Riwaya: Wahuni Wote Peponi

Mzeta kapiga Al-kasus chupa nzima alafu mwanamke kamzingua...

Siku ya kumpata, nanilii ya mwanamke akaivutia bangi...



Cc: mahondaw
Nimesikitika mno 😆😆

Anapania vipi nyama kiasi hicho kama vile alikuwa akishindia dagaa...
 
Dah bahat mbaya hii story niliielewa sana nasikitika sasa uvumilivu umeniisha rasmi leo naipotezea,mletaji achaga kupima makali ya sime kwa &%#/#(+&
 
Dah bahat mbaya hii story niliielewa sana nasikitika sasa uvumilivu umeniisha rasmi leo naipotezea,mletaji achaga kupima makali ya sime kwa &%#/#(+&
Hujambo?
Hiki ni kitabu kabisa.
Ukitaka mwendelezo nikuletee kitabu ulipo!
 
Daaaaaaaaaaaaaah kiongozi unaandika vizuri sana, hii story ni Kama movie unaangalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…