Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Nimajina tu sio kweliAweee mimi sio mzee wewe 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimajina tu sio kweliAweee mimi sio mzee wewe 😜
👍Nimajina tu sio kweli
I love you more mwa J wangu kipenzi 😍😍😍
yeap . Sasa ningemtaja nani mwingine ambaye mna match perfectly.kwahiyo mkuu kati waote hawa wewe umemuona lukasi tu😥😃😃
Mimi sitwagi jI love you more mwa J wangu kipenzi 😍😍😍
Ariii riiiiii riiiiii jamani Lamomy Missy Gf Kuna harusi ya Dogo na raraa reree tuandae sareAmeen.. Dada mkubwa ukisema mimi ni nani hadi nipinge
🤣🤣🤣Niko hapa counter karibu na Tv njoo nisalimieUsinikimbie bana, 😂😂😂
SijakuelewAHuyo Maua amefikisha zile marks zanhu 75% za Mwanamke anayeweza kuwa mke wangu au ndio basi ni pendekezo na maoni ya waja?
SijakuelewA
Kumekucha kumekucha kumekuchaaa
Kunani tena cate hotel jamanii🤣🤣🤣Labda Lamomy na Missy Gf ndio watakuwa huko cate hotel...mimi na Tayana-wog tutakuwa zetu KKKT korogwe ibadani
Sawasawa
Haya sawa, ngoja nioneyeap . Sasa ningemtaja nani mwingine ambaye mna match perfectly.
Ww huyo extro anakupenda mfanye mmalizane mashem shem tukusaidie kufungua mazawadi ya valentine, ninavyopenda chocolate sasa 😋😋🍫🤣🤣🤣Labda Lamomy na Missy Gf ndio watakuwa huko cate hotel...mimi na Tayana-wog tutakuwa zetu KKKT korogwe ibadani
Kumekucha 😂😂😂🤣🤣🤣Mbona kumekucha
Oyoooooooo.!!!! Harusi tunayo 🤸♀️
Wajomba tunataka kushirikishwa, ama sivyo tutachacha.
"Wajomba wamechachaa wamekuja juu harusinii
Wapi maharii, mbona sisi hatujapataa?
Mwali hatokii mpaka sisi tukubalii
Pozeni yakinii, wajomba hatuna radhi nayeee"
Mbaraka Mwinshehe "Wajomba Wamechacha"
View: https://youtu.be/9cXNeJtZ6zM?si=C-YMDzCTUgEdzQHL
🤣🤣🤣🤣Bwana harusi mgaigai Nini?Oyoooooooo.!!!! Harusi tunayo 🤸♀️
Sema bwana harusi nna mashaka naye sijui kwann.??? 😜
Ila hata Mimi Nampenda 😁😁😁Ngoja nifanye mpango tuendeleeWw huyo extro anakupenda mfanye mmalizane mashem shem tukusaidie kufungua mazawadi ya valentine, ninavyopenda chocolate sasa 😋😋🍫
🤣🤣🤣🤣Kumekucha 😂😂😂
Siku nikiona uzi wako nahisi nitalala nimechoka