Robert Kidando, Wakili Msomi wa Serikali ambaye hupewa kazi ya kusimamia kesi nzito nzito na hajawahi kushindwa, na hii kesi ya Mbowe lazima ashinde

Robert Kidando, Wakili Msomi wa Serikali ambaye hupewa kazi ya kusimamia kesi nzito nzito na hajawahi kushindwa, na hii kesi ya Mbowe lazima ashinde

Vipi mkuu?

Si mnapumua nyie baada ya kubanw sana na jiwe?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Mimi napumua vizuri tu Mkuu! Na Jiwe litabakia tu kuwa Jiwe! Yaani sina shida yoyote ile kwa kweli kwa sasa. Watoto wanasoma, kazi inaendelea! Ninaishi kwangu! Nina kabiashara ka kuniingizia vijisent nje ya mshahara! Mungu anipe nini!

Ila natamani sana kuiona Tanzania ambayo wananchi wake wanaishi maisha ya amani, umoja, upendo na mshikamano! Huku wananchi woye tukitanguliza maslahi ya Taifa kwanza, badala ya mtu au chama.

I hope one day yes. Kwa sasa hali ni mbaya. CCM wanajiona wana haki ya kufanya chochote! Huku wapinzani wakiona wanaonewa kwa kika kitu, na wananyimwa hiyo haki! Jambo hili siyo zuri hata kidogo. Maana linayengenza mgawanyiko usio wa lazima.
 
Huyu fala sio ndio alisema wao mawakili wa serikali ni sehemu ya mahakama watu wapende wasipende ukweli ndio huo?!

Kuna siku atajutia kiburi chake cha kiuwendawazimu
Wakili yeyote ni sehemu ya mahakama, ni afisa wa mahakama.
 
Naona Kidando umekuja kujipakulia minyama.....

Relax,, dunia bado inazunguka, Wakati utasema ukweli
 
Robert Kidando Wakili Msomi mtoto wa Daktari Mstaafu Mzee Kidando ni Wakili mtata msomi mwenye kipaji huwa hashindwi kwa kesi zozote

Ni mwadilifu sana namtabiria baada ya kesi hii atapewa Ujaji.

Ungekua na hoja ungeleta kesi alizowahi kushinda ili kuthibitisha usemacho. Kinyume chake umeleta mapambio ya Lumumba, rubish
 
Serikali ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan inatafuta wale walioitunga hii kesi ya mchongo kwa udi na uvumba .


Ndiyo maana kesi hii namba 16/ 2021 inayowakabili Freeman Mbowe na wenzie 3 inaendelea ili wale wote waliohusika na njama za kuudanganya umma wote wa waTanzania na kuchafua sifa ya nchi kwa kutumia rasilimali za umma ikiwemo fedha za serikali na watumishi wa umma waweze kufahamika.

Walioitunga hii kesi ya mchongo wajitayarishe kuwajibishwa bila huruma kwa kufuata sheria zilizopo ili jambo na kashfa hii isiweze tena kutendeka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


TUJIKUMBUSHE KESI ZA KIHISTORIA ZILIZOPO KTK MAKTABA ZA KIMATAIFA :




Our struggle has reached a decisive moment. We call on our people to seize this moment so that the process towards democracy is rapid and uninterrupted. We have waited too long for our freedom. We can no longer wait. Now is the time to intensify the struggle on all fronts. To relax our efforts now would be a mistake which generations to come will not be able to forgive. The sight of freedom looming on the horizon should encourage us to redouble our efforts.



https://www.un.org › mandeladay
Nelson Mandela's Statement from the Dock at the Opening

Nelson Mandela's Statement from the Dock at the Opening of the Defence Case in the Rivonia Trial Pretoria Supreme Court, 20 Apri
 
Hakuna mtawala kandamizi aliyewah kuishi maisha salama! Mungu ana maana yake kuleta yote haya! ilikuwepo dola ya warumi (Roman Empire) na ikaanguka!

Bahati mbaya tuna viongozi ambao kula kuku la broiler ni sifa kuliko kula kuku wa kienyeji! ipo siku
Chozi lolote linalomwagika Kwa haki....mungu hulipa[emoji22]
 
Anashinda kwa huo usomi wake, au kwa kubebwa na maamuzi ya hangaya kupitia huyo Jaji wa mchongo?
Kwahiyo kwa uelewa wako unafikiri babaako ndio ana uwelewa tu? Kama unaamini hivyo, basi utakuwa MTU wa hivyo kabisa!!!
 
Mimi napumua vizuri tu Mkuu! Na Jiwe litabakia tu kuwa Jiwe! Yaani sina shida yoyote ile kwa kweli kwa sasa. Watoto wanasoma, kazi inaendelea! Ninaishi kwangu! Nina kabiashara ka kuniingizia vijisent nje ya mshahara! Mungu anipe nini!

Ila natamani sana kuiona Tanzania ambayo wananchi wake wanaishi maisha ya amani, umoja, upendo na mshikamano! Huku wananchi woye tukitanguliza maslahi ya Taifa kwanza, badala ya mtu au chama.

I hope one day yes. Kwa sasa hali ni mbaya. CCM wanajiona wana haki ya kufanya chochote! Huku wapinzani wakiona wanaonewa kwa kika kitu, na wananyimwa hiyo haki! Jambo hili siyo zuri hata kidogo. Maana linayengenza mgawanyiko usio wa lazima.
Tuliwambia kesi siyo porojo za mitandaoni,

Endeleeni kupumua sasa! Mama anaupiga mwingi

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
KESI YA MBOWE: RAIS SAMIA ATOA TAMKO AKIHOJIWA NA DW - "SIWEZI KUZUIA WATU KUONGEA"



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan amejibu swali kuhusu kesi ya Mbowe aliloulizwa na mwandishi wa habari wa DW nchini Ujerumani ambapo ameeleza kuwa suala la kesi ya Mbowe iachiwe mahakama.
 
Ipo
tukutane mahakama ya rufaa, viwanja hivyo ni viwanja 'jopo' la wabobez wa sheria, hakuna cha vilaza vilaza kama kidando au tiganga……….
Ipo siku mtatuambia mnataka kutaka rufaa kwa shetani kwamba huku duniani mnaangukia pua.
 

CASE STUDY :​

The Indictment and Arrest of Augusto Pinochet (1998)​




General Augusto Pinochet was indicted for human rights violations committed in his native Chile by Spanish magistrate Baltasar Garzón on 10 October 1998.

He was arrested in London six days later and held on house arrest for a year and a half before being released by the British government in March 2000. Authorised to return to Chile, Pinochet was subsequently indicted by judge Juan Guzmán Tapia and charged with several crimes. He died on 10 December 2006 without having been convicted.

His arrest in London made the front pages of newspapers worldwide; not only did it involve the head of the military dictatorship that ruled Chile between 1973 and 1990, it marked the first time judges had applied the principle of universal jurisdiction, declaring themselves competent to judge crimes committed in a country by former heads of state, despite the existence of local amnesty laws.

Pinochet led a 11 September 1973 coup which deposed Socialist President Salvador Allende. His 17-year regime was responsible for numerous human rights violations, some of which were committed as part of Operation Condor, an illegal effort to suppress political opponents in Chile and abroad in coordination with foreign intelligence agencies.

Pinochet was also accused of using his position to pursue personal enrichment through embezzlement of government funds, the illegal drug trade and illegal arms trade. The Rettig Report found that at least 2,279 people were conclusively murdered by the Chilean government for political reasons during Pinochet's regime, and the Valech Report found that at least 30,000 people were tortured by the government for political reasons.

Pinochet's attorneys, headed by Pablo Rodríguez Grez (former leader of the far-right group Fatherland and Liberty), argued that he was entitled to immunity from prosecution first as a former head of state, then under the 1978 amnesty law passed by the military junta. They also claimed that his alleged poor health made him unfit to stand trial.

A succession of judgments by various Courts of Appeal, the Supreme Court, medical experts, etc., led to Pinochet's subsequent house arrest and release, before he died on 10 December 2006, just after having been again put under house arrest on 28 November 2006 in the Caravan of Death case.[1] At the time of his death in 2006, Pinochet had been implicated in over 300 criminal charges for numerous human rights violations,[2] including the Caravan of Death case (case closed in July 2002 by the Supreme Court of Chile, but re-opened in 2007 following new medical advice), Carlos Prats's assassination (case closed on 1 April 2005), Operation Condor (case closed on 17 June 2005), Operation Colombo, the Villa Grimaldi, Carmelo Soria, Calle Conferencia, Antonio Llidó and Eugenio Berrios cases, tax evasion and passport forgery.[2][3]

In 1998, Pinochet, who at the time continued to wield considerable influence in Chile, travelled to the United Kingdom for medical treatment; allegations have been made that he was also there to negotiate arms contracts.[4] While in London, he was arrested on 16 October 1998[5] under an international arrest warrant issued by judge Baltasar Garzón of Spain,[6] and placed under house arrest: initially in the clinic where he had just undergone back surgery, and later in a rented house.

The charges included 194 counts of killings of Spanish citizens, the 1975 assassination of Spanish diplomat Carmelo Soria, and one count of conspiracy to commit torture – allegations of abuses had been made numerous times before his arrest, including since the beginning of his rule, but had never been acted upon. Grappling with the conditions set by Chile's turbulent transition to democracy, the coalition government known as Concertación and headed by President Eduardo Frei Ruiz-Tagle opposed his arrest, extradition to Spain, and trial.

A hard-fought 16-month-long legal battle ensued in the House of Lords, then the highest court of the United Kingdom.[7] Pinochet claimed immunity from prosecution as a former head of state under the State Immunity Act 1978. This was rejected by a majority of the Law Lords (3–2), who ruled that some international crimes, such as torture, did not grant a former head-of-state immunity.[8]

However, the judgement was set aside in a subsequent, unprecedented case on the basis that one of the judges involved was potentially biased due to his ties to Amnesty International, a human rights organization that had campaigned against Pinochet for decades and acted as an intervenor in the case.


Machiavelli to distinguish correct from false charges, and the appellate
 
Back
Top Bottom