Riyadh Mahrez mchezaji Bora wa Afrika 2016

Kwa kauli yako hii umekiri kuwa Penado mbeleko ndio zimemuweka pale
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kigezo cha Ribery kustahili ni kipi, maana Ronaldo naye alikuwa hachezi kama mfungaji wa moja kwa moja, nakubali kuwa Ribery alichukua UCL, bundesliga na german Cup, ila ilikuwa hata kumpata mchezaji bora wa Bayern Munich ni kazi kwa kuwa almost wote walikuwa sawa na data zake zilikuwa hata hazimfanyi awe special kwa chochote.
Basi diego Costa ilibidi naye 2914 awe mchezaji bora au ilibidi kina andy cole 99 wawe wachezaj bora
 
Messi huwa hashindani ila wao ndio wanashindana nae

Messi ana kila tuzo sasa hiko kituzo cha ushilawadu hana time nacho
Kwa Messi alicho mpita Ronaldo ni nn? Si tuzo moja tu ya Ballon D or alicho nacho Messi, Ronaldo anacho.
 
Reactions: PNC
[emoji2] [emoji2] [emoji2] yani Penado hachez kama mfungaji wa mojakwamoja wakati mda wote anashinda kwenye box la penat

Punguza mahaba
 
Sasa hakuna aliye mtetea Messi kama ana stahili, we mwenyewe unajua hilo. Hata 3 bora watu wanajiuliza amefikaje.
Yaan hakuwa mchezaji bora wa Barcelona sasa aweje wa pili kwenye ballon d or!!!
Sina hata haja ya kumleta hapa huyo
 
Kwa Messi alicho mpita Ronaldo ni nn? Si tuzo moja tu ya Ballon D or alicho nacho Messi, Ronaldo anacho.
Ni kweli kabisa alichonacho Messi na Mmorocco anacho
Hata tuzo ya Uchezaji bora wa kombe la dunia mbona Penado anayo[emoji4]
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] yani Penado hachez kama mfungaji wa mojakwamoja wakati mda wote anashinda kwenye box la penat

Punguza mahaba
Leta data
Dakika ngapi ame spend kwenye box?
Au washambuliaj wa Real Madrid huwajui, wenzio waliopiga kura hawanaga ishu za kimbeya mbeya kuzusha tuu mambo.
Tunaweka data, tuna linganisha na mafanikio ya data zako, then unapewa tuzo.
 
Leta data
Dakika ngapi ame spend kwenye box?
Au washambuliaj wa Real Madrid huwajui, wenzio waliopiga kura hawanaga ishu za kimbeya mbeya kuzusha tuu mambo.
Tunaweka data, tuna linganisha na mafanikio ya data zako, then unapewa tuzo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuu Iceman mbona umepanic

Tatzo lenu washabiki wa moroko huwa mnaukataa ukweli

Ila ucpanic mkuu kama unapanic panic kwa fact [emoji1]
 
Tuzo hii sio kwa ajiri ya kumtia moyo mtu mkuu!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuu Iceman mbona umepanic

Tatzo lenu washabiki wa moroko huwa mnaukataa ukweli

Ila ucpanic mkuu kama unapanic panic kwa fact [emoji1]
Mbona natoa fact, ila naona wewe unatoa maelezo tuu tena sio maelezo ni malalamiko

Yaani toka CR 7 amechukua EURO ilitakiwa ujue hizi tuzo atapata tuuu. Hukujiandaa kisaikolojia
 
Ni kweli kabisa alichonacho Messi na Mmorocco anacho
Hata tuzo ya Uchezaji bora wa kombe la dunia mbona Penado anayo[emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko sahihi
 
Kwa Mahrez haki imetendeka ila huko kwingine ni upuuzi mtupu
acha wivu............mwambie huyo messi ajitahidi na yeye asiache chenga Barcelona tu azipeleke mpaka Argentina wapate nao ubingwa.
 
Hivi Mahrez amechezaje vizuri kuliko auba!! Mwee!!
Lakin its okey

Mahrez kapigania kweli kweli mwisho wa siku kabeba ndoo kwa juhudi zake binafsi ama sivyo?

Na Ronaldo kaingia kucheza dakika ngapi? Sema labda wanaangalia vikombe tu na si performance ya mchezaji, kama ni perfomence basi messi kila kitu angekua ananyakua ballon yeye,fifa awards yeye n.k...messi plays an inspirational game for team and then for himself,Messi can cross the ball from your bones without breaking...

 
Mwaga data za messi hapa,
Messi hakuwa mchezaji bora wa klabu, sembuse awe wa dunia!!
Khaaa!!

Mahrez hamgusi hata kidogo auba, lakin provided kuwa mahrez kazi yake ilizaa EPL cup nimekubali.
 
Mwaga data za messi hapa,
Messi hakuwa mchezaji bora wa klabu, sembuse awe wa dunia!!
Khaaa!!

Mahrez hamgusi hata kidogo auba, lakin provided kuwa mahrez kazi yake ilizaa EPL cup nimekubali.

Iceman naona sasa unaongea kishabiki na si kisoka😀

Hamgusi kivipi? Auba kaipatia nini tim yake?Mahrez sio wa sport sport, amestahili hiyo tuzo, na ataendelea kuwaburuza hao wanyoa viduku umri bado unaruhusu...

Kuhusu messi unaongea without facts...hebu fuatilia hapa kidogo,

Honours and achievements
Barcelona
International
Individual
Awards
Performances
Records
As of 10 November 2016
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…