Ampeleke Mashujaa Kigoma"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia
Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.
Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Kifupi pale hakuna kochaMkuu kwani Fabrice Ngoma umeanza kumuona Simba?
Tuachane na Robertinho: Vipi na wewe unamuona Ngoma kama sio namba sita? Unakubali Ngoma ni Box to Box? Yaani unakubali Ngoma kiufundi yupo kama Mzamiru?
Je ulitaka Kusema Kanoute badala ya Ngoma?
au Hujapata taarifa kamili Mkuu?
Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.Yaani ngoma sawa na kanoute na mzamiru!!! Kocha aache masihara[emoji1787]
Yanga bado mnaumia sana kwa Namba Sita kuwatoroka Airport! Ahahahahaha! By the way, Carlinhos aliyechangamka (Skudu) asharudi? Ahahahahaha!!!"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia
Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.
Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Tutakesha hapa.Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
Sorry hv kwenye Benchi la ufundi la simba kuna mbongo pale?
Asante sana kwa taarifa kutoka huko kwenu UTOPOLONI"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia
Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.
Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Yanga bado mnaumia sana kwa Namba Sita kuwatoroka Airport! Ahahahahaha! By the way, Carlinhos aliyechangamka (Skudu) asharudi? Ahahahahaha!!!
[emoji23][emoji23] aisee hii hatariKwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
Naunga mkono hoja.Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
Propaganda za kijinga hizi mtaachana nazo lini"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia
Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.
Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Hili nalo kumbe ni kombe? Yale yale ya Zakazakazi kuwa Confideration Cup Yanga alikutana na timu dhaifu,kilichompata yeye jana mpaka muda huu anashindwa kuongeaMoja tayari kabatini hizo stori za kilingeni tunawaachia nyie.#midfielder teacher.
View attachment 2729127
yanakuhusu au umbea tuSorry hv kwenye Benchi la ufundi la simba kuna mbongo pale?