Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

@Shaffih Dauda anasema....Mechi kadhaa za mwisho za TP Mazembe ndani ya uwanja wao wa Nyumbani.
::
Mazembe 2 - 0 CS Costantine
Mazembe 8 - 0 Club Africain
Mazembe 2 - 0 Ismaily
Mazembe 1 - 0 Zesco United
Mazembe 1 - 1 De Agosto
Mazembe 1 - 1 Difaa El Jadida
Mazembe 1 - 0 MC Alger
Mazembe 4 - 1 El Setif
Mazembe 4 - 0 US Dongo
::
Takwimu zinaonesha katika mechi 4 za mwisho hawajaruhusu goli lolote wakiwa nyumbani wakiwa wamefunga magoli 12.
::
Wakati upande wa pili wa karata Vigogo wa soka wa Tanzania Simba mechi zake 4 za mwisho ugenini wamefunga goli moja tu dhidi ya (Nkana FC) na kufungwa magoli 14.
::
Kikubwa tahadhari na kumheshimu mwenyeji. Magoli ni kitu cha muhimu.
Difaa el Jadida ndiyo timu ya msuva kama sijakosea ndiyo timu iliyoivimbia mazembe kwao Lubumbashi
 
Tunashukuru kucheza robo fainali. Ni beyond our expectations. Mchezo wa leo wachezaji wamejituma mno ila tumezidiwa kimchezo.

Kwangu kwa mechi ya Lubumbashi mashujaa ni benchi la ufundi, lakini pia key player leo ni Aishi Manula na Erasto Nyoni.

Tunawashukuru wachezaji wote kwa heshima mliyotupa. Leo mmekutana na timu bora Africa lakini mmekufa kiume.

Tutajipanga michuano ijayo! Vile viporo vijipange!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Alisika mlevi mmoja akiwafariji wafiwa. Huku akinesa nesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga walishatolewa nusu fainali klabu bingwa Afrika kwa kurusha Shilingi. Maybe ulikuwa hujazaliwa.
Walitolewa nusu fainali mwaka gani na timu gani...danganya nikuumbue...hahaah unaleta story za vijiwe vya kahawa mkiwa mmelewa
 
Kuanzia midfield mpaka beki wanakaba kwa macho tu, nahisi hata kocha sio mzuri sana kufundisha defensive football

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha wetu siyo mzuri kwenye kudefend baada ya Simba kupata bao alitakiwa ashambulie lakini timu nzima ilirudi nyuma matokeo yake tunafungwa magoli rahisi hata mbinu zake anampanga mtu ka Nyonzima ambaye ni mvivu wa kukaba
 
Kuanzia midfield mpaka beki wanakaba kwa macho tu, nahisi hata kocha sio mzuri sana kufundisha defensive football

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha wetu siyo mzuri kwenye kudefend baada ya Simba kupata bao alitakiwa ashambulie lakini timu nzima ilirudi nyuma matokeo yake tunafungwa magoli rahisi hata mbinu zake anampanga mtu ka Nyonzima ambaye ni mvivu wa kukaba
Mko sahihi! Mechi zote za ugenini kuanzia hatua ya makundi kocha alizidiwa mbinu hata kufanya maamuzi kulimshinda
 
Back
Top Bottom