Tunayo pesa tuna uwezo wa kuboresha kikosiIla mmechapika sana ugenini! 5 + 5 + 2 + 4= ? Sioni mkipata bahati ya kufika hatua msimu ujao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunayo pesa tuna uwezo wa kuboresha kikosiIla mmechapika sana ugenini! 5 + 5 + 2 + 4= ? Sioni mkipata bahati ya kufika hatua msimu ujao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Andamaneni Simba kutolewa kama mlivyopataga droo kwa Simba mkafanyaMji umepooza kama vile wakazi wamehama[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko atapasuliwa kila mtu Yanga waandae file la lawama
Nakumbuka na nyie mlisokomezwa ka 1 na bwana mdogo Mashujaa! Kumbukumbu ni muhimu banduguKwani uongo hatukuwasokomeza yanga kimoja cha makalioni???
Kwahiyo leo ndiyo umeamua kuwa na busara kiasi hiki[emoji848][emoji38]Kwani hilo kombe YANGA wanalo?..?
Mkuu acha hasira na matusi it help nothing,mpira n furaha na amani,nyinyi Simba kufika hapo mlipo fika n hatua nzuri tu na kutolewa n sehemu ya mchezo,matusi si sehemu yake.Hata nynyi tuliwanunua tukawasokomeza kimoja cha makalioni
Hasira za kuingia robo fainali...kweli nyie makwasukwasu fcHa ha haaa si kwa hasira hizi
Ugenini bila vinne au vitano huwa hamridhiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Watulie mara ngapi nakati tayari mji uko shwari kabisa, kizuri zaidi juzi Yanga alishinda ndiyo kabisaaaa kumekuwa kimya[emoji3]
Mkuu, nilikuambia mapema tu.Hasira za kuingia robo fainali...kweli nyie makwasukwasu fc
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nawewe endelea kujifariji...robo fainali utaishia kuzisikia kwa wenzio wakati mnachangishana bukubuku wachezaji wenu wasife njaa
Kipya kinyemi bwana.
Tuliwanunua tukawapiga kimoja cha mkwezi
[emoji23][emoji23][emoji23],jamaa wana hasira sana mkuu.Ha ha haaa si kwa hasira hizi
Ugenini bila vinne au vitano huwa hamridhiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa sisi tuliwaoa na kuwasokomeza nyinyi...yaani sisi tuliwatia nyingiNakumbuka na nyie mlisokomezwa ka 1 na bwana mdogo Mashujaa! Kumbukumbu ni muhimu bandugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mavuvuzela, bodaboda wala magari yani ni siku ya kimya kimya 7bu tu Makelele FC kaolewa DRC[emoji5]Andamaneni Simba kutolewa kama mlivyopataga droo kwa Simba mkafanya