Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 248
Marehemu alikua mbishi sanaAcha majinga hv Yanga ni ya kuaga michuano hii. Umelewa ww
Elewa maana ya hizi alama " "Ww ongelea timu yako sio timu zetu
Sasa unamtisha nani?
Tukuulize ww amber rose fcMaraa paap tumewapiga 5G, mtajificha wapi akina Zuwena
Sanaa,mtampiga Mamelodi goli 6Kwa Yanga hii mechi ndogo
Maneno yanawaponzaga haya hahahahaaa
Ni kweli, Simba ikivuka hapa, Mechi zote zinazofuata ataanzia ugenini. Angekuwa na timu nzuri msimu huu angetoboa hadi Fainali.Simba akishinda Semi Final anaanzia ugenini. Same to Uto
Na Fainali ataanzia Ugenini.
Kama uto ataingia Final ataanzia nyumbani...
Anakufa al ahly chuma 3 hapo mkapa estadioHamna timu yoyote ya Tanzania itakayo enda nusu.
Ndio ipo hiyoππ€£πππHivi bado sheria ni ile ile ya kuangalia head to head goals? Nani alikuchabanga nyingi?.
Aamin aamin!Tumepata Mamelodi hii kwetu ni bahati kubwa sanaaa!
Dunia inaenda kupatwa na mshangao jinsi Mamelodi wanavyoenda kufungasha vilago vyao robo fainal.π
Daima Mbeleeeeππ
Unawaza nini kwan mpira haudundi kwenye matope mtani mwendo umeumalizaπ€£π€£π€£Tumepata Mamelodi hii kwetu ni bahati kubwa sanaaa!
Dunia inaenda kupatwa na mshangao jinsi Mamelodi watakavyofungasha vilago vyao robo fainal.π
Daima Mbeleeeeππ
Tena nje na ndanSanaa,mtampiga Mamelodi goli 6