Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia
Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.
Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo amewaambia viongozi wake kama inawezekana wamuuze atafutiwe kiungo mkabaji asilia
Hii ni kwasababu anasema kiufundi hakuna tofauti katia Ngoma na Mzamiru Yassin na Wakati anawaambia viongozi wake kwamba anataka kiungo alikuwa anataka kiungo mkabaji asilia sio Box to box.
Habari hii ni kwa Mujibu wa mtu wa karibu sana na bench la ufundi la Simba