Kwa nini mrembo?unatabia mbaya siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mrembo?unatabia mbaya siku hizi
Hapo ndy mwishoTulikuwa tunafanya promo tu wakuu, kwahiyo subirini kitabu mwezi huu wa kumi ili uwezo kuisoma story yote hadi mwisho
Ahsante
Mkuu ukiona mwandishi wa riwaya analeta story yeye mwenyewe humu JF ujue haiwezi kuisha
Waandishi wengi wa stori zinazotumwa humu ni makanjanja sana,hamkuombwa kuleta hadithi zenu hapa mwisho wa siku mnakuwa wababaishaji,hata kama hatuchangii gharama ila hatutakiwi kuwabembeleza saaaaaaana hivi mnajikuta akina nani vile eti?
Kwanza hadithi zenyewe za uwongo mtupu!!!!
Mnakera bhana.
Muwe mnasema kuna hadithi inakuja ila ni demo tu,haitoisha ili msomaji aamue kuangalia hiyo trela au laaaah,wengi tungechagua laaaah,acheni zenu bhana
Uliombwa utuletee hadithi yako hapa?Mwanaume kukereka na vitu vidogo ni Dalili ya ushoga.
Hapo ulipaswa uombe mrejesho,
Na Kama ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungepiga simu kuweka Oda ya kitabu.
Lakini Kwa vile unapenda vya bure matokeo yake ndio haya.
Uliombwa utuletee hadithi yako hapa?
Hadithi yenyewe imejaa uwongo mtupu?
Siku unajipendekeza kuleta hako ka riwaya kako kuna mtu alikupigia simu?
Ungemsimulia mkeo tungekuuliza?
Eti mwanajeshi anakwepa risasi,uwongo mtupu,adamoo kakamatwa ka mwalimu wa shule ya msingi mbona.
Jinsi mnavyowaelezea makomandoo wenu kwenye hizo hadithi zenu na hali halisi ni fix tupu,nyie ndo mnawaaminisha watu kuwa komandoo anapiga kijiji kizima wakimchangania.!!!
Huku akina Kingai wanawadaka makomandoo kwenye vibanda vya chips haaaaa haaa haaaa
Ila hii story inabidi usome ile story inayopewa promotion ya risasi harusini vina mahusiano kabisa
Jamani inamaana yote kwa yote ndio hailetwi Tena?
Adamoo wamemkamatia kwenye banda la chipsi kavu.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Huyo sio Adamoo
Unazingua ujue,
Wewe ulitaka niandike ule ugoro wako unauvuta??
Hajanikosea kitu kamandoMuache Adamoo wawatu bhana!!
Amekukosea nini??
Wewe subiri nikuletee Stori ya bure hapa uisome na ugoro wako mdomoni.