Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Toka waanze kupiga makelele inakwenda zaidi ya miezi miwili.

Ijumaa tu iliyopita Tanzania imepokea msaada wa mabillioni kutoka Switzerland ndani ya mwezi huu huo ni msaada wa tatu.

Switzerland ni nchi mwanachama wa European Union na hiyo jumuiya wanamakubaliano ya joint international policies, bunge lao likisema nchi fulani tusiisaidie hakuna nchi itafanya biashara na wewe.

Ndio ujue hakuna mtu yeyote anaemsikiliza huyo Amsterdam hizo nchi zinawatu wao on the ground wa kuangalia facts, awawezi shinikizwa na zwazwa kama Amsterdam kwenye maamuzi yao.

Sawa mkuu lakini umewahi kusikia kuhusu embargo aliyowekewa Iraq? ilikuwa ni kwa sababu ya mambo mengi ikiwemo demokrasia na haki za binadamu, US ana tabia ya kufanya mambo taratibu na huwa wanasubiri at a right time ambapo hawatolaumiwa wao, kwa mfano sasa hivi inasemekana wale wavaa vizibao kule chini wanafadhiliwa na US na sababu kubwa ni Gas yetu!!!
 
No! Libya kuna kilio cha wengi na matanga ya wengi harusi... Wazee wa Mavi 8 wapo kwenye kambi za wakimbizi
Ipo siku waziri wa... Atajikuta anauza mitumba
Hapa kwetu kuna matabaka kuna wengine wapo Libya wengine wapo New York.... Hapa hapa
Kama New York tuwepo wote au kama Libya wote
Ujue kabisa kwa namna yoyote ile, watu wote hatuwezi kuwa kwenye level moja.Iwe ni kwenye amani au vitani.
 
Safari hii Jiwe sijui atapitia wapi mwaka huu na vibaraka wake .
Screenshot_20201025-165426.png
Screenshot_20201022-145656.png
Screenshot_20201023-123903.png
Screenshot_20201023-123908.png
 
sawa mkuu,lakini umewahi kusikia kuhusu embargo aliyowekewa Iraq ? ilikuwa ni kwa sababu ya mambo mengi ikiwemo demokrasia na haki za binadamu, US ana tabia ya kufanya mambo taratibu na huwa wanasubiri at a right time ambapo hawatolaumiwa wao ,kwa mfano sasa hivi inasemekana wale wavaa vizibao kule chini wanafadhiliwa na US na sababu kubwa ni Gas yetu!!!
Siasa za Middle East ni complicated sidhani kama kuna nchi ambayo ni undemocractic na yenye kukandamiza haki za binadamu kwenye lile eneo na dunia kwa ujumla kushinda Saudi Arabia na ndio ally mkubwa wa mabeberu.

Siasa zao ni pasua kichwa kuna wale wanaotaka access to supply of energy resources kwa dunia na security of supply hizo ndio interest za mabeberu.

Na kwa waarabu wenyewe issue ni fight for regional leadership, protection of their chiefdoms and religious allies za Sunni and Shia.

Ukichanganya interest A za mabeberu na B siasa za unafiki miongoni mwa nchi za kiarabu wenyewe ni time bomb; yeyote anaweza kuwa next Iraq akivuruga interest za West ama sivyo wajifunze kushirikiana.

Iraq dakika za mwisho alikuwa hana allies ndani ya M.E halafu anajifanya Mbabe, Libya had the same fate too.

Gas na mafuta za EA aziwezi kuwa na interest za vile kwa mabeberu resources zenyewe zina lifetime ya 20-25 wakati huko Venezuela, Middle East, North Pole na Russia kuna reserves za miaka zaidi ya 100 huko sasa ndio kwenye siasa za mafuta.

Sisi ni watu ambao wanataka kutunyonya tu na contract za ovyo with overpriced investment sio kwa sababu wana shida ya natural resources per se, bali kampuni zao zipate tender ukiweza kuipa kampuni moja ya US $5 billion tender ya ku supply vifaa kwenye LNG plant yako umetengeneza ajira nyingi sana kwenye supply chain ndani ya US, hela ambayo umekopa kwao tena unarudisha kwa interest, umeajiri technocrats wao in short katika $23 billion investment wewe unapata LNG plant ambayo after 25 years sijui utaifanyia nini wao wanapata asilimia kubwa ya hiyo hela kwenye uchumi na tax collection; that is the main interest.

Kwa ivyo sidhani mtu kama huyo atataka kuona instability sehemu kama hiyo because he has more to loose unless lengo iwe kuigawa nchi and that is impossible; the next alternative iwe kubadili serikali but then iliyopo ina cooperate vizuri nao.

Kwa maana hiyo sioni ushiriki wa US kusini. Security matters involve intelligent analysis (kufikiria motives kwanza) sioni hiyo sababu ya US kuaribu maslahi yake wakati kila kitu poa walau on Mozambique side of things.
 
Mbona umesahau watekaji na wasio julikana

Ivi ben sanane yuko azor gwanda na walio mpiga risasi tundu lissu
Tundu Lissu mwenyewe hataki kumtaja mtuhumiwa, kwani yeye ndiye shahidi namba moja. Sasa unataka polisi wapige ramli?
 
What is the state? How can you justify an act of killing/lose to maintain the "soverignity"?

Certainly, you don’t deploy resources to protect the crooks who have the option to choose peace and live. You protect those well-meaning citizens who don’t have such an option. If, in the process of doing so, a few demon-possessed individuals perish, that’s collateral damage!
 
Ujue kabisa kwa namna yoyote ile, watu wote hatuwezi kuwa kwenye level moja.Iwe ni kwenye amani au vitani.
Wafanya biashara kama MO, Manji, Bakhresa n,k Sawa
Lakini Hawa wajamaa wa Mavi 8
Wakuu wa mikoa mawazi.. Tutatafutana nao
Mimi naona kimbembe cha Libya kinatuhusu
 
Wafanya biashara kama MO, Manji, Bakhresa n,k Sawa
Lakini Hawa wajamaa wa Mavi 8
Wakuu wa mikoa mawazi.. Tutatafutana nao
Mimi naona kimbembe cha Libya kinatuhusu
Hapana wala haiwezi kutokea, unataka kujua kwanini?
 
Simchagui dikteta Magufuli.Lissu rais

Umeamua kufanya majaribio wewe..... kama huyo mwenzio kwenye hiki kisa. Chagua John Pombe Magufuli kuliko kwenda kujaribu
 
Hapana wala haiwezi kutokea, unataka kujua kwanini?
Kwani Tanzania Ndio itakua nchi ya kwanza kuingia machafuko?
Wapo waliokua wakubwa kwenye serikali ya Syria. Somalia. Libya n,k kwa Sasa wapo nchi zingine Wapole kama wachumba wanauza mitumba
 
Back
Top Bottom