Riwaya: SIN

Riwaya: SIN

SIN 152


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Kwa hiyo ulihitaji mimi nifanye?”


“Sijui”
Mrs Sanga alijibu kwa hasira na kutoka chumbani na kumuacha nabii Sanga akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana. Mrs Sanga kabla hajashuka ngazi akarudi ndani kwake na kumpokonya mume wake simu hiyo.


“Nahitaji nafasi ya kupumzika so nakuomba usinisumbue kwa sasa”
Mrs Sanga alizungumza kwa jazba kisha akachukua pochi yake pamoja na funguo ya gari na kutoka ndani hapo. Hakuwasalimia hata baadhi ya watu walio fika katika kuhudhuria matanga ya misiba ya watoto wao. Akaingia kwenye gari lake na kuondoka nyumbani kwake huku moyo wake ukiwa umejawa na jazba kubwa sana kwani Magreth amekuwa ni kama mwiba ambao una mtonesha kila pale anapo muona.





ENDELEA


Mrs Sanga akasimamisha gari lake pembezoni mwa barabara huku akiwa anamwagikwa na machozi. Vifo vya watoto wake wa kiume pamoja na ndugu zake hakika viana mfanya awe katuka wakati mgumu sana, wakati ambao hakuwahi kuupitia kwenye maisha yake. Siku zote alikuwa ana amani kwamba pesa na utajiri ni vitu vinavyo weza kumfanya binadamu kuwa na amani na furaha ila hadi ana shuhudia wanaye na ndugu zake wana ingizwa kwenye makaburi hakika akaweza kutambua kwamba pesa haziwezi kurudisha maisha ya walio potea. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akakata kwa maana muda huo haitaji kabisa kuzungumza na mtu yoyote. Mrs Sanga taratibu akaondoka eneo hilo na kuanza safari ya kuelekea nje ya jiji la Dar es Salaam. Ndani ya lisaa moja na nusu akajikuta amefika katika mji wa Chalinze. Akatazama eneo hilo lenye barabara inayo elekea mkoa wa Morogoro huku nyingine inayo elekea katika mkoa wa Tanga.


Akakunja kushoto kwake na kuanza safari ya kueleeka mkoa wa Tanga kwa maana ana hitaji kuwa mbali na nyumbani kwake na ana hitaji kupata muda mzuri sana wa kupumzisha kichwa chake.


***


“Muheshimiwa raisi maandalizi yote ya mazishi ya makamu wa raisi yamekamilika.”


Sekretari wa raisi Mtenzi alizungumza huku akimkabidhi faili maalumu la matumizi yote yaliyo fanywa katika maandalizi hayo hayo pamoja na viongozi kutoka mataifa mengine ambao wata wasili nchini Tanzania siku tatu zijazo kwa ajili ya mazishi hayo.


“Makamu wa raisi wa Marekani naye ana kuja?”
“Ndio muheshimiwa hiyo taarifa tume pewa dakika ishirini zilizo pita”
“Ana kuja lini?”
“Kesho muheshimiwa”
“Hembu wapigie simu washauri wangu wote watano waweze kufika hapa tulijadili hili kwa maana hawawezi kutoa taarifa pasipo kunifahamisha mimi raisi”
“Sawa muheshimiwa”
Ndani ya muda mchache Josephine pamoja na washauri wengine wakaingia ofisini kwa raisi Mtenzi.


“Kuna jambo nina omba tuweze kudiliana hapa na nahitaji kupokea mawazo yenu”
“Jambo gani muheshimiwa?”
Mr the Brain aliuliza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.


“Makamu wa raisi wa nchi ya Marekani naye ata kuwa ni miongoni mwa watu watakao hudhuria mazishi ya makamu wa raisi. Habari ime tolewa muda mchache na imetolewa kwa sekretari wangu pasipo kujulishwa moja kwa moja kwangu”
“Au wame mtuma makamu wao kuja kusuluhisha huu mgogoro unao endelea?”
Mzee Mbogo alizungumza.
“Nahisi”
Mr the Brain naye alijibu.


“Wamarekeni ni watu wajanja sana”
Josephine alizungumza na kuwafanya watu wote kumtazama akiwemo Julieth ambaye bado hana uelewa ukubwa wa jambo linalo endelea kati ya mataifa hayo mawili, Marekani na Tanzania.


“Kwa nini una zungumza hivyo?”
Raisi Mtenzi auliza.
“Ana kuja, moja kukuomba kwamba uweze kuwaachia wanajeshi wake walio tuvamia siku ile usiku. Pia ana kuja kuomba kuendelea kuwaruhusu wanajeshi wao kuendelea na ujenzi wa jiji hili la Dar es Salaam. Muamvuli wa mambo hayo yote ni huu msiba ambao dunia nzima ina tambua kwamba makamu wetu wa raisi ame fariki duniani”


Josephine alizungumza na kumfanya raisi Mtenzi kushusha pumzi taratibu kwa maana hadi sasa hivi bado eneo walipo wanajeshi hao Wamarekani, limezungukwa na vikosi vya jeshi la Tanzania na hakuna mwanayeshi anaye ruhusiwa kutoka nje ya kambi hiyo.


“Samahani jamani. Mimi nimgeni kwenye hili, jambo. Je ni kwanini tuna mfakano na nchi ya Marekani”
Julieth aliuliza kwa sauti ya upole.
“Ohoo pole sana, nilikuwa nime sahau kukufahamisha juu ya hilo. Wamarekani wameleta wanajeshi wao hapa nchini Tanzania kwa ajili ya kulijenga upya jiji la Dar es Salaam. Makubaliano ya kuja kwao yalifanywa na makamu wangu wa raisi ambaye kwa sasa ni marehemu. Ila nilipo kuja kugundua lengo na nia yao dhabiti ya wao kuja nchini kwetu nikapata mashaka na nikaamua kufnaya maamuzi ya kuwaondoa nchini kwangu. Ila raisi wao alionekana kukataa na kupinga maamuzi yangu na ikapelekea akapanga mpango wa kunia na pia walipandikiza kinasa sauti ndani ya ofisi yangu na kila kitu tulicho kuwa tuna kizungumza ndani ya ofisi hii walikuwa wana kisikia.. Tume washikilia wanajeshi ambao walitumwa kutua huku wale wangine walio kuja kwa lengo la ujenzi wakiwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vyetu vya ulinzi na hadi tunavyo zungumza hivi sasa. Kambi yao ime zungukwa na wanajeshi wetu”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kifupi ili kumpa Julieth ufafanuzi.
“Sasa kwa nini wana ng’ang’ania kujenga ikiwa nchi sio ya kwao?”
Julieth aliuliza tena.


“Lengo lao ni kuhitaji kuchukua hadhina ambayo ipo ndani ya nchi hii katika eneo la….”
“Ahaa muheshimiwa samahani ngoja nimfafanulie”
Josephine alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake. Raisi Mtenzi akamkubalia kwa kumpa ishara ya kuendelea kuzungumza.


“Kuna hadhina kubwa sana ndani ya nchi ya Tanzania ambayo endapo nchi ya Marekani wata ipata basi watakuwa ni matajiri mara dufu na watakuwa na nguvu pia. Ila sisi pia tukiipaa hiyo hadhina basi tuta pata nguvu na tuna weza kuwa nchi kubwa na yenye nguvu Afrika na duniani kwa ujumla.”


“Ahaa, hiyo hadhina ipo wapi?”
Julieth aliuliza huku akiwa amejawa na shahuku kubwa sana.


“Bado hatujajua”
Jibu la Josephine likamfanya raisi Mtenzi, mr Brain pamoja na mzee Mbogo kumtazama kwa mshangao kidogo.


“Ahaa sawa sawa. Hapo nime elewa mada inayo endelea”
Julieth alijibu huku akilini mwake akianza kutengeneza mazingira ya jinsi atakavyo ipata hiyo hadhina kwa manufaa yake yeye mwenyewe.
“Muheshimiwa raisi mimi nina ona tumuache makamu wake aje na kwa kile walicho kifanya basi tuta jua nini cha kuwabananisha kuhakikisha kwamba tuna endelea kuwakazia juu ya msimamno wetu tulio nao”


Mr Brain alishauri.
“Ni wazo zuri naliunga mkono”
Josephine naye alizungumza.


“Ila kuja kwake ina bidi kuhakikisha kwamba muheshimiwa raisi tuna kuwekea ulinzi mzuri na wakutosha kwa maana wana weza kufanya lolote wale jamaa”
Mzee Mbogo alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi.
“Mimi pia muheshimiwa nina ona tumuache makamu wao wa raisi aweze kuja”
“Sawa kama mume kubaliana kwenye hilo. Akaribie Tanzania, jambo la msingi tuhakikishe kwamba tuna shikamana kwenye kila aina ya maamuzi ambayo nita kwenda kutafanya”
“Usijali muheshimiwa tupo pamoja nawe”
“Sawa muna weza kuendelea na kazi”
Taratibu wakaanza kutoka ofisini hapo.


“Josephine nakuomba”
Raisi Mtenzi alimzuia Josephine na kumfanya arudi na kukaa kweye kiti alicho kuwa amekali. Walipo toka watu wote, raisi Mtenzi akamtazama Josephine usoni mwake.
“Kwa nini uliamua kumjibu vile Julieth ikiwa ni miongoni mwa washauri wangu na wasiri wangu”
“Muheshimiwa nina kuomba sana uweze kunisamehe. Ila ukweli ni kwamba simuamini kabisa Julieth”
Raisi Mtenzi akashusha pumzi huku akimtazama Josephine usoni mwake.
“Kwa nini humuamini?”
“Uta nishangaa sana kwa kukuambia kwamba sina sababu ya kunifanya nishindwe kumuamini sana. Ila tafadhali nina kuomba umpatie muda katika haya mambo na tusiwe tuna mueleza vitu vya ndani sana vinavyo endelea”
“Sawa nime kuelewa katika hilo. Je kuna jengine ambalo ume onyeshwa?”
“Hapana ila nikionyeshwa basi nita kuambia moja kwa moja”
“Sawa ila nina hitaji kukupatia kazi moja”
“Kazi gani muheshimiwa”
“Hakikisha macho yako yote mawili yana kuwa sambaba na Julieth, ili kama ni kujiridhisha katika kuto muamini basi wewe uwe wa kwanza, na kama uta ridhika katika kumuamini basi uwe wa pili katika hilo kwa maana mimi nina muamini na nina itambua familia yake ni watu wa dini na ambao hawana shida yoyote na mtu”
“Sawa muheshimiwa. Ila samahani katika hilo”
“Hapana usijali kwa maana hata tupo kwa ajili ya manufaa ya nchi na sio ya mtu mmoja au kuwatazama watu fulani. Alafu vipi ile familia ya wahusika wa haya mashambulizi ume weza kuonyeshwa?”
“Bado muheshimiwa ila nina imani muda wake utakapo fika basi wewe mwenyewe uta fahamu”
“Sawa kazi njema”
“Nashukuru”
“Alafu jambo jengine Jose. Mage ana endeleaje?”
“Bado ana umizwa na ile video iliyo samba”
“Nime toa jukumu kwa watu wangu wa I.T kuhakikisha kwamba wana mpata muhusika aliye rekodi na kupost ile video kwenye mtandao”
“Sawa muheshimiwa alafu kuna swala jengine”
“Swala gani?”
“Magreth amekabidhi jukumu la kumsaka Evans popote pale alipo duniani.”
“Hiyo ripoti nilikabidhiwa asubuhi na mzee Mbogo nami nime afiki juu ya hilo kwa maana ana uwezo na ana jua nini anacho kifanya”
“Sawa”
Josephine akatoka ofisini hapo na moja kwa moja akaelekea ofisini kwake. Julieth akazunguka mara kadhaa kwenye kiti chake huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.


‘Kabla hawajaipata hiyo hadhina ni lazima niipate’


Julieth alizungumza hukua akijaribu kutafakari nini cha kufanya. Akaitafuta namba ya baba yake na kumpigia kwa maana yeye ndio master plan wa mambo makubwa kama hayo.


“Baba shikamoo”
“Marahaba vipi?”
“Safi. Mbona una zungumza kinyonge una umwa?”
“Hapana, ila mama yako ameondoka nyumbani hapa kwa hasira. Sijui ni wapi anapo kwenda, na nikijaribu kumpigia simu zangu ana nikatia”
“Chanzo ni nini?”
“Video uliyo mtumia ana taka kuyapeleka mambo haraka haraka”
“Ohoo naelewa baba. Ila kuwa katika hali ya kawaida, mama ni mtu mzima na hato patwa na jambo lolote huko aendapo. Ila nina good news”
“Ipi tena?”
“Hatuwezi kuzungumza kwenye simu. Ila kama ina wezekana nina kuomba uweze kuja ikulu”
“Hapana mwanangu, kichwa changu nakiona hakipo sawa. Ila wewe ndio uje nyumbani kwa maana ni jana tu tume toka kuzika, hivyo aga kwa baba mkwe wako kwamba una kuja nyumbani”
“Sawa baba”
Julieth akakata simu kwa haraka. Akaelekea ofisini kwa baba yake mkwe.


“Ndio Julieth”


Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Julieth usoni mwake.
“Baba nina kuomba, niweze kwenda nyumbani. Baba yupo peke yake na mama ameondoka nyumbani kwa hasira hivyo kidogo naomba nikawaweke sawa”
“Oohoo kwa ile misiba iliyo tokea natambua ni hali gani ambayo mama ata kuwa ana pitia. Basi hakuna tatizo, wewe kakae na baba na mama uwaweka sawa. Ila mimi kiofisi nime kupa ruhusa, ila sina mamlaka na wewe. Labda ukamuombe ruhusa mume wako na akikukubalia basi hakikisheni kwamba muna ondoka na walinzi wa kutosha”
“Sawa baba nashukuru sana kwa hilo”
“Haya ila kumbuka kwamba kesho kutwa tuna msiba wa kumzika makamu wa raisi”
“Sawa baba”
Julieth akatoka ofisini hapo kwa haraka kwa bahati nzuri akakutana na Jery kwenye kordo wakakubaliana na wakondoka ikulu wakiwa na gari tatu huku gari mbili zikiwa na walinzi na gari waliyo ipanda ikiwa dereva pamoja na mlinzi mmoja aliye kaa siti ya mbele. Wakafika nyumbani kwa nabii Sanga na Julieth wakapokelewa na marafiki walio fika hapo nyumbani kuendelea kumfariji nabii Sanga.


“Baba”
Jlieth alizungumza huku akikumbatiana na baba yake.


“Vipi?”
“Safi”
“Shikamoo baba”
Jery naye alisalimia kwa heshima zote.


“Marahaba. Julieth naomba tuzungumze”
Nabii Sanga alizungumza na wakapandisha gorofani na kuingia chumbani kwa nabii Sanga.
“Ume jaribu kumpigia simu mama yako?”
“Hapana”
“Hembu mpigie na wewe?”
“Baba natambua mama ana hasira hivi sasa. Tumpatie muda akae huko, akitulia ata rudi. Ila nime kuja na jambo moja muhimu sana baba”
“Jambo gani?”
“Nchi ya Tanzania na Marekani zina mgogoro”
“Mgogoro wa nini!!?”
“Kuna hadhina ipo ndani ya nchi ya Tanzania. Wamarekani wana ihitaji na endapo wata ipata wana kuwa matajiri sana na endapo sisi pia Watanzania tuta ipata basi tuta kuwa matajiri sana. Ila nina hitaji nchi hizi zote mbili tuziwahi baba. Hiyo hadhina nina ihitaji tuijue ilipo na tuichukue na nina imani kwamba tuta kuwa na pesa nyingi kuliko hata huyo tajiri namba moja duniania”
Nabii Sanga akajawa na mshangao na baada ya sekunde kadhaa akaachia tabasamu pana sana usoni mwake kwa maana kile alicho kuwa amemuagiza mwanaye huyo wa kike kwenda kukifanya ndani ya ofisi ya raisi ndio hichi anacho kisikia tena kwa muda mchache sana ambao Julieth ame fanya kazi ndani ya ofisi ya raisi Mtenzi.


ITAENDELEA


Haya sasa, Julieth na baba yake wana furahia kuifahamu siri hiyo ambayo ni siri kubwa sana kwa Taifa la Tanzania na ina umuhimu sana kwenye serikali ya raisi Metnzi je wata fanikiwa kuzipata hadhina hizo? Usikose sehemu ya 153.
 
SIN 153


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Jambo gani?”
“Nchi ya Tanzania na Marekani zina mgogoro”
“Mgogoro wa nini!!?”
“Kuna hadhina ipo ndani ya nchi ya Tanzania. Wamarekani wana ihitaji na endapo wata ipata wana kuwa matajiri sana na endapo sisi pia Watanzania tuta ipata basi tuta kuwa matajiri sana. Ila nina hitaji nchi hizi zote mbili tuziwahi baba. Hiyo hadhina nina ihitaji tuijue ilipo na tuichukue na nina imani kwamba tuta kuwa na pesa nyingi kuliko hata huyo tajiri namba moja duniania”
Nabii Sanga akajawa na mshangao na baada ya sekunde kadhaa akaachia tabasamu pana sana usoni mwake kwa maana kile alicho kuwa amemuagiza mwanaye huyo wa kike kwenda kukifanya ndani ya ofisi ya raisi ndio hichi anacho kisikia tena kwa muda mchache sana ambao Julieth ame fanya kazi ndani ya ofisi ya raisi Mtenzi.


mtonesha kila pale anapo muona.





ENDELEA


“That is my gilr, come here”(Huyo ndio msichana wangu, njoo hapa)
Nabii Sanga alizungumza kwa furaha na taratibu Julieth akaka pembeni yake na kumkumbatia.


“So baba mpango wetu hapa ni upi?”
“Mmmm ume sema kwamba Tanzania na Marekani zipo kwenye mgororo?”
“Ndio na makamu wao wa raisi ana kuja kesho kutwa kujaribu kukaa mezani na raisi Mtenzi kujua wana suluhisha vipi hili jambo”
Nabii Sanga akaa kimya huku akijaribu kupanga na kupangua mpango upi utaweza kutekelezwa ndani ya siku mbili hizo.
“Huu mgogoro ina bidi tuhakikishe tuna uongeza mara dufu”
“Una maana gani?”
“Ni lazima tuhakikishe kwamba makamu wa raisi wa Marekani ana fia hapa Tanzania”
Wazo hilo la nabii Sanga likamstua kidogo Julieth.
“Baba hilo kweli lita wezekana?”
“Ndio”
“Kivipi?”
“Ni lazima tuhakikishe kwamba tuna zipata zile nguo za Magreth au tutengeneze kama zile anazo zivaa na kujifanya spiderman wa Tanzania. Baada ya hapo tuna mvisha muuaji ambaye ata fanya jambo hilo na moja kwa moja hilo swala lita muangukia Magreth. Kiufupi tuta kuwa tume ua ndege wawili kwa jiwe moja. Magreth ata fungwa huku nchi zikiendelea kujawa na mitafaruku, na sisi itakuwa ni nafasi yetu kwanza kuingiza mizigo yetu kama kawaida na mbili kuhakikisha tuna ifahamu sehemu yenye hadhina hiyo na tuna chukua mambo kiulaini”
“Babab yaani wewe ni genius. Sikutegemea kama uta fikiria kama jambo hilo?”
“Ndio maana nime ongoza ogarnization yangu ya madawa ya kulevya na hapakuwa na hata kijana wangu aliye kamatwa. Wewe ume rithi akili zangu ndio maana nime kurithisha”
“Nashukuru baba, nini kupenda sana baba”
“Nina kupenda pia mwanangu”


Nabii Sanga na Julieth waakumbatiana huku wakiwa na furaha kubwa juu ya mpango huo walio ujadili.


“Ehee nani ambaye ata kuwa ni muuaji wa makamu wa raisi wa Marekani”
“Kuna sniper mmoja mwanamke na uzuri ana umbo kama la Magreth. Nita wasiliana naye ata ifanya kazi hiyo”
“Yupo wapi?”
“Yeye ni Mkenya. So ni kitendo cha kumpigia simu na kumuomba aweze kufika. Picha ya hizo nguo nita hakikisha nina mpatia fundi wetu azishone kwa uharaka sana nina imani ndani ya masaa kadhaa ata kuwa amezimaliza kuzishona”
“Sawa baba, mimi kazi yangu ni kuhakikisha nina kupatia full detail za ujio wake. Ata lala wapi, ata fikia wapi na ata kwenda wapi na muda gani?”
“Sawa ila kuwa makini sana na hakikisha kwamba lugha yetu tutakayo kuwa tuna zungumza kwenye simu isiwe ina ashiria kabisa kwamba kuna jambo lolote tuna zungumzia kuhusiana na ujio wa huyo makamu wa raisi wa Marekani”
“Sawa baba, ngoja nikaae na Jery”
“Ume kuja naye?”
“Ndio yupo sebleni na watu wengine”
“Vipi amegundua kwamba bikra yako ni bandia?”
“Hapana hadi sasa hatujafanya chochote”
“Kwa nini?”
“Nilimuambia kwamba tuta fanya mara baada ya kumaliza kumzika mama yake na amenielewa na kunikubalia katika hilo”
“Sawa, ila hakikisha kwamba haupati ujauzito kwa sasa hadi haya mambo yatakapo kwisha”
“Usijali baba, alafu nina hisi kwamba kama simpendi huyu mwanaume”
Kauli ya Julieth ikamfana nabii Sanga kumtaza kwa sekunde kadhaa Julieth kisha akaishika mikono yake miwili.


“Kwa nini?”
“Unajua kurudi kwake, kufunga kwetu ndoa kume kuwa kama mambo yaliyo kimbia spidi na kutokana na huu mpango ilinibidi kumkubalia”
“Niangalie”
Julieth taratibu akamtazama baba yake usoni mwake.


“Kama hayupo moyoni mwako. Hakikisha kwamba hili jambo linapo kwisha una MUUA ili kuhakikisha kwamba hakujui uhalisia wako. Umenielewa?”
Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upole ila iliyo jaa ushawishi ndani yake.


“Nime kuelewa baba”
“Usifanye kosa katika hili mwanangu”
“Usijali baba una nijua vizuri. Je huu mpango tumshirikishe mama?”
“Hapana mama yako muache kwanza akili yake imkae sawa. Kufiwa na watoto wawili kwa mpigo ni jambo ambalo lina mtafuna kisaikolojia”
“Hata baba mkwe aliniambia hivyo na amenipa muda wa kukaa nyumbani kuhakikisha kwamba nina waweka sawa”
“Sawa sawa. Haya nenda kakae na mwenzako”
Julieth akambusu baba yake kwenye paji la uso kisha akatoka ndani hapo. Nabii Sanga akafungua shelf yake iliyo jengewa ukutani na akatoa note book yake ndogo. Akaitafuta namba ya muuaji huyo wa kike aishie nchini Kenya na akampigia.
“Niambie mpenzi”
Sauti nyororo ya kike ilisikika.


“Safi, sauti yako haijabadilika?”
“Sasa wataka niwe na sauti kama dume. Mimi ni manzi tena mrembo hivyo ni kawaida kuzungumza na sauti nzuri”
“Hahaaa, sasa una ratiba gani?”
“Nipo tu, ila pole bwana kwa vifo vya wana familia yako?”
“Nashukuru. Nakuhitaji uweze kuja Tanzania leo”
“Kimapenzi au kikazi?”


“Vyote vyote”
“Poa poa basi wacha niweke mafuta car yangu. Nikipiga fimbo hadi saa sita usiku nita kuwa Tz, si uta kuja hoteli au mke wako ata sumbua wewe?”
“Nita kuja”
“Basi najipanga”
“Poa poa”
“Badae”
Nabii Sanga akakata simu huku akiwa na furaha kubwa sana kwani mambo yake yana zidi kumnyookea na hiyo ndio nafasi ya kuhakikisha ana muondoka Magreth kwenye sura ya dunia.


***


Majira ya saa nane mchana mrs Sanga akafika jijini Tanga. Akasimamisha gari lake eneo la Kwaminchi huku akitazama hoteli iliyopo eneo hilo.


“Karibu sana hapa”
Mrs Sanga alizungumza huku akifunga mlango wa siti ya gari lake. Akafungua mkoba wake na kutoa miwani yake nyeusi, akaivaa na akashuka kwenye gari.


“Habari zenu vijana?”
Mrs Sanga aliwasalimia vijana walipo eneo hilo.


“Salama mama”
“Hapa Tanga kuna hoteli gani tofauti na hii?”
“Ahaa kuna hoteli nyingi sana mama. Labda una hitaji hoteli ya aina gani?”
Kijana mmoja mchangamfu alizungumza huku akimtazama mrs Sanga usoni mwake.
“Hoteli yenye hadhi ya juu kabisa”
“Kwa Tanga kuna hoteli ina itwa Tanga Beach resort na nyinge…..”
“Ipo pembezoni mwa bahari?”
“Ndio mama”
“Una weza kunipeleka”
Vijana hao wakamtazama mwenzao huyo anaye muelekeza mrs Sanga huku wakionekana kuwa na wasiwasi mwingi.
“No usiogope mimi ni mtu mwema”
“Ahaa labda nitumie usafiri wangu wa pikipiki ule pale”
“Ila sio mbali na hapa?”
“Ni mbali kidogo”
“Sawa nita kuwa nina kufwata kwa nyuma”
“Ila si uta nilipa?”
“Hilo halina shaka”
“Sawa mama”
Kijana huyo akaelekea kwenye pikipiki yake aina ya Watco. Akaiwasha na kuanza kuondoka huku mrs Sanga naye akimfwata kwa nyuma kwa mwendo wa taratibu.


‘Tanga ime badilika sana’


Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo kwa maana ni miaka mingi sana ime pita toka atembelee mkoa huo. Wakafika katika hoteli hiyo na taratibu mrs Sanga akasimamisha gari lake kwenye maegesho ya magari kwa muonekano wa nje wa hoteli hiyo, akaridhishwa kabisa kwamba sehemu hiyo ni sahihi kwa yeye kuweza kupata huduma ya kupumzisha kichwa chake. Akashuka kwenye gari lake, akafungua pochi yake na kutoa noti tano za elfu kumi kumi na kumkabi kijana huyo ambaye alijikuta akipatwa na kigugumizi kwa maana amelipwa kiasi kikubwa sana tofauti na kile alicho kuwa amepanga kumuambia.
“Una itwa nani kijana?”
“Tuma…..Tumaini”
“Nipatie namba yako kwa maana nita kuwa nina hitaji mwenyeji wa kunielekeza baadhi ya maeneo”
“Sawa mama una weza kuandika”
Mrs Sanga akatoa simu yake na kuanza kuinakili namba ya Tumaini. Akajaribu kuipiga na kijana huyo akatoa simu ndogo aina ya Nokia Obama ambayo ime zungushiwa raberband ili mfuniko wa nyuma usitoke.


“Namba yako ndio hii inayo ishiwa na hamsini na tatu?”
“Ndio. Nashukuru sana kijana”
“Asante nawe mama, niisave nani?”
“Save tu mgeni”
“Ndio jina lako?”
“Hapana yaani mgeni kwa maana ya mgeni aliye kuja Tanga”
“Ahaa….sawa sawa mama”


Tumaini mara baada ya kukamilisha kuinakili namba ya mrs Sanga. Akapanda pikipi yake na kuondoka huku moyoni akiwa ametawaliwa na furaha kubwa sana. Mrs Sanga akakodisha chumba chenye hadhi yake aliyo hisi kwamba ina mfaa na hakuhitaji usumbufu zaidi ya kupanda kitandani na kulala, kwa maana ame choka sana na uendeshaji wa gari kwa safari ndefu.
***


Magreth taratibu akapunguza mwendo wa pikipiki yake na kusimama kwenye geti kuu la kuingia makao makuu ya kitengo cha NSA. Akavua helment yake na kutoa kitambulisho na kuwakabishi askari hao wanao linda geniti. Kitambulisho chake kikapitishwa kwenye mashine maalumu ya kukagulia vitambulisho, jina lake na maelezo yake yakatokea kwenye computer na vyote vina muonyesha ni mfanyakazi wa kitengo hicho.


“Karibu madam”
Askari huyo alizungumza huku akimrudishia Magreth kitambulisho chake.


“Shukrani”
Magreth taratibu akaingia ndani huku akipata wasaa mzuri wa kutazama magorofa yaliyo jengwa katika uzio wa kitengo hicho. Akashuka kwenye pikipiki yake na kuelekea moja kwa moja katika ofisi ya mzee Mbogo.


“Nina shukuru kwa kuja Mage”
Mzee Mbogo alizungumza huku wakipeana mikono.
“Nina shukuru muheshimiwa”
“Sasa tume pata ugeni wa makamu wa raisi wa nchi ya Marekani. Ukiachialia mbali wageni wengine ambao wata kuja na wengine walio kuja kwa ajili ya msiba wa mke wa raisi, ila nina imani una tambua uzito mkubwa sana wa kiongozi huyo”
“Ndio ndio”
“Nahitaji kiongozi huyo macho yetu yawe kwake. Nina tambua kwamba Marekani ina weza kufanya jambo lolote la kijinga kwa kiongizi wetu, hivyo nahitaji kukuingiza kwenye timu itakayo mlinda raisi Mtenzi siku ya mazishi ya mke wake.”
“Sawa hakuna shaka mkuu. Mimi nipo tayari kufanya hivyo”
“Ila nahitaji uwe katika mavazi yako”
“Mkuu huoni kama yale mavazi yana weza kuwatisha wananchi?”
“Hapana. Sisi ndio tunaye kujua wewe, sinto penda sura yako iweze kuonekana kwa maana una juu jinsi hii video ilivyo vuja”
“Sawa nime kuelewa hapo mkuu. Alafu nime maliza kupitia faili la kumsoma Evans”
“Evans kwa sasa tumuweke kando na tuangalie hili lililopo mbele yetu kwa maana hatuto hitaji uzembe wa mabomu yaliyo ua watu yatoke”
“Usijali muheshimiwa. Ila una weza kunisaidia kitu”
“Kitu gani?”
“Naweza kuonana na yule jamaa niliye mkamata?”
“Kiwema?”
“Ndio muheshimiwa nina hitaji kuonana naye kwa wema kabisa”
“Sawa, twende ukamuone”
Magreth na mzee Mbogo wakanyanyuka na kuelekea katika chumba maalumu alicho fungikwa Zuma ambaye bado ana endelea kupatiwa matibabu na madaktari wa kitengo cha NSA.


***


Gafla Josephine akaanza kuhisi maumivu makali sana ya kichwa chake.


‘Ehee Mungu ni nini hichi’


Josephine alizungumza huku akiacha kufanya kazi ambayo ana ifanya kwenye computer yake. Akasimama huku akilini mwake akisikia sauti ikimsisitiza aelekee ofisini kwa raisi Mtenzi. Akanyanyuka na kutoka ofisini kwake huku akitembea kwa mwendo wa haraka. Akaingia ofisini kwa raisi Mtenzi na kumkuta akiwa ana saini baadhi ya nyaraka za serikali.


“Jose vipi?”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Josephine aliye simama wima pasipo kuzungumza kicho chochote na macho yamemtoka huku jasho likianza kumwagika usoni mwake. Hali hiyo ika mstua sana raisi Mtenzi na kujikuta akisimama kwa haraka kwenye kiti chake na kumsogelea Josephine.


“Josephine una tatizo gani?”
Josephine akajikuta akishindwa kujibu kitu chochote na gafla akaanza kuanguka kitendo kilicho mfanya raisi Mtenzi kumuwahi asianguke chini na kuumia mwili wake.


ITAENDELEA


Haya sasa, Josephine ame kumbwa na matatizo gani hadi kupelekea kuanguka chini. Nabii Sanga na mwanaye mipango yao ina zidi kwenda mbele je wata muua makamu wa raisi wa nchi ya Marekani? Usikose sehemu ya 154.
 
Sasa mnagombania nini nyie mbuzi??

Yaani hata kuonana hamuonani, hamjuani halafu mnaanza vya kuanza??

Unakuta hapa ni mtu na babu yake au babu na mwanae wa kumzaa.

Acheni shida nyie pumbavuu.
 
SIN 154


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Jose vipi?”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Josephine aliye simama wima pasipo kuzungumza kicho chochote na macho yamemtoka huku jasho likianza kumwagika usoni mwake. Hali hiyo ika mstua sana raisi Mtenzi na kujikuta akisimama kwa haraka kwenye kiti chake na kumsogelea Josephine.


“Josephine una tatizo gani?”
Josephine akajikuta akishindwa kujibu kitu chochote na gafla akaanza kuanguka kitendo kilicho mfanya raisi Mtenzi kumuwahi asianguke chini na kuumia mwili wake.





ENDELEA


“Msaada”
Raisi Mtenzi aliita kwa sauti ya juu. Walinzi wake wawili wanao simama mlangoni kwake,w akaingia kwa haraka huku wakitaka kuchomoa bastola zao ila walipo kuta ni Josephine amelala chini, ikawalazimu kusitisha zoezi hilo.
“Ana hitaji kuwahishwa hospitalini haraka iwezekanavyo”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimnyanyua Josephine kwa mikono yake.
“Tukusaidie”
“Hapana nina mmudu”
Raisi Mtenzi akamuweka vizuri Josephine mikononi mwake. Mlinzi wake mmoja akafungua mlango na wakatoka ndani hapo kwa spidi na kuwafanya wafanyakazi wengine wa ikulu kushangaa tukio hilo. Wakafika katika hospitali iliyopo ndani ya ikulu. Josephine akapokelewa na manesi na kwa haraka akaingizwa chumba cha matibabu.


“Dokta nini kina msumbua?”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama daktari anavyo endelea kumpima kila sehemu.
“Sioni tatizo muheshimiwa. Ila ngoja niendelee kumpima”


Daktari akajaribu kuchukua vipimo vyote ambavyo ni vya haraka kuweza kuonekana kwa wakati huo ila hakuweza kuona ugonjwa wa aina yoyote.


“Vipi?”
“Muheshimiwa hatujui ni tatizo gani kwa manaa hakuna kipimo kinacho onyesha kwamba huyu binti ni mgonjwa”
“Helicopter ya hospitali iandaliwe haraka”
“Sawa muheshimiwa?”
Gafla Josephine akafumbua macho, huku akihema kwa spidi na kumfanya dokta pamoja na raisi Mtenzi kumshangaa. Josephine akataka kukaa kitako ila daktari akamzuia.


“Pumzika kwanza”
“Nipo sawa dokta”
Josephine alizungumza huku akijitahidi kuvuta na kushusha pumzi nyingi sana ili kuhakikisha kwamba mapafu yake yana kuwa vizuri.


“Hapana haupo sawa”
“No nipo sawa. Muheshimiwa, tuna hitaji kuzungumza nina meseji muhimu sana ya kuongea na wewe”
Raisi Mtenzi akamtazama Josephine kisha akamuomba daktari aweze kuwapisha chumbani hapa.
“Hapana nahitaji tuzungumze ofisini kwako”
“Sawa, je una weza kutembea?”
“Yaa nipo sawa.”
Josephine akachomoa sindano ya dripu ilio chomekwa muda mchache sana ulio pita. Akashuka kitandani hapo na kusimama wima.
“Una weza kweli kutembea?”
Daktari aliuliza kwa msisitizo, Josephine hakumjibu kwa maneno zaidi ya vitendo. Akaanza kutembea kuelekea nje na ikamlazimu raisi Mtenzi kumfwata Josephine kwa nyuma. Moja kwa moja wakaelekea ofisini kwa raisi Mtenzi na Josephine akaufunga mlango huo kwa ndani.


“Kuna nini?”
“Muheshimiwa kuna mpango mbaya wa kuinua vita kati ya nchi yetu na Marekani”
“Nini?”
“Yaaa ni maono niliyo onyeshwa na ndio maana nime kuwa nipo kwenye hali kama ile. Siku nyingine ukioniona nimeanguka au kuzimia basi utambue ni maono makubwa sana ambayo nina onyesha.”
“Ohoo Mungu wangu. Nini chanzo cha vita hiyo ikiwa haya mambo yaliyopo hapa yana weza kujadiliwa na kuisha?”
“Makamu wa raisi wa Marekani ata uliwa katika ardhi ya Tanzania”
“Jesus Christ!!”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa mshangao huku akihaha kwa taarifa hiyo ambayo ime tokea.


“Wamarekani wata tumia ubabe kuhakikisha kwamba wana anzisha vita kulipa kisasi kwa ajili ya kifo cha makamu wao wa raisi.”
“Nani ata muua na ni lini ata kufa”
“Siku inayo fwata mara baada ya mazishi ya mke wako. Muheshimiwa hili jambo ni kubwa sana, nime ona ndege za kivita jinsi zinavyo fanya maangamizi ndani ya nchi ya Tanzania, nina ogopa muheshimiwa”
Raisi Mtenzi akajikuta akianza kutetemeka mwili mzima huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana. Akafungua kifungo cha shati cha shingoni mwake huku akiilegeza tai yake vizuri, kwa maana hali hiyo inayo kuja sio ndogo na haija wahi kutokea toka mataifa hayo mawili yaanzishwe.”


“Nani ambaye ana mpango wa kumuua makamu wa raisi?”
“Failia iliyo husika na tukio la kwanza ndio familia hiyo hiyo itakayo husika na shambulio hilo la pili?”
“Wale ulio niambia kwamba wana husika na uingizaji wa madawa ya kulevya?”
“Ndio muheshimiwa”
“Shitiiii!!”
Raisi Mtenzi alijikuta akipiga ngumi mezani kwa maana hiyo familia ina sababisha majanga makubwa ndani ya nchi ya Tanzania.


“Ni familia gani hiyo?”
“Sijapatwa kuonyeshwa muheshimiwa. Ila hiyo familia ina fanya hivyo kwa ajili ya kupata hadhina ambayo sisi na Wamarekani ime tufanya tufike hapa tulipo fikia leo”
“Shitiii sasa tuna fanyaje?”
“Ina bidi kuhakikisha kwamba makamu wa raisi wa Marekani ana lindwa pia na wana usalama wa Tanzania japo wata kataa”
“Umeonyeshwa ni mazingira gani ambayo ata uwawa?”
“Hapo nime weza kufichwa muheshimiwa. Ila nita hitaji kupiga goti chini na kumuomba sana Mungu aweze kunisaidia kuona hilo”
“Basi fanya hivyo alafu unipatie jibu”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Josephine akatoka ndani hapo na moja kwa moja akaelekea ofisini kwake. Akatoa simu yake kwenye pochi yake, akaitafuta namba ya Mage na akafanikiwa kuiona.


“Mage upo wapi?”
Josephine aliwahi kuzungumza mara tu simu hiyo kupokelewa.


“Nipo makao makuu ya kitengo cha NSA”
“Njoo ikulu sasa hivi?”
“Kwema?”
“No wewe njoo”
“Sawa nita fika hapo muda si mrefu”
“Poa”
Josephine akata simu, taratibu akaa kwenye kiti chake huku akionekana kuchoka kwa mawazo ya tukio hilo lililo tokea. Baada ya sakika thelathini na tano, Magreth akaingia ofisini hapo huku usoni mwake akionekana kuwa na wasiwasi mkubwa.
“Vipi kuna nini kime tokea”
Josephine kwa haraka akasimama na kumkumbatia Magreth na kuanza kumwagikwa na machozi.
“Jose niambie kuna nini kime kupata?”
“Mage upo kwenye wakati wa hatari tena?”
“Wakati wa hatari kivipi?”


Taratibu Josephine akamuachia Magreth na akakaa kwenye kiti chake.
“Niambie ume onyeshwa nini?”
“Vita”
“Vita ya nani na nani?”
“Marekani na Tanzania”
Magreth akahisi kama tumbo la haja kubwa likimkata mara baada ya kuisikia taarifa hiyo. Taratibu akakaa kwenye kiti huku akimtazama Josephine usoni mwake.
“Kwa nini tupigane vita?”
“Makamu wa raisi ana pangwa kuuwawa hapa nchini kwetu”
“Na nani na kwa nini?”
Magreth aliuliza maswali mfululizo huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi kiasi tofauti na mwendo wa kawaida wa moyo wake.


“Ile familia ambayo ilisababisha nchi ikaingia kwenye matatizo ya kimilipuko ndio hiyo familia ambayo ina panga kukuingiza wewe kwenye mtego wa kumuua makamu wa raisi wa Marekani na vita ikiwa ina endelea familia hiyo ime dhamiria kuhakikisha kwamba ina chukua hadhina yote ambayo inchi kwa sasa ina itegemea.”
“Mmmmm!!! Sasa mimi nita muuaje raisi makamu wa raisi ikiwa sina mpango kama huo na wala sifikirii jambo kama hilo”
“Kuna mtu ambaye ata valia nguo kama za kwako. Ndio ata tekeleza adhimia hilo na kutokana watu kadhaa wamesha kuona na mavazi hayo basi kesi yote utaibeba wewe”
“Ohoo Mungu wangu. Sasa tuna fanyaje ndugu yangu”
Magreth aliuliza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Hata sijui itakuwaje?”
“Raisi ume mueleza haya mambo?”
“Nimemueleza juu ya swala la kuuwawa kwa makamu wa raisi pamoja na hiyo familia ila hili jambo lako sija mueleza. Ila nina weza kumueleza sasa kwa maana nimesha kufikishia ujumbe muhusika mkuu”
“Jamani sasa mbona mambo yana taka kutugeukia?”
“Yaani sijui hiyo familia ina mpango gani?”
“Kwani hiyo familia haujaonyeshwa hata kidogo?”
“Hata kidogo na wala sijui ni kina nani?”
“Mmmm sasa kwa nini wana hitaji kutumia mavazi yangu?”
“Sijui ila mambo ndio yapo hivyo”
“Ina bidi nizungumze na raisi juu ya hili jambo”
“Twende wote”
Wakatokaofisini hapo na wakaingia ofisini kwa raisi Mtenzi. Josephine akamueleza raisi juu ya jambo hilo linalo kwenda kumkumba Magreth na kuzidi kumchanganya raisi Mtenzi ambaye ana pitia mapito ambayo ni magumu sana akiwa kama kiongozi wa nchi.


***


Mrs Sanga taratibu akafumbua macho yake huku akipiga miyayo ya uchovu wa usingizi ulio muandama. Akaitafuta simu yake ya mkononi, akatazama saa na kukuta ni saa tatu usiku.


“Mmmm muda ume kipimbia ehee?”
Mrs Sanga alijisemea kimoyo moyo huku taratibu akishuka kitandani. Akatazama mandhari ya chumba hicho huku akijinyoosha viongo vya mwili wake. Akavungua nguo zake haraka haraka na kuingia bafuni, alipo maliza kuoga akarudi kitandani huku akiwa ameishika simu yake akitafakari ni nani ampigie. Akaitazama namba ya Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akampigia.


“Mama shikamoo”
“Marahaba upo wapi?”
“Nipo nyumbani. Baba ameniambia ume ondoka vipi upo salama?”
“Nipo safi tu. Vipi wageni hapo nyumbani wame pungua?”
“Hapana ndio kwanza wana zidi kuongezeka”
“Ahaa…baba yako akikuuliza muambie nipo sehemu salama”
“Upo wapi?”
“Nipo nje ya Dar es Salaam ila nipo sehemu ambayo sitaki mtu ajua. Nahitaji kupumzisha kichwa changu, haya yaliyo tokea kwa kweli sihitaji kuongeza mengine kichwani mwangu. Nipeni muda wa kuyapunguza mimi mwenyewe”
“Sawa mama usijali katika hilo. Basi ukikaa sawa usisite kunijulisha”
“Poa usiku mwema”
“Nawe pia mama”
Mrs Sanga akakata simu huku akisikiliza mziki mzuri wa bendi unao tokea nje. Akanyanyuka na kusogelea dirisha hilo na kufungua, akawaona watu wakiwa wamekaa kwenye viti huku wakisikiliza mziki wa bendi hiyo.


‘Acha nikatulize akili yangu’


Mrs Sanga akavaa nguo zake hizo na kutoka chumbani kwake. Akatafuta kiti cha kukaa ambacho kipo sehemu yenye kigiza kidogo.


“Karibu mama tukuhudumie kinywaji gani?”
“Niletee Vodaka chupa nzima”
“Ahaa sawa”
“Pia nipatie menyu ya chakula”
Muhudumu akatekeleza kila alicho elezwa na mrs Sanga. Mara baada ya huduma ya chakula pamoja na kinywaji kukamilika, mrs Sanga akaanza kula huku akiendelea kusikiliza mziki huo mzuri. Kadri jinsi pembe ilivyo zidi kumchukua ndivyo jinsi hashiki zilivyo anza kumtawala. Akaanza kumkumbuka Tomas, mwanaume aliye kuwa ana msugua kila kona ya mwili wake. Akakumbuka siku aliyo muua kwa sumu kali sana.


‘Nahitaji kupata mtu kama Tom’


Mrs Sanga alizungumza huku akiangaza angaza eneo hilo. Hakuweza kumuona mwanaume ambaye ana weza kumfaa. Taswira ya Tumaini ikamjia usoni mwake, akaanza kumtathimini kijana huyo ambaye kiuzuri wa sura hadi umbo ame kamilia ila kasoro yake ni maisha magumu ndio yanayo mfanya kuonekana wa kawaida. Akaitafuta namba ya Tumaini na kumpigia simu.


“Haloo”
“Dogo ume lala?”
“Hapana boss”
“Una weza kuja huko hoteli?”
“Ndio”
“Fanya fasta”
“Sawa”
Mrs Sanga akatabasamu, akalipa chakula na kinywaji kisha akabeba mzinga huo wa pombe kali na kurudi chumbani kwake.


‘Nimefika’


Meseji ya Tumaini ikamfurahisha mrs Sanga. Akampigia.
“Ndio”
“Ingia kwenye hili gorofa na njoo chumba namba elfu moja na tisini”
“Sawa”
Mrs Sanga akakata simu huku akijitazama kwenye kioo.


“Nampa mara moja kisha naachana naye”
Mrs Sanga alijisemea kimoyo moyo. Kengele ya mlangoni mwake ikaanza kuita, akafungua mlango huo na kukutana na sura ya furaha na ucheshi ya Tumaini ambayo ikamfanya mrs Sanga kuanza kusisimka mwili mzima, hadi akatamani kumvamia kijana huyo.


***


“Samahani jamani”
Nabii Sanga alizungumza huku akinyanyuka kwenye kundi la marafiki zake wanao mfariji. Akasogea pembeni na kuipokea simu yake.


“Habari”
“Nimesha fika Tz now nipo hoteli moja hapa ina itwa Nemax Royal”
“Ohoo napafahamu”
“Njoo basi mana ni long time mimi na wewe hatuja kutana”
“Sawa nina jiandaa nina fika hapo”
Nabii Sanga akakata simu na kuwaomba marafiki zake hao kwamba ana toka mara moja na wakamkubalia.


“Hakikisha wageni wana pata kila wanacho kihitaji”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akaingia kwenye gari lake na kuondoka. Haikumchukua muda mrefu akafanikiwa kufika kwenye hoteli hiyo. Akashuka kwenye gari lake na kuisoma meseji aliyo tumiwa na ina muelekeza ni chumba gani aelekee. Nabii Sanga akaminya kitufe cha kiengele cha mlango huo na baada ya sekunde kadhaa ukafunguliwa na msichana huyo mrefu, mwenye shepu namba nane ila ya mazoezi. Weupe wake na urembo wa sura yake hakika sio jambo rahisi kwa mtu kufikiria kwamba binti huyo ni muuaju tena wa viwango vya kimataifa na kazi yake na kazi yake akiifanya huwa hakosei hata kidogo na hadi sasa hivi ni watu themenini na mbili ambao tayari amesha waua kwa kila aina ya njia aliyo panga yeye kuwaangamiza.


ITAENDELEA


Haya sasa, watu themanini na mbili wame uwawa na msichaha huyo, sifa yake ni moja ni kwamba hashindwi kazi je ataweza kumuua makamu wa raisi wa Marekeni ikiwa tayari mpango wa kuuwawa kwa makamu wa raisi ume sha julikana? Usikose sehemu ya 155.
 
SIN 155


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


Nabii Sanga akakata simu na kuwaomba marafiki zake hao kwamba ana toka mara moja na wakamkubalia.


“Hakikisha wageni wana pata kila wanacho kihitaji”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akaingia kwenye gari lake na kuondoka. Haikumchukua muda mrefu akafanikiwa kufika kwenye hoteli hiyo. Akashuka kwenye gari lake na kuisoma meseji aliyo tumiwa na ina muelekeza ni chumba gani aelekee. Nabii Sanga akaminya kitufe cha kiengele cha mlango huo na baada ya sekunde kadhaa ukafunguliwa na msichana huyo mrefu, mwenye shepu namba nane ila ya mazoezi. Weupe wake na urembo wa sura yake hakika sio jambo rahisi kwa mtu kufikiria kwamba binti huyo ni muuaju tena wa viwango vya kimataifa na kazi yake na kazi yake akiifanya huwa hakosei hata kidogo na hadi sasa hivi ni watu themenini na mbili ambao tayari amesha waua kwa kila aina ya njia aliyo panga yeye kuwaangamiza.





ENDELEA


Binti huyo taratibu akashika shati la nabii Sanga kifuani mwake na kumvutia ndani. Hakuhitaji hata salama, jambo alilo lifanya ni kuanza kumnyonya denda huku akihema pumzi zito zilizo zidi kumzuzua nabii Sanga. Nabii Sanga akaipitisha mikono yake nyuma ya kiono cha binti huyo na kumnyanyua juu huku akiyatomasa makalio yake. Akambwaga kitandani huku wakiendelea kunyonyan midomo yao huku ndimi zikiwa na vita ya kushambuliana mithili ya wana mereka wanavyo bwagana ulingoni. Nabii Sanga akafungua taulo la msichana huyo na kulitupia pembeni. Kitendo cha kuona chuchu zilizo simama na kujazia vizuri pamoja na hipsi zilizo jazia zika zidi kumchanganya nabii Sanga. Binti huyo aliye jaa mitego ya kila aina ya kimapenzi, akafungua zipu ya nabii Sanga, akamgeuza na kumlaza chali. Akachomoa jogoo wa nabii Sanga ambaye tayari alisha simama wima mithili ya mnara wa simu. Akaanza kumchua taratibu, alipo jiridhisha vya kutosha, taratibu akamuingiza mdomoni mwake na kuanza kumnyonya mithili ya mtu anavyo nyonya ice cream ya mawaziwa. Biti huyo aliendelea kufanya maujuzi yote ambayo anayafanya kwa mwanaume ambaye ana tambua ana pesa nyingi na ambaye anatambua kwa kufanya hivyo ni njia moja wapo ya kumuibia pasipo yeye mwenyewe kujua kama ana ibiwa. Nabii Sanga hakutaka kuwa mnyonge, akavua nguo zake zote kisha akambong’olesha binti huyo. Uchu wa mapenzi ukamjaa huku akitazama jinsi makalio yake yaliyo kaa vizuri na kiti kilicho zidi kumpagawisha nabii Sanga ni jinsi vile magalio hayo yaliyo malaini kutokana na kupakwa mafuta yanayo teleza.


‘Asante Mungu kwa uumbaji wako’


Nabii Sanga alizungumza huku taratibu akimzamisha jogoo wake katika kitumbua cha msichana huyo. Akakishika kiuno cha msichan huyo vizuri kisha na kuanza kushuhuli ya ulaji wa kitumbua huku akifurahi jinsi binti huyo anavyo zungusha kiuno chake mithili ya feni.


***


“Karibu ndani”
Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama Tumaini kwa macho ya matamanio. Taratibu Tumaini akaingia ndani huku akiwa na wasiwasi kwa maana bado haja mtambua huyo mwana mama ni mtu gani na ana lengo gani na yeye.


“Umekula?”
“Ndio”
“Ume kula nini?”
“Ahaa wali maharage”
“Ahaa watu wa Tanga muna penda sana wali mharage?”
Mrs Sanga alizungumza huku akikaa mikao ya kihasara hasara ambayo kidogo ikamuweka Tumaini kwenye wakati mgumu, kwani tayari jogoo wake alisha aanza kuwika.


“Aha….hapana ila sisi mabachelor wengi tuna penda kula hivyo kwenye vibanda vya mama ntilie”
“Hujaoa bado?”
“Hapana bado sija oa”
“Una umri gani?”
“Miaka ishirini na tano”
“Mkubwa una tumia kilevi gani?”
“Ahaa…nikiwa kazini huwa sinywi kabisa”
“No hapa uta tumia kinywaji gani?”
“Ahaa nikipata konyagi bapa sio mbaya”
“Poa”
Mrs Sanga akanyanyua mkonga wa simu ya mezani na kuwapigia wahudumu. Akaagiza Konyagi pamoja na nyama choma ya mbuzi kilo moja na nusu. Baada ya muda mfupi wakaletewa vitu wanavyo hitaji.
“Umaishia kidato cha ngapi?”
“Nne”
“Shule gani?”
“Masechu”
“Ipo wapi?”
“Ipo hapa hapa Tanga”
“Ahaaa una ishi na nani?”
“Geto tu nimepanga, nilisha ondoka home kwa wazizi kitambo kidogo”
“Wazazi wako nao wana ishi hapa hapa Tanga mjini?”
“Hapana wana ishi eneo moja lina itwa Muheza”
“Ahaa nili papita pale mbele. Wao wana jishuhulisha na nini?”
“Wana shuhulika na ulimaji wa machungwa na tikiti maji”
“Sawa sawa”
Tumaini alizungumza huku akiendelea kufakamia nyama hizo zilizo andaliwa katika ubora wa hali ya juu.


“Mbona hunywi konyagi yako?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiendelea kunywa taratibu kinyaji chake.


“Nina kunywa”
“Kunywa bwana”
Tumaini akafungua chupa hiyo na akaanza kunywa huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Akamtazama mrs Sanga jinsi anavyo endelea kumtega kimapenzi.


‘Huyu mama ana taka mbo**”
Tumaini alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kugwida pombe hiyo ambayo ana uzoefu nayo toka akiwa kidato cha pili.


“Nikuagizie nyingine?”
“Hapana hii hii ina tosha”
Tumaini alizungumza huku akimalizia fumba la mwisho la pombe hiyo. Akaweka chupa mezani huku akimtazama mrs Sanga.


“Nahitaji kwenda kunawa mikono”


“Sawa bafu lile pale”
Tumaini akasimama na kuelekea bafuni, kitendo cha kufungua maji ili anawe mikono mrs Sanga akaingia ndani hapo huku akiwa amevua nguo zake. Tumaini hakushangazwa kwa lolote kwa maana tayari alisha msoma mrs Sanga mienendo yake ambayo ana mletea. Taratibu Mrs Sanga akamkumbatia Tumaini kwa nyuma huku akiupeleka mkono wake wa kulia eneo alipo jogoo Tumaini. Ugumu wa jogoo huyo aliye simama akiwa ndani ya suruali, ukamfanya mrs Sanga kutabasamu. Tumaini akageuka huku akifungua kifungo cha suruali yake na mrs Sanga akaimalizia kuivua, macho yakamtoka mrs Sanga mara baada ya kukutana na jogoo mrefu anaye kimbilia nchi nane na nusu huku akiwa ameshiba.


‘Ehee Mungu nita muhimili kweli huyu kijana?’


Mrs Sanga alijikuta akimkumbuka Mungu wake huku akiendelea kumshika shika gogoo wa Tumaini.


“Oga kwanza”
Mrs Sanga alizungumza huku akijitahidi kuyazuia mapigo yake ya moyo yasimuende kasi. Kwenye maisha yake yote ya mahusiano hajawahi kukutana na mwanaume mwenye jogoo mrefu na aliye jazia kama wa Tumaini. Tumaini akaoga kwa haraka haraka na kurudi ndani, akamkuta mrs Sanga akiwa amejila kitandani.


Tumaini akaipanua miguu ya mrs Sanga na kuanza kunyonya kitumbua hicho kwa staili tofauti tofauti zilizo mchannya mrs Sanga kwani japo mume wake na mahawara wake wa nyuma walio pita akiwemo Tomas walisha wahi kumnyonya ila si kwa staili anayo ifanya kijana huyo. Tumaini, hakuishia hapo akazidi kwenda mbali zaidi hadi akaanza kumnyonya mk**. Mrs Sanga machozi yakaanza kumbubujika huku akihisi mwili wake kuzama kwenye dimbwi la furaha.


‘Hapa pesa ipo, nikicheza vizuri natusua maisha na ubodaboda basi’


Tumaini alijisemea kimoyo moyo huku akizidi kuuchezesha ulimi wake katika mk** wa mrs Sanga. Alipo hakikisha kwamba amefanya robo ya mautundu yake, akamkunja vizuri mrs Sanga mithili ya samaki anaye kunjwa kwa ajili ya kukaangwa. Akampaka mate jogoo wake na taratibu akamzamisha ndani ya kitumbua cha mrs Sanga.


“Uuuuuuuuwii…..iiii”
Mrs Sanga akitoa mguno huo huku akihisi raha ya ajabu. Sehemu aliyo guswa leo ndio mara yake ya kwanza kuguswa. Tumaini akaanza mtanange huo taratibu kama jinsi gari ya ina ya scania linavyo anza safari zake za masafa marefu. Kadri jinsi muda unavyo zidi kwenda ndiyo jinsi Tumaini alivyo ongeza kasi huku mrs Sanga naye akijitahidi kuleta maufundi yake ya kiutu uzima.


“Weee mtoto uta niua mimi…..ohooooo……”
Mrs Sanga alilalama huku mapaja yakimcheza mithili ya simu yenye vibration. Kwa mara nne mfululizo mrs Sanga alijikuta akifika kileleni, ila Tumaini ndio kwanza ana endelea kuzisiha maujuzi kwa maana anaamini kwamba kumsugua kwake vizuri mrs Sanga ndio jinsi atakavyo pata ujira mzuri wa kumtoa kimaisha.


“K** yangu ina waka moto. Umesha wahi kula mk** wewe?”
Swali la mrs Sanga likamfanya Tumaini kutulia kwa sekunde kadhaa. Akamchomoa jogoo wake, na taratibu akamzamisha katika mk** wa mrs Sanga.


‘Ehee mola kweli leo shuhuli ninayo’


Mrs Sanga alilalama na Tumaini hakulijahi hilo zaidi ya kuendelea kufanya kazi iliyo mpeleka chumbani hapo. Mrs Sanga alijikuta akitamani kuomba poo, ila akahisi kwamba ata jidhalilisha mbele ya kijana huyo ambaye ame mpita zaidi ya miaka thelathini.


“Nakojoo”
Tumaini alilalama huku akiongeza spidi yake ambayo ukiiipima una weza kusema ni mwendo kasi wa Ferrari. Mrs Sanga alishindwa kujibu chochote zaidi ya miguuno ya kimahaba ambayo muda mwengine ina kuwa ni ya raha huku muda mwengine ina kuwa ni ya maumivu. Tumainia akafika tamani huku wazungu weupe akiwamwaga juuya makalio ya mrs Sanga.


“Ohoo naomba maji yake ya kunywa”
Mrs Sanga alilalama huku akiwa amekalal kifudi fudi. Koo lake lime kauka kau, Tumaini akashuka kitandani huku akitabasamu. Akachukua chupa hiyo ya maji na kumkabidhi mrs Sanga aliye anza kuyafakamia hadi yakabaki kidogo kiasi.


“Vipi tuendelee?”
“Ahahaa….hapana kwa kweli. Mwenzio umri ume kwenda, sina ubavu kama wako”
“Mmmm sasa mbona ume nihimili?”
“Nimejikaza tu ila kwa kweli umeni** hadi nime koma”
“Mmmmmm sasa mimi bado nina hamu huwa nime zoea kuunganisha mbili kwa moja”
“Tobaaaa”
Mrs Sanga alihamaki huku akiwa hajui nini cha kufanya kwa maana kama ni jogoo wa Tumaini bado amesimama dede na bado ana onyesha kwamba ana hitaji kuendelea na mashambulizi hayo.


“Mtulize bwana”
“Hato weza kutulia hadi apate”
“Mmmmm kwa kweli siwezi hapa nilipo nyege zote zime kwisha. Lalalala kdogo labada huko bade nikupe tena”
“Mpigishe nyeto basi”
Mrs Sanga akashusha pumzi na hakuwa na jinsi yoyote zaidi ya kuendelea kumshuhulikia jogoo huyo kwa kumchua kwa kila aina ya staili anayo ijua hadi staili ya kuyabana maziwa yake na jogoo huyo kupita katikati ya maziwa hayo. Tumaini akajitahidi kadri ya uwezo wake na akafanikiwa kuvuta hisia na kupiga goli la pili ambalo kidogo likaituliza mizuka ya jogoo huyo huku mrs Sanga akikubali shuhuli ya kijana huyo.


***


“Fuc***”
Nabii Sanga alilalama huku viungo vya mwili mzima vikijikaza. Waarabu hao waupe wanao toka hakika humfurahisha kila mwanaume akiwa katika hali kama hiyo.


“Una ubo** mtamu mpenzi wangu”
Msichana huyo alizungumza huku akiwachezea chezea waarabu wa nabii Sanga walio zagaa kifuani mwake.
“Kweli?”
“Haki ya Mungu vile. Yaani ume nikuna vizuri sana”
“Nashukuru, hata wewe mauno yako ni matamu”
“Hahaaa kweli?”
“Yaa ujuzi wako umeongezeka ni tofauti na miaka saba iliyo pita”
“Hahaa kipindi kile nilikuwa bado kamanzi kadogo dogo na sikuwa najua kukatikia mbo** vizuri ila sasa nime kua na nina jua kila aina ya mikao”
“Haaa ni kweli Jack”
Nabii Sanga alizungumza huku akijilaza pembeni ya Jackline.
“Ehee niambie nani ana paswa kufa na lini niweze kumuondoa?”
“Ni kazi ngumu kiasi ila inao hiyaji ujasiri na ina hitaji kuhakikisha kwamba una weza kumpachikia mtu kesi hiyo?”
“Nahi huyo”
Nabii Sanga akaokota suruali yake na kuitoa simu yake mfukoni. Akamuonyesha Jackline picha ya Magreth akiwa katika mavazi yake ya kazi.
“Huyo ni nani?”
“Anai Magreth na mtazame hapa”
Nabii Sanga akaiweka video hiyo ya Magreth ambayo ime samba sana mitandanoni.


“Heee huyo manzi wa Ktz ninayo video yake. Aisee ni hatari sana huyo mdada. Ndio una taka niweze kumuondoa duniani?”
“Hapana. Kuna mavazi kama hayo yana shonwa katika kazi hiyo ambayo nahitaji uifanye ni kuhakikisha kwamba una yavaa mavazi hayo na kesi nzima ita muangukia msichana huyo”
“Ahaa kwa hiyo una taka ni mframe?”
“Yaaa”
“Sasa ni nani ambaye nakwenda kumuua?”
“Una tambua kwamba kesho kutwa ni maziko ya mke wa raisi?”
“Yaa natambua, yule first lady wenu alikuwa ni mtu poa sana”
“Ni kweli ila Mungu amrehemu huko alipo. Ila pointi yangu ya msingi nina hitaji umuondoe mmoja wa wageni wakubwa ambao wata kuja nchini Tanzania”
“Ni nani huyo?”
“Ni makamu wa raisi wa nchi ya Marekani. Nita hitaji umuue siku ya pili mara baada ya mazishi. Kuanzi sikua mbayo ana kuja nchini, hakikisha kwamba una fwatilia nyendo zake na nina mtu maalumu ambaye yupo ndani ya ikulu na ana weza kunipa detail zote za ndani za wapi atakapo lala na ana mfumo gani wa ulinzi. Ila siku ya pili hakikisha ana kufa je uta iweza hiyo kazi?”
Jackline akashusha pumzi huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.


“Hakuna kazi inayo nishinda mimi Jackline hususani kazi ya kuua. Wewe uta nipa bei ngapi?”
“Ukifanikiwa kwenye hiyo kazi five million USD. Hope uta toka kimaisha”
“YES BABY…..ndio maana nina pendaga kufanya kazi na wewe hembu nito** tena ili niweze kupanga mipango yako vizuri kichwani jinsi ya kumuondoa huyo makamu wa raisi”
Jackline alizungumza kwa furaha sana huku akianza kumchua jogoo wa nabii Sanga, alipo simama dede tu, akamkalia na kuanza kujishuhulisha yeye mwenyewe katika kufurahia kiwango hicho cha pesa kwani ni kikubwa sana na hajawahi kulipwa pesa hiyo toka alipo anza kazi zake za uuaji.


ITAENDELEA


Haya sasa, nabii Sanga ana mlipa Jackline dola milioni tano za Kimarekenia juu ya kazi ya kumuua kamaku wa raisi wa Marekeni, Jackline ana dai kwamba hakuna kazi ambayo imeshindikana kwake je ata fanikiwa kuifanikisha kazi hiyo? Usikose sehemu ya 156.
 
SIN 156


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Hakuna kazi inayo nishinda mimi Jackline hususani kazi ya kuua. Wewe uta nipa bei ngapi?”
“Ukifanikiwa kwenye hiyo kazi five million USD. Hope uta toka kimaisha”
“YES BABY…..ndio maana nina pendaga kufanya kazi na wewe hembu nitomb** tena ili niweze kupanga mipango yako vizuri kichwani jinsi ya kumuondoa huyo makamu wa raisi”
Jackline alizungumza kwa furaha sana huku akianza kumchua jogoo wa nabii Sanga, alipo simama dede tu, akamkalia na kuanza kujishuhulisha yeye mwenyewe katika kufurahia kiwango hicho cha pesa kwani ni kikubwa sana na hajawahi kulipwa pesa hiyo toka alipo anza kazi zake za uuaji.





ENDELEA


Hadi wana maliza mzunguko wa pili wa mtanange huo tayari Jackline alisha pata mpango wa kufanya ili kutekeleza mpango wake huo wa mauaji juu ya makamu wa raisi wa nchi ya Marekani.


“Nimepata mpango wa kuumua huyo makamu wa raisi, hakikisha asubuhi una niletea mavazi hayo. Umenielewa?”
“Ndio nime kuelewa usiwe na shaka katika hilo.”
“Ila kazi hii nina ona haina haja ya kumfram huyo manzi”
“Kwa nini?”
“Kwani ana makosa yoyote na wewe?”


Nabii Sanga akaka kimya kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama Jackline aliye jilaza pembeni yake.
“Huyo msichana ana itafuta sana ndoa ya mwanangu. Hivyo nina hitaji apotelee jela?”
“Una onaje nikaanza na huyo msichana kisha huyu makamu wa raisi ikwa nia rahisi kumuondoa”
“Una uwezo huo?”
“Una mashaka juu ya uwezo wangu?”
“Hapana sina mashaka”
“Basi nita fanya hivyo. Jua la kesho jioni hato liona”
“Ila ume tazama video yake kwa umakini?”
“Ameweza mpiga huyo fala hawezi niweza mimi. Nina uwezo zaidi yake?”
“Sawa kama ukiweza kumuondoa basi nita kuongezea one million dollars”
“Waooo. Naweza pata detail za huyo msichana?”
“Ni simple tungoja nimpigie mwanangu”
Nabii Sanga akaitafuta namba ya Julieth kwa haraka kwenye simu yake.
“Baba vipi mbona hadi sasa hujarudi, nina pata wasiwasi?”
“Kuna mambo nina yaweka sawa. Je una weza kunitafutia details za Magreth?”
“Kwani baba humjui Magreth”
“Yaani nina taka kujua ana fanya nini sasa hivi?”
“Sawa ngoja dakika kadhaa”
Nabii Sanga akakata simu na baada ya dakika mbili faili likaingia kwenye simu yake kupitia mtandao wa whatsapp. Akalifungua na kuanza kusoma maelezo yaliyo andikwa yanayo muhusu Magreth. Nabii Sanga akajikuta akistuka mara baada ya kukuta kwamba Magreth ni miongoni mwa wapelelezi walipo kwenye kitengo cha NSA. Nabii Sanga akaka kitako vizuri huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana na mbaya zaidi ni kwamba hafahamu ni lini Magreth ameanza kazi katika kiengo hicho nyeti cha serikali.
“Vipi mbona una pata mstuko?”
“Huyu msichana kumbe ni mpelelezi?”
“Hembu”
Jackline naye akaanz akusoma taarifa hiyo ya Magreth, kisha akamtazama nabii Sanga.
“Sasa kuwa mpelelezi haito mzuia yeye kufa?”
“Una uhakika?”
“Ndio”
“Sawa ifanye hiyo kazi na ukiifanikisha nita kupatia pesa nzuri zaidfi ya hiyo niliyo kuahidi”
“Usijali mpenzi wangu”
Jackline akazinyonya lispi za nabii Sanga taratibu kisha akajilaza huku akianza kupanga mpango mwengine wa kumuangamiza Magreth.
***


Josephine akayafumbua macho yake marabaada ya kusali na kumkuta Magreth akiwa amejinamia kwenye sofa la ofisini hapo.


“Mage”
“Beee”
“Twende”
“Wapi?”
“Kwa mtu ambaye ana uwezo wa kuchora”
Magreth akaitazama saa ya mkononi mwake na ina muonyesha ni saa tisa usiku.


“Tuna kwenda kufanya nini?”
“Wewe twende”
Magreth hakuhitaji kubisaha sana akakubaliana na Josephine.


“Usiwe na mawazo sana”
Josephine alimfariji Magreth ambaye toka apokee habari ya kukabiliwa na tatizo la kupakaziwa kesi basi amepoteza amani kabisa mojayoni mwake. Wakaingia katika chumba cha mtaalamu ambaye ana shuhulika na uchoraji kupitia compute. Wakasalimiana naye na kwa bahati nzuri walimkuta ndio ana maliza kuchora katuni kwa ajili ya gazeti la asubihi la serikali.
“Kaka kuna mtu nina hitaji unichoree”
Josephine alizungumza huku akimtazama jamaa huyo.


“Una picha yake?”
“Hapana nina sura yake katuka ufahamu wake wa akili je nina weza kukueleza na ukawa una chora?”
“Ndio una weza kunieleza “
“Ngoja kwaza Jose huyo uniye hitaji achorwe ni nani?”
“Nimeonyeshwa sura ya ambaye ata kupakazia lile kambo”
Magreth akastuka na kukaa vizuri kwenye kiti hicho. Josephine akaanza kumueleza kijana huyo hatua moja baada nyingine ya mtu ambaye ameonyeshwa kwenye maono yake. Kadri muda ulivyo zidi kwenda Magreth alijikuta akishangaa kuona ni mwanamke tena mwenye sura nzuri sana. Ndani ya dakika ishirini kazi hiyo ikawa ime kamilika.
“Huyo ndio muuaji aliye pandikizwa kumuua. Endapo tuta mpata katika siku ya kesho haya mambo yote nilio onyesha hayato kwenda kutokea”
Josephine alizungumza kwa kujiamini huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Kaka nitumie hiyo picha kwenye simu yangu”
Magreth akamkabidhi kijana huyo simu yake, akaichomeka kwenye waya wa USD na kuiunganisha na computure hiyo. Akaingiziwa picha hiyo na akaitazama kwa sekuende kaadhaa.


“Hivi mwanamke mrembo kama huyo ana weza kuwa muuaji?”
Magreth aliuliz ahuku akimtazama Josephine usoni mwake.


“Wewe pia ni mzuri mzuri kuliko hata huyu dada. Nina imani ume nielwa”
“Magreth akatingisha kichwa akimaanisha kwamba ameelewa.”
“Kaka una iweza uka scan hiyo picha na kumtafuta huyo msichana?”


Magreth alizungumza huku akimtazama kijana huyo.
“Hapana kw amimi siwezi, lada tuwatumie wale watu wa control room wao ndio wana weza kufanya hayo yote”
“Sawa basi watumie sisi tuna elekea huko”
“Sawa, muulizieni jamaam mmoja ana itwa Simon, ata wapatia details za huyo msichana ni nani na nimesha mtumia sasa hivi”
“Sawa”
Magreth na Josephine wakatoka ndani hapo huku wakiwa na shahuku kubwa sana ya kutaka kumfahamu msichana huyo kuanzia jina hadi kazi anayo ifanya.
“Karibuni, nina itwa Simoni nime pewa kazi yenu. Nina ifanya hapa”
Kijana huyo mwenye manywele mengi yaliyo simama huku akiwa na mwili mwembaba, alizungumza huku akiwaonyesha zoezi hilo jinsi linavyo fanya kazi katika laptop yake aliyo ishika mkononi.
“Ime fikia wapi?”
“Nina endelea ku scan hii picha nina imani nita ipata”
Hazikupita hata dakika kumi picha halisi ikatokea katika laptop ya Somoni.
“Nimempata”
Magreth na Josephine kwa haraka wakazitazama picha hizo huku wakiwa wamezikodolea macho.


“Ana itwa Jackline Odinga. Ni fomer militariy snipers. Amechukua mafunzo yake katika nchi ya Rusia, Israel na Marekani. Ana miaka thelathini na saba sasa. Hana mtoto, wala hana mume”
Simoni alizungumza huku akisoma maelezo ya Jackline.


“Ume sema amestafu jeshi?”
Magreth aliuliza huku akimtazama Simoni.


“Ndio ame stafu akiwa na miaka ishirini na nane”
“Sababu zilizo mfanya astafu?”
“Hazijawekwa bayana”
“Ana jishuhuhulisha na nini sasa hivi?”
“Hakuna details zozote zinazo muonyesha anafanya kazi gani”
“Una weza kumtafuta na kufahamu yupo wapi?”
“Ina bidi sasa hapo nihack satelate za Kenya na kufanya hivyo ni kosa”
“Mage mtu huyo nime onyesha yupo Tanzania ila sijajua yupo sehemu gani. Hapo ndipo kwenye shida”
“Kama yupo Tanzania tuna weza kumpata”
“Hembu anza kumtafuta kwenye mahoteli”
Magreth alitoa pendekezo hilo na Simoni akaanza kufanya kazi ya kukagua cctv kamera zilizo fungwa kwenye mahoteli yote makubwa nchini Tanzania.


“Kwani dada zangu huyo muna mtafuta kwa kazi gani?”
Simoni aliuliza huku akiwatazama Magreth na Josephine kwenye nyuso zao kwa maana hawajampatia maelezo yoyote kwamba huyo msichana wana mtafuta kwa ajili ya shuhuli za kiserikali au binafsi.
“Naamini una fahamu mim ni nani?”
Josephine alimuuliza Simoni huku akimtazama usoni mwake.


“Ndio”
“Basi yoyote atakaye kuuliza kuhusiana na hili muambie chief staff ndio nime kupa ruhusa ya kufanya hivyo”
“Sawa madam”
“Hili zoezi lita chukua muda kidogo”
“Muda gani?”
“Hata masaa mawili kwa maana ina bidi ni hakikishe kwamba nina hack system ya cctv kamera za hoteli moja baada ya nyingine”
“Kwani huna uwezo wa kumtafuta mtu kwa sura yake na akapatikana?”
“Hilo swala sasa ni lazima liweze kuidhinishwa na muheshimiwa raisi”
“Mimi siwezi kuidhinisha?”
Josephine aliuliza huku akimtazama Simoni usoni mwake.


“Hapana kwa maana hapo mutakuwa muna kwenda kwenye big oparesheni. Mimi nina weza kufanya ila sinto weza kufanya kwa sababu ya kufwata taratibu za kazi yangu kwa maana likitokea la itokea mimi ndio nita husika”
“Jose raisi saa hizi ata kuwa macho?”
“Hapana amelala”
“Ila NSA wana weza kuifanya hii kazi”
Simoni alishauri hilo.


“Basi mtumiemkuu wangu?”
“Sawa”


Magreth akampigia simu mzee Mbogo.
“Ndio Mage”
“Upo ofisini?”
“Ndio”
“Tume pata picha ya muuaji anaye panga kumuangamiza makamu wa raisi.”
“Ipo wapi?”
“Imesha tumbwa kutoka hapa ikulu kuja huko”
“Nina kwenda chumba cha mawasiliano sasa hivi kuona ila kama unayo kwenye simu nitumie””
“Nina kuingiazia sasa hivi”
Magreth akaituma picha hiyo haraka kwa mzee Mbogo kisha baada ya dakika mbili akampigia.


“Muheshimiwa Josephine amesema kwamba endapo tuta fanukiwa kumpata huyo msichana kwa siku ya kesho basi kila jambo alilo litabiri lita kwisha huyu msichana tukimkamata basi tuna tuna weza kuipata familia inayo husika na huu mpango mzima”
“Sawa sisi tuna mtafuta endapo tuta mpata tuta kutumia location ni wapi alipo”
“Nita shukuru muheshimiwa”
Magreth akakata simu huku akimtazama Josephine usoni mwake.


“Magekwa nini sasa Mungu hajakuonyesha ni wapi alipo na hiyo familia ni ya nani?”
“Mungu ana makusudi kwa kila jambo Mage. Hata hichi kidogo alicho tupatia hivi sasa ni swala la kumshukuru Mungu”
“Ni kweli, ila huyu malaya endapo nikimtia mkononi mwangu. Haki ya Mungu nita mminya hadi nihakikishe kwamba ana taja ni nani aliye mtuma”
“Usikamie sana tusije tukamkosa bure na mambo yakaharibika”
Josephine alizugumza kwa sauti ya unyonge iliyo mfanya Magreth azidi kujawa na mawazo kwa maana kichwani mwake hajawahi kufikiria siku moja kuja kuishi kama gaidi tena wa maauaji makubwa kama ya makamu wa raisi wa nchi ya Marekani.


***


Simu ya Jackline ikaanza kuita kwa haraka akaichukua pembeni ya kitanda alipo iweka, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akakaa kitako na kuipokea.
“Vipo dogo?”
“Dada data zako zina sakwa”
Kauli ya kijana huyo ikamstua sana Jackline na kujikuta akimtazama nabii Sanga ambaye naye ana msikiliza katika mazungumzo yake.
“Nani ambaye ame zitafuta?”
“Kuna twoa access kutoka nchini Tanzania ndio zime kutafuta. Nime jaribu kuhack ili kufahamu ni watu gani ndio walio acces kwenye details zako nika shindwa kuwapata”
“Ohoo Mungu wangu. Sasa sikia futilia mbali hizo detail zote”
“Ila sister zipo kwenye database za jeshi na hatuwezi kuzifuta. Nimesha ngaa kuona kwamba taarifa zako zina tafutwa tena kutokea ndani ya Tanzania na nilipo kuja kuangalia location yako nime gundua upo Tanzania ndio maana nika kupigia simu haraka iwezekanavyo”
“Nime kuelewa mdogo wangu. Sasa hakikisha kwamba una jitahidi kuhakikisha una fahamu ni nani ambaye ana tafuta detail zangu na unifahamishe”
“Sawa dada ila kuwa makini sana, tena sana kwa maana kwa uelewa wangu mdogo nina amini kwamba hivi access zina toke ndani ya vitengo ambavyo vina jua nini vina fanya ndio maana nime shindwa kuhack kabisa. Laiti ingekuwa ni mtu mmoja basi ninge fahamu?”
“Sawa nashukuru kwa taarifa”
“Poa”
Jackline akakata simu huku akishuka kitandani.


“Kuna nini?”
“Nina tafutwa na vyombo vya usalama. Sasa sifahamu kwa nini wana nitafuta na sijui wame juaje jina langu hadi kunifwatilia na vyombo hivyo vina onyesha vina tokea hapa Tanzania. Sasa nina potea, kazi yako nita ifata, na wewe tembea kabla hujakamatwa. Tumeelewana mzee?”
“Ndi…ioo….o”
Nabii Sanga alijibu kwa kigugumizi kikali huku akishuka kitandani. Hapakuwa na mtu aliye kumbuka kuoga kwani hawajui ni nini kina fwata. Nabii Sanga akawa wa kwanza kuondoka hotelini hapo kisha akafwatila Jackline kuondoka usiku huo na kwenda anapo pajua yeye mwenyewe ili kujipanga zaidi kwa ajili ya kazi iliyo mleta nchini Tanzania.


****************************************************************************************************************


** ITAENDELEA


Haya sasa, Jackline ame tambua kwamba ana tafutwa ila hajui ana tafutwa na nani. Ana mpamgo wa kumuua Magreth je ata fanikiwa ikiwa tayari Josephine naye ana picha yake na ana mna mtafuta ili kumuzuia kutekelea mpango wa kumuua makamu wa raisi? Usikose sehemu ya 157.
 
SIN 157


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


Jackline akakata simu huku akishuka kitandani.


“Kuna nini?”
“Nina tafutwa na vyombo vya usalama. Sasa sifahamu kwa nini wana nitafuta na sijui wame juaje jina langu hadi kunifwatilia na vyombo hivyo vina onyesha vina tokea hapa Tanzania. Sasa nina potea, kazi yako nita ifata, na wewe tembea kabla hujakamatwa. Tumeelewana mzee?”
“Ndi…ioo….o”
Nabii Sanga alijibu kwa kigugumizi kikali huku akishuka kitandani. Hapakuwa na mtu aliye kumbuka kuoga kwani hawajui ni nini kina fwata. Nabii Sanga akawa wa kwanza kuondoka hotelini hapo kisha akafwatila Jackline kuondoka usiku huo na kwenda anapo pajua yeye mwenyewe ili kujipanga zaidi kwa ajili ya kazi iliyo mleta nchini Tanzania.





ENDELEA


Nabii Sanga hadi ana fika getini kwake majira ya saa kumi usiku, bado yupo kwenye wasiwasi mkubwa sana wakuhisi ana fwatiliwa. Geti likafunguliwa na taratibu akaingia ndani huku akiwa katika mawazo mengi sana, akasimamisha gari lake kwenye maegesho ya hapo nyumbani kwake. Akatazama namba ya Jackline akatamani kumpigia simu ila akashindwa, kuhofia simu yake kudakwa na kuonekana ana husiana na Jackline ambaye wanavyo hisi ni kwamba amesha anza kutafutwa. Nabii Sanga akastuka mara ya kuhisikia kioo cha pembeni ya gari lake kikigongwa, akamuona Julieth ndio anaye gonga, taratibu akafungua lock ya mlango huo na Julieth akaingia.


“Vipi bado huja lala?”
“Yaa nilikuwa nina kusubiria wewe”
“Tena afadhali huja rudi kuna jambo nahitaji kufahamu”
“Jambo gani?”
“Nilikuwa na yule binti ambaye nina hitaji kumpatia kazi ya kumuua makamu wa raisi. Sasa kuna mtu wake amemualeza kwamba data zake zime weza kutazamwa kwenye mtandao na watafutaji wametokea hapa hapa nchini Tanzania. Hembu jaribu kudadisi kuna nini kinacho endelea ndani ya ikulu”
“Usiku huu ndio zime angaliwa?”
“Ndio”
“Kwani kuna mtu ambaye ana fahamu juu ya kuja kwake hapa nchini Tanzania?”
“Hapana ni mimi wewe na yeye?”
“Mmmmm sasa ni nani ambaye amemtazama?”
“Yaani hapa ndio tuna changanyikiwa na mbaya zaidi ni kwamba hao watu walio mtazama ni ngumu sana kuwa hack”
“Ohoo hiyo sasa ni shida nyingine. Kama wata kuwa ni NSA au IKULU basi ni ngumu sana kuingia kwenye database zao na kuhack na kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.”
“Ndio maana nime kuambia hembu dadisi na ufahamu ndani ya ikulu. Ujue ni kitu gani kinacho endelea”
Julieth akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kuwaza ni nani ambaye anaweza kumuamini ndani ya ikulu hiyo na akampatia mambo yanayo endelea.


“Kuna dogo ana itwa Simoni nime kuwa naye karibu siku hizi mbili tatu. Ngoja nimpigie”
“Fanya hivyo”
Julieth akaitafuta namba ya Samson na kuanza kumpigia.
“Dada habari ya usiku”
“Salama vipi upo ikulu?”
“Ndio nipo ikulu”
“Kuna nini kinacho endelea?”
“Hakuna kitu kinacho endelea mbona”
“Hakuna mtu anaye tafutwa?”
“Ahaa yupo kuna dada mmoja hivi ana itwa Jackline Odinga. Ni mkenya, ana tafutwa na chief staff pamoja na yule dada Magreth”
“Kwa kosa gani?”
“Sija jua kwa kweli?”
“Wame fikia wapi sasa?”
“Hili jambo kwa sasa, NSA ndio wanao shuhulika nalo, kwa sisi hapa limesha toka mikononi mwetu”
“Sawa nashukuru. Usiku mwema”
“Na wewe pia”
Julieth akakata simu huku akimtazama baba kwa maana aliweka loud speaker na nabii Sanga ameweza kusikia kila kitu kilicho zungumzwa.


“NSA endapo wata mkamata huyu binti kila jambo lina weza kuwa wazi”
“Kwani ni msichana ambaye hajiwezi kwenye kujilinda yeye mwenyewe?”
“Ana jiweza na yupo vizuri sana. Ila sijajua ni adhabu gani ambayo NSA wana weza kumpatia hadi akazungumza ukweli”
“Kama vipi wasiliana naye ili aweze kuondoka nchini usiku huu huu. Endapo ata kamatwa basi kila jambo lina weza kuharibika”
“Hapana huu mpango hauwezi kuishia hapa. Nilazima hiyo hadhina tuweze kuipata na lazima tuzigonganishe hizi hichi mbili kwa manufaa yetu binafsi. Jambo la msingi ita nilazimu kuhakikisha nina mkodisha muuaji mwengine wa pili kwa ajili ya kuifanya hiyo kazi”
“Wawili wamuue mtu mmoja?”
“Ndio kama mmoja akikamatwa basi mwengine akaitekeleze hiyo kazi na wasijuane kama wote wana ifanya kazi moja”
“Ila baba hao watu wako una waamini lakini kwa maana kama ni hivi tu wamesha jua kwamba Jackline ana tafutwa. Alafu huwa wana juaje kila kinacho pangwa kutokea”
“Ni Josephine”
“Josephine kivipi?”
“Umesahau kama ana maono ya kuona kila jambo lijalo. Kitu ambacho ana shindwa kukiona ni hii familia yetu na mipango yetu. Kama unavyo jua nguvu ninazo zitumia basi hato weza kuona chochote kwetu”
Julieth akashusha pumzi kwa sekunde kadhaa huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana moyoni mwake.


“Baba yule msichana ina bidi tushuhulike naye la sivyo ata kuja kugundua mimi ndio mvujishaji siri na endapo ata muambia raisi una hisi mimi nita kuwa wapi?”
“Hawezi kuona chochote kwetu”
“Baba ana onyeshwa na Mungu yule”
“Natambua, ila hawezi kuona chochote kwangu”
“Mmmm sawa”
Meseji ikaingia kwenye simu ya Julieth. Akaitazama kwa sekunde kadha.


‘Upo wapi’


Meseji hiyo ya Jery, ikamfanya kumtazama baba yake kwa sekunde kadhaa.


“Nina kwenda kulala, naona Jery ana nitafuta”
“Sawa kuwa makini”
Julieth akashuka kwenye gari hilo na moja kwa moja akelekea chumbani kwake. Akamkuta Jery akiwa amekaa kwenye sofa akimsubiria.
“Ume toka wapi mke wangu?”
“Kuzungumza na baba, ame rudi muda huu”
Julieth alizungumza kwa sauti ya upole. Taratibu Jery akamkalisha Julieth kwenye mapaja yake na kuanza kumtomasa maziwa yake.
“Baby mbona ume sahau ahadi tuliyo panga. Tusubirie mama azikwe”
Julieth alizungumza kwa sauti kimahaba.


“Nina hamu na wewe. Mama amesha kufa hakuna kitakacho badilika mke wangu.”
“Ndio najia hawezi kurudi duninia. Ila tumuheshimu kwa hata kwa hii nafasi yake ya mwisho”
Jery akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akamnyanyua na kusimama. Hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kupanda kitandani na dhahiri moyo wake ume chafukwa na visababu hivyo anavyo vitoa Julieth.


“Baby najua ku……”
“Lala”
Jery alizungumza huku macho yake yakiwa yame tawaliwa na uwekundu ambao ulianza kumshangaza na kumuogopesha Julieth. Taratibu Julieth akavua nguo zake na kujilaza pembeni ya Jery huku akiwa na hofu kubwa sana. Hadi kuna pambazuka kila mtu hakuwa amepata usingizi, Jery akawa wa kwanza kushuka kitandani, moja kwamoja akaelekea bafuni na kujisaidia haja ndogo kisha akaoga na kurudi chumbani.


“Nahitaji kuelekea ikulu. Kama una fwatana na mimi sawa, kama una baki hapa kaa hapa”
“Mume wangu hiyo ndio salamu”
“Za asubuhi”
Jery alizungumza kwa ufupi huku uso wake ukiwa ume kunjiana ndita. Dhahiri ana onyesha kwamba ana hasira ya kile alicho nyimwa jana usiku.


“Mume wangu natambua kwamba nime kukwaza. Ila heshima ya mama ni muhimu”
“Yule ni mama yangu na sio mama yako. Mimi ndio nina uchungu kupita wewe umenielewa. Sasa mambo mengine yasiendelee kisa yeye amekufa. Mbona baba yangu ana fanya kazi za kiserikali kama kawaida, kwa nini asike wiki zote hizo toka mama amekufa akiwa ana lia lia tu eheee. Una nichukuliaje hivi Julieth, yaani usiku una niacha nikiwa nime lala una kwenda kupuyanga huko nje alafu una kuja kunipa porojo kama ulikuwa uan zungumza na baba yako si ndio?”
Jery alizungumza kwa kufoka hadi mishipa ya shingo na mikononi mwake ikanza kuvimba na kuonekana vizuri tu. Julieth kwa kweli hakuweza kuamini kama ipo siku Jery ata kuja kumfokea kiasi hicho.


“Haki ya Mungu mume wangu jana usiku nilikwenda kuzungumza na baba. Muulize”
“Hivi una hisi mimi ni mjinga si ndio. Nisikilize wewe, mimi sio mpumbavu nitoke hapa niende kumuuliza baba mkwe wangu, eti jana ulikuwa una zungumza na mke wangu. Ata nichukuliaje, au una hisi mimi ni mtoto wa mikaa kumi na mbili si ndio”
Jery alizidi kukoroma huku akimsogelea Julieth aliye jikuta akianza kurudi hadi akafika ukutani. Jery akaichukua simu ya Julieth.


“Toa password”
“Baby mambo gani ya kushikiana simu”
“Nimesema toa password?”
Macho ya Jery yalijawa uwekundu mithili ya mtu aliye vuta bangi kwa siku ya kwanza. Julieth mwili mzima ukaanza kumtetemeka, akatoa neno hilo la siri na Jery moja kw amoja akaelekea upande wa simu zilizo pigwa.


“Huyu Samson ndio mume wako ambaye saa tisa usiku una toka hapa na kwenda kuzungumza naye nje si ndio”
“Ohoo Mungu wangu. Samson sio mpenzi wangu mume wangu kuna….kuna”
Julieth alijikuta akishindwa kumalizia sentensi yake kutokana na kujua kwamba endapo ata elezea ni kitu gani ambacho alizungumza na Samson usiku basi ita mlazimu kutoa maelezo marefu na endapo Jery ata mbana kwa maswali basi ataweza kugundua jambo.


“Kuna nini?”
“Ni mfanyakazi wa pale ikuku”
“Kwa hiyo siku hizi umesha anza kuwa na namba za wafanyakazi wa ikulu wa kiume si ndio?”
“Mume wangu, huniamini?”
“Nisikilize Julieth, nilikuoa uwe mke wangu na sikukuoa uwe na urafiki na watu wa ikulu”
“Ila nilikuwa nina muuliza maswala ya kazi tu”
“Saa kumi usiku una muuliza maswala ya kazi. Kwani maasaa yote ulishindwa kumuuliza si ndio, sasa nisikilize kama ni kazi hiyo uliyo pewa na baba yangu. Basi nina kwenda kumuambie akutoea na wiki ijayo tuna ondoka na kuelekea Marekani”
Jery mara baada ya kuzungumza hivyo akairusha simu ya Julieth kitandani. Akamalizia kufunga vifungo vya shati lake vizuri na kutoka ndani hapo huku koti lake la suti akiwa amelishika mkononi. Julieth akajihisi kama dunia ime badilika na kumuendea katika njia ambayo hakuitarajia kuipata. Tabasamu la Jery ambalo kila siku alikuwa ana liona usoni mwake, leo lime potea, tena asubuhi na mapema kabisa. Julieth kwa haraka akatoka nje, kitando cha kutoka akashuhudia gari walailo jia likitoka getini huku likiwa lime baki gari moja la walinzi wa ikuku.


“Hei mume wangu ame ondoka?”
Julieth alimuuliza mmoja wa walinzi.
“Ndio ame ondoka na walinzi kadhaa na wametangulia ikulu. Ametuambia ukimaliza kukaa hapa turudi nawe ikulu”
Julieth akahisi kama kuchanganyikiwa kila neno la kwenda Marekani linavyo mrudia kichwani mwake. Akapandisha gorofani kwa haraka na kugonga chumbani kwa baba yake. Nabii Sanga akafungua mlango huo huku akionekana kujawa na usingizi kwa maana usiku wa jana alikuwa na shuhuli pevu ya kumburudisha Jackline.


“Baba Jery ame ondoka”
“Ame kwenda wapi?”
“Amerudi ikulu, tume gombana asubuhi ya leo”
“Mume gombana? Nini chanzo?”
“Nilimkatalia kufanya chochote na nilimuambia kwamba hadi tusubiri mazishi ya mama yake yaishe. Sasa ndio ame kasirika na amekagua simu yangu na kukuta nina zungumza na Samson na mbaya zaidi ana sema kwamba ata kwenda kumuambia baba yake anitoe kwenye hii kazi na wiki ijayo tuna elekea nchini Marekani kuishi huko”
Nabii Sanga kusikia neno la kuondoka kuelekea nchini Marekani likaumaliza usingizi wote ulio mjaa machoni kwa maana mwanaye huyo ndio kiungo kikubwa sana cha kufanikisha mambo yake machafu huku akijivunia siri nzito za serikali na kuamua kuzibadilisha kama apendavyo yeye.


***


Jery mara baada ya kushuka kwenye gari moja kwa moja akaelekea nyumbani kwao na kumkuta mfanyakazi wa kike anaye safisha ndani hapo akifanya usafi.


“Bab yupo wapi?”
“Yupo ofisini”
Jery akalirusha koti la suti kwenye sofa na kutoka ndani hapo. Akafika ofisini kwa baba yake, hakuhitaji hata kumsalimia sekretari wake na akapitiliza moja kwa moja ofisini na kumkuta raisi Mtenzi akiwa na kikao pamoja na Julieth, Magreth na mr the Brain.
“Baba nahitaji tuzungumze”
Jery alizungumza huku akihema kwa hasira. Raisi Mtenzi akamtazama mwanaye huyo kwa sekunde kadhaa na hali hiyo ya hasira kali aliyo nayo mara ya mwisho kumuona nayo ni kipindi alipo kuwa na umri wa miaka saba.
“Samahani jamani nina omba mutupishe kidogo”
Josephine na wezake wakatoka ofisini hapo na kumuacha Jery na baba yake.
“Vipi mwanangu. Mbona una hasira sana?”
“Huyu mwanamke baba nina hitaji umtoe kwenye nafasi uliyo mpatia”
Raisi Jery macho yakamtoka kwa maana ni suprize hiyo anayo ambiwa.
“Kwa nini nimtoe ikiwa hata wiki moja hajamaliza”
“Baba Julieth ni mke wangu. Mimi ndio mwenye mamlaka naye, nahitaji kuondoka naye na kwenda kuishi Marekani na sihitaji kuishi naye hapa Tanzania”
“Heiii cool down”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti chake. Akamshika Jery mkono na kumkalisha kwenye moja ya sofa kisha na yeye akakaa kwenye sofa la mbele yake huku akimtazama.
“Niambie ni nini ambacho kime tokea hadi ume kuwa hivyo”
Jery akameza fumba la mate huku akisikilizia mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi.
“Endapo ata endelea kuifanya hii kazi baba nita muua siku.”
“Heee!! Kwa nini?”
“Moja ana weka kazi mbele kuliko mimi. Mwanamke gani ambaye toka nimuoe hatujawahi kufanya mapenzi. Mimi nina hamu ya kuwa naye alafu yeye ana niletea stori za mama sijui hadi tumzike. Wewe mbona una fanya kazi zako na hukuwahi kulala ndani na kusema hufanyi kazi kisa mama amekufa ehee?”
Jery alizungumza kwa hasira hadi mwili mzima ukaanza kumtetemeka. Ugonjwa wa hasira ambao hapo awali Jery alikuwa nao sasa, unaanza kumrudia akiwa katika hali ya utu uzima jambo ambalo lilimfanya raisi Jery kuanza kujawa na woga pamoja na wasiwasi.
“Ni lini nita itoa hiyo bikra yake au aliolewa na mimi ili aje kunipumbaza pumbaza. Baba muambie nita muua mimi sitaki ujinga na kuna mjinga mmoja hapa ikulu ana mahusiano naye, jana usiku ame mpigia simu ikiwa ameniacha mimi kitandani nikiwa nime lala, alafu ametoka nje kwenda kuzungumza naye na nina mpigia simu yake ina tumika. Si umalaya huo, saa kumi usiku ana zungumza na nani kwenye simu”
Jery aliendelea kufoka huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Ana itwa nani huyo aliye wasiliana naye saa kumi usiku?”
“Fala mmoja nime kuta ame msave Samson”


“Nita dili na hilo jambo mwanangu. Nenda kalale sawa”
Raisi Jery alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Jery uso wake ulio jaa ndita za hasira.


“Sawa”
Jery akasimama huku akihema kwa jazba akatoka ofisini hapo na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwao na kumkuta mfanya kazi akiwa ameinama huku akiweka kitambaa cha mezani vizuri. Kigauni cha mfanyakazi huyo kidogo kwa nyuma kina onyesha mapaja yake yaliyo mfanya Jery kumsogelea na kumshika kiuno chake na kumfanya mwana dada huyo kustuka huku akiruka kwa woga mkubwa sana.

**


ITAENDELEA


Haya sasa, haya sasa Jery ameanza kuumwa na ugonjwa wake wa hasira. Je baba yake ata fanya kama vile alivyo elezwa na mwanaye aweze kumtoa katika kazi Julieth na endapo Julieth akitolewa kwenye hiyo kazi ni nini wata fanya kuipata hadhina hiyo wanayo ihitaji? Usikose sehemu ya 158.
 
Hapa hadi dozi ya jana imetoka tuonane kesho
 
Jambo moja nimegundua, matajiri hutumia pesa kufanya makosa,na ni wagumu kuelewa kwamba kadiri makosa yanavyoongezeka ndo na uwezekano wa wao kupotea unapokuwa mkubwa, nabii sanga asingeonana na magret angeendelea na dhambi zake, wakati huo huo alivyo mjinga akatumia oesa kutatua shida matokeo zimelundikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hadithi ya kufikirika,
Rais gani anaingiza watu kitengo kisa maono ,
Sheikh yahya si angekuwa kala bata huko zamani tu.
Mtoto anaoa mke anadai bikra utafkiri bikra ni km pipi tu unaagiza mlimani city.
Mama anafir**a huku,baba anatomba kule mtekaji,
binti anamyima uroda mumewe anayelilia bikira km maziwa ya mama yake.
What a coincidence?
Story nzuri nyama tutazikuta chini.
Dola mil 5+1 hizo hela anazo nabii kweli.
Mambo ya al-shabaab ,sijui boko haramu hiyo ni takataka.
Weka mwendelezo tupo hapa.
 
SIN 158


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Ana itwa nani huyo aliye wasiliana naye saa kumi usiku?”
“Fala mmoja nime kuta ame msave Samson”


“Nita dili na hilo jambo mwanangu. Nenda kalale sawa”
Raisi Jery alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Jery uso wake ulio jaa ndita za hasira.


“Sawa”
Jery akasimama huku akihema kwa jazba akatoka ofisini hapo na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwao na kumkuta mfanya kazi akiwa ameinama huku akiweka kitambaa cha mezani vizuri. Kigauni cha mfanyakazi huyo kidogo kwa nyuma kina onyesha mapaja yake yaliyo mfanya Jery kumsogelea na kumshika kiuno chake na kumfanya mwana dada huyo kustuka huku akiruka kwa woga mkubwa sana.





ENDELEA


“Una stuka nini, hujawahi kuguswa au?”
Jery alizungumza huku akimtazama mwana dada huyo ambaye toka mrs Mtenzi alivyo fariki ndio ana jukumu la kufanya usafi katika nyumba hiyo ya raisi.
“Hapana bosi”
“Ila?”
“Naogopa”
“Sogea hapa”
Jery alizungumza kwa ubabe na kumfanya mwana dada huyo ambeye amejaliwa uzuri wa kuanzia sura hadi mwili mzika, kumsogela Jery huku akiwa amejawa na wasiwasi mkubwa sana. Jery akamkumbatia kwa nguvu na kumfanya dada huyo kuzidi kujawa na woga kwa maana ana tambua huyu ni mume wa mtu na isitoshe wakikutwa na mke wake wakiwa wame kumbatiana hivyo ni dhahiri kibarua chake kita kwenda kuota nyasi na hapo ndipo anapo pategemea yeye pamoja na familia yake. Kitendo hicho kikaanza kuyafanya mapigo ya moyo ya Jery kuanza kupunguza kasi ya kudunda huku hasira iliyo changanyikana na wivu kumuisha kabisa hadi yeye mwenyewe akajishangaa.


“Bo…o…osi…hii sio sahihi”
Mwana dada huyo alilalama huku akijaribu kujitoa mikononi mwa Jery. Taratibu Jery akamuachia huku akiwa na mshangao mkubwa sana.


“Una itwa nani?”
“Shani”
“Shani una umri gani?”
“Miaka ishirini na saba”
“Ume olewa?”
“Hapana”
“Una boyfriend”
“Ndio”
“Ana itwa nani?”
“Ben”
“Ulisha wahi kumfumania Ben?”
Swali hilo likamfanya Shani kukaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akimtazama Jery usoni mwake.
“Hapana”
“Kuhisi kama ana chepuka?”
“Hapana”
“Hivi una jisikiaje pale unapo hitaji haki yako ya msingi kutoka kwa mpenzi wako na ana kupa visingizia vingia mbavyo mwisho wa siku hazina kichwa wala miguu na una kuja kugundua kwamba kuna mtu ana zungumza naye saa kumi za usiku tena nje, wewe ukiwa ume lala kitandani?”
“Mmmm nita jisikia vibaya boss”
“Uta shikwa na hasira si ndio?”
“Ndio”
“Ukiwa katika hali hiyo ya hasira alafu ukakutana na mtu uka mkumbatia na hasira yako ikaisha ndani ya muda huo huo. Je utajisikiaje?”
Shani akaka kimya huku akiwa haelewi ni kwa nini Jery ana muuliz amaswali hayo yote ikiwa katik siku zote toka aanze kumuona hakuwahi kumchangangamkia zaidi ya kupeana salamu na kumpita.


“Nita mshukuru”
“Hivyo tu?”
“Ndio”
“Basi shukrani kwa kunisaidia. Nilikuwa nina jisikia hasira ya kumuua mtu, ila nime kukumbatia wewe na nika hisi moyo wangu ukirudi katika furaha yake ya kawaida. Nashukuru sana Shani”
Shani akashindwa kujibu chochote na kujikuta akibaki katika tabasamu. Tabasamu hilo la Shani likamfanya aanze kuona utofauti wa mwanamke huyo ambaye siku zote alimchukulia kama mfanyakazi wao wa ndani na hakujali sana na wala hakuwahi kumfwatilia. Taratibu Jery akamsogelea Shani na kumpiga busu katika paji lake la uso.


“Ukiwa na shida yoyote naomba uniambie sawa Shani”
“Sawa bosi”
Jery akaelekea chumbani kwake na kumuacha Shani akihisi kama amepigwa sindano ya ganzi kwa maana mambo yote yaliyo tokea kwa kwake ni kama ndoto ambayo hakuwahi kuihisi kama ipo siku ata kuja kuiota.


***


Samson akaingia ofisini kwa raisi Mtenzi mara baada ya kupigi a simu na sekretari wa raisi Mtenzi.
“Shikamoo muheshimiwa”
“Kaa hapo”
Raisi Mtenzi alizunumza kwa msisitizo kidogo hadi Samson akajawa na wasiwasi.
“Mkwe wangu jana alikupigia simu?”
“Ndio muheshimiwa”
“Alikupigia saa ngapi?”
“Saa kumi usiku.”
“Alikuwa ana hitaji nini?”
“Alikuwa ana uliza ni kitu gani kinacho endelea hapa ikulu. Nikamuambia kwamba kuna binti ambaye ana tafutwa na nikamtajia jina lake”
“Akaniuliza kwa nini ana tafutwa?”
“Nikamuambia kwamba sijajua ni kwa nini ana tafutwa”
“Hivyo tu?”
“Ndio muheshimiwa”
“Una weza kwenda kuendelea na kazi”
“Nashukuru muheshimiwa”
Samson akatoka ndani hapo na kumfanya raisi Mtenzi kufahamu moja kwa moja kwamba kinacho msumbua mwanaye huyo wa kiume ni wivu wa mapenzi tu ila binti huyo hana mahusiano yoyote na kijana Samson. Josephine na wezake wakingia ofisini hapo kuanza kikao hicho muhimu na raisi Mtenzi.
“Samahani kwa kuchelewa kuanzisha hichi kikao kidogo nilikuwa nina solve matatizo ya kifamilia kidogo.
“Pole muheshimiwa”
Josephine alizungumza kwa sauti ya upole.


“Nimesha poa. Ehee hii picha ndio msichana ambaye ana husika katika kupanga mauaji ya kumuua makamu wa raisi wa Marekani?”
“Ndio muheshimiwa na binti huyo yupo hapa nchini Tanzania na mtu aliye mpa hiyo dili naye yupo hapa hapa nchini Tanzania”
“Shiti kwa hiyo wana taka kutubambikia kesi sisi?”
“Ndio muheshimiwa”
“Ina bidi atangazwe kwenye vyombo vya habari kama ni mtu ambaye tuna mtafuta”
“Muheshimiwa raisi hilo lita kuwa ni jambo la kumstua yeye. Huyu ina bidi tumtafute kimya kimya kama vile hakuna kinacho endelea. Nina imani kwamba ata patikana tu”
Magreth alishauri.


“Namuunga mkono Magreth kwenye hilo. Muheshimiwa pia hatuna rekodi yoyote ya uhalifu ya huyo msichana hivyo endapo tukamtangaza kwenye vyombo vya habari na ikatokea akatustaki serikali ina weza kuingia garama kubwa sana ya kulipa fidia ya kumchafulia jina”
“Hapo ni kweli. Magreth unda timu yako itakayo kusaidia katika huo upelelezi. Tuna siku ya leo tu, hivyo mujitahidi kuhakikisha kwamba ana patikana ili hata huyo makamu wao wa raisi akija hapa ina bidi awe salama hadi ana ondoka”
“Sawa muheshimiwa”
Kikao hicho kikafikia tamati na Josephine na Magreth wakaongozana hadi kwenye ofisi yake.
“Mage”
“Bee”
“Kuwa makini kwenye hii kazi”
“Usijali nahitaji kuelekea nyumbani kujiandaa na hii kazi”
“Sawa”
Magreth akaondoka ikulu hapo na moja kwa moja akaelea Kigamboni nyumbani kwake, akafunga milango yote ya nyumba yake kwa ndani na akaa sebleni kwake huku akiwaza nini cha kufanya. Kutokana na uchovu wa kuto kulala usiku kucha, akaanza kuhisi usingizi na ndani ya dakika chake usingizi ukamvaa na kulala fofofo.


***


“Ume amkaje?”
Tumaini alizungumza kwa sauti ya upole huku akitomasa tomasa makalio ya mrs Sanga.
“Nime amka poa. Yaani hapa mwili ni mwepesi sana”
“Kweli?”
“Ndio, sio kwa ile shuhuli ya usiku. Kwakweli wewe mtoto ume jua kunikuna kisasa sawa”
“Hahaa”
“Hapa nina tamani ubo** wako ila nina ogopa ya jana usiku”
“Usijali, jana nilichelewa kutokana na makonyagi yale niliyo kunywa”
“Mmmm eti ehee?”
“Ndio”
Mrs Sanga taratibu akaushusha mkono wake kwenye jogoo wa Tumaini na kuanza kumshika taratibu na hakuchukua hata sekunde thelathini akawa amesimama dede.


“Acha nijishuhulikie mimi mwenyewe”
Mrs Sanga alizungumza huku taratibu akijinyanyua kitandani hapo. Akamshika jogoo huyo na kuanza kumlamba mithili ya koni. Tumaini akaanza kuhisi miguno ya raha huku akiendelea kusikilizia mautundu ya mrs Sanga. Mrs Sanga alipo jiridhisha, akamshika vizuri jogoo huyo na kumkalia huku akimsikilizia jinsi anavyo ingia ndani ya kitumbua chake. Mtanage huo haukuchukua muda mrefu, ndani ya nusu saa wote wawili wakafika kileleni huku kila mmoja akiwa ana furahi penzi la mwenzake.
“Utundu huu ume utolea wapi Tuma?”
“Hii Tanga mama. Una weza kunyimwa kila kitu ila sio maujuzi ya kitandani”
“Mmmm wewe muongo”
“Haki ya Mungu vile. Una weza kunyimwa pesa, gari na mambo mengine, ila kiuno tu ahaa….una pewa. Sio kama wanaume wa mikoa mingine, ambao wapo wapo ndio maana wana jikuta wana gongewa wake zao”
“Mmmmm!! Hayo matusi sasa”
Mrs Sanga alizungumza huku akicheka kwa furaha kubwa sana kwa manaa Tumaini amekuwa mzumzungumzaji sana.
“Hahaaa ndio hivyo sio matusi.”
“Ehee niambie kazi yako kwa siku una weza kuingiza sh ngapi?”
“Kama elfu thelathini hadi hamsini”
“Pikipiki ni yako?”
“Hapana ni ya tajiri wangu na kwa siku nina mpelekea ishirini elfu”
“Duuu ni biashara gani una weza kufanya ukiachiana na bodaboda”
“Duka la nguo za wadada kwa hapa Tanga lina lip asana”
“Kweli?”
“Ndio, una jua wadada wengi wa Tanga wana penda kuvaa sana. Endapo nina pata duka basi nina imani hiyo biashara nita imudu”
“Ita garimu kama sh ngapi?”
“Kama milioni moja na nusu hivi”
“Heee milioni moja na nusu?”
“Ndio”
“Hiyo milioni moja na nusu mbona haifikii hata bei ya iphone X. Sasa sikia tafuta fremu eneo zuri, nita kulipia mwaka mzima na kukupa pesa ya mtaji alafu, nita kuunganisha na rafiki yangu mmoja ana kwenda kuchukua mizigo chini. Hivyo kwa mwanzo uta kuwa una muagiza, ukipata pesa za kutosha uta kuwa una kwenda kununua wewe mwenyewe chini. Umenielewa?”
“Ndio nashukuru sana kwa hilo”
“Usijali, ila jambo la kuzingatia katika hilo. Sihitaji unichanganye na mwanamke mwengine. Nina wivu mkubwa sana Tumaini na endapo nita jua una nichanganya na vijisichana vyako, basi nita kuua. Umenielewa?”
“Ndio”
Tumaini alitikia kwa sauti ya woga kidogo kwa maana endapo ata fanya mchezo basi ana weza kukosa hata hilo duka alilo ahidiwa kufunguliwa.


***


Jackline akaitazama simu yake ya mkononi inayo anza kuita. Akaichukua kutoka pembeni ya siti ya gari lake alipo iweka na kuipokea.


“Dogo niambie”
“Tayari nimesha pata location ya mahali anapo ishi Magreth”
“Nitumie ramani ya nyumbani kwake”
“Sawa”
Jackline akakata simu yake. Meseji ikaingia, akafungua ramani hiyo inayo muelekeza ni wapi anapo ishi Magreth. Alipo ichunguza vya kutosha, akawasha gari lake na kuanza kuifwata hiyo ramani. Baada ya nusu saa akafika mtaa wa nyumba anayo ishi Magreth. Akachukua begi lake na kutoa baibui lake, akachomoa bastola yake aliyo iweka chini ya siti ya gari lake ambapo sio rahisi kwa mtu kuweza kuiona. Akalivua baibui hilo na kujifunika uso wake na kitambaa cha baibui hilo. Akafunga kiwambo cha kuzuia sauti kwenye bastola yake kisha akaichomeka kiunoni. Alipo hakikisha kwamba amejikamilisha kwa kila kitu. Akashuka kwenye gari lake na kuanza kutembea kwenye mtaa huo ulio tulia na hauna hata watu wanao katika katiza. Akafika katika geti la Magreth na kulitazama kwa sekunde kadhaa kisha akarudi nyuma kwa sekunde kadhaa kisha kwa kasi ya ajabu akakimbia na kuupanda ukuta huo kwa kasi hiyo ambayo, kwa uwezo wake wa mazoezi haikuwa kazi ngumu kuuruka ukuta huo na kutua ndani ya nyuma ya Magreth.


****************************************************************************************************************



ITAENDELEA


Haya sasa, Jackline ameingia katika wigo wa nyumba ya Julieth kwa lengo moja tu la kumuu. Magreth aliye lala ndani kutokana na uchovu je ita kuwaje ikiwa Jackline ata muona akiwa amelala sebleni hapo? Usikose sehemu ya 159.
 
Back
Top Bottom