Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC

Kuanzia midfield mpaka beki wanakaba kwa macho tu, nahisi hata kocha sio mzuri sana kufundisha defensive football

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha wetu siyo mzuri kwenye kudefend baada ya Simba kupata bao alitakiwa ashambulie lakini timu nzima ilirudi nyuma matokeo yake tunafungwa magoli rahisi hata mbinu zake anampanga mtu ka Nyonzima ambaye ni mvivu wa kukaba
Mko sahihi! Mechi zote za ugenini kuanzia hatua ya makundi kocha alizidiwa mbinu hata kufanya maamuzi kulimshinda
 
Walitolewa nusu fainali mwaka gani na timu gani...danganya nikuumbue...hahaah unaleta story za vijiwe vya kahawa mkiwa mmelewa
ilikuwa robo fainali vs Asante Kotoko miaka ya sabini huko.

wakati huo nilikuwa bado ni mfuatiliaji wa hizi timu zenu za kichawi (Simba/Yanga).
 
Tujifunze kuhesabu kilingala
876de062c89e3149c7c3533005ab38be.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa umeanza kufuatilia soka Enzi ya Manara

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mara mwisho kwenye hatua ya makundi ya CACL mliambulia point 2 na kufungwa magoli 19 huku mkishika mkia kwenye kundi lenu ila Simba kufungwa hatua ya robo fainali mmepandisha pua juu eti nchi imedhalilishwa nyie wakupuuzwa
 
Back
Top Bottom