Robert Amsterdam awalalamikia Jumuia ya Madola kuhusu Rais Magufuli kukataa Corona ipo

Wanajidai kutusaidia kwa gharama zao ndogo ila hujui wanachokipata huko DRC ni bora ukakaa kimya au fanya tafiti kwanza. Mzungu sio ndugu yako mura
 
Wanajidai kutusaidia kwa gharama zao ndogo ila hujui wanachokipata huko DRC ni bora ukakaa kimya au fanya tafiti kwanza. Mzungu sio ndugu yako mura
Hata wewe sio ndugu yangu,mnashindiliana milisasi kumi nasita kama mnauwa tembo ndio mnapendana hivo?
 
Bado anapiga kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…