Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Eleza welevu wako ni nini?
Marekani ni rafiki zetu. Ndiyo maana walimfanyiziaga Bashite!nakushauri uongee na lissu na amsterdam muwawekee vikwazo vya kiuchumi marekani
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.Huyo Jamaa Robert Amsterdam nilianza Kumuona si tu Mpuuzi bali pia ni Mnafiki zamani sana ninashangaa baadhi yenu leo ndiyo mnamuelewa.
Donald Trump si dikteta bali ni jambazi la kisiasa, off course is a businessman that sums up all.
Hii ni conspiracy ya kutaka kupindua matokeo yalokwishatoa mshindi ambae ni Joe Biden.
Demokrasia ya wamerekani ipo exposed in the open.
Trimp si dikteta anafahamu anachokifanya akiwa na genge lake lote wamo wa white house, vyombo vya ulinzi na usalama na makundi mengine mazito.
Bila kuisahau serikali kivuli au invincible government.
Mkuu malawi ipo Asia mbona raisi alikuwa madarakani na katumia mbinu lakini akatolewahuku ukiendelea kushangaa hayo shangaa pia Rais aliyeko "madarakani kuhangaika na kugonga mwamba kwa juhudi zake za kupindua meza".Je ingekua Tanzania/Africa wamewahi ona Rais aliyeko madarakani anahangaika namna ya kutumia Vyombo vya Dola kuiba kura? Shangaa jinsi wenzetu walivyo na taasisi imara ndio maana wafuasi wa trump wanahangaika.Ingekua kwetu vyombo vya ulinzi na usalama vingekua vipo upande wa Trump.
Mimi nilisema toka mwanzo kwamba Amsterdam anamharibia Lissu. Lakini kwakuwa Lissu mwenyewe ni mbumbumbu wa siasa akawa anakenua tu meno huku Amsterdam akiendelea kuharibuRobert Amsterdam kwenye baadhi ya clip zake alikuwa anataka kuwepo na machafuko nchini Tanzania ili nchi isitawalike...hovyo kabisa huyo beberu Amsterdam...hovyo kabisa...
Kumbe huku Lissu alimwajiri?Kwani Robert Amsterdam kaajiriwa na Wamarekani kuhusu uchaguzi wao?
Marekani sio kweli machineries ziko efficient wakati mwingine ni bogus Nation.Zimepangwa njama au kwa kiingereza "conspiracy" kujaribu kupindua matokeo na kumzuia Joe Biden asipitishwe na senate kuwa raisi halali.
Serikali kivuli yahusika.
Marekani na "full machinery" zake zote za kijasusi na usalama haiwezekani kusinuswe kaharufu ka hizo njama.
Sasa mengine hapo jiongeze kidogo.