Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Mimi mkrito na ninaona sawa Sheikh Ponda kumpigia kampeni Lissu. Udhalimu wa Jiwe umeathili wote si waislamu, si wakristo. Wakristo na Waislamu tumeona Jinsi Jiwe wenu akishirikiana na Ndugai walivyomnyanyasa Prof Assad kwa sababu tu anasimamia uislamu wake. Wakristo na waislamu tumeona jinsi Askofu niwemugizi alivyoteswa na vyombo vya usalama vya magufuli kwa kuambiwa sio Raia na kunyang’anywa passport kwa sababu tu alisimamia kweli yake katika ukristo

Kuhusu Robert Amsterdam wala hatushangazi na zaidi tunamfurahia. Kama mawakili wa ndani wanaompigania Lissu kina Fatma Karume mnalipua ofisi zao na kuwafuta uwakili sasa mnategemea Lissu aendelee kutumia mawakili wa ndani Tanzania???

Mtu mnataka kumuua na mmemsababishia ulemavu kwa marisasi yenu alafu hata mawakili wa ndani wanaomtetea mnawanyanyasa na kuwavua uwakili alafu ndo aendelee kutumia mawakili wa ndani??? Thubutu yenu.

Mwaka huu Ccm mmeshikwa vibaya sana na lazima muachie madaraka mwaka huu mtake msitake.
Mkuu hongera kwa post hii. Huyu mjinga kama ni wa kuelewa nadhani hili jibu umemaliza kila swali.
 
Si kuna na padri sijui ni askofu nae pia anawaambia wakristo wampigie Lissu.
Ponda atawaconvince Muslims na yule askofu wakristo.
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Alishasema hata nyerere aliteyewa na wakili muingereza wkt wa harakati za kupigania Uhuru hakuna cha ajabu chini ya juwa wewe gamba

Safari kila propaganda ina majibu yake hamna pa kutokea kenge nyie
 
Sawa Ponda kawaambia waislamu mfanye hivyo na Lisu atashinda sehemu yenye waislamu wengi kwa mujibu wako!

Likini umeshajiuliza ni vipi Wakristo nao maamuzi yao baada ya taarifa za Ponda?
Niwemugiz, na wengine waliotesaka na utawala wa magu watashawishi kura za wakristo, full stop
 
Hao hawawezi kumuangusha Lissu ila watakaomuangusha Lissu ni tume ya uchaguzi wanaoamurishwa na Magufuli, huo ndio ukweli mchungu.
 
Vitu vitakavyomnyima kura Lisu ni vifuatavyo
1.kupinga ununuzi wa ndege huko kutamkoseha kura nyingi mno kanda ya ziwa ambako ndege ndio tegemeo lao kuu kwa ajili ya kusafirisha samaki wao waqnaowavua ziwani na wengi hutumia usafiri huo pia mikoa ya ZanzibaR,Kilimanjaro,Arusha na Manyara ndege kwao huziona za muhimu mno saba ndizo huwaletea watalii kila siku

Mbeya pia kupinga ununuzi wa ndege kutamgharimu sababu uchumi umeanza kufunguka kupitia watalii wanaotua kule kwenda mbuga za wanyama zilizoko nyanda za juu kusini na pia usafirishaji wa abiria na mizigo ya kibiashara na kilimo kutoka NA KWENDA nchi za SADCC

Dar es salaam ndio baba lao kwenye mambo ya ndege kuzipinga kutamgharimu mno uchaguzi huu Dar wanafahamu umuhimu wa ndege kuliko mkoa wowote Tanzania

2.Atakosa kura kwa wakatoliki walio wengi sababu kwao Magufuli ndio yuko karibu nao kuliko yeye Lisu.Magufuli ana mahusiano ya karibu na viongozi wakongwe wakubwa wa kanisa katoliki wanaolijua kanisa in and out.Lisu yuko mbali sana na kanisa hata jina lake la ubatizo alilikana akajipa jina la kienyeji la Tundu.Kawaida wakatoliki mtoto akizaliwa hubatizwa kwa kupewa jina la mtakatifu ,Kwa kulikana jina la mtakatifu na kujipa jina la Tundu alikosa neema na ulinzi wa mtakatifu husika kwa imani ya katoliki ndio maana unakuta anaitwa TUNDU na ana MA TUNDU ya risasi mwilini.Wakatoliki jina ni kitu kikubwa hasa la kwanza.Toka dunia iumbwe hakujawahi tokea mtakatifu anaitwa TUNDU
Kwako ndege ndio inaongeza kura, washamba wa ndege utawafahamu tu
 
Tundu Lisu atakosa kura za waumini wa kanisa la MOravian Tanzania sababu ya kuzunguka na kiongozi muasi askofu Mwamakula .Atakosa kura zao Mbeya,Rukwa ,Tabora ,Songwe na Dar es salaam ambako lina waumini wengi mno hatambuliwi na kanisa zima
Mchumia tumbo tu huyo
 
Lisu alichokifanya ni kutafuta viongozi waasi wa dini zao na kuwafanya viongozi wake wa kiroho

kamchukua PONDA kiongozi muasi BAKWATA kamfanya shehe wake

kamvchukua Mwamakula muasi wa kanisa la Moravian KUWA KIONGOZI WAKE

Katoliki hakuambulia hata mmoja hata sister tu aliyeasi

Kwa walutheri aliambulia mmoja tu askofu muasi Bagonza AMBAYE WAKATI MAKANISA YOTE ya Kilutheri kipindi cha KORONA yalikuwa wazi yeye ya kwake yote aliyafunga kupingana na maaskofu wenzie walio wengi na LIsu akaonyesha yuko pamoja naye Chadema wakawa wanamtumia Bagonza kumponda hadi askofu wake mkuu SHOO

Lisu alipofika kilimanjaro Askofu mkuu wa kilutheri hakwenda kwenye mkutano wake sababu yeye sio level moja na waasi wa akina PONDA na MUASI Mwamakula hivyo hakukanyaga lakini Magufuli alipoenda ASKOFU Shoo alienda kumuombea na wakawa wote misafara akiwa pale MOSHI

Kanisa katoliki baada ya kumuona Lisu kuwa ana roho ya uasi halikuruhusu padri au sister yeyote kuambatana naye au kumuombea sala kwenye mikutano yake lakini lilitoa kibali kwa Magufuli

Kiujumla baada ya kuwajua vizuri Chadema na LIsu wao dini kubwa zote hazimuungi mkono Lisu kuanzia wakatoliki,walutheri,waislamu wa BAKWATA ,makanisa makubwa kama ya ASSEMBLIES OF GOD,EAGT ,Moravian Makanisa ya akina Kakobe,Gwajima,Mzee wa upako nk

Lisu kabaki na vikundi vidogo vya kidini vya waasi wa dini kubwa kama vya PONDA Na Mwamakula nk
 
Nacheka sana kila siku wanavyosema "The Hague" kuna watu watawapeleka.

Lissu na Chadema wanafikiri "The Hague" ni kama kisutu.

Ndugu Lissu..Nakukumbusha tu, una kesi zako za kujibu zilizokuwa pending pale kisutu. Round hii huchomoki

Au tayari umejiandaa kukimbia hiyo December.
 
Ponda hujui nguvu aliyonayo kwa waislamu, sisi waislam ndio tunajua kwa nini Ponda anasema tumpigie kura Lissu. Maadam Shekhe Ponda kasema nanikiongozi wetu basi tutatekeleza.

Kama huamini subiri uone maeneo yenye waislam wengi kama Magufuli atachomoka, nasababu nikuwa tunamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda. Hata wanaccm lilia kama Pohamba watampigia kura Lissu, kwa maana watamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda.
Tz haijafikia kiwango cha huo udini. Mkome enyi wazushi
 
Mchumia tumbo tu huyo
Yuko na maaskofu wenzie wote wa nchi nzima.Mwamakula ulishamuona akitembea na maaskofu wake wa nchi nzima au ukamwona akifika mkoa fulani anapokelewa na Askofu wa mkoa ule? yeye anajiita askofu mkuu lakini akifika mikoa anafika kama kibaka hana hata muumini wa kumpokea
 
Vitu vitakavyomnyima kura Lisu ni vifuatavyo
1.kupinga ununuzi wa ndege huko kutamkoseha kura nyingi mno kanda ya ziwa ambako ndege ndio tegemeo lao kuu kwa ajili ya kusafirisha samaki wao waqnaowavua ziwani na wengi hutumia usafiri huo pia mikoa ya ZanzibaR,Kilimanjaro,Arusha na Manyara ndege kwao huziona za muhimu mno saba ndizo huwaletea watalii kila siku

Mbeya pia kupinga ununuzi wa ndege kutamgharimu sababu uchumi umeanza kufunguka kupitia watalii wanaotua kule kwenda mbuga za wanyama zilizoko nyanda za juu kusini na pia usafirishaji wa abiria na mizigo ya kibiashara na kilimo kutoka NA KWENDA nchi za SADCC

Dar es salaam ndio baba lao kwenye mambo ya ndege kuzipinga kutamgharimu mno uchaguzi huu Dar wanafahamu umuhimu wa ndege kuliko mkoa wowote Tanzania

2.Atakosa kura kwa wakatoliki walio wengi sababu kwao Magufuli ndio yuko karibu nao kuliko yeye Lisu.Magufuli ana mahusiano ya karibu na viongozi wakongwe wakubwa wa kanisa katoliki wanaolijua kanisa in and out.Lisu yuko mbali sana na kanisa hata jina lake la ubatizo alilikana akajipa jina la kienyeji la Tundu.Kawaida wakatoliki mtoto akizaliwa hubatizwa kwa kupewa jina la mtakatifu ,Kwa kulikana jina la mtakatifu na kujipa jina la Tundu alikosa neema na ulinzi wa mtakatifu husika kwa imani ya katoliki ndio maana unakuta anaitwa TUNDU na ana MA TUNDU ya risasi mwilini.Wakatoliki jina ni kitu kikubwa hasa la kwanza.Toka dunia iumbwe hakujawahi tokea mtakatifu anaitwa TUNDU
Hoja nyingine zina shangaza sana!! Sasa ukatoliki na ndege - wapi na wapi?
 
Lisu alichokifanya ni kutafuta viongozi waasi wa dini zao na kuwafanya viongozi wake wa kiroho

kamchukua PONDA kiongozi muasi BAKWATA kamfanya shehe wake

kamvchukua Mwamakula muasi wa kanisa la Moravian KUWA KIONGOZI WAKE

Katoliki hakuambulia hata mmoja hata sister tu aliyeasi

Kwa walutheri aliambulia mmoja tu askofu muasi Bagonza AMBAYE WAKATI MAKANISA YOTE ya Kilutheri kipindi cha KORONA yalikuwa wazi yeye ya kwake yote aliyafunga kupingana na maaskofu wenzie walio wengi na LIsu akaonyesha yuko pamoja naye Chadema wakawa wanamtumia Bagonza kumponda hadi askofu wake mkuu SHOO

Lisu alipofika kilimanjaro Askofu mkuu wa kilutheri hakwenda kwenye mkutano wake sababu yeye sio level moja na waasi wa akina PONDA na MUASI Mwamakula hivyo hakukanyaga lakini Magufuli alipoenda ASKOFU Shoo alienda kumuombea na wakawa wote misafara akiwa pale MOSHI

Kanisa katoliki baada ya kumuona Lisu kuwa ana roho ya uasi halikuruhusu padri au sister yeyote kuambatana naye au kumuombea sala kwenye mikutano yake lakini lilitoa kibali kwa Magufuli

Kiujumla baada ya kuwajua vizuri Chadema na LIsu wao dini kubwa zote hazimuungi mkono Lisu kuanzia wakatoliki,walutheri,waislamu wa BAKWATA ,makanisa makubwa kama ya ASSEMBLIES OF GOD,EAGT ,Moravian Makanisa ya akina Kakobe,Gwajima,Mzee wa upako nk

Lisu kabaki na vikundi vidogo vya kidini vya waasi wa dini kubwa kama vya PONDA Na Mwamakula nk
Wewe Jamaa aliekusomesha alipoteza pesa bure. Mimi nilijua watu wanasoma kwa manuufaaa ya nchi yao! kumbe wewe ulisoma kwa manufaa ya Tumbo lako. Ni aibu sana hii!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Unazani wa TZ wangapi wana mjua uyo robert ? Au wanao tumia twitter
Kwa kufuatilia followers tu , January makamba ana 3 mil followers twitter magufuli 1 mil followers lissu 150k, so its likely kusema wapo millions of users
 
Tz haijafikia kiwango cha huo udini. Mkome enyi wazushi
Subiri tuwanyooshe sio mbali nikeshokutwa. Tunahangaika kuwachangia familia za mashekhe walioko ndani sadaka misikitini. Halafu mmewafunga bila hatia mnashindwa hata kuwapeleka mahakamani hukumu itolewe, kama wanafungwa wafungwe jumla tujue. Waislamu wenye akili tunajua nini kiongozi wetu Shekhe Ponda Issa Ponda anachosema.
 
Hoja nyingine zina shangaza sana!! Sasa ukatoliki na ndege - wapi na wapi?
hohja mbili toofauti zinajitegemea ningeweza unga hata uislamu wa ponda hapo utakavyopoteza kura za Lisu ponda hajawahi kuwa na uhusiano mzuri na serikali wala na waislamu wewenzie

Cheki uhusiano mzuri wa serikali na BAKWATA ULICHOZALISHA

 
Nacheka sana kila siku wanavyosema "The Hague" kuna watu watawapeleka.

Lissu na Chadema wanafikiri "The Hague" ni kama kisutu.

Ndugu Lissu..Nakukumbusha tu, una kesi zako za kujibu zilizokuwa pending pale kisutu. Round hii huchomoki

Au tayari umejiandaa kukimbia hiyo December.
Nakazia tu
 
Yuko na maaskofu wenzie wote wa nchi nzima.Mwamakula ulishamuona akitembea na maaskofu wake wa nchi nzima au ukamwona akifika mkoa fulani anapokelewa na Askofu wa mkoa ule? yeye anajiita askofu mkuu lakini akifika mikoa anafika kama kibaka hana hata muumini wa kumpokea
Maaskofu wa nchi nzima uliwaona wapi ukiacha mbali wale waliokuwa wanashinda ikulu kula ubwabwa
 
Back
Top Bottom