Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👊🏾 SanaSIN 187
Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)
Age ……………………………………………………18+
Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188
Website……………………………………………… www.storyzaeddytz.com
ILIPOISHIA
“Kwa hiyo ina wezekana kuwakamata?”
“Ngoja niwapigie ili kujua kama wata patikana au laa”
“Sawa fanya hivyo”
Nabii Sanga akakata simu, mlango ukagongwa na kujikuta akistuka sana. Akautazama mlango wa chumba chake kwa sekunde kadhaa kisha akatembea kwa kujiamini.
“Nani?”
Nabii Sanga aliuliza.
“Mimi”
Nabii Sanga akafungua mlango, macho yake yakakutana na Caro aliye jifunga taulo tu mwilini mwake huku macho yake yakiwa yamelegea na kudhihirisha kwamba ana hitaji penzi kutoka kwa nabii Sanga.
ENDELEA
“Samahani mtumishi, nime kuja uniombee”
Caro alizungumza kwa sauti laini kiasi cha kumfanya nabii Sanga kumtazama kwa sekunde kadhaa, kisha akamuonyesha ishara ya kuingia ndani. Nabii Sanga macho yake moja kwa moja yakatua kwenye makalio ya Caro ambayo kwa kweli yana tingishika. Nabii Sanga kwa haraka akachungulia nje na hakuweza kuona mtu yoyote katika kordo hiyo. Akafunga mlango kwa ndani na kumgeukia Caro ambaye tayari amesha kaa juu ya kitanda huku amekunja nne na kusababisha upaja wake ulio nona kuonekana vizuri. Nabii Sanga macho yakamtoka, jogoo wake akakukuruka ndani ya boksa yake, kiasi cha kumfanya attamani kumvamia Caro ila akajipa uvumilivu kidogo kwa maana cheo cha unabii wake mbele za watu bado kina mlinda na kumfanya ajifanye kama vile hana matamanio na mwanamke huyo.
“Ahaa una taka nikuombee vipi?”
“Niombee nabii”
Caro alizungumza huku akiyapanua mapaja yaka na kumfanya nabii Sanga aweze kuona chupi nyeupe aliyo ivaa Caro. Taratibu Caro akasimama na kulifungua taulo lake na kuliangusha chini taratibu. Nabii Sanga akahisi kama boksa yake ina kwenda kuchahinika. Bikini aliyo ivaa Caro ikamfanya nabii Sanga kuhisi kuchanganyikiwa.
‘Hanijui huyu mtoto’
Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama Caro usoni mwake.
‘Niombee mtumishi’
Caro alizungumz ahuku akimsogelea nabii Sanga na kujilaza kifuani mwake. Akaushika mkono wa kulia na wabii Sanga na kumshikisha halio lake moja na kumfanya nabii Sanga akutane na ulaini wa makalio hayo kiasi cha kumfanya nabii Sanga kuhisi kuchanganyikiwa. Wakaanza kunyonyana lipsi zao taratibu, nabii Sanga akaanza kuvua nguo zake kwa uharaka. Akamnyanyua Caro na kumlaza kitandani, akavua boksa yake na kumfanya jogoo wake kuanza kunesa nesa hadi Caro akatabasamu. Taratibu akamshika jogoo wa nabii Sanga na kuanza kuminya minya. Caro akaanza mautundu ya kuanza kumnyonya nabii Sanga jogoo wake, Caro akazidi kwenda mbali zaidi hadi akaanza kuupishisha ulimi wake kwenye wa nabii Sanga na kumfanya ajihisi kuchanganyikiwa kwa raha hizo kwani toka kuzaliwa kwake hakuwahi kufanyiwa kitendo kama hicho na mwanamke yoyote.
‘Lazima nipate tu pesa zako’
Caro alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kufanya mchezo huo unao mfanya nabii Sanga kupiga mayowe ya raha. Caro alipo jirizisha, akajinyanyua taratibu na kuyashika maziwa yake makubwa kiasi na kuanza kumpitisha jogoo wa nabii Sanga katikati ya maziwa yake na kumfanya azidi kuguna kimahaba.
“Mtoto uta niua?”
Nabii Sanga alilalama kana kwamba ni mzembe fulani asiye jua mapenzi.
“Kweli?”
“Ndio mpenzi”
“Umesha wahi kula nyama ya bata?”
“Bata!!?”
Nabii Sanga aliuliza kwa mshangao.
“Ndio”
“Sijawahi ndio nini?”
“Ngoja nikuonyeshe baby”
Caro akamtemea jogo wa nabii Sanga katika kichwa chake kisha akajinyanyua na kumkalia huku akimuingiza * taratibu na kumfanya nabii Sanga kuguna tu.
‘Ungejua ndio mambo yangu wala usinge jipendekeza’
Nabii Sanga alizungumza huku akisikilizia utamu na jitojoto la wa Caro.
“Bab…b…y”
Caro aliita kwa sauti ya minung’uniko.
“Yes baby”
“Huyo ndio bata, una jisikiaje?”
“Raha sana?”
“Ulisha wahi kupewa vitu kama hivi?”
“Mmm”
“Ulisha wahi kula bata wewe?”
“Bado, mimi mtumishi wa Mungu nita yajuaje mambo hayo”
Nabii Sanga aliongopea.
“Basi uta jua”
Caro akaanza kukata mauno, katika maisha yake Caro huwa yupo tayari kutumia uzuri wake kuhakikisha kwamba ana pata pesa azitakazo kwa wanaume hao ana waona kwake wana uwezo wa kumaptia kiwango kikubwa cha pesa. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita.
“Ohoo simu yangu ina ita”
Nabii Sanga alizungumza huku akitazama suruali yake iliyo anguka chini.
“Achana nayo baby”
“Noo kuna simu muhimu sana nilikuwa nina isubiria. Hembu nipatie hiyo suruali”
Nabii Sanga alizungumza kana kwamba hasikii chochote. Caro akajichomoa taratibu, kisha akaiokota suruali hiyo ya nabii Sanga na kuitoa simu mfukoni mwake na kumkabidhi nabii Sanga aliye toa ishra kwa Caro aendelee kumkalia jogoow ake.
“Ndio”
“Mkuu vijana wame ahidi kuwafwatilia kukipambazuka”
“Ba…si hakikisha wana wapata”
“Sawa mkuu, ila upo vizuri?”
“Yaa nipo vizuri, baadae”
“Sawa mkuu”
Nabii Sanga akakata simu na kuiweka pembeni. Caro akaendelea na manjonjo hayo kiasi cha kumfanya nabii Sanga naye kuanz akuonyesha maujuzi yake ya kumshuhulikia Caro hadi akajikuta akianza kuomba mapumziko kwani alimdharau nabii Sanga akiamini kwamba ni mtumishi asiye jua mapenzi kabisa.
***
“Baby kume kucha”
Julieth alizungumza huku akiwa amekaa kitako kitandani. Mwanaga wa hafifu una penyeza kwenye pazia la chumbani kwake hapa kuliweza kumfanya aweze kutambua kwamba tayari kumesha kucha.
“Saa ngapi sasa hivi?”
Jery aliuliza kwa sauti iliyo jaa uchuvu mwingi sana. Julieth akachukua simu yake na kutazama saa.
“Mungu wangu ni saa kumi na mbili na dakika kumi, alafu asubuhi hii kuna kikao ikulu na nilazima niweze kuwepo”
“So uta wahi?”
“Ndio kwani wewe una baki hapa?”
“Namalizia usingizi mke wangu”
“Sawa ngoja mimi niwahi”
Julieth akanyanyuka kitandani, akaoga haraka haraka na kujiandaa. Akambusu mume wake aliye lala pasipo kuw ana nguo yoyote.
“Ila usiondoke hadi unywe chai hapa mume wangu, ukiondoka bila kunywa chai mama hato furahi”
“Sawa mke wangu”
“Poa baadae”
Julieth akatoka ndani hapo na kueleka chumbani kwa mama yake, akamgongea na kufunguliwa mlango.
“Mbona mapema sana?”
“Shikamoo”
“Marahaba vipi muna ondoka alfajiri hii?”
“Mimi ndio nina ondoka, kuna kikao muhimu sana ofisini. Ila mkwe wako nime muacha ame lala”
“Ahaa sawa, so uta rudi?”
“Sija jua itakavyo kuwa na pia leo raisi ana ziara ya kikazi Chalinze pale, hivyo tuna kwenda na kurudi tu, kwani kuna stendi kubwa pale ya magari ana ifungua”
“Ahaa vipi baba yako ame kupigia?”
“Hapana ila nina imani kwamba ata kuwa amefika salama”
“Sawa, wahi kazini”
“Sawa mama”
Julieth akaondoka nyumbani hapo na walinzi wake na kuelekea ikulu. Mrs Sanga alipo hakikisha Julieth ame tokomea, akasimama kwenye kordo hiyo huku akwia amejifunga tenge kiunoni mwake. Akautazama mlango wa chumba cha Julieth kishaa karudi chumbani kwake.
‘Si kwa msisimko ule alio nishika yule kijana. Ngoja nipo vizuri’
Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akiwa amevua tenge lake hilo na kusimama mbele ya kioo cha dreasing table iliyomo ndani kwake hapo.
“Kwa shepe hii lazima apagawe”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Akaokota tenge lake hilo na kutoak chumbani kwake hapo. Akatembea kwa hatua za kunyata hadi chumbani kwa Julieth, akajaribu kushika kitasa cha mlango huo na kwa bahati nzuri akakuta mlango ukiwa upo wazi.
Akausukuma taratibu na kuchungulia ndani, akamshuhudia Jery akiwa wamelala chali.
‘Waoo kweli mwanangu ana faidi’
Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akinyata taratibu, akamtazama Jery ambaye bado haja hisi kiti chochote ndani hapo. Mrs Sanga akambusu Jery kwenye lispi zake.
“Baby bado huja…..”
Jery akakatisha sentensi yake huku akistuka kwani hakutarajia kumuona mama mkwe wake akiwa ndani hapo tena yeye akiwa uchi kabisa.
“Mama vi..pi?”
Jery alizungumza huku akiwahi kujifunika sehemu zake siri.
“Shiiiiii”
Mrs Sanga alizungumza huku akivua tenge lake na kumfanya Jery macho yamtoke. Umbo la mrs Sanga una jinsi ilivyo vizuri una weza kusema ni mwanamke mwenye miaka ishirini na tano. Japo ana umri mkubwa kidogo ila ngozi yake haina mikunyanzi kama ilivyo kwa wamama wenye umri kama wake. Kiunoni mwake amejaza shanga zilizo mtoa udenda Jery. Kwa asilimia tisini na tisa, Julieth ame chukua umbo hilo la mama yake ambalo ni namba nane tena ya uhakika.
“Tulia kijana nikuonyeshe mambo”
“Ila mama tuna msaliti mke wangu na baba ujue?”
“Najua ila kwani uta waambia?”
‘Ehee?”
“Uta waambia?”
“Mmmm”
“Sasa kama huto waambia tulia. Ulisha nipandisha maruhani yangu ya kingoni toka jana, sasa nataka uyashushe”
Mrs Sanga alizungumza huku akimshika jogoo wa Jery kwa kiganja kilaini cha mkono wake kulia. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi Jery alivyo jikuta akichaganyikiwa kwa mautundu ya mwana mama huyo. Mrs Sanga akamkalia jogoo wa Jery na kuanza kumkatikia mauno.
‘Haki ya Mungu, mwanao hanipi mambo kama haya’
Jery alijikuya akilalama.
‘Kweli?”
“Ndio mama, yaani ohoo….aii….”
“Huku je?”
Mrs Sanga alizungumza huku akimuhamishia jogoo wa Jery mwake na kumfanya macho ya mtoke. Kwenye maisha yake Jery aliapia kwamba hato kuja kumuingilia mwanamke yoyote kinyume na maumbile yake. Ila cha ajabu leo hii kiapo chake kime yayuka mithili ya barufu juani.
“Una jisikiaje?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiayashezesha shezesha makalio yake na kumfanya Jery kuzungumza lugha zisizo eleweka. Kama ni show za kibabe, basi mrs Sanga ndio fundi kwa dakika tisini zote za mchezo yeye ndio ana miliki mpira, ana jiamulia apige mashuti ya mbele au mashuti ya nyuma. Jery hakuweza hata kukataa anacho fanyiwa, hadi mama mkwe wake ana maliza mtange huo, Jery mwili mzima ulimlegea kwa raha. Hakuwahi kupewa raha kama hiyo kutoka kwa manamke yoyote, hata Shani ambaye hapo awali alihisi kwamba ndio bingwa wa wote, yaani kwa mrs Sanga ameachwa mbali sana.
“Ngoja nikakuandalie brake fast ya uhakika, ukinywa tuje tundelee na mtanange huu”
“Sawa mama mkwe. Alafu nina ombi moja?”
“Ombi gani?”
“Naomba mfundishe Julieth mambo kama haya kw amaana si kwa kuniua huku”
Mrs Sanga alijikuta akicheka tu. Akanyanyuka na kujifunga tenge lake, akamnyosha Jery lispi zake, kisha akampiga busu jogoo wa Jery.
“Un ** nzuri sana mwanangu. Nina tamani sana kama mwanangu angekuwa ni mimi, kila saa nige kuwa nina jihudumia”
“Kwenye miti mingi hapana wajenzi mama”
Jery alizungumza huku akitabasamu. Mrs Sanga akatoka ndani hapo huku akidhamiria leo kuhakikisha ana kata kiu yake ya mapenzi yote kwa mkwe wake huyo.
***
Ukimya ukatawala ndani ya ofisi ya raisi Mtenzi. Wakuu wote wa majeshi mapamoja na makomandoo sita ambao wana kwenda nchini Nigeria kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. Watu wote ndani ya ofisi hiyo wana subiria mazungumzo ya moyo kwa moja kwa njia ya video kutoka nchini Nigeria walipo Josephine pamoja Magreth. Baada dakika tatu, Josephine na Magreth wakawa hewani. Wakasalimiana na watu wote walipo ndani ya ofisi hiyo na wakwaeleza kinaga ubaga kilicho weza kutoka katika ajali hiyo ya ndege.
“Poleni sana”
Raisi Mtenzi alizungumza.
“Tuna shukuru muheshimiwa”
“Vijana wapo tayari na ime kuwa jambo zuri kutueleza kama mume fikia nyumbabi kwa waziri wa ulinzi. Je kwa mtazamo wenu muna ona ita kuwa vizuri kumshirikisha au laa?”
“Hapana muheshimiwa mpango uende kama vile tulivyo panga. Japo bado BokoHaramu wana endelea kutusaka na yule mtu ambaye tulimfwata huku yupo hapa nchini Nigeria”
“Ina maana mume sha mjua wapi alipo?”
“Hapana muheshimiwa raisi. Kama nilivyo kueleza ni kwamba mtu huyo ametumia ujanja wa kupanda ndege nyingine, ila njia pekee ya kumkamata ni kuhakikisha kwamba nina ingia mikononi mwao na kama unavyo jua nina divice tracker mwilini mwangu, hivyo ita kuwa ni rahisi kwa nyinyi kujua ni wapi nitakapo pelekwa”
Josephine alizungumza kw akujiamini huku mpango wake wa kukamatwa na kundi hilo la BokoHaramu ukiwa pale pale.
“Magreth vipi huu mpango una uunga mkono?”
“Ndio muheshimiwa raisi, na isitoshe alisha nionyesha jinsi hicho kifaa kilicho wekwa mwilini mwake kitakavyo kuwa kina fanya kazi”
“Ila serikali ya Nigeria haito ingilia kutekwa kwake kwa maana ata kuwa ame tekwa mikononi mwa waziri wa ulinzi?”
“Hilo tuta lifanyia uangalizi na ikiwezekana asubuhi hii tuta ondoka na kuelekea hoteli na huko tuna imani wata fanya kosa la kuhakikisha wana mteka Josephine na hapa ndipo kazi na mchaka mchaka utakapo anza”
“Sawa makomandoo wangu ni kama jinsi munavyo waona hapo. Zitazameni sura zao”
Makomandoo hao wakasimama huku wakiwatazama Josephine na Magreth.
“Ndio tumesha ziona”
“Nina imani kwamba Magreth uta fanya nao kazi moja kwa moja. Pia ninge omba Magreth mara baada ya kutekwa kwa Josephine uweze kwenda moja kwa moja ubalozi wa Tanzania nina imani kwamba uta weza kupewa maelezo ya kazi hii”
“Sawa muheshimiwa”
“Niwatakie kazi njema na mafanikio mema”
“Tuna shukuru muheshimiwa”
Magreth na Josephine wakajibu kwa pamoja kisha mawasiliano hayo yakaishia hapo na kumnfanya Julieth kuanza kujifikiria ni jinsi gani ana weza kumuokoa baba yake kwenye mpango huo ambao kutolewa sadaka kwa Josephine ndio kuna weza kumfanya baba yake mzaidi kuingia mikononi serikali ya Tanzania.
****************************************************************************************************************
**
ITAENDELEA
Haya sasa, mipango imesha pangwa, Josephine akamatwe na BokoHARAMU, je Julieth ata fanikiwa kumpitisha baba yake habari nyeti kama hiyo. Penzi jipya la nabii Sanga na Caro lita ishia wapi huku mrs Sanga naye na mkwewe, Jery wakiwa katika mapenzi mazito, itakuwaje Julietha kifaham. Usikose sehemu ya 188.