Robertinho apost wimbo wa Yanga ukurasa wake wa Instagram

kumbe simba walikuwa na haki ya kumfukuza
 
Ikiwa hicho ndio kinampa furaha na ndio furaha yake acha afurahi.

Kila mtu na afurahi na kinachomfurahisha
 
Tuache utani....Simba wamefungwa goli la dharau [emoji23]
 
Hata kama siwapendi makolo ila ile ilikua clear penalty, tuache kuangalia mpira kwa hisia
 
Alifukuzwa after game ya yanga so he expects the same kwa kocha aliopo km wakifungwa in nutshell anawakumbusha kua game inayofuata ni ya yanga be standby
Kumbe anaheshimu ukubwa wa yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…