Ni wapi niliandika kuwa Yanga ilifika nusu fainali ya ligi ya mabingwa? Unathibitisha jina alilokupeni Aden Rage. Kipi ni rahisi; kucheza ligi au mtoano? Kama mashindano haya yangekuwa kwa mtindo wa mtoano Simba ingeishia wapi? Wewe kweli ni mbumbumbu.
Huwezi kufika mbali kwenye michuani hii fkwa kutegemea magoli ya kiini macho uwanja wa Taifa na domo la Haji Manara.Mimi ni Simba ila hii tabia team zetu zikifungwa halafu badala ya kujadili future tunaanza kujadili history haina maana yoyote mpira unahukumiwa leo unafanya nini sio miaka 20 sijui iliyopita au hata mwaka jana. Tungekubali kuwa kiwango chetu hapa ndio mwisho na ili team iende mbele yafanyike yapi isiwe ya mwaka huu kufika robo final ikawa ndio mafanikio hata ya mwakani tukaanza kusema 2019 tulifika Q.final haisaidii haya yameisha jana team isukwe kidogo ikiwa tunataka tufike semi final mwakani. Tatizo la team zetu na hapa zote mpaka team ya Taifa ni away games tukipata suluhisho tu tutasogea kidogo mbele. tumeruhusu magoal mengi sana away sijui 16 au 17 mechi 4 tu hii haiwezekani.
Bravo, wewe huko vizuri bro, umeongea kimchezo. Badala ya kujadili kwa nini ndani ya game NNE za away tumepigwa vipigo vya mbwa koko, yaana gori 18 ndani michezo minne tu ya away, ili ni tatizo, tena kubwa. Asante bro unastahili hata kushika nafasi ya uongozi hapo tff, unaweza kutusaidiaMimi ni Simba ila hii tabia team zetu zikifungwa halafu badala ya kujadili future tunaanza kujadili history haina maana yoyote mpira unahukumiwa leo unafanya nini sio miaka 20 sijui iliyopita au hata mwaka jana. Tungekubali kuwa kiwango chetu hapa ndio mwisho na ili team iende mbele yafanyike yapi isiwe ya mwaka huu kufika robo final ikawa ndio mafanikio hata ya mwakani tukaanza kusema 2019 tulifika Q.final haisaidii haya yameisha jana team isukwe kidogo ikiwa tunataka tufike semi final mwakani. Tatizo la team zetu na hapa zote mpaka team ya Taifa ni away games tukipata suluhisho tu tutasogea kidogo mbele. tumeruhusu magoal mengi sana away sijui 16 au 17 mechi 4 tu hii haiwezekani.
Ndio tumevuka makundi na kutokea robo sasa... imekuuma kama we SimbaTushawazoea midomo yenu mliishaigeuza Tigo, badala ya kuongea point, ni vinyesi tu. Na hiyo yote ni hasira ya kutobolewa marinda 5G-1 huko Lubumbashi, mmebaki kuweweseka tu. Poleee Bi Hindu.
Hatari sana Chifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiukweli nimeshuhudia ukimya wa jiji, yaani nimeoanisha siku ile wanatinga robo fainali ilikuwa fujo.
Leo nilijaribu kuchungulia na kutoka nje naona mji umepoa utadhani, jeshi la watanzania limetoa "ONYO KUTOKA NJE"
Haha wameshinda njaa na miayo juu hadi wameamua kulala na coating[emoji1]Mmeshinda njaa
Siyo mdomo bali alikuwa na domo kubwa sana tena lenye kihere here ktk kujua kila kitu[emoji28]Marehemu alikuwa ana mdomo sana
Lakini Yanga hakukusanya kapu la magoli ya hamsa hamsa kama Makelele FC 5+5+5+2+4=16, bila shaka hawakuwa simba bali walichanganyika na mafisi[emoji1787][emoji1787]Mwaka gani??...mekwambia usilete habari za vijuwe vya kahawa hapa....ndo mana mekwambia hujui lolote..mafanikio makubwa kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa ni kucheza hatua ya makundi mwaka 1997 ambapo walimaliza kwa kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa maning rangers ya afrika kusini cha goli sita...historia ya soka imelala hapa wadanganye watoto wenzio
Marehemu alikuwa Malaya sana kwa 7bu alikuwa haridhiki bila ya kupigwa 5+5+5+2+4[emoji16]Mlianza vizuri sana Dakika 8 SSC lakini mwisho mmepigwa 4!!
Umenena vizuri kabisa Chifu, ni sawa na Mwanafunzi aliyefaulu kufika chuo kikuu akitokea form six afu mwaka wa kwanza huo huo aka-discontinue, akiulizwa na mwanafunzi mwenziye aliyefeli kuingia chuo kikuu "kwanini ume-discontinue na elimu ya chuo kikuu?" akajitetea "oooh...mwaka jana nilifaulu kwa kiwango cha juu sana ambacho wewe mwenyewe hukuweza hata kufikia hiyo hatua, nilipewa mkopo wa kusomea chuoni" sasa inasaidia nini nakati tayari haikuongezei chochote zaidi ya kubaki na historia tu.Mimi ni Simba ila hii tabia team zetu zikifungwa halafu badala ya kujadili future tunaanza kujadili history haina maana yoyote mpira unahukumiwa leo unafanya nini sio miaka 20 sijui iliyopita au hata mwaka jana. Tungekubali kuwa kiwango chetu hapa ndio mwisho na ili team iende mbele yafanyike yapi isiwe ya mwaka huu kufika robo final ikawa ndio mafanikio hata ya mwakani tukaanza kusema 2019 tulifika Q.final haisaidii haya yameisha jana team isukwe kidogo ikiwa tunataka tufike semi final mwakani. Tatizo la team zetu na hapa zote mpaka team ya Taifa ni away games tukipata suluhisho tu tutasogea kidogo mbele. tumeruhusu magoal mengi sana away sijui 16 au 17 mechi 4 tu hii haiwezekani.
Matokeo yakibaki hivi Swimba anatinga nusu fainali,tuwaombeeMpaka sasa mechi ñi dakika 500 zinaenda matokeo ni Tp mazembe 4 - 4 Simba
Alisikika Mlevi na tapeli mmoja wa KariakooMnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni...!!!
Kiukweli simba wanabaki kuwa wababe wa kimataifa Tz,wengine wana babaisha tuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Yanga hakukusanya kapu la magoli ya hamsa hamsa kama Makelele FC 5+5+5+2+4=21, bila shaka hawakuwa simba bali walichanganyika na mafisi[emoji1787][emoji1787]Mwaka gani??...mekwambia usilete habari za vijuwe vya kahawa hapa....ndo mana mekwambia hujui lolote..mafanikio makubwa kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa ni kucheza hatua ya makundi mwaka 1997 ambapo walimaliza kwa kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa maning rangers ya afrika kusini cha goli sita...historia ya soka imelala hapa wadanganye watoto wenzio
Mwengine yule mnyoaji kiduku afu kaweka kalkiti nywele zake kama shoga vile, Watu walipenya kama vile bodaboda wanavyopenyaga pakiwa na jam za magari barabarani[emoji28]Mimi nilisema yule zana hakuna beki mule ana upepo ametucost sana jana watu wanapita kwake kama boarder la vibaka kupita
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Hiyo robo uliyotandikwa bila huruma Jana Wananchi walishacheza miaka hyo ya 98 hukoView attachment 1071066Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni...!!!
Kiukweli simba wanabaki kuwa wababe wa kimataifa Tz,wengine wana babaisha tuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo makundi ndio yalikuwa ni nane bora kama Simba walivyofika sasa kabla ya kutolewa jana. Tofauti ndogo ni kwamba nane bora aloingia yanga iliendeshwa kwa mfumo Wa ligi wakati Simba kabla hajaingia nane bora alicheza ligiMwaka gani??...mekwambia usilete habari za vijuwe vya kahawa hapa....ndo mana mekwambia hujui lolote..mafanikio makubwa kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa ni kucheza hatua ya makundi mwaka 1997 ambapo walimaliza kwa kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa maning rangers ya afrika kusini cha goli sita...historia ya soka imelala hapa wadanganye watoto wenzio