Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
BadoWakuuu tyr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BadoWakuuu tyr
Ndo kifo hicho 😀😀😅😅TUACHE MASIHARA TIMU ZA KARIAKOO HAKUNA ANAYEMTAKA MAMELODI 😁
Wafanye haraka wanachonga sanaSasa mbona wanaongea Kiarabu hatuelewi wanatusema au
Wanafanya Pressure inapandaWafanye haraka wanachonga sana
aje amapiano tu tuweke heshima kwa mkapa hapoHuyu tunamuweza
Sijui ndio wanachambua niniWanafanya Pressure inapanda
Amapiano hatumuwezi hata tukiungana tukaunda timu moja Singa (Simba +Yanga) au YAMBAaje amapiano tu tuweke heshima kwa mkapa hapo
Mtaelewa tuMamelody tunamuweza iwe kwa Mkapa au kwa Madiba
Kama humuwezi wewe Kolo,Yanga tunamuwezaAmapiano hatumuwezi hata tukiungana tukaunda timu moja Singa (Simba +Yanga) au YAMBA
Yamba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amapiano hatumuwezi hata tukiungana tukaunda timu moja Singa (Simba +Yanga) au YAMBA
marehemu alikua mbishi sana, yanga ipewe amapiano sasa 🤣 🤣Kama humuwezi wewe Kolo,Yanga tunamuweza