Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naichek hapaNjooni huku mzigo tayari
fuentte
NiggaPac
julaibibi
Cauldron
hamkTz
Mzee Mamvi
Boogman
cha kwanza
DR SANTOS
Sinoni
Gily Gru
Continental Ground
Shunie
DeepPond
WAlk04
Evelyn Salt
Antonia
Watag na wengine waje.
Ulimwengu wa Elimu na burudani.
Right eye
Pac kama Pac mwenyewe,Mkuu unatakiwa kwanza ujifunze uandishi, story yako mpaka sasa imeshindwa kuteka hisia zangu kama ya singanojr & INSIDER MAN & UMUGHAKA13.
Unashindwa kuipangilia story yako, story haina picha kabisa wala haisisimui. Kumbuka chapter 1 ndo inatakiwa kuteka hisia za watu ili awe na hamu ya kufuatilia next chapter.
Mimi ni msema ukweli always, nategemea kuona changes next episode
Pia story ukianzisha weka hata episode 5 ili watu waweze kuelewa kwanza ila huyu naona tutamtukana siyo mda na story haitoisha hiiMkuu unatakiwa kwanza ujifunze uandishi, story yako mpaka sasa imeshindwa kuteka hisia zangu kama ya singanojr & INSIDER MAN & UMUGHAKA13.
Unashindwa kuipangilia story yako, story haina picha kabisa wala haisisimui. Kumbuka chapter 1 ndo inatakiwa kuteka hisia za watu ili awe na hamu ya kufuatilia next chapter.
Mimi ni msema ukweli always, nategemea kuona changes next episode
We c ulisema story karbia unaimalza kutunga sehemu ya mwisho cjh ushaimalza, Sasa una desh desh nini au unatafuta attention ya watu humu [emoji849][emoji849][emoji849]Nani kawapa namba yangu??
Shadow 08
Mkuu vuta siti ya mbele kabisa agiza na korosho za kushanta utachoka mwenyeweWe c ulisema story karbia unaimalza kutunga sehemu ya mwisho cjh ushaimalza, Sasa una desh desh nini au unatafuta attention ya watu humu [emoji849][emoji849][emoji849]
Sio "dip" mkuu ila ni "beep"Jamaa naona ana dip watu watakupigia humu mana wamevurugwa
Hakuna wa kuzuia bablai.Tuambie kabisa kama hii Riwaya itafika mwisho ili nianze kusoma🤔
Hivi sasa ni Saa 1545Mzigo utashuka Juma.3 saa 15:00pm.
Mafans mniwie radhi maana ratiba yetu ni kila J.tatu but mzigo ni Heavy na ubora tunauzingatia sana ili hadhira ipate kilicho kizuri.
Tuwe pamoja mpaka mwisho .
Very soon mzigo unashuka, waite wakae mkao.Hivi sasa ni Saa 1545