Robert De Niro amepata mtoto wake wa saba akiwa na umri wa miaka 79

Robert De Niro amepata mtoto wake wa saba akiwa na umri wa miaka 79

View attachment 2616549
Robert De Niro ni mwenye asili ya Italia ingawa alizaliwa katika kitongoji cha Manhattan, New York City. alizalwa mwaka 1943.

Kwa sasa anafanya shughuli zake uigizaji Hollywood nchini Marekani. Moja ya sinema alizocheza na kuapata umaarufu mkubwa inaitwa Casino iliyotoka mwaka 1995.
[emoji2956][emoji109][emoji106]
 
35 hapo kuna baadhi wakifika mayai yanagoma kutoka kwenye mirija, wenye bahati mpaka 55 mayai yanatoka mwisho kabisa ni 56 kuanzia 57 ni kudra za Muumba kumkuta mwanamke bado anatoa mayai kwenye mirija ya uzazi
Huyu mtoto wa 55 ni mjukuu.
 
Back
Top Bottom