Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 1,059
- 3,504
Imeandikwa Usimkatie Tamaa mwanaume anae pumua chochote utokea wakat wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uza na wewe mkaa uone,😅😅😅😅Silaumu mkuu ..nimeshangazwa na na mafanikio ya kijana huyu kijana ambaye hata la sita hakufika
Hujanifaham au hujanielewa?Sjakufaham uzuri.
Imeandikwa Usimkatie Tamaa mwanaume anae pumua chochote utokea wakat wowote
Demu nae usimkatie tamaa ya kuota mpododo na kua pisi kali
kunaye mama primary alkua anakula makamasi last week nikakutana nae postaa daaamn
Nakazia🤣Demu nae usimkatie tamaa ya kuota mpododo na kua pisi kali
kunaye mama primary alkua anakula makamasi last week nikakutana nae postaa daaamn
Demu nae usimkatie tamaa ya kuota mpododo na kua pisi kali
kunaye mama primary alkua anakula makamasi last week nikakutana nae postaa daaamn
Kumbe Kuna Madaraka ya hadhi na hamsemi?Kwa sasa amekuwa na hadhi ya kuwa na wewe?
Si ndio kinachofuatia Mkuu?Kwahiyo kwenye hii story yako hakuna kipengele cha masikhara
Mpaka amekuja kujiripua hapa nadhani haya ni manyoya tayari...na ukiona manyoya.....🍑🍆🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️Dalili za kuliwa kimasihara zinaonekana hapa
Hapa unawatambia wanawake wenzio?Na trehe 13 naolewaaaaaaaa💃💃💃💃
Pole wewe ambaye huna hata mtu wa kukushika mkonoooo umeishiwa kuzalishwaaaaaaaa😁😁 poor you💔😂
Na uache makasiriko😁😁😁
Mwezenu naolewaaaaaa😁😁
Pyeeee 😂😂😂😂💃💃💃🤸🤸🤸
Bibi harusiiiiDalili za kuliwa kimasihara zinaonekana hapa
Sasa uko tayari kuolewa naye kama atakuhitaji? Akili za wanawake za ajabu sana. Unamtaka vya mwanaume siyo mwanaaume mwenyewe.Mnamo mwaka 2018, kuna kijana mstaarabu sana aliyeishia darasa la tano ambaye nilifahamiana naye kupitia mwalimu mmoja aliyekuwa amepanga nyumbani kwetu. Huyu kijana alikuwa anamletea mwalimu kashata siku za wikendi, hivyo mara nyingi alikuwa ananikuta nyumbani.
Kijana huyu alikuwa na haiba ya ucheshi na alikuwa mchangamfu mno. Baada ya kuendelea kuja pale kwa muda mrefu, tukawa tumezoeana mpaka tukabadilishana namba za simu. Alionekana kunipenda ila hakuwahi kuniambia, na hata kama angeniambia, nisingemkubalia kwa sababu tulipishana sana kielimu na hakuwa na hadhi ya kuwa na mimi.
Baada ya mwaka mmoja kupita, yule mwalimu aliyezoea kuletwa kashata alimpigia simu kijana huyo akihitaji mzigo wa kashata. Kijana yule alimwambia kwamba kwa sasa hawezi kuuza kashata kwani ameacha kazi hiyo na anauza mkaa maeneo ya Buguruni.
Tangu mwaka 2019 mpaka leo, sikuwahi kuwa na mawasiliano naye na sikuwahi kumtafuta licha ya yeye kupoteza namba yangu.
Jioni moja mida ya saa kumi na moja, nikiwa natokea mjini nimekaa kule juu kwenye pantoni nikiwa nawaangalia watu waliokuwa wanazozana chini, nilitupa jicho kwenye gari moja aina ya Toyota Lumion. Nilimuona yule kijana muuza kashata akiwa kwenye usukani. Nilishuka haraka nimuangalie vizuri kama ni yeye. Naam, ni yeye!
Tulishuka kwenye pantoni na akaniambia nimsubiri pahala ani drop nyumbani. Nilishangaa jinsi huyu muuza kashata ameweza kupata mafanikio mpaka kununua gari. Tuliongea mengi sana.
Kijana huyo aliniambia kwamba baada ya kuacha kuuza kashata, alijikita kwenye biashara ya mkaa maeneo ya Buguruni. Kwa sasa ana ofisi za mkaa kama kumi Dar es Salaam na ameajiri watu wengi! Alinambia biashara ya mkaa ina faida sana.
Nimestaajabu!