Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Mkuu unaongelea timu gani, kama unamaanisha lipuli uko sahihi.nyie ndo mna mental disorder kuiponda timu ambayo imefika hatua ambayo timu yako haijawahi fika tangu uzaliwe
Ha ha ha! Huwa wanawakuza sana vilazer waoHahahhàhahaha Mkuu nimecheka sana wenzako Wana Majina yao ya hao watu,kuna Terminator Kagere na Mwamba wa Lusaka Chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Difaa el Jadida ndiyo timu ya msuva kama sijakosea ndiyo timu iliyoivimbia mazembe kwao Lubumbashi@Shaffih Dauda anasema....Mechi kadhaa za mwisho za TP Mazembe ndani ya uwanja wao wa Nyumbani.
::
Mazembe 2 - 0 CS Costantine
Mazembe 8 - 0 Club Africain
Mazembe 2 - 0 Ismaily
Mazembe 1 - 0 Zesco United
Mazembe 1 - 1 De Agosto
Mazembe 1 - 1 Difaa El Jadida
Mazembe 1 - 0 MC Alger
Mazembe 4 - 1 El Setif
Mazembe 4 - 0 US Dongo
::
Takwimu zinaonesha katika mechi 4 za mwisho hawajaruhusu goli lolote wakiwa nyumbani wakiwa wamefunga magoli 12.
::
Wakati upande wa pili wa karata Vigogo wa soka wa Tanzania Simba mechi zake 4 za mwisho ugenini wamefunga goli moja tu dhidi ya (Nkana FC) na kufungwa magoli 14.
::
Kikubwa tahadhari na kumheshimu mwenyeji. Magoli ni kitu cha muhimu.
nyie ndo mna mental disorder kuiponda timu ambayo imefika hatua ambayo timu yako haijawahi fika tangu uzaliwe
De Agosto alitoka nae 1-1 na TP kutupwa Nje ya mashindanoDifaa el Jadida ndiyo timu ya msuva kama sijakosea ndiyo timu iliyoivimbia mazembe kwao Lubumbashi
Alisika mlevi mmoja akiwafariji wafiwa. Huku akinesa nesaTunashukuru kucheza robo fainali. Ni beyond our expectations. Mchezo wa leo wachezaji wamejituma mno ila tumezidiwa kimchezo.
Kwangu kwa mechi ya Lubumbashi mashujaa ni benchi la ufundi, lakini pia key player leo ni Aishi Manula na Erasto Nyoni.
Tunawashukuru wachezaji wote kwa heshima mliyotupa. Leo mmekutana na timu bora Africa lakini mmekufa kiume.
Tutajipanga michuano ijayo! Vile viporo vijipange!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuniuliza kwa hasira pumbafu.moderator amefanyaje???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia midfield mpaka beki wanakaba kwa macho tu, nahisi hata kocha sio mzuri sana kufundisha defensive footballIlikuwa TP Mazembe Vs Aishi Manula
Ilifika lini robo fainali yanga labda enzi za ukoloni...nauhakika we ulikuwa hujazaliwa umekuta tu kwenye vitabu vya historiaUna uhakika kuwa Yanga haijawahi kufika robo fainali au wewe ni zao la shule za kata mpira umeanza kuujua miaka hii 2010s?
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha yanga a.k.a bakuli fc...mlifika robo fainali mwaka gani zaidi ya enzi za ukoloni
Walitolewa nusu fainali mwaka gani na timu gani...danganya nikuumbue...hahaah unaleta story za vijiwe vya kahawa mkiwa mmelewaYanga walishatolewa nusu fainali klabu bingwa Afrika kwa kurusha Shilingi. Maybe ulikuwa hujazaliwa.
Kocha wetu siyo mzuri kwenye kudefend baada ya Simba kupata bao alitakiwa ashambulie lakini timu nzima ilirudi nyuma matokeo yake tunafungwa magoli rahisi hata mbinu zake anampanga mtu ka Nyonzima ambaye ni mvivu wa kukabaKuanzia midfield mpaka beki wanakaba kwa macho tu, nahisi hata kocha sio mzuri sana kufundisha defensive football
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huku tunaamua ugomvi. Mme kampiga mke ngumi ya jicho kisa kashangilia goli la tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
nahisi anaongelea mechi za Azam confederation cupNamaanisha yanga a.k.a bakuli fc...mlifika robo fainali mwaka gani zaidi ya enzi za ukoloni
Mtadhalilisha vipi wakati hamjawahi kufika hatua hii kwa zaidi ya miongo miwili
Kuanzia midfield mpaka beki wanakaba kwa macho tu, nahisi hata kocha sio mzuri sana kufundisha defensive football
Sent using Jamii Forums mobile app
Mko sahihi! Mechi zote za ugenini kuanzia hatua ya makundi kocha alizidiwa mbinu hata kufanya maamuzi kulimshindaKocha wetu siyo mzuri kwenye kudefend baada ya Simba kupata bao alitakiwa ashambulie lakini timu nzima ilirudi nyuma matokeo yake tunafungwa magoli rahisi hata mbinu zake anampanga mtu ka Nyonzima ambaye ni mvivu wa kukaba
Utakuwa umeanza kufuatilia soka Enzi ya ManaraMtadhalilisha vipi wakati hamjawahi kufika hatua hii kwa zaidi ya miongo miwili
Sent using Jamii Forums mobile app