Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ukiyafikiria sanaa unaweza kudata😂Naam! Wakati mm degree holder natembelea uso WA kima jamaa anatembelea Toyota lumion na ameishia la 5...😁
Mm Nina mchumba wangu na trh 13 naolewa 💃..Sasa uko tayari kuolewa naye kama atakuhitaji? Akili za wanawake za ajabu sana. Unamtaka vya mwanaume siyo mwanaaume mwenyewe.
Ngoja ikusikie mi single maza ya JF ikushushie mvua ya matusi🥲"Tulipishana sana kielimu na hakuwa na hadhi ya kuwa na mimi"
Mtazamo huo umewafanya wanawake wengi kuwa single mothers.
Elimu na kipato ni muhimu kuwa navyo but visiwe kigezo kikuu cha mahusiano coz vyaweza kutafutwa na kupatikana anytime.
Naolewaaaaaaaa💃💃💃Hapa unawatambia wanawake wenzio?
Ili iweje?
Kuolewa unaona ni mafanikio makubwa sana kiasi cha kutamba hivi?
Mbona naona binti ambaye bado hajajitambua sawasawa; na kuijua thamani yake? Am I wrong?
Anyway. Ndoa zina changamoto zake; na angalia sana tambo hizi zisije kugeuka shubiri na majuto. Ingia huko ukiwa open minded kwamba unaingia kwenye mapambano.
Naomba ukawe na ndoa njema na iliyobarikiwa...
Naolewaaaaaaaa💃💃💃
Iwe kheri kwako.Napenda vyoteeeee
Kilimanjaro pure drinking waterHii kampuni ni ya wapi??
Mbona sisi tunaamia hivo hivo ila tunakula za uso jameni...Kuna kijana alihamia kitaa akiwa anatokea kijijini akiwa hana lolote, huyu kijana sasahivi ni billionaires.
Usimdharau muuza genge wala msukuma toroli kuna siku anaweza kuwa mtu mwenye thamani na akampa ajira mwenye Degree au PHD.
Lugha ya picha hiyo hukusoma Kiswahili sekondari? Maana yake ni kugangamala,kukaza mwanzo mwisho au kupindua meza kibabe au kufukuzia kombe mchana usiku.Yanakazwaje ww mzoefu ?
Kiswahili JF nzima tulipata D.Sawa,,, kiswahili nilipata D
Kwani kanisani unaendaga wapi?Napenda vyoteeeee