Wewe kuna Mungu na sayansi, mama wa miaka 70 anaingika labour na mtoto ametungwa kwenye petry dish.Mwanaume hata akiwa miaka 100 anatungisha mimba, Ila mwanamke kuanzia miaka 35 anaanza kuzitafuta siku zake je bado zipo au ndio zishapotea na akifikisha 45-50 mwisho 56 ndio kwaheri hapati mtoto hata wa kulumagia,
Dunia hii huwezi kuona vitu vyote kwanza hapo alipo utakuta tayari ana wajukuuKuna nafasi kuwa ya kutoweza kuwaona wajukuu zake kutoka kwa dogo huyu.
Sasa hio sayansi ya sasa Mimi nazungumzia ya Mungu uwezo wa mwanamke mwisho ukomo ni 56 mayai yamekauka kaukau hayatoki tena kwenye mirija, Ila mwanaume hata akiwa 120 kitu imo mbegu zinafanya kaziWewe kuna Mungu na sayansi, mama wa miaka 70 anaingika labour na mtoto ametungwa kwenye petry dish.
Sio kweli bwana 35 BadoMwanaume hata akiwa miaka 100 anatungisha mimba, Ila mwanamke kuanzia miaka 35 anaanza kuzitafuta siku zake je bado zipo au ndio zishapotea na akifikisha 45-50 mwisho 56 ndio kwaheri hapati mtoto hata wa kulumagia,
Hilo ndo lengoMifumo yao tayari iko vizuri haogopi huku nyuma mtoto nitamuachaje
Utashangaa huyu dogo akifika miaka 7 tayari ni star mizigo inaanza kuingia
Najua unapenda sana kujifariji shangazi π€£π€£ππππππWewe kuna Mungu na sayansi, mama wa miaka 70 anaingika labour na mtoto ametungwa kwenye petry dish.
Mbona mnakataa asee hata kama akipata mtoto huyo mtoto hatokuwa na afya kabisa,,,,,
Nadhani yeye anamzunguia naturalWewe kuna Mungu na sayansi, mama wa miaka 70 anaingika labour na mtoto ametungwa kwenye petry dish.
Nna mifano hai zaidi ya 20 ya hayoMbona mnakataa asee hata kama akipata mtoto huyo mtoto hatokuwa na afya kabisa,,,,,
Nina mifano hai 9 ya suala hilo [emoji16][emoji16][emoji16]
35 hapo kuna baadhi wakifika mayai yanagoma kutoka kwenye mirija, wenye bahati mpaka 55 mayai yanatoka mwisho kabisa ni 56 kuanzia 57 ni kudra za Muumba kumkuta mwanamke bado anatoa mayai kwenye mirija ya uzazi
Hii ya kutokuwa na afya ni kwa hzi nchi zetu na hta mifano uliyonayo nafikiri ni hukuhuku uswekweniMbona mnakataa asee hata kama akipata mtoto huyo mtoto hatokuwa na afya kabisa,,,,,
Nina mifano hai 9 ya suala hilo πππ
Akifika miaka 20 anaweza shikisha mimba na baba yake anakuwa hata hajafika 100.Kuna nafasi kuwa ya kutoweza kuwaona wajukuu zake kutoka kwa dogo huyu.
Hapa sasa unaongelea mazingaombwe. Watu tunaongelea uhalisia. Ukiweka wanawake 100 wenye miaka 70 hapa na wanaume 100 wenye miaka 70.Wewe kuna Mungu na sayansi, mama wa miaka 70 anaingika labour na mtoto ametungwa kwenye petry dish.