Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Hawa watu hawafai,ukioa unauza uhuru wako na pesa zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ni prenuptial marriage agreement, kila mtu ata ondoka na alicho kuja nacho.hizi karatasi zisikiege tu
View attachment 3196485
Ndo maana cr7 haoi kabisa, maana ana jua ni majanga tu.Hawa watu hawafai,ukioa unauza uhuru wako na pesa zako
kwa hiyo nyinyi mnao jiita Wacha Mungu mko salama ehh??.Kama wewe ni tajiri, maarufu na wala sio mcha Mungu unaoa kwa ajili gani?
Sisi wengine ambao tuna pambana na maisha na tuna mcha Mungu ( hatutaki kuzini) lazima tuoe.
Mimi maisha yangu yame improve sana baada ya kuoa.
Sjui jamaa anaweza kumtuliza yule mtoto asiulizie ndoa,maana sie wengine ukiulizwa mara mbili tu unakubali kuvaa suti hata kama umeshaona dalili sio nzuri huko mbeleNdo maana cr7 haoi kabisa, maana ana jua ni majanga tu.
Hata Roberto Carlos pia alisemaga hivi hivi "Sasa hivi maisha yangu yame improve sana baada ya kuoa"Kama wewe ni tajiri, maarufu na wala sio mcha Mungu unaoa kwa ajili gani?
Sisi wengine ambao tuna pambana na maisha na tuna mcha Mungu ( hatutaki kuzini) lazima tuoe.
Mimi maisha yangu yame improve sana baada ya kuoa.
kasha mtuliza na demu ana jua, hamna muoaji hapa.Sjui jamaa anaweza kumtuliza yule mtoto asiulizie ndoa,maana sie wengine ukiulizwa mara mbili tu unakubali kuvaa suti hata kama umeshaona dalili sio nzuri huko mbele
Jamaa ana jiona kichwa 😂😂Hata Roberto Carlos pia alisemaga hivi hivi "Sasa hivi maisha yangu yame improve sana baada ya kuoa"
Huyu tumwambie au tumuache kwanza?Mimi maisha yangu yame improve sana baada ya kuoa.
naam Sheria za kipuuzi sana, ila mbinu za kuji Linda zipo.Hawa wanawake wanapata hivyo viburi coz ya sheria zilizopo,
Ingekua hakuna issue ya kugawana mali,wala wasingefanya huo ujinga,
Achraf Hakimi alifanya jambo la maana sana kuandikisha mali zake zote kwa jina la Mama yake.
achana nae, we una dhani balozi wa mtaa wake ata kula wapi😂😂Huyu tumwambie au tumuache kwanza?
Hii pia sio nzuri, watakuja kuzichukua ndugu na jamaa kirahis tu.Achraf Hakimi alifanya jambo la maana sana kuandikisha mali zake zote kwa jina la Mama yake.
naam huwa nali waza pia, dawa ni kumilikisha katika kikampuni chako kingine ambacho umiliki hauji kwako.Hii pia sio nzuri, watakuja kuzichukua ndugu na jamaa kirahis tu.
Bora zichukuliwe na ndugu zako kuliko mtu wa nje,Hii pia sio nzuri, watakuja kuzichukua ndugu na jamaa kirahis tu.
sema ndugu wa kibongo mhh, hapana. ndugu wa mzee wali taka kuni fyekelea mbali.Bora zichukuliwe na ndugu zako kuliko mtu wa nje,
Mke sio ndugu yako,
Pia sio familia zote ni za hovyo,hapo unaweza kukuta kua,Mama yake Hakimi amesha andika urithi kua atakaye rithi mali zake ni Hakimi,hizo risk,Hakimi alisha ziona kabla yako.
Hahaha, una mkumbuka ebou wa arsenal naye ali yatimba😂😂Ningekuwa ulaya nisingeoa. 😂
🤣🤣🤣 unacho kiogopa n nn mbona tumeowa na kuacha mapema baada ya kumchapa wtt wawili n mesha timiza ile misemo mkajaze dunia saiv n bia kwa mstaraisee halafu wajomba wana nikazania nioe🙄😃😃, KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO .