Riwaya ya kipelelezi: Wakala wa Siri

Riwaya ya kipelelezi: Wakala wa Siri

Waandishi wengi wa stori zinazotumwa humu ni makanjanja sana,hamkuombwa kuleta hadithi zenu hapa mwisho wa siku mnakuwa wababaishaji,hata kama hatuchangii gharama ila hatutakiwi kuwabembeleza saaaaaaana hivi mnajikuta akina nani vile eti?
Kwanza hadithi zenyewe za uwongo mtupu!!!!
Mnakera bhana.
Muwe mnasema kuna hadithi inakuja ila ni demo tu,haitoisha ili msomaji aamue kuangalia hiyo trela au laaaah,wengi tungechagua laaaah,acheni zenu bhana
Hadithi zenyewe hazina uhalisia, acha wawauzie wajinga wenzao
 
Humu kuna watu wanafikiri watoa riwaya hawana shughuli zingine za kufanya,ukiwa na shughuli zako kamanda fanya,ukipata nafasi tupia,wasikuforce,hawakulipina hawalazimishwi kufuatilia riwaya yako,tusiopenda arosto tunanunua!


Nashukuru Sana Mkuu.

Tupo pamoja
 
Adamoo wamemkamatia kwenye banda la chipsi kavu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Siku zote Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.

Kupambana na serikali ni Dalili ya ukichaa.

Huwezi pambana na kitu ambacho unajua mwisho wa siku kitakushinda Mkuu.
 
Waandishi wengi wa stori zinazotumwa humu ni makanjanja sana,hamkuombwa kuleta hadithi zenu hapa mwisho wa siku mnakuwa wababaishaji,hata kama hatuchangii gharama ila hatutakiwi kuwabembeleza saaaaaaana hivi mnajikuta akina nani vile eti?
Kwanza hadithi zenyewe za uwongo mtupu!!!!
Mnakera bhana.
Muwe mnasema kuna hadithi inakuja ila ni demo tu,haitoisha ili msomaji aamue kuangalia hiyo trela au laaaah,wengi tungechagua laaaah,acheni zenu bhana
[emoji1787]
 
Mkuu mpaka uone comments za watu wanaosoma tu na ku like bila comment? Haya Sasa umeniona fanya haraka kabla sijapata hasira iliyo kuu!![emoji3064][emoji3064]
 
Siku zote Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.

Kupambana na serikali ni Dalili ya ukichaa.

Huwezi pambana na kitu ambacho unajua mwisho wa siku kitakushinda Mkuu.
Aho wagera thoni avae! Therikali yethiho iti ikele mma!" kienglish safi kutoka safu ya milima ya kindoroko na shengena! By the way wapi wakala wa siri?
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Aho wagera thoni avae! Therikali yethiho iti ikele mma!" kienglish safi kutoka safu ya milima ya kindoroko na shengena! By the way wapi wakala wa siri?
Ivonsha iti uu mghenji temanje iti chemanya mbunge Ni lukombe avae ambu temanje iti therikali Ina makombere mangi kangi yemanje kuchunganja mongo Hari yenadola
 
Aho wagera thoni avae! Therikali yethiho iti ikele mma!" kienglish safi kutoka safu ya milima ya kindoroko na shengena! By the way wapi wakala wa siri?


Wanishigha Avae.

Hena Sentensi ahoo, wanishigha Kwa Sadala
 
Wanishigha Avae.

Hena Sentensi ahoo, wanishigha Kwa Sadala
Sentensi ihiyo nakushigha nayo? Nnekuinda machame road kana mashine tool ambu naamua kurakutathia he mbira yakwe kaka kula saweni kana nkwini! Hai utheje mjigho wa wakala aha! Ukimanye icho
 
Ivonsha iti uu mghenji temanje iti chemanya mbunge Ni lukombe avae ambu temanje iti therikali Ina makombere mangi kangi yemanje kuchunganja mongo Hari yenadola
Nna mashaka uu mndu nivo vemmbighie kura david matayo! Evonyisha iti ni mshombe wa mshunga!
 
Back
Top Bottom