Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaliti Lisu atapata 20% na hiyo itachangiwa na kina Amsterdam na Ponda.Sema kilaza wewe wa Lumumbaendo hutampigia kura. Watanzania wengi kwa mamilioni tunampigia kura za kishindo Tundu Antiphas Lissu na kuzilinda
Ndio sasa Amsterdam anaamua kuingilia masuala ya uchaguzi wa tz kwa kutupangia wa kumchagua? Yeye kama nani? Watz siyo wajingaPonda ni Shekhe Mtetezi wa Waisilamu dhidi ya Uonevu wa taasisi za CCM haswa Bakwata.
Bob Amsterdam ni Wakili wa Lissu na ndiye aliemwambia Lissu aje Nchini ili hao waliokuwa wanasema Watamshambulia tena wamguse ili awafungulie mashtaka
Sasa neno Kuangusha litakuwa limepoteza maana kwenye kamili ya ccm
Mkuu, sjakuelewa ujuwe??We ni moja wa kilaza mkubwa .wazazi wako ana hasara kubwa sana
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Anatetea waislamu kuhusu nini??
Naona unahamisha magoli sasa, ushatoka kwa Shekhe Ponda. Shekhe Ponda hana madhara kwa Lissu, ndio maana unaona nashekhe wabakwata wanasema hawajamuagiza maana wanamjua. Hapo kwa Shekhe Ponda Lissu kacheza kama pele, huko kusini shekhe Ponda anaonekana shujaa kuliko kiongozi yeyote wa serikali au dini. Anachosema shekhe Ponda ndio waaumini wengi hufuata. Kama huamini subiri.Wewe hujui siasa za tz,! Ndio maana ccm itaendelea kutawala.
Lisu sijui hana washauri, kaenda Zanzibar alafu anatamka eti sisi chadema hatuna maslahi na Zanzibar. Kiufupi Lisu hajui siasa ya tz ili uungwe mkono wakupe urais unapaswa kuwaje.
Naona unahamisha magoli sasa, ushatoka kwa Shekhe Ponda. Shekhe Ponda hana madhara kwa Lissu, ndio maana unaona nashekhe wabakwata wanasema hawajamuagiza maana wanamjua. Hapo kwa Shekhe Ponda Lissu kacheza kama pele, huko kusini shekhe Ponda anaonekana shujaa kuliko kiongozi yeyote wa serikali au dini. Anachosema shekhe Ponda ndio waaumini wengi hufuata. Kama huamini subiri.Wewe hujui siasa za tz,! Ndio maana ccm itaendelea kutawala.
Lisu sijui hana washauri, kaenda Zanzibar alafu anatamka eti sisi chadema hatuna maslahi na Zanzibar. Kiufupi Lisu hajui siasa ya tz ili uungwe mkono wakupe urais unapaswa kuwaje.
Ponda anapigania mashekhe waliobambikiziwa kesi watolewe magerezani, au wapelekwe mahakamani mahakama itoe hukumu. Huo ndio ugomvi wa Ponda na Serikali, na iramradi Lissu kaahidi atawatoa basi Ponda hana hiyana lazima ampiganie Lissu. Sisi huku misikitini ndio tunajua familia zahao mashekhe zinavyoishi, bakwata hawajui ndio maana sisi waislam kura zetu nikwa Lissu .Tundu lisu hamjui ponda, ponda hatalidhika na uongozi wa Lisu hata siku moja, na baada ya kuitoa CCM ponda ataanza kumtoa Lisu na nduo atajuta kumjua ponda na ajenda zake.
nijionee vituo hewa vya kupigia kura?Ugoro? Subiri hadi alhamisi ujionee
Ndio maana nikakwambia Lisu hajui siasa. Anafikiri pale anafanya harakati.Naona unahamisha magoli sasa, ushatoka kwa Shekhe Ponda. Shekhe Ponda hana madhara kwa Lissu, ndio maana unaona nashekhe wabakwata wanasema hawajamuagiza maana wanamjua. Hapo kwa Shekhe Ponda Lissu kacheza kama pele, huko kusini shekhe Ponda anaonekana shujaa kuliko kiongozi yeyote wa serikali au dini. Anachosema shekhe Ponda ndio waaumini wengi hufuata. Kama huamini subiri.
Tundu Lisu atakosa kura za waumini wa kanisa la MOravian Tanzania sababu ya kuzunguka na kiongozi muasi askofu Mwamakula .Atakosa kura zao Mbeya,Rukwa ,Tabora ,Songwe na Dar es salaam ambako lina waumini wengi mno hatambuliwi na kanisa zima
ushahidi wa mawakala wa upinzani kukataliwa kuapishwa??Nec wamesema pelekeni ushahidi wa vituo hewa
Sisi waislamu tushapata muongozo kwa shekhe wetu, shekhe Ponda.Ndio maana nikakwambia Lisu hajui siasa. Anafikiri pale anafanya harakati.
Ponda na Amsterdam watachngia sana anguko la Lisu uchaguzi huu