Unataka Unique Flower aje akuchambe asubuhi asubuhi πππHapana, huyo sijui robati anaendana na dada maua.
Mtibeli ana mke na mtoto tayari π€£π€£
Nilidhani huyo Mtibeli anaendana na Joannah, manake yeye anataka 50/50, wakati kwa Jo ni mwendo wa kutoa pesa tu.π€£
...na wewe unamchukuliaje @Joannah?π€£ usichelewe mkuu, hizi nafasi zinakuja mara moja.Huyo ni shemeji yangu kwa madai yake
Utamnyoosha tu hana ubavu wa kukupingaπ€£π€£π€£π€£Mtakuta keshanichoma na gunia la mkaa...itikadi zetu ni paka na panys
Wewe chukua huyohuyo donatila ndio mnawezana,akale makande weeee mpaka anyookeHuyo ni shemeji yangu kwa madai yake
Wewe chukua huyohuyo donatila ndio mnawezana,akale makande weeee mpaka anyooke
...na wewe unamchukuliaje @Joannah?π€£ usichelewe mkuu, hizi nafasi zinakuja mara moja.
...na wewe unamchukuliaje @Joannah?π€£ usichelewe
We mzee unazeeka vibaya,unapoteza sana kumbukumbu,mara ukiamka unanitaka wewe mwenyewe mara ukiamka unanigawa Kwa wengine,naomba uzingatiwe matumizi ya samaki Kwa wingi kwenye Kila mlo wako Ili kuongeza Omega-3πππ
Mjeuri sana huyo.Utamnyoosha tu hana ubavu wa kukupingaπ€£
Oyaa acha mambo ya kisoroKumbe BICHWA KOMWE - ni pisi Kali ? nilidhani dume , basi combination yake na Maghayo itanoga sana..
Sawa.Oyaa acha mambo ya kisoro