Riwaya ya Kijasusi Mabaduni wa serikali

Riwaya ya Kijasusi Mabaduni wa serikali

Mkuu unatakiwa kwanza ujifunze uandishi, story yako mpaka sasa imeshindwa kuteka hisia zangu kama ya singanojr & INSIDER MAN & UMUGHAKA13.

Unashindwa kuipangilia story yako, story haina picha kabisa wala haisisimui. Kumbuka chapter 1 ndo inatakiwa kuteka hisia za watu ili awe na hamu ya kufuatilia next chapter.

Mimi ni msema ukweli always, nategemea kuona changes next episode
 
Mkuu unatakiwa kwanza ujifunze uandishi, story yako mpaka sasa imeshindwa kuteka hisia zangu kama ya singanojr & INSIDER MAN & UMUGHAKA13.

Unashindwa kuipangilia story yako, story haina picha kabisa wala haisisimui. Kumbuka chapter 1 ndo inatakiwa kuteka hisia za watu ili awe na hamu ya kufuatilia next chapter.

Mimi ni msema ukweli always, nategemea kuona changes next episode
Pac kama Pac mwenyewe,
Challenge accepted.
 
Mkuu unatakiwa kwanza ujifunze uandishi, story yako mpaka sasa imeshindwa kuteka hisia zangu kama ya singanojr & INSIDER MAN & UMUGHAKA13.

Unashindwa kuipangilia story yako, story haina picha kabisa wala haisisimui. Kumbuka chapter 1 ndo inatakiwa kuteka hisia za watu ili awe na hamu ya kufuatilia next chapter.

Mimi ni msema ukweli always, nategemea kuona changes next episode
Pia story ukianzisha weka hata episode 5 ili watu waweze kuelewa kwanza ila huyu naona tutamtukana siyo mda na story haitoisha hii
 
We c ulisema story karbia unaimalza kutunga sehemu ya mwisho cjh ushaimalza, Sasa una desh desh nini au unatafuta attention ya watu humu [emoji849][emoji849][emoji849]
Mkuu vuta siti ya mbele kabisa agiza na korosho za kushanta utachoka mwenyewe
 
Mzigo utashuka Juma.3 saa 15:00pm.
Mafans mniwie radhi maana ratiba yetu ni kila J.tatu but mzigo ni Heavy na ubora tunauzingatia sana ili hadhira ipate kilicho kizuri.
Tuwe pamoja mpaka mwisho .
 
Tuambie kabisa kama hii Riwaya itafika mwisho ili nianze kusoma🤔
 
Mzigo utashuka Juma.3 saa 15:00pm.
Mafans mniwie radhi maana ratiba yetu ni kila J.tatu but mzigo ni Heavy na ubora tunauzingatia sana ili hadhira ipate kilicho kizuri.
Tuwe pamoja mpaka mwisho .
Hivi sasa ni Saa 1545
 
Back
Top Bottom