Robertinho alipendekeza Aziz Ki ang'olewe Yanga

Robertinho alipendekeza Aziz Ki ang'olewe Yanga

Kuna siri moja Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaachia Simba.

Kwenye ripoti yake aliyoacha amemwambia Mohammed Dewji ‘Mo’ amng’oe Aziz Ki pale Yanga.

Amekiri kumwambia mchezaji huyo ambaye mkataba wake unaelekea ukingoni Yanga ni mashine na kila alipokuwa akikutana nae alikuwa roho mkononi.

“Nilimpendekeza Aziz kwa kuwa tayari yuko Tanzania ameshaanza kuzoea mazingira mazuri ni tofauti na mchezaji mpya anayefika kuja kuanza kuzoea mazingira ya hapo,” amefunguka kocha huyo.

Robertinho amesema kama angeambiwa staa mmoja wa haraka kumchukua ndani ya kikosi cha mabingwa hao basi angekuwa Aziz Ki pekee na kama kuna bahati kubwa kwa watani wao ni kuwa na mchezaji bora kama raia huyo wa Burkina Faso.

Source. MwanasportsView attachment 2815445
Kama walimshindwa Caesar Manzoki kutoka Vipers kwa dau la kawaida kabisa mwaka wa jana, ndiyo wawe na uwezo wa kumsajili Stephane Aziz Kii kutoka Yanga!

Na kama wana ndoto za kumsajili mwishoni mwa msimu eti "baada ya kumaliza mkataba wake"!! Ndiyo wasahau kabisa. Maana huyo Aziz Kii siyo mbumbumbu wa kutoka timu kama Yanga, na kwenda timu ya tia maji tia maji kama simba.
 
Kama walimshindwa Caesar Manzoki kutoka Vipers kwa dau la kawaida kabisa mwaka wa jana, ndiyo wawe na uwezo wa kumsajili Stephane Aziz Kii kutoka Yanga!

Na kama wana ndoto za kumsajili mwishoni mwa msimu eti "baada ya kumaliza mkataba wake"!! Ndiyo wasahau kabisa. Maana huyo Aziz Kii siyo mbumbumbu wa kutoka timu kama Yanga, na kwenda timu ya tia maji tia maji kama simba.
Na vita Toka Kwa wachambuzi uchwara ilikuwa kubwa...walipinga kabisa
 
Kuna siri moja Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaachia Simba.

Kwenye ripoti yake aliyoacha amemwambia Mohammed Dewji ‘Mo’ amng’oe Aziz Ki pale Yanga.

Amekiri kumwambia mchezaji huyo ambaye mkataba wake unaelekea ukingoni Yanga ni mashine na kila alipokuwa akikutana nae alikuwa roho mkononi.

“Nilimpendekeza Aziz kwa kuwa tayari yuko Tanzania ameshaanza kuzoea mazingira mazuri ni tofauti na mchezaji mpya anayefika kuja kuanza kuzoea mazingira ya hapo,” amefunguka kocha huyo.

Robertinho amesema kama angeambiwa staa mmoja wa haraka kumchukua ndani ya kikosi cha mabingwa hao basi angekuwa Aziz Ki pekee na kama kuna bahati kubwa kwa watani wao ni kuwa na mchezaji bora kama raia huyo wa Burkina Faso.

Source. MwanasportsView attachment 2815445
Isomwe na mtaalam wa hisabati za kihasibu OKW BOBAN SUNZU
 
Kuna siri moja Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaachia Simba.

Kwenye ripoti yake aliyoacha amemwambia Mohammed Dewji ‘Mo’ amng’oe Aziz Ki pale Yanga.

Amekiri kumwambia mchezaji huyo ambaye mkataba wake unaelekea ukingoni Yanga ni mashine na kila alipokuwa akikutana nae alikuwa roho mkononi.

“Nilimpendekeza Aziz kwa kuwa tayari yuko Tanzania ameshaanza kuzoea mazingira mazuri ni tofauti na mchezaji mpya anayefika kuja kuanza kuzoea mazingira ya hapo,” amefunguka kocha huyo.

Robertinho amesema kama angeambiwa staa mmoja wa haraka kumchukua ndani ya kikosi cha mabingwa hao basi angekuwa Aziz Ki pekee na kama kuna bahati kubwa kwa watani wao ni kuwa na mchezaji bora kama raia huyo wa Burkina Faso.

Source. MwanasportsView attachment 2815445
Mhasibu OKW BOBAN SUNZU upo?
 
Na kweli South kuna baridi naona CAF wakawaonea wivu mpaka wakawatoza faini ya dola 5000.
Wivu yao.tu hamia Simba kuna baraka unamuona Diamond kahamia yanga anamademu wa hovyoo na anavuta unga zamani alipokuwa simba yupo na vifaa na riziki ipo na maisha yalikuwa juu anatema mbegu kwa watu wapo juu sasa mmh Yanga gundu cheupe nyota ikazima alikiba ndio kapanda kisa yupo simba mambo fresh
 
Walilia sana wakimuhitaji kipara , akazuga akaingia laini leo mbona hawamuimbi tena , mchezaji akiondoka YANGA aende Kwa adabu tu la sivo huko hakuna atakalofanya ikitokea ni Kwa muda mfupi tu
Kwa sababu yanga ni wachawi sana, mpira hauko ivyo mpira ni kazi, mpira ni burudani sasa iweje mchezaji aondoke eidha peaceful au kwa jeuri kikubwa mchezaji anaitaji kuondoka mwache aende acheni kuroga wachezaji
 
Huo ni ukweli, hakuna mchezaji mwenye kiwango kikubwa ktk timu yetu kumzidi Aziz Ki. Huyu jamaa ni kipaji halisi, mpira unamtii yeye anakotaka uende na kufika.
Ubao wa matokeo kiasi kikubwa anaamua yeye usomeke vipi!

Sikulia alipoondoka Mayele, ila Ki lazima chozi linitoke akituaga.
Mi shabiki yake mkubwa.
Nifah
 
Back
Top Bottom