The future is uncertain,alishindwa kuwa na jicho la entrepreneur,sasa hv kimoyomoyo anajilaumu
Fanya kama unatuma namba ya mchangoKula tu ,,kuchanga aah😊
Nyamwi ebu tuma picha nami nithaminishe asee🤣Si ndio😁
wacha kujichekesha. na sasa hivi ukijipendekeza anaku-nawandaNaam..ila Mimi ndo Sina hadhi ya kuwa na yeye..😁
(Kidding)
Ya hadhi yako.Picha ya nini😁