Umepona mkuu, maana nilishaandaa maweSimba akishinda naomba mnipige kidogo kidogo mpaka nife
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepona mkuu, maana nilishaandaa maweSimba akishinda naomba mnipige kidogo kidogo mpaka nife
Nimekumiss pia my ex darling!![emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nimekumisimo[emoji3531]
Jichunguze
hahahhaa ndio sehemu ya kumalizia hasiraTutajipanga michuano ijayo! Vile viporo vijipange!!!!!
Mkuu huu ukuta wetu (mabeki) ni ukuta wa biskuti aisee lazima kwenye usajili tuangalie hili kama tunataka kufika zaidi ya hapa. Hongereni Simba kufika robo fainali ya CACL na Safari njema mkirudi home tumalizie viporo tuchukue tena ubingwa wa TPL turudi tena CACL tukiwa na kikosi bora zaidi ya hapa.
Sipati picha jinsi sura yako itavyokuwa orijino ss hv[emoji4]Ilikuwa TP Mazembe Vs Aishi Manula
Kama nakuona vile jinsi ulivyopendeza ktk sura yako halisi baada ya matokeo[emoji28]Jichunguze
Kwani 'michuano' ijayo mtaanzia robo..!! Nikutoe hofu tu kuwa hamtofika hatua hii for years, ilikuwa bahati kubwa..... hongereni.Anyway! Tulikuwa washiriki wazuri, tumejitahidi kufika robo fainali na tumejifunza mengi tujipange upya kwa michuano ijayo.
Tungeshinda tungevuka malengo. Tumefikia malengo yetu hatuna sababu ya kusikitika. We will celebrate, tukutane Club Legends tu enjoy oldies tu.hahahhaa ndio sehemu ya kumalizia hasira
Vyura mnatabu Sana'a..Kama nakuona vile jinsi ulivyopendeza ktk sura yako halisi baada ya matokeo[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha roho mbaya toa pongezi.Kwani 'michuano' ijayo mtaanzia robo..!! Nikutoe hofu tu kuwa hamtofika hatua hii for years, ilikuwa bahati kubwa..... hongereni.
Usile Mbegu.
Mkuu huu ukuta wetu (mabeki) ni ukuta wa biskuti aisee lazima kwenye usajili tuangalie hili kama tunataka kufika zaidi ya hapa. Hongereni Simba kufika robo fainali ya CACL na Safari njema mkirudi home tumalizie viporo tuchukue tena ubingwa wa TPL turudi tena CACL tukiwa na kikosi bora zaidi ya hapa.