwa na mshangao mara baada ya kuona iridhi kubwa inayo pumua kwenye kiganja cha bi Ngedere.

“Sikuzote tumekuwa tukiishia hapa kwenye hii nyumba na kukubaliana na manyanyaso ya huyu mama. Ila ukweli ni kwamba ni mchawi. Leo asubuhi nilimuacha kwenye mgahawa wangu mpya. Ila kwakutumia iridhi yake sijui alikuwa na mpango wa kuwafukuza wateja wangu, au alikuwa na mpango wa kuzorotesha biashara yangu.”
Wapangaji wakazidi kujawa na mshangao.

“Huyu mwana mama amekuwa akitumia njia hii kutudhohofisha kimaendeleo na kiuchumi. Ona ndani ya miaka yote tulio kaa hapa ni kipi cha maana tulikifanya chini ya utawala wa huyu mama?”
Magreth aliendelea kuzungumza kwa jazba.
“Zungumza ni kitu gani ulicho kuwa una tufanyia”
“Jamanii wee mama kumbe ni mwanga kiasi hicho.”
Mama Boka alizungumza huku akimtazama kwa kejeli bi Ngedere anaye mwagikwa na machozi.

“Ni nani na nani ambaye ume mfanyia ubaya humu ndani?”
“Ni…niii….wapangaji wote”
“Heeeee”
Karibia wanamama wote walihamaki, huku kila mmoja akiwa amejawa na maswali ni kitu gani ambacho amefanyiwa na bi Ngedere.

“Zungumza ni kitu gani ambacho umefanyia kila mpangaji wako?”
Bi Ngedere akaanza kuwatazama wapangaji wake mmoja baada ya mwengine.

“Mama boka huwa nina….nina gawana naye kila anapo uza mihogo yake”
“Wee wee weee weee weeee mama. Kumbe ni kopera ehee?”
Mama Boka alizungumza huku akijifunga vizuri tenge lake vizuri, akataka kumvamia bi Ngedere ila mume wake akamzuia.
“Baba boka acha nimfundishe adabu mwanga mkubwa huyo. Mimi nina pambana kila asubuhi kupata vimia mbili mia tatu ila ana niletea using** wake mimi”
Mama Boka alizidi kufoka.

“Mama Boka tulia, zungumza mwengine”
Magreth alizungumza huku akimkazia macho bi Ngedere.

“Huwa….ni…nina lala na baba Asha kila siku usiku, nina ingia chumbani kwake kimazingara na kulala naye”
Mama Asha akajikuta akikaa chini huku akihisi presha ikishuka. Baba Asha uso ukamjaa mikunjo ya hasira, ila kutokana bado wapangaji wawili hajawaelezea ni kitu gani ambacho ame wafanyia ikamlazimu kutuliza hasira zake.
“Endelea”
Magreth aliendelea kumsisitizia bi Ngedere.

“Huwa nina tumia nyota ya mtoto wa mama Omary kwenye mambo yangu ya kichawi”
“Kum….ko wewe mama. Una mroga mwanangu”
Baba Omary alishindwa kujizuia na kujikuta akimvaa bi Ngedere na akaanguka chini. Akaanza kumtandika makofi mazito na kumfanya Juma kuamua ugomvi huo.
“Mutaniua jamani”
“Kufa mbwa wewee”
Mama Omary naye alizungumza huku akimtandika kwa lapa bi Ngedere. Vurumai la wapangaji hao wanao mshambulia bi Ngedere, likazidi kila mpangaji akazidi kushindwa kuzuia hasira yake. Juma akajitahidi kumtoa bi Ngedere mikononi mwa wapangaji wake na kumuingiza chumbani kwake.

“Wewe mama leo lazima tukuue”
Baba Omary alizungumza huku akiwa amefura kwa hasira. Bi Ngerere akaona hata kukuaa chumbani kwake hapo itakuwa ni shida. Akaingia chini ya kitanda chake huku akiendelea kutetemeka kwa woga mkubwa sana.

“Jamani naombeni tutulize jazba. Ninajua mimi ndio niliye mleta hapa nyumbani huyu bibi. Ila jambo moja la msingi ambalo nina hitaji kuwaomba, kila mtu apambane na hali yake. Endapo ataamua kufanya mambo yake usiku basi tambueni kwamba hato kuja kirafiki”
Magreth alizungumza kwa msisitizo.

“Hato weza kufanya hivyo”
Juma alimkatisha Magreth.

“Kwa nini?”
“Iridhi yake hii ndio kiungo kikubwa katika utendaji wa kazi wake. Akiiamerisha hii iridhi kufanya jambo basi ina fanya. Tukiichoma moto basi kila kitu kitakwenda kumuishia”

Juma alizungumza huku akiwa ameishika iridhi hiyo.

“Kuna mafuta ya taa”
Baba Omary alizungumza huku akiingia chumbani mwake, akatoka akiwa ameshika kidungu cha mafuta ya taa. Wakaelekea nyuma ya nyumba hiyo na kuichoma iridhi hiyo na ikaanza kuruka ruka mithili ya kuku aliye chinjwa na kuachiwa pasipo kukata roho vizuri.

“Jamani huyu bibi ni mwanga ehee? Hadi iridhi zina ruka ruka namna hiyo”
“Ndio hiyo. Ila jamani mimi ndio niliye mvumbua huyo bibi. Sinto pendelea muendelee kumshambulia kwa kumpiga. Amefanya makosa tafadhali, musi mdhuru kwa maana kufanya hivyo wezake ambao wame ungana na yeye wata kwenda kuwadhuru na si kuwadhuru kwa hali ya kawaida tu, ila hata muta weza kupoteza uhai wenu au wa watoto wenu”

Juma alizungumza kwa msisitizo huku akiwatazama wapangaji hao.

“Ila kaka si ume sema kwamba tukiichoma hii iridhi kila kitu kita kuwa kime kwisha?”
“Kwisha ndio kitakuwa kime kwisha. Ila je wezake ambao wana muunga mkono kwenye kilinge chao, je wata waacha?”
Kila mpangaji akaanza kuingiwa na wasiwasi.

“Kuweni makini kwa maana mume anzisha vita ambayo sinto penda mupambane nayo kwa maana ita wagarimu sana. Bosi nime kamilisha kazi yangu, nitakusubiria nje”
Juma akaondoka eneo hilo na kumuacha Magreth na wapagaji wa bi Ngedere wakiwa katika hali ya sinto fahamu.
“Jamani leo kidogo ratiba yangu ime nibana ila nitaomba nije weekend hii niwape michongo ya kibiashara ili kila mmoja aweze kutoka kimaisha”
“Sawa Mage”
Magreth akaondoka eneo hilo, akaingia kwenye gari lake na wakarudi ofisini na Juma.
***

Majira ya saa moja usiku, nabii Sanga na mke wake wakafika nchini Tanzania. Wakapokelewa na Julieth waliye wasiliana naye kwamba wana rudi siku hiyo. Baada ya kusalimiana kwa furaha nabii Sanga akamkabidhi Julieth mfuko wenye zawadi zake.

“Nyinyi tangulieni nyumbani”
Nabii Sanga alizungumza mara baada ya mke wake na mwanaye kuingia ndani ya gari.
“Kwa nini baba”
“Kuna mahala nina elekea baada ya hapo nitarudi nyumbani”
“Sawa baba”
Mrs Sanga akamtazama mume wake huku akimtilia mashaka mengi sana kisha kwa ishara akamruhusu mwanaye kuondoa gari hilo. Nabii Sanga akatafuta taksi ya kukodi na kumuomba impeleke eneo ambalo upo mgahawa wa Magreth.

“Julieth simamisha gari”
“Kwa nini mama?”
“Nahitaji tuifwatilie taksi aliyo panda baba yako. Hembu bana hapo pembeni”
Julieth akafanya vile alivyo agizwa na mama yake. Taksi aliyo panda nabii Sanga ikawapita pasipo nabii Sanga kuliona gari hilo la binti yake.

“Haya sasa ifwatilie taksi ya ile hakikisha kwamba baba yako hatambui kama tuna ifwatilia taksi hiyo?”
“Ila kwa nini mama tuna fanya haya yote?”
“Julieth fanya kama nilivyo kuambia sihitaji maswali mengi”
Mrs Sanga alizugumza huku akiwa amejawa na hasira moyoni mwake. Kwani toka walipo kuwa Afrika kusini hapakuwa na amani yoyote kati yake na mume wake.
ITAENDELEA

Haya sasa mrs Sanga ameamua kumfwatilia mume wake na kuhitaji kufahamu ni wapi ana elekea. Je ni nini kinakwenda kutokea? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 45.
 
SIN 45

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA
“Julieth simamisha gari”
“Kwa nini mama?”
“Nahitaji tuifwatilie taksi aliyo panda baba yako. Hembu bana hapo pembeni”
Julieth akafanya vile alivyo agizwa na mama yake. Taksi aliyo panda nabii Sanga ikawapita pasipo nabii Sanga kuliona gari hilo la binti yake.

“Haya sasa ifwatilie taksi ya ile hakikisha kwamba baba yako hatambui kama tuna ifwatilia taksi hiyo?”
“Ila kwa nini mama tuna fanya haya yote?”
“Julieth fanya kama nilivyo kuambia sihitaji maswali mengi”
Mrs Sanga alizugumza huku akiwa amejawa na hasira moyoni mwake. Kwani toka walipo kuwa Afrika kusini hapakuwa na amani yoyote kati yake na mume wake.


ENDELEA

Julieth akaendelea kuifwatilia taksi hiyo ila kadri jinsi anavyo mtazama mama yake usoni, ana ona dhairi kwamba kuuna tatizo linalo endelea kati ya baba na mama yake.

“Mama una weza kunishirikisha ni kitu gani ambacho kina endelea kati yenu nyinyi wawili”
“Mwanangu kichwa changu hakipo sawa. Ila usiipoteze hiyo taksi”
“Sawa”
Julieth alijibu kwa unyonge huku akiendelea kuifwata kwa nyuma taksi hiyo. Wakaishuhudia taksi hiyo ikisimama kwenye mgahawa mkubwa sana ulio jaa wateja.

“Sasa mama baba hapa si atakuwa amekuja kununua chakula”
“Hapana kuna mtu amekuja kuonana naye hapa. Tusubiri kuona ni nani”
Mrs Sanga alizungumza huku hasira ya wivu ikianza kumtawala moyoni mwake. Nabii Sanga akatazama jinsi watu wengi walivyo jaa katika mgahawa huo. Uwepo wake katika mgahawa huo una weza kuwafanya wateja hao kumzonga zonga kwa maana ni nabii mwenye wafuasi wengi sana ndani ya Tanzania.

“Kijana nina kuomba unisaidie jambo moja”
“Ndio”
“Kuna binti ana itwa Magreth ndio mmiliki wa huu mgahawa. Nenda ukamuulize na nina kuomba ukamuite”
“Sawa, nimuambie ana itwa na nani?”
“Mwambie kuna mgeni wake muhimu sana ana muita”
“Sawa”
Dereva wa taksi akashuka na kumuuliza mmoja wa wahudumu wa mgahawa wa Magreth.

“Bosi yule pale, aliye simama na wale wadada wawili”
“Nashukuru”
Dereva taksi akamfwata Magreth aliye simama na wateja wake wawili.

“Samahani dada nina maagizo yako”
“Bila samahani, ila unaweza nipa japo dakika moja nikamalizana na hawa wateja wangu”
“Hakuna shaka”

Dereva huyo akasogea pembeni na kumpa nafasi Magreth kumaliza kuzungumza na wateja wake. Baada Magreth kumaliza kuzungumza na wateja hao, akamsogelea dereva taksi huyo.

“Samahani kwa kukuchelewesha kaka yangu”
“Hakuna tatizo. Ila kuna mgeni wako ndani ya taksi yangu ana kusubiria”
“Mgeni wangu muhimu, ametokea wapi?”
“Hakika sifahamu ila nilimchukua na gari yangu kutokea uwanja wa ndege. Hivyo kama huto jali una weza kuzungumza naye.”
Magreth akamtazama kijana huyo, kwa muonekanao wake anaonyesha kwamba hana uwovu ndani yake.

“Sawa twende tukamuone”
Wakatembea kwa pamoja hadi kwenye taksi hiyo, taratibu kioo cha nyuma cha gari hilo kikafunguliwa. Magreth macho yakamtoka mara baada ya kumuona nabii Sanga. Bumbuwazi zito sana likamkamata Magreth na kujikuta akishindwa hata kumsalimia nabii Sanga.

“Huyu malaya ndio anaye tembea na mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza kwa hasira hadi binti yake akashangaa.

“Malaya!!!”
Julieth alihamaki huku akitazama jinsi Magreth alivyo simama pembeni ya taksi hiyo.

“Ndio ana tembea na baba yake na hizi zote zilizo tumika hapa ni pesa za baba yako”
“Hapana bwana mama. Utakuwa una kosae, baba hawezi kuwa na mwanamke wa nje.”
“Mimi ndio ninaye mjua baba yako na si nyinyi na funga kinywa chako”
Mrs Sanga aliendelea kuzungumza kwa hasira kali sana.

“Suprize, najua umestuka sana kuniona hapa”
“U…u…me….e…fika…je hapa?”
Magreth alizungumza hukua akiwa amejawa na kigugumizi kizito sana.
“Nimeingia Tanzania kama lisaa moja lililo pita. Ingia ndani ya gari tuzungumze”
Magreth akashusha pumzi nyingi na kuzunguka upande wa pili wa gari hilo na kuingia ndani. Nabii Sanga akamuomba dereva kutoka ndani ya gari hilo kwani ana mazungumzo muhimu na bintu hiyo na dereva akatii jambo hilo.

“Unaona unaona dereva ametoka ndani ya gari na kuwaacha wao wawili”
“Tulia bwana mama, kwani dereva kutoka nje ya gari ndio kuna tatizo. Isitoshe lile eneo ni lawazi sana ambalo baba hawezi kujitokeza ikiwa ana waamini wengi sana. Mama hembu acha wivu wako”
Mrs Sanga akamtazama kwa hasira mwanaye huyo na kuachia msunyo mkali sana.

“Mbona umekuja bila kunitaarifu ikiwa uliniambia utarudi baada ya wiki?”
“Kwani kuna tatizo mpenzi wangu?”
“Hapana ila umenistua sana”
“Usijali, sogea hapa”
Nabii Sanga alizungumza huku akimsogeza kwa karibu Magreth, akaanza kumnyonya lispi zake.

“Jamani baby hapa kuna watu wengi na kumbuka nipo kazini.”
“Basi nina omba funguo nikakusubirie kwako. Leo sina hamu ya kwenda kulala nyumbani kwangu. Nimekumiss sana mpenzi wangu”

Mapigo ya Magreth yakazidi kumuenda kasi sana kwani nyumbani kwake amemuacha Evans ambaye ndio mwanaume anaye mpenda na hatamani hata siku moja kumpoteza.

“Aha….baby sasa kwa nini usiende nyumbani ukakutane na mama kwanza ina onekana atakuwa ame kumiss sana”
“Mama nimeachana naye uwanaja wa ndege. Nilikuwa naye kwenye ziara yangu yoye ya nchini Nigeria”
Kauli hiyo ikazidi kumuweka Magreth katika wakati mgumu.

“Nimekumiss sana Magreth wangu. Yaani kama kungekuwa hakuna wateja wengi hapa. Ningekuambia sasa hivi ufunge na tuondoke pamoja”
“Nime kumiss sana mume wangu. Ila nina kuomba uende nyumbani kesho sinto kuja kazini kwa ajili yako. Nitahitaji twende mbali na hapa Dar ess Salaam. Tukale raha sku nzima, kukaa nyumbani na ikiwa umetoka mbali mimi nina ona sio jambo zuri mume wangu. Ninataka tukakutane mbali, tupeane raha hadi nyeg** zituishe”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa mahaba mengi sana. Nabii Sanga akashusha pumzi huku akiuchukua mkono wa kulia wa Magreth na kuuweka juu ya jogoo wake.

“Mke wangu hembu tazama jinsi jogoo wangu alivyo simama. Ana hamuna wewe jamani”
“Hata mimi nina hamu naye jamani. Ila kesho nita mkatikia kama vile ninavyo mkatikia si utapenda nifanye hivyo. Leo nenda kapumzike, uzoee joto la Dar yetu hii ila kesho baba yangu kuanzia asubuhi ni mimi na wewe”

Nabii Sanga akatabasamu huku akitazama uzuri alio barikiwa Magreth.
“Kwa nini nisipende. Sawa mke wangu nimekuletea zawadi za garama sana. Kaa nazo hizi kesho kwenye hiyo safari zetu nina kuomba uwe nazo, nina hitaji nikuvishe mimi mwenyewe. Tafadhali usizifugue”
Nabii Sanga alizungumza huku akitoa mfuko wenye boksi lenye cheni hizo za garama pamoja na pete.

“Sawa mume wangu sinto zifungua”
“Nakuamini.”
Nabii Sanga akamvuta karibu Magreth na kuanza kumnyonya taratibu. Wakaachiana huku nabii Sanga akiwa amejawa na usongo mkubwa sana wa kupata penzi la Magreth.

“Acha niwahi nyumbani mke wangu kwa maana nikikaa hapa nita pandwa na mizuka bure”
“Hahaa sawa mume wangu. Nina kupenda sana”
“Ninakupenda pia. Ila vipi biashara ina kwendaje?”
“Ina kwenda vizuri sana”
“Mungu ni mwema, abariki katika hilo”
“Amen”
Magreth akashuka na mfuko huo wenye boksi dogo kisha taksi hiyo ikaondoka eneo hilo.

“Unaona ule mfuko ambao baba yako aliondoka nao pale uwanja wa ndege ndio amekuja kumuachia huyu malaya. Tuwahi nyumbani haki ya Mungu nina apa nita shuhulika naye mpumbavu. Hajui ni wapi nime toka na mume wangu alafu leo hii ana kuja kutumia pesa za mume wangu kirahisi namna hii”
Mrs Sang alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Julieth akamtazmaa kwa umakini Magreth na akaikremisha sura yake hiyo kisha wakaondoka eneo hilo huku wakijitahidi kupita njia ya mkato ili wawahi kufika nyumbani kabla ya nabii Sanga kufika.

Magreth akajikaza kutemeba hadi ndani ya mgahawa wake. Akatafuta kiti na kukaa huku akiwaza ni jinsi gani sasa ana weza kudili na nabii Sanga huku Evans akiwa nyumbani kwake.

“Ehee Mungu nisaidie nitafanya nini mimi?”
Magreth alijikuta akizungumza mwenyewe huku akiwa amejiinamia.

“Bosi kna tatizo?”
Juma alimuuliza Magreth huku akimtazama usoni mwake.

“Hapana hakuna tatizo”
“Nilisi labda yule bibi ame kutatiza tena”
“Hapana.”
Hamu ya kufanya kazi ikamuisha kabisa Magreth. Akasubiri hadi muda wa kufunga mgahawa wake, akapiga mahesabu ya kipato anacho kiingiza kwa siku hiyo na jambo la kumshukuru Mungu akajikuta akiwa ameingiza milioni kumi na mbili. Akampa kila mfanyakazi wake laki moja moja ikiwa kama bonus ya juhudi ya utendaji wao wa kazi. Magreth akawapa maagizo wahudumu wake hao, wahakikishe wana wahi kufika kazini asubuhi na mapema kwa maana na hati hati ya kuto kufika kazini siku inayo fwata. Mara baada ya maagizo hayo akaingia kwenye gari lake na kuelekea nyumbani kwake.

Akafika nyumbani kwake na Evans akamfungulia geti, akasimamisha gari lake kwenye maegesho na kumtazama Evans anaye funga geti hilo.
‘Ohoo Mungu wangu nita mueleza nini huyu mwanaume?’

Magreth aliwaza huku akishuka kwenye gari lake. Wakakumbatiana na Evans huku wakinyonyana ndimi zao. Wakaingia ndani kwa pamoja.

“Nimekuandalia chakula kizuri mke wangu. Nina imani hujakula huko kazini kwako?”
“Ni kweli mume wangu, acha nikajimwagie kwanza kisha nije tule kwa pamoja”
Wakaingia chumbani kwa pamoja.
***

Mrs Sanga na mwanaye wakawa wa kwanza kufika nyumbani hapo. Mrs Sanga hakuona hata haja ya kukaa sebleni hapo na kuzungumza na mwanaye huyo ambaye ni takribani mwenzi sasa hawajaonana. Baada ya lisaa moja nabii Sanga akafika nyumbani hapo na kupokelewa na Julieth pamoja na mfanyakazi wa ndani kwa furaha sana.

“Mama yenu yupo wapi?”
“Yupo chumbani”
“Vipi baba nikuandalie chakula?”
“Hapana, nitakula asubuhi. Ngoja nikampumzike”
Nabii Sanga akaondoka seblenii na kuingia chumbani kwake. Akamkuta mke wake akiwa amejilza kitandani, akavua nguo zote na kuingia bafuni. Mrs Sanga aliweza kusikia kila kitu mume wake anacho kifanya. Hakupata hata lepe la usingizi na kichwnai mwake ana panga mipango ya kuhakikisha ana mkomesha Magreth ambaye ana nufaika kwa pesa za familia yake.
“Mbona ume kaa au una usingizi?”
“Ulikwenda wapi?”
“Nilikwenda kukutana na mchangaji msaidizi wetu”
“Mchungaji msaidizi wetu!!!?”
“Ndio kwani kuna tatizo la mimi kuonana naye?”
“Hakuna sawa, nina hitaji haki yangu”
Mrs Sanga alimtega mume wake huku maana yake kubwa ya kumueleza hivyo ni kuona ni maamuzi gani ambayo ata yachukua.

“Nimechoka na safari nina omba nipumzike”

“Kwani hio safari ume safiri wewe mwenyewe na mimi pia si nilikuwa safarini?”
“Kwa hiyo, si kila mtu ana mwili wake wa kuchoka. Kwanza hembu kajisafishe hiyo najisi uliyo tiana na wanawake wezako kwa kusagana kisha ndio unifwate mimi nikupe haki yako”
“NAJISI!!?”

Mrs Sang aliuliza huku akiwa amejawa na hasira sana.
“Ndio mwili wako mzima hapo umejawa na najisi. Yaani binadamu mwenye akili zako timamu, una aamua kusagana na wanawake wezako una hisi kwamba wewe sio najisi. Yaani ni heri ya wanayama ambao hawana akili ila huwezi kuwaona wanyama wa jinsi moja wakifanya uchafu kama huo ulio ufanya wewe”
Nabii Sanga alizungumza kwa kejeli huku akimtazama mke wake aliye fura kwa hasira hapo kitandani.

“Ahaa..kwa hiyo hata wewe ni najisi kwa maana ulivyo kuwa una mfir** yule kijana wa watu ili utajirike na nikakusamehe na ukamfanya Tomas ulicho umfanya pia nika kusamehe. Leo hii una niona mimi nina nina makosa sana si ndio”
Mrs Sanga alizungumza kwa hasira huku akiwa amesimama mbele ya mume wake.
“Mimi nilikuwa nina fanya kwa sababu. Je wewe umenufaika na nini, zaidi ya kuchezewa chezewa, alafu leo hii una taka kuona mbo** yangu ina ingia kwenye kum** yako. Una akili kweli wewe, siwezi kuingia sehemu chafu kama hiyo”
Kauli za kejeli na dharau, zikamfanya mrs Sanga kupandwa na hasira sana na kujikuta akimzaba mume wake kofi zito la shavuni mwake huku akihema kwa hasira kali sana.
“Ole wako sikunyingine ufungue kinywa chako na kunitamkia upuuzi kama huo. Nipo radhi kukusambaratisha kwa kutoa siri zako zote na utajuta ni kwa nini uliwahi kuniona mimi na kunioa”
Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimyooshea nabii Sanga kidole cha usoni mwake akishiria kwamba alicho kizungumza ana kimaanisha na hatanii kwa jambo la aina yoyote ile.
ITAENDELEA

Haya sasa mrs Sanga amemzaba kofi mume wake, ikiwa ndio mara yake ya kwanza kufanya kitendo hicho kwa mume wake je nini kitaendelea? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 46.
 
SIN 46

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Mimi nilikuwa nina fanya kwa sababu. Je wewe umenufaika na nini, zaidi ya kuchezewa chezewa, alafu leo hii una taka kuona mbo** yangu ina ingia kwenye kum** yako. Una akili kweli wewe, siwezi kuingia sehemu chafu kama hiyo”
Kauli za kejeli na dharau, zikamfanya mrs Sanga kupandwa na hasira sana na kujikuta akimzaba mume wake kofi zito la shavuni mwake huku akihema kwa hasira kali sana.
“Ole wako sikunyingine ufungue kinywa chako na kunitamkia upuuzi kama huo. Nipo radhi kukusambaratisha kwa kutoa siri zako zote na utajuta ni kwa nini uliwahi kuniona mimi na kunioa”
Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimyooshea nabii Sanga kidole cha usoni mwake akishiria kwamba alicho kizungumza ana kimaanisha na hatanii kwa jambo la aina yoyote ile.

ENDELEA

“Hahaaaa……hahahahaaa”
Nabii Sanga alicheka sana kwa dharau huku akimtazama mke wake aliye fura kwa hasira. Nabii Sanga akajishika shavu lake alilo pigwa kibao. Akaushika mkono wa mke wake ambao ume mpiga kofi. Mrs Sanga akautoa mkono wake kwa nguvu huku akihisi kifua chake kina kwenda kumpasuka kwa hasira.

“Ngoja nikuambie jambo moja ambalo ulifahamu. Masharti ya utajiri wangu na huduma yangu yame badilika. Hayakutegemei wewe na wala huwezi kunisambaratisha. Kabla ya kufanya hivyo, wazazi wako na wadogo zako. Nitawapokonya kila kitu walicho nufaika kwa kupitia mimi. Wewe, nitakupokonya kia kitu unacho kimiliki kw amaana nilikuokota tu njiani kutoka mikononi mwa wale malaya wezako. Hivyo usi sahau kwamba kila mali na kila pesa unayo itumia ni vyangu. Kama una bisha acha nikuonyeshe jambo”
Nabii Sanga akatoa simu yake mfukoni huku akiwa amejawa na hasira. Akamuonyesha mke wake video ambayo ilirekodiwa pasipo kuja, yeye akifanya mapenzi na Tomas tena ofisini mwa mume wake. Japo alimuahidi mke wake kwangu alisha ifuta video hiyo ila bado anayo. Akamuonyesha video aliyo wafumania nyumbani kwa Tomas.

“Kwanza nina watumia wanao wote watatu. Washuhudie jinsi mama yako akiliwa jicho na kijana tena dalali. Kwanjia hiyo nitakuwa nime kupokonya upendo na support ya wanao. Nilazima watakuchukia na hakuna atakaye kuheshimu tena. Nitawapigia mameneja wote wa bank zenye akaunti yako, wata zifunga zote, sasa tuone kwama mimi na wewe nani mwenye nguvu na uwezo wa kumsambaratisha mwenzake”
Mrs Sanga akajikuta akinywea taratibu. Ni heri kufungiwa akaunti zake na asizitumie tena kuliko kutengenishwa na upendo wa wanaye ambao ana wapenda kupindukia.

“Sanga kwa nini ulinidanganya kwamba hizo video ume zifuta ingali bado zipo kwenye simu yako?”
“Naijua akili yako. Nikama kuku, ina shindwa kutambua mimi nime kutoa wapi n anime kuweka kwenye mazingira gani. Usijaribu wala kufikiria eti kuniangusha mimi. Hapana huto weza, japo tuna lala kitanda kimoja na kiishi nyumba moja moja ila bado huja nijua mimi. Nina roho ya kipekee sana ambayo ni wanadamu wachache sana ambao wana roho kama hiyo”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake.
“Mume wangu ni hasira tu ila nina kuomba uni saheme”
“Kwani umenikosea?”
Mrs Sanga akabaki akiwa amejawa na kigugumizi. Nabii Sanga akamtazama kwa umakini mke wake, kisha akajifunga taulo na kutoka chumbani humo huku akiwa ameishika simu yake. Akamkuta mtoto wake na mfanyakazi wa ndani wakiwa wana tazama filamu sebleni.

“Baba bado huja lala?”
“Yaa bado. Ni filamu gani hiyo?”
“Ina itwa Jumanji”
“Ahaa ni nzuri ehee?”
“Yaa ina comedy ndani yake. Ehee baba vipi safari yako ime kwenda salama?”
“Ndio ime kwenda salama. Mikutano iliyo tupeleka huko ime kwisha salama”
“Ahaa Mungu ni mwema.”
Julieth akamtazama baba yake, akatamani sana kumuambia tukio walilo fanya na mama yake ila akajifariji kwamba ata mueleza mara baada ya kukutana na Magreth ili aweze kumuhoji. Nabii Sanga akaendelea kuzungumza mambo mengi na vijana wake hao. Hadi ilipo timu saa nane usiku, vijana wake wote waka ondoka na kuingia chumbani kulala. Nabii Sanga akaitafuta namba ya Magreth kwenye simu yake, akataka kumpigia ila moyo kidogo ukasita.

‘Ata kuwa amelala na amechoka kwa kazi yake ya mgahawa’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo na kuelekea chumbani kwake. Akamkuta mke wake akiwa amelala, taratibu na yeye akalala pembeni yake.

Julieth asubuhi na mapema akawahi kuamka. Akaoga na kujiandaa kwa ajili ya kuwahi chuo huku akilini mwake akidhamiria kuwahi kufika katika mgahawa wa Magreth kabla ya kwenda chuo. Kutokana alafajiri hiyo na mapema hakuna foleni kubwa. Akafanikiwa kufika katika mgahawa wa Magreth na kukuta wafanyakazi wawili.

“Bado hatujafungua ndugu Boss”
Mfanyakazi huyo wa kiume alimuambia Julieth huku akimatazama usoni mwake.

“Hakuna tabu, nita subiri hadi mufungue”
Julieth alizungumza huku akikaa kwenye moja ya kiti. Haukupita muda mrefu sana, Magreth akafika katika mgahawa wake, huku lengo la yeye kufika hapo ni kufungua tu ila siku hiyo mgahawa uta ongozwa na wahudumu wake kwani yeye ana safari ya kutoka nje ya jiji la Dar es Salaam. Magreth akamsalimia Julieth kama mteja tu, kisha akasalimiana na wafanyakazi wake na kuwakabidhi funguo.

“Samahani dada tuna weza kuzungumza?”
Julieth alizungumza huku akimfwata Magreth anaye minya minya simu yake akiitafuta namba ya nabii Sanga.

“Ndio tuna weza kuzungumza. Ila samahani mara moja”
“Sawa”
Magreth akaiweka simu yake sikoni huku akiendelea kusikilizia jinsi inavyo ita.

“Yes baby”
“Niambie mke wangu”
“Safi tu. Tuta kutana wapi?”
“Mmmm nina kuja hapa kwenye mgahawa wako au kuna watu wengi?”
“No tukutane nje ya hapa”
“Wapi tuonane?”
“Wewe kwa sasa upo wapi?”
“Mimi ndio nime ingia kwenye gari. Nina toka nyumbani”
“Basi wewe anza kutoka ila safari yetu ni nje ya Dar tuonane sehemua mbayo itakuwa ni rahisi kwa sisi kuendelea na safari yetu”
“Sawa mpenzi wangu. Basi ngoja kwanza nitoke alafu nitakuambia sehemu nilipo fika kisha nawe uta kuja”
“Poa, tutatumia gari langu au lako”
“Lako itapendeza zaidi”
“Sawa mume wangu nakupenda sana”
“Nakupenda pia”
Mazungumzo hayo ya Magreth, kidogo yakaanza kumuweka Julieth njia panda. Hisia za mama yake akaamini kwamba zimemfikiria vibaya dada wa watu, kwani ana mume wake anaye mpenda na ana zungumza naye kwa furaha namna hiyo.

“Ndio dada nina kusikiliza”
“Ahaa…..Samhani lakini kwa kukuuliza maswali yangu”
“Kuwa huru kabisa”
“Mimi nina itwa Anna”
Julieth alidangaya huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Nashukuru kukufahamu Anna. Mimi nina itwa Julieth”
“Nashukuru pia kukua jua. Ahaa……baba yangu alikuwa ana mpango wa kunifungulia mgahawa mkubwa sana. Ila nikashindwa kumpa jibu la moja kwa moja na nikamahidi nitakapo fanya research yangu kama hii biashara ina lipa basi ani fungulie kwa maana nina ogopa kufanya biashara ambayo kwa namna moja haito niigizia faida kama ile ninayo ihitaji”
Julieth alibadilisha mada japo alikwenda hapo kwa lengo moja tu, la kumuuliza maswali Magreth juu ya mahusiano yake na nabii Sanga.
“Ahaa hii biashara ni nzuri sana na ina faida kubwa sana. Chukua hii namba yangu ya simu kisha nipigie kama majira ya saa tatu usiku n ina imani kwamba nita kuwa nina muda mzuri sana wa kuzungumza na wewe”
“Sawa nashukuru sana”
Julieth akainakili namba aliyo tajiwa na Magreth kwenye simu yake kisha wakaagana na Julieth akaondoka pasipo kumgundua kwamba huyo aliye toka kuzungumza naye ni mtoto wa nabii Sanga. Magreth akampigia simu nabii Sanga na kumuomba waweze kukutana maeneo ya Mwenge na kwa bahati nzuri nabii Sanga amekaribia kufika maeneo hayo. Magreth akaingia ndani ya gari lake, ikamchukua nusu saa kufika katika eneo hilo. Nabii Sanga akaliacha gari lake katika moja ya sheli na kuliacha katika uangalizi wa sheli hiyo kisha akaingia kwenye gari la Magreth na wakainaza safari ya kuelekea nje kabisa ya jiji la Dar es Salaam.

“Hivi Bagamoyo kuta kuwa na usalama mpenzi wangu?”
Magreth alimuuliza nabii Sanga.

“Ndio kuna hoteli zipo ndani ndani sana na ninzuri sio rahisi kwa mtu kuweza kufahamu kwamba tupo pale.”
“Hapo sawa kwa maana si una tambua wewe mwenzangu ni maarufu. Isije mashilawadu wakaanza kutupiga picha na kuzisambaza kwenye mitandoa ya kijamii nina imani kwamba mke wako ata tuua”
“Hahaa usiogopea”
Nabii Sanga alizungumza huku akilitomasa tomasa paja la Magreth lililo nona vizuri na kutamanisha.
***

Julieth kila anavyo jaribu kujishauri kuelekea chuoni, moyo wake una sita kabisa na kujikuta akianza safari ya kuelekea nyumbani kwao. Akamkuta mama yake akiwa sebleni ame kaa kiunyonge sana.

“Vipi mbona ume rudi, huja kwenda chuo?”
“Ndio mama, shikamoo”
“Marahaba. Ehee kwa nini huja kwenda chuo”
“Baba yupo?”
“Hapana ame ondoka alfajiri na mapema”
“Amesema ana kwenda wapi?”
“Haja nieleza chochote”
“Hajakuaga?”
“Ndio. Mbona una uliza sana?”
Julieth akamsogelea mama yake sehemu alipo kaa.

“Nimetoka kwenye ule mgahawa tulio kwenda jana na nime kutana na yule dada”
Mrs Sanga akaka vizuri kwenye sofa hilo, kwani huyo anaye zungumziwa hapo ni mwizi wake.
“Ulikwenda kufanya nini?”
“Nilikwenda kujidhibitishia kwamba je ana mahusiano na baba au laa. Ila kwabahati nzuri mume wake alipiga simu pale na akazungumza naye vizuri sana. Ikabidhi nibadilishe mada na kumueleza kwamba na mimi baba yanu amepanga anifungulie mgahawa.”
“Hakuweza kukufahamu kwamba wewe ni mtoto wa nabii Sanga?”
“Ndio hakunifahamu na jina nilimueleza kwamba nina itwa Anna na akaniachia namba yake ya simu”
“Unayo hapo?”
“Ndio ninayo”
“Nionyeshe hapo”
Julieth akamuonyesha mama yake namba hiyo ya simu. Akainakili kwenye simu yake na akata kumpigia Magreth ila akasita kidogo.

“Mama usimpigie, taratibu twende naye huyu ili tujue ni kitu gani kinacho endelea. Nimeamua kukusaidia mama yangu kwa sababu nina kupenda na sipendi kukuona ukiwa katika hali mbaya ya kufedheheka kisa baba”
Julieth alizungumza kwa suati ya upole na iliyo jaa faraja sana. Taraibu Mrs Sanga akamkumbatia mwanaye huyo wa mwisho.

“Nime pata wazo”
“Wazo gani?”
“Kuna dada mmoja hivi nina mfahamu ana dili na maswala ya IT. Pia ana kampuni ya mambo hayo. Anaitwa Levina ni rafiki yangu japo sio sana. Anaweza kunisaidia katika kui hack namba ya huyo dada ili tuweze kusikia kila anacho kizungumza katika simu yake.”
Julieth alizungumza wazo ambalo mama yake hakuweza kulipinga kabisa. Julieth akampigia simu Levina na wakapanga kukutana ofisini kwake asubuhi hiyo. Mrs Sanga akajiandaa haraka haraka na wakaifunga safari na binti yake kuelekea ofisini kwa Levina. Wakafika ofisini hapo na kuruhusiwa kuingia ndani, Levina akastuka kidogo kumuona mrs Sanga hapo, kwani alisimuliwa na Tomas kwamba mwana mama huyo alielezwa sira juu ya mchepuko wa mume wake na mume wake aliamua kumsingizia Tomas kesi iliyo mfanya atafutwe na askari nchi nzima, japo hata story hiyo aliyo elezwa na Tomas haina ukweli. Ila ukweli ni kwamba huyo ni mke mwezie.

“Karibun sana”
“Tunashukuru Levina. Bwana nimekuja na shida moja hapa nina kuomba uweze kutusaidia”
“Hakuna tatizo ni nyinyi tu”
“Huyu ni mama yangu mzazi.”
“Nashukuru sana kukufahamu mama”
“Asante”
“Ngoja nikueleze jambo lililo tuleta hapa. Kuna msichana mmoja hapa mjini mama ana hisi kwamba ana mahusiano na baba. Msichana huyo inavyo sadikika ame funguliwa mgahaw ana baba. Sasa kitu ambacho nina hitaji ukifanye ni kuhack simu yake, ili simu zote zinazo ingia kwenye simu yake sisi nasi tuweze kusikia”
“Mmmm hiyo kazi ni rahisi sana. Ila watu wengi ambao nime wafanyia hiyo kazi. Wengi wameishia katika kuwadhuru wapenzi wao na wengine ndoa zao kuvunjika. Sinto pendelea kuona kwamba nina isambaratisha ndoa ya mtumishi wa bwana mkubwa kama nabii Sanga kwa ajili ya kazi yangu”
Levina alizungumza kwani jambo hilo sio mara yake ya kwanza kulisikia, ni mara ya pili kwa nabii Sanga kuhusishwa na msichana huyo na kesi ikiwa ni hiyo hiyo ya msichana huyo kufunguliwa mgahawa.

“Nisikilize binti yangu. Sisi hapa wote ni wanawake, tuna mioyo ya kuumia, wewe mume wako akikuumiza ni lazima uta umia. Nina kuomba unisaidie kama mama yako, nahitaji mazungumzo yanayo ingia kwenye simu ya biti huyo tu na wala sihitaji mazungumzo yanayo ingia kwenye simu ya mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya upole sana na iliyo jaa unyenyekevu. Levina akamtazama mrs Sang.

‘Nitamsaidia Tomas katika kuanza kulipiza kisasi chake’

Levina alizungumza kimoyo moyo. Wakakubaliana kiasi cha shilingi milioni tano na Levina akaianza kuifanya kazi hiyo. Ndani ya dakika tano akafanikiwa kuhack mazungumzo yote yanayo ingia kwenye simu ya Magreth yawe yana ingia pia katika simu ya mrs Sanga pamoja na Julieth.

“Kazi yenu ime kwisha”
“Tuna shukuru sana Levina. Ila kuna simu moja alipigiwa asubuhi hii ya leo. Je mazungumzo yake tuna weza kuyapata?”
Julieth alizungumza huku akimtazama Levina usoni mwake.
“Ndio yapo hapa”
“Je tuna weza kuyasikia?”

“Muna hakika muna hitaji kuyasikia?”
“Ndio”
Levina akawatazama Julieth na mama yake, kutokana wame amaua kusikia mazungumzo yaliyo pita katika simu ya Magreth akaminya batani katika laptop yake na mazungumzo kati ya Magreth na nabii Sanga yakaanza kupenya taratibu masikioni mwao na kumfanya Julieth kushangaa sana huku mama yake akiwa ame fura kwa hasira kali sana ya kuibiwa mume wake na Magreth.
ITAENDELEA

Haya sasa Mrs Sanga na Julieth wama yasikia mazungumzo yote ambayo Magreth alikuwa ana zungumza na nabii Sanga juu ya safari ya kukutana na kwenda nje ya jiji la Dar es Salaam je ni nini kita endelea? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 47.
 
SIN 47

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188

ILIPOISHIA

“Ndio yapo hapa”
“Je tuna weza kuyasikia?”

“Muna hakika muna hitaji kuyasikia?”
“Ndio”
Levina akawatazama Julieth na mama yake, kutokana wame amaua kusikia mazungumzo yaliyo pita katika simu ya Magreth akaminya batani katika laptop yake na mazungumzo kati ya Magreth na nabii Sanga yakaanza kupenya taratibu masikioni mwao na kumfanya Julieth kushangaa sana huku mama yake akiwa ame fura kwa hasira kali sana ya kuibiwa mume wake na Magreth.

ENDELEA

“Wa…a…me…sema wana kwenda Bagamoyo?”
Mrs Sanga alizungumza huku akibabaika sana. Hakuweza hata kukaa kwenye kiti hicho, akanyanyuka na kuanza kuzunguka zunguka ndani ya chumba hicho huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi.

“Mama tulia basi, kufanya hivyo maana yake nini?”
Julieth alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mama yake usoni. Levina akatabasamu huku akimtazama mwana mama huyo kwani sasa ana zidi kumchanganya mwanamke huyo.

“Binti hembu jaribu kuitafuta namba ya mume wangu nataka kujua kwa sasa yupo wapi?”
“Hiyo ni kazi nyingine mama. Je uta nilipa?”
“Pesa sio shida. Wewe fanya kama nilivyo kueleza”
Levina akaitafuta namba ya nabii Sanga, haikuchukua muda sana akafanikiwa kufahamu ni sehemu gani nabii Sanga yupo.

“Mume wako yupo Bagamoyo kwa sasa”
“Na huyo malaya si yupo huko huko Bagamoyo?”
“Wapo eneo moja”
“Niamabie ni eneo gani wapo nahitaji kwenda sasa hivi”
Mrs Sanga alizungumza huku jasho likimwagika usoni mwake. Levina akachukua kikaratasi kidogo na kuandika jina la eneo walipo nabii Sanga na Magreth, pamoja na hoteli, kisha akamkabishi mrs Sanga kikaratasi hicho.

“Malipo yangu”
“Ni kiasi gani?”
“Hi kazi ya sasa niliyo kufanyia ni milioni mbili”
Mrs Sanga akahamisha kiasi cha milioni saba kwenye akauti ya Levina kisha akwaondoka eneo hilo huku mrs Sanga akitamani hata apae angani ili kufika eneo la Bagamoyo.

“Naomba funguo zako”
“Mama siwezi kukufa funguo ya gari ukaendesha. Acha niendeshe mimi mwenyewe”
“Usiniletee ujinga. Nipe funguo ya gari”
Mrs Sanga alimfokea sana Julieth ambaye hakuwa na jinsi zaidi ya kutii amri hiyo ya mama yake. Akamkabidhi funguo ya gari lake kisha wakaingia. Mrs Sanga akalirudisha nyuma gari hilo kwa kasi kisha akaliweka sawa. Safari ya kueleke Bagamoyo ikaanza huku akiwa katika mwendo wa kasi sana.

“Mama taa inashawaka ya orange punguza mwendo”
Julieth alimuambia mama yake, huku akizitazama taa za barabarani eneo hilo la Mwange. Hadi anakaribia kufika eneo la makutano ya taa hizo, tayari taa nyekundu ilisha waka kwa ishara ya kuwaashiria kwamba wasimame, na taa za upande wa kulia zikaruhusiwa. Mrs Sanga hakujali kuwashwa kwa taa hizo nyekundu na kujikuta akijitahidi kukatiza, ila gafla bodaboda aliye mpakiza abiria, tayari walishajaa mbele ya gari lao na kujikuta akiwabamiza kwa nguvu huku akifunga breki za gari hilo na kuzifanya tairi za gari hilo kuserereka kwa muda kisha gari likasimama huku mrs Sanga akiwa amejawa na hofu kubwa sana na tayari waendesha pikipiki wa eneo hilo pamoja na watu wengine wameanza kulisogelea gari hilo huku wakionekana kujawa na hasira kali sana.
***

Mara baada ya kupata kifungua kinywa, Evans akajiandaa kwa safari ya kwenda kuonana na mmoja wa wanachuo alio maliza nao kusoma. Evans akaichu simu yake inayo ita, akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Niambie kaka”
“Vipi bado hujatoka?”
“Nipo njiani ndugu yangu ninakuomba unisubirie”
“Wahi ndugu yangu si unajua kwamba kuna ratiba nina hitaji kuiwahi mida ya saa sita hivi”
“Poa poa kaka”
Evans akakata simu na kumaliza kujianda, akachukua kiasi cha pesa na kuweka katika katika wallet yake. Kutokana Magreth ameondoka na gari lake, ikamlazimu Evans kukodisha pikipiki.

“Hadi Masaki ita garimu kiasi gani?”
“Hapo itakuwa ni elfu arobaini”
“Sawa nina omba helment”
“Lipo hili hili moja kaka”
“Sawa nina liomba nivae mimi. Ila si munapaswa madereva bodaboda si munatakiwa kuwa na helment mbili?”
“Ndio kaka ila vaa hili, tukifika hapo mbele nitawaomba jamaa maskani”
Muendesha pikipiki huyo akamkabidhi Evans kofia hiyo ngumu ya kujilinda kichwa pale kinapo pata tatizo kama ajali. Safari ikaanza kuelekea masaki, ila walipo kuwa njiani Evans akamuomba dereva huyo wapitie Mlimani City kuna jambo ambalo ana hitaji kulinunua.

Wakafanikiwa kufika Mlimani City na Evans akaingia ndani ya jengo hilo lenye maduka mengi. Akafika katika duka linalo uza bidhaa za kampuni ya apple. Akaulizia bei ya moja ya laptop.

“Basi nitakuja kuichukua by saa saba”
“Sawa kaka karibu sana”
Evans akatoka dukani hapo na kurudi alipo muacha muendesha pikikipi.

“Kaka kiasi kitaongezeka kidogo”
“Sawa hakuna shaka”
Wakaondoka eneo hilo, wakafika Mwenge na kusimama kwani taa za upande wao zimewazuia. Baada ya dakika moja taa za upande huo zikawaka. Dereva wa pikipiki akatia gia na kuondoka, kitendo cha kufika katikati ya eneo hili la makutano ya mataa hayo, gari moja ikawagonga, Evans akarushwa pembeni na kuanza kubingirika kwenye lami hiyo huku muendesha pikipiki akirushwa na pikipiki yake huku akivunjika vujika kwani yeye ndio amebamizwa vibaya sana na pikipiki hiyo. Evans akasimama huku akishangaa jinsi watu wanavyo zidi kujaa katika eneo hilo. Akatazama jinsi watu wanavyo mfwata muendesha pikipiku aliye laliwa na pikipiki yake huku hali yake ikizidi kuwa mbaya.

“Upo salama wewe?”
Jamaa mmoja alimuuliza Evans ambaye bado hajielewi. Kila anacho kiona katika eneo hilo ana ona kama ni filamu fulani.
“Mkalishe chini huyo hapo sio yeye”
Jamaa mmoja alizungumza, wakamshika Evans mkono na kumtoa katikati ya barabara hiyo na kumkalisha pembeni huku wakijaribu kumtazama kama ana majera ya aina yoyote.
“Oya una nijisiaje?”
“Nipo poa”
“Kweli?”
“Ndio nipo sawa”
Evans akatoa simu yake mfukoni na kuitazama, akakuta kioo kikiwa kimepasuka kwa kuvunjika vunjika vibaya. Raia wenye hasira kali wakaendelea kuwalazimisha watu walio wagonga Evans na muendesha pikipiki huyo kushuka ndani ya gari huku wengine wakitishia kuvunja vioo vya gari hilo. Askari wa jeshi la kutuliza ghasia ambao walikuwa katika eneo la sheli katika makutano hayo, wakafika eneo la tukio na kuanza kuzungujmza na wananchi hao wenye hasira. Ila wananchi hao wakaonekana kuto kukubaliana na mazungumzo hayo ya askari. Askari mmoja akakoki bunduki yake aina ya SMG na kupiga risasi mbili hewani na wananchi hao wakaanza kutawanyika huku kila moja akiogopa milio hiyo. Askari hao wapatao nane, wakalizunguka gari hilo na askari mmoja akamuamrisha mwana mama anye endesha gari hilo kufungua.

Mrs Sanga wala hakuwa na nguvu ya kufungua mlango wa gari hilo. Julieth muda wote huo wameshikwa na bumbuwazi kiasi kwamba haelewi kinacho endelea.

“Mama fungua mlango”
Askari huyo alizungumza huku akipiga piga kioo cha gari hilo. Mrs Sanga akamtazama askari huyo, akashusha pumzi, kisha akaminya batani na kufungua lock za mlango huo.

“Mama shuka”
Askari huyo alizungumza kwa ukali sana. Mrs Sanga machozi yakaendelea kumwagika usoni mwake pasipo kuzungumza kitu chochote. Askari huyo akafungua mkanda wa siti wa mrs Sanga na kumshusha ndani ya gari hilo.
“Mpelekeni kule”
“Askari mmoja alizungumza huku akiwa amemshika kisawa sawa mrs Sanga. Baadhi ya watu walipo katika eneo hilo waliweza kumfahamu mrs Sanga. Mrs Sanga akapakizwa kwenye gari hilo la askari, huku askari mwengine akiingia kwenye gari la Mrs Sanga, wakampakiza Evans, huku dereva pikipiki akipakizwa kwenye gari jengine la msamaria mwema kuwahiswa hospitali. Askari huyo akafika hospitali ya Lugalo.
“Jamani hapa ni wapi?”
Julieth alistuka kutoka katika hali ya kuduwaa.

“Lugalo hapa”
Askari huyo alimjibu Julieth ambaye bado ana endelea kushangaa shangaa.

“Oya dogo shuka. Wewe demu, hii gari ipo chini ya ulinzi, kama ina wezekana shuka hapa nina ipeleka kituoni central”
“Kwani kuna nini kimetokea na mama yangu yupo wapi?”
“Kwani hukumuona mama yako ame gonga watu. Huyo jamaa ni mmoja wa watu walio gongwa. Oya dogo shuka kabisa”
Evans akafungua mlango wa gari hilo na kushuka. Wakaongozana na askari huyo hadi mapokezi, wakafungua jalada la matibabu na akamkabidhi Evans kwa daktari huyo kwa ajili ya matibabu.

“Samahani afande ahaa....mama yangu amepelekwa wapi?”
“Central polisi”
“Naweza kuongozana na wewe?”
“Itakulazimu kukaa na mgonjwa hapa na matibabu yote atakuwa juu yenu. Baada ya hapo njooni central polisi”
“Sawa samahani, ninaomba nichukue vitu vyangu ndani ya gari”
“Fanya haraka”
Julieth akachukua pochi yake pamoja na simu ya mama yake, kisha askari huyo akaingia ndani ya gari na kuondoka eneo hilo. Julieth akaitafuta namba ya baba yake na kumpigia simu.
***

Nabii Sanga, akamsukumia Magreth kitandani huku akiwa amejawa na usongo wa kuhakikisha kwamba ana ikata kiu yake ya mahaba kwa Magreth. Akaanza kuvua shati taratibu huku akimtazama Magreth aliye zidi kunona. Mlio wa simu ukamfanya nabii Sanga kuanchia msunyo mkali sana, kwani toka waingie hotelini hapo amesahau kuizima simu yake. Akaitoa mfukoni na kutaka kuizima, ila alipo ona jina la binti yake akashusha pumzi kidogo na kuipokea simu hiyo.
“Baba kuna matatizo makubwa sana”
Kauali hiyo ya Julieth aliyo itoa pasipo hata salamu, ikamstua sana nabii Sanga.

“Matatizo gani?”
“Yaani hapa ninapo kuambia mama ameshikiliwa na polisi na amepelekwa central polisi.”
“Ameshikiliwa na polisi!! Amefanya kosa gani?”
Kauli hiyo ikamfanya Magreth kukaa kitandani huku akimtazama nabii Sanga ambaye tayari ana onekana kama kuchanganyikiwa.

“Amegonga muendesha pikipiki pamoja na abiria wake”
“Ohoo Mungu wangu. Hao alio wagonga wapo hai au wamekufa?”
“Mmoja nipo naye hapa Lugalo, ila huyu kidogo hali yake inaridhisha. Ila huyo muendesha pikipiki sijamuona kabisa”
“Umesema mama yako amepelekwa kituo gani?”
“Central”
“Nina kuja hapo Lugalo sasa hivi”
“Sawa baba, ila kamtoe mama”
“Sawa, ila acha nije hapo”
Nabii Sanga akakata simu na kuirudisha simu yake mfukoni. Akaanza kufunga vifungo vya shati lake.

“Mume wangu kuna kitu gani kinacho enelea?”
“Mke wangu ame gonga muendesha pikipiki pamoja na abiria wake”
“Ohoo Mungu, sasa ina kuwaje?”
“Tuondoke tu, kwa leo imeshindikana mke wangu. Ule mfuko wa zawadi nilio kupa upo wapi?”
“Nimeuwacha ndani ya gari”
“Twende”
Nabii Sanga na Magreth wakachukua kila walicho ingia nacho. Wakaingia ndani ya gari hilo, nabii Sanga akafungu mfuko huo na kutoa boksi la cheni hizo zenye thamani kubwa sana ya pesa.
“Waooo baby asante sana”
“Usijali mke wangu ni zawadi ndogo tu hiyo. Utaendelea kupata vitu vingi sana ukiwa na mimi”
“Nashukuru sana”
Wakaondoka eneo hilo huku nabi Sanga akianza kutafuta namba ya RPC Karata, akampigia na simu ikapokelewa.

“Naona umenitafuta mara baada ya matatizo yangu kuisha si ndio?”
Kauli ya RPC Karata kidogo ikampa kigugumiza nabii Sanga cha kuzungumza jambo ambalo anahitaji kumueleza kiongozi huyo wa jeshi la polisi kwa mkoa huu wa Dar es Salaam.

“Samahani ndugu yangu. Nina jambo moja ambalo ndio limenifanya nikupigie. Nimesikia mke wangu ameletwa hapo kituoni kwako. Ningependa kujua ni utaratibu gani una fwata?”
“Utaratibu ulipo hapa ni kwamba mke wako atapelekwa moja kwa moja Segerea na katika hili mzee wangu, tafadhali usinihusishe kabisa katika jambi hili kwa maana sinto kusaidia chochote na habari mbaya iliyopo sasa hivi. Yule bodaboda aliye gongwa na mke wako ame fariki dunia hivyo jiandae kifikra mke wako ana shikiliwa pia kwa kosa la mauaji. Nakutakia siku njema”
RPC Karata akakata simu na kumfanya nabii Sanga kuanza kujawa na wasiwasi mwingi sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi sana.
ITAENDELEA

Haya sasa Mrs Sanga ameshikiliwa kwa kosa la mauaji, RPC Karata amekataa kutoa msaada wa kumsaidia mrs Sanga nini kitatokea? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 48.
 
Speed ya hii simulizi roket ni cha mtoto
 
SIN 48

Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)

Age ……………………………………………………18+

Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188


ILIPOISHIA

“Naona umenitafuta mara baada ya matatizo yangu kuisha si ndio?”
Kauli ya RPC Karata kidogo ikampa kigugumiza nabii Sanga cha kuzungumza jambo ambalo anahitaji kumueleza kiongozi huyo wa jeshi la polisi kwa mkoa huu wa Dar es Salaam.

“Samahani ndugu yangu. Nina jambo moja ambalo ndio limenifanya nikupigie. Nimesikia mke wangu ameletwa hapo kituoni kwako. Ningependa kujua ni utaratibu gani una fwata?”
“Utaratibu ulipo hapa ni kwamba mke wako atapelekwa moja kwa moja Segerea na katika hili mzee wangu, tafadhali usinihusishe kabisa katika jambi hili kwa maana sinto kusaidia chochote na habari mbaya iliyopo sasa hivi. Yule bodaboda aliye gongwa na mke wako ame fariki dunia hivyo jiandae kifikra mke wako ana shikiliwa pia kwa kosa la mauaji. Nakutakia siku njema”
RPC Karata akakata simu na kumfanya nabii Sanga kuanza kujawa na wasiwasi mwingi sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi sana.

ENDELEA

“Vipi?”
“Bodaboda aliye gogwa na mke wangu amefariki hivyo mke wangu ana shitakiwa kwa kosa la mauaji”
“Mmmm sasa itakuwaje mpenzi?”
“Yaani kichwa changu hapa kimechanganyikiwa”
“Ila kabla ya kuondoka si ulikwenda kuonana na raisi ikulu. Jaribu kuwasiliana naye”
“Alafu kweli nashukuru kwa kunikumbusha nakupenda sana”
Nabii Sanga alizungumza huku akiitafuta namba ya simu ya raisi Mtenzi. Akaipata na kumpigiam kwa bahati mbaya akakuta namba ya raisi ikiwa haipatikani.

“Muheshimiwa hapatikani”
“Jaribu labda ina weza kuwa ni mtatando”
Nabii Sanga akajaribu tena kumpigia raisi ila hakuweza kumpata kabisa. Wakafika maeneo ya Lugalo na Magreth akasima gari pembezoni mwa barabaka kama jinsi nabii Sanga alivyo mueleza aweze kufanya hivyo.

“Ngoja nishuke hapa. Mimi nina ingia kwanza huku hospitalini. Wewe nenda kwenye mgahawa tuta wasiliana mara nitakapo tatua tatizo hili”
“Sawa mpenzi wangu”
Nabii Sanga akamnyonya Magreth denda kidogo kisha akashuka katuka gari hilo. Magreth akaondoka na kurudi kwenye mgahawa wake. Nabii Sanga akaingia hospitalini hapo na kuwasiliana na Julieth, akamuelekea sehemu alipo na wakakutana.

“Vipi hali ya mgonjwa?”
“Bado hajatolewa chumba cha matibabu”
“Aliye pata ajali ni mwanaume au mwanamke?”
“Ni mwanaume”
“Sasa wewe baki hapa. Ngoja nielekee polisi nikaangalie ustarabu wa mama yako”
“Haya”
“Pesa ya kulipa matibabu si unayo”
“Labda uniongezee incase kumetokea tatizo lolote basi niweze kulirekebisha”
NabiI Sanga akatoa kiasi cha shilingi laki tatu na kumkabidhi Magreth. Watu wengi katika eneo hilo, hawakusita kumkodolea macho nabii Sanga. Nabii Sanga akatoka nje ya hospitali hiyo, akakodisha bajaji na kuondoka. Evans akatoka katika chumba cha matibabu huku akiwa amefungwa fungwa bandeji kwani baadhi ya meeneo katika mikono yake ime chubuka. Magreth akamfwata Evans sehemu alipo simama na kuanza kujing’ata ng’ata.

“Aaha…naitwa Julieth”
“Nashukuru kujujua”
“Mama yangu ndio aliye wasababishia ajali. Samahani kwa hanvi hilo”
“Usijali jambo kubwa ni kumshukuru Mungu nimekuwa salama na sijapata madhara yoyote ya ndani zaidi ya hii michubuko”
“Sawa. Nimepewa jukumu la kulipia matibabu yako yote.”
“Usijali nitalipia”
“Hapana ni jukumu letu kufanya hivyo kwa maana sisi tume wasababishia matatizo makubwa sana. Hivyo nina kuomba niweze kulifanya hili kazi”
Evans akakubaliana na alilo ambiwa na Julieth. Baada ya Julieth kufanya malipo, wakaruhusiwa kuondoka hospitalini hapo.

“Una itwa nani kaka?”
“Evans”
“Mimi nina itwa Julieth”
“Nashukuru kukufahamu.”
“Naweza kupata namba yako ya simu?”
“Ndio, japo simu yangu kwa sasa ime pasuka kioo ila una weza kupata”
Evans alizugumza huku akiitoa simu yake mfukoni. Julieth akaitazama kwa muda kidogo kisha akatingisha kichwa akioenekana kujawa na masikitiko makubwa sana. Julieth akaitazama saa yake ya mkononi na kukuta ni saa sita na dakika tano.
“Tunaweza kuelekea Mlimani City nika kununulie simu kama hiyo?”
“Usijali dada yangu. Acha tu ni mambo madogo sana”
“Hapana Evans, natambua fika haukuwa na mpango wa kununua simu mpya tena ya garama kama hiyo iphone X. Tafadhali nina kuomba nikafanye hivyo”
Evans akashusha pumzi taratibu huku akimtazama Julieth ambate ni binti mzuri sana na anavyo onekana ni msichana wa matawi ya juu.
“Sawa”
Wakakodisha bajiaji na wakainza safari ya kuelekea Mlimani City.
***

Mrs Sanga akaingizwa kwenye mahabusu ya kwake peke yake, hii yote ni kutoakana na heshima na kujulikana kwa mume wake. Muda wote mrs Sanga yupo kwenye hali ya kulia kwa uchungu sana. Ana tamani sana jambo hili liwe kama ndoto kwenye maisha yake. Akakumbuka jinsi mwanaye alivyo msisitizia kupunguza mwendo ila kutokana na hasira zake zilizo changanyikana na wivu, alijikuta akivunja sheria za barabara na kugonga watu hao.

Nabii Sanga mara baada ya kuchukua gari lake alilo kuwa ameliacha maeneo ya mwenge. Akafika kituoni hapo, akaomba kuzungumza na RPC na akaaombwa kuweza kumsubiria kwa maana RPC ana kikao.
“Je mke wangu nina weza kumuona?”
“Ndio nabii”
Nabii Sanga akapelekwa katika mahabusu aliyo wekwa mke wake. Mrs Sanga akanyanyuka kwa haraka mara baada ya kumuona mume wake akiwa amefika eneo hili.
“Ohoo asante Mungu kwa kuja mume wangu”
“Niambie ni nini kilicho tokea?”
Nabii Sanga alimuuliza mke wake ambaye mashavu yake yamelowana kwa machozi.

“Ni…nii….megonga mume wangu”
“Ilikuwaje kuwaje mke wangu hadi ukafanya jamb kama hilo?”
“Sijui mume wangu, ilitokea tu”
“Ahaa unajua yule uliye mgonga ame……..”
Nabii Sanga alijikuta akikatisha sentensi yake huku akimtazama mke wake, anaye tia huruma. Jeuri na ujanja wote ume muishia.
“Mume wangu fanya unitoea”
“Ndio maana nipo hapa. Acha nifanye michakato kisha nitakujulisha ni wapi ambapo nimefikia.”
“Sawa, ila mume wangu nina kutegemea mimi nakuomba usiniache nikae humu”
“Usijali mama Julieth, nita hakikisha kwamba leo hii hii una toka”
“Samahani mchangaji. RPC ana kuhitaji ofisini kwake”
Askari mmoja alimuambi nabii Sanga. Wakaongozana na askari hyo hadi ofisini kwa RPC Karata.

“Karibu uketi”
Nabii Sanga akaka kwenye kiti hicho huku akimtazama kijana huyo.

“Naomba kujua hili jambo lina uzito gani na nini nifanye ili niweze kumto mke wangu?”
“Sina cha kukusaidia. Andaa mwana sheria wako kwa ajili ya kwenda kusimama mahakamani na mke wako hawezi kupata dhamana”
RPC Karata alizungungumza kwa kujiamini kwani mzee huyu alimfanya aingia kwenye matatizo ambayo chupuchupu angepoteza ajira yake na kupotelea jela.

“Karata nakuelewa ni kwa nini una kuwa hivyo kwangu. Ila kwa jambo lile lililo jitokeza nyuma nina omba unisamehe”
“Hivi kama mke wako asinge pata matatizo kama haya. Unge niomba masamaha kweli? Jibu ni hapana kwa maana ni takribani mwenzi mmoja una kwenda wa pili sasa. Upo kimya sana wala hujathubutu hata kunitumia meseji. Ila ngoja nikuambie kitu kimoja mzee wangu, kipindi cha nyuma nilikuwa nina kuheshimu sana, tena sana. Ila mara baada ya kutambua upuuzi wako unao ufanya, yaani nina mashaka kabisa na hiyo huduma yako ya kuwaongoza hao unao waita ni kondoo wa bwana.”
“Karata huko unapo kwenda ni mbali sana. Hupaswi kuzungumza hivyo kumbuka wewe ni muumini wangu mzuri sana wa kanisani kwangu”
“Nilikuwa muumini wako, ila kwa sasa huto ona pua yangu wala familia yangu ikija kanisani kwako.”
“Sawa nina shukuru, ila roho wa bwana akakusimamie wewe na familia yako”
“Yaani huyo roho aanze kukusimamia wewe na familia yako. Mimi simtaki kabisa, naona muda wako ume kwisha una weza kwenda na nimewaambia hao vijana wangu kwamba. Mkewako hapaswi kupewa dhamana”
RPC Karata alizidi kuzungumza kwa kujiamini sana na kumfanya nabii Sanga kuzidi kujawa na hofu, kwani mke wake kuendelea kuwemo ndani ya mahabusu hizo ni aibu kubwa sana. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita, akaitoa mfukoni, moyo wake uka lipuka kwa furaha mara baada ya kuiona namba ya raisi ikimpigia. Akaipokea simu hiyo na kuweka sikioni.

“Habari za masiku muheshimiwa?”
“Salama kabisa nabii Sanga. Nimekuta meseji, zinaonyesha kwamba uli nitafuta”
“Ni kweli muheshimiwa raisi. Nina tatizo mheshimiwa”
RPC Karata akaka vizuri kwenye kiti chake mara baada ya kusikia nabii Sanga akizungumza na raisi.

“Tatizo gani mtumishi?”
“Leo mke wangu aligonga vijana wawili. Kwamujibu wa RPC hapa ameniambia kwamba kijana ambaye aliendesha pikipiki amefariki dunia na hivi sasa mke wangu bado yupo mahabusu. Nilikuwa nina kuomba muheshimiwa kama ikiwezekana aweze kupewa dhamana”
“Sawa nabii nimekusikia. Ila unatambua kwamba hilo ni kosa la mauaji, kama aliwagongwa kwa bahati mbaya basi kesi ina weza kuwa rahisi kidogo mahakamani. Ila kama alimgonga makusudi kesi ita kuwa ni ngumu”
“Ni kweli muheshimiwa, ila nina omba unisaidie japo apate dhamana”
“Mmmm kwa kweli nabii Sanga, labda nikuombe samahani. Hilo jambo mimi sinto weza kulifanya kwa maana utawala wangu una endeshwa kwa haki sawa. Kujuana kwetu basi kusiwe ni sababu ya kusaidiana kwa matatizo kama hayo. Endapo nitakusaidia leo, hakika nitakuwa nime kwenda kinyume na kiapo changu. Ngoja tuangalie sheria ita fanya nini”
Nabii Sanga akahisi nguvu zikimuishia kwani mtu ambaye alikuwa amemtegemea ndio hiyo ame mkatili kwa kukataa kabisa kuweza kumsaidia.

“Sawa muheshimiwa raisi nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri”
Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya huruma ila moyoni mwake dhairi moyo wake umechukizwa na majibu hayo ya muheshimiwa raisi.

“Sawa karibu sana ikulu”
“Nitakaribia”
Simu ikakatwa. RPC Macho yakamtoka huku akisubiria kauli yoyote ya nabii Sanga. Simu ya mezani ya RPC Karata ikaanza kuita, akaipokea.

“Karata huyo Sanga yupo ofisini kwako?”
“Ndio muheshimiwa”
“Basi hembu mpeni dhamana mke wake. Ila kesi iwepo pale pale”
“Sawa muheshimiwa”
“Ila hakikisheni familia ya huyo kijana ina pata stahiki zinazo paswa kuweza kupata”
“Nimekuelewa mueshimiwa”
“Haya”
RPC Karaka akakata simu huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Naona sasa una kula na wakubwa”
RPC Karata alizungumza huku akiwa amejawa na hasira kali sana. Maamuzi yake ilikuwa ni kuhakikisha kwamba mrs Sanga ana pata maumivu kama wanayo yapata watu wenye maisha ya chini.
“Kama wewe ulishindwa kunisikiliza, basi mimi nina panda juu zaidi. Ili tuone ita kuwaje”
“Ahaa…kwa hiyo ume kuwa mjanja sasa?”
“Mimi ni zaidi ya mjanja ndio maana nina pesa nyingi hata za kulinunua hili jeshi la polisi lote na kulilipa mishahara na madeni yote wanayo idai serikali na pia pesa zangu zita bakia”
“Mzee Chunga mdomo wako. Heshimu jeshi langu, hii kazi si ya kukurupuka”

RPC Karata alizungumza kwa ukali huku macho akimkodolea nabii Sanga.
“Acha kunikodolea macho kama mjusi aliye banwa na mlango.”
Nabii Sanga alizungumza huku akicheka kicheko kilicho jaa dharau kubwa sana. RPC Karata akanyanyua mkonga wa simu yake na akaagiza mrs Sanga aletwe ofisini kwake.

“Mzee usijidanganye kwamba ume shinda. Siku zako zina hesabika na endapo utaingia kwenye kumi na nane zangu. Haki ya Mungu nina kupoteza”
“Hahahaaa……wewe Karata ndio wa kunitisha mimi. Hapana kwa kweli, ngoja nikuambie ukweli. Nina mamlaka ya kukufanya wewe uhame mkoa huu na kwenda mkoa mwengine ndani ya siku yoyote. Sasa wewe shangilia kuishi Dar es Salama kwa maana hapa hakuna majambazi. Ila endelea na vitisho vyako vya kijinga uone kama Kagera haijakuita.”

Nabii Sanga alizidi kuzungumza kwa kujiamini. Baada ya dakika tano mrs Sanga akaletwa ndani humo. RPC akamkabidhi fumo ya kujaza. Baada ya taratibu hizo za kuweka dhamana kufika tamati, nabii Sanga akazungumza huku akimtazama RPC Karata kwa dharau.
“Nashukuru baba yangu”
“Mke wangu huna haja kumshukuru huyu. Raisi ndio aliye toa agizo la wewe kutoka”
“Kweli mume wangu?”
“Ndio”
Nabii Sanga akampiga busu la mdomoni mke wake.

“Kwaheri KARATA”
RPC Karata akamtazama kwa hasira nabii Sanga anaye anza kuelekea mkangoni mwa ofisi hiyo huku akiwa amemshika mkono mke wake.
“Ingekuwa ina pendeza zaidi kama ungeendelea kukaa na mke wako wa ndoa. Kuliko kupambana na vijana kwa ajili ya kugombania mabinti wadogo.”
Kauli hiyo ya RPC Karata ikaustua sana moyo wa nabii Sanga, akasimama na kumgeukia RPC Karata aliye achia tabasamu pana sana usoni mwake.

“Unasemaje wew?”
Nabii Sanga aliuliza kwa dharua kubwa sana.

“Ni hivi. Acha kumdanganya mke wako kwa kutembea na binti mdogo kama Magreth. Tambua kwamba Magreth ana mchumba wake anaitwa Evans na ana mpenda sana na wewe unachunwa mjini hapa mzeee hahahaaaahahaaaa……..”
Nabii Sanga akaanza kuvimaba kwa hasira. Mrs Sanga machozi yakaanza kumwagika usoni mwake kwani jambo alilo kuwa ana lihisi kumbe hata RPC ana lifahamu tena kwa mapana.
ITAENDELEA

Haya sasa RPC Karata amezalisha sumu na bifu jipya kati yake na nabii Sanga. Je nabii Sanga ata fanya nini ikiwa amesha tobolewa siri ya kwamba Magreth ana mahusiano na Evans? Endelea kufwatilia kisa hichi cha kusisimua, usikose sehemu ya 49.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…