Riwaya: Wahuni Wote Peponi

Riwaya: Wahuni Wote Peponi

Mzeta kapiga Al-kasus chupa nzima alafu mwanamke kamzingua...

Siku ya kumpata, nanilii ya mwanamke akaivutia bangi...



Cc: mahondaw
Nimesikitika mno 😆😆

Anapania vipi nyama kiasi hicho kama vile alikuwa akishindia dagaa...
 
Dah bahat mbaya hii story niliielewa sana nasikitika sasa uvumilivu umeniisha rasmi leo naipotezea,mletaji achaga kupima makali ya sime kwa &%#/#(+&
 
Dah bahat mbaya hii story niliielewa sana nasikitika sasa uvumilivu umeniisha rasmi leo naipotezea,mletaji achaga kupima makali ya sime kwa &%#/#(+&
Hujambo?
Hiki ni kitabu kabisa.
Ukitaka mwendelezo nikuletee kitabu ulipo!
 
Daaaaaaaaaaaaaah kiongozi unaandika vizuri sana, hii story ni Kama movie unaangalia
 
Back
Top Bottom