Robertinho hamtaki Ngoma

Robertinho hamtaki Ngoma

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "

Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia

Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.

Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
 
Moja tayari kabatini hizo stori za kilingeni tunawaachia nyie.#midfielder teacher.



D7D8DEC7-E5BA-4D57-98A2-13CDFBBC4CE8.jpeg
 
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "

Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia

Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.

Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Ampeleke Mashujaa Kigoma
 
Mkuu kwani Fabrice Ngoma umeanza kumuona Simba?

Tuachane na Robertinho: Vipi na wewe unamuona Ngoma kama sio namba sita? Unakubali Ngoma ni Box to Box? Yaani unakubali Ngoma kiufundi yupo kama Mzamiru?

Je ulitaka Kusema Kanoute badala ya Ngoma?

au Hujapata taarifa kamili Mkuu?
 
Mkuu kwani Fabrice Ngoma umeanza kumuona Simba?

Tuachane na Robertinho: Vipi na wewe unamuona Ngoma kama sio namba sita? Unakubali Ngoma ni Box to Box? Yaani unakubali Ngoma kiufundi yupo kama Mzamiru?

Je ulitaka Kusema Kanoute badala ya Ngoma?

au Hujapata taarifa kamili Mkuu?
Kifupi pale hakuna kocha
 
Yaani ngoma sawa na kanoute na mzamiru!!! Kocha aache masihara[emoji1787]
Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
 
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "

Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia

Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.

Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Yanga bado mnaumia sana kwa Namba Sita kuwatoroka Airport! Ahahahahaha! By the way, Carlinhos aliyechangamka (Skudu) asharudi? Ahahahahaha!!!
 
Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
Tutakesha hapa.
🚶🚶
 
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "

Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia

Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.

Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Asante sana kwa taarifa kutoka huko kwenu UTOPOLONI
 
Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
[emoji23][emoji23] aisee hii hatari
hivi mpira mnaonaga kama ngono unaingiza dude tu basi
 
Kwa namna anavyo cheza Ngoma hawezi kuwa namba sita yupo slow sana na pancha zinamfanya afikirie mara mbili kabla ya kumuingia mtu.
Kiungo cha Simba bado kitabaki na Mzamiru na Kanute na uo ndio ukweli.
Kama kweli Ngoma mnampenda acheze namba yake 8 na si vinginevyo.
Stail ya Kocha wa Simba ni kicheza kwa nguvu na kasi na namba 6 inataka watu wa aina iyo.
Naunga mkono hoja.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "

Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia

Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.

Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Propaganda za kijinga hizi mtaachana nazo lini
 
Back
Top Bottom